MAPIGANO ULYANKULU SIKU YA KUTAABIKA OFFICIAL VIDEO
Музыка
The Best Of African Music: Kikuyu Music: Kikuyu Gospel Music: Kenyan New Music 2016: Kamba Music: kalenjin Music: Luyha Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music
Пікірлер: 370
Napenda Sana huu wimbo mpaka mwaka 2024 namshukuru Mungu kwa uzima
Emungu uibaliki Tanzania kwamazuli yote iliyowa tendea watuhawa hakika enzizao utukufuwamungu ulikuwa juu yawatuhawa nasisi wazaliwa watanzania tubaliki katika kazizetu tunaostahili kulipa kodi tulipe ilitanzania izidi kuneemeka hatimae nasisi tujaliwe navipawa Kama vyahawanduguzetu amahakika tuki.tumainia yy aliyeumbambingu nanchi kupitia Tanzania yet tutapata balaka na amani asanteni ulyankulu ama hakika mnanikumbusha mbali wakati nilipokuwa kijana mdogo nilikuwana ziskiliza nyimbo zenu mubalikiwe sana huko mliko nawaliobaki wabalikiwe pia natanzania ya amani asanteni sana
2023 mbarikiwe Sana Watumishi , Mungu Asiwaache🙏
Mungu azidi kuwaonekania watumishi wake. Ata June 2024 nazidi kusikiza nyimbo zenu tamu mno
Bado tunabarikiwa na kwaya zetu, ya kale ni dhahabu, je? Waimbaji wa sasaivi watafikia tunzi hizi??? Like kama tuko pamoja
@shadrakajefta71
5 жыл бұрын
Jefta Trilion
@trilionea_online_TV
5 жыл бұрын
Shadraka Jefta ndio mwanangu
@PastorsTz
4 жыл бұрын
Iko nauwepo mkubwa
@elizabethelizabethngajiro8755
4 жыл бұрын
Mim nazipend sana kazi za kitambo
@graysekulu9224
4 жыл бұрын
Mwaka 1997 nikiwa bado mdogo ndio nyimbo tulikuwa tukitizama kupitia VHS
Wimbo huu unanikumbusha nikiwa mtoto, Wimbo nzuri sana wenye ujumbe.
Leo 17/09/2023 nimebarikiwa sana kusikiliza wimbo huu . Good memories 1990-1995 Mungu angaza mapito yangu AHMEN
Hawa waimbaji wali kuwa waki muimbiya Mungu kutoka Rohoni kbs, kutoka myaka yawao hadi sasa hizi nyimbo zina hit tu. SiJuwi kama kuki ngali hata umoja wao ambaye yuko haii
Tanzania Best choir ever! Utukufu ni kwa Mungu ,barikiwa sana!
Mungu nisaidie nihurumie makosa yang
Tulikua tunasikiliza kama masihara tuuh utotoni Kumbe Mungu ndio anatuokoa hivyo .....raha sana God is so amaising
MUNGU tangulia mapito yetu ....nyimbo inanikumbusha miaka iyo mzee na mama nawapenda sana mmenikuza kidink
Yaan Huwa nafurahishwa sanaaa ninapo sikiliza hizi nyimbo Huwa naona roho mtakatifu anashuka pia Huwa zinanipa faraja nakuona mungu Yuko hapa napata Raha ndani ya roho yangu yaan nikiwa nasikiliza hizi nyimbo kiujumla Huwa nasahau Kila kitu cha dunian
Those days when gospel songs message was clear and understanding
Kama wapo hawa watu mungu awaongezee miaka ya kuishi wanabariki Sana hakika nakama kunawaliokufa mungu awapokee na waishimahali pema peponi maana nondo ambazo zimesukwa ndani ya nyimbo hi sidhani Kama kunawakuzibomoa shetani mwenyewetu anaogopa
Hizi ndo nyimbo zinagonga myoyo yetu ni nyimbo za hekima za kumtukuza mungu
I haven't heard of the same voices in songs till now...these ppl were so blessed 🙏
Dah! Kiukwel nabarikiwa sana na hii kwaya ulyankulu, sijui wako wapi. Those were the days when choirs praised God in spirit and truth. Mungu awabariki sana na na Mungu awatunze wasipotee hata mmoja
The Old is Gold,enzi zile gospel was gospel
Hawa watu sijui wako wapi saa hii? Si muungane tena jamani muendelee kumtumikia Mungu kwa uimbaji ❤
Siku hizi kuna mastedishow kama nyimbo za kidunia jmn, Shetani ameharibu gospel jmn
@fadhilidisanula840
3 жыл бұрын
Kweli kabisaa
Mile age, Mungu awabariki sana waimbaji hawa popote walipo nakumbuka mengi sana
Sauti, unyenyekevu, mavazi, uchezaji wa vyombo na maneno ya wimbo zinabariki mioyo yetu kweli kweli. Ni nyimbo zilizotungwa katika uongozi wa Roho Mtakatifu. Mungu awabariki sana Mapigano Ulyankulu kwaya.
@lameckmlyangaa6589
Жыл бұрын
Mimi pia nawaombea baraka za bwana
@irenenicesngkwayu3919
Жыл бұрын
sanaaaa
Mungu awabarika sana watumishi mliimba zamani lakin bado zinagusa miyoyo ya watu
Ni roho mtakatifu aliwaongoza kuimba hizi nyimbo
Daaaaah passed like a shadow, kweli kizuri hakidumu nyimbo nzuri zenye maadili kuanzia maneno mavazi Mungu atubalishie kizazi kije kama hiki
Tazama Bwana anakujaa, kutoka mahali pake, ili kuwaadhibu wakaao Duniani
Leo 01/01/2021 nasikiliza wimbo huu siku ya kutaabika. Jina la YESU lipewe sifa. Nabarikiwa.
@francissava5244
2 жыл бұрын
Amen Amen
Eeh Mungu nihurumie mimi mwanadamu maana siku hiyo hakuna atakayekuwa na jeuri.
@jeremiatito6806
4 жыл бұрын
gabriella isack Miaka hiyo waimbaji walikua wanaimba kwa moyo walicho jua wamuimbia Mungu na malupo watapata kwa Mungu
@pendondossy2158
4 жыл бұрын
Kabisa
Tulio sikiliza hiz ngoma utotoni jaman tuna raha .... Kwanza Mungu anatupenda sana wale wazazi wetu walio kuwa wanatuwekea hiz ngoma Mungu awabariki sana ....hahaha raha mnooo
In 2024 am listening my wonderful songs I ever listen in my life a song like this one 😍
Niseme haipashwi kuwa laumu waimbaji wetu wa sasa jinsi wanaovyoimba bali tunatakiwa sisi wachungaji tujilaumu au tulaumiwe kwani wanaimba hivo makanisani na sisi tupo na tunawapongeza na kuwapigia makofi na vigelegele badala ya kuwa kemea na kuwa rudisha kwenye uimbaji wa kumwimbia Mungu na si wanadamu.
Anyone still watching and listening in 2019.
@janemvula1783
4 жыл бұрын
Safi sana
@yulithalugaba9552
3 жыл бұрын
Together watching the same comrade
@pkngeny
3 жыл бұрын
Actually 2020
@samwelelisha8044
3 жыл бұрын
Leo ni 2021
@captainkenya401
2 жыл бұрын
August 2021
Heri wenye moyo safi maana hao watamwona Mungu.
Nimeumiss sana uimbaji wa namna hii kwenye miaka ya sasa. Na tunakoelekea utapotea kabisa
Honestly, I cannot understand how a normal person can despise this song and gives it a dislike. Some human beings are something else
@judithwaitara1890
2 жыл бұрын
Hahaha....the world is full of wonders my dear
Nyimbo zilizonikuza hizi.Nakumbuka miaka ya 90.. ,old is gold.
@sabaskabonee1092
3 жыл бұрын
Hii kwaya inanikumbusha mbali sana mungu awabari udyankuru kwaya
Bado leo 2020 nabarikiwa na Hawa wapendwa
mbarikiwe Sana mungu awe juu yenu
Wimbo wa zamani, 1984,zilizovuma saana
Indeed 2020 covid 19 was siku za kutabika for humanity
Nahisi nyakati za nyimbo hz shetani alikuwa hajaitembelea dunia hii.
@georgemisatinyaribo1366
4 жыл бұрын
What a songs! Well organized, instruments plus a great message. Be blessed mpaka mshangae
@sabaskabonee1092
3 жыл бұрын
Hahaha kabisa
Kumjua Bwana kutokea kwake no yakiniii.....,penda sana
Ndiyo nyimbo hizi huwez kuzipata maana hawa wliimba kuptia roho mtakatifu
Barikiweni sana babu na bibi zetu sijui bado mpo nasi kimwi??nakumbuka zamani
@ombeninnko1501
4 жыл бұрын
Hakika Hawa watu walibarikiwa sauti
Hallelujah,, kheri wenye moyo safi maana hao watamwona Mungu
Enzi hizo tulikua kama tunapapasa kwenye giza sahiv tumekuwa wakubwa tunaelewa na tunaendelea kujitakasa tukimsubiri Bwana Yesu mambo ni matamu Bwana
my best song ever🙏na best kwaya yangu,God keep blessing me through this song na unikumbushe you are coming back soon.Amen
Leo 25/4/2022 bado nasikiliza nabarikiwa Sana na huu uimbaji mavaz yao yananibariki Yesu aendelee kuwa tunza
Kweli yakale ni dhahabu,bado tunazid kubarikiwa.
@thomasongayl5901
5 жыл бұрын
Sana
@igiiwamapendo4454
4 жыл бұрын
Eliud Enock wimbo ni wa mwaka ngani?, ningependa nijibiwe.
@emilyrose3507
4 жыл бұрын
.loydCguoplknnm bnvbxz
@reginatarimo9142
4 жыл бұрын
Miaka hiyo 88 nilikuwa Form One, Ya kale dhahabu
@yulithalugaba9552
3 жыл бұрын
Miaka ya 1994 huu wimbo, nakumbuka nilikuwa sijaanza hata shule tena ulikuwa kwa audio, video yake miaka ya 2000
YESU bado anatupenda. Still 2020 bado tunawatch hizi nyimbo.nimekumbuka mbali sana
Nimeangalia hii nyimbo mpak machozi yananilenga maana nikiangalia kizaz chetu tunaboimba,hatuna ustaarabu tumejaa udunia,angalia Hawa watu walivokua jaman mpaka raha,kwakweli hiz n nyakat za mwisho nataman watu wote tuige mfano wawatu waliopita nasio kuiga kizazi kipya hiki kilichojaa zinaa na uchiuchi,eeee Mungu tusaidie
@ibrahimmsangi8161
3 жыл бұрын
Sasa hivi wanasema Mungu haangalii mavazi bali moyo wanasahau kuwa kama kweli umempokea Bwana Yesu na kumfata kweli matendo yako pia yatabadilika na kuwa tofauti na dunia!
@ivonaevarista4654
3 жыл бұрын
@@ibrahimmsangi8161 yaan Ila naamn wanaoitaka mbingu kweli watalifuata neno LA Mungu nasio maneno ya watu
Aliyepo nami kwa hii kwaya 2019 gonga like
2021 still here, watching! Very powerful indeed
@francissava5244
2 жыл бұрын
Amen Amen love this songs, God bless this churches.
Ninamshukuru MUNGU sana kwa wimbo lakini waimbaji MUNGU anawaona mkiona wimbo mzuri Mara nyingi mnabrock hakuna kudownlod
And where are this singer's nowadays?? We love Brothers and sisters in christ. Amen
Wako tabora, watafute, you will glorify God
This song remind me of my late daddy, he used to listen this song using his wooden radio those days.... For sure I can not tell it all how awesome this choir was..till now I am enjoying. All de way from Arusha Tanzania. Nassary Max
@hilderkaaya2974
3 жыл бұрын
My dad Kaaya also loved it so much❤
@christinaalexander1213
3 жыл бұрын
My daddy too,is late now.
@placideamini1160
3 жыл бұрын
This song reminds me of myself young.It must be my fav hit ever.
@richardcastromzena5136
2 жыл бұрын
My late dad also had this album USA's in Moshi line police how awesome those days was
2021 Mbarkiwe sn, utumishi uliotukuka
Very nice dressing codes...no miniskirts, no make up...no models ...no skin tight ...and the message is delivered
@marymuchiri676
4 жыл бұрын
Sure very natural
@edmundkapondo4042
4 жыл бұрын
That true
@yulithalugaba9552
3 жыл бұрын
Very talented people!!! Jesus within them
@eregaejoseph2083
2 жыл бұрын
😘
@josephmuturimwamba728
2 жыл бұрын
True
I remember those days. Life was so good. Mwanjelwa Mbeya Town
Daah!!! Naenjoy sana nyimbo hii!!!! Jamani Bwana Yesu anakuja
Mungu awabariki waimbaji sana waimbaji kwa kweli nyimbo inasikika rohon kabisa
Hakuna kwaya utakuja kutokea kama hii kiukweli, na hii ingekuaga wametoa hii album miaka hii ya plat form hii kwaya ingekuaga tajir mno tz, dah, hainiishag hamu kuisikiliza
Huyujamaa sijui bado nimzima mnijuze wapendwa
Nduku ambae umeongoza wimbo uko na kipaji.
@pendondossy2158
4 жыл бұрын
Papa Igii wamapendo kabisa
Hivo hivo MUNGU atusaidie
Waimbaji wa sasa hawawezi fikia tunzi kama hizi
Hizi ndizo nyimbo za kusikiliza acha hao wanaoimba ns kuruka ruka hawaeleweki na nyimbo zao za biashara
@edwardmichael8074
5 жыл бұрын
Rahabu John hiz nyimbo c mchezo nabalikiwa sana kuliko za sas kweli wazee wetu walifaid vingi duuh
@mackfasonmoshi4629
3 жыл бұрын
Rahabu umesema Kweli...Hizi Ndo nyimbo Mkuu.....
Ni n’a wa pendant sana wana wa Mungu Amen
Nawapenda jamn,Elphazi Habona ulikuwa unaujua sana muziki,may almighty god bless you
Ulyankuru hakika mliimba mkiwa rohoni mavazi yenu mazuri MUNGU awabarki mkaingie mbinguni mkapate thawabu yenu
Listening from Kenya 🇰🇪 in 2021
I miss my family.... aisee shetani what u did to our family 👪 😢 😪
Mpaka leo naskiza hii nyimbo dj fred fred wakali wa sherehe
Zitakuja zitapita emungu idumishe
Nyimbo hizi nazipenda sana
Siku hizi ni umaarufu tu hakuna nyimbo kama hizi mungu awabariki
Moyo Wangu unapata faraja halisi hapaaa
@TunesofAfrica
5 жыл бұрын
Burudika
06/09/2021 Yesu ni mwema sana , bado nasisimkwa na ujumbe kupitia kipawa walichopewa watumishi hawa kupitia sauti zao ujumbe umefika....Heri wenye moyo safi maana hao watamwona Mungu
Hii ndio kwaya sasa waimbaji wanaojielewa sijui bado wapo jamani ningependa kujua
@ngabovicentpamba2918
3 жыл бұрын
Wapo ndg...Tabora. Tuwaombee waendelee kuimba na kutoa album zao zitufikie.
wanipeleka miaka ya '90s niliposikia mara ya kwanza.mungu awabariki Sana.
Who is watching and listening 🎧 song with me 2022 woow those days this was the impressive dressing Cort
Weeeee,!!!!!!! God bless
Mutazame Baba WA Imani kamili huyu hapa andika MITO YA BARAKA TV DAVOICE akiimba live wimbo huu nimelia juu ya furaha na wewe pia utafurahi utakapo muona na watu jinsi wamefurahi zaidi
Asande sana nimebalikiwa sana
Napenda na ninabarikiwa sana na nyimbo zilizoimbwa na watu wa zamani.
Mungu alikuwa ndani yenu ndomana hazichuji mpka kristo atakaporudi
Nilisikia huu wimbo kadri miaka 16 iliyopita. Nimeungukia tu leo! Barka tele!
The voices are super nice,,, music that's meets you at the right spot,,hongera
Ni kwaya ambayo nilikuwa sichoki kusikiliza nyimbo zake 1990's mpaka leo 2019 huwa nabarikiwa sana hadi machozi Mungu azidi kutubariki🙏
@moraaontiri4082
4 жыл бұрын
Hawa ndio waimbaji kamili wachana na hizo burukenge Siku hizi ziko kwa baishara sio wokovu
2020 August tuko pamoja hapa❓❓
Mungu awabariki sana kwakweli nyimbo hizi zina ujumbe wa kweli
Until now you still love Jesus and accomplish his target? I'm burundian and I don't know Kiswahili very well but I tried to understand what you sing so I love you so much and I like your songs since I listened the first one until now your songs are so favorites to me.
Mzidi Kubarikiwa
Amina nyimbo hizi zinamafundisho mazuri sana heri wenye mioyo safi maana hao watailisi nchi ameni ameni
Nabarikiwa Sana , uwe na Mwaka mpya 2021 mwema wenye baraka na mafanikio Mengi
Mwanikumbusha mbali ! Kwenye harusi yangu 1995
@lucasmhagama8166
2 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
Katika bonde la maono linabomoa ukuta ......... tazamaaaa Bwana anakujaaaaaa
Maisha yanakimbia sana. 2020