MAPIGANO ULYANKULU SIKU YA KUTAABIKA OFFICIAL VIDEO

Музыка

The Best Of African Music: Kikuyu Music: Kikuyu Gospel Music: Kenyan New Music 2016: Kamba Music: kalenjin Music: Luyha Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music

Пікірлер: 370

  • @hilderrichard885
    @hilderrichard8854 ай бұрын

    Napenda Sana huu wimbo mpaka mwaka 2024 namshukuru Mungu kwa uzima

  • @gaspalkabambi9727
    @gaspalkabambi9727 Жыл бұрын

    Emungu uibaliki Tanzania kwamazuli yote iliyowa tendea watuhawa hakika enzizao utukufuwamungu ulikuwa juu yawatuhawa nasisi wazaliwa watanzania tubaliki katika kazizetu tunaostahili kulipa kodi tulipe ilitanzania izidi kuneemeka hatimae nasisi tujaliwe navipawa Kama vyahawanduguzetu amahakika tuki.tumainia yy aliyeumbambingu nanchi kupitia Tanzania yet tutapata balaka na amani asanteni ulyankulu ama hakika mnanikumbusha mbali wakati nilipokuwa kijana mdogo nilikuwana ziskiliza nyimbo zenu mubalikiwe sana huko mliko nawaliobaki wabalikiwe pia natanzania ya amani asanteni sana

  • @fellybenard5459
    @fellybenard5459 Жыл бұрын

    2023 mbarikiwe Sana Watumishi , Mungu Asiwaache🙏

  • @ogugusamwel3663
    @ogugusamwel3663Ай бұрын

    Mungu azidi kuwaonekania watumishi wake. Ata June 2024 nazidi kusikiza nyimbo zenu tamu mno

  • @trilionea_online_TV
    @trilionea_online_TV5 жыл бұрын

    Bado tunabarikiwa na kwaya zetu, ya kale ni dhahabu, je? Waimbaji wa sasaivi watafikia tunzi hizi??? Like kama tuko pamoja

  • @shadrakajefta71

    @shadrakajefta71

    5 жыл бұрын

    Jefta Trilion

  • @trilionea_online_TV

    @trilionea_online_TV

    5 жыл бұрын

    Shadraka Jefta ndio mwanangu

  • @PastorsTz

    @PastorsTz

    4 жыл бұрын

    Iko nauwepo mkubwa

  • @elizabethelizabethngajiro8755

    @elizabethelizabethngajiro8755

    4 жыл бұрын

    Mim nazipend sana kazi za kitambo

  • @graysekulu9224

    @graysekulu9224

    4 жыл бұрын

    Mwaka 1997 nikiwa bado mdogo ndio nyimbo tulikuwa tukitizama kupitia VHS

  • @Princerobian
    @Princerobian9 күн бұрын

    Wimbo huu unanikumbusha nikiwa mtoto, Wimbo nzuri sana wenye ujumbe.

  • @deogratiusmgute5983
    @deogratiusmgute59839 ай бұрын

    Leo 17/09/2023 nimebarikiwa sana kusikiliza wimbo huu . Good memories 1990-1995 Mungu angaza mapito yangu AHMEN

  • @mulangalirojosue405
    @mulangalirojosue4053 күн бұрын

    Hawa waimbaji wali kuwa waki muimbiya Mungu kutoka Rohoni kbs, kutoka myaka yawao hadi sasa hizi nyimbo zina hit tu. SiJuwi kama kuki ngali hata umoja wao ambaye yuko haii

  • @daudimdaki5920
    @daudimdaki592019 күн бұрын

    Tanzania Best choir ever! Utukufu ni kwa Mungu ,barikiwa sana!

  • @lucyjohn7904
    @lucyjohn79043 жыл бұрын

    Mungu nisaidie nihurumie makosa yang

  • @davidimmael1300
    @davidimmael13002 жыл бұрын

    Tulikua tunasikiliza kama masihara tuuh utotoni Kumbe Mungu ndio anatuokoa hivyo .....raha sana God is so amaising

  • @josephkiteleja5102
    @josephkiteleja51026 ай бұрын

    MUNGU tangulia mapito yetu ....nyimbo inanikumbusha miaka iyo mzee na mama nawapenda sana mmenikuza kidink

  • @christinamwangi6213
    @christinamwangi6213 Жыл бұрын

    Yaan Huwa nafurahishwa sanaaa ninapo sikiliza hizi nyimbo Huwa naona roho mtakatifu anashuka pia Huwa zinanipa faraja nakuona mungu Yuko hapa napata Raha ndani ya roho yangu yaan nikiwa nasikiliza hizi nyimbo kiujumla Huwa nasahau Kila kitu cha dunian

  • @hemedimatanda7888
    @hemedimatanda78882 жыл бұрын

    Those days when gospel songs message was clear and understanding

  • @selestinsongola2787
    @selestinsongola2787 Жыл бұрын

    Kama wapo hawa watu mungu awaongezee miaka ya kuishi wanabariki Sana hakika nakama kunawaliokufa mungu awapokee na waishimahali pema peponi maana nondo ambazo zimesukwa ndani ya nyimbo hi sidhani Kama kunawakuzibomoa shetani mwenyewetu anaogopa

  • @adrophinamwanguse1510
    @adrophinamwanguse1510 Жыл бұрын

    Hizi ndo nyimbo zinagonga myoyo yetu ni nyimbo za hekima za kumtukuza mungu

  • @nahumjohn6835
    @nahumjohn6835 Жыл бұрын

    I haven't heard of the same voices in songs till now...these ppl were so blessed 🙏

  • @wankobadan3030
    @wankobadan30303 жыл бұрын

    Dah! Kiukwel nabarikiwa sana na hii kwaya ulyankulu, sijui wako wapi. Those were the days when choirs praised God in spirit and truth. Mungu awabariki sana na na Mungu awatunze wasipotee hata mmoja

  • @isaacmutungakatua7329
    @isaacmutungakatua7329 Жыл бұрын

    The Old is Gold,enzi zile gospel was gospel

  • @williamuphilipo2120
    @williamuphilipo212011 ай бұрын

    Hawa watu sijui wako wapi saa hii? Si muungane tena jamani muendelee kumtumikia Mungu kwa uimbaji ❤

  • @chachamagige8095
    @chachamagige80954 жыл бұрын

    Siku hizi kuna mastedishow kama nyimbo za kidunia jmn, Shetani ameharibu gospel jmn

  • @fadhilidisanula840

    @fadhilidisanula840

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisaa

  • @lukusam8990
    @lukusam8990 Жыл бұрын

    Mile age, Mungu awabariki sana waimbaji hawa popote walipo nakumbuka mengi sana

  • @raphaelkioko7188
    @raphaelkioko71885 жыл бұрын

    Sauti, unyenyekevu, mavazi, uchezaji wa vyombo na maneno ya wimbo zinabariki mioyo yetu kweli kweli. Ni nyimbo zilizotungwa katika uongozi wa Roho Mtakatifu. Mungu awabariki sana Mapigano Ulyankulu kwaya.

  • @lameckmlyangaa6589

    @lameckmlyangaa6589

    Жыл бұрын

    Mimi pia nawaombea baraka za bwana

  • @irenenicesngkwayu3919

    @irenenicesngkwayu3919

    Жыл бұрын

    sanaaaa

  • @nehemiashekiondo7287
    @nehemiashekiondo72873 жыл бұрын

    Mungu awabarika sana watumishi mliimba zamani lakin bado zinagusa miyoyo ya watu

  • @nelsonzakayo496
    @nelsonzakayo4964 жыл бұрын

    Ni roho mtakatifu aliwaongoza kuimba hizi nyimbo

  • @oscargwalasa
    @oscargwalasa3 жыл бұрын

    Daaaaah passed like a shadow, kweli kizuri hakidumu nyimbo nzuri zenye maadili kuanzia maneno mavazi Mungu atubalishie kizazi kije kama hiki

  • @yulithalugaba9552
    @yulithalugaba95523 жыл бұрын

    Tazama Bwana anakujaa, kutoka mahali pake, ili kuwaadhibu wakaao Duniani

  • @estherkamuzelya6217
    @estherkamuzelya62173 жыл бұрын

    Leo 01/01/2021 nasikiliza wimbo huu siku ya kutaabika. Jina la YESU lipewe sifa. Nabarikiwa.

  • @francissava5244

    @francissava5244

    2 жыл бұрын

    Amen Amen

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack77865 жыл бұрын

    Eeh Mungu nihurumie mimi mwanadamu maana siku hiyo hakuna atakayekuwa na jeuri.

  • @jeremiatito6806

    @jeremiatito6806

    4 жыл бұрын

    gabriella isack Miaka hiyo waimbaji walikua wanaimba kwa moyo walicho jua wamuimbia Mungu na malupo watapata kwa Mungu

  • @pendondossy2158

    @pendondossy2158

    4 жыл бұрын

    Kabisa

  • @davidimmael1300
    @davidimmael13002 жыл бұрын

    Tulio sikiliza hiz ngoma utotoni jaman tuna raha .... Kwanza Mungu anatupenda sana wale wazazi wetu walio kuwa wanatuwekea hiz ngoma Mungu awabariki sana ....hahaha raha mnooo

  • @annemoureen6676
    @annemoureen66766 ай бұрын

    In 2024 am listening my wonderful songs I ever listen in my life a song like this one 😍

  • @pastorytitus5189
    @pastorytitus51894 жыл бұрын

    Niseme haipashwi kuwa laumu waimbaji wetu wa sasa jinsi wanaovyoimba bali tunatakiwa sisi wachungaji tujilaumu au tulaumiwe kwani wanaimba hivo makanisani na sisi tupo na tunawapongeza na kuwapigia makofi na vigelegele badala ya kuwa kemea na kuwa rudisha kwenye uimbaji wa kumwimbia Mungu na si wanadamu.

  • @samuelmwangi9780
    @samuelmwangi97805 жыл бұрын

    Anyone still watching and listening in 2019.

  • @janemvula1783

    @janemvula1783

    4 жыл бұрын

    Safi sana

  • @yulithalugaba9552

    @yulithalugaba9552

    3 жыл бұрын

    Together watching the same comrade

  • @pkngeny

    @pkngeny

    3 жыл бұрын

    Actually 2020

  • @samwelelisha8044

    @samwelelisha8044

    3 жыл бұрын

    Leo ni 2021

  • @captainkenya401

    @captainkenya401

    2 жыл бұрын

    August 2021

  • @robertmaginga6132
    @robertmaginga61324 жыл бұрын

    Heri wenye moyo safi maana hao watamwona Mungu.

  • @sadikimsumba5335
    @sadikimsumba53354 жыл бұрын

    Nimeumiss sana uimbaji wa namna hii kwenye miaka ya sasa. Na tunakoelekea utapotea kabisa

  • @patricesekanyambo284
    @patricesekanyambo2844 жыл бұрын

    Honestly, I cannot understand how a normal person can despise this song and gives it a dislike. Some human beings are something else

  • @judithwaitara1890

    @judithwaitara1890

    2 жыл бұрын

    Hahaha....the world is full of wonders my dear

  • @christinaalexander1213
    @christinaalexander12133 жыл бұрын

    Nyimbo zilizonikuza hizi.Nakumbuka miaka ya 90.. ,old is gold.

  • @sabaskabonee1092

    @sabaskabonee1092

    3 жыл бұрын

    Hii kwaya inanikumbusha mbali sana mungu awabari udyankuru kwaya

  • @lucyjohn7904
    @lucyjohn79043 жыл бұрын

    Bado leo 2020 nabarikiwa na Hawa wapendwa

  • @davidnyangales3798
    @davidnyangales3798 Жыл бұрын

    mbarikiwe Sana mungu awe juu yenu

  • @ndabagezesecond6296
    @ndabagezesecond62965 жыл бұрын

    Wimbo wa zamani, 1984,zilizovuma saana

  • @georgebenard2114
    @georgebenard2114 Жыл бұрын

    Indeed 2020 covid 19 was siku za kutabika for humanity

  • @greysonmheni4053
    @greysonmheni40534 жыл бұрын

    Nahisi nyakati za nyimbo hz shetani alikuwa hajaitembelea dunia hii.

  • @georgemisatinyaribo1366

    @georgemisatinyaribo1366

    4 жыл бұрын

    What a songs! Well organized, instruments plus a great message. Be blessed mpaka mshangae

  • @sabaskabonee1092

    @sabaskabonee1092

    3 жыл бұрын

    Hahaha kabisa

  • @meshackkwigize9848
    @meshackkwigize98484 жыл бұрын

    Kumjua Bwana kutokea kwake no yakiniii.....,penda sana

  • @user-do8qw8jr9u
    @user-do8qw8jr9u10 ай бұрын

    Ndiyo nyimbo hizi huwez kuzipata maana hawa wliimba kuptia roho mtakatifu

  • @ombeninnko1501
    @ombeninnko15014 жыл бұрын

    Barikiweni sana babu na bibi zetu sijui bado mpo nasi kimwi??nakumbuka zamani

  • @ombeninnko1501

    @ombeninnko1501

    4 жыл бұрын

    Hakika Hawa watu walibarikiwa sauti

  • @shalomizrael667
    @shalomizrael6673 жыл бұрын

    Hallelujah,, kheri wenye moyo safi maana hao watamwona Mungu

  • @davidimmael1300
    @davidimmael13002 жыл бұрын

    Enzi hizo tulikua kama tunapapasa kwenye giza sahiv tumekuwa wakubwa tunaelewa na tunaendelea kujitakasa tukimsubiri Bwana Yesu mambo ni matamu Bwana

  • @happymlawa5698
    @happymlawa5698 Жыл бұрын

    my best song ever🙏na best kwaya yangu,God keep blessing me through this song na unikumbushe you are coming back soon.Amen

  • @lucyswila856
    @lucyswila8562 жыл бұрын

    Leo 25/4/2022 bado nasikiliza nabarikiwa Sana na huu uimbaji mavaz yao yananibariki Yesu aendelee kuwa tunza

  • @eliudenock5517
    @eliudenock55175 жыл бұрын

    Kweli yakale ni dhahabu,bado tunazid kubarikiwa.

  • @thomasongayl5901

    @thomasongayl5901

    5 жыл бұрын

    Sana

  • @igiiwamapendo4454

    @igiiwamapendo4454

    4 жыл бұрын

    Eliud Enock wimbo ni wa mwaka ngani?, ningependa nijibiwe.

  • @emilyrose3507

    @emilyrose3507

    4 жыл бұрын

    .loydCguoplknnm bnvbxz

  • @reginatarimo9142

    @reginatarimo9142

    4 жыл бұрын

    Miaka hiyo 88 nilikuwa Form One, Ya kale dhahabu

  • @yulithalugaba9552

    @yulithalugaba9552

    3 жыл бұрын

    Miaka ya 1994 huu wimbo, nakumbuka nilikuwa sijaanza hata shule tena ulikuwa kwa audio, video yake miaka ya 2000

  • @avierastevens5141
    @avierastevens51414 жыл бұрын

    YESU bado anatupenda. Still 2020 bado tunawatch hizi nyimbo.nimekumbuka mbali sana

  • @ivonaevarista4654
    @ivonaevarista46543 жыл бұрын

    Nimeangalia hii nyimbo mpak machozi yananilenga maana nikiangalia kizaz chetu tunaboimba,hatuna ustaarabu tumejaa udunia,angalia Hawa watu walivokua jaman mpaka raha,kwakweli hiz n nyakat za mwisho nataman watu wote tuige mfano wawatu waliopita nasio kuiga kizazi kipya hiki kilichojaa zinaa na uchiuchi,eeee Mungu tusaidie

  • @ibrahimmsangi8161

    @ibrahimmsangi8161

    3 жыл бұрын

    Sasa hivi wanasema Mungu haangalii mavazi bali moyo wanasahau kuwa kama kweli umempokea Bwana Yesu na kumfata kweli matendo yako pia yatabadilika na kuwa tofauti na dunia!

  • @ivonaevarista4654

    @ivonaevarista4654

    3 жыл бұрын

    @@ibrahimmsangi8161 yaan Ila naamn wanaoitaka mbingu kweli watalifuata neno LA Mungu nasio maneno ya watu

  • @wisegel1766
    @wisegel17664 жыл бұрын

    Aliyepo nami kwa hii kwaya 2019 gonga like

  • @haningtonkabuta9387
    @haningtonkabuta93872 жыл бұрын

    2021 still here, watching! Very powerful indeed

  • @francissava5244

    @francissava5244

    2 жыл бұрын

    Amen Amen love this songs, God bless this churches.

  • @emmanuelmichael3012
    @emmanuelmichael30122 жыл бұрын

    Ninamshukuru MUNGU sana kwa wimbo lakini waimbaji MUNGU anawaona mkiona wimbo mzuri Mara nyingi mnabrock hakuna kudownlod

  • @francissava5244
    @francissava52442 жыл бұрын

    And where are this singer's nowadays?? We love Brothers and sisters in christ. Amen

  • @josephmuna2015
    @josephmuna20152 жыл бұрын

    Wako tabora, watafute, you will glorify God

  • @nassarymax2720
    @nassarymax27205 жыл бұрын

    This song remind me of my late daddy, he used to listen this song using his wooden radio those days.... For sure I can not tell it all how awesome this choir was..till now I am enjoying. All de way from Arusha Tanzania. Nassary Max

  • @hilderkaaya2974

    @hilderkaaya2974

    3 жыл бұрын

    My dad Kaaya also loved it so much❤

  • @christinaalexander1213

    @christinaalexander1213

    3 жыл бұрын

    My daddy too,is late now.

  • @placideamini1160

    @placideamini1160

    3 жыл бұрын

    This song reminds me of myself young.It must be my fav hit ever.

  • @richardcastromzena5136

    @richardcastromzena5136

    2 жыл бұрын

    My late dad also had this album USA's in Moshi line police how awesome those days was

  • @mmuruericka3702
    @mmuruericka37023 жыл бұрын

    2021 Mbarkiwe sn, utumishi uliotukuka

  • @mosesmhina9980
    @mosesmhina99805 жыл бұрын

    Very nice dressing codes...no miniskirts, no make up...no models ...no skin tight ...and the message is delivered

  • @marymuchiri676

    @marymuchiri676

    4 жыл бұрын

    Sure very natural

  • @edmundkapondo4042

    @edmundkapondo4042

    4 жыл бұрын

    That true

  • @yulithalugaba9552

    @yulithalugaba9552

    3 жыл бұрын

    Very talented people!!! Jesus within them

  • @eregaejoseph2083

    @eregaejoseph2083

    2 жыл бұрын

    😘

  • @josephmuturimwamba728

    @josephmuturimwamba728

    2 жыл бұрын

    True

  • @shidambwile276
    @shidambwile2763 жыл бұрын

    I remember those days. Life was so good. Mwanjelwa Mbeya Town

  • @shedrackmmary9724
    @shedrackmmary9724 Жыл бұрын

    Daah!!! Naenjoy sana nyimbo hii!!!! Jamani Bwana Yesu anakuja

  • @lucybilly6683
    @lucybilly66832 жыл бұрын

    Mungu awabariki waimbaji sana waimbaji kwa kweli nyimbo inasikika rohon kabisa

  • @maimujosephat148
    @maimujosephat1482 жыл бұрын

    Hakuna kwaya utakuja kutokea kama hii kiukweli, na hii ingekuaga wametoa hii album miaka hii ya plat form hii kwaya ingekuaga tajir mno tz, dah, hainiishag hamu kuisikiliza

  • @benitoilulatvpilla144
    @benitoilulatvpilla1443 жыл бұрын

    Huyujamaa sijui bado nimzima mnijuze wapendwa

  • @igiiwamapendo4454
    @igiiwamapendo44544 жыл бұрын

    Nduku ambae umeongoza wimbo uko na kipaji.

  • @pendondossy2158

    @pendondossy2158

    4 жыл бұрын

    Papa Igii wamapendo kabisa

  • @peterkifyoga6638
    @peterkifyoga66384 жыл бұрын

    Hivo hivo MUNGU atusaidie

  • @johncyprian1748
    @johncyprian1748 Жыл бұрын

    Waimbaji wa sasa hawawezi fikia tunzi kama hizi

  • @rahabujohn2691
    @rahabujohn26915 жыл бұрын

    Hizi ndizo nyimbo za kusikiliza acha hao wanaoimba ns kuruka ruka hawaeleweki na nyimbo zao za biashara

  • @edwardmichael8074

    @edwardmichael8074

    5 жыл бұрын

    Rahabu John hiz nyimbo c mchezo nabalikiwa sana kuliko za sas kweli wazee wetu walifaid vingi duuh

  • @mackfasonmoshi4629

    @mackfasonmoshi4629

    3 жыл бұрын

    Rahabu umesema Kweli...Hizi Ndo nyimbo Mkuu.....

  • @dorcaslor2166
    @dorcaslor21664 жыл бұрын

    Ni n’a wa pendant sana wana wa Mungu Amen

  • @glorynnko5800
    @glorynnko58002 жыл бұрын

    Nawapenda jamn,Elphazi Habona ulikuwa unaujua sana muziki,may almighty god bless you

  • @merrypeter5909
    @merrypeter59095 жыл бұрын

    Ulyankuru hakika mliimba mkiwa rohoni mavazi yenu mazuri MUNGU awabarki mkaingie mbinguni mkapate thawabu yenu

  • @karisandone7683
    @karisandone76832 жыл бұрын

    Listening from Kenya 🇰🇪 in 2021

  • @sandrandai6180
    @sandrandai61803 жыл бұрын

    I miss my family.... aisee shetani what u did to our family 👪 😢 😪

  • @fredmkude8181
    @fredmkude81812 жыл бұрын

    Mpaka leo naskiza hii nyimbo dj fred fred wakali wa sherehe

  • @hezronmanjegeka2978
    @hezronmanjegeka29783 жыл бұрын

    Zitakuja zitapita emungu idumishe

  • @dorcasshaban3779
    @dorcasshaban3779 Жыл бұрын

    Nyimbo hizi nazipenda sana

  • @charlesgatunzi
    @charlesgatunzi3 жыл бұрын

    Siku hizi ni umaarufu tu hakuna nyimbo kama hizi mungu awabariki

  • @rayjay7017
    @rayjay70175 жыл бұрын

    Moyo Wangu unapata faraja halisi hapaaa

  • @TunesofAfrica

    @TunesofAfrica

    5 жыл бұрын

    Burudika

  • @stellamakoko6058
    @stellamakoko60582 жыл бұрын

    06/09/2021 Yesu ni mwema sana , bado nasisimkwa na ujumbe kupitia kipawa walichopewa watumishi hawa kupitia sauti zao ujumbe umefika....Heri wenye moyo safi maana hao watamwona Mungu

  • @childofgod4412
    @childofgod44124 жыл бұрын

    Hii ndio kwaya sasa waimbaji wanaojielewa sijui bado wapo jamani ningependa kujua

  • @ngabovicentpamba2918

    @ngabovicentpamba2918

    3 жыл бұрын

    Wapo ndg...Tabora. Tuwaombee waendelee kuimba na kutoa album zao zitufikie.

  • @mokayamdwesley7441
    @mokayamdwesley74413 жыл бұрын

    wanipeleka miaka ya '90s niliposikia mara ya kwanza.mungu awabariki Sana.

  • @sarizwayniznyakangi6313
    @sarizwayniznyakangi6313 Жыл бұрын

    Who is watching and listening 🎧 song with me 2022 woow those days this was the impressive dressing Cort

  • @elishamwando1492
    @elishamwando1492 Жыл бұрын

    Weeeee,!!!!!!! God bless

  • @merthuswenga671
    @merthuswenga6713 жыл бұрын

    Mutazame Baba WA Imani kamili huyu hapa andika MITO YA BARAKA TV DAVOICE akiimba live wimbo huu nimelia juu ya furaha na wewe pia utafurahi utakapo muona na watu jinsi wamefurahi zaidi

  • @izackmtenda1522
    @izackmtenda15222 жыл бұрын

    Asande sana nimebalikiwa sana

  • @gabrielisack7786
    @gabrielisack77865 жыл бұрын

    Napenda na ninabarikiwa sana na nyimbo zilizoimbwa na watu wa zamani.

  • @samsonstephano6747
    @samsonstephano67475 жыл бұрын

    Mungu alikuwa ndani yenu ndomana hazichuji mpka kristo atakaporudi

  • @Vetbwm
    @Vetbwm3 жыл бұрын

    Nilisikia huu wimbo kadri miaka 16 iliyopita. Nimeungukia tu leo! Barka tele!

  • @fridahmongare9471
    @fridahmongare94712 жыл бұрын

    The voices are super nice,,, music that's meets you at the right spot,,hongera

  • @johnkweka1647
    @johnkweka16475 жыл бұрын

    Ni kwaya ambayo nilikuwa sichoki kusikiliza nyimbo zake 1990's mpaka leo 2019 huwa nabarikiwa sana hadi machozi Mungu azidi kutubariki🙏

  • @moraaontiri4082

    @moraaontiri4082

    4 жыл бұрын

    Hawa ndio waimbaji kamili wachana na hizo burukenge Siku hizi ziko kwa baishara sio wokovu

  • @merthuswenga671
    @merthuswenga6713 жыл бұрын

    2020 August tuko pamoja hapa❓❓

  • @pastorsolomonmrao9245
    @pastorsolomonmrao92452 жыл бұрын

    Mungu awabariki sana kwakweli nyimbo hizi zina ujumbe wa kweli

  • @dieudonnenkunzimana1883
    @dieudonnenkunzimana1883 Жыл бұрын

    Until now you still love Jesus and accomplish his target? I'm burundian and I don't know Kiswahili very well but I tried to understand what you sing so I love you so much and I like your songs since I listened the first one until now your songs are so favorites to me.

  • @mwanafamilia
    @mwanafamilia3 жыл бұрын

    Mzidi Kubarikiwa

  • @nehemiashekiondo7287
    @nehemiashekiondo72873 жыл бұрын

    Amina nyimbo hizi zinamafundisho mazuri sana heri wenye mioyo safi maana hao watailisi nchi ameni ameni

  • @KFCL_
    @KFCL_3 жыл бұрын

    Nabarikiwa Sana , uwe na Mwaka mpya 2021 mwema wenye baraka na mafanikio Mengi

  • @barakankubile2329
    @barakankubile23294 жыл бұрын

    Mwanikumbusha mbali ! Kwenye harusi yangu 1995

  • @lucasmhagama8166

    @lucasmhagama8166

    2 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana

  • @pendonjau7682
    @pendonjau76824 жыл бұрын

    Katika bonde la maono linabomoa ukuta ......... tazamaaaa Bwana anakujaaaaaa

  • @juliusmoshi3172
    @juliusmoshi31724 жыл бұрын

    Maisha yanakimbia sana. 2020

Келесі