Wale bado tunausikiliza huu wimbo mpaka sasa tu like 2024
@MereruLoonkushuАй бұрын
Nyimbo zenu zinabariki sana, kila wakati asanteni sana Tumaini choir 🙏. This is my favourite song 🎵. Big love from kenya
@mamyqt7056 Жыл бұрын
Namwaga machozi Kila nikisikiliza huu wimbo toka 98 mpaka Leo 22 Mungu awabariki mnoo
@sabinatsaxara55292 ай бұрын
Yaani nikiangaliaga huu wimbo napata amani moyo
@tumainijoshua509015 күн бұрын
Hivi kwanini lakini Bwana Yesu wewe upo hivi!
@HezroniMwasonya-j8y3 күн бұрын
Nawakubali sana awa jamaa ujumbe wao unaendelea kuishi vizazi vyote
@richardmlingi27463 жыл бұрын
Hakika hzinyimbo hakika niinjili tosha mubarikwe waimbaji popote pale mlipo
@commercialsandadverts60983 жыл бұрын
Swahili is beautiful! Who is listening in 2021? Wow from 00:00 to 00:20 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Sending love from South Africa ❤🧡💛💚💙💜
@TumainiShangilieniChoir
3 жыл бұрын
Love received. We send much love to you and your beloved ones. Do come and visit us. Blessings
@erickfredy45664 жыл бұрын
Ni BABA mapenzi yake ni makubwa hakika hatuwezi kuyajua na hayana mpaka 🙇🙇🙇🙇🙏
@paulmhando73023 жыл бұрын
St James Tumaini choir kaloleni ili kubwa bambam sana Ninakumbuka sana nyimbo hizi sio Uimbaji Wa leo hauna hata upako Mr Paul Mhando ni Mwanza
@danielorango58756 жыл бұрын
Mchungaji mwema ni Bwana YESU KRISTO. Upendo wake hauna kifani milele.
@lusajo Жыл бұрын
Huu wimbo ni mzuri sana aisee, nakumbuka tulipenda kuusikiliza na mpaka tukawa tunauimba kwa lugha ya kinyume Enyi wanamuda nambo mwangatangata Maka levi hamuiju poyu mchujinga mjamo Nyemwe manzipe mema... Dah.. huyu baba aliyechomekea tai kwenye mkanda jina lake nani? Jamaa mcheshi sana
@maundaraphael89944 жыл бұрын
Hizi nyimbo zina ukumbusho mwingi saana katika maisha yangu.
@hellendaniel38092 жыл бұрын
My childhood favourite choir.😘😘😘😘😘😘😘😘😘
@abrahammolla81884 жыл бұрын
Waoooo nawapenda sana wote mlioshiriki katikakuijenga kwayahii waimbaji na viongozi mungu awabariki kwakiwango cha kujaa hata kumwagika Love u all
@kennethwafula10602 жыл бұрын
These are the kind of songs that contributed alot to the passion I have for guitars...we'll played and a stand out musicianship
@lulanjamd3886Ай бұрын
Mungu awabariki hakika mlitumika vizuri sana ❤❤
@johnchihimba42104 жыл бұрын
Mapenzi ya Mungu ni makubwa hakika na wala hayana mipaka
@fugakwafaida43069 ай бұрын
Jamani mnanibariki ninyi watu hamjui tu
@JanethJohari
2 ай бұрын
Hakika namini
@christiankangano29482 жыл бұрын
this album blesses me every day and reminds me of the good times of my childhood. I am in Kinshasa in the DRC God bless you
@emmanuelokivuyo5976 Жыл бұрын
Waliimba vzr mnoo...mikong'osio mizuri na ya kitaalam mnoo..mbarikiwe sanaaa
@ramuboy90053 ай бұрын
Dah kitambo sana muliimba🙏
@edinamkubwa26297 ай бұрын
Yaani napenda hivi nyimbo hatarii..... Alafu hata mlivyo kuwa mna shoot sura zenu zinaonyesha upendo wa Kristo umetawala kwenu sidhan kama kulikuwa na magomvi Kati yenu ndio maana nyimbo zinautukufu mkubwa.... Hii album imetoka nikiwa na umri wa mwaka mmoja nanusu Ila leo namshukuru MUNGU bado inanilea mbarikiwe Sana....
@efronaaron67724 жыл бұрын
When gospel meant to be gospel....
@user-qc4bt2nn2m9 ай бұрын
Ahsante mungu kwa kwaya hii zuri inanifariji sana
@ruthlaizer92984 жыл бұрын
Ooohhhh my favourites songs and choir of all time..thank you so much for uploading these old gold songs...I left Arusha but my heart is still with uimbaji huu uliotukuka....Barikiweni sana ...
@danielpyuza41277 жыл бұрын
my all time choir,, ur songs will remain in my tongue even when I'm dreaming at night....."Ni baba Mapenzi yake ni makubwa hakikaaa,, hatuwezi kuyajua na hayana Mpaka....." what a nice song.
@captaincloud7youngpol692
4 жыл бұрын
@@TumainiShangilieniChoir natafuta wimbo unasema vijana eee acheni ya dunia
@nyaleimara2379
Жыл бұрын
💯💯💯
@stanleymhozi75902 жыл бұрын
Amina
@mankayj5 жыл бұрын
Listening all the way from Nairobi. Great st James tumaini church
@dbarrik41085 жыл бұрын
graceful and humble dress code. Jesus is Lord! Listening from UAE.
@kiplangatkorir1388
5 жыл бұрын
The lack of content in today's music is concealed in fancy wardrobe. But the content in this music and style of presentation is timeless and beyond talent.
@esperuku9627Ай бұрын
Very very nice ❤❤love ❤❤
@charlesmwamlima3923 Жыл бұрын
My parents used to love the album R.I.P
@ntfrancis94037 жыл бұрын
thank you so much, i have been searching for these song a longtime so GOD BLESS YOU!!
@user-lx2er5xt3i4 ай бұрын
My favorite songs ❤
@mwaisungajr7 жыл бұрын
Hongera zenu kuweza kuwa na uimbaji wenu mzuri usiobadilika-badilika ,in english u maintained ur key. God bless u
@tonyrighton74024 жыл бұрын
nyimbo nzuri sana binadamu tuache kutangatanga yupo mchungaji mmoja mwenye mapenzi mema
@georgeurassa307010 ай бұрын
Wamefanya vizuri sana
@user-jw5bj9gj6y10 ай бұрын
Hakika zinankumbusha mbali
@DurckPacificMweruma11 ай бұрын
My generation ❤❤❤
@jephtaenock16563 жыл бұрын
Hizi nyimbo zinanibariki sana
@stanleymhozi75902 жыл бұрын
Mungu awabariki nawapenda
@mariamujum7 ай бұрын
nakumbuka mbalii sana
@dukeobara78904 жыл бұрын
First listened this song the year 2000...I really love this piece of gospel music
@erickfredy45664 жыл бұрын
Ni BABA mapenzi yake ni makubwa hakika hatuwez kuyajua na hayana mpakaa 🙇🙇🙇🙏
@bernardmsanga27353 жыл бұрын
Nimebarikiwa sana
@jenysullesulle7678 Жыл бұрын
Hiyo kitaa inanibembeleza sambamba na ujumbe mzuri mbarikiwe watu wa Mungu
@captaincloud7youngpol6924 жыл бұрын
Natafuta wimbo unasema vijana eee acheni ya dunia.
@gracendaki45153 жыл бұрын
Jamani nabarikiwa sana🙏🙏🙏
@juliusmusembi57787 жыл бұрын
live long men of the most high. You really bless me. Glory to God.
@samwelfakii12884 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana hivi hii albamu imetoka mwaka gani jamani
@hurumamushi10594 жыл бұрын
Yaaani huwa na barikiwa saana hiii kwaya
@racheliimo-hc4st11 ай бұрын
Jamn nyimbo zinabarik Sana halafu zinanikumbusha mbali sana
@roymosirigwa45143 жыл бұрын
My best spiritual gospel songs
@jean-claudebyakagabadhegbo19223 жыл бұрын
I remember my childhood in 2020 yr
@vedastondamutahi9613 Жыл бұрын
So powefull
@mwajumakilosa45173 жыл бұрын
Mko vizuri sauti imetulia sana
@webingogo36334 жыл бұрын
Jamani,jamani wimbo mtamu huo!!!
@willigathakomba22633 жыл бұрын
Sema nani
@gideons52657 жыл бұрын
Mr Nkone kachomeka tai kwenye mkanda sijui ameona kweli
@sylviakadeha3261
7 жыл бұрын
Gideon Lulabuka ilikuwa fashion enzi hizo...hajakosea ndo mtoko atiii. ...nawapenda sana Shangilieni
@remtymsangi63653 жыл бұрын
Hawa viumbe Toka Jana nawasikiliza,naambulia machozi maana nakumbuka mbali nilipotoka,mapito niliyopita,walotangulia mbele ya haki,oooh Nicki nyingi na huzuni na furaha namachozi uwiiii Tumaini nyie mnanilizaaa
@TumainiShangilieniChoir
3 жыл бұрын
Ni maombi yetu Mungu aendelee kukuvusha na kukushika
@JohnThadayo
2 ай бұрын
Pole,kwakweli waliimba nyimbo żenye itukufu wa mungu
@fredyjackobleikoyo19713 жыл бұрын
Amina Mungu azidi kuwalinda
@hurumamushi10594 жыл бұрын
Ni makubwaa hakika. Hatuwezi kuyajua maana hayana mipaka
@mfalmegideon39877 жыл бұрын
One Of My Best Song Ever
@stanleyngonde44727 жыл бұрын
enzi hizo_st James arush , bd nwakubal xn
@bonelkana24555 жыл бұрын
Nice song
@webingogo36334 жыл бұрын
Muziki umenigusa acha kabisa!!
@bazirakedaniel30455 жыл бұрын
Ebu nawapenda sana muzidi kubalikiwa naeza kuwapataje
@adamunelsonhomelly42244 жыл бұрын
Balikiwa Amen.
@zuhuraliunga96685 жыл бұрын
Zinanikumbusha mbali sana.safi sana
@daudimjema2517
4 жыл бұрын
Mubarikiwe sanaaaa
@danielmchomvu59614 жыл бұрын
Kwa kweli ninamiss sana nyimbo zenye utukufu ndani yake na ujumbe wa mkubwa sana Siku hizi zipo injili za mavazi, makeup na style za kucheza na location, ujumbe na utukufu unapotea
@danielmchomvu5961
4 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana Mungu awabariki wanakale
@magekenny31654 жыл бұрын
mungu awabarki sana
@samsontuyange7654 Жыл бұрын
Good songs with strong message
@mcmatonya50174 жыл бұрын
One of my favourite song, thank God I've found it. You guys you did amazing, mbarikiwe mnoo. Will you please find for me SIKU YA MWISHO YAJA old version.? Even audio?
@marymasijeda29066 жыл бұрын
this is among of ma song...Groly to God...mbarikiwe
@chrispainmugisho75724 жыл бұрын
Le contenu de la chanson est bien, nous sommes bénis, néanmoins il fallait améliorer la qualité du clip. Mais courage et que Dieu vous élèvent
@devotamyombe17673 жыл бұрын
I can't see a lot of people from that choir forexample the old woman woman who sang "Mwanampotevu"
@TumainiShangilieniChoir
3 жыл бұрын
They are around, the woman you speak of, particulary, is the Chair lady of the choir now. Welcome and come around St. James Anglican Church Arusha you will see them all.
@valmass83126 жыл бұрын
I mwant to say mara ya Kwanza
@olaislukumay5716 жыл бұрын
Mbarikiwe sana,
@chomoezekiel9646 жыл бұрын
nyie watu mnanipa raha mie Mbarikiwe na Bwana
@valmass83126 жыл бұрын
Mama hi I ndiyo Mara yangI ya Kwanza kuasikia. You guys you are doing awesome
@stanslausbruno3880
6 жыл бұрын
nyimbo hizi zanikumbusha miaka ya 95 nikiwa mdogo mzee wangu alikuwa anaweka vhs kwenye deki tunaisubiria ikisha rewind tunasikiliza ni tamu sana
@eliaeliabi61114 жыл бұрын
Raha sana.
@gpdwill62265 жыл бұрын
Kwakweli
@valmass83126 жыл бұрын
I meant
@emmanuelfario98976 жыл бұрын
barikiwa saaana
@grolimusxavery851
4 жыл бұрын
Barikiwa sana
@karanjakamau577 жыл бұрын
IF I MAY ASK IS THIS AIC, ANGLICAN or A CATHOLIC CHOIR, and where are you found in arusha, i would like to pay you a visit when i came to tz from abroad, thanks asante sana
@karanjakamau57
7 жыл бұрын
OOO thanks a lot, i am aslo an anglican, i am a member of anglican church , in germany, western europe diocese, receive greetings from us here, and when i came to tz i will pay you a visit, i am a kenyan, shalom
@editarichard35902 жыл бұрын
Amina
@benedictlukas53872 жыл бұрын
Amina
@connietriumph7537
Жыл бұрын
Thanks for bringing my childhood favourite choir group . Really a blessing
Пікірлер: 102
Wale bado tunausikiliza huu wimbo mpaka sasa tu like 2024
Nyimbo zenu zinabariki sana, kila wakati asanteni sana Tumaini choir 🙏. This is my favourite song 🎵. Big love from kenya
Namwaga machozi Kila nikisikiliza huu wimbo toka 98 mpaka Leo 22 Mungu awabariki mnoo
Yaani nikiangaliaga huu wimbo napata amani moyo
Hivi kwanini lakini Bwana Yesu wewe upo hivi!
Nawakubali sana awa jamaa ujumbe wao unaendelea kuishi vizazi vyote
Hakika hzinyimbo hakika niinjili tosha mubarikwe waimbaji popote pale mlipo
Swahili is beautiful! Who is listening in 2021? Wow from 00:00 to 00:20 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 Sending love from South Africa ❤🧡💛💚💙💜
@TumainiShangilieniChoir
3 жыл бұрын
Love received. We send much love to you and your beloved ones. Do come and visit us. Blessings
Ni BABA mapenzi yake ni makubwa hakika hatuwezi kuyajua na hayana mpaka 🙇🙇🙇🙇🙏
St James Tumaini choir kaloleni ili kubwa bambam sana Ninakumbuka sana nyimbo hizi sio Uimbaji Wa leo hauna hata upako Mr Paul Mhando ni Mwanza
Mchungaji mwema ni Bwana YESU KRISTO. Upendo wake hauna kifani milele.
Huu wimbo ni mzuri sana aisee, nakumbuka tulipenda kuusikiliza na mpaka tukawa tunauimba kwa lugha ya kinyume Enyi wanamuda nambo mwangatangata Maka levi hamuiju poyu mchujinga mjamo Nyemwe manzipe mema... Dah.. huyu baba aliyechomekea tai kwenye mkanda jina lake nani? Jamaa mcheshi sana
Hizi nyimbo zina ukumbusho mwingi saana katika maisha yangu.
My childhood favourite choir.😘😘😘😘😘😘😘😘😘
Waoooo nawapenda sana wote mlioshiriki katikakuijenga kwayahii waimbaji na viongozi mungu awabariki kwakiwango cha kujaa hata kumwagika Love u all
These are the kind of songs that contributed alot to the passion I have for guitars...we'll played and a stand out musicianship
Mungu awabariki hakika mlitumika vizuri sana ❤❤
Mapenzi ya Mungu ni makubwa hakika na wala hayana mipaka
Jamani mnanibariki ninyi watu hamjui tu
@JanethJohari
2 ай бұрын
Hakika namini
this album blesses me every day and reminds me of the good times of my childhood. I am in Kinshasa in the DRC God bless you
Waliimba vzr mnoo...mikong'osio mizuri na ya kitaalam mnoo..mbarikiwe sanaaa
Dah kitambo sana muliimba🙏
Yaani napenda hivi nyimbo hatarii..... Alafu hata mlivyo kuwa mna shoot sura zenu zinaonyesha upendo wa Kristo umetawala kwenu sidhan kama kulikuwa na magomvi Kati yenu ndio maana nyimbo zinautukufu mkubwa.... Hii album imetoka nikiwa na umri wa mwaka mmoja nanusu Ila leo namshukuru MUNGU bado inanilea mbarikiwe Sana....
When gospel meant to be gospel....
Ahsante mungu kwa kwaya hii zuri inanifariji sana
Ooohhhh my favourites songs and choir of all time..thank you so much for uploading these old gold songs...I left Arusha but my heart is still with uimbaji huu uliotukuka....Barikiweni sana ...
my all time choir,, ur songs will remain in my tongue even when I'm dreaming at night....."Ni baba Mapenzi yake ni makubwa hakikaaa,, hatuwezi kuyajua na hayana Mpaka....." what a nice song.
@captaincloud7youngpol692
4 жыл бұрын
@@TumainiShangilieniChoir natafuta wimbo unasema vijana eee acheni ya dunia
@nyaleimara2379
Жыл бұрын
💯💯💯
Amina
Listening all the way from Nairobi. Great st James tumaini church
graceful and humble dress code. Jesus is Lord! Listening from UAE.
@kiplangatkorir1388
5 жыл бұрын
The lack of content in today's music is concealed in fancy wardrobe. But the content in this music and style of presentation is timeless and beyond talent.
Very very nice ❤❤love ❤❤
My parents used to love the album R.I.P
thank you so much, i have been searching for these song a longtime so GOD BLESS YOU!!
My favorite songs ❤
Hongera zenu kuweza kuwa na uimbaji wenu mzuri usiobadilika-badilika ,in english u maintained ur key. God bless u
nyimbo nzuri sana binadamu tuache kutangatanga yupo mchungaji mmoja mwenye mapenzi mema
Wamefanya vizuri sana
Hakika zinankumbusha mbali
My generation ❤❤❤
Hizi nyimbo zinanibariki sana
Mungu awabariki nawapenda
nakumbuka mbalii sana
First listened this song the year 2000...I really love this piece of gospel music
Ni BABA mapenzi yake ni makubwa hakika hatuwez kuyajua na hayana mpakaa 🙇🙇🙇🙏
Nimebarikiwa sana
Hiyo kitaa inanibembeleza sambamba na ujumbe mzuri mbarikiwe watu wa Mungu
Natafuta wimbo unasema vijana eee acheni ya dunia.
Jamani nabarikiwa sana🙏🙏🙏
live long men of the most high. You really bless me. Glory to God.
Nyimbo nzuri sana hivi hii albamu imetoka mwaka gani jamani
Yaaani huwa na barikiwa saana hiii kwaya
Jamn nyimbo zinabarik Sana halafu zinanikumbusha mbali sana
My best spiritual gospel songs
I remember my childhood in 2020 yr
So powefull
Mko vizuri sauti imetulia sana
Jamani,jamani wimbo mtamu huo!!!
Sema nani
Mr Nkone kachomeka tai kwenye mkanda sijui ameona kweli
@sylviakadeha3261
7 жыл бұрын
Gideon Lulabuka ilikuwa fashion enzi hizo...hajakosea ndo mtoko atiii. ...nawapenda sana Shangilieni
Hawa viumbe Toka Jana nawasikiliza,naambulia machozi maana nakumbuka mbali nilipotoka,mapito niliyopita,walotangulia mbele ya haki,oooh Nicki nyingi na huzuni na furaha namachozi uwiiii Tumaini nyie mnanilizaaa
@TumainiShangilieniChoir
3 жыл бұрын
Ni maombi yetu Mungu aendelee kukuvusha na kukushika
@JohnThadayo
2 ай бұрын
Pole,kwakweli waliimba nyimbo żenye itukufu wa mungu
Amina Mungu azidi kuwalinda
Ni makubwaa hakika. Hatuwezi kuyajua maana hayana mipaka
One Of My Best Song Ever
enzi hizo_st James arush , bd nwakubal xn
Nice song
Muziki umenigusa acha kabisa!!
Ebu nawapenda sana muzidi kubalikiwa naeza kuwapataje
Balikiwa Amen.
Zinanikumbusha mbali sana.safi sana
@daudimjema2517
4 жыл бұрын
Mubarikiwe sanaaaa
Kwa kweli ninamiss sana nyimbo zenye utukufu ndani yake na ujumbe wa mkubwa sana Siku hizi zipo injili za mavazi, makeup na style za kucheza na location, ujumbe na utukufu unapotea
@danielmchomvu5961
4 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana Mungu awabariki wanakale
mungu awabarki sana
Good songs with strong message
One of my favourite song, thank God I've found it. You guys you did amazing, mbarikiwe mnoo. Will you please find for me SIKU YA MWISHO YAJA old version.? Even audio?
this is among of ma song...Groly to God...mbarikiwe
Le contenu de la chanson est bien, nous sommes bénis, néanmoins il fallait améliorer la qualité du clip. Mais courage et que Dieu vous élèvent
I can't see a lot of people from that choir forexample the old woman woman who sang "Mwanampotevu"
@TumainiShangilieniChoir
3 жыл бұрын
They are around, the woman you speak of, particulary, is the Chair lady of the choir now. Welcome and come around St. James Anglican Church Arusha you will see them all.
I mwant to say mara ya Kwanza
Mbarikiwe sana,
nyie watu mnanipa raha mie Mbarikiwe na Bwana
Mama hi I ndiyo Mara yangI ya Kwanza kuasikia. You guys you are doing awesome
@stanslausbruno3880
6 жыл бұрын
nyimbo hizi zanikumbusha miaka ya 95 nikiwa mdogo mzee wangu alikuwa anaweka vhs kwenye deki tunaisubiria ikisha rewind tunasikiliza ni tamu sana
Raha sana.
Kwakweli
I meant
barikiwa saaana
@grolimusxavery851
4 жыл бұрын
Barikiwa sana
IF I MAY ASK IS THIS AIC, ANGLICAN or A CATHOLIC CHOIR, and where are you found in arusha, i would like to pay you a visit when i came to tz from abroad, thanks asante sana
@karanjakamau57
7 жыл бұрын
OOO thanks a lot, i am aslo an anglican, i am a member of anglican church , in germany, western europe diocese, receive greetings from us here, and when i came to tz i will pay you a visit, i am a kenyan, shalom
Amina
Amina
@connietriumph7537
Жыл бұрын
Thanks for bringing my childhood favourite choir group . Really a blessing