AICT Chang'ombe Choir (CVC) KILA MWENYE PUMZI Original

Музыка

Пікірлер: 177

  • @kisiidigitaltv3765
    @kisiidigitaltv37656 ай бұрын

    25/01/2024 kama uko hapa kama Mimi please like huu Wimbo tukisonga

  • @joshuanzuki5825

    @joshuanzuki5825

    Ай бұрын

    Wimbo unao ujumbe wa kweli kwamba Kila mwenye pumzi amsifu Mungu Asanteni sana

  • @maimunashaban4932
    @maimunashaban4932 Жыл бұрын

    Wale tunao endelea kutazama hadi Leo 2023 tuweke like hapa

  • @JanePauloSafari-fw7ur

    @JanePauloSafari-fw7ur

    7 ай бұрын

    Tunabarikiwa pamoja 2023

  • @onesmusivake2555
    @onesmusivake2555 Жыл бұрын

    2023 still loving this song🙏🙏🙏🙏 thank you Jesus

  • @RehemaKaitila-by4cp
    @RehemaKaitila-by4cp Жыл бұрын

    Na wewe dada yangu sololist nakukubali kuwa bac rafiki yangu pamja na wale wawili alombia ushindi na jengwa Mungu awatunze nawapenda wote,,,,mpiga kinanda nakukubali sana Mungu akutunze

  • @evodiusgeofrey3373

    @evodiusgeofrey3373

    5 ай бұрын

    Una kitu mtumishi❤❤

  • @housnayousif780
    @housnayousif78010 ай бұрын

    Kila mwenye mpuzi na amsifu bwana.🙏🙏🙏🙏

  • @JanePauloSafari-fw7ur
    @JanePauloSafari-fw7ur7 ай бұрын

    Kama unasikiliza huu wimbo 2023 naimba like

  • @alphoncealbart6016
    @alphoncealbart60162 жыл бұрын

    Katika nyimbo zote ambazo nasilikiza nikirudia rudia Ni hii hongereni sana nabarikiwa sana na hii nyimbo 2022 wapi like 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙏🙏🙏

  • @mercywanjiru1635
    @mercywanjiru1635 Жыл бұрын

    🇰🇪 🇰🇪 nawakilisha wenzangu baraka tele

  • @nathanielmniwe6284
    @nathanielmniwe628410 ай бұрын

    One of my favourite CVC songs, still listening to this in 2023.

  • @margaretmwangi8749
    @margaretmwangi874911 ай бұрын

    2023 ,kenya still praising almighty he is worthy to be praised.

  • @lucymwakitalima7419
    @lucymwakitalima741910 ай бұрын

    2023 bd natamba kwa neema yk lazima nikusifu Mungu wangu❤❤

  • @faridawilliam3255
    @faridawilliam32552 жыл бұрын

    Sijawahi choka kusikiliza hizi nyimbo nazipenda saaana

  • @sarahtemba1900
    @sarahtemba19002 жыл бұрын

    Kama huuu wimbo unanitanzama 2021like hapa tujuane kwakweli unanimbarki sana kila mwenye pmz amsifu bwana

  • @amaningalla9420

    @amaningalla9420

    Жыл бұрын

    Ungana nami kumtukuza mungu kwa ajili ya Wimborne huu

  • @stephenmuchoki1451

    @stephenmuchoki1451

    Жыл бұрын

    Good wonderful choir

  • @levinakisanga6787

    @levinakisanga6787

    10 ай бұрын

    00000 07v7

  • @levinakisanga6787

    @levinakisanga6787

    10 ай бұрын

    00000 07v70u0u

  • @elipidiusalphonce7591

    @elipidiusalphonce7591

    9 ай бұрын

    Ninayo sababu ya kumsifu Mungu kwa sababu yeye ndiye mwenye nguvu na uwezo mkubwa wa kunifanya niwe hai mpaka muda huu

  • @georgejoshua3524
    @georgejoshua35246 ай бұрын

    Tumeanza mwaka 2024 kwa kumsifu Bwana. Kila mwenye pumzi amsifu Bwana

  • @shadrackmwithi4534
    @shadrackmwithi45346 ай бұрын

    Still the song in touch, barikiweni🙏 sana

  • @miriamabinery5695
    @miriamabinery56954 жыл бұрын

    Wewe mama naniii unae imbisha jamani nakupenda acha tuu ,ju uko na sauti muruaaaa

  • @shukranmzena5219

    @shukranmzena5219

    4 жыл бұрын

    Nawapenda wanakwaya wote hakika nyimbo zao hazijawai kuniacha mtupu nawapenda sana chan'gombe😘😘😘🥰

  • @gideonlangat7723
    @gideonlangat77233 жыл бұрын

    Nampenda huyu mama sana, be blessed AICT changombe

  • @eunicemutiso5788
    @eunicemutiso57883 ай бұрын

    ❤from Nairobi Kenya

  • @jessicamasepo8320
    @jessicamasepo83202 ай бұрын

    Hakika kila mwenye pumzi , amsifu Bwana, mbarikiwe sana.

  • @elibarikielimenyimo7410
    @elibarikielimenyimo74103 жыл бұрын

    Hakika na barikiwa na nyimbo zenu na mungu awapiganie ili lolote mtakalo guza kwa mikono yenu ibarikiwe na ilete utukufu wa mungu

  • @paulrichard5566
    @paulrichard55664 жыл бұрын

    Kila mwenye pumzi amsifu bwana Amen

  • @user-ls5tr9ul7t
    @user-ls5tr9ul7t2 ай бұрын

    Ni Rejinah kutoka Kenya huwimbo unanibariki sana mungu awainue mufikembili

  • @user-yb6it1gl3h
    @user-yb6it1gl3h6 ай бұрын

    😢naupend wimbo huu sana nawaombea sana muendreee na uimbaj msichoke

  • @fredrickmbondo117
    @fredrickmbondo117Ай бұрын

    23rd June 2024 in Kenya after hearing it being sung so well by AIC Engineer, Kinagop as as we meditate on the current situation where Kenyans are conversing about the proposed budget 2024/2025.

  • @paulinewanjiru3217
    @paulinewanjiru32174 жыл бұрын

    Aic chang'ombe ilove you guy's naweza penda kuwa join napenda songs zenu zote ata naweza imba bila kusaidiwa nawapenda sana mbarikiwe mpaka shetani atetemeke

  • @CollinceWanjala
    @CollinceWanjalaАй бұрын

    this are some of the songs i like God bless this choir for me

  • @susankoroso8766
    @susankoroso87669 ай бұрын

    👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏🖐️🖐️🖐️ naipenda sana nyimbo hii

  • @aboyfromkatoro
    @aboyfromkatoro5 ай бұрын

    bonge Moja la songs.. Kila nikisikilizi napatwa na hisia Fulani iv..

  • @DJ_MAN_JOJO_
    @DJ_MAN_JOJO_4 ай бұрын

    TUNAONGAKIA MWAKA HU LIKE APA🙏

  • @muyisengeonaan792
    @muyisengeonaan7924 ай бұрын

    Nyimbo ya kwanza !!! Big up!!!

  • @mwamini-xr1on
    @mwamini-xr1on6 ай бұрын

    Kila mwenye pumzi amsifu bwana ❤❤❤❤

  • @dani12comedy
    @dani12comedy Жыл бұрын

    KILA mwenyepumuzi na aseme amen maana yeye ndio anayetuheshimisha

  • @jansmaureen8037
    @jansmaureen8037Ай бұрын

    Mnaimbaga vizuri sana aki Nilikua kuimba kupitia nyinyi

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds6 ай бұрын

    Amen 🙏 mbarikiwe Sana

  • @tumaininzunda7206
    @tumaininzunda72062 жыл бұрын

    Sauti ty inahubiri kuwa kwa Mungu kuzuri

  • @HezronAndale
    @HezronAndale4 ай бұрын

    nazipenda hizi choir zt

  • @RehemaKaitila-by4cp
    @RehemaKaitila-by4cp Жыл бұрын

    Jamani mie naupenda sana huu wimbo kila nkiuckiliza nahic barid mwili mzimaaa,,,,,,kama kuimba mliimba Mungu awabariki na mie ni mwanakwaya nipo arusha

  • @DorothyMwanyalo-gw9vj

    @DorothyMwanyalo-gw9vj

    Жыл бұрын

    Nafurahia kusikia Huu wimbo vile unatuhimiza.Kila mwenye pumzi kweli amsifu Bwana.Great!!!!!

  • @bellancileumuhoza9929
    @bellancileumuhoza99295 ай бұрын

    22/02/2024 bado munanibariki Mungu awazidishie❤

  • @monicamtenga
    @monicamtenga Жыл бұрын

    Waoooo Mungu awabariki sana napenda nyimbo zenu zote.hongereni Sana.

  • @PATRICKANNEY-en8si
    @PATRICKANNEY-en8si10 ай бұрын

    Hongereni kwa ujumbe mzuri nimewakubali kwa kweli

  • @joycechitumbi175
    @joycechitumbi1752 ай бұрын

    May 2024 I am listening ❤❤❤❤❤

  • @wycliffedemesi3909
    @wycliffedemesi39093 жыл бұрын

    AMEN AMEN KEEP UP NATAMANI KUFIKA HUKO KWENU NIKAJIFUNZA.MUNGU ABARIKI TALANTA ZENU WOTE AIC .

  • @kenethclement940
    @kenethclement9404 жыл бұрын

    Yeyeeeeeeee!! Utukufu kwa Mungu aliye waumba nakuwapa karama ya uimbaji. Hasa huyu mama nampenda jamani,bila kuwasahau wapiga mziki nawaimbaji wa sauti zote kwa ujumla

  • @janethandfainess8593
    @janethandfainess8593 Жыл бұрын

    Asante huku Burundi tunawapenda sana

  • @brysonmwakina
    @brysonmwakina2 жыл бұрын

    Nawapenda sana Wana AICT chang'ambo

  • @geraldgogadi7054
    @geraldgogadi70549 ай бұрын

    simply Blessed.

  • @henrystephen5344
    @henrystephen53444 жыл бұрын

    Kila mwenye pumzi na amsifu Bwana.Mungu awabaliki sana.

  • @jonasbukasa6800
    @jonasbukasa680010 ай бұрын

    Muchape kazi munaimba vivuri

  • @user-uh5rs7me2m
    @user-uh5rs7me2m4 ай бұрын

    9/3/2024 Huu wimbo❤❤❤❤❤❤

  • @gideonlangat7723
    @gideonlangat77233 жыл бұрын

    Roho yangu inalia, pole kwa kumpoteza Rais wenyu

  • @josephopanda3047
    @josephopanda304711 ай бұрын

    Good inspiring music indeed, God bless this choir

  • @DanielJuma-rp8mm
    @DanielJuma-rp8mm Жыл бұрын

    Nabarikiwa sana na wimbo huu.

  • @barnabamasigani221
    @barnabamasigani2218 ай бұрын

    God is good 🙏🙏

  • @elizabethnduku8022
    @elizabethnduku80229 ай бұрын

    2023 niko hapa

  • @SusanMudenyo
    @SusanMudenyoАй бұрын

    Truly kila mwenye pumzi amsifu bwana

  • @shadrackmuange6706
    @shadrackmuange6706 Жыл бұрын

    Asante sana Aic changombe you really bless me. Mungu aendelee kuwabariki.

  • @durahealpharma4738
    @durahealpharma47383 жыл бұрын

    Kila mwenye pumzi hakika amsifu mungu

  • @janewanjiku3251
    @janewanjiku32514 ай бұрын

    Kila mwenye pumzi Amsifu Bwana,!!

  • @MetrineGalelwa
    @MetrineGalelwa11 ай бұрын

    Yes, let's praise the LORD🙏🏿🙏🏿🙏🏿

  • @user-iw9ri4en4z
    @user-iw9ri4en4z Жыл бұрын

    Amen mungu awazidishie neema

  • @nsabimanadamascene3052
    @nsabimanadamascene30523 жыл бұрын

    Rafiki zangu napenda Sana mungu anaweza yote tumusifu

  • @priyahparty8702
    @priyahparty870211 ай бұрын

    Nabarikiwa sana hizi nyimbo amina

  • @paulnangoli4570
    @paulnangoli4570 Жыл бұрын

    My favorite ever since and forever in Jesus name

  • @puritykyenyu2475
    @puritykyenyu2475 Жыл бұрын

    I love the composition straight from the bible God bless u all

  • @GloryJohn-nm5wo
    @GloryJohn-nm5wo9 ай бұрын

    Kila mwenye pumzi

  • @presidangonyani5484
    @presidangonyani5484 Жыл бұрын

    Ni september 2022 wacha nimsifu kristo

  • @tabycatytabitha

    @tabycatytabitha

    Жыл бұрын

    Amen

  • @heavenlightukwai89
    @heavenlightukwai89 Жыл бұрын

    2023 nyimbo zinaishi had sas

  • @achiengrouzie.52
    @achiengrouzie.524 жыл бұрын

    Psalms150:6 in action. Indeed you songs bless me as they are sung from the scriptures. May God continue using you as His vessels by spreading the word through your songs. Be blessed, shalom.

  • @MartinNdube
    @MartinNdube28 күн бұрын

    Mbarikiwe sana watu wa mungu

  • @MosesThomas-vn1sx
    @MosesThomas-vn1sx9 ай бұрын

    Solo mungu akubariki😂😂😂

  • @user-wg1ve7lv4f
    @user-wg1ve7lv4f5 ай бұрын

    ❤❤ kwelii tumsifu yeye MUNGU

  • @mudathirawadhi5920
    @mudathirawadhi59207 ай бұрын

    Nmeinjoy na gtaa solo yupo vzur sana

  • @lilianmakau6196
    @lilianmakau61962 ай бұрын

    THIS IS SO touching

  • @thomasmbuvi1255
    @thomasmbuvi12552 жыл бұрын

    Yes the Lord Jesus has and is still doing good to us, all glory to God. Following from Mirema.

  • @ruthmusyoki8278
    @ruthmusyoki82783 жыл бұрын

    Love it . Kila mwenye pumzi amsifu Bwana

  • @judybundi3314

    @judybundi3314

    Жыл бұрын

    Indeed kila mwenye pumzi amsifu Bwana,🙏🙏🙏halelluyah

  • @janethjulius9128
    @janethjulius9128 Жыл бұрын

    Kweli kila mwenye pumzi amsifu bwana

  • @joangarama7762
    @joangarama77624 жыл бұрын

    Kila mwenye pumzi amsifu bwana.. haleluya

  • @aishaabdallhaa5658

    @aishaabdallhaa5658

    3 жыл бұрын

    Amina mungu awabaliki kwakazi nzuri sam

  • @simonroy9028
    @simonroy90283 жыл бұрын

    I love this song

  • @user-fx5mx8jw9j
    @user-fx5mx8jw9j4 күн бұрын

    Nampenda huyu mama

  • @carolisendi3916
    @carolisendi39162 жыл бұрын

    What a blessing to praise the Lord!

  • @hatimalnaamani876
    @hatimalnaamani8764 жыл бұрын

    Vitu vyote vitapita lakini Neno litasimama. Hivyo hivyo Injili hii muiubiliyo kwa njia ya nyimbo itdumu kizazi hata kizazi. Nabarikiwa na kazi zenu Mungu Aendelee kuwatumia wote kwa ujumla yaani kila indara iliyo kamilisha kazi hii. Mbarikiwe

  • @geraldlaurent7465

    @geraldlaurent7465

    4 жыл бұрын

    Amina

  • @giftielifasi9290

    @giftielifasi9290

    3 жыл бұрын

    Mungu awabarikii sanaaa ,, kwa kazii mnayoifanyaaa

  • @amosnnko7792
    @amosnnko77923 жыл бұрын

    Amen tumsifu Bwana kwa kinanda Cha nyuz kumi hallelujah

  • @frankamadeus.ukovizirisana9894

    @frankamadeus.ukovizirisana9894

    Жыл бұрын

    Hakika nyimbo safi za kumusifu mungu

  • @elphaskorir9609
    @elphaskorir96099 ай бұрын

    Wimbo n mzuri sana ❤❤

  • @aksamwaluko2637
    @aksamwaluko2637 Жыл бұрын

    Wimbo unanibariki saana

  • @felixjunior4772
    @felixjunior47724 жыл бұрын

    The best in Tanzania hakuna kama nyinyi

  • @malitoally6389
    @malitoally63893 жыл бұрын

    Mbarikiwe san huu wimbo naupenda san

  • @desmusotieno61
    @desmusotieno614 жыл бұрын

    Nyimbo tamu za injili za kujenga roho mubarikiwe sana

  • @anastaziaitaba5037

    @anastaziaitaba5037

    3 жыл бұрын

    christina shusho

  • @harunikalineza6652
    @harunikalineza66523 жыл бұрын

    Good song God bless you🙏🙏🙏

  • @daudbarnaba5634
    @daudbarnaba56344 ай бұрын

    2024 tujuaje

  • @MERICKMHILYUNGU
    @MERICKMHILYUNGU2 ай бұрын

    Vijana safi

  • @amaokobobob2628
    @amaokobobob26282 жыл бұрын

    I'm just blessed now

  • @user-nc3em9ge6g
    @user-nc3em9ge6g Жыл бұрын

    Nice moment to view this video God is good

  • @marynasyieki3783
    @marynasyieki37836 ай бұрын

    Amina🙏🏾🙏🏾

  • @eunicemutiso5788
    @eunicemutiso57883 ай бұрын

    nawapenda bure

  • @dangatihi5429
    @dangatihi5429 Жыл бұрын

    Kama kuna waimbaji hunibamba ni wapendwa hawa kutoka TZ. Watanzania mna kipawa cha kuimba nyimbo za kwaya.

  • @user-mt8ci5dj8i
    @user-mt8ci5dj8i Жыл бұрын

    Amen watumishi wa mungu barikiwa sana

  • @JenniferMosha-fp1uf
    @JenniferMosha-fp1uf Жыл бұрын

    nabarikiwa sana

  • @andrewsimiyu851
    @andrewsimiyu8514 жыл бұрын

    Thanks for a wondoful song may God bless u all

  • @norbertnyakeriga5891

    @norbertnyakeriga5891

    3 жыл бұрын

    Natamani siku moja nitakuja Aic chang'ombe tusifu yesu from kenya🇰🇪🇰🇪🇰🇪to 🇹🇿🇹🇿

  • @paulsevere2461

    @paulsevere2461

    2 жыл бұрын

    @@norbertnyakeriga5891 karibu

  • @syliviamgeta8131
    @syliviamgeta81313 жыл бұрын

    Wow👌🙏

  • @lawrencelusemba7707
    @lawrencelusemba77072 жыл бұрын

    Hakika kila mwenye pumz asifu Mungu

Келесі