FEZA KESSY afunguka D'BANJ alivyomdhulumu karibu MIL 625 zilizowekwa na WAWEKEZAJI kwenye MKATABA
Feza Kessy - PATAMU (Official Video)
• Feza K - Patamu (Offic...
Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
Subscribe kwenye channel yetu ya WhatsApp
whatsapp.com/channel/0029Va84...
Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
/ simulizinasauti
Пікірлер: 112
SHE IS SO ADORABLE, LOVELY , CHARMING, VERY INTELLIGENT AND POLITE.
She's so clever and sharp, her personality is amazing I love her from Kenya
NIGERIANS ARE VERY INTELLIGENT THUS WHY THEIR MUSIC IS ALWAYS GROWING
Nimempenda sana personality ya huyu dada
This gal has a heart❤
Wow! Wow what an interview 😅😅 may God make it easy for her 💐💐💐
Lets support this girl guys 😀too pretty to be stressing !!😊
@svt3
8 ай бұрын
@m__ck799 : sisi mashabiki tumusaidiaje na fikiri yetu ni kumupa tu support ya kusikiliza kazi zake ila usaidizi wa branding na promotion sisi mashabiki🤷♂️🤷♂️
Feza ❤❤❤beautful with brain
She’s very smart and intelligent 🧠🌷
Kama sio Mara yako ya Kwanza ku watch hii enterviwe gonga like
FEZA KESSY, you're such a sweet soul. I miss you my school sister. I
Kwanza Nampa pole sana mrembo feza kessy pili askate tamaa kila siku ni mipango ya mungu one day Yes 🙏🏼🙏🏼🙏🏼 inshallah dua njema kwake.
Pole sana FK...Wapopo kwa wapopo hawadhulumiani...ila mtu wa nje lazima upigwe...kwenye utapeli wako smart sana dunia nzima...wana sweet tongue mwanzoni mpaka utaingia...nadhani D banj alimtaka huyu dada kimapenzi tuuu na sio kumpush...ki ukweli she so beatiful and charm...
I love feza❤❤❤❤❤❤ nimekuelewa sana
Nakupenda Sana fedha,,naomba Namba yako
Smart girl from kaskazini, safi sana
I really like your positivity
Una akili sana and good personality dada
HIII KIKAOOO IKO POA KICHIZ DADA YUKO SMART KICHIZ😘
Be bless god give more one day YES
Move on sweetheart, l hope you get a sponsor coz ur such a beautiful talented and well spoken full package. Well done🎉.
Very positive girl
I love you faza uko poa sana napenda msimamo wako❤
HER PERSONALITY....😍😍👐💪❤
Feza nampenda❤
Nakupenda Sana feza
Tatizo sis. Kizazi cha watoto hawa. Wana waza kiajabu sanaaaa. Keep us feza
Ulicho semaa sawaaa na lebo za konde gange na kings music
@mariamhussein8536
8 ай бұрын
Pole sana dada fedha kess sky huyu dada anafanana sana na pili kitimtim hadi sauti jamani
Sky Mungu akubariki sana
Your issue is that you are still holding on to someone who is conning you. Opportunities will pass you by because of your ties with him. Divorce and move on.
Hiyo festival unayoisema walitangaza na wakasema yoyote anaehitaji ajiandikishe mheshimiwa 43:39 tale aliwaomba wasanii wote mjiandikishe, mlitaka mfuatwe majumbani kwenu? Ndio maana Dai alisema habembelezwi mtu, ukileta pose anakukata tu!
Naombeni Muni fikishie ujumbe na mpemda sana feza
Duh dada very charming 😉
Ngoja tusogee spotify
Sasa si atafute mwanasheria mzuri apate haki yake? Like seriously umwachie mtu mamilion yote hayo kirahisi hivyo? Kwa utajir gan Feza ulionao? Wonders shall never end 😮
@rebbywealth9869
8 ай бұрын
Umesikiliza interview yote au umejiandikisha tu kisa title.... Na kama umeandika baada ya kusikiliza itoshe kusema elimu ni tatizo kubwaaa
Wanaijeria matapeli.Pole.
Feza❤
good sana dada
Shoutout to chuganian girl
Dah
Huyo demu anaroho ya kizungu sana
Nimependa interview
Dooh!!
Very smart lady 🫡
Pambania heka yako feza kumuachia Mungu ni udhaifu,mnigeria hawezi sema namuachia Mungu, hiyo ni kauli ya unyonge nenda dai hela yako sio kauli za unyonge namuachia Mungu wakati wewe ni mdada wa Chuga🤔Komaa akupe pesa wabongo tumekua wanyonge sana
Pole sana dada ila usikate tamaa
Nimekupenda zaidi ya jana🎉🎉🎉🎉🎉
Inasikitisha saaanaa 😭😭😭
😍😍😍
humu bongo unaweza kufikiri watu wamekaa kaa tu kumbe watu wanamichongo na vonnections kali ambazo huwezi fikiri. Na mtu anaweza akakupeleka mahali ambako ameshafika na watu ambao ameshakutana nao ukabaki mdomo wazi aseeeee.
@georgedaniel4962
8 ай бұрын
Sahihi kabisa
@WitnessShamba-wm4tq
7 ай бұрын
Niulize mimi😂😂
Kwa marakwanza sky anachoka kwenye interview😂😂
@gracepatric4371
8 ай бұрын
Yaaan anaongea hatarii lakini hchoshii
I Liked here
Alicho jichanganya huyu demu ni kuchanganya mapenzi na kazi
Huyo manager ni salam sk manager wa Diamond platnumz maana ofisi yake ndo ipo nyumbani kwake
Hkn ajuaye hawa wanafuata music au mapenzi....
FEZA SHOULD STOP MUSIC!!!!!!!!! Its NOT ON HER SIDE!!!!!! SHE SEEMS TO BE MORE SOMETHING ELSE THAN MUSIC, Inspirational speaker, au kiongozi kwenye masuala ya muziki eg. basata, content creator, enterprenuer
@FreeGod368
8 ай бұрын
Well said i see too😂😂😂😂she should even engage in youth building capacity she seems to be very inspiring, motivating and even a leader in advocacy of anything whether human rights children or whatever
@kibskibs
8 ай бұрын
Aki kweli kabisa..music umemkataa na hataki achilia
@aristodindesuo3002
7 ай бұрын
I am glad you mentioned it. Music is not for her. She has something bigger than music. It's about time, she finds a right mentor to other staff.
Did she actually see the money?
Ujumbe huu kama umfikie Gigy dada yangu mie Mnyakyusa kwani anapambana sana ila wachache wanamuangusha dada yangu. so kama vipi amsikie dada wa kichaga hapa fezakesy🤣👋🤣
Mwana f.a anapaswa kufikishiwa hiii ajifunze kitu kikubwa apa tena skay
Huyuu mdada mempenda yaan muwazii Sana'a hapend fake kabsa
😂INTELLIGENT GIRL
Je Meneja ni nani discuss ….
Watanzania Feza tunamalezi tumelelewa ya kunyamaza
It was all about dating with jim and not music, music was just a cover, we know what's going on,
Wanaiga ni matepeli mno!
Nimeshamjua Huyo manager 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 pole mwaya chugganian girl thamani ya mwanamke nikutofunuafunua kinasha chake kwa kila mtu..
Du ningekuwa ni mtu mwenye pesa nyingi ningewekeza kwa huyu mtu coz ni mrembo sana na siyo mrembotu ni mwanamke mwenye akili nyingi na ni mtafutaji sana
Ndy nani huyu dada
Hua siamini jambo lolote na winigeria wanawezana wenyewe matapeli mnoo hakuna namna tena ukiwa sio mtu wakwao lazma wakulize.
@betricemainoya4176
8 ай бұрын
Sio wote
@fahadfaraj6474
8 ай бұрын
@@betricemainoya4176 wengi wao na namna anavyoact hutojua mpaka akikuumiza Nigeria uyo rais wa sasa unaambiwa kafoji vyeti ni Magumashi mwanzo mwisho na wanapenda kuwazulumu wadada kwa Kua Hua wako too slow kuwajua wanigeria kimsingi ni matapeli
@user-qq6mv6vh3e
8 ай бұрын
Naskia ni matapeli kabisaa
@fahadfaraj6474
8 ай бұрын
@@user-qq6mv6vh3e matapeli wakutupwa kuna nchi hata wamezuiwa kuingia kirahisi
@USWAZITVONLINE
8 ай бұрын
Sio wote, mimi mbona nafanyanao michongo na wananilipa fresh
Shida hapa nyinyi dada zetu mna wa babaikia sana wanaigeria yani hamfati mziki mnafata mapenzi kazi zenu kusifia mwanaume wa nigeria ndio mana mtaumia sana hapa nigeria
@Goodlifesoftlife
8 ай бұрын
Huelewi unachosema
Hichokitu kimenikutapia mpe pole feza kessy
@KassimAlly-xp4dz
8 ай бұрын
Kimekukuta wapi acha uongo ww
Her and him its not about music, she is just trying to out smart us here
Huyu keshaliwa tayari hakuna mziki nimapenzi tu😊
@magretangel5242
8 ай бұрын
Umeonae 😆😆😆 nlitaka kuandika Bora umesema wewe
@cyubahiroclement191
8 ай бұрын
Yap !
why una sema uwongo eti wana nunu kuwepo bet wale jamaaa wana istahili kuwepo bet ata grammy kua sababu wana vipaji but it take money to make money tusi sahawu wana vipaji awa weza towa ela ambazo azitarudi na fahida
@fj8317
8 ай бұрын
wanunua kuimba event kubwa na sio kosa hata baraka da prince alishawai sema alimuomba bdozen aperform fiesta bure kujitangaza ni sehemu ya kujitangaza
@kibskibs
8 ай бұрын
Mbona kama kiswahili kimekuacha mbali sana @kingmoses 😅
@kingmoses-md5qk
8 ай бұрын
@@kibskibs ni style ya uwandishi
Mbona naona kama kunapenz ndani yake
@williamsenkoro2210
8 ай бұрын
Ndio tatizo. Jamaa kamrambaaa na ndio kapita huko huko.
@rebbywealth9869
8 ай бұрын
Mnakuwaga hamna akili
@rebbywealth9869
8 ай бұрын
@@williamsenkoro2210mnakuwaga hamna akili... kwahiyo kawaramba wote watatu si ndio?
Muulize fezza kessy kadhulumu mara ngapi? Hii inaitwa KARMA.. yeye na HANSCANA waliwahi kunidhulumu pesa yangu Ushahidi ninao... alidhulumu kidogo kadhulumiwa kikubwa... GOD IS REAL GUYS
@wemakingdaily1462
8 ай бұрын
Kumbeee alafu huyu Dada anagundu mziki umemkataa usikute Dbanj aliona bibie hauziki hamuingizii pesa akaamua kumdump😂
Ila alikukula ndomanaaa ulichsngany mapenzi na kazii hapo ndo ulifeli sasaaa
@rebbywealth9869
8 ай бұрын
Dakika ya ngapi kasema aliliwa na Dbanj?
UYO FIREBOY MLIEKUWA MNASEMA ANAIMBA NN,,NDO ANASHINDANA NA MSAANII WENU NAMBA 1 BONGO..(SIBISHANI NA MTU)
@fj8317
8 ай бұрын
NANI KASEMA HIVYO WAKATI NI WAO WENYEWE WANIGERIA WENZAKE WALIPONDA SHOO YAKE BRO UNAMUWAZA SANA MSANII NAMBA MOJA
@user-hi8le2vb7z
8 ай бұрын
@@fj8317 HUEZ KUMPONDA FIREBOY. WE UTAKUWA CHIZI.
Hapana huo n uongo watz tunajuana kwa kuchafuana tuko vzur tutajuaje kama umedhurumiwa? Na wanaodhurumiwa wanakujaga kuongea mitandaon ? Baada ya kwenda mahakaman huo n uongo
i feel you Feza mm ni kama wewe huwa wavumilivu tunaamini tu itakuwa poa soon ingawa deep down tunaaamini ishaenda hairudi tushapigwa bado tunaamini tutafikiriwa tu 🤣 ndio inakuwa ishatoka hivyo pole