dunuia imetoka mbali sana jaman ..........kama mnanikubali gongeeni like kwenye huu wimbo jaman ............mbarikiwe wote mnaosikiliiza huu wimbo
@faustinesimon1240
4 жыл бұрын
Huu wimbo una upako wa ajabu sana yaani ukiwa na shida unakufariji mpaka
@user-rb8dq6pj4s4 ай бұрын
Tumaini shangilieni mungu awabariki sana mnaimba vizuri sana
@TumainiShangilieniChoir
2 ай бұрын
Amen Amen, Sifa na Utukufu ni kwa Bwana Yesu
@rahabujulius45953 ай бұрын
nakulilia wewe pekee mungu toka 1992 mpaka Sasa 2024,jitukuze kwangu mungu
@elibarikimushi32644 жыл бұрын
Enzi hizo za Albamu ya SHANGILIENI, hadi tukawaita "kwaya ya shangilieni". Hakika waimbaji wakitulia na Mungu, kazi zao huwa zinaishi hazichuji.
@georgemzuli3422
4 жыл бұрын
Hakika hakika
@georgemzuli3422
4 жыл бұрын
Sitaogopa sababu ww upo Nakutegemea eweeh bwana wangu Katika shida zangu zoteee
@cristianoprincegabrielles3951
3 жыл бұрын
Wallahi Bro Hii Choir unikumbusha mbali sana yaani, Marehemu Babangu aliipenda sana nasi kama watoto wake tukafata mkondo huo na tuliita jina hilo pia,,,, "Shangilieni Choir"
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Ni maombi yetu kwamba Mungu aendelee kuwatunza na kuwahudumia mwilini na rohoni
@cristianoprincegabrielles3951
2 жыл бұрын
@@TumainiShangilieniChoir Amen 🙏. Nawapenda sana Choir inayoubariki Moyo wangu ♥️🤗🤗🤗
@arnoldvictor87633 жыл бұрын
Pongezi zenu nyingi toka kwangu. Mlitia fora sana pale Kifula, Ugweno wilayani Mwanga mlipokesha mkiimba katika harusi yangu JULAI 11, 1992!!! SITAWASAHAU!
@TumainiShangilieniChoir
3 жыл бұрын
Amen Amen. Ahsante sana; Mungu akubariki.
@DativaMboweАй бұрын
Jeshi lijapo pigana nami sitoogopa maana upo jeova❤❤
@julithamuhale727110 ай бұрын
Jeshi linapojipanga kupigana nami sintaogopa! Mbarikiwe wote mlioshikiri kuimba Wimbo mzuri huu!
@anthonymbise190310 ай бұрын
Ni wimbo ambao kiukweli unatafakarisha sn ee MWENYENZI UTUPE MWISHO MWEMA AMEEEEEEEEEEEEEEN
@julianaharrison4356 Жыл бұрын
2023 niko hapa nakulilia Jehovah
@user-vm4yb1em4p
3 ай бұрын
Same here
@user-pg5ol1xe7x5 ай бұрын
Akika mulihimba vizuli mungu awabariki❤
@user-nz8wr5rx8g11 ай бұрын
Nilikuwa mdogo sana enzi hizo lakin Kwa uimbaji wao sijawah kuwasahau jaman mungu awabariki sana hata kama wapo ambao wachatutangulia najua mungu ashawappokea
@paulmango_ke Жыл бұрын
Nakutolea Mwokozi mali na maisha yangu, nikutukuze we Mungu; Ulimwengu navyo vyote viijazavyo dunia vyote ni mali yako Bwana. Maisha, napita; najiwekea hazina kwako ee Baba.
@philipomponeja24572 ай бұрын
aisee hizi nyimbo hizi😢 MUNGU aturehemu tu tuendelee kuwa wazma! popote alipo mama yangu mama ngoro! mlitubaliki sana
@frankmbatta4403 жыл бұрын
More than 15years listening to this song,kila siku is a new song in my heart.
@TumainiShangilieniChoir
3 жыл бұрын
We pray that Jehovah, our Lord almighty who hears our cries, that he hears and remember you in your time of grief and rejoice
@georgemassebu2083
2 жыл бұрын
Acha tu aisee...nakumbuka maisha fulani hivi kiasi natoaga machozi,zamani hairudi na raha zake
@janethballi
Жыл бұрын
Asante sana mungu awatunze
@MnkondoBendera
11 ай бұрын
@@TumainiShangilieniChoir0:33 0:33
@user-fu4ki2ph7h
9 ай бұрын
The Psalm of David, still speaking and encouraging us to this day😢
@josephkiteleja5102 Жыл бұрын
MUNGU awatangulie sana nabarikiwa kupitia nyimbo hii sifa na utukufu ni kwako bwana🙏Asanten wazazi wangu Patrick Kiteleja na selina mkinga
@omarinziku93283 жыл бұрын
Eeehhh mungu wangu tutazame waja wako, mpaka inanitoa machoz
@vicentmeshack7612 Жыл бұрын
Nakumbuka mengi na wengi,lakini katika hayo yote MUNGU utukuzwe,kwani ni mapenzi yako,naupenda sana sana huu wimbo.
@amanindoveni72033 жыл бұрын
Huu wimbo...is one of the best songs I've heard when I was a little child. Naupenda sana na unanikumbusha mbali sana wakati nikiwa mtoto
Furaha ilioje kuslikiza tena nyimbo zangu za utotoni asante Yesu
@mtawali20022 жыл бұрын
Naupenda sana wimbo huu. Unanikumbusha Radio Habari Maalum
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Amen
@mercyombego96743 жыл бұрын
This song reminds me of my late mum she used to love it
@TumainiShangilieniChoir
3 жыл бұрын
May her precious soul rest in eternal peace
@israelzakayo24064 ай бұрын
Wapendwa mnanibariki Sana nawapenda sana❤❤❤❤❤
@ChrisperMalamshacrispaseve2 жыл бұрын
Kila mwaka napitia huku time hizi, Udogo wangu ulikwenda poa sana enzi hizi ... Mungu awabariki wote kwa namna yake aisee!!
@festohkozby13783 жыл бұрын
This song sounds heavenly. Takes me back in time
@shilarida36464 жыл бұрын
2020 February much love from Kenya. Since 1996 till now. Thank you God for everything
@newtonsimba7930
6 ай бұрын
Amen ❤️.
@JohnThadayo2 ай бұрын
Mungu awabariki sana,naposikiliza huu wimbo naona utukufu wa mungu kwakweli
@TumainiShangilieniChoir
2 ай бұрын
Amen, Endelea Kubarikiwa
@newtonsimba79302 жыл бұрын
Amen. Nimebarikiwa nikakumbuka nyakati za DVD. Be blessed. Wonderful song ❤️🌹🇰🇪.
@fridahmandawa177911 ай бұрын
Nabarikiwa mnoo na hii nyimbo.
@webingogo36334 жыл бұрын
Wimbo huu hunipa nafasi ya kutafakari sana wema mungu juu ya maisha yangu:
@KedmonKinyunyu Жыл бұрын
Amna sanaaa nabalikiwa Sana wimbo mzur una ujumbe
@luckypmsambaa49128 ай бұрын
jamani BWANA YESU ASIFIWE naombeni niurudie huu wimbo niufanyue kava nimeupenda sana umekua ukiutesa ufahamu wangu siku nyingi japo sina cha kuwapa niombi tu
@juliussonga64737 жыл бұрын
Tumaini hapana lingana Na kwaya yeyote,mko Na upako wa tofauti sanaaaa. Mbarikiwe mpaka mshangae.
@erickfredy45663 жыл бұрын
Mbarikiwe sana "jeshi lijapo jipanga kupigana nami sitaogopa sababu wewe upo"🙏🙏
@user-sm5cy5cj1n3 ай бұрын
Nakutegemea wew Bwana wangu katika shida zangu zote. 🙏🙏😭😭😭😭
@TumainiShangilieniChoir
2 ай бұрын
Mungu wa Mbinguni Akubariki
@rodriguendoole96759 ай бұрын
I have goose bumps whenever I listenen to this tumaini's songs, those were the days where people used to let the spirit of God takes the first place.
@officialidayo2 жыл бұрын
Still sweet in 2021 kama wasikiza Bado in 2021 drop your like
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Blessings
@newtonsimba7930
6 ай бұрын
2024 here. Blessed.
@mussamohamedi8581 Жыл бұрын
Nawakumbuka Sana wapendwa karibuni Tena singida.niliwaona nikiwa umri mdogo bt now 2022 nyimbo zenu bado zinaishi moyoni mwangu.mungu awape maisha marefu mzidi kumtangaza bwana kwa nyimbo zenu.
@anosisyekinsindi76662 жыл бұрын
Umejaa nguvu Roho mtakatifu
@berithaandersonn22345 жыл бұрын
Nakutolea mwokozi, mali na maisha yangu.... vikutukuze ewe MUNGU... zamani utotoni nilikua nakasirika sana hizi video waziziweka yaani leo ndo naelewa ujumbe😁
@corneillemikalano733211 ай бұрын
Wakati Mungu ali kuwa na heshimika
@sospetermigera6859 ай бұрын
Kila siku huwa nasikiliza wimbo huu maana hunipa nguvu hakika kama hawa waimbaji wapo hai waendelee Kubarikiwe .
@benard4378 Жыл бұрын
This brethren preached grace without their knowledge. The hand of God was upon them for God to reach out to us. I personally I received grace from their message and I think some today are old enough to sit and hear other generations singing but their songs were sawn together by the Holy Spirit. Thanks to God and to you for being a bridge for my reach out.
@jenahando2747 Жыл бұрын
So many memories during that time and we are still here 2023.God is Great
@newtonsimba79306 ай бұрын
Still so touching, 2024Jan1.Sitaogopa, nitamtegemea Bwana. Amen❤️🇰🇪.
@user-nz3db5gm1q6 ай бұрын
Hata mm huu wimbo unanikumbusha mbali San miaka kumi 15 iliyopita
@lightnessmungongo93112 жыл бұрын
nazipeza sana nyimbo za hii album ...zinanibariki mnoooo❤️
@elizabethmgassa72437 ай бұрын
Hawa ndio waliipeleka injili ya kweli hata kuimba kwao walidhamilia kumtimikia Mungu sio km waimbaji wa Leo wanataka kujionyesha na sifa nyingi na kwa ajili ya pesa tu
@SalumHatman2 ай бұрын
Wakati huo waimbaji walikuwa hawajalipwa wasanii wa mziki wa injili, walitumia neno la hekima kwaya, shetani mwovu alikuwa hajavamia vikundi vya kwaya
@estherkwamboka41732 жыл бұрын
This song sang in my heart yesterday night, Jeshi lijapojipanga kupigana nami sitaogopa sababu we upo 🙏🙌 asante yesu
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Ni Maombi Yetu Kuwa Mungu akapigane vita yako na adui zako
@sheilamohamed859
Жыл бұрын
Mi enyew naipenda vby eee yesu simama nasi
@clementkileo37823 жыл бұрын
Hii kwaya nyimbo zoa zinanifariji na kunibariki sana.MUNGU awabariki sana
@VickyTarimo-vx9fi11 ай бұрын
Nakumbuka mbali nahisi kulia kwa kweli (nakutegemea ewe bwana wangu katoka shida zangu zote) kama kuna walio tangulia mbele za haki kati yao mungu awafanyie wepesi .
@josephkiteleja5102
11 ай бұрын
Amina kwa kweli utoto wetu ulikuwa mzuri sana
@paulmango_ke4 жыл бұрын
Tafadhali twahitaji nyimbo zaidi kama hizi si sarakasi, Asante.
@barakakulwa38353 жыл бұрын
2021 AND STILL WATCHING THE SONG
@lulusalila62002 жыл бұрын
Mungu awabariki sana. Wimbo Mzuri naupenda sana
@georgeketo159 ай бұрын
Hawa jamaa hawachuji aisee... ni icon katika kwaya za kanisa Anglikana ... ni "marolimodo" wangu katika ufundishaji wa kwaya!
@georgemassebu20832 жыл бұрын
Aisee..kwa miaka mingi sana nimetamani kumuona huyo dada wa tano kutoka kulia safu ya mbele,huyu dada mweusi...tafadhari nijue alipo nikamsalimie popote pale kama yu hai
@stephen36142 жыл бұрын
This CHOIR has played a very VITAL ROLE in my LIFE;May ALMIGHTY GOD BLESS YOU AND YOUR GENERATIONS INDEED.
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Amen, we are glad and humbled to have been of impact in your life; May our Good Lord Jesus Christ bless you and your beloved ones
@gracehezron1216
2 жыл бұрын
Glory to God
@gracehezron1216
2 жыл бұрын
Katika shida zangu zooooteeee.Glory to God Tumaini choir
@emmanuelmollel77554 жыл бұрын
Za kale dhahabu hapo nikumbuka niikuwa nakuwa naikuta hii nyimbo ila mpk leo inanigusa xana na naipenda itx ma favourate choir n' itx inxpire me enough
@esdraskambale9661 Жыл бұрын
Nyimbo hizo zajigenga sana. Mungu wetu aibariki shangilieni vizazi kwa vizazi
@nsajigwarichard19513 жыл бұрын
Nasikia kutiwa moyo sana sana. Mungu awabariki sana wapenzi
@innocentkamote74586 жыл бұрын
Kwaya yangu ya kwanza kabisa kuisikiliza na kuipenda mnafanya kazi nzuri sana
@benjaminjackson85672 ай бұрын
Kiukweli mi huwa sichoki kusikiliza hizi Nyimbo zote🙏🏿🙏🏿🙏🏿♥️♥️♥️🌹🌹🌹🇹🇿🇹🇿
@TumainiShangilieniChoir
2 ай бұрын
Ameen, Mungu wa Mbinguni Akubariki
@tuomwinuka4460 Жыл бұрын
This is my best song from my child hood...nakulilia Jehovah ...stay blessed my people mmenikumbusha mbali Sana na uimbaji uaiochuja
@merina73482 жыл бұрын
Anglican Mungu atuimarishe tuzidi viwango zaidi ya hivi sasa congole Tumaini choir St.James
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Amen Amen, Ahsante kwa maombi; Mungu wetu mwema akubariki sana
@josphenenezerine26856 ай бұрын
Amen , nakutengemeya wewe Mungu wangu katika shida zangu zote na maitaji yangu yote🙏🙏🙏🙏
@dingo21102 жыл бұрын
Heard this song from Ben mnyampi a salvation army officer missionary in Kenya who taught it to joyland special school for the disabled children.30years ago and it was a blessing and to date it touches my heart mightly...
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
We are so much humbled to have been a blessing into your life and the lives of those young children to who it was taught.
@lomaolais41552 жыл бұрын
Hawa watu Mungu awabariki uimbaji wao unanibariki sana, nimekuwa nikiwafuatilia toka miaka ya 2000
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Amen, Mungu akubariki pia
@josepharunga46146 жыл бұрын
Tangu ujana wenu m'enibariki kwa nyimbo zenu. Nawaombea neema zake Mwenyezi Mungu. M'eimba nyimbo nyingi nzuri, lakini huu mkanda ndio my favorite! Be blessed
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Amen AMen; Ahsante sana kwa maombi
@hugongokoko7946
Жыл бұрын
Hakika Mungu alikuwepo karibu enzi hizo
@mozesamizi9312 жыл бұрын
Wapendwa nyie watu wa Mungu mpo!!,wangapi waliimba hii wapo hadi leo!Mungu awabariki
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Tupo ndugu na rafiki yetu. Wapo wengi zaidi ya asilimia 95
@israelkisaila8401
11 ай бұрын
@@TumainiShangilieniChoirnatamani siku moja tuwas8kie wote wakitoa shuhuda zao ,tangu walipoanza kuimba mpaka sasa,tuwasikie,mnatubariki mnoo
@manasemkofira55042 жыл бұрын
The song reminds me when i was studying in Arusha
@Mombasa-gz7rd18 күн бұрын
Great people great song.Thanks a lot i'm blessed
@petermboye81187 жыл бұрын
God Bless you! One of the Best Gospel Albums of all times
@godygody62582 жыл бұрын
Mbalikiwe Sana watumishi
@mangikariakoo42973 ай бұрын
Nakulilia jehova 2024
@frankahia18832 жыл бұрын
Very special song And wonderful hakika Mungu alitukuzwa kupitia wimbo huu
@greysonmheni69383 жыл бұрын
Ee Mungu uwakumbuke watumishi wako hawa.
@eliudlucas87195 ай бұрын
Amina maina aaah inabariki saana
@obadiakapinga53154 жыл бұрын
tangu nikiwa mdogo mpaka leo bado nasikiliza nyimbo zenu nzuri...dada yangu alikuwa mtu wa kwanza kununua kanda yenu miaka iyo....thanks mungu kunifanya nikawajua na kuwafuatilia
@stephanimtaita115810 ай бұрын
Duuh kazi nzuri sana hii... Nausikiliza wimbo huu tangu ninunue kanda ya audio mwaka 2002.. Miaka 21 sasa
@amospemba189 Жыл бұрын
kweli nimetoka mbali kipindi hicho nishaoga tuawekewa mkanda wa kwaya hivi. mbarikiwe 👌
@ev.shadrackbendepsalmist.66713 жыл бұрын
Huu wimbo ni wa mwaka gani nilianza kuutaza nyimbo zenu nikiwa darasa la tatu na sasa ni mzee...nyimbo zenu hazizeeki
@TumainiShangilieniChoir
3 жыл бұрын
Early 1992
@donaldmhulula68883 жыл бұрын
Naishukuru sana St.Phillips Anglican Theologian College Ya Dodoma Kongwa Kijiji cha Mlanga Nakumbuka Tulikua tuna ruhusiwa kuangalia Television siku ya juma Pili,na hivi ndivyo nika pata kuwajua ! na wimbo huu una endelea kuni jenga ki IMANI, nabarikiwa sana pia wabarikiwe wachungaji wanafunzi kwa kutuambukiza imani na kutujenga katika misingi mizuri mpaka hii leo tuna endelea na misimamo ya ki ROHO.
@TumainiShangilieniChoir
3 жыл бұрын
Hii ni kumbukumbu njema sana. Tunakuombea Mungu aendelee kukutunza.
@tumainisampeta5570
3 жыл бұрын
Mungu awabariki sana
@donaldmhulula6888
2 жыл бұрын
@@TumainiShangilieniChoir Amina watumishi
@listonmassao51304 жыл бұрын
the best choir of all time...Cjawah zichoka hizi nyimbo Tangu enz hizo mpka mda huu...Mungu azid kuwatangulia na hizi nyimbo bdo ni hit songs kwangu...AMen.
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Tunashukuru sana kwa maombi yako ndugu. Mungu aendelee kukutunza wewe na nyumba yako.
@bizamanamvukira78334 жыл бұрын
Nashukuru Mungu kupata nyimbo hizi ni nzuri sana nilikuwa na album hii 1999 Sasa leo naipata nashukuru Mungu sana Mubarikiwe
@peterelisha40585 жыл бұрын
aliyetunga huu wimbo atalipwa kwa huduma yake
@johnjames72106 жыл бұрын
kanisa langu ninalo sali..... hongereni sana na mbarikiwe sana
@labanakyoo41772 жыл бұрын
Mungu awabariki popote mlipo mlioimba wimbo huu, mliimba Kwa msaada wa roho mtakatifu, Bwana asiwaache,
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Amen
@thedreamer39912 жыл бұрын
May the Lord continue blessing tumaini choir together with your families.. Awesome song
@mwitasamwel79726 жыл бұрын
Jeshi lijapojipanga kupigana nami sitaogopa nakutegea wewe bwana wangu . mmbarikiwe sana popote mlipo st.james Arusha
@SuperBlessedb
3 жыл бұрын
Hayo maneno ninayapenda sana
@shamambaalain11223 жыл бұрын
this song is very powerful
@lordorcas93449 ай бұрын
Shalom E Bwana Yesu Kuja Ku tu Chukuwa mi na Choka Sana
@tusajigwe749110 ай бұрын
Old is gold 🥇 for us 80s
@johnruthaclaud8950 Жыл бұрын
Jeshi lijapo jipanga kupigana NAMI sitaogopa sababu wewe upo!!
@jaylesjayles23883 жыл бұрын
😣heart touching ,motivating adi leo,be blessed songwriter
@anifampiluka80292 жыл бұрын
Nilipenda sana hii nikiwa mtoto kiukweli nimefurahi sana kuisikia tena
@yusramgendi85825 жыл бұрын
Naipenda sn hii nyimbo nikiisikiliza napata amani ya ajabu.! inanikumbusha mbali sn! DahMungu awabariki sn.
@geraldnyawehe7421
3 жыл бұрын
Nawakumbuka sana nduguzangu mungu ayilinde Atlanta zenu.kiukweli ninamkumbuka Joni mtango wakati ninaimba kwaya yazaburi Ngaramtoni kiukweli walikuwa wanatupahamasa sana Mimi mpaka leonasikiliza hikwsya
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Amen, Mungu akubariki zaid
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Amen, Tunashukuru sana
@soplisjoachim58843 жыл бұрын
Kwaya imejipanga mpaka raha , M/Mungu awabariki sana , nitakuja kusali nanyi siku moja
@abedisan35634 жыл бұрын
Wimbo wa maombi
@billyrique6 жыл бұрын
Yaani huu wimbo ninapokuwa katika shida na majaribu nikiusikiliza huwa wanifariji sanaa! Maneno mazuri yanagusa sanaa!!
@billyrique
6 жыл бұрын
One of my best songs from this choir TUMAINI SHANGILIENI CHOIR ST. JAMES AC ARUSHA
@idikagutsungwa7784
4 жыл бұрын
Hakika wameimba
@charlesb.mwaipeta84156 жыл бұрын
Daaaa, mmenikumbusha mbali sana, hii kwaya iliimba sana album hii. huu wimbo naupenda kupitiliza
Пікірлер: 357
dunuia imetoka mbali sana jaman ..........kama mnanikubali gongeeni like kwenye huu wimbo jaman ............mbarikiwe wote mnaosikiliiza huu wimbo
@faustinesimon1240
4 жыл бұрын
Huu wimbo una upako wa ajabu sana yaani ukiwa na shida unakufariji mpaka
Tumaini shangilieni mungu awabariki sana mnaimba vizuri sana
@TumainiShangilieniChoir
2 ай бұрын
Amen Amen, Sifa na Utukufu ni kwa Bwana Yesu
nakulilia wewe pekee mungu toka 1992 mpaka Sasa 2024,jitukuze kwangu mungu
Enzi hizo za Albamu ya SHANGILIENI, hadi tukawaita "kwaya ya shangilieni". Hakika waimbaji wakitulia na Mungu, kazi zao huwa zinaishi hazichuji.
@georgemzuli3422
4 жыл бұрын
Hakika hakika
@georgemzuli3422
4 жыл бұрын
Sitaogopa sababu ww upo Nakutegemea eweeh bwana wangu Katika shida zangu zoteee
@cristianoprincegabrielles3951
3 жыл бұрын
Wallahi Bro Hii Choir unikumbusha mbali sana yaani, Marehemu Babangu aliipenda sana nasi kama watoto wake tukafata mkondo huo na tuliita jina hilo pia,,,, "Shangilieni Choir"
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Ni maombi yetu kwamba Mungu aendelee kuwatunza na kuwahudumia mwilini na rohoni
@cristianoprincegabrielles3951
2 жыл бұрын
@@TumainiShangilieniChoir Amen 🙏. Nawapenda sana Choir inayoubariki Moyo wangu ♥️🤗🤗🤗
Pongezi zenu nyingi toka kwangu. Mlitia fora sana pale Kifula, Ugweno wilayani Mwanga mlipokesha mkiimba katika harusi yangu JULAI 11, 1992!!! SITAWASAHAU!
@TumainiShangilieniChoir
3 жыл бұрын
Amen Amen. Ahsante sana; Mungu akubariki.
Jeshi lijapo pigana nami sitoogopa maana upo jeova❤❤
Jeshi linapojipanga kupigana nami sintaogopa! Mbarikiwe wote mlioshikiri kuimba Wimbo mzuri huu!
Ni wimbo ambao kiukweli unatafakarisha sn ee MWENYENZI UTUPE MWISHO MWEMA AMEEEEEEEEEEEEEEN
2023 niko hapa nakulilia Jehovah
@user-vm4yb1em4p
3 ай бұрын
Same here
Akika mulihimba vizuli mungu awabariki❤
Nilikuwa mdogo sana enzi hizo lakin Kwa uimbaji wao sijawah kuwasahau jaman mungu awabariki sana hata kama wapo ambao wachatutangulia najua mungu ashawappokea
Nakutolea Mwokozi mali na maisha yangu, nikutukuze we Mungu; Ulimwengu navyo vyote viijazavyo dunia vyote ni mali yako Bwana. Maisha, napita; najiwekea hazina kwako ee Baba.
aisee hizi nyimbo hizi😢 MUNGU aturehemu tu tuendelee kuwa wazma! popote alipo mama yangu mama ngoro! mlitubaliki sana
More than 15years listening to this song,kila siku is a new song in my heart.
@TumainiShangilieniChoir
3 жыл бұрын
We pray that Jehovah, our Lord almighty who hears our cries, that he hears and remember you in your time of grief and rejoice
@georgemassebu2083
2 жыл бұрын
Acha tu aisee...nakumbuka maisha fulani hivi kiasi natoaga machozi,zamani hairudi na raha zake
@janethballi
Жыл бұрын
Asante sana mungu awatunze
@MnkondoBendera
11 ай бұрын
@@TumainiShangilieniChoir0:33 0:33
@user-fu4ki2ph7h
9 ай бұрын
The Psalm of David, still speaking and encouraging us to this day😢
MUNGU awatangulie sana nabarikiwa kupitia nyimbo hii sifa na utukufu ni kwako bwana🙏Asanten wazazi wangu Patrick Kiteleja na selina mkinga
Eeehhh mungu wangu tutazame waja wako, mpaka inanitoa machoz
Nakumbuka mengi na wengi,lakini katika hayo yote MUNGU utukuzwe,kwani ni mapenzi yako,naupenda sana sana huu wimbo.
Huu wimbo...is one of the best songs I've heard when I was a little child. Naupenda sana na unanikumbusha mbali sana wakati nikiwa mtoto
@festohkozby1378
3 жыл бұрын
That makes the two of us
@bonifasiakalumanga9188
2 жыл бұрын
Nami naupenda Sana,unanikumbusha mbali.hongera Sana.
@wittokalinga8316
11 ай бұрын
Hakika nyimbo zao huwa zinanibariki sana
Furaha ilioje kuslikiza tena nyimbo zangu za utotoni asante Yesu
Naupenda sana wimbo huu. Unanikumbusha Radio Habari Maalum
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Amen
This song reminds me of my late mum she used to love it
@TumainiShangilieniChoir
3 жыл бұрын
May her precious soul rest in eternal peace
Wapendwa mnanibariki Sana nawapenda sana❤❤❤❤❤
Kila mwaka napitia huku time hizi, Udogo wangu ulikwenda poa sana enzi hizi ... Mungu awabariki wote kwa namna yake aisee!!
This song sounds heavenly. Takes me back in time
2020 February much love from Kenya. Since 1996 till now. Thank you God for everything
@newtonsimba7930
6 ай бұрын
Amen ❤️.
Mungu awabariki sana,naposikiliza huu wimbo naona utukufu wa mungu kwakweli
@TumainiShangilieniChoir
2 ай бұрын
Amen, Endelea Kubarikiwa
Amen. Nimebarikiwa nikakumbuka nyakati za DVD. Be blessed. Wonderful song ❤️🌹🇰🇪.
Nabarikiwa mnoo na hii nyimbo.
Wimbo huu hunipa nafasi ya kutafakari sana wema mungu juu ya maisha yangu:
Amna sanaaa nabalikiwa Sana wimbo mzur una ujumbe
jamani BWANA YESU ASIFIWE naombeni niurudie huu wimbo niufanyue kava nimeupenda sana umekua ukiutesa ufahamu wangu siku nyingi japo sina cha kuwapa niombi tu
Tumaini hapana lingana Na kwaya yeyote,mko Na upako wa tofauti sanaaaa. Mbarikiwe mpaka mshangae.
Mbarikiwe sana "jeshi lijapo jipanga kupigana nami sitaogopa sababu wewe upo"🙏🙏
Nakutegemea wew Bwana wangu katika shida zangu zote. 🙏🙏😭😭😭😭
@TumainiShangilieniChoir
2 ай бұрын
Mungu wa Mbinguni Akubariki
I have goose bumps whenever I listenen to this tumaini's songs, those were the days where people used to let the spirit of God takes the first place.
Still sweet in 2021 kama wasikiza Bado in 2021 drop your like
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Blessings
@newtonsimba7930
6 ай бұрын
2024 here. Blessed.
Nawakumbuka Sana wapendwa karibuni Tena singida.niliwaona nikiwa umri mdogo bt now 2022 nyimbo zenu bado zinaishi moyoni mwangu.mungu awape maisha marefu mzidi kumtangaza bwana kwa nyimbo zenu.
Umejaa nguvu Roho mtakatifu
Nakutolea mwokozi, mali na maisha yangu.... vikutukuze ewe MUNGU... zamani utotoni nilikua nakasirika sana hizi video waziziweka yaani leo ndo naelewa ujumbe😁
Wakati Mungu ali kuwa na heshimika
Kila siku huwa nasikiliza wimbo huu maana hunipa nguvu hakika kama hawa waimbaji wapo hai waendelee Kubarikiwe .
This brethren preached grace without their knowledge. The hand of God was upon them for God to reach out to us. I personally I received grace from their message and I think some today are old enough to sit and hear other generations singing but their songs were sawn together by the Holy Spirit. Thanks to God and to you for being a bridge for my reach out.
So many memories during that time and we are still here 2023.God is Great
Still so touching, 2024Jan1.Sitaogopa, nitamtegemea Bwana. Amen❤️🇰🇪.
Hata mm huu wimbo unanikumbusha mbali San miaka kumi 15 iliyopita
nazipeza sana nyimbo za hii album ...zinanibariki mnoooo❤️
Hawa ndio waliipeleka injili ya kweli hata kuimba kwao walidhamilia kumtimikia Mungu sio km waimbaji wa Leo wanataka kujionyesha na sifa nyingi na kwa ajili ya pesa tu
Wakati huo waimbaji walikuwa hawajalipwa wasanii wa mziki wa injili, walitumia neno la hekima kwaya, shetani mwovu alikuwa hajavamia vikundi vya kwaya
This song sang in my heart yesterday night, Jeshi lijapojipanga kupigana nami sitaogopa sababu we upo 🙏🙌 asante yesu
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Ni Maombi Yetu Kuwa Mungu akapigane vita yako na adui zako
@sheilamohamed859
Жыл бұрын
Mi enyew naipenda vby eee yesu simama nasi
Hii kwaya nyimbo zoa zinanifariji na kunibariki sana.MUNGU awabariki sana
Nakumbuka mbali nahisi kulia kwa kweli (nakutegemea ewe bwana wangu katoka shida zangu zote) kama kuna walio tangulia mbele za haki kati yao mungu awafanyie wepesi .
@josephkiteleja5102
11 ай бұрын
Amina kwa kweli utoto wetu ulikuwa mzuri sana
Tafadhali twahitaji nyimbo zaidi kama hizi si sarakasi, Asante.
2021 AND STILL WATCHING THE SONG
Mungu awabariki sana. Wimbo Mzuri naupenda sana
Hawa jamaa hawachuji aisee... ni icon katika kwaya za kanisa Anglikana ... ni "marolimodo" wangu katika ufundishaji wa kwaya!
Aisee..kwa miaka mingi sana nimetamani kumuona huyo dada wa tano kutoka kulia safu ya mbele,huyu dada mweusi...tafadhari nijue alipo nikamsalimie popote pale kama yu hai
This CHOIR has played a very VITAL ROLE in my LIFE;May ALMIGHTY GOD BLESS YOU AND YOUR GENERATIONS INDEED.
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Amen, we are glad and humbled to have been of impact in your life; May our Good Lord Jesus Christ bless you and your beloved ones
@gracehezron1216
2 жыл бұрын
Glory to God
@gracehezron1216
2 жыл бұрын
Katika shida zangu zooooteeee.Glory to God Tumaini choir
Za kale dhahabu hapo nikumbuka niikuwa nakuwa naikuta hii nyimbo ila mpk leo inanigusa xana na naipenda itx ma favourate choir n' itx inxpire me enough
Nyimbo hizo zajigenga sana. Mungu wetu aibariki shangilieni vizazi kwa vizazi
Nasikia kutiwa moyo sana sana. Mungu awabariki sana wapenzi
Kwaya yangu ya kwanza kabisa kuisikiliza na kuipenda mnafanya kazi nzuri sana
Kiukweli mi huwa sichoki kusikiliza hizi Nyimbo zote🙏🏿🙏🏿🙏🏿♥️♥️♥️🌹🌹🌹🇹🇿🇹🇿
@TumainiShangilieniChoir
2 ай бұрын
Ameen, Mungu wa Mbinguni Akubariki
This is my best song from my child hood...nakulilia Jehovah ...stay blessed my people mmenikumbusha mbali Sana na uimbaji uaiochuja
Anglican Mungu atuimarishe tuzidi viwango zaidi ya hivi sasa congole Tumaini choir St.James
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Amen Amen, Ahsante kwa maombi; Mungu wetu mwema akubariki sana
Amen , nakutengemeya wewe Mungu wangu katika shida zangu zote na maitaji yangu yote🙏🙏🙏🙏
Heard this song from Ben mnyampi a salvation army officer missionary in Kenya who taught it to joyland special school for the disabled children.30years ago and it was a blessing and to date it touches my heart mightly...
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
We are so much humbled to have been a blessing into your life and the lives of those young children to who it was taught.
Hawa watu Mungu awabariki uimbaji wao unanibariki sana, nimekuwa nikiwafuatilia toka miaka ya 2000
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Amen, Mungu akubariki pia
Tangu ujana wenu m'enibariki kwa nyimbo zenu. Nawaombea neema zake Mwenyezi Mungu. M'eimba nyimbo nyingi nzuri, lakini huu mkanda ndio my favorite! Be blessed
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Amen AMen; Ahsante sana kwa maombi
@hugongokoko7946
Жыл бұрын
Hakika Mungu alikuwepo karibu enzi hizo
Wapendwa nyie watu wa Mungu mpo!!,wangapi waliimba hii wapo hadi leo!Mungu awabariki
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Tupo ndugu na rafiki yetu. Wapo wengi zaidi ya asilimia 95
@israelkisaila8401
11 ай бұрын
@@TumainiShangilieniChoirnatamani siku moja tuwas8kie wote wakitoa shuhuda zao ,tangu walipoanza kuimba mpaka sasa,tuwasikie,mnatubariki mnoo
The song reminds me when i was studying in Arusha
Great people great song.Thanks a lot i'm blessed
God Bless you! One of the Best Gospel Albums of all times
Mbalikiwe Sana watumishi
Nakulilia jehova 2024
Very special song And wonderful hakika Mungu alitukuzwa kupitia wimbo huu
Ee Mungu uwakumbuke watumishi wako hawa.
Amina maina aaah inabariki saana
tangu nikiwa mdogo mpaka leo bado nasikiliza nyimbo zenu nzuri...dada yangu alikuwa mtu wa kwanza kununua kanda yenu miaka iyo....thanks mungu kunifanya nikawajua na kuwafuatilia
Duuh kazi nzuri sana hii... Nausikiliza wimbo huu tangu ninunue kanda ya audio mwaka 2002.. Miaka 21 sasa
kweli nimetoka mbali kipindi hicho nishaoga tuawekewa mkanda wa kwaya hivi. mbarikiwe 👌
Huu wimbo ni wa mwaka gani nilianza kuutaza nyimbo zenu nikiwa darasa la tatu na sasa ni mzee...nyimbo zenu hazizeeki
@TumainiShangilieniChoir
3 жыл бұрын
Early 1992
Naishukuru sana St.Phillips Anglican Theologian College Ya Dodoma Kongwa Kijiji cha Mlanga Nakumbuka Tulikua tuna ruhusiwa kuangalia Television siku ya juma Pili,na hivi ndivyo nika pata kuwajua ! na wimbo huu una endelea kuni jenga ki IMANI, nabarikiwa sana pia wabarikiwe wachungaji wanafunzi kwa kutuambukiza imani na kutujenga katika misingi mizuri mpaka hii leo tuna endelea na misimamo ya ki ROHO.
@TumainiShangilieniChoir
3 жыл бұрын
Hii ni kumbukumbu njema sana. Tunakuombea Mungu aendelee kukutunza.
@tumainisampeta5570
3 жыл бұрын
Mungu awabariki sana
@donaldmhulula6888
2 жыл бұрын
@@TumainiShangilieniChoir Amina watumishi
the best choir of all time...Cjawah zichoka hizi nyimbo Tangu enz hizo mpka mda huu...Mungu azid kuwatangulia na hizi nyimbo bdo ni hit songs kwangu...AMen.
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Tunashukuru sana kwa maombi yako ndugu. Mungu aendelee kukutunza wewe na nyumba yako.
Nashukuru Mungu kupata nyimbo hizi ni nzuri sana nilikuwa na album hii 1999 Sasa leo naipata nashukuru Mungu sana Mubarikiwe
aliyetunga huu wimbo atalipwa kwa huduma yake
kanisa langu ninalo sali..... hongereni sana na mbarikiwe sana
Mungu awabariki popote mlipo mlioimba wimbo huu, mliimba Kwa msaada wa roho mtakatifu, Bwana asiwaache,
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Amen
May the Lord continue blessing tumaini choir together with your families.. Awesome song
Jeshi lijapojipanga kupigana nami sitaogopa nakutegea wewe bwana wangu . mmbarikiwe sana popote mlipo st.james Arusha
@SuperBlessedb
3 жыл бұрын
Hayo maneno ninayapenda sana
this song is very powerful
Shalom E Bwana Yesu Kuja Ku tu Chukuwa mi na Choka Sana
Old is gold 🥇 for us 80s
Jeshi lijapo jipanga kupigana NAMI sitaogopa sababu wewe upo!!
😣heart touching ,motivating adi leo,be blessed songwriter
Nilipenda sana hii nikiwa mtoto kiukweli nimefurahi sana kuisikia tena
Naipenda sn hii nyimbo nikiisikiliza napata amani ya ajabu.! inanikumbusha mbali sn! DahMungu awabariki sn.
@geraldnyawehe7421
3 жыл бұрын
Nawakumbuka sana nduguzangu mungu ayilinde Atlanta zenu.kiukweli ninamkumbuka Joni mtango wakati ninaimba kwaya yazaburi Ngaramtoni kiukweli walikuwa wanatupahamasa sana Mimi mpaka leonasikiliza hikwsya
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Amen, Mungu akubariki zaid
@TumainiShangilieniChoir
2 жыл бұрын
Amen, Tunashukuru sana
Kwaya imejipanga mpaka raha , M/Mungu awabariki sana , nitakuja kusali nanyi siku moja
Wimbo wa maombi
Yaani huu wimbo ninapokuwa katika shida na majaribu nikiusikiliza huwa wanifariji sanaa! Maneno mazuri yanagusa sanaa!!
@billyrique
6 жыл бұрын
One of my best songs from this choir TUMAINI SHANGILIENI CHOIR ST. JAMES AC ARUSHA
@idikagutsungwa7784
4 жыл бұрын
Hakika wameimba
Daaaa, mmenikumbusha mbali sana, hii kwaya iliimba sana album hii. huu wimbo naupenda kupitiliza