Baba ADONAI Mungu wa Israel ni hurumie mi Na kutendeya mawovu Lakini mi Na gusua Na iyi Wimbo kueli God Bless All Love ❤️
@lordorcas9344Күн бұрын
❤❤❤🙏✝️🇮🇱♥️💕❤️🇮🇱✝️
@lordorcas9344Күн бұрын
ADAMU ADAMU Hee Utu Saidiye tuingie mbinguni Baba Mungu Yesu Christu Ni ta Ji ficha Wapi na Dhambi Zangu ?ni sikiye Uruma
@happyedward5635Күн бұрын
Naipenda san hii Kwaya
@raphaelmwamakimbula9642Күн бұрын
🎉❤☑️✍️👏
@nathanielgasper582Күн бұрын
Amazing sana
@MichaelKingazi-wm7xjКүн бұрын
Walter mungu.akutunze sana,kazi yako nia.njema sana, Amen
@MichaelKingazi-wm7xjКүн бұрын
This is teacher elkana composition it's the best song.
@lovenessshore6752Күн бұрын
Mtangoo music
@lovenessshore6752Күн бұрын
I like it ❤, Mungu azidi kuwainua wapendwa
@DennisMhemaКүн бұрын
Mungu awatunze
@papaamarsha16592 күн бұрын
Tunausubiri Huu Wimbo Mpya
@rehemaissae2 күн бұрын
Ninakungoja Yesu bado, NINAKUAMINI bado
@evamanyenye34172 күн бұрын
Jamani inanikumbusha mbaaali sana mbarikiwe sana
@evamanyenye34172 күн бұрын
Kitambo Mungu ni mwema
@HezroniMwasonya-j8y3 күн бұрын
Nawakubali sana awa jamaa ujumbe wao unaendelea kuishi vizazi vyote
@GilesJacksonNyavula3 күн бұрын
uSHUHUDA NI MENGI KUHUSU NJONZI... MBARIKIWE
@philipomponeja24575 күн бұрын
Nimekumbuka mbali
@FloraErasto-ld1kd6 күн бұрын
2024 july still napata ujumbe wa Mungu
@FloraErasto-ld1kd6 күн бұрын
Hizi ndo kwaya sasa, mafundisho, kuonya hapa sawa kabisa. Asante Mungu kwa ajili yao.
@BokaKajembe7 күн бұрын
Tumain 5:13
@user-to6ke6ce1u8 күн бұрын
Jamani daah wimbo huu unanikumbusha mbali. Mungu azidi kuwabariki sana. By Mama wendo Dodoma.
@rehemasambwe6379 күн бұрын
2024❤ still the best song ever
@amanisausi55299 күн бұрын
HAMJAWAHI CHUJA HATA SIKU MOJA MIMI HUWA NAWAITA NI UTAMBULISHO WA WAIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI KAMA SIO TANZANIA BASI NI AFRIKA
@juliekavunga48409 күн бұрын
Mbarikiwe wapendwa.❤
@muhubirirwesapaul315010 күн бұрын
Wimbo wakiroho kweli. Waimbaji hawa Mungu awabariki
@MeryanSaulo10 күн бұрын
Hapa ndipo kichaa cha kuabudu kinanianzia
@samwelingasa163810 күн бұрын
Enzi hizo jamani kanda hizi🙂
@shaapedtreasure419711 күн бұрын
Njozi ❤❤
@moniquewanjiru108413 күн бұрын
Back here in 2024July
@Joelherman-mp2dv13 күн бұрын
from 2013 to 2024 still ipo good in my heart ,God bless you this choir is the best to me 💖
@NeemaDaudi-b8m13 күн бұрын
Hakika ni mzuri sana,pia niliutafuta kwa mda sana,mungu azidi kutubarikinao,
@user-mo4dq6vb9u15 күн бұрын
Aaamen
@tumainijoshua509015 күн бұрын
Hivi kwanini lakini Bwana Yesu wewe upo hivi!
@florahmushi74816 күн бұрын
Umenikumbusha mbali Sana wimbo huu
@user-rk5qu1pt4m17 күн бұрын
Wazeee wakutokupoa ahahahaaà ongereni Sana miamba ya uimbaji mko vzr Sana ongggereni
@Mombasa-gz7rd18 күн бұрын
Great people great song.Thanks a lot i'm blessed
@Mombasa-gz7rd18 күн бұрын
This is altimate I can't get any better song than this one.Congratulations
@AdamChambo-mf4ek21 күн бұрын
Good
@AdamChambo-mf4ek21 күн бұрын
Hongereni sana wana wa Mungu,mnanikosha kwelikweli,uimbaji uliopevuka huu,vyombo kwa ustadi mkubwa sana,waimbaji wanasikika vyema hawatafuni maneno,ujumbe umetulia,nawaona wakongwe wote hapo.mgosi luka,Mungu awabariki sana.
@user-op4fp7tp3i22 күн бұрын
Inanibariki haswa❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
@samwelingasa163822 күн бұрын
Enzi hizo jamani kazi yenu Mungu anakumbuka
@RehemaJames-rc7hc22 күн бұрын
Mpaka rahaa mimi mwanakwaya wa Nazaret Tanga
@user-ul6yw3vx6f23 күн бұрын
Kwakweli Mungu awabariki,nilikua nikitazama huu wimbo nilipojifungua mtoto wangu ambae sasa ana maliza chuo kikuu, haijachuja barikiweni sana
@justinekamala970324 күн бұрын
Huu wimbo umenitoa machoz kwani umenikumbusha mwk 2002 wkt naanza kuuona kupitia vidio na ile mikanda mikubwa mikubwa tunaingiza kwenye deki
@deusdeditsimba445226 күн бұрын
Sijaupenda nataka uleule uliorekodiwa wakati ule jamani urudisheni You Tube
@WemaMgale26 күн бұрын
Yaani inakubusha mbali mungu awabariki sana
@samwelmwazini27 күн бұрын
🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@JaphetNalaa29 күн бұрын
Naipenda sana hii kwaya hasa nikimuona Godfrey na Beatrice Mungu awabariki sana
Пікірлер
Baba ADONAI Mungu wa Israel ni hurumie mi Na kutendeya mawovu Lakini mi Na gusua Na iyi Wimbo kueli God Bless All Love ❤️
❤❤❤🙏✝️🇮🇱♥️💕❤️🇮🇱✝️
ADAMU ADAMU Hee Utu Saidiye tuingie mbinguni Baba Mungu Yesu Christu Ni ta Ji ficha Wapi na Dhambi Zangu ?ni sikiye Uruma
Naipenda san hii Kwaya
🎉❤☑️✍️👏
Amazing sana
Walter mungu.akutunze sana,kazi yako nia.njema sana, Amen
This is teacher elkana composition it's the best song.
Mtangoo music
I like it ❤, Mungu azidi kuwainua wapendwa
Mungu awatunze
Tunausubiri Huu Wimbo Mpya
Ninakungoja Yesu bado, NINAKUAMINI bado
Jamani inanikumbusha mbaaali sana mbarikiwe sana
Kitambo Mungu ni mwema
Nawakubali sana awa jamaa ujumbe wao unaendelea kuishi vizazi vyote
uSHUHUDA NI MENGI KUHUSU NJONZI... MBARIKIWE
Nimekumbuka mbali
2024 july still napata ujumbe wa Mungu
Hizi ndo kwaya sasa, mafundisho, kuonya hapa sawa kabisa. Asante Mungu kwa ajili yao.
Tumain 5:13
Jamani daah wimbo huu unanikumbusha mbali. Mungu azidi kuwabariki sana. By Mama wendo Dodoma.
2024❤ still the best song ever
HAMJAWAHI CHUJA HATA SIKU MOJA MIMI HUWA NAWAITA NI UTAMBULISHO WA WAIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI KAMA SIO TANZANIA BASI NI AFRIKA
Mbarikiwe wapendwa.❤
Wimbo wakiroho kweli. Waimbaji hawa Mungu awabariki
Hapa ndipo kichaa cha kuabudu kinanianzia
Enzi hizo jamani kanda hizi🙂
Njozi ❤❤
Back here in 2024July
from 2013 to 2024 still ipo good in my heart ,God bless you this choir is the best to me 💖
Hakika ni mzuri sana,pia niliutafuta kwa mda sana,mungu azidi kutubarikinao,
Aaamen
Hivi kwanini lakini Bwana Yesu wewe upo hivi!
Umenikumbusha mbali Sana wimbo huu
Wazeee wakutokupoa ahahahaaà ongereni Sana miamba ya uimbaji mko vzr Sana ongggereni
Great people great song.Thanks a lot i'm blessed
This is altimate I can't get any better song than this one.Congratulations
Good
Hongereni sana wana wa Mungu,mnanikosha kwelikweli,uimbaji uliopevuka huu,vyombo kwa ustadi mkubwa sana,waimbaji wanasikika vyema hawatafuni maneno,ujumbe umetulia,nawaona wakongwe wote hapo.mgosi luka,Mungu awabariki sana.
Inanibariki haswa❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Enzi hizo jamani kazi yenu Mungu anakumbuka
Mpaka rahaa mimi mwanakwaya wa Nazaret Tanga
Kwakweli Mungu awabariki,nilikua nikitazama huu wimbo nilipojifungua mtoto wangu ambae sasa ana maliza chuo kikuu, haijachuja barikiweni sana
Huu wimbo umenitoa machoz kwani umenikumbusha mwk 2002 wkt naanza kuuona kupitia vidio na ile mikanda mikubwa mikubwa tunaingiza kwenye deki
Sijaupenda nataka uleule uliorekodiwa wakati ule jamani urudisheni You Tube
Yaani inakubusha mbali mungu awabariki sana
🙏🏾🙏🏾🙏🏾
Naipenda sana hii kwaya hasa nikimuona Godfrey na Beatrice Mungu awabariki sana
Inabidi tujifunze kitu kuptia huu wimbo
Ni kama jana tu nyimbo imetoka kumbe ina miaka❤