Dili tano kubwa alizozipata Herieth Paul Marekani na Maisha yake kwa ujumla
Ойын-сауық
Ni Model Mtanzania ambaye aliamia nchini Marekani akiwa na miaka 10 akitokea nchini Canada pia ni Model Mtanzania aliyelipwa Bilioni 1 za kitanzania kwa kutokea kwenye onyesho la Victoria Secret nchini Ufaransa.
Пікірлер: 26
Love you Model wetu, nimekupenda unavyojieleza, mpende nchi yenu watu wa ughaibuni kama uyu Model
Leo najaribu kuongea kiswahili huyu nimchapa kazi sorry i can't talk much course my swahili is not so good but huyu nijembe la canada mimi naishi Vancouver, ila namkubali sana she is the best
Nice lady infact hajishaui, nice one💖💖
Safi sana,chagaa mpoooo! Lazima ukubali
Kazuri Sana anafanana na Olper David 🙌🔥
kwa kwel Dada nimekupenda bureee bila chenj,yaan unavokiongea kiswahili wakat kingereza kwako kama maji ya kunywa tu lakn waalaaaa mdada wa watu, daaaaa safi sana maana angekuwa MTU mwingine hapo na kaelimu kake ka Chuo tu yaan hivo anavokuhoj miradiayo kwa kiswahili bas kingereza kingekuwa kiiiiiiingi,hadi kero safi sana
@saumuhassan1365
6 жыл бұрын
Spora Seme Wallah my dear, ujakosea
wow!!!finally hii video imetoka .nimeisubiri sana
Super Natura Queen
Queen wow
Kazuriiiii, KAMA KUNA ANAYEPIGA MAHESABU YA MIAKA 16 KUMALIZA HIGH SCHOOL AGONGE LIKE APA😃
hongera sn
she is honest
Nakupnd jmni wew dada
you inspire me a lot brother Millard Ayo
@saumuhassan1365
6 жыл бұрын
Chamlile Kivuruga Kwakweli
Nakupend sna
sawa
Uko vizuri. Napenda kujuwa namba yako.
mbona kama umeludia
Ukiendelea zaidi ukishakua unamafanikio makubwa n umezeeka ndo utasikia alikua anakwepa kodi na kuanza kudaiwa na coart orders etc etc just kwa kuangalia watu maarufu walioko tuu yawezekana walianza kama wewe
Kila la kher dada
Karembo. 😊
@samwela.akelloh2148
6 жыл бұрын
Ahaha elfu 2010 alikuwa na miaka 16 then she should be 24 right now & not 20yrs.
ngumi