Alie kuja itafuta hii nyimbo 2020 tujuane ....I real love Beatrice Mhone pia
@kelvinmatita1516
4 жыл бұрын
Nipo
@luthermajoji7300
4 жыл бұрын
Tupo pamoja 2020
@danielahamed3323
2 жыл бұрын
BWANA YESU ASIFIWE
@johnthadayo954
Жыл бұрын
Hata mm Nampenda
@lululivingstone8298
Жыл бұрын
Me
@FloraErasto-ld1kd6 күн бұрын
Hizi ndo kwaya sasa, mafundisho, kuonya hapa sawa kabisa. Asante Mungu kwa ajili yao.
@neemaedward71632 жыл бұрын
Hii nyimbo naipenda mpk leo daah🙌
@IsaacJavan3 жыл бұрын
Beatrice Muhone ubarikiwe sana
@davidjulias1445 Жыл бұрын
Nakumba mwaka 1999nilikuwa darasa lanne huuu wimbo ulinifanya nimjue mungu nilikuwa kila jumapili naenda kanisan
@ChrisperMalamshacrispaseve3 жыл бұрын
Mliifanya kazi ya Mungu vyema kabisa katika kipindi kigumu lakini kazi ni nzuri sana jina la bwana libarikiwe sana nanyi pia popote mlipo mbarikiwe sana ... Namkumbuka Severine na Veronika sababu baba alinunua album hizi na mama ali play wanae tuone Mungu anavyopaswa kuabudiwa/kuimbiwa. Mungu bariki Malamsha family, Amen.
@mwitasamwel79726 жыл бұрын
Japo kwa uchache wenu lkn mlifanya kazi nzur sana jina la bwana libarikiwe sana nanyi pia popote mlipo mbarikiwe sana
@uniquestationery41443 жыл бұрын
Wako wapi hawa waimbaji ili waendelee kutuletea Injili inayogusa mioyo yetu 2020-2021
@henrychaula117410 ай бұрын
Beatrice, Mungu azidi kuinua kipawa chako, na awabariki waimbaji wote waloshiriki katika wimbo huu.
@suzannesalibaba726 Жыл бұрын
Najikuta natenga muda wakusiiliza izi nyimbo zinanikumbusha Dunia tunapita ... Mungu atusamehe
@JohnThadayo
2 ай бұрын
Kwakweli
@salomemtwale53702 ай бұрын
Jamani nimeona leo niusikize hui mwimbo nimeumiss,shangilieni is the best,nyinyi waimbaji wa shangilieni wa enzi hizo tunawahitaji tena kuwaona tena shangilieni kwaya ,bila nyinyi kwaya imepwaya,especially Beatrice Mhone
@TumainiShangilieniChoir
2 ай бұрын
Amen, Endelea Kubarikiwa
@annastaziagabriel6153 Жыл бұрын
Habari njema ya kweli, uinjilishaji uliotukuka, here listening in 2023
Ndugu tunanyenyekezwa kwa moyo wako na upendo wako, ahsante kwa maombi. Mungu akubariki sana na kukutunza wewe na uzao wako.
@lawabidingcitizen46296 жыл бұрын
Siamini ya kwamba nimeupata wimbo huu baada ya miaka 15!
@sifaelkayanda23725 жыл бұрын
Nilikuwa mdogo sana jamani ila mamangu alikuwa akisilizaga hii album jamani kiukweli na barikiwa sna
@webingogo36334 жыл бұрын
Surely the old is gold these songs made many pagans turn to Jesus Christ;
@simonhanno81933 жыл бұрын
Mungu awatie nguvu, mmetoka mbali sana na mpaka hapa mlipofika leo ni kwa neema ya Mungu, leo 2020 nafahamu kuwa kuna wengine wenzenu wametangulia mbele ya haki, Mungu awape pumziko la Amani, na mliobaki muendelee na Kazi ya Kupeleka Injili ya Kristo.
@TumainiShangilieniChoir
3 жыл бұрын
Amen Amen
@irenenicesngkwayu3919 Жыл бұрын
hazichoshi nyimbo nzur sana wabarikiwe wote tumaini choir
@marcondokeji89827 жыл бұрын
KWAYA HII NILIIPENDA HATA KABLA SIJAOKOKA, KWA SABABU ILIKUWA INANIGUSA SANA MAISHA YANGU. SASA NIMEOKOKA NAONA UMUHIMU WA KWAYA HII.
@stivinicharlesi6437
5 жыл бұрын
Naipenda sanahiikwaya inanikumbusha mbalisana
@elishamkoma4560
4 жыл бұрын
Hata mm
@annapeter6065
3 жыл бұрын
Sikiliza pia ulyankulu, nkinga Christian choir na kaminula choir utaenjoy Sana, nilikuwa mtoto mwaka 97 ila hizi sauti zimekaa moyoni Sana.
@SandrabarakaEleves-nm8qz Жыл бұрын
Mungu awajalie zaidi
@geraldsanga72617 жыл бұрын
Nyimbo zilizokuwa zikikemea dhambi kwa nguvu zote! Mungu awabariki sana ndugu wote mloimba
@welosisunyayi477
Жыл бұрын
Maneno yawimbo huu Yana maana kubwa namafundisho mazuri Mungu awabariki mnoooooo nawapenda
@annapeter60653 жыл бұрын
Jaman , ulyankulu barabara ya 22, nkinga Christian choire na kaminula choir pia walifanya mambo makubwa Sana miaka ya 90, am 28 ila nakumbuka babangu alipookoka mwaka 97 it was fire
@vestinaneema50085 жыл бұрын
Nimemkumbuka Beatrice mhone hapo anaanzisha yupo kimya sana!Nampenda na Mungu amuinue nimemis album ya Tenzi za rohoni
@DartaarifaOnlineTv2 жыл бұрын
As Team we are very blessed to hear and watch again this most lovely choir 💖
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Our beloved brethrens at @Dartaarifa Tv, we are so humbled to have your audience. We pray for your continued prosperity and Blessings.
@kennedymboma82683 жыл бұрын
Zamani kwayaziliimba hadiraha
@yourboychemo Жыл бұрын
I feel so blessed when I listen to their songs ! It brings in hope and joy ❤❤
@jacksonombacho1226 Жыл бұрын
Mungu Azibariki roho zenu wote kwa nyimbo tamu tmu
@herimkwenya6782 Жыл бұрын
Njimbo hii ni ya muda lakini Maneno yake kwa Sasa ni muafaka kabisaa 2022
@JohnThadayo2 ай бұрын
Nasikiliza tena wimbo huu 2024
@TumainiShangilieniChoir
2 ай бұрын
Amen Endelea Kubarikiwa
@doreenbochere9481 Жыл бұрын
Used to listen to this choir in my childhood I still get blessed listening to their songs,much love from Kenya
@dynessmwaipopo9654
Жыл бұрын
Penda sana huu wimbo haunichoshi unanifumdisha kilaiitwapo leo
@shilimaabdallah-mw2bj
Жыл бұрын
Nyimbo ina ujumbe mzuri sana
@jidgamadaha-dt3zd Жыл бұрын
Always old is gold
@DBrownstain4 жыл бұрын
Jamani ilikua mwaka gani iyo
@danielpyuza41277 жыл бұрын
Old is always Gold. we know the taste of such old lyrics
@alengodfrey657
6 жыл бұрын
Alafu ile nyimbo ya mwisho kabisa kwenye album siioni hapa, Enyi wanadamuu, njooni muokoleweee, yakale yamepita....
@emmanuelkyando69354 жыл бұрын
Inanikumbusha kijjn Kitula-Bulongwa Makete kupitia Sauti ya Injili na RHM
@eustadiuskalokola73633 жыл бұрын
Nilikuwa kijana mdogo, nikiwa naishi na wazazi wangu Mkoani Arusha. St. James Choir waliimba nyimbo zinaishi na kupendwa hadi leo.
@webstersinje77123 жыл бұрын
Watunzi na waimbaji walikuwa na vipawa vikubwa na walivitumia vizuri mno ndio maana nyimbo zetu vimedumu sababu zilikuwa na ujumbe sahihi....Kunta...Kinte.
@erickkibuta51126 жыл бұрын
Mlifanya kazi nzuri, MUNGU azidi kuwabariki.
@sophiamwaipopo3072 Жыл бұрын
Mungu nakuomba irehemu dunia ya leo inatisha😭😭😭😭
@JohnThadayo
2 ай бұрын
🙏🙏🙏
@agnesmalanga1765 Жыл бұрын
Nawakumbuka makonda wa manundu waliacha stend kuja kusikilizwa hii kwaya na kucheza uwanja wa Mazoezi korogwe 1999
@hurumaevarest25496 жыл бұрын
mubarikiwe katika ubora wenu Mungu awe nanyi daima hakika hamchuji sijui mpo hadi leo Hili kundi kweli hakika mlitenda kazi ya Mungu ipasavo
@meremetasanga19926 жыл бұрын
Nakumbuka enzi hizo hatuna video home, tunaenda kuangalia kwa baba Costa wa Mlowo-Mbozi. Mungu awabariki waimbaji.
@MignoneKizere
Жыл бұрын
Ohhh ..beautiful memories ❤❤
@goodluckmrema88572 жыл бұрын
nyimbo nzuri sana, utukufu ni kwa bwana yesu
@bojobojoni62474 жыл бұрын
2020..bado nabarikiwa na huduma ya kwaya hii.God bless you all!!!
@detectivejeffrey64014 жыл бұрын
Hii kwaya ilikuwa moto. Natamani sana wale wote walioimba nyimbo hizi wawepo. Waliimba ujumbe wa Biblia sio kama waimbaji wa sasa hivi
@jovithaalphonce1702 Жыл бұрын
2023 and still a blessing
@gideonmkisi18174 жыл бұрын
Wako wapi hawa waimbaji ili waendelee kutuletea Injili inayogusa
@dennismbole79273 жыл бұрын
2021 anyone??
@SmilingBlockGame-hf4hx5 ай бұрын
Malunga Jòel from Capri point MWANZA,from chilhood nasikiliza na kutazama sungura mjanja
@henrychaula11749 ай бұрын
Naipenda zaidi hii video ya zamani
@doreenshemtoi21996 жыл бұрын
nlikuwa sikosi church sababu ya Tumaini choir.,.. I miss st. James sn
@meremetasanga1992
6 жыл бұрын
Doreen Shemtoi nimefurahi sana kuona comment yako mdada. Mi wamenikumbusha mbali sana enzi za utoto video kwa jirani
@luthermajoji7300
4 жыл бұрын
Tupo pamoja
@user-ic9un3nw4i8 ай бұрын
2023. KKKT. Yupo hapa
@francischiduo77817 жыл бұрын
The guitar guys were the best.
@christinafrancis8895
6 жыл бұрын
.
@nkhun8360
6 жыл бұрын
Francis Chiduo Ever
@geraldsanga4879
5 жыл бұрын
Francis Chiduo Vp na huyo wa kinanda mwanzon mwa wimbo. Mung awabariki
@samuelmwaipopo1302
5 ай бұрын
Instruments players are always overlooked. Hawa jamaa walikuwa watulivu wanapiga vizuri sana. Kwaya za zamani zilikuwa zinawapiga vyombo wazuri
@huldakahindo73732 жыл бұрын
Barikiweni sana wapendwa Nyimbo zina ni bariki
@BarakaWaya3 жыл бұрын
Mpiga Solo wangu Bora wa mda wote huyo mkuu hapo
@gthirty2 жыл бұрын
Wanakwaya na wote mliofanikisha hii album kukamilika, Mungu awabariki sana.. Mlifanya kazi kubwa sana.!
@hilgathjoshua88043 жыл бұрын
Hii bado wanaimba maana injiri wameihubiri vilivyo kwa uimbaji waoo💞💞💞💞
@sandry254thevoicevoiceofaf84 жыл бұрын
great musik from a great choir..God bless Tanzania God bless great choir....
@lulanjamd3886
4 жыл бұрын
sandry. peter Amen
@atuganilekalinjila83852 жыл бұрын
2021 and still a blessing
@johariramadhani8385 Жыл бұрын
😭😭😭😭😭ndiyo naamka hapa kitafuta hii wimbo asubuh saa 8:28 sasaivi
@clementgerald29884 жыл бұрын
Mbalikiwe Sana Wimbo Mzuri Sana, Ndan ya 2020 naskiliza
@allykazoa70656 жыл бұрын
uwa nikisikiliza nyimbo za shangilieni uwa ninajisikia faraja sana
@fugakwafaida43069 ай бұрын
Hii sawa maana inanikubusha mbali sana jamani
@estertujji66575 жыл бұрын
Nyimbo zenye mafundisho jamani tuzienzi mungu awabariki kwaya tumaini
@happyurio56582 жыл бұрын
2022 bado nabarikiwa na hizi nyimbo
@almonmsigwa7277 Жыл бұрын
I'm here April 2023
@rodriguendoole96758 ай бұрын
Those were the days when people used to let the spirit of lord guide them while singing today it is almost impossible to have these kind of songs.
@philipomponeja24575 күн бұрын
Nimekumbuka mbali
@lizyliz53575 ай бұрын
2024 still nzuri jamani
@salagandashija22904 жыл бұрын
Safi sana
@doctorzero-dj5xg4 жыл бұрын
Nyimbo hii imenikumbusha mbali sana mbarikiwe sana
@jimmymassam86575 жыл бұрын
Hii Kwaya kwa kweli huwa inanibariki sana Mungu awatunze sana Mr.mtangoo
@bizamanamvukira7833
4 жыл бұрын
Nafurahiya choir hii waimbaji wengi wa nyimbo za injili wasasa wana lenga pesa pahali yaku tunga nyimbo zakutafuta kondoo wa guitaristes wote wangali kijana huwo mudogo njoo sione tena mubarikiwe sana pasty from Rwanda
@jovinmutakumwa96113 жыл бұрын
Mungu Akika Azidi kuwapa Nguvu
@allenmhando84432 жыл бұрын
Hii kwaya ilikuwa na uimbaji mzuri sana. Sijui hawa wanakwaya wapo wapi?
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Ndugu Allen Mhando, tupo; Kwaya ipo Arusha; Karibu ututembelee, tuwasiliane kwa 0765637590
@allenmhando8443
2 жыл бұрын
@@TumainiShangilieniChoir wale waimbaji hasa yule dada nkone yupo.
@jaredwangwe29243 жыл бұрын
Mungu awabariki kwa ujumbe huu
@nikugeofrey53257 жыл бұрын
nyimbo nzuri sana
@kristinekateassy71353 жыл бұрын
Old is sweet I just remember my childhood whenever I listen to this song
@ruthmary5450
2 жыл бұрын
This were the songs makes you see God 🙏
@mosesjnr84366 жыл бұрын
I love this song
@marygodda67702 жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@billyrique6 жыл бұрын
Ni nyimbo zinazofunza na kuwakumbusha watu kuachana na ya Dunia. Nimekuwa mpenzi wa kwaya hii tokea miaka ta 1990!! Mbarikiwe sana
@ltlmedia8480 Жыл бұрын
Tangu nikiwa mdog nilikuwa nikimsikia mama akisikiliza hizi nyimbo, till today Bado zinaishi moyoni
@nmbatsi4 жыл бұрын
Good old memories. R. I. P My lovely Aunt 🙏🙏😭
@user-nn3lo6sf8w
9 ай бұрын
kwenye hii albam ninani alie faliki
@estarjunior99913 жыл бұрын
Nawapenda sana Mungu Awabariki
@noughtyxavimeekguymeekguy95316 жыл бұрын
Nafarijika sana nikisikiliza hizi nyimbo
@sweetnessmtui70523 жыл бұрын
Aisee old is gold
@drelpmacsinc7786
3 жыл бұрын
yes
@cyprianjoseph12864 жыл бұрын
Hizi nyimbo zinanibariki sana nawapenda sana
@benedictlukas53872 жыл бұрын
Naipenda xsn
@jacksonshiling46923 жыл бұрын
Mungu awabariki
@ramuboy9005 Жыл бұрын
Old is the best ndugu mbarikiwe sana wanakwaya🙏
@abimaelkilasi29463 жыл бұрын
Great
@hildapeter53853 жыл бұрын
Rip my brother juvenary makwinya nilikua naskiliza hizi nyimbo bila kuchoka Kaka akaamua kuificha Kanda kabisa mwaka 1999 mtwara hyo
@TumainiShangilieniChoir
3 жыл бұрын
Pole sana kwa mambo yote 1. Kufichiwa Kanda na 2. Kwa kumpoteza kaka yako.
@adonijaotieno9533 Жыл бұрын
AMINA
@lululivingstone8298 Жыл бұрын
2023
@ramadhanjob83286 жыл бұрын
Bandugu hii kwaya bado inaendelea
@brigithalevi5017 жыл бұрын
wimbo mzuri hongereni sana kwa uimbaji
@thobiasmwasenga9091
7 жыл бұрын
Brigitha Levi mbalikiwe san
@brigithalevi501
7 жыл бұрын
+Thobias Mwasenga Amen tubarikiwe sote
@bettykarume56192 жыл бұрын
Noti ya sh 50 enzi zile duuh,nakumbuka primary school
@nicholauscharles66742 жыл бұрын
2021 September
@frederickolandoolandomugen39373 жыл бұрын
A great blessing to us.God bless Tumaini Choir.
@eunicemusyoka25402 жыл бұрын
God bless these work more as they minister to your people
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Amen Amen; Thanks for the prayers, they mean a lot to us and our Ministry
Пікірлер: 179
2024 tupo tunaosikiliza hii nyimbo ❤
Nimerud 2024 kuusikiliza tena wimbo huu mzuri
Alie kuja itafuta hii nyimbo 2020 tujuane ....I real love Beatrice Mhone pia
@kelvinmatita1516
4 жыл бұрын
Nipo
@luthermajoji7300
4 жыл бұрын
Tupo pamoja 2020
@danielahamed3323
2 жыл бұрын
BWANA YESU ASIFIWE
@johnthadayo954
Жыл бұрын
Hata mm Nampenda
@lululivingstone8298
Жыл бұрын
Me
Hizi ndo kwaya sasa, mafundisho, kuonya hapa sawa kabisa. Asante Mungu kwa ajili yao.
Hii nyimbo naipenda mpk leo daah🙌
Beatrice Muhone ubarikiwe sana
Nakumba mwaka 1999nilikuwa darasa lanne huuu wimbo ulinifanya nimjue mungu nilikuwa kila jumapili naenda kanisan
Mliifanya kazi ya Mungu vyema kabisa katika kipindi kigumu lakini kazi ni nzuri sana jina la bwana libarikiwe sana nanyi pia popote mlipo mbarikiwe sana ... Namkumbuka Severine na Veronika sababu baba alinunua album hizi na mama ali play wanae tuone Mungu anavyopaswa kuabudiwa/kuimbiwa. Mungu bariki Malamsha family, Amen.
Japo kwa uchache wenu lkn mlifanya kazi nzur sana jina la bwana libarikiwe sana nanyi pia popote mlipo mbarikiwe sana
Wako wapi hawa waimbaji ili waendelee kutuletea Injili inayogusa mioyo yetu 2020-2021
Beatrice, Mungu azidi kuinua kipawa chako, na awabariki waimbaji wote waloshiriki katika wimbo huu.
Najikuta natenga muda wakusiiliza izi nyimbo zinanikumbusha Dunia tunapita ... Mungu atusamehe
@JohnThadayo
2 ай бұрын
Kwakweli
Jamani nimeona leo niusikize hui mwimbo nimeumiss,shangilieni is the best,nyinyi waimbaji wa shangilieni wa enzi hizo tunawahitaji tena kuwaona tena shangilieni kwaya ,bila nyinyi kwaya imepwaya,especially Beatrice Mhone
@TumainiShangilieniChoir
2 ай бұрын
Amen, Endelea Kubarikiwa
Habari njema ya kweli, uinjilishaji uliotukuka, here listening in 2023
Waimbaji mbarikiwe uzao wenu injili imfikie kila kiumbe popote aliko,mbarikiwe wababa,wamama,kaka zetu akina dada,mungu awe nanyi daima,nimeusikia 1995/6/16
@TumainiShangilieniChoir
3 жыл бұрын
Ndugu tunanyenyekezwa kwa moyo wako na upendo wako, ahsante kwa maombi. Mungu akubariki sana na kukutunza wewe na uzao wako.
Siamini ya kwamba nimeupata wimbo huu baada ya miaka 15!
Nilikuwa mdogo sana jamani ila mamangu alikuwa akisilizaga hii album jamani kiukweli na barikiwa sna
Surely the old is gold these songs made many pagans turn to Jesus Christ;
Mungu awatie nguvu, mmetoka mbali sana na mpaka hapa mlipofika leo ni kwa neema ya Mungu, leo 2020 nafahamu kuwa kuna wengine wenzenu wametangulia mbele ya haki, Mungu awape pumziko la Amani, na mliobaki muendelee na Kazi ya Kupeleka Injili ya Kristo.
@TumainiShangilieniChoir
3 жыл бұрын
Amen Amen
hazichoshi nyimbo nzur sana wabarikiwe wote tumaini choir
KWAYA HII NILIIPENDA HATA KABLA SIJAOKOKA, KWA SABABU ILIKUWA INANIGUSA SANA MAISHA YANGU. SASA NIMEOKOKA NAONA UMUHIMU WA KWAYA HII.
@stivinicharlesi6437
5 жыл бұрын
Naipenda sanahiikwaya inanikumbusha mbalisana
@elishamkoma4560
4 жыл бұрын
Hata mm
@annapeter6065
3 жыл бұрын
Sikiliza pia ulyankulu, nkinga Christian choir na kaminula choir utaenjoy Sana, nilikuwa mtoto mwaka 97 ila hizi sauti zimekaa moyoni Sana.
Mungu awajalie zaidi
Nyimbo zilizokuwa zikikemea dhambi kwa nguvu zote! Mungu awabariki sana ndugu wote mloimba
@welosisunyayi477
Жыл бұрын
Maneno yawimbo huu Yana maana kubwa namafundisho mazuri Mungu awabariki mnoooooo nawapenda
Jaman , ulyankulu barabara ya 22, nkinga Christian choire na kaminula choir pia walifanya mambo makubwa Sana miaka ya 90, am 28 ila nakumbuka babangu alipookoka mwaka 97 it was fire
Nimemkumbuka Beatrice mhone hapo anaanzisha yupo kimya sana!Nampenda na Mungu amuinue nimemis album ya Tenzi za rohoni
As Team we are very blessed to hear and watch again this most lovely choir 💖
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Our beloved brethrens at @Dartaarifa Tv, we are so humbled to have your audience. We pray for your continued prosperity and Blessings.
Zamani kwayaziliimba hadiraha
I feel so blessed when I listen to their songs ! It brings in hope and joy ❤❤
Mungu Azibariki roho zenu wote kwa nyimbo tamu tmu
Njimbo hii ni ya muda lakini Maneno yake kwa Sasa ni muafaka kabisaa 2022
Nasikiliza tena wimbo huu 2024
@TumainiShangilieniChoir
2 ай бұрын
Amen Endelea Kubarikiwa
Used to listen to this choir in my childhood I still get blessed listening to their songs,much love from Kenya
@dynessmwaipopo9654
Жыл бұрын
Penda sana huu wimbo haunichoshi unanifumdisha kilaiitwapo leo
@shilimaabdallah-mw2bj
Жыл бұрын
Nyimbo ina ujumbe mzuri sana
Always old is gold
Jamani ilikua mwaka gani iyo
Old is always Gold. we know the taste of such old lyrics
@alengodfrey657
6 жыл бұрын
Alafu ile nyimbo ya mwisho kabisa kwenye album siioni hapa, Enyi wanadamuu, njooni muokoleweee, yakale yamepita....
Inanikumbusha kijjn Kitula-Bulongwa Makete kupitia Sauti ya Injili na RHM
Nilikuwa kijana mdogo, nikiwa naishi na wazazi wangu Mkoani Arusha. St. James Choir waliimba nyimbo zinaishi na kupendwa hadi leo.
Watunzi na waimbaji walikuwa na vipawa vikubwa na walivitumia vizuri mno ndio maana nyimbo zetu vimedumu sababu zilikuwa na ujumbe sahihi....Kunta...Kinte.
Mlifanya kazi nzuri, MUNGU azidi kuwabariki.
Mungu nakuomba irehemu dunia ya leo inatisha😭😭😭😭
@JohnThadayo
2 ай бұрын
🙏🙏🙏
Nawakumbuka makonda wa manundu waliacha stend kuja kusikilizwa hii kwaya na kucheza uwanja wa Mazoezi korogwe 1999
mubarikiwe katika ubora wenu Mungu awe nanyi daima hakika hamchuji sijui mpo hadi leo Hili kundi kweli hakika mlitenda kazi ya Mungu ipasavo
Nakumbuka enzi hizo hatuna video home, tunaenda kuangalia kwa baba Costa wa Mlowo-Mbozi. Mungu awabariki waimbaji.
@MignoneKizere
Жыл бұрын
Ohhh ..beautiful memories ❤❤
nyimbo nzuri sana, utukufu ni kwa bwana yesu
2020..bado nabarikiwa na huduma ya kwaya hii.God bless you all!!!
Hii kwaya ilikuwa moto. Natamani sana wale wote walioimba nyimbo hizi wawepo. Waliimba ujumbe wa Biblia sio kama waimbaji wa sasa hivi
2023 and still a blessing
Wako wapi hawa waimbaji ili waendelee kutuletea Injili inayogusa
2021 anyone??
Malunga Jòel from Capri point MWANZA,from chilhood nasikiliza na kutazama sungura mjanja
Naipenda zaidi hii video ya zamani
nlikuwa sikosi church sababu ya Tumaini choir.,.. I miss st. James sn
@meremetasanga1992
6 жыл бұрын
Doreen Shemtoi nimefurahi sana kuona comment yako mdada. Mi wamenikumbusha mbali sana enzi za utoto video kwa jirani
@luthermajoji7300
4 жыл бұрын
Tupo pamoja
2023. KKKT. Yupo hapa
The guitar guys were the best.
@christinafrancis8895
6 жыл бұрын
.
@nkhun8360
6 жыл бұрын
Francis Chiduo Ever
@geraldsanga4879
5 жыл бұрын
Francis Chiduo Vp na huyo wa kinanda mwanzon mwa wimbo. Mung awabariki
@samuelmwaipopo1302
5 ай бұрын
Instruments players are always overlooked. Hawa jamaa walikuwa watulivu wanapiga vizuri sana. Kwaya za zamani zilikuwa zinawapiga vyombo wazuri
Barikiweni sana wapendwa Nyimbo zina ni bariki
Mpiga Solo wangu Bora wa mda wote huyo mkuu hapo
Wanakwaya na wote mliofanikisha hii album kukamilika, Mungu awabariki sana.. Mlifanya kazi kubwa sana.!
Hii bado wanaimba maana injiri wameihubiri vilivyo kwa uimbaji waoo💞💞💞💞
great musik from a great choir..God bless Tanzania God bless great choir....
@lulanjamd3886
4 жыл бұрын
sandry. peter Amen
2021 and still a blessing
😭😭😭😭😭ndiyo naamka hapa kitafuta hii wimbo asubuh saa 8:28 sasaivi
Mbalikiwe Sana Wimbo Mzuri Sana, Ndan ya 2020 naskiliza
uwa nikisikiliza nyimbo za shangilieni uwa ninajisikia faraja sana
Hii sawa maana inanikubusha mbali sana jamani
Nyimbo zenye mafundisho jamani tuzienzi mungu awabariki kwaya tumaini
2022 bado nabarikiwa na hizi nyimbo
I'm here April 2023
Those were the days when people used to let the spirit of lord guide them while singing today it is almost impossible to have these kind of songs.
Nimekumbuka mbali
2024 still nzuri jamani
Safi sana
Nyimbo hii imenikumbusha mbali sana mbarikiwe sana
Hii Kwaya kwa kweli huwa inanibariki sana Mungu awatunze sana Mr.mtangoo
@bizamanamvukira7833
4 жыл бұрын
Nafurahiya choir hii waimbaji wengi wa nyimbo za injili wasasa wana lenga pesa pahali yaku tunga nyimbo zakutafuta kondoo wa guitaristes wote wangali kijana huwo mudogo njoo sione tena mubarikiwe sana pasty from Rwanda
Mungu Akika Azidi kuwapa Nguvu
Hii kwaya ilikuwa na uimbaji mzuri sana. Sijui hawa wanakwaya wapo wapi?
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Ndugu Allen Mhando, tupo; Kwaya ipo Arusha; Karibu ututembelee, tuwasiliane kwa 0765637590
@allenmhando8443
2 жыл бұрын
@@TumainiShangilieniChoir wale waimbaji hasa yule dada nkone yupo.
Mungu awabariki kwa ujumbe huu
nyimbo nzuri sana
Old is sweet I just remember my childhood whenever I listen to this song
@ruthmary5450
2 жыл бұрын
This were the songs makes you see God 🙏
I love this song
🙏🙏🙏🙏
Ni nyimbo zinazofunza na kuwakumbusha watu kuachana na ya Dunia. Nimekuwa mpenzi wa kwaya hii tokea miaka ta 1990!! Mbarikiwe sana
Tangu nikiwa mdog nilikuwa nikimsikia mama akisikiliza hizi nyimbo, till today Bado zinaishi moyoni
Good old memories. R. I. P My lovely Aunt 🙏🙏😭
@user-nn3lo6sf8w
9 ай бұрын
kwenye hii albam ninani alie faliki
Nawapenda sana Mungu Awabariki
Nafarijika sana nikisikiliza hizi nyimbo
Aisee old is gold
@drelpmacsinc7786
3 жыл бұрын
yes
Hizi nyimbo zinanibariki sana nawapenda sana
Naipenda xsn
Mungu awabariki
Old is the best ndugu mbarikiwe sana wanakwaya🙏
Great
Rip my brother juvenary makwinya nilikua naskiliza hizi nyimbo bila kuchoka Kaka akaamua kuificha Kanda kabisa mwaka 1999 mtwara hyo
@TumainiShangilieniChoir
3 жыл бұрын
Pole sana kwa mambo yote 1. Kufichiwa Kanda na 2. Kwa kumpoteza kaka yako.
AMINA
2023
Bandugu hii kwaya bado inaendelea
wimbo mzuri hongereni sana kwa uimbaji
@thobiasmwasenga9091
7 жыл бұрын
Brigitha Levi mbalikiwe san
@brigithalevi501
7 жыл бұрын
+Thobias Mwasenga Amen tubarikiwe sote
Noti ya sh 50 enzi zile duuh,nakumbuka primary school
2021 September
A great blessing to us.God bless Tumaini Choir.
God bless these work more as they minister to your people
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Amen Amen; Thanks for the prayers, they mean a lot to us and our Ministry