Nakulilia Yehova

Музыка

Tumaini Shangilieni Choir, / tumainishangilieni.choir ; / tumainishangilienichoir

Пікірлер: 357

  • @michaelmitimingi7310
    @michaelmitimingi73105 жыл бұрын

    dunuia imetoka mbali sana jaman ..........kama mnanikubali gongeeni like kwenye huu wimbo jaman ............mbarikiwe wote mnaosikiliiza huu wimbo

  • @faustinesimon1240

    @faustinesimon1240

    4 жыл бұрын

    Huu wimbo una upako wa ajabu sana yaani ukiwa na shida unakufariji mpaka

  • @user-rb8dq6pj4s
    @user-rb8dq6pj4s4 ай бұрын

    Tumaini shangilieni mungu awabariki sana mnaimba vizuri sana

  • @TumainiShangilieniChoir

    @TumainiShangilieniChoir

    2 ай бұрын

    Amen Amen, Sifa na Utukufu ni kwa Bwana Yesu

  • @rahabujulius4595
    @rahabujulius45953 ай бұрын

    nakulilia wewe pekee mungu toka 1992 mpaka Sasa 2024,jitukuze kwangu mungu

  • @elibarikimushi3264
    @elibarikimushi32644 жыл бұрын

    Enzi hizo za Albamu ya SHANGILIENI, hadi tukawaita "kwaya ya shangilieni". Hakika waimbaji wakitulia na Mungu, kazi zao huwa zinaishi hazichuji.

  • @georgemzuli3422

    @georgemzuli3422

    4 жыл бұрын

    Hakika hakika

  • @georgemzuli3422

    @georgemzuli3422

    4 жыл бұрын

    Sitaogopa sababu ww upo Nakutegemea eweeh bwana wangu Katika shida zangu zoteee

  • @cristianoprincegabrielles3951

    @cristianoprincegabrielles3951

    3 жыл бұрын

    Wallahi Bro Hii Choir unikumbusha mbali sana yaani, Marehemu Babangu aliipenda sana nasi kama watoto wake tukafata mkondo huo na tuliita jina hilo pia,,,, "Shangilieni Choir"

  • @TumainiShangilieniChoir

    @TumainiShangilieniChoir

    2 жыл бұрын

    Ni maombi yetu kwamba Mungu aendelee kuwatunza na kuwahudumia mwilini na rohoni

  • @cristianoprincegabrielles3951

    @cristianoprincegabrielles3951

    2 жыл бұрын

    @@TumainiShangilieniChoir Amen 🙏. Nawapenda sana Choir inayoubariki Moyo wangu ♥️🤗🤗🤗

  • @arnoldvictor8763
    @arnoldvictor87633 жыл бұрын

    Pongezi zenu nyingi toka kwangu. Mlitia fora sana pale Kifula, Ugweno wilayani Mwanga mlipokesha mkiimba katika harusi yangu JULAI 11, 1992!!! SITAWASAHAU!

  • @TumainiShangilieniChoir

    @TumainiShangilieniChoir

    3 жыл бұрын

    Amen Amen. Ahsante sana; Mungu akubariki.

  • @DativaMbowe
    @DativaMboweАй бұрын

    Jeshi lijapo pigana nami sitoogopa maana upo jeova❤❤

  • @julithamuhale7271
    @julithamuhale727110 ай бұрын

    Jeshi linapojipanga kupigana nami sintaogopa! Mbarikiwe wote mlioshikiri kuimba Wimbo mzuri huu!

  • @anthonymbise1903
    @anthonymbise190310 ай бұрын

    Ni wimbo ambao kiukweli unatafakarisha sn ee MWENYENZI UTUPE MWISHO MWEMA AMEEEEEEEEEEEEEEN

  • @julianaharrison4356
    @julianaharrison4356 Жыл бұрын

    2023 niko hapa nakulilia Jehovah

  • @user-vm4yb1em4p

    @user-vm4yb1em4p

    3 ай бұрын

    Same here

  • @user-pg5ol1xe7x
    @user-pg5ol1xe7x5 ай бұрын

    Akika mulihimba vizuli mungu awabariki❤

  • @user-nz8wr5rx8g
    @user-nz8wr5rx8g11 ай бұрын

    Nilikuwa mdogo sana enzi hizo lakin Kwa uimbaji wao sijawah kuwasahau jaman mungu awabariki sana hata kama wapo ambao wachatutangulia najua mungu ashawappokea

  • @paulmango_ke
    @paulmango_ke Жыл бұрын

    Nakutolea Mwokozi mali na maisha yangu, nikutukuze we Mungu; Ulimwengu navyo vyote viijazavyo dunia vyote ni mali yako Bwana. Maisha, napita; najiwekea hazina kwako ee Baba.

  • @philipomponeja2457
    @philipomponeja24572 ай бұрын

    aisee hizi nyimbo hizi😢 MUNGU aturehemu tu tuendelee kuwa wazma! popote alipo mama yangu mama ngoro! mlitubaliki sana

  • @frankmbatta440
    @frankmbatta4403 жыл бұрын

    More than 15years listening to this song,kila siku is a new song in my heart.

  • @TumainiShangilieniChoir

    @TumainiShangilieniChoir

    3 жыл бұрын

    We pray that Jehovah, our Lord almighty who hears our cries, that he hears and remember you in your time of grief and rejoice

  • @georgemassebu2083

    @georgemassebu2083

    2 жыл бұрын

    Acha tu aisee...nakumbuka maisha fulani hivi kiasi natoaga machozi,zamani hairudi na raha zake

  • @janethballi

    @janethballi

    Жыл бұрын

    Asante sana mungu awatunze

  • @MnkondoBendera

    @MnkondoBendera

    11 ай бұрын

    ​@@TumainiShangilieniChoir0:33 0:33

  • @user-fu4ki2ph7h

    @user-fu4ki2ph7h

    9 ай бұрын

    The Psalm of David, still speaking and encouraging us to this day😢

  • @josephkiteleja5102
    @josephkiteleja5102 Жыл бұрын

    MUNGU awatangulie sana nabarikiwa kupitia nyimbo hii sifa na utukufu ni kwako bwana🙏Asanten wazazi wangu Patrick Kiteleja na selina mkinga

  • @omarinziku9328
    @omarinziku93283 жыл бұрын

    Eeehhh mungu wangu tutazame waja wako, mpaka inanitoa machoz

  • @vicentmeshack7612
    @vicentmeshack7612 Жыл бұрын

    Nakumbuka mengi na wengi,lakini katika hayo yote MUNGU utukuzwe,kwani ni mapenzi yako,naupenda sana sana huu wimbo.

  • @amanindoveni7203
    @amanindoveni72033 жыл бұрын

    Huu wimbo...is one of the best songs I've heard when I was a little child. Naupenda sana na unanikumbusha mbali sana wakati nikiwa mtoto

  • @festohkozby1378

    @festohkozby1378

    3 жыл бұрын

    That makes the two of us

  • @bonifasiakalumanga9188

    @bonifasiakalumanga9188

    2 жыл бұрын

    Nami naupenda Sana,unanikumbusha mbali.hongera Sana.

  • @wittokalinga8316

    @wittokalinga8316

    11 ай бұрын

    Hakika nyimbo zao huwa zinanibariki sana

  • @devidpanja115
    @devidpanja1153 жыл бұрын

    Furaha ilioje kuslikiza tena nyimbo zangu za utotoni asante Yesu

  • @mtawali2002
    @mtawali20022 жыл бұрын

    Naupenda sana wimbo huu. Unanikumbusha Radio Habari Maalum

  • @TumainiShangilieniChoir

    @TumainiShangilieniChoir

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @mercyombego9674
    @mercyombego96743 жыл бұрын

    This song reminds me of my late mum she used to love it

  • @TumainiShangilieniChoir

    @TumainiShangilieniChoir

    3 жыл бұрын

    May her precious soul rest in eternal peace

  • @israelzakayo2406
    @israelzakayo24064 ай бұрын

    Wapendwa mnanibariki Sana nawapenda sana❤❤❤❤❤

  • @ChrisperMalamshacrispaseve
    @ChrisperMalamshacrispaseve2 жыл бұрын

    Kila mwaka napitia huku time hizi, Udogo wangu ulikwenda poa sana enzi hizi ... Mungu awabariki wote kwa namna yake aisee!!

  • @festohkozby1378
    @festohkozby13783 жыл бұрын

    This song sounds heavenly. Takes me back in time

  • @shilarida3646
    @shilarida36464 жыл бұрын

    2020 February much love from Kenya. Since 1996 till now. Thank you God for everything

  • @newtonsimba7930

    @newtonsimba7930

    6 ай бұрын

    Amen ❤️.

  • @JohnThadayo
    @JohnThadayo2 ай бұрын

    Mungu awabariki sana,naposikiliza huu wimbo naona utukufu wa mungu kwakweli

  • @TumainiShangilieniChoir

    @TumainiShangilieniChoir

    2 ай бұрын

    Amen, Endelea Kubarikiwa

  • @newtonsimba7930
    @newtonsimba79302 жыл бұрын

    Amen. Nimebarikiwa nikakumbuka nyakati za DVD. Be blessed. Wonderful song ❤️🌹🇰🇪.

  • @fridahmandawa1779
    @fridahmandawa177911 ай бұрын

    Nabarikiwa mnoo na hii nyimbo.

  • @webingogo3633
    @webingogo36334 жыл бұрын

    Wimbo huu hunipa nafasi ya kutafakari sana wema mungu juu ya maisha yangu:

  • @KedmonKinyunyu
    @KedmonKinyunyu Жыл бұрын

    Amna sanaaa nabalikiwa Sana wimbo mzur una ujumbe

  • @luckypmsambaa4912
    @luckypmsambaa49128 ай бұрын

    jamani BWANA YESU ASIFIWE naombeni niurudie huu wimbo niufanyue kava nimeupenda sana umekua ukiutesa ufahamu wangu siku nyingi japo sina cha kuwapa niombi tu

  • @juliussonga6473
    @juliussonga64737 жыл бұрын

    Tumaini hapana lingana Na kwaya yeyote,mko Na upako wa tofauti sanaaaa. Mbarikiwe mpaka mshangae.

  • @erickfredy4566
    @erickfredy45663 жыл бұрын

    Mbarikiwe sana "jeshi lijapo jipanga kupigana nami sitaogopa sababu wewe upo"🙏🙏

  • @user-sm5cy5cj1n
    @user-sm5cy5cj1n3 ай бұрын

    Nakutegemea wew Bwana wangu katika shida zangu zote. 🙏🙏😭😭😭😭

  • @TumainiShangilieniChoir

    @TumainiShangilieniChoir

    2 ай бұрын

    Mungu wa Mbinguni Akubariki

  • @rodriguendoole9675
    @rodriguendoole96759 ай бұрын

    I have goose bumps whenever I listenen to this tumaini's songs, those were the days where people used to let the spirit of God takes the first place.

  • @officialidayo
    @officialidayo2 жыл бұрын

    Still sweet in 2021 kama wasikiza Bado in 2021 drop your like

  • @TumainiShangilieniChoir

    @TumainiShangilieniChoir

    2 жыл бұрын

    Blessings

  • @newtonsimba7930

    @newtonsimba7930

    6 ай бұрын

    2024 here. Blessed.

  • @mussamohamedi8581
    @mussamohamedi8581 Жыл бұрын

    Nawakumbuka Sana wapendwa karibuni Tena singida.niliwaona nikiwa umri mdogo bt now 2022 nyimbo zenu bado zinaishi moyoni mwangu.mungu awape maisha marefu mzidi kumtangaza bwana kwa nyimbo zenu.

  • @anosisyekinsindi7666
    @anosisyekinsindi76662 жыл бұрын

    Umejaa nguvu Roho mtakatifu

  • @berithaandersonn2234
    @berithaandersonn22345 жыл бұрын

    Nakutolea mwokozi, mali na maisha yangu.... vikutukuze ewe MUNGU... zamani utotoni nilikua nakasirika sana hizi video waziziweka yaani leo ndo naelewa ujumbe😁

  • @corneillemikalano7332
    @corneillemikalano733211 ай бұрын

    Wakati Mungu ali kuwa na heshimika

  • @sospetermigera685
    @sospetermigera6859 ай бұрын

    Kila siku huwa nasikiliza wimbo huu maana hunipa nguvu hakika kama hawa waimbaji wapo hai waendelee Kubarikiwe .

  • @benard4378
    @benard4378 Жыл бұрын

    This brethren preached grace without their knowledge. The hand of God was upon them for God to reach out to us. I personally I received grace from their message and I think some today are old enough to sit and hear other generations singing but their songs were sawn together by the Holy Spirit. Thanks to God and to you for being a bridge for my reach out.

  • @jenahando2747
    @jenahando2747 Жыл бұрын

    So many memories during that time and we are still here 2023.God is Great

  • @newtonsimba7930
    @newtonsimba79306 ай бұрын

    Still so touching, 2024Jan1.Sitaogopa, nitamtegemea Bwana. Amen❤️🇰🇪.

  • @user-nz3db5gm1q
    @user-nz3db5gm1q6 ай бұрын

    Hata mm huu wimbo unanikumbusha mbali San miaka kumi 15 iliyopita

  • @lightnessmungongo9311
    @lightnessmungongo93112 жыл бұрын

    nazipeza sana nyimbo za hii album ...zinanibariki mnoooo❤️

  • @elizabethmgassa7243
    @elizabethmgassa72437 ай бұрын

    Hawa ndio waliipeleka injili ya kweli hata kuimba kwao walidhamilia kumtimikia Mungu sio km waimbaji wa Leo wanataka kujionyesha na sifa nyingi na kwa ajili ya pesa tu

  • @SalumHatman
    @SalumHatman2 ай бұрын

    Wakati huo waimbaji walikuwa hawajalipwa wasanii wa mziki wa injili, walitumia neno la hekima kwaya, shetani mwovu alikuwa hajavamia vikundi vya kwaya

  • @estherkwamboka4173
    @estherkwamboka41732 жыл бұрын

    This song sang in my heart yesterday night, Jeshi lijapojipanga kupigana nami sitaogopa sababu we upo 🙏🙌 asante yesu

  • @TumainiShangilieniChoir

    @TumainiShangilieniChoir

    2 жыл бұрын

    Ni Maombi Yetu Kuwa Mungu akapigane vita yako na adui zako

  • @sheilamohamed859

    @sheilamohamed859

    Жыл бұрын

    Mi enyew naipenda vby eee yesu simama nasi

  • @clementkileo3782
    @clementkileo37823 жыл бұрын

    Hii kwaya nyimbo zoa zinanifariji na kunibariki sana.MUNGU awabariki sana

  • @VickyTarimo-vx9fi
    @VickyTarimo-vx9fi11 ай бұрын

    Nakumbuka mbali nahisi kulia kwa kweli (nakutegemea ewe bwana wangu katoka shida zangu zote) kama kuna walio tangulia mbele za haki kati yao mungu awafanyie wepesi .

  • @josephkiteleja5102

    @josephkiteleja5102

    11 ай бұрын

    Amina kwa kweli utoto wetu ulikuwa mzuri sana

  • @paulmango_ke
    @paulmango_ke4 жыл бұрын

    Tafadhali twahitaji nyimbo zaidi kama hizi si sarakasi, Asante.

  • @barakakulwa3835
    @barakakulwa38353 жыл бұрын

    2021 AND STILL WATCHING THE SONG

  • @lulusalila6200
    @lulusalila62002 жыл бұрын

    Mungu awabariki sana. Wimbo Mzuri naupenda sana

  • @georgeketo15
    @georgeketo159 ай бұрын

    Hawa jamaa hawachuji aisee... ni icon katika kwaya za kanisa Anglikana ... ni "marolimodo" wangu katika ufundishaji wa kwaya!

  • @georgemassebu2083
    @georgemassebu20832 жыл бұрын

    Aisee..kwa miaka mingi sana nimetamani kumuona huyo dada wa tano kutoka kulia safu ya mbele,huyu dada mweusi...tafadhari nijue alipo nikamsalimie popote pale kama yu hai

  • @stephen3614
    @stephen36142 жыл бұрын

    This CHOIR has played a very VITAL ROLE in my LIFE;May ALMIGHTY GOD BLESS YOU AND YOUR GENERATIONS INDEED.

  • @TumainiShangilieniChoir

    @TumainiShangilieniChoir

    2 жыл бұрын

    Amen, we are glad and humbled to have been of impact in your life; May our Good Lord Jesus Christ bless you and your beloved ones

  • @gracehezron1216

    @gracehezron1216

    2 жыл бұрын

    Glory to God

  • @gracehezron1216

    @gracehezron1216

    2 жыл бұрын

    Katika shida zangu zooooteeee.Glory to God Tumaini choir

  • @emmanuelmollel7755
    @emmanuelmollel77554 жыл бұрын

    Za kale dhahabu hapo nikumbuka niikuwa nakuwa naikuta hii nyimbo ila mpk leo inanigusa xana na naipenda itx ma favourate choir n' itx inxpire me enough

  • @esdraskambale9661
    @esdraskambale9661 Жыл бұрын

    Nyimbo hizo zajigenga sana. Mungu wetu aibariki shangilieni vizazi kwa vizazi

  • @nsajigwarichard1951
    @nsajigwarichard19513 жыл бұрын

    Nasikia kutiwa moyo sana sana. Mungu awabariki sana wapenzi

  • @innocentkamote7458
    @innocentkamote74586 жыл бұрын

    Kwaya yangu ya kwanza kabisa kuisikiliza na kuipenda mnafanya kazi nzuri sana

  • @benjaminjackson8567
    @benjaminjackson85672 ай бұрын

    Kiukweli mi huwa sichoki kusikiliza hizi Nyimbo zote🙏🏿🙏🏿🙏🏿♥️♥️♥️🌹🌹🌹🇹🇿🇹🇿

  • @TumainiShangilieniChoir

    @TumainiShangilieniChoir

    2 ай бұрын

    Ameen, Mungu wa Mbinguni Akubariki

  • @tuomwinuka4460
    @tuomwinuka4460 Жыл бұрын

    This is my best song from my child hood...nakulilia Jehovah ...stay blessed my people mmenikumbusha mbali Sana na uimbaji uaiochuja

  • @merina7348
    @merina73482 жыл бұрын

    Anglican Mungu atuimarishe tuzidi viwango zaidi ya hivi sasa congole Tumaini choir St.James

  • @TumainiShangilieniChoir

    @TumainiShangilieniChoir

    2 жыл бұрын

    Amen Amen, Ahsante kwa maombi; Mungu wetu mwema akubariki sana

  • @josphenenezerine2685
    @josphenenezerine26856 ай бұрын

    Amen , nakutengemeya wewe Mungu wangu katika shida zangu zote na maitaji yangu yote🙏🙏🙏🙏

  • @dingo2110
    @dingo21102 жыл бұрын

    Heard this song from Ben mnyampi a salvation army officer missionary in Kenya who taught it to joyland special school for the disabled children.30years ago and it was a blessing and to date it touches my heart mightly...

  • @TumainiShangilieniChoir

    @TumainiShangilieniChoir

    2 жыл бұрын

    We are so much humbled to have been a blessing into your life and the lives of those young children to who it was taught.

  • @lomaolais4155
    @lomaolais41552 жыл бұрын

    Hawa watu Mungu awabariki uimbaji wao unanibariki sana, nimekuwa nikiwafuatilia toka miaka ya 2000

  • @TumainiShangilieniChoir

    @TumainiShangilieniChoir

    2 жыл бұрын

    Amen, Mungu akubariki pia

  • @josepharunga4614
    @josepharunga46146 жыл бұрын

    Tangu ujana wenu m'enibariki kwa nyimbo zenu. Nawaombea neema zake Mwenyezi Mungu. M'eimba nyimbo nyingi nzuri, lakini huu mkanda ndio my favorite! Be blessed

  • @TumainiShangilieniChoir

    @TumainiShangilieniChoir

    2 жыл бұрын

    Amen AMen; Ahsante sana kwa maombi

  • @hugongokoko7946

    @hugongokoko7946

    Жыл бұрын

    Hakika Mungu alikuwepo karibu enzi hizo

  • @mozesamizi931
    @mozesamizi9312 жыл бұрын

    Wapendwa nyie watu wa Mungu mpo!!,wangapi waliimba hii wapo hadi leo!Mungu awabariki

  • @TumainiShangilieniChoir

    @TumainiShangilieniChoir

    2 жыл бұрын

    Tupo ndugu na rafiki yetu. Wapo wengi zaidi ya asilimia 95

  • @israelkisaila8401

    @israelkisaila8401

    11 ай бұрын

    ​@@TumainiShangilieniChoirnatamani siku moja tuwas8kie wote wakitoa shuhuda zao ,tangu walipoanza kuimba mpaka sasa,tuwasikie,mnatubariki mnoo

  • @manasemkofira5504
    @manasemkofira55042 жыл бұрын

    The song reminds me when i was studying in Arusha

  • @Mombasa-gz7rd
    @Mombasa-gz7rd18 күн бұрын

    Great people great song.Thanks a lot i'm blessed

  • @petermboye8118
    @petermboye81187 жыл бұрын

    God Bless you! One of the Best Gospel Albums of all times

  • @godygody6258
    @godygody62582 жыл бұрын

    Mbalikiwe Sana watumishi

  • @mangikariakoo4297
    @mangikariakoo42973 ай бұрын

    Nakulilia jehova 2024

  • @frankahia1883
    @frankahia18832 жыл бұрын

    Very special song And wonderful hakika Mungu alitukuzwa kupitia wimbo huu

  • @greysonmheni6938
    @greysonmheni69383 жыл бұрын

    Ee Mungu uwakumbuke watumishi wako hawa.

  • @eliudlucas8719
    @eliudlucas87195 ай бұрын

    Amina maina aaah inabariki saana

  • @obadiakapinga5315
    @obadiakapinga53154 жыл бұрын

    tangu nikiwa mdogo mpaka leo bado nasikiliza nyimbo zenu nzuri...dada yangu alikuwa mtu wa kwanza kununua kanda yenu miaka iyo....thanks mungu kunifanya nikawajua na kuwafuatilia

  • @stephanimtaita1158
    @stephanimtaita115810 ай бұрын

    Duuh kazi nzuri sana hii... Nausikiliza wimbo huu tangu ninunue kanda ya audio mwaka 2002.. Miaka 21 sasa

  • @amospemba189
    @amospemba189 Жыл бұрын

    kweli nimetoka mbali kipindi hicho nishaoga tuawekewa mkanda wa kwaya hivi. mbarikiwe 👌

  • @ev.shadrackbendepsalmist.6671
    @ev.shadrackbendepsalmist.66713 жыл бұрын

    Huu wimbo ni wa mwaka gani nilianza kuutaza nyimbo zenu nikiwa darasa la tatu na sasa ni mzee...nyimbo zenu hazizeeki

  • @TumainiShangilieniChoir

    @TumainiShangilieniChoir

    3 жыл бұрын

    Early 1992

  • @donaldmhulula6888
    @donaldmhulula68883 жыл бұрын

    Naishukuru sana St.Phillips Anglican Theologian College Ya Dodoma Kongwa Kijiji cha Mlanga Nakumbuka Tulikua tuna ruhusiwa kuangalia Television siku ya juma Pili,na hivi ndivyo nika pata kuwajua ! na wimbo huu una endelea kuni jenga ki IMANI, nabarikiwa sana pia wabarikiwe wachungaji wanafunzi kwa kutuambukiza imani na kutujenga katika misingi mizuri mpaka hii leo tuna endelea na misimamo ya ki ROHO.

  • @TumainiShangilieniChoir

    @TumainiShangilieniChoir

    3 жыл бұрын

    Hii ni kumbukumbu njema sana. Tunakuombea Mungu aendelee kukutunza.

  • @tumainisampeta5570

    @tumainisampeta5570

    3 жыл бұрын

    Mungu awabariki sana

  • @donaldmhulula6888

    @donaldmhulula6888

    2 жыл бұрын

    @@TumainiShangilieniChoir Amina watumishi

  • @listonmassao5130
    @listonmassao51304 жыл бұрын

    the best choir of all time...Cjawah zichoka hizi nyimbo Tangu enz hizo mpka mda huu...Mungu azid kuwatangulia na hizi nyimbo bdo ni hit songs kwangu...AMen.

  • @TumainiShangilieniChoir

    @TumainiShangilieniChoir

    2 жыл бұрын

    Tunashukuru sana kwa maombi yako ndugu. Mungu aendelee kukutunza wewe na nyumba yako.

  • @bizamanamvukira7833
    @bizamanamvukira78334 жыл бұрын

    Nashukuru Mungu kupata nyimbo hizi ni nzuri sana nilikuwa na album hii 1999 Sasa leo naipata nashukuru Mungu sana Mubarikiwe

  • @peterelisha4058
    @peterelisha40585 жыл бұрын

    aliyetunga huu wimbo atalipwa kwa huduma yake

  • @johnjames7210
    @johnjames72106 жыл бұрын

    kanisa langu ninalo sali..... hongereni sana na mbarikiwe sana

  • @labanakyoo4177
    @labanakyoo41772 жыл бұрын

    Mungu awabariki popote mlipo mlioimba wimbo huu, mliimba Kwa msaada wa roho mtakatifu, Bwana asiwaache,

  • @TumainiShangilieniChoir

    @TumainiShangilieniChoir

    2 жыл бұрын

    Amen

  • @thedreamer3991
    @thedreamer39912 жыл бұрын

    May the Lord continue blessing tumaini choir together with your families.. Awesome song

  • @mwitasamwel7972
    @mwitasamwel79726 жыл бұрын

    Jeshi lijapojipanga kupigana nami sitaogopa nakutegea wewe bwana wangu . mmbarikiwe sana popote mlipo st.james Arusha

  • @SuperBlessedb

    @SuperBlessedb

    3 жыл бұрын

    Hayo maneno ninayapenda sana

  • @shamambaalain1122
    @shamambaalain11223 жыл бұрын

    this song is very powerful

  • @lordorcas9344
    @lordorcas93449 ай бұрын

    Shalom E Bwana Yesu Kuja Ku tu Chukuwa mi na Choka Sana

  • @tusajigwe7491
    @tusajigwe749110 ай бұрын

    Old is gold 🥇 for us 80s

  • @johnruthaclaud8950
    @johnruthaclaud8950 Жыл бұрын

    Jeshi lijapo jipanga kupigana NAMI sitaogopa sababu wewe upo!!

  • @jaylesjayles2388
    @jaylesjayles23883 жыл бұрын

    😣heart touching ,motivating adi leo,be blessed songwriter

  • @anifampiluka8029
    @anifampiluka80292 жыл бұрын

    Nilipenda sana hii nikiwa mtoto kiukweli nimefurahi sana kuisikia tena

  • @yusramgendi8582
    @yusramgendi85825 жыл бұрын

    Naipenda sn hii nyimbo nikiisikiliza napata amani ya ajabu.! inanikumbusha mbali sn! DahMungu awabariki sn.

  • @geraldnyawehe7421

    @geraldnyawehe7421

    3 жыл бұрын

    Nawakumbuka sana nduguzangu mungu ayilinde Atlanta zenu.kiukweli ninamkumbuka Joni mtango wakati ninaimba kwaya yazaburi Ngaramtoni kiukweli walikuwa wanatupahamasa sana Mimi mpaka leonasikiliza hikwsya

  • @TumainiShangilieniChoir

    @TumainiShangilieniChoir

    2 жыл бұрын

    Amen, Mungu akubariki zaid

  • @TumainiShangilieniChoir

    @TumainiShangilieniChoir

    2 жыл бұрын

    Amen, Tunashukuru sana

  • @soplisjoachim5884
    @soplisjoachim58843 жыл бұрын

    Kwaya imejipanga mpaka raha , M/Mungu awabariki sana , nitakuja kusali nanyi siku moja

  • @abedisan3563
    @abedisan35634 жыл бұрын

    Wimbo wa maombi

  • @billyrique
    @billyrique6 жыл бұрын

    Yaani huu wimbo ninapokuwa katika shida na majaribu nikiusikiliza huwa wanifariji sanaa! Maneno mazuri yanagusa sanaa!!

  • @billyrique

    @billyrique

    6 жыл бұрын

    One of my best songs from this choir TUMAINI SHANGILIENI CHOIR ST. JAMES AC ARUSHA

  • @idikagutsungwa7784

    @idikagutsungwa7784

    4 жыл бұрын

    Hakika wameimba

  • @charlesb.mwaipeta8415
    @charlesb.mwaipeta84156 жыл бұрын

    Daaaa, mmenikumbusha mbali sana, hii kwaya iliimba sana album hii. huu wimbo naupenda kupitiliza