Mapigano Ulyankulu Kwaya Sisi Ni Barua Official Video

Sisi Ni Barua By Mapigano Ulyankulu Kwaya

Пікірлер: 263

  • @josephwambua6253
    @josephwambua62532 ай бұрын

    Am here 2024,,,sure hizi ndio zilikua kwaya

  • @user-rk6de4kn2i

    @user-rk6de4kn2i

    11 күн бұрын

    This still hits up to now,good gospel that can't perish because of it's sweetness

  • @nicodemusngeta2541
    @nicodemusngeta2541Ай бұрын

    This choir must one day perform when we enter the kingdom of heaven,,,May God helps us all to enter the kingdom of heaven.

  • @Princerobian
    @Princerobian7 күн бұрын

    Old is gold..who is here is 2024

  • @jamesnteleva7073

    @jamesnteleva7073

    6 күн бұрын

    Here I am. Glory to God Almighty.🙏🏾

  • @CareneChepkemoi
    @CareneChepkemoiАй бұрын

    Nimebarikiwa kupitia huu wimbo

  • @VeeSunshine-zr3iv
    @VeeSunshine-zr3iv19 күн бұрын

    Kwa kweli nakumbuka mbali sana kwa hii kwaya, nilikuwa mtoto sana, niliizikariri. Nyimbo zote nikiwa mtoto na sasa nimezidowload , jamani kwaya inayoongozwa na Roho Mtakatifu mojawapo ni hii ujumbe mzuri sana wa neno la Mungu.

  • @evanceernest256
    @evanceernest2562 ай бұрын

    Hz ndo nymbo z gospel ambazo napend skilza... So nice... April 2024

  • @clementbankuwiha8877
    @clementbankuwiha88776 жыл бұрын

    naapa kurudi ktk imani ya kweli kwa sababu ya kuskia ujumbe ktk nyimbo zenu

  • @meckitilidatushabe

    @meckitilidatushabe

    Жыл бұрын

    ❤ karibu kabisa Mungu nimwema

  • @paulndabunguye-tv8lg

    @paulndabunguye-tv8lg

    6 ай бұрын

    P0

  • @paulndabunguye-tv8lg

    @paulndabunguye-tv8lg

    6 ай бұрын

    P0

  • @paulndabunguye-tv8lg

    @paulndabunguye-tv8lg

    6 ай бұрын

  • @paulndabunguye-tv8lg

    @paulndabunguye-tv8lg

    6 ай бұрын

    ​m

  • @monicamtenga
    @monicamtenga27 күн бұрын

    Haleluya mbarikiwe mno nyimbo zenu zinaupoko.

  • @JacquelineMapogo
    @JacquelineMapogoАй бұрын

    Hizi ndo zilikua kwaya jaman ujumbe mzur maneno yanaskika vzur 🥰🥰 kwa upande wangu hazichuji

  • @godsonmahinyila3047
    @godsonmahinyila3047 Жыл бұрын

    Hizi nyimbo hazichoshi kuasikiliza, mungu bariki watu Hawa maisha marefu.

  • @monicamtenga
    @monicamtengaАй бұрын

    Mungu awabariki sana, nawapenda mno kwa kazi yenu nzuri.

  • @IRENEMAMAI
    @IRENEMAMAI12 күн бұрын

    Turkana Girls 2004... This song reminds me of the late Viola Adeke.. she loved the song and used to sing it.. R.I.P mum Viola

  • @dbrothers4551
    @dbrothers455122 күн бұрын

    2024 MPOOO, KWAYA ZENYE UJUMBE SAHIHII OLD IS GOLD 👍

  • @kingnikhmanay2707
    @kingnikhmanay27076 жыл бұрын

    Nimeacha matendo mabaya kwa Jina la Yesu,niwe barua njema,aman kwenu waimbaji

  • @johnreuben9143

    @johnreuben9143

    2 жыл бұрын

    Kwa nguvu zako huwezi, omba nguvu kutoka juu

  • @hellendaniel3809
    @hellendaniel3809 Жыл бұрын

    My childhood favourite choir. May God bless you wherever you are

  • @EricZimire
    @EricZimire9 күн бұрын

    Na mimi najegwa sana

  • @robertmasatu8423
    @robertmasatu84232 жыл бұрын

    Tofauti na waimbaji wa sasa, waimbaji wa zamani walitunga nyimbo kwanza Kwa kuutafuta USO wa Mungu, ndiyo maana hizo nyimbo Zina uvuvio wa Roho Mtakatifu(ni injili tosha) za sasa ziko mwilini sana. Mungu akibariki sana hiki kizazi

  • @joshuakitam1364

    @joshuakitam1364

    Ай бұрын

    Ukweli kabisa

  • @bahalamahigidaniel
    @bahalamahigidaniel11 ай бұрын

    Hatuna shaka mioni mwetu kuhusu ukristo wenu ndugu zetu. Kwa mtazamiyo tuh ukristo wenu umetambulika. Si kama ukristo wa leo ambao umechanganywa na ulimwengu. Sifa kwa Mungu kwa ajili yenu........ Tunawapenda saana hapa inchini Congo.

  • @josephj.tunguhole8562
    @josephj.tunguhole85628 жыл бұрын

    Kwaya za zamani hakika ni nzuri kusikiliza ndani yake zimejaa mafundisho ya neno la Mungu. Mbarikiwe waimbaji wote.

  • @brownkalamba6118

    @brownkalamba6118

    4 жыл бұрын

    Kkkt ulyankulu tabora

  • @barikikabungo859
    @barikikabungo8597 жыл бұрын

    Mungu azidi kuwabariki, Uchezaji wa Kimungu kabisa, Mavazi Ya Kimungu pia, ujumbe zaidi haujaghoshiwa kabisa..

  • @emmanuelmapunda2070
    @emmanuelmapunda2070Ай бұрын

    Pamoja na kwamba nyimbo hizi ziliimbwa zamani lakini ujumbe wake bado una nguvu ile ile ya kuokoa. Waliimba kwa Roho na Akili.

  • @timothyotiso6517
    @timothyotiso65179 жыл бұрын

    Nashukuru Mungu kwa nyimbo zenu mbarikiwe

  • @nzalimutua5913
    @nzalimutua59138 жыл бұрын

    sisi wakristo ni barua ya kusomwa na wote. ...amen +1

  • @kinasvincent2120
    @kinasvincent21208 жыл бұрын

    Ninapenda sana nyimbo za zamani. Nin ujumbe wa Biblia sana. Napenda Ulyankulu Barabara Kumi na tatu na kwaya nyingine haswa za tanzania. Mungu awabariki sana.

  • @kafirsantana8631
    @kafirsantana863113 күн бұрын

    Mara yangu ya kwanza kuwasikia Mapigano Ulyankulu ni mwaka 96, tangu siku hiyo ni kawa mpenzi wa muziki kupitia wao.

  • @DativaMbowe
    @DativaMboweАй бұрын

    Mungu awabariki saaana❤❤

  • @rosemutiso9140
    @rosemutiso91408 жыл бұрын

    Nimebarikiwa na ninawapenda toka zamani

  • @janethshayo1879
    @janethshayo18797 жыл бұрын

    Mungu awape maisha mareefu ili mzidi kumtumikia.

  • @olaislukumay571
    @olaislukumay5717 жыл бұрын

    Izi nyimbo zinahubiri INJILI kamili Mungu awabarki

  • @StanStanley-kd5mz

    @StanStanley-kd5mz

    Жыл бұрын

    Nikwer nyimbo zazamani ninzur

  • @brazadmz9401
    @brazadmz94014 жыл бұрын

    Nyimbo nzuri sana zapendezaa Mungu awabariki nyote....

  • @victoriambatha7389
    @victoriambatha73892 жыл бұрын

    Can't get enough of this song oooh! guitars 🎸plus message

  • @geraldsanga4879
    @geraldsanga48793 жыл бұрын

    Huyu baba aliyesolo ananibariki xna. Sijui yuko wapi kwa sasa. Mungu awabariki watumishi.

  • @mariaevansinkomola-qu5po

    @mariaevansinkomola-qu5po

    Ай бұрын

    Elifazi,yupo ulyankulu

  • @ruthmusyoki8278
    @ruthmusyoki8278 Жыл бұрын

    The old is Gold,nazipenda Sana nyimbo zenu

  • @reginaldmlingi8603
    @reginaldmlingi86038 жыл бұрын

    Hakika Mwenyezi Mungu anatupenda sana, nyimbo za zamani zimejaa baraka na ndo maana zinadumu karne hadi karne,,hakika sisi ni barua ya kusomwa na watu wote,,Amina.

  • @mercyetago4020
    @mercyetago4020Ай бұрын

    This was a wonderful choir . Memories

  • @Hassan_Mengi
    @Hassan_Mengi7 жыл бұрын

    Zama hizo za injili zilikuwa zikiimbwa kwa utiifu na utulivu katika Roho Mtakatifu. Lakini leo kinachobaki ni waimbaji kuimba wakirukia kwenye ungo kisa technology and maneno ya kuenda na wakati. Mungu aturehemu.

  • @yusuphmirambo3722

    @yusuphmirambo3722

    6 жыл бұрын

    Nafurahia hakuna mbwembwe za kidunia... Full neno na upako

  • @clementbankuwiha8877

    @clementbankuwiha8877

    6 жыл бұрын

    kwli kabisaa

  • @rehemamasanja8875

    @rehemamasanja8875

    4 жыл бұрын

    Kweli zamani utiifu ktk uimbaji ulikuwepo, watu hawa wanapeleka meseji moja kwa moja, nawapenda sana.

  • @emamkuyu4061
    @emamkuyu4061Ай бұрын

    😂😂😂😂 wanaimba huku wakitafakari utukufu wa Mungu,✔️✔️

  • @masanjabugingo2942
    @masanjabugingo29429 жыл бұрын

    Huu ndio uimbaji wa kiroho mbarikiwe sana.

  • @mwandikohamisi3340
    @mwandikohamisi33409 жыл бұрын

    God bless you my fellow singers. Know days, singers do not give messages like you guys, but singers of today just " show of " in order to be head. I pray that God may use me to be a singer that will preach his word, not preach my word.

  • @loishiyemollel8666
    @loishiyemollel86665 ай бұрын

    Loo....hakika Roho mtakatifu alikuwa pamoja nao katika utendaji wa kazi yao.

  • @dr.martin-lawrencesifunah.9503
    @dr.martin-lawrencesifunah.95036 жыл бұрын

    Am deeply touched. mbarikiwe Sana

  • @hakizimanaelie8916
    @hakizimanaelie8916 Жыл бұрын

    kweli Ashukuliwe Muumba Wa mbingu na inchi na Awabariki waimbaji hawa

  • @isaacsengunda3099
    @isaacsengunda30996 жыл бұрын

    Mpangilio ulio bora wa sauti,,muziiki halisi ukisindikiza ujume mkuu wa Kristo Yesu,,kweli kwa Kristo kuna raha.

  • @anthaall4582

    @anthaall4582

    4 жыл бұрын

    Kabisa ndaniya Cristo Sisi nivibaruwa mubarikiwe sana hadireo nabarikiwa nanyimbozenu nazinanikumbusha hapokare

  • @geofreylusulo6188
    @geofreylusulo61888 жыл бұрын

    kweli mungu awabariki waimbaji WA zamani

  • @eliufookipandwa9514
    @eliufookipandwa95147 жыл бұрын

    nakumbuka mbalisana napo sikiliza nyimbo hizi,Tabata kimanga !

  • @mariammarco2387
    @mariammarco23877 жыл бұрын

    Amen ashukuriwe baba Mungu

  • @neemapanga3566
    @neemapanga35667 жыл бұрын

    nyimbo zilizojaa uwepo wa mungu wameimba ktk roho na kweli God bless u all

  • @sulubukatana3038
    @sulubukatana30387 жыл бұрын

    nyimbo hizi zina nibariki sana na zimejaa upako wa mungu,mubarikiwe sana waimbaji wa nyimbo za zani.

  • @metuschelahniyubuntu343
    @metuschelahniyubuntu3436 жыл бұрын

    Hakika nazipenda nyimbo hizi zinanijenga kiroho pia na kunikumbusha hapo myaka ya 1990 Mungu awajaze nguvu awabariki sana.

  • @theonestinamutole4614
    @theonestinamutole46148 жыл бұрын

    huwa nafarijika sana ninaposikiliza nyimbo zenu. mbarikiwe sana na mzidi kutenda kazi ya mungu nanyi pia mtabarikiwa

  • @declaindeclain1659

    @declaindeclain1659

    7 жыл бұрын

    mpakaaaa rahaaa

  • @josephatkapana7987

    @josephatkapana7987

    3 жыл бұрын

    Kila mtu ajuaye mungu ni mwelewa ,nyimbo za kwaya za sasa Tofauti na zamani .Tubarikiwe sana :Amina

  • @destinimani6745
    @destinimani67452 жыл бұрын

    Kwa kweli mkristo ni barua ya kusomwa na watu wote

  • @user-fb8gk8cy2g
    @user-fb8gk8cy2g6 ай бұрын

    Huyo solo guitarist ako sawa.Ananikubusha mbali.

  • @edmondwiyama7250
    @edmondwiyama72506 жыл бұрын

    Ukweli kabisa nyimbo hizi Zina mafunzo ya kumweka mtu karibu Sana na Mungu,na ni nyimbo za kiroho Zina upako wa Roho mtakatifu

  • @Cento900
    @Cento9007 жыл бұрын

    Amen amen, sisi ni barua kweli

  • @wivinemuderwa1874
    @wivinemuderwa1874 Жыл бұрын

    😢yesu atu saidie'kutu mikia Mungu kwa utakaso naku chunga uchuhuda

  • @mazambimpengewakulitete1758
    @mazambimpengewakulitete17589 жыл бұрын

    Nashuku Mungu kwa kazi hii kubwa walioendesha ,maana ukitazama vizuri hata mavalio ya wanakwaya wa zamani ilikua inaonyesha kama wangali wakristu tafauti na hawa wa leo wanatuvalia hata nusu uchi?Mungu awabariki hawa sana

  • @jestonjonas5591

    @jestonjonas5591

    6 жыл бұрын

    kweli kabisa kaka yangu

  • @tangusjoseph6620
    @tangusjoseph66208 ай бұрын

    Mwaka huu wa 2023 Bado upako umejaa wimbo huu.Barikiweni sana Ulyankulu....

  • @Just_in911
    @Just_in911 Жыл бұрын

    Oh tamu sana jamani❤.. inabariki sana❤

  • @MrMeshack85
    @MrMeshack857 жыл бұрын

    Nashinda kuacha sikiliza huu wimbo.... What a "Wonderful Responsibility Reminding Song" this is. MUNGU AWABARIKI SANA WATUMISHI

  • @EliasCharlesNyanza
    @EliasCharlesNyanza8 жыл бұрын

    Hakika sisi ni barua zinazotembea na tunasomwa na kila mmoja wetu. Tudumu katika Imani na matendo mema

  • @gerardmalavaga2936

    @gerardmalavaga2936

    3 жыл бұрын

    Balikiwa waimbaji mungu awalaze pema pepon ooo my God uwa nasahau shida kwa kweli amani moyon teleee

  • @vinnykorir7006

    @vinnykorir7006

    3 жыл бұрын

    Ni ukweli ata mm Kim kiri katika imani

  • @nancyyapsoi515
    @nancyyapsoi515 Жыл бұрын

    Hizi nyimbo zinabariki

  • @gabrielkiseve4283
    @gabrielkiseve42838 жыл бұрын

    Yea !this song is Apure blessing for me,I listens it like everyday, The song of all times,thanks a lot.

  • @AgnessNjeri
    @AgnessNjeri2 ай бұрын

    MUNGU awabariki sana waimbaji

  • @allykazoa7065
    @allykazoa70656 жыл бұрын

    mungu awabariki sana waimbaji wote maana uwa ninafarika sana ninapo sikiliza nyimbo hizi

  • @happinesstesha7061
    @happinesstesha706113 күн бұрын

    2024 nawapennda jamani sijui mko wap now days

  • @bahalamahigidaniel
    @bahalamahigidaniel11 ай бұрын

    Kuanzia utoto wangu hadi leo, nina posikiya hii nyimbo niwa nime barikiwa sana. Mungu awabariki saana

  • @noran730
    @noran7307 жыл бұрын

    Hakika nyimbo hizi ni za kipekee. Nyimbo za kuabudu, za mafundisho, za kusifu. Nyimbo hizi tangu nikiwa mtoto nikisikiza kwenye VOK Nairobi, sasa mimi mtu mzima zimenibariki mno. Mubarikiwe Tanzania pia waimbaji wote wa Mwenyezi Mungu.

  • @liliankhasoha1183
    @liliankhasoha11837 жыл бұрын

    wonderful song ,,,God bles u All mafunzo kweli

  • @zeridalumole4359
    @zeridalumole43598 жыл бұрын

    Hakika waimbaji wa zamani walimwimbia Mungu katika roho na kweli. Hawakuangalia maslahi yao binafsi bali walitamani kuona injili inahubiriwa na neema ya Mungu inawafikia watu wote. Mungu awabariki sana waimbaji na Mungu ameiona kazi yenu na kuithibitisha.

  • @bertonnaftary9702
    @bertonnaftary97026 жыл бұрын

    kweli ni barua, sawasawa na neno lisemalo ss ni nuru ya ulimwengu

  • @MajaliwaJoseph-tj4en
    @MajaliwaJoseph-tj4en10 ай бұрын

    Shalom. Watumishi tunatamani sana kusikiliza nyimbo za zamani lakini tunashinda kusikiza kwa sababu huduma ya kudanolodi hatuipati mb. Zinasumbua

  • @ulimwenguwaleo2282
    @ulimwenguwaleo22827 жыл бұрын

    Nazipenda sana nyimbo zenu kwa maana hazichuji kila siku ni mpya na sio nyimbo za sikuhizi mwezi mmoja tuu zinachuja(nyingi hazina utukufu wa Mungu). Nabarikiwa sana na nyimbo hizi

  • @beatricecliff257
    @beatricecliff2572 жыл бұрын

    Injili kamili. Bila madoido...! Kweli Bwana Yesu atukukuzwe and kupewa sifa.

  • @jonathankizindo2817
    @jonathankizindo28176 жыл бұрын

    Hakika dhamira yenu ya kutangaza neno la Mungu ni kubwa mno. nyimbo zenu zinabariki sana sana. watu wa leo na wa kesho wote watabarikiwa

  • @alfredkyalo4361
    @alfredkyalo43616 жыл бұрын

    fantastic composition y lie i jst like this ....aaaje sweet vocal key

  • @alexismuhoza3921
    @alexismuhoza39214 ай бұрын

    Mungu Awabariki sana

  • @jamesmwasambili381
    @jamesmwasambili3818 жыл бұрын

    Ama kwa hakika 'Sisi ni barua' tunasomwa,eeh Mungu tusaidie tuyatende yakupendezayo wewe.

  • @DativaMbowe

    @DativaMbowe

    Ай бұрын

    Amen

  • @webingogo3633
    @webingogo36333 жыл бұрын

    Injili ni uweza wa Mungu uletao wokovu:

  • @user-md6py4sv9l
    @user-md6py4sv9l6 ай бұрын

    Kwakweli nyimbohizi nimahubiri kwetu

  • @richurassa-kb1vk
    @richurassa-kb1vk9 ай бұрын

    Wananikumbusha mbali sana mwaka 1998 nipo darasa 3

  • @juliuslijina
    @juliuslijina6 жыл бұрын

    Nzambe elongo na biso, Nzambe malamu tango nyoso.

  • @herimkwenya6782
    @herimkwenya67826 жыл бұрын

    kwa hakika huwa napata FARAJA nisikilizapo nyimbo hizi za zamani kuliko za sasa ambazo in kelele Mungu awapumzishe kwa amani waliotangulia katika kwaya hizi na awape uzee wenye FARAJA waliobaki Amen

  • @kiruhurajeremie5211
    @kiruhurajeremie52113 ай бұрын

    Mubarikiwe sana

  • @franciskivayiru4129
    @franciskivayiru41293 жыл бұрын

    Kweli tunasomwa..I like the song

  • @marydann6405
    @marydann640511 ай бұрын

    Hizi nyimbo hazichoshi ukisikuliza masikion ,Mungu awabariki

  • @emmanuelthomas1078
    @emmanuelthomas1078 Жыл бұрын

    Daah; yaaan sauti ya 1hadi ya 4 zote zinasikika vizuri kabisa! Kwaya nyingi za siku hizi hupati sauti ya4kama hii🙏🙏🙏🙏

  • @edisonkatunzi
    @edisonkatunzi Жыл бұрын

    Tunaomba mtuwekee sehem ya kuudaunirodi hizinyimbo tunazi misi sana maana zikiimbwa mtu anabarikiwa sana amina

  • @jamesmweshy4872
    @jamesmweshy48722 жыл бұрын

    This can change many lives. Infact nice work , ur wage is on hands of our Almighty God.

  • @presenttruthloudcryforthel5338
    @presenttruthloudcryforthel53382 жыл бұрын

    Hallelujah amen,,natamani sana niwe barua ya kusomwa na wengi

  • @kwizeraprosper1747
    @kwizeraprosper17477 жыл бұрын

    kwizera Prosper RUMONGE MUGARA RUREMBA Asanteni sana kwa nyimbo zenu

  • @azka5153
    @azka5153 Жыл бұрын

    AMEN 🙏🙏waja tuwe baruha zuri z kusomeka lwa watu wkte

  • @francotweve3230
    @francotweve32306 жыл бұрын

    nyimbo hizi zilihubir,mno wasanii wasasa wanawafurahisha tu waumin,tungo hazijakaa kumfikilisha MTU juu ya ukuu wamungu

  • @fidelebizindavyi2682
    @fidelebizindavyi26827 жыл бұрын

    asante sana waimbaji mungu awabaliki sana.

  • @georgemutua1289
    @georgemutua12899 жыл бұрын

    Always loves this..message well send,God bless you for the job well executed.

  • @jeremiahkissusi2588

    @jeremiahkissusi2588

    6 жыл бұрын

    Amina

  • @gerardrichardmalavaga4265
    @gerardrichardmalavaga42654 жыл бұрын

    MUNGU MKUBWA JAMAN SAUT SAFI KABISA ZA WAIMBAJI HAWA WANAMSIFU MUNGU NIMEWAPENDA SISI NI MANUKATO YA KRISTO AMEN

  • @WalterGwonda-tu3qu
    @WalterGwonda-tu3qu Жыл бұрын

    Asante ulunyankulu nimetafuta nyimbo zenu lakini nashukuru nimesipata

  • @ikanotv2921
    @ikanotv29213 жыл бұрын

    Nyimbo hizi zimejaa ujumbe muhimu i

  • @stephenemmanuel9574
    @stephenemmanuel95743 жыл бұрын

    ulyankulu mungu awabariki kazi ya mungu haina makosa

  • @EliupendoDulle-yo4ib
    @EliupendoDulle-yo4ib9 ай бұрын

    Mungu wetu aliinuliwa na waimbaji wa zamani na cio waimbaji wa sky hiz wanatani

  • @agustinokimarokimaroo3704
    @agustinokimarokimaroo37048 жыл бұрын

    Wanaimba vizuri cna aitokaa itokee kama wao tena, wabarikiwe cn

  • @gerardrichardmalavaga4265

    @gerardrichardmalavaga4265

    4 жыл бұрын

    Agustino Kimaro Kimaroo KWELI KABISA YAN NIMEWAPENDA SANA