DIAMOND Afunguka ISHU ya 'MTOTO WAKE' na MOBETTO "Najua Tangu Zamani"
Ойын-сауық
DIAMOND Afunguka ISHU ya 'MTOTO WAKE' na MOBETTO "Najua Tangu Zamani"
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 383
May the good God make that little boy to shine in future….this is sad 😔
@remmysophia6832
Жыл бұрын
Atashine ndio ila ana haki amjue baba ake ,mama awe tu mkweli
@nanaritho6850
Жыл бұрын
Mamaake awe mkweli mtt ni WA nani mbona wengi yametukuta hayo
@judithhermann233
Жыл бұрын
Huyo Hamisa ataje baba wa huyo mtoto Mtoto sio wa Diamond.
@imanidaraja8275
Жыл бұрын
Sasa kama sio wake afanye je
@diananjeri1837
Жыл бұрын
Hamisa ndiye tatizo jameni eeeish
Perfect said 💯....big up to you
This was a very brave answer🤝
Diamond hukulelewa na babako mzazi ila Mungu alikubariki ww ni star...hivyo hivyo namuombea Dylan Mungu amubariki ukubwani familia yako ishuhudie na awape msaada
@nicolekibashimba558
Жыл бұрын
Kama yeye amusaidie muzee Abdul kwanini aje asaidie in the future Mungu ata walipa siku moja iyi jamaa kwanavyo mu treat Daylan
@user-rs1bo1ic7j
3 ай бұрын
Siyo wa daimond ule mtoto . Na siri ikishajuwa mwanamke kila kitu kinatoka inje Ila wanawume huwa wanaongea wanapo kutana tena hasa wa sanii . Na baba wa DYLAN ni msanii lakini siyo DAIMOND
Huyu jama ana kila kitu ila mungu kamnyima akili .jibu lilikuwa moja ila uswahili mwingi .God have mercy on this kid dylan
@limbrussamson591
Жыл бұрын
😂😂😂
@bhm675
Жыл бұрын
Ww ndo Huna akili, ila wenye hakili tushaelewa mtoto Co wa Simba ni vile tu anatunza tu heshima he can't say it direct
@starkidwamoro8775
Жыл бұрын
Mbona ya familiar hayo ndugu Yangu hacha makasiriko wewe syo Hamisa
@faithfaith-zr6gz
Жыл бұрын
😂😂😂 kha! Kanyimwa nini? Akili😂!!?? Kwl ww kiboko angefika hapo km angekuwa hana akili?
@HadijaZabroni-pu1lt
8 ай бұрын
Hahaha hahaha hahaha sio vizuri 😂ila wewe unapenda
Diamond has talked well....
Diamond hafai tena maishani kumulaumu babake manake saa hii anafanya vile babake alivyo mfanyia.
@tugabiz4286
Жыл бұрын
Kwani kuna siku amewahi kumlaumu baba yake??? Mzee Abdul sio baba yake ni baba wa kambo.
Hili jamaa lina point sana kwel asee
Kashindwa kujibu vizuri hana uhakika, subuhana Allah,sasa hamisa kazi kwako sema ukweli ulivyo
@jaymandy8136
Жыл бұрын
Sio hivyo kk, kwa muelewa Mondi keshajibu hapo tena kwa uhakika.
@malakiyazidu0080
Жыл бұрын
sio kwamb han uhakika ila usikut anajuw ht mam namtot wanajuw wot ila sababu mam ake alishasem niwak hivy huw anaogop kuwek waz kuw mtot sio wangu anamfichia sir kwahiy hp kaongea kikubwa ili mtambuw ili wakuelew waelew hiyo sio damu yake
@machintangachibwena5922
Жыл бұрын
Ngomaa Droo Mama yake pia si amesima Diamond ni mtoto wa nyange na wakati mzee Abduli anasema ni wa kwake hiyo ndio faida ya umalaya
@alhabsi6430
8 ай бұрын
Subuhana Allah
Mmmmmh jmn kwa maan hiyo daylan siyo mwanae ......ila Namuombea mtoto huyu aje kuwa kichwa na siyo mkia🙏🙏
@letisiamakonda3873
Жыл бұрын
InshaAllah
@mwizaluchiba6264
Жыл бұрын
🙏🏻
@tabithajohn8254
Жыл бұрын
Amen 🙏
@jaymandy8136
Жыл бұрын
Kwa maana hio unamtupia lawama diamond?
@modernbeauty5309
Жыл бұрын
Acha uchawi
Umejibu kibusara sana hongera
Kwa hili Diamond Hana Kosa. Kaongea vizuri. Aliyesavabisha yote haya ni Hamisa. Alicheza mchezo wa kishamba kabisa wa kujidhalilisha na kumfanya Malaika yule kuwa gumzo kitu ambacho kitamuathiri baadaye kisaikolojia. She should have known better as she looks.
Mlee huyo mtoto kama wako na kama siyo wako lakini mpe mtoto heshima yake ulimkubali tangia day one sisi tunajua hilo. Kwanini unaachia mitandao inamnyanyapaa mtoto. Kanusha mtoto ni wangu watu wakome???be a great man and big farther of all children in world god will give you long life and more blessing
@Servedithot
Жыл бұрын
No he has the right to show the world that’s not his child… Hamisa needs to tell the truth about the father of this child cuz it’s clearly not Diamond’s child.
@MosesTraveller
Жыл бұрын
Unaujua uchungu wa kumlea mtoto ambae sio wako ilhali umeaminishiwa kua ni wako??? Bora hata kuchukua mtoto kwenye vituo vya watoto yatima na kumlea kuliko kusukumiziwa mtoto ilihali hujui inauma sana
Yaani huitaji kuwa umesomea Cuba 🇨🇺 Mtoto sio wake😎
@yunislemnge5558
Жыл бұрын
😄😄😄😄😄😄
@deedee3614
11 ай бұрын
😂
Binafsi mond nimemchukia sana kumbe yupo na kibri namna hii kwa vile Allah kampa utajiri au daah Allah asitujaalie na tabia kama hizi
Mtihani wallah lakini hakuna hakuna makaburi ya watoto wasikua na baba aisee, mwanaume Huwa Hana kigugumizi Kwa mtoto, dada kuwa mkweli usilazimishe
Kajibu vizur sana
Tumeeelewa hii tabia yakugawa watoto wanawake diamond inawezekana alimpima mtoto bila mama kujua akajua ukweli
@letisiamakonda3873
Жыл бұрын
Nalo neno maana Diamond ni mjanja mjanja
@sharonanisha8949
Жыл бұрын
True alaf huenda pia hamisa hajui yupi baba..mwanamke hujua baba kama anakuwa faithful lkn kama qnakutana na watu different huwenda akawa confused pia..Mungu amsaidie..na vile alimtukana zari khaaa..ni kweeel ya MUNGU NI MENGI
@najuf8021
Жыл бұрын
@@sharonanisha8949 tabia mbaya sana hii yakugawa watoto kwababa ambao sio
Ameongea point daimond❤❤❤❤
Let it out my man let it out
Yeah Simba umejibu vzuri tu huyo mtt ni Malaika tu so usiache kumsaidia coz ya watu kuongea saana ww msaidie kama mwanao wa damu Mungu atakulipa Insha'Allah 👏🙏❤️
@othumanimgimba4255
Жыл бұрын
Piga chini huyo
@margarethsolomon9823
8 ай бұрын
Amsaidie kwani umeambiwa Hamisa kashindwa kumtunza. Alitangaza mwenyewe6kwa mara ya kwanza kwenye mitandao hii hii kwamba amezaa na Hamisa na ndio chanzo kilipoanzia kukosana na Zari, na kuna wakati wamepelekana hadi mahakamani na wakiitana mwenzangu mwenzangu sasa ni kipi kilikuja kuwaibua na kuanza kutafuta mtoto ni wa nani. Hii ni shida ya mama wa Diamond toka walipopishana na Hamisa. Visa vyote ni vya mama mkwe kutokumpenda mtoto wa Hamisa. Kifupi Hamisa hna kosa na aendelee kutunza mtoto wake, nadhani huyo Diamond ametosheka na hao alio nao na atazaa mwingine kwa Zuchu.
@AsiaAbdallah-jv4bn
8 ай бұрын
Alimuona lini diamond akimsaidia mtoto wa hamisa mmmmh musiyoyajua jaman tuyaache
Mungu wangu, Yaani huyu anakataa mtoto wake! Mungu akusaidie Hamisa
@frankmwagito5962
Жыл бұрын
DNA test 😆😆
@faithfaith-zr6gz
Жыл бұрын
Jmn Amekataa wapi! Anaejua Siri ya mtt ni mama, MUNGU afichi kitu Cha gizani, Mbn ukwl utawekwa peupe.
Napenda vile ameongea diamond ju kwa kweli ule ni mtoto na hii dunia sisi sote tunapitapita,,,mweshimu mwenzako jinsi alivyo pia kweli sio vzuri kumsungumzia sana mtoto maana akiwa mkubwa kwa kweli ataumia,asante diamond my favourite🥰🥰🥰 mungu na azidi kkulinda
Chibu kama Remi ongala na hayo mapete', na rasta kingine Amisa aseme ukweli ili mtoto apate hali zake za msingi
Mbona mwamba anazunguka mbuyu sana unajua unajua nyingi kwa daylan.😂
Hongeza sauti unaehojiwa
The answer is simple Diamond. If you are doubting that Dylan is not your son, why don't you simply do a DNA test? and close the chapter?
@hajjiomary2383
11 ай бұрын
Diamond anamwambia wakafanye nnje dada ataki anataka zakunjunga dar
@rahmaseif3604
8 ай бұрын
Sasa kama mama ndio anajua ndiokasema were ndio baba yake au kwasabu yeye hakai nje ya nchi
@graceamadi1096
8 ай бұрын
Hamisa is the problem, why is she refusing another DNA be done? Is she hiding what she knows is true or why?
Hata hivyo baba lao Ana roho nzuri 🔥🔥🔥🔥
Wakulungwa tumeelewana apo✌️🇹🇿
Ah mondi unaniacha ivo unavyoongea tu bob. ⭐ for life.
Ishajulikana mtoto sio wa Simba hata Sisi wanawake tuache kubambikizia kisa mtu anauwezo then super star wapeni watoto wenu Baba halisi
@rinahmwalingo4480
Жыл бұрын
Aa
@varentinjosph3466
Жыл бұрын
Unajuaje kama mtoto sio wa simba kufanana sio sababu et sio wake acheni mdomo nawewe ni mzazi khaa
@user-js9nk5gl2e
8 ай бұрын
😢
@user-dx7pn9zc5k
8 ай бұрын
Mtot sio wa diamond ni wa bb yak ww ww mwenyew ni mtt wakike imagine ingekuwa mtt wako ndo Ana kataliwa na bb yake unge jiskiaje ww m’mbwa dadek 😏
@fatumajeneby5449
8 ай бұрын
AWENI WAKE ASIWE WAKE! TPOINT, MISA MOOVED ON NAKAMA NIPESA ANAZO🙏 TATIZO HAAMINI ANAYOONA
Naangalia hii news Niko na mwanangu wa miaka 6 kaniuliza mama kwan diamond anaumwa? Nimemuuliza kwann kaniambia anaongea taratibu🥺🥺MUNGU akuponye mpambanaji
Kweli Diamond Anaumwa Jamani
@pillymcharo9855
Жыл бұрын
Tena anaumwa na kichaa alaf linavoongea utadhani halitakufa nyie watu tunajisahau jmn hamisa wee cool mtt ni wa chibu Cha msingi potezea kama amemkataa Kwan ukiwa tajiri hufi nyooo fyuuuuuu hamisa mpambanie mwanao na kiasi ulichonacho usitake vya haramu....
@bhm675
Жыл бұрын
@@pillymcharo9855 dah umejbu kwa hasira, ndo mkome kubambikizia watu watoto😂😂
Madada someni, tafuteni kazi , umalaya sio kazi. Mtu hajui Baba mtoto wake 😂
@jannuyaddy3725
Жыл бұрын
Hakuna mwanamke asomtambua bba wa mtto wake ju siri ya mwana aijuae mama
@vinnahjasson5546
Жыл бұрын
@@jannuyaddy3725 safiii, jibu zur
@remmysophia6832
Жыл бұрын
@@jannuyaddy3725 wapo wengi sana huku mtaani hawajui mtu ulale na watu wawili tofauti leo na kesho mwezi unaofuata ugundue una mimba unafikiri utajuaje
@user-wi6uk1vz1h
8 ай бұрын
@@jannuyaddy3725ah oui
@user-wi6uk1vz1h
8 ай бұрын
@@remmysophia6832donc la faute à qui
Wale wenye hawaelewi hawatoelewa diamond doesn't want to publicly say Dylan is not his son to protect the boy cause kama mtoto angekua wake he would just say Dylan is my son
@velmanyamor7294
10 ай бұрын
Apo ni kweli mondi atambui dylan
Mimi niliosoma na Donald triumph nimeelewa😢
@safiasaleh669
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 ata mimi nilisoma na Marehemu Magufuli pia nimeelewa
Shida ni kuwa Dylan Hakufanana na Diamond kafanana mama yake, So Wapambe pamoja na Fimilia ya Mond wakatake advantage, Lkn Mungu ndie Baba wa Wanaokataliwa.God bless Dylan.
@NasraSaid-qc5hf
8 ай бұрын
Hajafanana nahamisa yulemtoto mwenzangu
@NasraSaid-qc5hf
8 ай бұрын
Hamisa hanasura nzuri kamaile
@NasraSaid-qc5hf
8 ай бұрын
Anaringia mapoda tuu
Nimwanao bwana
Tuliosoma na Bashite hapo tumeshaelewa #Mama haelewi mtoto ni wanani,, kuna cha kujifunza hapa .
@majomamajoma8776
Жыл бұрын
Anaelewa kabisa ila anafosi tu mtt hata afanane na mama kiasi gani atachukua hata vidole vya baba
@safiasaleh669
Жыл бұрын
😂😂😂😆😆😆😆😆😆 ivi bashite yuhai ? Naona kimyaaaaa kama hayupo duniani
DAAAHHH nimeelewa
Mwanawume wew umeniweka furah namawongeziyako yenye busara ,l'm hr Rwand mond penda sana kilalakhel kaka
Jamani Mond aongee vipi muelewe? “nikiwa nacho nitatoa” atasema hivyo kwa mwanae kweli?“ mara mtoto ni malaika” mara “ nimeongea na mamake” unakumbuka “ukoo umejaa.” kuna sehemu ametamka mwanangu??”naamini Misa keshakiri si wake ila Mondi amemshaurii amwambie mwanae Ukweli na Hamisa hataki.
I feel bad for this child .Imagine if this boy is yours and you're here doubting about it
@emmanuelmichael7130
Жыл бұрын
Kama angekua wake angeshawajibika so hapo kunaonekana kuna ulakini
@TM.Sullusi
Жыл бұрын
How sure are you that he is his kid?😥
@jaymandy8136
Жыл бұрын
😂😆😆😆😆😆😆😆 he said it all through his statements.
@agwalubifaridah7079
Жыл бұрын
Diamond cleared everything the kid isn't his period
@jaymandy8136
Жыл бұрын
@@agwalubifaridah7079 yeah 👍
Mtihani sana,lakini tatizo madada zetu sijui tamaa tu au niziki wanachoona nimkwanja tuu,Farsafa FA
Huyu vipi
Simbaaaaa❤
In short hapa ulikua ujibu tuu huyu n mtoto wangu tuu basi na pia ulikua useme kwamba n mtoto wangu maana tulifanya dna na naimini dna mtoto n wangu tu basi,ama tu useme sina imani nae,alafu pia kwa kauli ulioongea n kwamba unamsaidia dylan ila hutoi huduma kama babake jamaniii namuonea huruma hamisa sana mimi pole mama
@nanaritho6850
Жыл бұрын
Msitafute huruma za uongo!huyu bwana hataki kumdhalilisha dadaetu that's why hataki funguka! Msilazimishe vitu visivyokuwepo
@emmanuelmichael7130
Жыл бұрын
Inaonekana sio mtoto wake mbona wengine ana wahudumia
@wanjyrumurugy6220
Жыл бұрын
@@emmanuelmichael7130 ujue sio mtoto wa kwanza kukataliwa na babake anaweza kuwa wake na amchukue
@jaymandy8136
Жыл бұрын
Ww ni nani kumpangia nini cha kujibu?
@edinakyaruzi9226
Жыл бұрын
Sio wake kulingana na vipimo na majibu anae jibu ila pole sana diamond ulio pitia na dylan kayapitia ndio sababu una utu kwake
Wakubwa tushaelewa 😢
@zulfahussein6784
Жыл бұрын
Kabisa mwenye akili amesha faham
One day truth will comeout
@hamisimsosi6237
8 ай бұрын
Kumbe mondi ndiyo anachangia sakata la mtoto wa hamisa liendelee umeulizwa mtoto ni wako au siyo wako unaanza kuzingusha Mara mtoto maraika watu hapo hawaelew au baba wa mtoto ni maraika sema huyu mtoto siyo wangu lakini nitamsaidia Kama ninavyosaidia yatima kwasha habari lakini Kona ni nyingi Sana ishu ilipofikia kwa Sasa haihitaji Tena Kona Kona😫😫😫😫😫😫😫😫🙄🙄🙄🙄🙄🙄😫😜😜😜😜😜
Sijawahi kucoment ila jamaa ameongea vizuri hata mtot akikuw akija kuskia hawez kuumia
Platinumz
Wamekunyooosha
Hili Limond ni jinga sana
Mondi ameongea vitu point sana. Kwann amchukie mtoto wkt hajafanya kosa. Atamsaidia km anavyowasaidia watoto wengine ila Mobeto kavunja mahusiano ya Watu kisa mtoto ni wa Mondi kumbe sio kweli
@mropaehambi1889
Жыл бұрын
Kwa wenye uwezo mkubwa wa kuelewa anamanisha kabisa kuwa ni muda mrefu alifahamu kuwa mtoto sio wake yy anaongeela kumsaidia mada sio kumsaidia mada mtoto ni wako au sio
@aibulamilanzi1466
11 ай бұрын
Hutali na jibwenge
Lo historia imejirudia jamani inauma sana
Ammy mbona anaongea vizuri hivi huyu ommy hizo oyeaah ndo nini 😂😂😂
@twalibubiza8161
Жыл бұрын
Swaga izo za om
@deborambutu9547
Жыл бұрын
Lugha yenyewe ngum kwake lkn yeah yeah.. way back... 🥱
Diamond umenifaraishaga kwahii interview 😂😂be open my brother
Simple tu hela unayo Pima DNA ukikuta siyo wako msaidie tu kama unavo saidia mwanao
Simba smart guy bro but truly speaking mtoto ni mtoto au sio,yaani mtoi Hana makosa kabisaa.Langu nataka kusema hivi mtoi na Tanasha Dona aah pale true Diamond bro .mm nilisikitika sana Diamond kuachana na Tanasha Dona coz Tanasha she is areal woman ,caring and loving.pale Simba alibugi but na heshimu uamuzi wake kama Simba,Diamond platinumz
Mpk hapo Mtt sio wake then its confirmed
Tayari tumeshaelewa sasa so sad 😢
@salomewandya7257
Жыл бұрын
😰😰😰😰😰
Yaani hamna kosa kubwa Duniani kama kumbambikia Mtu Mtoto asiye wake. Inauma sana.
@pendojeremiah1023
Жыл бұрын
Ni kweli sio vizuri kabisa
ila bro unamajibu mazuri sana
Mbona anazunguka sana🤣🤣yn anataka kuingia afu anatoka
@Mimi-wf7mb
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ana kuwa kama a Atoka then anarudi ndani
@aishaibrahim5607
Жыл бұрын
@@Mimi-wf7mb 🤣🤣🤣anauzi anavyoingz nakutoa
This Is Sad. You didn't come out clear about your child even After the DNA test! Mungu akusamee sana!! Dylan Mwenyezi Mungu akulinde baba, Ipo siku!
@lexygeisar8303
Жыл бұрын
Jamani Je kama mtoto sio wake. Akubali tu
@johnmpangala145
Жыл бұрын
Where you there wakat wanapim hyo DNA
@sharonnemartins2798
Жыл бұрын
@@lexygeisar8303 si aseme tu sio wake, he should put everything straight. Ndio watu pia wamuache ule mtoto
@sharonnemartins2798
Жыл бұрын
@@johnmpangala145 don't be stupid nxt time.
@lexygeisar8303
Жыл бұрын
@@johnmpangala145 na ulikuwa hapo ukaona wabavyo forge dna. Nenda umchukue akue wako. Mtoto hafani na wewe ukubali tu cox theres dna man made from lab. Mwenyezi Mungu aumbe mtoto bila feature zako. Nani ana mtoto asiye fanana nae
Ok siyo mwanao manake ulivyongea mimi nimeelewa ila huyu mtoto atakuwa mtu baadaye
Just answer the question YES or NO
@bifezadofra4453
Жыл бұрын
Exactly
Wow Hamisa what a shame, you broke zaris home, you let people insult mama dangote left and right when they were being innocent
@salomennanga3110
Жыл бұрын
Not Hamisa, Diamond put kiki everywhere 😂😂😂😂
@raphaelbravo8432
Жыл бұрын
@@salomennanga3110 Stay away from clout... Hamisa herself said that the kid doesn't belong to Diamond Platnumz infront of camera. Kiki kiko wapi hapa,If you habituated clout as kibamia and mr kondesha is when sorrows will follow you.
@salomennanga3110
Жыл бұрын
@@raphaelbravo8432 Allez faire les tests d'ADN, c'est simple, tomuch blablabla in the social média
@Myplusbee
Жыл бұрын
@@salomennanga3110 Unahangaika ku-prove nini kwa kutumia lugha tofauti na uliyotumia mwanzoni na ambayo ndiyo lugha aliyotumia aliyekujibu?!
@idayattijani5341
Жыл бұрын
@salomennanga3110 you will defend everywhere today,have you finished insulting zari?who is the Malaya now?
Simba c 2najua mtoto co wako lakin kwenye media we mkubal 2
Kwa kifupi siyo wake. Hapo a Majaribu kuzugazuga kuepuka lawama
Kwa lugha rahisi na ya kueleweka Diamond anasema kwamba mtoto sio wake ... And that's very possible ukizingatia hamisa alishaenda kwa waganga kutaka mondi amuoe ..
@paskalinapa6177
Жыл бұрын
Hata mm nimemuelewa simba kua mtoto sio wake, kazi kwako sasa hamisa
Frankly speaking Hamisa apa ametupiga, Mimi kama shangazi nakataa... diamond apo sura yake ni tiffa mtupu
Una zunguka Sana jibu yes au no
Mmmmmmmmh🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄dunia ina mengi.
Hiii inaitaji mzazi mwanamke kujua unaulizwa ni mwanao si mwanao
Labda kashajua ukweli kuhusu DNA ya Yule mtoto bila hata mamake kujua ila tu anaendelea kumtunzia siri Hamissa na Missa hajui kama wamegunfua true DNA yaani ya hii dunia ni mengi sema tu na yule wa zari wa kiume anajua sio wake ila tu hataki kumbagua na dadake coz wanalelewa pamoja
@mtzhalisi2232
Жыл бұрын
Wabongo bana duh!!! Hayaaaaa
@sarahgaula2220
Жыл бұрын
Hata wa Zari akishafanya DNA.
@sitichivumba282
Жыл бұрын
Mkiambiwa ukweli mpaka mtaje zari. Pambaneni na Dylan wenu. Hakuna hata siku diamond amesema Nillan sio wake hata jana alikua akisema wanangu na zari not mwanangu. So muulizeni Hamisa baba mtoto. Mkiona mumezidiwa mpaka mumuingize Nillan kwenye migogoro yenu. Moment Nillan.
Daaaah jmn mm dangote mungu anamuona
@nanaritho6850
Жыл бұрын
Halafu weeee ni mwanamke unacoment ujinga huu
@hellendaniel3809
Жыл бұрын
@@nanaritho6850 Usimlaumu sana huoni hata jina lake tu hawezi kuandika eti Matrida 😂😂😂😂
@Zainab_salat
Жыл бұрын
@@hellendaniel3809 jamani 🤣🤣🤣🤣🥲
@agwalubifaridah7079
Жыл бұрын
@@hellendaniel3809 🤣🤣🤣🤣🤣
tatizo dunia hii uzinzi umekua sio dhambi tena ndio matokeo ya haya yote …
Huyu MWAMBINO anahanza kamilika sasa
Kama unaweza kusaidia saidia kama haiwezekani basi 😂😂😂
Nukta
Amisa Malaya tu
Kwani hamisa hawezi mhudumis mwanae jamani kuns kitu kimenikera kws mondi majibu yakeeti unadaidiaga wangapi kwa hiyo hata mtoto wa hamisa unamsaidia tu sio jukumu lako hamisa usikubsli hsta kama anakupa kiasi watu wanampa lawama hamisa aseme mtoto wa bsba wa mtoto hataingekuwa mimi nisingesema mtandaoni
Sasa issue mbona irudi tena
Kama unaona tabu kumdhalilisha mtoto ulikuwa wewe usimuoneshe dharau hata kitu kimoja kwa sababu umeamua kumuhifadhi mtoto sasa hata dharau unazofanya si pia zitamuumiza akikuwa ulikuwa umfanyiye hisani bila kinyongo wangapi wanafaliwa na watu baki kuliko watoto walowazaa vyenginevo ungesema tu moja wapo
@safiyatheonlything7848
Жыл бұрын
Yeye mwenyewe baba aliye amlea siyo wake mama ake alibambikiza
@sabihaibrahim143
Жыл бұрын
@@safiyatheonlything7848 ehee lakini tena ihsani tuu
Sauti ziko chini Sana
@hawahabibu3881
Жыл бұрын
Labda simu yako
Bado huja ongea maneno mengi
Kwa maongez hya inaonekna Dylan si wake mama Yke aseme tu ukwel
God of Zari is a living God Hamisa used to abuse Zari and her kids but now God is,punishing hamisa for wat she did to zari
@starzone0458
Жыл бұрын
Abuse her???sure where and when let Hamisa be 🙄gaiii
@maniragabaandrew9512
Жыл бұрын
I can see that team pungi has forgotten so soon ,hahahahaha this is just the beginning my dear get ready more is coming very soon the real father is coming out and it will shock u hamisa is alie
@starzone0458
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hebu ongea kama simba kweli. If yes or no. To much corner corner
@agwalubifaridah7079
Жыл бұрын
He's protecting his brand mtoto c wake.
Mama mwewusi . Baba mwewisi . Mtoto mwewupe . Mmmm awo niwa bilnas awo ni wa jaguar
Kama ni malaika Kwa nn uweke post kama ile ambayo huweza kuleta Sito faham au kutafsitika vby. Haoni kama hio post atakuja kuiionaa.
Everyone knows how obsessed with the lime light this guy is but throwing Hamisa under the bus and making it look like she's the villain is so wrong and then the fact that he sounds like a matured man you'd think he actually is. So immature!!!
@jessykadaraja2691
Жыл бұрын
Hamisa doesn't know the father of her own baby...I used to tell my friends that, when a girl fucks 2 or 3 men in a day and after 2 weeks she is pregnant..it is hard to to identify who is responsible for the baby.
@lydialutomia3398
Жыл бұрын
No.why crucifying him.he is not his child.
@anifamango6756
Жыл бұрын
You've said it all. Before posting those silly videos on his insta stories he didn't know mtoto ni malaika.. saizi ndio anajifanya kujua ni malaika???? We all know this family,if that child wasn't Domo he would have paraded that shit long time ago on social media. I just don't get why he likes using all of his children especially this one for clout, deep down he knows the child is his vile wanafanana miguu na huyo mtoto and that's why Hamisa is not even bothering defending and offering explanation to silly allegations Cause eventually ukweli utajulikana and I don't how he's going to do that damage control. Diamond is such a useless father to all of his children. Ata hanaga time na watoto wenyewe Kazi yake ni kutuma pesa za child support mama zao wangangane kukuza na Kulea. akiona mtaa umeboeka na hasemwi anaenda kutafuta watoto wake na kishikana na ma baby mama just for the mere reason to trend then arudi tz kuendelea kishikana na Zuchu. We can count the number of times this man sees his kids in a year. Big artists like davido don't miss to attend to their kids big events especially birthdays, but huyu Domo he's never consistent. With NJ it's even worse anaonwa mara Moja Kwa mwaka surely. He should really thank his baby Mamas for putting up with his shit, cause he ain't a real man and definitely doesn't Know how to handle his shit. Just leave that baby alone, we have dragged his name and it's now 5 years surely??? Give it a rest
@kunpeter4071
Жыл бұрын
Cry more baby.. cry..! So hamisa is the matured one!?
@felixakani7018
Жыл бұрын
@fatma the judge. I think you sound so immature than you think he is.
Sio mwanae maskin Na kupelekws mahajaman
Sauti ndogooooooo
@hidayamazua5590
Жыл бұрын
Hata ss tusiosoma qiuba tumeelewa pia, anazunguka sana but namuonea huruma sana hamisa, eti anamsaidia anatoa msaada kama kwa watoto wengine nasio kutoa huduma dah is so bad😭
Wakapime DNA
Mwenye akili ashaelewa
Duh huyo alijipigiza Kwa Mond .....
Sio mtoto siwo mtoto wa mondi
Back ground music destroyed the whole video