GWAJIMA ATAKA MAMLAKA YA RAIS YAFUNGWE KISHERIA | KUNA SIKU TUTAANGUKIA PUA

Mbunge wa Kawe, Askofu Josephat Gwajima ameshauri mamlaka ya kisiasa ya Rais yafungwe ili Rais yeyote atakayekuwa madarakani asitoke nje ya mipango iliyowekwa na nchi ili kuepusha hali ya kila Rais kuwa na vipaumbele vyake.
Askofu Gwajima amesema hayo bungeni jijini Dodoma wakati akichangia Bajeti ya Serikali na Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa mwaka 2024/25 ambapo amesisitiza kwamba nchi isipofanya hivyo "kuna siku itaangukia pua."
Aidha, amesisitiza umuhimu wa mipango ya wizara na taasisi mojamoja pamoja na ilani za vyama za uchaguzi kuakisi malengo yaliyomo kwenye Mpango wa Maendeleo wa Taifa wa muda mrefu.

Пікірлер: 121

  • @user-mm6sm9rt9x
    @user-mm6sm9rt9x10 күн бұрын

    Umeongea pointi Moja nzuri sana kaka Gwajima Raisihatakiwi aanzishe mpango wenye interest za kwake, raisi anapaswa kusimamia mpango wa Serikali na taifa Kwa ujumla.

  • @newbornhaule
    @newbornhaule16 күн бұрын

    Mungu ajalie uwe sehemu ya waamuzi wa hatima ya Taifa letu siku moja

  • @youngsachafurniture5482

    @youngsachafurniture5482

    10 күн бұрын

    😅😅😅😅ndoto hizo

  • @LeonardEdward-fb2bn

    @LeonardEdward-fb2bn

    9 күн бұрын

    Very soon ,,

  • @storytownTv

    @storytownTv

    8 күн бұрын

    Huyu muhun kafich tu makucha

  • @boscoafikile4737
    @boscoafikile473715 күн бұрын

    Hongera sana Askofu, una mawazo yenye maono.

  • @essauyusuph6552
    @essauyusuph655211 күн бұрын

    Hongera sana Pastor Gwajima na Mungu akubariki kwa maono mazuri

  • @babarungurallyteam2754
    @babarungurallyteam27549 күн бұрын

    Ahsante Sana KAKA Gwajima.

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael547016 күн бұрын

    Huyu jamaa anasema kila siku hili swala, lakini CCM vipofu na viziwi wapigania tumbo tu.

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    7 күн бұрын

    Mzee wa Maono

  • @user-gr9sz4pt3r

    @user-gr9sz4pt3r

    4 күн бұрын

    Ccm majizi2

  • @LeonardEdward-fb2bn
    @LeonardEdward-fb2bn9 күн бұрын

    Gwajima wasio kuelewa leo very soon watakuelewa ,,coz you're the Next

  • @saidmushehe
    @saidmushehe13 күн бұрын

    Wazo nzuri....ni kama ulaya na marekani tuwe mipango endelevu na kuwekea Sheria Kila raise ajaye apite humo

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION11 күн бұрын

    One of Big brain men in the Parliament,,,but some never seen b4

  • @juliusmsegu3347
    @juliusmsegu334712 күн бұрын

    Heshima ni very Big 🧠 Brain

  • @mweyoms5548
    @mweyoms554811 күн бұрын

    Hii hoja nilikua naisubiri siku nyingi mno.Kila Rais anayeingia anaanza upya utadhani uhuru tumepata jana

  • @EmanuelElito
    @EmanuelElito16 күн бұрын

    Safi Sana gwajima

  • @naimunaimu2312
    @naimunaimu231212 күн бұрын

    Nenda direct Tu kwenye katiba mpya Acha kumumunya maneno

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    7 күн бұрын

    KATIBA MPYA NI SASA

  • @StephanChanzi
    @StephanChanzi2 күн бұрын

    Safiiii sana Kwa hii point

  • @josiacharles2778
    @josiacharles277812 күн бұрын

    Naunga mkono 🤝 kama taifa atuna maono tunaongozwa na Maono ya Rais anaekua madarakani👏👏

  • @forkasa5459
    @forkasa545916 күн бұрын

    great thinker...

  • @Focusm-se2sd
    @Focusm-se2sd17 күн бұрын

    Very good I askofu

  • @clarencejr2023
    @clarencejr202312 күн бұрын

    Anaongea sijui mara ya nne hii

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    7 күн бұрын

    MZEE WA MAONO. WANAJIFANYA HAWAELEWI

  • @ephraimkabeya9648
    @ephraimkabeya96484 күн бұрын

    The best Legislative member. He (Bishop) actually deserves to lead that Ministry before we as a country fall into dark pit. The Minister is just shocked to hear such smartly constructive ideas not spoken by him (prof).

  • @francisdeomassawe6307
    @francisdeomassawe63079 күн бұрын

    Safi sana mkuu ❤

  • @user-tt3jh1mq5y
    @user-tt3jh1mq5y14 күн бұрын

    ✊️✊️✊️ umezungumz kitu kizur sana

  • @frolencejovenary667
    @frolencejovenary66717 күн бұрын

    I call him master mind, na nchi za ulaya, marekani na kadharika ziko ivyo na mipango yao ya muda mrefu

  • @user-xq8zc1fk3p
    @user-xq8zc1fk3p6 сағат бұрын

    👏👏 this is a good political strategies

  • @rogersiddy
    @rogersiddy12 күн бұрын

    Maoni mazuri sana Gwajima ila muarobaini wa haya yoooote KATIBA mpya ili kupunguza majukumu kwa Raisi Chama pinzani wamekuja na hoja za majimbo na kumpunguzia uzito wa madaraka bila Katiba mpya sawa sawa na kelele za vuvuzela za uwanjani

  • @abdulhakeemmwai5875
    @abdulhakeemmwai58757 күн бұрын

    True patriot real leader a true gem to Tanzania pray Allah leads you to the top ameen

  • @goshenprayersministries
    @goshenprayersministries11 күн бұрын

    Good idea God bless you all

  • @user-xc7qj7ze7m
    @user-xc7qj7ze7mКүн бұрын

    Kweli kila raisi anakuja na story zake

  • @user-kw6bv9qp4e
    @user-kw6bv9qp4e13 күн бұрын

    Aaah tokeni hapa gwajima asinge liongelea mngesema mbaka mkumbushwe...

  • @mtanzaniahalisi9500
    @mtanzaniahalisi950015 күн бұрын

    Katiba mpya

  • @smilemediatz
    @smilemediatz16 күн бұрын

    Wasukuma wanajua sana

  • @hapaupdates9277

    @hapaupdates9277

    14 күн бұрын

    Yani hawa ndo maboya vibaya SIO wote lkn

  • @YakoboChambo
    @YakoboChambo6 күн бұрын

    Sawa kabisa

  • @MkumboJaphet-yx3jp
    @MkumboJaphet-yx3jp2 күн бұрын

    Akili kubwa sana

  • @musatalange4587
    @musatalange458711 күн бұрын

    Saw kbs

  • @innocentinyasi9198
    @innocentinyasi919816 күн бұрын

    Excellent

  • @dietrichoswald34
    @dietrichoswald3410 күн бұрын

    I support you my brother ! Our passed experience is clear study case. The presidency can even put aside the constitution of our nation in order to push his agenda unchecked. It has happened before our eyes (while the governing authority is protected by the same same constitution)Taarifa ya waziri is out of point, wakati Prof. anaongelea ushirikishwaji kutoka chini hadi kwa waziri wa mipango, wewe unaongelea ushirikishwaji wa mamlaka za kisekta(wizara) zinazowakilisha maeneo yote muhimu ya maisha ya watanzania kama maji,chakula, afya, mahusiano na mataifa mengine n.k.

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    7 күн бұрын

    Let's keep faith that one day we will have a new constitution which will direct our nation's path for generations to come🙏

  • @user-qc4iu6gq4r
    @user-qc4iu6gq4r4 күн бұрын

    Ni sahihi kabisa, tuwe na mpango wa taifa ambao viongozi wakija kuomba kura watueleze wata wezaje kuutekeleza sio kila mmoja kuja na ahadi zake lukuki as if kila baada ya kipindi fulani cha uchaguzi nchi ina kua kama ina anza upya.

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv16326 күн бұрын

    Gwajima ndo rais wangu

  • @thaubannaftal7265
    @thaubannaftal72652 күн бұрын

    Genius

  • @MashakaKalamba
    @MashakaKalamba11 күн бұрын

    Brilliant - absolutely 👍

  • @pascalkadege7511
    @pascalkadege751110 күн бұрын

    wachache sana watakao elewa lakini kuna kitu juu ya haya maneno

  • @AugustKisaka-qy7kl
    @AugustKisaka-qy7kl4 күн бұрын

    Undaaji wa mipango ya nchi,bado utowaji wa taarifa na upatikanaji wa maoni , bado,kwani mfumo wa upokeaji na mfumo wa ukusanyaji uko chini sana

  • @elispiuselias1339
    @elispiuselias1339Күн бұрын

    Ikiwezekana malengo yagawanywe ili yawe yenye kutekelezek kwa awamu zilizo ainishwa ili hata aliyeahidi akishindwa atupishe kabisa

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION11 күн бұрын

    Good idea

  • @Famasialacommed-vv8yb
    @Famasialacommed-vv8yb10 күн бұрын

    Vizuri sena waelimishe neno scope huenda shule zilipita kushoto japo ni educated at extra

  • @mickyjoseph5492
    @mickyjoseph549216 күн бұрын

    Hayo majizi yanayowaza matumbo yao yanamuona kama anapiga kelele tu,gwagima hapo hakuna mtu anaeifikiria tanzania ya miaka hamsini au hata miaka ishirini bali yanafikiria familia zao tu

  • @Alphonce-em2xi
    @Alphonce-em2xi16 күн бұрын

    Safi saaaaaaaaana

  • @mtumishimoviesstudio1502
    @mtumishimoviesstudio15024 күн бұрын

    Kaongea kitu kizuri sana lakini kwa serikali yetu isiyopenda maendeleo ya nchi ila inapenda maendeleo ya Mtu mmoja moja halo watasema kamtukana Rais asimamishwe vikao 20 vya bunge

  • @jodama_tv
    @jodama_tv11 күн бұрын

    Askofu tunakuhitaji sana na tunakuombea MUNGU akusimamishe zaidi katika eneo hili. Na sisi tunakuja huko sio muda mrefu Tanzania umebarikiwa

  • @kivumajunior4260
    @kivumajunior42602 күн бұрын

    Mbona Kila ukichangia hoja ni hiyohiyo

  • @GabrielSky64
    @GabrielSky6416 күн бұрын

    Point Gwajima Nchi Kama bendera Kila mtu na mipango yake miaka 10 akimaliza imeisha

  • @MAGARITanzania
    @MAGARITanzania3 сағат бұрын

    Wewe huyo pia akiwa raisi hawezi kufanya mipango ya raisi alopita, kwasababu sio kila mpango una maana na unafaa!! Ni vyema kila raisi afanye maamuzi yake ili tujue nani kafanya vizuri nani kaboronga

  • @leoncebenjamin8107
    @leoncebenjamin81074 күн бұрын

    Hizo ndizo point tunazohitaji

  • @user-jf2mt5tr4j
    @user-jf2mt5tr4j11 күн бұрын

    gwajima Yuko vizuri

  • @mariahmollel1258
    @mariahmollel125812 күн бұрын

    Smartest

  • @darasibrown6084
    @darasibrown60847 күн бұрын

    Gwajima we nikiongozi sio chawa wa viongozi

  • @leinaamos
    @leinaamos16 күн бұрын

  • @leonardkazimoto6339
    @leonardkazimoto633914 күн бұрын

    Sasa si ndio katiba

  • @CaptainJim-
    @CaptainJim-9 күн бұрын

    Fundi sana

  • @JafariKiduko-ft4wg
    @JafariKiduko-ft4wg12 күн бұрын

    Huyu Jamaa ni very talented

  • @nchembaa
    @nchembaa16 күн бұрын

    Amen amen

  • @nurdinmvellah4032
    @nurdinmvellah403210 күн бұрын

    Hiki kichwa kweli kweli, hakijawahi kuacha kutoa mchango tofauti na huo. Ni mawazo ya akili kubwa Sana, endelea kusema gwajima IPO siku yatatekelezwa na ni vision kubwa kwa Tanzania ijayo.

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    7 күн бұрын

    WANAWEKA PAMBA MASIKIONI 😮😮

  • @Expedito2512
    @Expedito251212 күн бұрын

    Sasa Gwajima ndugu yangu hiyo si ndiyo katiba mpya? Acheni unafiki wenu! Wenzenu kila siku wanaongelea hayo hayo yawekwe kwenye katiba mpya mpo kimya tu. Kama kweli mpo ok tamkeni moja kwa moja mnataka katiba mpya

  • @yassinkimolo2943
    @yassinkimolo294312 күн бұрын

    Ndio maana tunaitaka katiba mpya

  • @carlosmzena548
    @carlosmzena54810 күн бұрын

    Mwigulu mungu akulinde maana watanzania hawakukubali Mzee

  • @MauFundiElectronics

    @MauFundiElectronics

    10 күн бұрын

    Tena hatumpendiiii kabisaaaaaaa 😂😂😂😂🛜

  • @payomedia8916
    @payomedia891611 күн бұрын

    Good kabisa

  • @Shokolokobango9385
    @Shokolokobango938510 күн бұрын

    Apo wapigaji hawawez kukuelewa ata kiduchu

  • @valenakomba7686
    @valenakomba768610 күн бұрын

    SASA WIZARA XOT HIXO ZA NINI?. MIAKA HAMSINI MINGI SANAA BWANA.

  • @luciasteven3314
    @luciasteven331411 күн бұрын

    Tangu ajiunge n siasa nilimpoteza kabisa yaan😢

  • @user-wl6zs4sf5p
    @user-wl6zs4sf5p11 күн бұрын

    Hii ni sahihi kabisa yaani hatuna dira kabisa

  • @user-gv8pf6if9m
    @user-gv8pf6if9m15 күн бұрын

    Na hayo mamlaka amepewa na katiba

  • @SaddamkhamisSaddamkhamis
    @SaddamkhamisSaddamkhamis7 күн бұрын

    Hyo ndo mifumo china waliyotumia kujiinua ndo km unsvyowaona leo lkn inatakiwa sheria kali je mtaziweka au mtalindana km kawaida yenu?

  • @FatumaBenitho
    @FatumaBenitho11 күн бұрын

    Saf xan

  • @abelchacha5977
    @abelchacha59779 күн бұрын

    Inaanziaje chini wakati wananchi hawajui chochota. Kama inaanzia chini lazima ibebe vision ya hao wa chini. Vision tumazoziona hazina muunganiko ma wTu wachini. Hiyo ndo shida. Ni vitu rahisi tu ila nyie viongozi mna mambo yenu ambayo hatuwaelewi.

  • @bishweko
    @bishweko11 күн бұрын

    Hayo maono umeyapigia debe mda mlefu. Ila wamezima macho na mashikio hawakuelewi Gwajima. Maonao kama hayo ndio yanaitawala China na mataifa makubwa kama US. Ila sisi Africa tunangojea kupangiwa cha kufanya na Wamagharibi ni Aibu kubwa kwetu.

  • @adelinelyaruu3036

    @adelinelyaruu3036

    7 күн бұрын

    NI AIBU KUBWA. SIJUI AFRICA TUMELAANIWA NA NANI. AU NI VIONGOZI WAKE AMBAO HAWANA MAONO😢😢

  • @richardjafu7404
    @richardjafu740412 күн бұрын

    Haya mambo yalisemwa zamani sana tangu enzi za jakaya, na magufuli. CCM ndiyo hawataki. Simamieni Hilo Kwa nguvu zote. Haiwezekani kila awamu tunaanza upya

  • @bahatishitindi
    @bahatishitindi2 күн бұрын

    Naunga mukono hoja

  • @ShannyBrowntz
    @ShannyBrowntz12 күн бұрын

    Amna kitu hapo msaniii 2

  • @YasiniMkakile
    @YasiniMkakile12 күн бұрын

    Inatakiwa kila muhimili wa serikali uwe na mamlaka na nguvu yake kama bunge,Jeshi na mahakama,pia raisi akimaliza muda wake achunguzwe ili nchi iwe na mwenendo mzuri kama vile marekani,China, na urusi

  • @abelchacha5977
    @abelchacha59779 күн бұрын

    Chukua fom mzee.

  • @aniki7232
    @aniki723212 күн бұрын

    Huyu mzee baba namuona kama zaidi ya RAIS kwa michango yake.

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan809313 күн бұрын

    Mna maono gani wabunge wengi ni wezi lazima kizazi kijacho kije na maono mazur sio maono yenu ya sasahv ya vipofu

  • @bahatiisaimbega88-md1mw
    @bahatiisaimbega88-md1mw11 күн бұрын

    umeongea poit kwer kaka kwamba kila rais anatakiw kuingia madalakani kutekeleza

  • @user-hn7uv4yg2q
    @user-hn7uv4yg2q7 күн бұрын

    hamna kitu hapo.

  • @godlistengipson7268

    @godlistengipson7268

    6 күн бұрын

    Tupe wewe

  • @official_masud
    @official_masud12 күн бұрын

    Kipindi cha magu aliufyata😂

  • @bonsondavid5756
    @bonsondavid575612 күн бұрын

    Hakuna msukuma mshamba,wote ni perfect brain

  • @paulmathias810

    @paulmathias810

    12 күн бұрын

    Kabisa, Wasukuma wangepewa waongoze tu maana wanajielewa

  • @bonsondavid5756

    @bonsondavid5756

    12 күн бұрын

    @@paulmathias810 Magufuli,Makonda,Msukuma, Gwajima wote wasukuma alafu nchi inawaelewa sana pima upepo uone

  • @azaellivingston7415

    @azaellivingston7415

    7 күн бұрын

    Chenge amefanya nini kwenye Inchi hii?

  • @azaellivingston7415

    @azaellivingston7415

    7 күн бұрын

    Vip kuhusu kitwanga ? Kangi lugora Je?

  • @PatrickJulius-uy3yb
    @PatrickJulius-uy3yb11 күн бұрын

    Ivi gwajima ira nahic mda uja fika ira naamini wewe ni rahic ajae mimi kama kijana mtanzania natamani uongoze taifa hili

  • @user-ju4md1yq6o
    @user-ju4md1yq6o17 күн бұрын

    Najivunia kuwa na mbunge wangu kama huyu

  • @gilbertsalvatory9590

    @gilbertsalvatory9590

    16 күн бұрын

    Kabisa

  • @spendjulius-qz9mt
    @spendjulius-qz9mt12 күн бұрын

    Tupa jiwe gizani 😅

  • @sadih5333
    @sadih533311 күн бұрын

    Mawanzo mazuri lakini ulitakikana uyatoe vipindi ambacho bwana somba somba alipo kua anajenga Chatto kwa a lot of money for nothing .

  • @ramadhanrobin-st6hh

    @ramadhanrobin-st6hh

    10 күн бұрын

    Kwan chato si Tanzania ata akiijenga watakao fanikiwa n watanzania ko sioni ubaya wa ilo na kukumbuka nyumban n muhmu sana ndugu zile barak zitakutunz milele upte amani na furaha

  • @bonifaceelias9287
    @bonifaceelias928710 күн бұрын

    Kuna wabunge wapo huko ndani kwaajili kuomba taarifa 😮😮

  • @HamzaHeri
    @HamzaHeri12 күн бұрын

    GWAJIMA KATI YA BUNGE KISUKUMA WEWE UNAAKILI SANAA HAUYUMBU WEWE KWELI NI MZALENDO WA KWELI SIYO NDUMI LAKUWILI HATA WAKATI MAGUFULI ULIONGEA UKWELI HATA WAKAT LIGANGA NA MCHUCHUMA ASANTE SANA

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma32318 күн бұрын

    Jam a ni tujifunze na tuache kuwadanganya wananchi.Enough is enough 😮macho yako wazi wananchi tuko macho Misingi ya ukoloni ifutike sisi siyo wajinga tena😮

  • @festinamwakipale3919
    @festinamwakipale39194 күн бұрын

    Ee.na wananchi watanzania nao waone maono ya.familia.miaka.hamsini.ijayo.kwa ma'ana.hiyo wawekeze.uchumi wa familia.miaka hamsin.ijayo sio kuuzauza ardhi.nyumba na kuzitelekeza familia ovyoovyo.watoto wetu wanatelekezwa.sana.na maono ya miaka.michache michache tuamke.nimeipenda.sana.hii.hoja ndio.waliyoitumia.wazee.wetu.zamani walihakikisha kola mtoto mzaliwa wa familia amelisishwa mali na kufwatiliwa anaishije leo kila mtu anaishi.anavotaka.maono.ya kukiona.kizazi kijacho hayapo mheshimiwa.gwajima.na.bunge.lote Mungu awape akili nyingi na maarifa mengi mliongoze.taifa la.Tanzania

  • @GeofreyKalo-ot3we
    @GeofreyKalo-ot3we15 күн бұрын

    Ameongea Jambo kubwa

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti530312 күн бұрын

    Wewe tunakudai chuo cha uvuvi na boti kawe ...Pia safari ya kujifunza ya vijana Birmingham vipi ..Chasimba bado mafuriko tatizo na barabara hazipitiki .. Hayo maono unayojimwambafai yalete huku jimboni sasa ''!!! au tukutane kwa wajumbe

  • @DenisRukangula

    @DenisRukangula

    12 күн бұрын

    Yeye sio chanzo mwamuzi mkuu Kuna idara inayotekeleza kile unacho mdai Gwajima.. Kama hawezi kupewa sapoti Afanyeje .. au unadhani kuondoa mafuriko ni kusema tu , Kuna fumula

  • @abuuramadhan8093
    @abuuramadhan809313 күн бұрын

    Gwajima anakurupuka tu kwan c vyote hvyo vimeshajumuishwa kwenye mpango na lazima washirikishwe kutoka chini mpaka wizaran

  • @mvukiedavid4332

    @mvukiedavid4332

    13 күн бұрын

    Umemuelewa point yake lakini au umecomment TU?

  • @KokoloLambinguni

    @KokoloLambinguni

    12 күн бұрын

    Gwajima ni kichwa cha familia ilo jambo ni jepesi kwa wanaojua namanisha nini na taifa letu MUNGU ameinua watu kama awa ili kutuvusha kutoka kwenye vifungo vya umasikini

  • @YoshuaSeverino

    @YoshuaSeverino

    12 күн бұрын

    Mipango gani hiyo ya miaka 50?

Келесі