GWAJIMA ATAKA MAMLAKA YA RAIS YAFUNGWE KISHERIA | KUNA SIKU TUTAANGUKIA PUA
Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima ameshauri mamlaka ya kisiasa ya Rais yafungwe ili Rais yeyote atakayekuwa madarakani asitoke nje ya mipango iliyowekwa na nchi ili kuepusha hali ya kila Rais kuwa na vipaumbele vyake.
Askofu Gwajima amesema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia Bajeti ya Serikali na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2024/25 ambapo amesisitiza kwamba nchi isipofanya hivyo "kuna siku itaangukia pua."
Aidha, amesisitiza umuhimu wa mipango ya wizara na taasisi mojamoja pamoja na ilani za vyama za uchaguzi kuakisi malengo yaliyomo kwenye Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa muda mrefu.
Пікірлер: 121
Umeongea pointi Moja nzuri sana kaka Gwajima Raisihatakiwi aanzishe mpango wenye interest za kwake, raisi anapaswa kusimamia mpango wa Serikali na taifa Kwa ujumla.
Mungu ajalie uwe sehemu ya waamuzi wa hatima ya Taifa letu siku moja
@youngsachafurniture5482
10 күн бұрын
😅😅😅😅ndoto hizo
@LeonardEdward-fb2bn
9 күн бұрын
Very soon ,,
@storytownTv
8 күн бұрын
Huyu muhun kafich tu makucha
Hongera sana Askofu, una mawazo yenye maono.
Hongera sana Pastor Gwajima na Mungu akubariki kwa maono mazuri
Ahsante Sana KAKA Gwajima.
Huyu jamaa anasema kila siku hili swala, lakini CCM vipofu na viziwi wapigania tumbo tu.
@adelinelyaruu3036
7 күн бұрын
Mzee wa Maono
@user-gr9sz4pt3r
4 күн бұрын
Ccm majizi2
Gwajima wasio kuelewa leo very soon watakuelewa ,,coz you're the Next
Wazo nzuri....ni kama ulaya na marekani tuwe mipango endelevu na kuwekea Sheria Kila raise ajaye apite humo
One of Big brain men in the Parliament,,,but some never seen b4
Heshima ni very Big 🧠 Brain
Hii hoja nilikua naisubiri siku nyingi mno.Kila Rais anayeingia anaanza upya utadhani uhuru tumepata jana
Safi Sana gwajima
Nenda direct Tu kwenye katiba mpya Acha kumumunya maneno
@adelinelyaruu3036
7 күн бұрын
KATIBA MPYA NI SASA
Safiiii sana Kwa hii point
Naunga mkono 🤝 kama taifa atuna maono tunaongozwa na Maono ya Rais anaekua madarakani👏👏
great thinker...
Very good I askofu
Anaongea sijui mara ya nne hii
@adelinelyaruu3036
7 күн бұрын
MZEE WA MAONO. WANAJIFANYA HAWAELEWI
The best Legislative member. He (Bishop) actually deserves to lead that Ministry before we as a country fall into dark pit. The Minister is just shocked to hear such smartly constructive ideas not spoken by him (prof).
Safi sana mkuu ❤
✊️✊️✊️ umezungumz kitu kizur sana
I call him master mind, na nchi za ulaya, marekani na kadharika ziko ivyo na mipango yao ya muda mrefu
👏👏 this is a good political strategies
Maoni mazuri sana Gwajima ila muarobaini wa haya yoooote KATIBA mpya ili kupunguza majukumu kwa Raisi Chama pinzani wamekuja na hoja za majimbo na kumpunguzia uzito wa madaraka bila Katiba mpya sawa sawa na kelele za vuvuzela za uwanjani
True patriot real leader a true gem to Tanzania pray Allah leads you to the top ameen
Good idea God bless you all
Kweli kila raisi anakuja na story zake
Aaah tokeni hapa gwajima asinge liongelea mngesema mbaka mkumbushwe...
Katiba mpya
Wasukuma wanajua sana
@hapaupdates9277
14 күн бұрын
Yani hawa ndo maboya vibaya SIO wote lkn
Sawa kabisa
Akili kubwa sana
Saw kbs
Excellent
I support you my brother ! Our passed experience is clear study case. The presidency can even put aside the constitution of our nation in order to push his agenda unchecked. It has happened before our eyes (while the governing authority is protected by the same same constitution)Taarifa ya waziri is out of point, wakati Prof. anaongelea ushirikishwaji kutoka chini hadi kwa waziri wa mipango, wewe unaongelea ushirikishwaji wa mamlaka za kisekta(wizara) zinazowakilisha maeneo yote muhimu ya maisha ya watanzania kama maji,chakula, afya, mahusiano na mataifa mengine n.k.
@adelinelyaruu3036
7 күн бұрын
Let's keep faith that one day we will have a new constitution which will direct our nation's path for generations to come🙏
Ni sahihi kabisa, tuwe na mpango wa taifa ambao viongozi wakija kuomba kura watueleze wata wezaje kuutekeleza sio kila mmoja kuja na ahadi zake lukuki as if kila baada ya kipindi fulani cha uchaguzi nchi ina kua kama ina anza upya.
Gwajima ndo rais wangu
Genius
Brilliant - absolutely 👍
wachache sana watakao elewa lakini kuna kitu juu ya haya maneno
Undaaji wa mipango ya nchi,bado utowaji wa taarifa na upatikanaji wa maoni , bado,kwani mfumo wa upokeaji na mfumo wa ukusanyaji uko chini sana
Ikiwezekana malengo yagawanywe ili yawe yenye kutekelezek kwa awamu zilizo ainishwa ili hata aliyeahidi akishindwa atupishe kabisa
Good idea
Vizuri sena waelimishe neno scope huenda shule zilipita kushoto japo ni educated at extra
Hayo majizi yanayowaza matumbo yao yanamuona kama anapiga kelele tu,gwagima hapo hakuna mtu anaeifikiria tanzania ya miaka hamsini au hata miaka ishirini bali yanafikiria familia zao tu
Safi saaaaaaaaana
Kaongea kitu kizuri sana lakini kwa serikali yetu isiyopenda maendeleo ya nchi ila inapenda maendeleo ya Mtu mmoja moja halo watasema kamtukana Rais asimamishwe vikao 20 vya bunge
Askofu tunakuhitaji sana na tunakuombea MUNGU akusimamishe zaidi katika eneo hili. Na sisi tunakuja huko sio muda mrefu Tanzania umebarikiwa
Mbona Kila ukichangia hoja ni hiyohiyo
Point Gwajima Nchi Kama bendera Kila mtu na mipango yake miaka 10 akimaliza imeisha
Wewe huyo pia akiwa raisi hawezi kufanya mipango ya raisi alopita, kwasababu sio kila mpango una maana na unafaa!! Ni vyema kila raisi afanye maamuzi yake ili tujue nani kafanya vizuri nani kaboronga
Hizo ndizo point tunazohitaji
gwajima Yuko vizuri
Smartest
Gwajima we nikiongozi sio chawa wa viongozi
❤
Sasa si ndio katiba
Fundi sana
Huyu Jamaa ni very talented
Amen amen
Hiki kichwa kweli kweli, hakijawahi kuacha kutoa mchango tofauti na huo. Ni mawazo ya akili kubwa Sana, endelea kusema gwajima IPO siku yatatekelezwa na ni vision kubwa kwa Tanzania ijayo.
@adelinelyaruu3036
7 күн бұрын
WANAWEKA PAMBA MASIKIONI 😮😮
Sasa Gwajima ndugu yangu hiyo si ndiyo katiba mpya? Acheni unafiki wenu! Wenzenu kila siku wanaongelea hayo hayo yawekwe kwenye katiba mpya mpo kimya tu. Kama kweli mpo ok tamkeni moja kwa moja mnataka katiba mpya
Ndio maana tunaitaka katiba mpya
Mwigulu mungu akulinde maana watanzania hawakukubali Mzee
@MauFundiElectronics
10 күн бұрын
Tena hatumpendiiii kabisaaaaaaa 😂😂😂😂🛜
Good kabisa
Apo wapigaji hawawez kukuelewa ata kiduchu
SASA WIZARA XOT HIXO ZA NINI?. MIAKA HAMSINI MINGI SANAA BWANA.
Tangu ajiunge n siasa nilimpoteza kabisa yaan😢
Hii ni sahihi kabisa yaani hatuna dira kabisa
Na hayo mamlaka amepewa na katiba
Hyo ndo mifumo china waliyotumia kujiinua ndo km unsvyowaona leo lkn inatakiwa sheria kali je mtaziweka au mtalindana km kawaida yenu?
Saf xan
Inaanziaje chini wakati wananchi hawajui chochota. Kama inaanzia chini lazima ibebe vision ya hao wa chini. Vision tumazoziona hazina muunganiko ma wTu wachini. Hiyo ndo shida. Ni vitu rahisi tu ila nyie viongozi mna mambo yenu ambayo hatuwaelewi.
Hayo maono umeyapigia debe mda mlefu. Ila wamezima macho na mashikio hawakuelewi Gwajima. Maonao kama hayo ndio yanaitawala China na mataifa makubwa kama US. Ila sisi Africa tunangojea kupangiwa cha kufanya na Wamagharibi ni Aibu kubwa kwetu.
@adelinelyaruu3036
7 күн бұрын
NI AIBU KUBWA. SIJUI AFRICA TUMELAANIWA NA NANI. AU NI VIONGOZI WAKE AMBAO HAWANA MAONO😢😢
Haya mambo yalisemwa zamani sana tangu enzi za jakaya, na magufuli. CCM ndiyo hawataki. Simamieni Hilo Kwa nguvu zote. Haiwezekani kila awamu tunaanza upya
Naunga mukono hoja
Amna kitu hapo msaniii 2
Inatakiwa kila muhimili wa serikali uwe na mamlaka na nguvu yake kama bunge,Jeshi na mahakama,pia raisi akimaliza muda wake achunguzwe ili nchi iwe na mwenendo mzuri kama vile marekani,China, na urusi
Chukua fom mzee.
Huyu mzee baba namuona kama zaidi ya RAIS kwa michango yake.
Mna maono gani wabunge wengi ni wezi lazima kizazi kijacho kije na maono mazur sio maono yenu ya sasahv ya vipofu
umeongea poit kwer kaka kwamba kila rais anatakiw kuingia madalakani kutekeleza
hamna kitu hapo.
@godlistengipson7268
6 күн бұрын
Tupe wewe
Kipindi cha magu aliufyata😂
Hakuna msukuma mshamba,wote ni perfect brain
@paulmathias810
12 күн бұрын
Kabisa, Wasukuma wangepewa waongoze tu maana wanajielewa
@bonsondavid5756
12 күн бұрын
@@paulmathias810 Magufuli,Makonda,Msukuma, Gwajima wote wasukuma alafu nchi inawaelewa sana pima upepo uone
@azaellivingston7415
7 күн бұрын
Chenge amefanya nini kwenye Inchi hii?
@azaellivingston7415
7 күн бұрын
Vip kuhusu kitwanga ? Kangi lugora Je?
Ivi gwajima ira nahic mda uja fika ira naamini wewe ni rahic ajae mimi kama kijana mtanzania natamani uongoze taifa hili
Najivunia kuwa na mbunge wangu kama huyu
@gilbertsalvatory9590
16 күн бұрын
Kabisa
Tupa jiwe gizani 😅
Mawanzo mazuri lakini ulitakikana uyatoe vipindi ambacho bwana somba somba alipo kua anajenga Chatto kwa a lot of money for nothing .
@ramadhanrobin-st6hh
10 күн бұрын
Kwan chato si Tanzania ata akiijenga watakao fanikiwa n watanzania ko sioni ubaya wa ilo na kukumbuka nyumban n muhmu sana ndugu zile barak zitakutunz milele upte amani na furaha
Kuna wabunge wapo huko ndani kwaajili kuomba taarifa 😮😮
GWAJIMA KATI YA BUNGE KISUKUMA WEWE UNAAKILI SANAA HAUYUMBU WEWE KWELI NI MZALENDO WA KWELI SIYO NDUMI LAKUWILI HATA WAKATI MAGUFULI ULIONGEA UKWELI HATA WAKAT LIGANGA NA MCHUCHUMA ASANTE SANA
Jam a ni tujifunze na tuache kuwadanganya wananchi.Enough is enough 😮macho yako wazi wananchi tuko macho Misingi ya ukoloni ifutike sisi siyo wajinga tena😮
Ee.na wananchi watanzania nao waone maono ya.familia.miaka.hamsini.ijayo.kwa ma'ana.hiyo wawekeze.uchumi wa familia.miaka hamsin.ijayo sio kuuzauza ardhi.nyumba na kuzitelekeza familia ovyoovyo.watoto wetu wanatelekezwa.sana.na maono ya miaka.michache michache tuamke.nimeipenda.sana.hii.hoja ndio.waliyoitumia.wazee.wetu.zamani walihakikisha kola mtoto mzaliwa wa familia amelisishwa mali na kufwatiliwa anaishije leo kila mtu anaishi.anavotaka.maono.ya kukiona.kizazi kijacho hayapo mheshimiwa.gwajima.na.bunge.lote Mungu awape akili nyingi na maarifa mengi mliongoze.taifa la.Tanzania
Ameongea Jambo kubwa
Wewe tunakudai chuo cha uvuvi na boti kawe ...Pia safari ya kujifunza ya vijana Birmingham vipi ..Chasimba bado mafuriko tatizo na barabara hazipitiki .. Hayo maono unayojimwambafai yalete huku jimboni sasa ''!!! au tukutane kwa wajumbe
@DenisRukangula
12 күн бұрын
Yeye sio chanzo mwamuzi mkuu Kuna idara inayotekeleza kile unacho mdai Gwajima.. Kama hawezi kupewa sapoti Afanyeje .. au unadhani kuondoa mafuriko ni kusema tu , Kuna fumula
Gwajima anakurupuka tu kwan c vyote hvyo vimeshajumuishwa kwenye mpango na lazima washirikishwe kutoka chini mpaka wizaran
@mvukiedavid4332
13 күн бұрын
Umemuelewa point yake lakini au umecomment TU?
@KokoloLambinguni
12 күн бұрын
Gwajima ni kichwa cha familia ilo jambo ni jepesi kwa wanaojua namanisha nini na taifa letu MUNGU ameinua watu kama awa ili kutuvusha kutoka kwenye vifungo vya umasikini
@YoshuaSeverino
12 күн бұрын
Mipango gani hiyo ya miaka 50?