FULL INTERVIEW: Ni kweli Feza alikuwa na mahusiano na Rayvanny?..Quicky Rocka Je?
Feza Kessy amepita kwenye On Air With Millard Ayo na ameongelea historia yake yote ya maisha pia kulikuwa na taarifa kuwa amewahi kutoka kimapenzi na Rayvanny pia ameyajibu mahusiano yake na Quick Rocka
Пікірлер: 64
Tulokuja apa baada ya feza kuwa na harmo tujuane gonga like hapa
@barretobacca9754
Жыл бұрын
✔️✔️
@shamsahasan2748
Жыл бұрын
Yani me nipo hapa
@kidakanitzonline5067
Жыл бұрын
Nipo
@isackmache5795
Жыл бұрын
Tupo wengi
@nayipe-eddyirakoze2412
Жыл бұрын
Nipo
I must admit I didn't know this beautiful lady Feza Kessy. I knew the name but not the very person. And what I can say is Wow! What an amazing personality the lady is. I just like the fact that she is straight forward. You don't see lies in her face. I like that. She just asked of only one thing! Support her, support her music. I promise to just do that! Millard: that was one of those fantastic interviews from you hey. keep up a good work. well done!
If you feel Feza Kessy is cool clap your 👏👏👏👏
@bensonfrank9578
7 жыл бұрын
princess rehema 🙌
@narshalex7399
6 жыл бұрын
nice
feza kessy uko vizuri wee mdada nakukubali sana...mtu wangu Wa nguvu #MillardAyo interview nzuri sana kwakweli
Karibu umakondeni shemeji
@munezerozenath9268
Жыл бұрын
tupo hapa kwa ajili ya hamonize 🥰
I hv always loved u Feza n ur simplicity will always make u a Star
Hamonizer umenfanya nimfatilie feza maan me nakukubali bas chochote ukifanya lazma nifatilie je umetisha au umeniangusha ni unyamaaa
you're so pretty and smart.
Mr countdown #Millard bhana eti sasa, uko vizuri beautiful mumy.
feza upo sahihi kweli kabisa. mda huu nipo Zambia afu huku unafaahamika sana kuna nyimbo ulioshirikishwa na msani Mack2 .hio ngoma ilikutambulisha sana huku.
@mnzavachris5423
6 жыл бұрын
huyo Mack2 ndo superstar wao?
Umependeza sana jinsi ulivyo simple
nampendaga FEZA KESSY!! 🙌🔥
@aminaabdinur9326
7 жыл бұрын
Nice nkupnd xn
@mnzavachris5423
6 жыл бұрын
unahisi ni kitu gan ameshindwa msamehe mchizi mpaka kutomsamehe?
u r real wise madam...
she is so cute and intelligent
Baada yakumuona kwenye ngoma ya wote ya harmonize
thats a real talk feza respect in a relationship is most important
@jasminjaphet8295
7 жыл бұрын
mekupenda bure
@mnzavachris5423
6 жыл бұрын
mwenzio anakubali niwe na wa pembeni..,huhuhuhu!
Nice
imba na Star zaidi yako...e.g. kiba mondi nk
Pretty clean intelligent ❤️
i lov u feza
nakupenda sana fezza kessy
nice
Confidence 100 % absolutely made gents scared few women have to do with ...
nakukubali sana millard
one of the few cute girls in Tz.
Feza unajielewa vizuri
nice interview
It's True Feza ulijisahau sana kisa yule jamaa, wewe ndiye uliekua mshindi wa that shindano. Anyway, jambo lingine nadhani ni wakati sasa uamue kuwa na mahusiano na mtu wa kawaida kabisa coz kutafuta au kuwa na mahusiano na watu wenye majina utaishia kutumika na kutemwa na umri unaenda. So Jipange and make a concrete decision for your life right from where you are.
I lov u Feza Kessy 😚😚😚
Yo smart😘
Nakupenda feizaaa sanaaaa huna makuu
Kweli unachokisema cz nipo botiswana hku pia unakubaliwa kweli hasa ile ngoma uloxhilikishwa na yule mzambia very treding song
Dunia inavisa hii et mkaa uch ndio anaitwa mrembo anaezulumu anaitwa mjanja khaa
Nikweli kabisa umeongea neno i la maana katika maisha ya mapenzi heshima ni kitu cha maana sna
@zuhurabenson1474
7 жыл бұрын
Dah!anachosema fesa ni kweli kusalitiwa kupo lakini sio nzuri mtu akuonyeshe live so kitu kikubwa heshima
@mnzavachris5423
6 жыл бұрын
ati nini
meno meupe nice
luv u feza kessy
Feza u r cute
nakukubali xana mtu wangu
don't do drama to be heard, just do you Fezza
hahaha
Chui
Duuuh bado hamisa yeye ndio mzuri kuliko wote bongo...hv kamuona huyu..
Wewe dada unazini,halafu unahadithia?kweli kahaba Hana aibu
huyu manzi mbona kafanana na wolper kisheeenzi au kisa wote wa kasakzini
@lalamlayu9683
6 жыл бұрын
Mnzava Chris yaani wanafanana mno!!