Mapigano Ulyankulu Kwaya Sisi Ni Barua Official Video
Sisi Ni Barua By Mapigano Ulyankulu Kwaya
Жүктеу.....
Пікірлер: 263
@josephwambua62532 ай бұрын
Am here 2024,,,sure hizi ndio zilikua kwaya
@user-rk6de4kn2i
11 күн бұрын
This still hits up to now,good gospel that can't perish because of it's sweetness
@nicodemusngeta2541Ай бұрын
This choir must one day perform when we enter the kingdom of heaven,,,May God helps us all to enter the kingdom of heaven.
@Princerobian7 күн бұрын
Old is gold..who is here is 2024
@jamesnteleva7073
6 күн бұрын
Here I am. Glory to God Almighty.🙏🏾
@CareneChepkemoiАй бұрын
Nimebarikiwa kupitia huu wimbo
@VeeSunshine-zr3iv19 күн бұрын
Kwa kweli nakumbuka mbali sana kwa hii kwaya, nilikuwa mtoto sana, niliizikariri. Nyimbo zote nikiwa mtoto na sasa nimezidowload , jamani kwaya inayoongozwa na Roho Mtakatifu mojawapo ni hii ujumbe mzuri sana wa neno la Mungu.
@evanceernest2562 ай бұрын
Hz ndo nymbo z gospel ambazo napend skilza... So nice... April 2024
@clementbankuwiha88776 жыл бұрын
naapa kurudi ktk imani ya kweli kwa sababu ya kuskia ujumbe ktk nyimbo zenu
@meckitilidatushabe
Жыл бұрын
❤ karibu kabisa Mungu nimwema
@paulndabunguye-tv8lg
6 ай бұрын
P0
@paulndabunguye-tv8lg
6 ай бұрын
P0
@paulndabunguye-tv8lg
6 ай бұрын
@paulndabunguye-tv8lg
6 ай бұрын
m
@monicamtenga27 күн бұрын
Haleluya mbarikiwe mno nyimbo zenu zinaupoko.
@JacquelineMapogoАй бұрын
Hizi ndo zilikua kwaya jaman ujumbe mzur maneno yanaskika vzur 🥰🥰 kwa upande wangu hazichuji
@godsonmahinyila3047 Жыл бұрын
Hizi nyimbo hazichoshi kuasikiliza, mungu bariki watu Hawa maisha marefu.
@monicamtengaАй бұрын
Mungu awabariki sana, nawapenda mno kwa kazi yenu nzuri.
@IRENEMAMAI12 күн бұрын
Turkana Girls 2004... This song reminds me of the late Viola Adeke.. she loved the song and used to sing it.. R.I.P mum Viola
@dbrothers455122 күн бұрын
2024 MPOOO, KWAYA ZENYE UJUMBE SAHIHII OLD IS GOLD 👍
@kingnikhmanay27076 жыл бұрын
Nimeacha matendo mabaya kwa Jina la Yesu,niwe barua njema,aman kwenu waimbaji
@johnreuben9143
2 жыл бұрын
Kwa nguvu zako huwezi, omba nguvu kutoka juu
@hellendaniel3809 Жыл бұрын
My childhood favourite choir. May God bless you wherever you are
@EricZimire9 күн бұрын
Na mimi najegwa sana
@robertmasatu84232 жыл бұрын
Tofauti na waimbaji wa sasa, waimbaji wa zamani walitunga nyimbo kwanza Kwa kuutafuta USO wa Mungu, ndiyo maana hizo nyimbo Zina uvuvio wa Roho Mtakatifu(ni injili tosha) za sasa ziko mwilini sana. Mungu akibariki sana hiki kizazi
@joshuakitam1364
Ай бұрын
Ukweli kabisa
@bahalamahigidaniel11 ай бұрын
Hatuna shaka mioni mwetu kuhusu ukristo wenu ndugu zetu. Kwa mtazamiyo tuh ukristo wenu umetambulika. Si kama ukristo wa leo ambao umechanganywa na ulimwengu. Sifa kwa Mungu kwa ajili yenu........ Tunawapenda saana hapa inchini Congo.
@josephj.tunguhole85628 жыл бұрын
Kwaya za zamani hakika ni nzuri kusikiliza ndani yake zimejaa mafundisho ya neno la Mungu. Mbarikiwe waimbaji wote.
@brownkalamba6118
4 жыл бұрын
Kkkt ulyankulu tabora
@barikikabungo8597 жыл бұрын
Mungu azidi kuwabariki, Uchezaji wa Kimungu kabisa, Mavazi Ya Kimungu pia, ujumbe zaidi haujaghoshiwa kabisa..
@emmanuelmapunda2070Ай бұрын
Pamoja na kwamba nyimbo hizi ziliimbwa zamani lakini ujumbe wake bado una nguvu ile ile ya kuokoa. Waliimba kwa Roho na Akili.
@timothyotiso65179 жыл бұрын
Nashukuru Mungu kwa nyimbo zenu mbarikiwe
@nzalimutua59138 жыл бұрын
sisi wakristo ni barua ya kusomwa na wote. ...amen +1
@kinasvincent21208 жыл бұрын
Ninapenda sana nyimbo za zamani. Nin ujumbe wa Biblia sana. Napenda Ulyankulu Barabara Kumi na tatu na kwaya nyingine haswa za tanzania. Mungu awabariki sana.
@kafirsantana863113 күн бұрын
Mara yangu ya kwanza kuwasikia Mapigano Ulyankulu ni mwaka 96, tangu siku hiyo ni kawa mpenzi wa muziki kupitia wao.
@DativaMboweАй бұрын
Mungu awabariki saaana❤❤
@rosemutiso91408 жыл бұрын
Nimebarikiwa na ninawapenda toka zamani
@janethshayo18797 жыл бұрын
Mungu awape maisha mareefu ili mzidi kumtumikia.
@olaislukumay5717 жыл бұрын
Izi nyimbo zinahubiri INJILI kamili Mungu awabarki
@StanStanley-kd5mz
Жыл бұрын
Nikwer nyimbo zazamani ninzur
@brazadmz94014 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana zapendezaa Mungu awabariki nyote....
@victoriambatha73892 жыл бұрын
Can't get enough of this song oooh! guitars 🎸plus message
@geraldsanga48793 жыл бұрын
Huyu baba aliyesolo ananibariki xna. Sijui yuko wapi kwa sasa. Mungu awabariki watumishi.
@mariaevansinkomola-qu5po
Ай бұрын
Elifazi,yupo ulyankulu
@ruthmusyoki8278 Жыл бұрын
The old is Gold,nazipenda Sana nyimbo zenu
@reginaldmlingi86038 жыл бұрын
Hakika Mwenyezi Mungu anatupenda sana, nyimbo za zamani zimejaa baraka na ndo maana zinadumu karne hadi karne,,hakika sisi ni barua ya kusomwa na watu wote,,Amina.
@mercyetago4020Ай бұрын
This was a wonderful choir . Memories
@Hassan_Mengi7 жыл бұрын
Zama hizo za injili zilikuwa zikiimbwa kwa utiifu na utulivu katika Roho Mtakatifu. Lakini leo kinachobaki ni waimbaji kuimba wakirukia kwenye ungo kisa technology and maneno ya kuenda na wakati. Mungu aturehemu.
@yusuphmirambo3722
6 жыл бұрын
Nafurahia hakuna mbwembwe za kidunia... Full neno na upako
@clementbankuwiha8877
6 жыл бұрын
kwli kabisaa
@rehemamasanja8875
4 жыл бұрын
Kweli zamani utiifu ktk uimbaji ulikuwepo, watu hawa wanapeleka meseji moja kwa moja, nawapenda sana.
@emamkuyu4061Ай бұрын
😂😂😂😂 wanaimba huku wakitafakari utukufu wa Mungu,✔️✔️
@masanjabugingo29429 жыл бұрын
Huu ndio uimbaji wa kiroho mbarikiwe sana.
@mwandikohamisi33409 жыл бұрын
God bless you my fellow singers. Know days, singers do not give messages like you guys, but singers of today just " show of " in order to be head. I pray that God may use me to be a singer that will preach his word, not preach my word.
@loishiyemollel86665 ай бұрын
Loo....hakika Roho mtakatifu alikuwa pamoja nao katika utendaji wa kazi yao.
@dr.martin-lawrencesifunah.95036 жыл бұрын
Am deeply touched. mbarikiwe Sana
@hakizimanaelie8916 Жыл бұрын
kweli Ashukuliwe Muumba Wa mbingu na inchi na Awabariki waimbaji hawa
@isaacsengunda30996 жыл бұрын
Mpangilio ulio bora wa sauti,,muziiki halisi ukisindikiza ujume mkuu wa Kristo Yesu,,kweli kwa Kristo kuna raha.
@anthaall4582
4 жыл бұрын
Kabisa ndaniya Cristo Sisi nivibaruwa mubarikiwe sana hadireo nabarikiwa nanyimbozenu nazinanikumbusha hapokare
@geofreylusulo61888 жыл бұрын
kweli mungu awabariki waimbaji WA zamani
@eliufookipandwa95147 жыл бұрын
nakumbuka mbalisana napo sikiliza nyimbo hizi,Tabata kimanga !
@mariammarco23877 жыл бұрын
Amen ashukuriwe baba Mungu
@neemapanga35667 жыл бұрын
nyimbo zilizojaa uwepo wa mungu wameimba ktk roho na kweli God bless u all
@sulubukatana30387 жыл бұрын
nyimbo hizi zina nibariki sana na zimejaa upako wa mungu,mubarikiwe sana waimbaji wa nyimbo za zani.
@metuschelahniyubuntu3436 жыл бұрын
Hakika nazipenda nyimbo hizi zinanijenga kiroho pia na kunikumbusha hapo myaka ya 1990 Mungu awajaze nguvu awabariki sana.
@theonestinamutole46148 жыл бұрын
huwa nafarijika sana ninaposikiliza nyimbo zenu. mbarikiwe sana na mzidi kutenda kazi ya mungu nanyi pia mtabarikiwa
@declaindeclain1659
7 жыл бұрын
mpakaaaa rahaaa
@josephatkapana7987
3 жыл бұрын
Kila mtu ajuaye mungu ni mwelewa ,nyimbo za kwaya za sasa Tofauti na zamani .Tubarikiwe sana :Amina
@destinimani67452 жыл бұрын
Kwa kweli mkristo ni barua ya kusomwa na watu wote
@user-fb8gk8cy2g6 ай бұрын
Huyo solo guitarist ako sawa.Ananikubusha mbali.
@edmondwiyama72506 жыл бұрын
Ukweli kabisa nyimbo hizi Zina mafunzo ya kumweka mtu karibu Sana na Mungu,na ni nyimbo za kiroho Zina upako wa Roho mtakatifu
@Cento9007 жыл бұрын
Amen amen, sisi ni barua kweli
@wivinemuderwa1874 Жыл бұрын
😢yesu atu saidie'kutu mikia Mungu kwa utakaso naku chunga uchuhuda
@mazambimpengewakulitete17589 жыл бұрын
Nashuku Mungu kwa kazi hii kubwa walioendesha ,maana ukitazama vizuri hata mavalio ya wanakwaya wa zamani ilikua inaonyesha kama wangali wakristu tafauti na hawa wa leo wanatuvalia hata nusu uchi?Mungu awabariki hawa sana
@jestonjonas5591
6 жыл бұрын
kweli kabisa kaka yangu
@tangusjoseph66208 ай бұрын
Mwaka huu wa 2023 Bado upako umejaa wimbo huu.Barikiweni sana Ulyankulu....
@Just_in911 Жыл бұрын
Oh tamu sana jamani❤.. inabariki sana❤
@MrMeshack857 жыл бұрын
Nashinda kuacha sikiliza huu wimbo.... What a "Wonderful Responsibility Reminding Song" this is. MUNGU AWABARIKI SANA WATUMISHI
@EliasCharlesNyanza8 жыл бұрын
Hakika sisi ni barua zinazotembea na tunasomwa na kila mmoja wetu. Tudumu katika Imani na matendo mema
@gerardmalavaga2936
3 жыл бұрын
Balikiwa waimbaji mungu awalaze pema pepon ooo my God uwa nasahau shida kwa kweli amani moyon teleee
@vinnykorir7006
3 жыл бұрын
Ni ukweli ata mm Kim kiri katika imani
@nancyyapsoi515 Жыл бұрын
Hizi nyimbo zinabariki
@gabrielkiseve42838 жыл бұрын
Yea !this song is Apure blessing for me,I listens it like everyday, The song of all times,thanks a lot.
@AgnessNjeri2 ай бұрын
MUNGU awabariki sana waimbaji
@allykazoa70656 жыл бұрын
mungu awabariki sana waimbaji wote maana uwa ninafarika sana ninapo sikiliza nyimbo hizi
@happinesstesha706113 күн бұрын
2024 nawapennda jamani sijui mko wap now days
@bahalamahigidaniel11 ай бұрын
Kuanzia utoto wangu hadi leo, nina posikiya hii nyimbo niwa nime barikiwa sana. Mungu awabariki saana
@noran7307 жыл бұрын
Hakika nyimbo hizi ni za kipekee. Nyimbo za kuabudu, za mafundisho, za kusifu. Nyimbo hizi tangu nikiwa mtoto nikisikiza kwenye VOK Nairobi, sasa mimi mtu mzima zimenibariki mno. Mubarikiwe Tanzania pia waimbaji wote wa Mwenyezi Mungu.
@liliankhasoha11837 жыл бұрын
wonderful song ,,,God bles u All mafunzo kweli
@zeridalumole43598 жыл бұрын
Hakika waimbaji wa zamani walimwimbia Mungu katika roho na kweli. Hawakuangalia maslahi yao binafsi bali walitamani kuona injili inahubiriwa na neema ya Mungu inawafikia watu wote. Mungu awabariki sana waimbaji na Mungu ameiona kazi yenu na kuithibitisha.
@bertonnaftary97026 жыл бұрын
kweli ni barua, sawasawa na neno lisemalo ss ni nuru ya ulimwengu
@MajaliwaJoseph-tj4en10 ай бұрын
Shalom. Watumishi tunatamani sana kusikiliza nyimbo za zamani lakini tunashinda kusikiza kwa sababu huduma ya kudanolodi hatuipati mb. Zinasumbua
@ulimwenguwaleo22827 жыл бұрын
Nazipenda sana nyimbo zenu kwa maana hazichuji kila siku ni mpya na sio nyimbo za sikuhizi mwezi mmoja tuu zinachuja(nyingi hazina utukufu wa Mungu). Nabarikiwa sana na nyimbo hizi
@beatricecliff2572 жыл бұрын
Injili kamili. Bila madoido...! Kweli Bwana Yesu atukukuzwe and kupewa sifa.
@jonathankizindo28176 жыл бұрын
Hakika dhamira yenu ya kutangaza neno la Mungu ni kubwa mno. nyimbo zenu zinabariki sana sana. watu wa leo na wa kesho wote watabarikiwa
@alfredkyalo43616 жыл бұрын
fantastic composition y lie i jst like this ....aaaje sweet vocal key
@alexismuhoza39214 ай бұрын
Mungu Awabariki sana
@jamesmwasambili3818 жыл бұрын
Ama kwa hakika 'Sisi ni barua' tunasomwa,eeh Mungu tusaidie tuyatende yakupendezayo wewe.
@DativaMbowe
Ай бұрын
Amen
@webingogo36333 жыл бұрын
Injili ni uweza wa Mungu uletao wokovu:
@user-md6py4sv9l6 ай бұрын
Kwakweli nyimbohizi nimahubiri kwetu
@richurassa-kb1vk9 ай бұрын
Wananikumbusha mbali sana mwaka 1998 nipo darasa 3
@juliuslijina6 жыл бұрын
Nzambe elongo na biso, Nzambe malamu tango nyoso.
@herimkwenya67826 жыл бұрын
kwa hakika huwa napata FARAJA nisikilizapo nyimbo hizi za zamani kuliko za sasa ambazo in kelele Mungu awapumzishe kwa amani waliotangulia katika kwaya hizi na awape uzee wenye FARAJA waliobaki Amen
@kiruhurajeremie52113 ай бұрын
Mubarikiwe sana
@franciskivayiru41293 жыл бұрын
Kweli tunasomwa..I like the song
@marydann640511 ай бұрын
Hizi nyimbo hazichoshi ukisikuliza masikion ,Mungu awabariki
@emmanuelthomas1078 Жыл бұрын
Daah; yaaan sauti ya 1hadi ya 4 zote zinasikika vizuri kabisa! Kwaya nyingi za siku hizi hupati sauti ya4kama hii🙏🙏🙏🙏
@edisonkatunzi Жыл бұрын
Tunaomba mtuwekee sehem ya kuudaunirodi hizinyimbo tunazi misi sana maana zikiimbwa mtu anabarikiwa sana amina
@jamesmweshy48722 жыл бұрын
This can change many lives. Infact nice work , ur wage is on hands of our Almighty God.
@presenttruthloudcryforthel53382 жыл бұрын
Hallelujah amen,,natamani sana niwe barua ya kusomwa na wengi
@kwizeraprosper17477 жыл бұрын
kwizera Prosper RUMONGE MUGARA RUREMBA Asanteni sana kwa nyimbo zenu
@azka5153 Жыл бұрын
AMEN 🙏🙏waja tuwe baruha zuri z kusomeka lwa watu wkte
@francotweve32306 жыл бұрын
nyimbo hizi zilihubir,mno wasanii wasasa wanawafurahisha tu waumin,tungo hazijakaa kumfikilisha MTU juu ya ukuu wamungu
@fidelebizindavyi26827 жыл бұрын
asante sana waimbaji mungu awabaliki sana.
@georgemutua12899 жыл бұрын
Always loves this..message well send,God bless you for the job well executed.
@jeremiahkissusi2588
6 жыл бұрын
Amina
@gerardrichardmalavaga42654 жыл бұрын
MUNGU MKUBWA JAMAN SAUT SAFI KABISA ZA WAIMBAJI HAWA WANAMSIFU MUNGU NIMEWAPENDA SISI NI MANUKATO YA KRISTO AMEN
@WalterGwonda-tu3qu Жыл бұрын
Asante ulunyankulu nimetafuta nyimbo zenu lakini nashukuru nimesipata
@ikanotv29213 жыл бұрын
Nyimbo hizi zimejaa ujumbe muhimu i
@stephenemmanuel95743 жыл бұрын
ulyankulu mungu awabariki kazi ya mungu haina makosa
@EliupendoDulle-yo4ib9 ай бұрын
Mungu wetu aliinuliwa na waimbaji wa zamani na cio waimbaji wa sky hiz wanatani
@agustinokimarokimaroo37048 жыл бұрын
Wanaimba vizuri cna aitokaa itokee kama wao tena, wabarikiwe cn
@gerardrichardmalavaga4265
4 жыл бұрын
Agustino Kimaro Kimaroo KWELI KABISA YAN NIMEWAPENDA SANA
Пікірлер: 263
Am here 2024,,,sure hizi ndio zilikua kwaya
@user-rk6de4kn2i
11 күн бұрын
This still hits up to now,good gospel that can't perish because of it's sweetness
This choir must one day perform when we enter the kingdom of heaven,,,May God helps us all to enter the kingdom of heaven.
Old is gold..who is here is 2024
@jamesnteleva7073
6 күн бұрын
Here I am. Glory to God Almighty.🙏🏾
Nimebarikiwa kupitia huu wimbo
Kwa kweli nakumbuka mbali sana kwa hii kwaya, nilikuwa mtoto sana, niliizikariri. Nyimbo zote nikiwa mtoto na sasa nimezidowload , jamani kwaya inayoongozwa na Roho Mtakatifu mojawapo ni hii ujumbe mzuri sana wa neno la Mungu.
Hz ndo nymbo z gospel ambazo napend skilza... So nice... April 2024
naapa kurudi ktk imani ya kweli kwa sababu ya kuskia ujumbe ktk nyimbo zenu
@meckitilidatushabe
Жыл бұрын
❤ karibu kabisa Mungu nimwema
@paulndabunguye-tv8lg
6 ай бұрын
P0
@paulndabunguye-tv8lg
6 ай бұрын
P0
@paulndabunguye-tv8lg
6 ай бұрын
@paulndabunguye-tv8lg
6 ай бұрын
m
Haleluya mbarikiwe mno nyimbo zenu zinaupoko.
Hizi ndo zilikua kwaya jaman ujumbe mzur maneno yanaskika vzur 🥰🥰 kwa upande wangu hazichuji
Hizi nyimbo hazichoshi kuasikiliza, mungu bariki watu Hawa maisha marefu.
Mungu awabariki sana, nawapenda mno kwa kazi yenu nzuri.
Turkana Girls 2004... This song reminds me of the late Viola Adeke.. she loved the song and used to sing it.. R.I.P mum Viola
2024 MPOOO, KWAYA ZENYE UJUMBE SAHIHII OLD IS GOLD 👍
Nimeacha matendo mabaya kwa Jina la Yesu,niwe barua njema,aman kwenu waimbaji
@johnreuben9143
2 жыл бұрын
Kwa nguvu zako huwezi, omba nguvu kutoka juu
My childhood favourite choir. May God bless you wherever you are
Na mimi najegwa sana
Tofauti na waimbaji wa sasa, waimbaji wa zamani walitunga nyimbo kwanza Kwa kuutafuta USO wa Mungu, ndiyo maana hizo nyimbo Zina uvuvio wa Roho Mtakatifu(ni injili tosha) za sasa ziko mwilini sana. Mungu akibariki sana hiki kizazi
@joshuakitam1364
Ай бұрын
Ukweli kabisa
Hatuna shaka mioni mwetu kuhusu ukristo wenu ndugu zetu. Kwa mtazamiyo tuh ukristo wenu umetambulika. Si kama ukristo wa leo ambao umechanganywa na ulimwengu. Sifa kwa Mungu kwa ajili yenu........ Tunawapenda saana hapa inchini Congo.
Kwaya za zamani hakika ni nzuri kusikiliza ndani yake zimejaa mafundisho ya neno la Mungu. Mbarikiwe waimbaji wote.
@brownkalamba6118
4 жыл бұрын
Kkkt ulyankulu tabora
Mungu azidi kuwabariki, Uchezaji wa Kimungu kabisa, Mavazi Ya Kimungu pia, ujumbe zaidi haujaghoshiwa kabisa..
Pamoja na kwamba nyimbo hizi ziliimbwa zamani lakini ujumbe wake bado una nguvu ile ile ya kuokoa. Waliimba kwa Roho na Akili.
Nashukuru Mungu kwa nyimbo zenu mbarikiwe
sisi wakristo ni barua ya kusomwa na wote. ...amen +1
Ninapenda sana nyimbo za zamani. Nin ujumbe wa Biblia sana. Napenda Ulyankulu Barabara Kumi na tatu na kwaya nyingine haswa za tanzania. Mungu awabariki sana.
Mara yangu ya kwanza kuwasikia Mapigano Ulyankulu ni mwaka 96, tangu siku hiyo ni kawa mpenzi wa muziki kupitia wao.
Mungu awabariki saaana❤❤
Nimebarikiwa na ninawapenda toka zamani
Mungu awape maisha mareefu ili mzidi kumtumikia.
Izi nyimbo zinahubiri INJILI kamili Mungu awabarki
@StanStanley-kd5mz
Жыл бұрын
Nikwer nyimbo zazamani ninzur
Nyimbo nzuri sana zapendezaa Mungu awabariki nyote....
Can't get enough of this song oooh! guitars 🎸plus message
Huyu baba aliyesolo ananibariki xna. Sijui yuko wapi kwa sasa. Mungu awabariki watumishi.
@mariaevansinkomola-qu5po
Ай бұрын
Elifazi,yupo ulyankulu
The old is Gold,nazipenda Sana nyimbo zenu
Hakika Mwenyezi Mungu anatupenda sana, nyimbo za zamani zimejaa baraka na ndo maana zinadumu karne hadi karne,,hakika sisi ni barua ya kusomwa na watu wote,,Amina.
This was a wonderful choir . Memories
Zama hizo za injili zilikuwa zikiimbwa kwa utiifu na utulivu katika Roho Mtakatifu. Lakini leo kinachobaki ni waimbaji kuimba wakirukia kwenye ungo kisa technology and maneno ya kuenda na wakati. Mungu aturehemu.
@yusuphmirambo3722
6 жыл бұрын
Nafurahia hakuna mbwembwe za kidunia... Full neno na upako
@clementbankuwiha8877
6 жыл бұрын
kwli kabisaa
@rehemamasanja8875
4 жыл бұрын
Kweli zamani utiifu ktk uimbaji ulikuwepo, watu hawa wanapeleka meseji moja kwa moja, nawapenda sana.
😂😂😂😂 wanaimba huku wakitafakari utukufu wa Mungu,✔️✔️
Huu ndio uimbaji wa kiroho mbarikiwe sana.
God bless you my fellow singers. Know days, singers do not give messages like you guys, but singers of today just " show of " in order to be head. I pray that God may use me to be a singer that will preach his word, not preach my word.
Loo....hakika Roho mtakatifu alikuwa pamoja nao katika utendaji wa kazi yao.
Am deeply touched. mbarikiwe Sana
kweli Ashukuliwe Muumba Wa mbingu na inchi na Awabariki waimbaji hawa
Mpangilio ulio bora wa sauti,,muziiki halisi ukisindikiza ujume mkuu wa Kristo Yesu,,kweli kwa Kristo kuna raha.
@anthaall4582
4 жыл бұрын
Kabisa ndaniya Cristo Sisi nivibaruwa mubarikiwe sana hadireo nabarikiwa nanyimbozenu nazinanikumbusha hapokare
kweli mungu awabariki waimbaji WA zamani
nakumbuka mbalisana napo sikiliza nyimbo hizi,Tabata kimanga !
Amen ashukuriwe baba Mungu
nyimbo zilizojaa uwepo wa mungu wameimba ktk roho na kweli God bless u all
nyimbo hizi zina nibariki sana na zimejaa upako wa mungu,mubarikiwe sana waimbaji wa nyimbo za zani.
Hakika nazipenda nyimbo hizi zinanijenga kiroho pia na kunikumbusha hapo myaka ya 1990 Mungu awajaze nguvu awabariki sana.
huwa nafarijika sana ninaposikiliza nyimbo zenu. mbarikiwe sana na mzidi kutenda kazi ya mungu nanyi pia mtabarikiwa
@declaindeclain1659
7 жыл бұрын
mpakaaaa rahaaa
@josephatkapana7987
3 жыл бұрын
Kila mtu ajuaye mungu ni mwelewa ,nyimbo za kwaya za sasa Tofauti na zamani .Tubarikiwe sana :Amina
Kwa kweli mkristo ni barua ya kusomwa na watu wote
Huyo solo guitarist ako sawa.Ananikubusha mbali.
Ukweli kabisa nyimbo hizi Zina mafunzo ya kumweka mtu karibu Sana na Mungu,na ni nyimbo za kiroho Zina upako wa Roho mtakatifu
Amen amen, sisi ni barua kweli
😢yesu atu saidie'kutu mikia Mungu kwa utakaso naku chunga uchuhuda
Nashuku Mungu kwa kazi hii kubwa walioendesha ,maana ukitazama vizuri hata mavalio ya wanakwaya wa zamani ilikua inaonyesha kama wangali wakristu tafauti na hawa wa leo wanatuvalia hata nusu uchi?Mungu awabariki hawa sana
@jestonjonas5591
6 жыл бұрын
kweli kabisa kaka yangu
Mwaka huu wa 2023 Bado upako umejaa wimbo huu.Barikiweni sana Ulyankulu....
Oh tamu sana jamani❤.. inabariki sana❤
Nashinda kuacha sikiliza huu wimbo.... What a "Wonderful Responsibility Reminding Song" this is. MUNGU AWABARIKI SANA WATUMISHI
Hakika sisi ni barua zinazotembea na tunasomwa na kila mmoja wetu. Tudumu katika Imani na matendo mema
@gerardmalavaga2936
3 жыл бұрын
Balikiwa waimbaji mungu awalaze pema pepon ooo my God uwa nasahau shida kwa kweli amani moyon teleee
@vinnykorir7006
3 жыл бұрын
Ni ukweli ata mm Kim kiri katika imani
Hizi nyimbo zinabariki
Yea !this song is Apure blessing for me,I listens it like everyday, The song of all times,thanks a lot.
MUNGU awabariki sana waimbaji
mungu awabariki sana waimbaji wote maana uwa ninafarika sana ninapo sikiliza nyimbo hizi
2024 nawapennda jamani sijui mko wap now days
Kuanzia utoto wangu hadi leo, nina posikiya hii nyimbo niwa nime barikiwa sana. Mungu awabariki saana
Hakika nyimbo hizi ni za kipekee. Nyimbo za kuabudu, za mafundisho, za kusifu. Nyimbo hizi tangu nikiwa mtoto nikisikiza kwenye VOK Nairobi, sasa mimi mtu mzima zimenibariki mno. Mubarikiwe Tanzania pia waimbaji wote wa Mwenyezi Mungu.
wonderful song ,,,God bles u All mafunzo kweli
Hakika waimbaji wa zamani walimwimbia Mungu katika roho na kweli. Hawakuangalia maslahi yao binafsi bali walitamani kuona injili inahubiriwa na neema ya Mungu inawafikia watu wote. Mungu awabariki sana waimbaji na Mungu ameiona kazi yenu na kuithibitisha.
kweli ni barua, sawasawa na neno lisemalo ss ni nuru ya ulimwengu
Shalom. Watumishi tunatamani sana kusikiliza nyimbo za zamani lakini tunashinda kusikiza kwa sababu huduma ya kudanolodi hatuipati mb. Zinasumbua
Nazipenda sana nyimbo zenu kwa maana hazichuji kila siku ni mpya na sio nyimbo za sikuhizi mwezi mmoja tuu zinachuja(nyingi hazina utukufu wa Mungu). Nabarikiwa sana na nyimbo hizi
Injili kamili. Bila madoido...! Kweli Bwana Yesu atukukuzwe and kupewa sifa.
Hakika dhamira yenu ya kutangaza neno la Mungu ni kubwa mno. nyimbo zenu zinabariki sana sana. watu wa leo na wa kesho wote watabarikiwa
fantastic composition y lie i jst like this ....aaaje sweet vocal key
Mungu Awabariki sana
Ama kwa hakika 'Sisi ni barua' tunasomwa,eeh Mungu tusaidie tuyatende yakupendezayo wewe.
@DativaMbowe
Ай бұрын
Amen
Injili ni uweza wa Mungu uletao wokovu:
Kwakweli nyimbohizi nimahubiri kwetu
Wananikumbusha mbali sana mwaka 1998 nipo darasa 3
Nzambe elongo na biso, Nzambe malamu tango nyoso.
kwa hakika huwa napata FARAJA nisikilizapo nyimbo hizi za zamani kuliko za sasa ambazo in kelele Mungu awapumzishe kwa amani waliotangulia katika kwaya hizi na awape uzee wenye FARAJA waliobaki Amen
Mubarikiwe sana
Kweli tunasomwa..I like the song
Hizi nyimbo hazichoshi ukisikuliza masikion ,Mungu awabariki
Daah; yaaan sauti ya 1hadi ya 4 zote zinasikika vizuri kabisa! Kwaya nyingi za siku hizi hupati sauti ya4kama hii🙏🙏🙏🙏
Tunaomba mtuwekee sehem ya kuudaunirodi hizinyimbo tunazi misi sana maana zikiimbwa mtu anabarikiwa sana amina
This can change many lives. Infact nice work , ur wage is on hands of our Almighty God.
Hallelujah amen,,natamani sana niwe barua ya kusomwa na wengi
kwizera Prosper RUMONGE MUGARA RUREMBA Asanteni sana kwa nyimbo zenu
AMEN 🙏🙏waja tuwe baruha zuri z kusomeka lwa watu wkte
nyimbo hizi zilihubir,mno wasanii wasasa wanawafurahisha tu waumin,tungo hazijakaa kumfikilisha MTU juu ya ukuu wamungu
asante sana waimbaji mungu awabaliki sana.
Always loves this..message well send,God bless you for the job well executed.
@jeremiahkissusi2588
6 жыл бұрын
Amina
MUNGU MKUBWA JAMAN SAUT SAFI KABISA ZA WAIMBAJI HAWA WANAMSIFU MUNGU NIMEWAPENDA SISI NI MANUKATO YA KRISTO AMEN
Asante ulunyankulu nimetafuta nyimbo zenu lakini nashukuru nimesipata
Nyimbo hizi zimejaa ujumbe muhimu i
ulyankulu mungu awabariki kazi ya mungu haina makosa
Mungu wetu aliinuliwa na waimbaji wa zamani na cio waimbaji wa sky hiz wanatani
Wanaimba vizuri cna aitokaa itokee kama wao tena, wabarikiwe cn
@gerardrichardmalavaga4265
4 жыл бұрын
Agustino Kimaro Kimaroo KWELI KABISA YAN NIMEWAPENDA SANA