FEZA KESSY afunguka D'BANJ alivyomdhulumu karibu MIL 625 zilizowekwa na WAWEKEZAJI kwenye MKATABA

Feza Kessy - PATAMU (Official Video)
• Feza K - Patamu (Offic...
Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Subscribe kwenye channel yetu ya WhatsApp
whatsapp.com/channel/0029Va84...
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti

Пікірлер: 112

  • @nkunzurwandakatibu9694
    @nkunzurwandakatibu96948 ай бұрын

    SHE IS SO ADORABLE, LOVELY , CHARMING, VERY INTELLIGENT AND POLITE.

  • @irenematari6218
    @irenematari62187 ай бұрын

    She's so clever and sharp, her personality is amazing I love her from Kenya

  • @rodriguezjohn7627
    @rodriguezjohn76278 ай бұрын

    NIGERIANS ARE VERY INTELLIGENT THUS WHY THEIR MUSIC IS ALWAYS GROWING

  • @mcrramon4649
    @mcrramon46498 ай бұрын

    Nimempenda sana personality ya huyu dada

  • @davidwalalason7630
    @davidwalalason76308 ай бұрын

    This gal has a heart❤

  • @chiccynaturaldamnhot877
    @chiccynaturaldamnhot8778 ай бұрын

    Wow! Wow what an interview 😅😅 may God make it easy for her 💐💐💐

  • @m___ck799
    @m___ck7998 ай бұрын

    Lets support this girl guys 😀too pretty to be stressing !!😊

  • @svt3

    @svt3

    8 ай бұрын

    @m__ck799 : sisi mashabiki tumusaidiaje na fikiri yetu ni kumupa tu support ya kusikiliza kazi zake ila usaidizi wa branding na promotion sisi mashabiki🤷‍♂️🤷‍♂️

  • @Onicavee
    @Onicavee7 ай бұрын

    Feza ❤❤❤beautful with brain

  • @nicolenabintu2509
    @nicolenabintu25098 ай бұрын

    She’s very smart and intelligent 🧠🌷

  • @geraldnjau7186
    @geraldnjau71868 ай бұрын

    Kama sio Mara yako ya Kwanza ku watch hii enterviwe gonga like

  • @maureenandrew
    @maureenandrew7 ай бұрын

    FEZA KESSY, you're such a sweet soul. I miss you my school sister. I

  • @abdulmasoud1921
    @abdulmasoud19217 ай бұрын

    Kwanza Nampa pole sana mrembo feza kessy pili askate tamaa kila siku ni mipango ya mungu one day Yes 🙏🏼🙏🏼🙏🏼 inshallah dua njema kwake.

  • @vincentmushi1247
    @vincentmushi12478 ай бұрын

    Pole sana FK...Wapopo kwa wapopo hawadhulumiani...ila mtu wa nje lazima upigwe...kwenye utapeli wako smart sana dunia nzima...wana sweet tongue mwanzoni mpaka utaingia...nadhani D banj alimtaka huyu dada kimapenzi tuuu na sio kumpush...ki ukweli she so beatiful and charm...

  • @ashurahatibu5069
    @ashurahatibu50698 ай бұрын

    I love feza❤❤❤❤❤❤ nimekuelewa sana

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani54818 ай бұрын

    Nakupenda Sana fedha,,naomba Namba yako

  • @Winstonfying
    @Winstonfying7 ай бұрын

    Smart girl from kaskazini, safi sana

  • @augustfive5279
    @augustfive52798 ай бұрын

    I really like your positivity

  • @josephinemeela9098
    @josephinemeela90988 ай бұрын

    Una akili sana and good personality dada

  • @jobuish
    @jobuish8 ай бұрын

    HIII KIKAOOO IKO POA KICHIZ DADA YUKO SMART KICHIZ😘

  • @dn.n4983
    @dn.n49838 ай бұрын

    Be bless god give more one day YES

  • @silviasaleh4667
    @silviasaleh46678 ай бұрын

    Move on sweetheart, l hope you get a sponsor coz ur such a beautiful talented and well spoken full package. Well done🎉.

  • @rashidchimwenda
    @rashidchimwenda7 ай бұрын

    Very positive girl

  • @MbwaariUlimwengu
    @MbwaariUlimwengu8 ай бұрын

    I love you faza uko poa sana napenda msimamo wako❤

  • @twalebleboss9687
    @twalebleboss96877 ай бұрын

    HER PERSONALITY....😍😍👐💪❤

  • @user-qq6mv6vh3e
    @user-qq6mv6vh3e8 ай бұрын

    Feza nampenda❤

  • @allygoodboytzsdoneintanzan3970
    @allygoodboytzsdoneintanzan39708 ай бұрын

    Nakupenda Sana feza

  • @daudhabona8897
    @daudhabona88978 ай бұрын

    Tatizo sis. Kizazi cha watoto hawa. Wana waza kiajabu sanaaaa. Keep us feza

  • @ngoyaboy1590
    @ngoyaboy15908 ай бұрын

    Ulicho semaa sawaaa na lebo za konde gange na kings music

  • @mariamhussein8536

    @mariamhussein8536

    8 ай бұрын

    Pole sana dada fedha kess sky huyu dada anafanana sana na pili kitimtim hadi sauti jamani

  • @africanasplumbing8780
    @africanasplumbing87808 ай бұрын

    Sky Mungu akubariki sana

  • @Smokeylucas
    @Smokeylucas8 ай бұрын

    Your issue is that you are still holding on to someone who is conning you. Opportunities will pass you by because of your ties with him. Divorce and move on.

  • @rukiachuma9423
    @rukiachuma94238 ай бұрын

    Hiyo festival unayoisema walitangaza na wakasema yoyote anaehitaji ajiandikishe mheshimiwa 43:39 tale aliwaomba wasanii wote mjiandikishe, mlitaka mfuatwe majumbani kwenu? Ndio maana Dai alisema habembelezwi mtu, ukileta pose anakukata tu!

  • @issazalala4907
    @issazalala49078 ай бұрын

    Naombeni Muni fikishie ujumbe na mpemda sana feza

  • @schoolboy1614
    @schoolboy16148 ай бұрын

    Duh dada very charming 😉

  • @rebbywealth9869
    @rebbywealth98698 ай бұрын

    Ngoja tusogee spotify

  • @jacqueisaac8155
    @jacqueisaac81558 ай бұрын

    Sasa si atafute mwanasheria mzuri apate haki yake? Like seriously umwachie mtu mamilion yote hayo kirahisi hivyo? Kwa utajir gan Feza ulionao? Wonders shall never end 😮

  • @rebbywealth9869

    @rebbywealth9869

    8 ай бұрын

    Umesikiliza interview yote au umejiandikisha tu kisa title.... Na kama umeandika baada ya kusikiliza itoshe kusema elimu ni tatizo kubwaaa

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda46198 ай бұрын

    Wanaijeria matapeli.Pole.

  • @user-gq8is3il1h
    @user-gq8is3il1h8 ай бұрын

    Feza❤

  • @allygoodboytzsdoneintanzan3970
    @allygoodboytzsdoneintanzan39708 ай бұрын

    good sana dada

  • @onekisstv8412
    @onekisstv84128 ай бұрын

    Shoutout to chuganian girl

  • @connectionbongo
    @connectionbongo8 ай бұрын

    Dah

  • @bainolatino3412
    @bainolatino34128 ай бұрын

    Huyo demu anaroho ya kizungu sana

  • @winfridamwigilwa2107
    @winfridamwigilwa21078 ай бұрын

    Nimependa interview

  • @dianamdaku9802
    @dianamdaku98028 ай бұрын

    Dooh!!

  • @Goodlifesoftlife
    @Goodlifesoftlife8 ай бұрын

    Very smart lady 🫡

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.658 ай бұрын

    Pambania heka yako feza kumuachia Mungu ni udhaifu,mnigeria hawezi sema namuachia Mungu, hiyo ni kauli ya unyonge nenda dai hela yako sio kauli za unyonge namuachia Mungu wakati wewe ni mdada wa Chuga🤔Komaa akupe pesa wabongo tumekua wanyonge sana

  • @hilarymark7583
    @hilarymark75838 ай бұрын

    Pole sana dada ila usikate tamaa

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma45438 ай бұрын

    Nimekupenda zaidi ya jana🎉🎉🎉🎉🎉

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma45438 ай бұрын

    Inasikitisha saaanaa 😭😭😭

  • @aaii8301
    @aaii83018 ай бұрын

    😍😍😍

  • @domicianalphonce8104
    @domicianalphonce81048 ай бұрын

    humu bongo unaweza kufikiri watu wamekaa kaa tu kumbe watu wanamichongo na vonnections kali ambazo huwezi fikiri. Na mtu anaweza akakupeleka mahali ambako ameshafika na watu ambao ameshakutana nao ukabaki mdomo wazi aseeeee.

  • @georgedaniel4962

    @georgedaniel4962

    8 ай бұрын

    Sahihi kabisa

  • @WitnessShamba-wm4tq

    @WitnessShamba-wm4tq

    7 ай бұрын

    Niulize mimi😂😂

  • @FreeGod368
    @FreeGod3688 ай бұрын

    Kwa marakwanza sky anachoka kwenye interview😂😂

  • @gracepatric4371

    @gracepatric4371

    8 ай бұрын

    Yaaan anaongea hatarii lakini hchoshii

  • @FreeGod368
    @FreeGod3688 ай бұрын

    I Liked here

  • @husseinibnuhassan1272
    @husseinibnuhassan12728 ай бұрын

    Alicho jichanganya huyu demu ni kuchanganya mapenzi na kazi

  • @mandelamwambalaswa
    @mandelamwambalaswa7 ай бұрын

    Huyo manager ni salam sk manager wa Diamond platnumz maana ofisi yake ndo ipo nyumbani kwake

  • @emmanuelmchomvu2676
    @emmanuelmchomvu26768 ай бұрын

    Hkn ajuaye hawa wanafuata music au mapenzi....

  • @Africanvillagecookingfood
    @Africanvillagecookingfood8 ай бұрын

    FEZA SHOULD STOP MUSIC!!!!!!!!! Its NOT ON HER SIDE!!!!!! SHE SEEMS TO BE MORE SOMETHING ELSE THAN MUSIC, Inspirational speaker, au kiongozi kwenye masuala ya muziki eg. basata, content creator, enterprenuer

  • @FreeGod368

    @FreeGod368

    8 ай бұрын

    Well said i see too😂😂😂😂she should even engage in youth building capacity she seems to be very inspiring, motivating and even a leader in advocacy of anything whether human rights children or whatever

  • @kibskibs

    @kibskibs

    8 ай бұрын

    Aki kweli kabisa..music umemkataa na hataki achilia

  • @aristodindesuo3002

    @aristodindesuo3002

    7 ай бұрын

    I am glad you mentioned it. Music is not for her. She has something bigger than music. It's about time, she finds a right mentor to other staff.

  • @mwaaang
    @mwaaang8 ай бұрын

    Did she actually see the money?

  • @GosheSecurity
    @GosheSecurity7 ай бұрын

    Ujumbe huu kama umfikie Gigy dada yangu mie Mnyakyusa kwani anapambana sana ila wachache wanamuangusha dada yangu. so kama vipi amsikie dada wa kichaga hapa fezakesy🤣👋🤣

  • @bertopoint
    @bertopoint8 ай бұрын

    Mwana f.a anapaswa kufikishiwa hiii ajifunze kitu kikubwa apa tena skay

  • @ngoyaboy1590
    @ngoyaboy15908 ай бұрын

    Huyuu mdada mempenda yaan muwazii Sana'a hapend fake kabsa

  • @chancekivuruge
    @chancekivuruge8 ай бұрын

    😂INTELLIGENT GIRL

  • @tanzania2559
    @tanzania25598 ай бұрын

    Je Meneja ni nani discuss ….

  • @Lucy_ikupa
    @Lucy_ikupa8 ай бұрын

    Watanzania Feza tunamalezi tumelelewa ya kunyamaza

  • @user-cj1ft4mw2l
    @user-cj1ft4mw2l8 ай бұрын

    It was all about dating with jim and not music, music was just a cover, we know what's going on,

  • @hatari9591
    @hatari95918 ай бұрын

    Wanaiga ni matepeli mno!

  • @sumayaishengoma4543
    @sumayaishengoma45438 ай бұрын

    Nimeshamjua Huyo manager 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 pole mwaya chugganian girl thamani ya mwanamke nikutofunuafunua kinasha chake kwa kila mtu..

  • @ColinMhema-ne3lz
    @ColinMhema-ne3lz7 ай бұрын

    Du ningekuwa ni mtu mwenye pesa nyingi ningewekeza kwa huyu mtu coz ni mrembo sana na siyo mrembotu ni mwanamke mwenye akili nyingi na ni mtafutaji sana

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin2758 ай бұрын

    Ndy nani huyu dada

  • @fahadfaraj6474
    @fahadfaraj64748 ай бұрын

    Hua siamini jambo lolote na winigeria wanawezana wenyewe matapeli mnoo hakuna namna tena ukiwa sio mtu wakwao lazma wakulize.

  • @betricemainoya4176

    @betricemainoya4176

    8 ай бұрын

    Sio wote

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    8 ай бұрын

    @@betricemainoya4176 wengi wao na namna anavyoact hutojua mpaka akikuumiza Nigeria uyo rais wa sasa unaambiwa kafoji vyeti ni Magumashi mwanzo mwisho na wanapenda kuwazulumu wadada kwa Kua Hua wako too slow kuwajua wanigeria kimsingi ni matapeli

  • @user-qq6mv6vh3e

    @user-qq6mv6vh3e

    8 ай бұрын

    Naskia ni matapeli kabisaa

  • @fahadfaraj6474

    @fahadfaraj6474

    8 ай бұрын

    @@user-qq6mv6vh3e matapeli wakutupwa kuna nchi hata wamezuiwa kuingia kirahisi

  • @USWAZITVONLINE

    @USWAZITVONLINE

    8 ай бұрын

    Sio wote, mimi mbona nafanyanao michongo na wananilipa fresh

  • @fredrickipembe8188
    @fredrickipembe81888 ай бұрын

    Shida hapa nyinyi dada zetu mna wa babaikia sana wanaigeria yani hamfati mziki mnafata mapenzi kazi zenu kusifia mwanaume wa nigeria ndio mana mtaumia sana hapa nigeria

  • @Goodlifesoftlife

    @Goodlifesoftlife

    8 ай бұрын

    Huelewi unachosema

  • @Niyofoste
    @Niyofoste8 ай бұрын

    Hichokitu kimenikutapia mpe pole feza kessy

  • @KassimAlly-xp4dz

    @KassimAlly-xp4dz

    8 ай бұрын

    Kimekukuta wapi acha uongo ww

  • @user-cj1ft4mw2l
    @user-cj1ft4mw2l8 ай бұрын

    Her and him its not about music, she is just trying to out smart us here

  • @geomangi6123
    @geomangi61238 ай бұрын

    Huyu keshaliwa tayari hakuna mziki nimapenzi tu😊

  • @magretangel5242

    @magretangel5242

    8 ай бұрын

    Umeonae 😆😆😆 nlitaka kuandika Bora umesema wewe

  • @cyubahiroclement191

    @cyubahiroclement191

    8 ай бұрын

    Yap !

  • @kingmoses-md5qk
    @kingmoses-md5qk8 ай бұрын

    why una sema uwongo eti wana nunu kuwepo bet wale jamaaa wana istahili kuwepo bet ata grammy kua sababu wana vipaji but it take money to make money tusi sahawu wana vipaji awa weza towa ela ambazo azitarudi na fahida

  • @fj8317

    @fj8317

    8 ай бұрын

    wanunua kuimba event kubwa na sio kosa hata baraka da prince alishawai sema alimuomba bdozen aperform fiesta bure kujitangaza ni sehemu ya kujitangaza

  • @kibskibs

    @kibskibs

    8 ай бұрын

    Mbona kama kiswahili kimekuacha mbali sana @kingmoses 😅

  • @kingmoses-md5qk

    @kingmoses-md5qk

    8 ай бұрын

    @@kibskibs ni style ya uwandishi

  • @magorymara5515
    @magorymara55158 ай бұрын

    Mbona naona kama kunapenz ndani yake

  • @williamsenkoro2210

    @williamsenkoro2210

    8 ай бұрын

    Ndio tatizo. Jamaa kamrambaaa na ndio kapita huko huko.

  • @rebbywealth9869

    @rebbywealth9869

    8 ай бұрын

    Mnakuwaga hamna akili

  • @rebbywealth9869

    @rebbywealth9869

    8 ай бұрын

    ​@@williamsenkoro2210mnakuwaga hamna akili... kwahiyo kawaramba wote watatu si ndio?

  • @thomasnachenga795
    @thomasnachenga7958 ай бұрын

    Muulize fezza kessy kadhulumu mara ngapi? Hii inaitwa KARMA.. yeye na HANSCANA waliwahi kunidhulumu pesa yangu Ushahidi ninao... alidhulumu kidogo kadhulumiwa kikubwa... GOD IS REAL GUYS

  • @wemakingdaily1462

    @wemakingdaily1462

    8 ай бұрын

    Kumbeee alafu huyu Dada anagundu mziki umemkataa usikute Dbanj aliona bibie hauziki hamuingizii pesa akaamua kumdump😂

  • @FrankMushi-cs5js
    @FrankMushi-cs5js8 ай бұрын

    Ila alikukula ndomanaaa ulichsngany mapenzi na kazii hapo ndo ulifeli sasaaa

  • @rebbywealth9869

    @rebbywealth9869

    8 ай бұрын

    Dakika ya ngapi kasema aliliwa na Dbanj?

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z8 ай бұрын

    UYO FIREBOY MLIEKUWA MNASEMA ANAIMBA NN,,NDO ANASHINDANA NA MSAANII WENU NAMBA 1 BONGO..(SIBISHANI NA MTU)

  • @fj8317

    @fj8317

    8 ай бұрын

    NANI KASEMA HIVYO WAKATI NI WAO WENYEWE WANIGERIA WENZAKE WALIPONDA SHOO YAKE BRO UNAMUWAZA SANA MSANII NAMBA MOJA

  • @user-hi8le2vb7z

    @user-hi8le2vb7z

    8 ай бұрын

    @@fj8317 HUEZ KUMPONDA FIREBOY. WE UTAKUWA CHIZI.

  • @yeunhiasrwetze8377
    @yeunhiasrwetze83778 ай бұрын

    Hapana huo n uongo watz tunajuana kwa kuchafuana tuko vzur tutajuaje kama umedhurumiwa? Na wanaodhurumiwa wanakujaga kuongea mitandaon ? Baada ya kwenda mahakaman huo n uongo

  • @Winifridainturkey
    @Winifridainturkey8 ай бұрын

    i feel you Feza mm ni kama wewe huwa wavumilivu tunaamini tu itakuwa poa soon ingawa deep down tunaaamini ishaenda hairudi tushapigwa bado tunaamini tutafikiriwa tu 🤣 ndio inakuwa ishatoka hivyo pole

Келесі