SNS, fanyen kuwafanyia interview, madj wa movies pia, tuwajue na zaidi ya walivyo, kama Dj Murphy wa full respect FAMILY, ommy dj, babu dj, na wengi wengi wengi
@johnmwandu21169 күн бұрын
Alivyosema km alivyoshauriwa ni kweli, kwamba usitafisiri neno kwa neno, ni km anavyofanya dj afro a.k.a kimodaa, yeye hatafisiri neno kwa neno lkn anaelezea content kwa kila scene na anainogesha kwa kuongeza comedy
@amosmakabara30248 күн бұрын
Huyu ndo dj wangu bora wa miaka yote Tanzania ukiachana na kimoda huko Kenya
@abdallahhamisi458 күн бұрын
Jamaa ana point nzuri sana Azingatiwe hasa hapo alipo wasema wakorea. Tatizo ni mifumo 🔥🔥🔥🔥
@Mbaley8 күн бұрын
Dj djuma khan ni very talented
@omarymambo87618 күн бұрын
Amazing, hii ni kubwa sana. Keep going to improve na kua na strategies nzuri zaidi Lakini pia ni muhimu kuona namna ya kuweza kuilinda hii sanaa kwakua wenzetu wanaweza kupita nayo na ikawa faida kubwa. Hongera DJBLACK
@nichoojr.67472 күн бұрын
Babu DJ NI Hatari Sanaaaa
@luccabosslugendo97223 күн бұрын
Black umepambana kitambo Sana hongera kufika hapo
@chimnyengeUpdate3 күн бұрын
Dj black huyo anajua sana
@DM_159 күн бұрын
Mwambie apush hatahio ya tid tuu TID naye atoboe
@Valencechachalyrics5 күн бұрын
DJ Black, my favorite DJ
@user-ix1zs6gm1b8 күн бұрын
DJ ni kama mimi nikiamka lazima nichungulie kwa SNS kuna nn kipya
@shilaboyboy958 күн бұрын
Big up 👍✅ tuna ku support 👍
@princessplatnum44168 күн бұрын
Dj black wamotooooooo namkubaliaaaaa kinyamaaaaaaaa
@TeeTee-tu8cg3 күн бұрын
Omy dj sio poa
@michaelsamson96638 күн бұрын
Ma DJ tulionao uku mtaani niwaongo sana bola ata uyo anaeleweka
@mtutulaclassic6207
5 күн бұрын
Asa dj Black anatofauti gani na hao wengine au hujawahi kumsikia?
@bizzoforreal85023 күн бұрын
Na ndo mana sahiv kimya Sana
@YustorMichaeli8 күн бұрын
Dj black
@shijandobehe49538 күн бұрын
Umeongea point sana kaka mkuu
@johnmwandu21169 күн бұрын
Dj black a..k.a manizoo,moja ya ma-dj wakali kabisaa ninaowakubali kwenye kufasiri movies za kikorea, na huwa haongei uongo kwenye utafisiri, siyo km wengine kiingereza hawakielewi, anaongea hivi, yeye anatafasiri tofauti
@johnmwandu21169 күн бұрын
SASA WASANII WA BONGO MOVIES WA SASA MUAMIN KWWMBA ,NINYI HAKUNA MNACHOKIFANYA KWA SASA, MNAANGALIANA TU NI NANI MWENYE MAKALIO MAZURI NDIO ANAIGIZA HATA KM STORY NI MBOVU, ZAMANI NDIO WALIFANYA KEA KUANGALIA KIPAJI, SASA JIULIZE MTU ANAIPENDA MOVIE YA MIAKA 20 ILIYOPITA, NA HADI NSYUKA, MJITAFAKARI
@salumshakespeare8 күн бұрын
ma nizzle 4 shizzle
@rosemahenge90718 күн бұрын
Jamaa kanyoosha sana 🎉🎉🎉
@dahero1609 күн бұрын
Nzuri sanaa
@ABUU9618 күн бұрын
Dj wangu black huyo
@stevenlugojeremia23238 күн бұрын
Mwambie aitafute Movie ya Single father baba Olivia ya gabo zigamba hii film ina Uhalisia mkubwa Sana na inasisimuwa
@HASHIMMAKUNGUHAMDANI8 күн бұрын
Hiii kubwa sana
@mtzhalisi22329 күн бұрын
Safi
@sam.360pro5 күн бұрын
Kuna watu wanawachukulia poa hawa madj na kudhani kuwa hawajasoma wanaongea tu kufurahisha watu kitu ambacho sio watu waliishatoka huko madj wengi wako vizuri hawadanganyi wanapotafsiri movie ni wakati wa kuwaunga mkono kwa upande wa mamlaka husika
@user-sg4xn4hz5d8 күн бұрын
Daah. yan huy n moj kat ya dj ninae mkubal san kutok moyon mwangu huw ananikosha san akitafsir movies za kikorea
@sonnyr18998 күн бұрын
Nilisema kiswahili ni bidha ila watu wengi hawajuwi haswa wa tzn.
@amosmakabara30248 күн бұрын
Kitu kinacho wafelisha madj wengi ni kutafsiri neno kwa neno mwisho wanaharibu ubora wa move zenyewe
@pesaspy_tv8 күн бұрын
Dj black ni dj mwanafunzi wa Dj mark huyu nishawahi kutazama movie zake za kutisha nyingi sana
@ffstudiosizonicom977
8 күн бұрын
Macky ndiye mwana funzi wake
@MeshackMwanyula8 күн бұрын
Hii movie ya kitambo sana nimeisahau jina ety
@visionstudios6804
5 күн бұрын
Nilikua nayo kwenye VHS Alafu jina linenipotea hata mimi
Пікірлер: 39
SNS, fanyen kuwafanyia interview, madj wa movies pia, tuwajue na zaidi ya walivyo, kama Dj Murphy wa full respect FAMILY, ommy dj, babu dj, na wengi wengi wengi
Alivyosema km alivyoshauriwa ni kweli, kwamba usitafisiri neno kwa neno, ni km anavyofanya dj afro a.k.a kimodaa, yeye hatafisiri neno kwa neno lkn anaelezea content kwa kila scene na anainogesha kwa kuongeza comedy
Huyu ndo dj wangu bora wa miaka yote Tanzania ukiachana na kimoda huko Kenya
Jamaa ana point nzuri sana Azingatiwe hasa hapo alipo wasema wakorea. Tatizo ni mifumo 🔥🔥🔥🔥
Dj djuma khan ni very talented
Amazing, hii ni kubwa sana. Keep going to improve na kua na strategies nzuri zaidi Lakini pia ni muhimu kuona namna ya kuweza kuilinda hii sanaa kwakua wenzetu wanaweza kupita nayo na ikawa faida kubwa. Hongera DJBLACK
Babu DJ NI Hatari Sanaaaa
Black umepambana kitambo Sana hongera kufika hapo
Dj black huyo anajua sana
Mwambie apush hatahio ya tid tuu TID naye atoboe
DJ Black, my favorite DJ
DJ ni kama mimi nikiamka lazima nichungulie kwa SNS kuna nn kipya
Big up 👍✅ tuna ku support 👍
Dj black wamotooooooo namkubaliaaaaa kinyamaaaaaaaa
Omy dj sio poa
Ma DJ tulionao uku mtaani niwaongo sana bola ata uyo anaeleweka
@mtutulaclassic6207
5 күн бұрын
Asa dj Black anatofauti gani na hao wengine au hujawahi kumsikia?
Na ndo mana sahiv kimya Sana
Dj black
Umeongea point sana kaka mkuu
Dj black a..k.a manizoo,moja ya ma-dj wakali kabisaa ninaowakubali kwenye kufasiri movies za kikorea, na huwa haongei uongo kwenye utafisiri, siyo km wengine kiingereza hawakielewi, anaongea hivi, yeye anatafasiri tofauti
SASA WASANII WA BONGO MOVIES WA SASA MUAMIN KWWMBA ,NINYI HAKUNA MNACHOKIFANYA KWA SASA, MNAANGALIANA TU NI NANI MWENYE MAKALIO MAZURI NDIO ANAIGIZA HATA KM STORY NI MBOVU, ZAMANI NDIO WALIFANYA KEA KUANGALIA KIPAJI, SASA JIULIZE MTU ANAIPENDA MOVIE YA MIAKA 20 ILIYOPITA, NA HADI NSYUKA, MJITAFAKARI
ma nizzle 4 shizzle
Jamaa kanyoosha sana 🎉🎉🎉
Nzuri sanaa
Dj wangu black huyo
Mwambie aitafute Movie ya Single father baba Olivia ya gabo zigamba hii film ina Uhalisia mkubwa Sana na inasisimuwa
Hiii kubwa sana
Safi
Kuna watu wanawachukulia poa hawa madj na kudhani kuwa hawajasoma wanaongea tu kufurahisha watu kitu ambacho sio watu waliishatoka huko madj wengi wako vizuri hawadanganyi wanapotafsiri movie ni wakati wa kuwaunga mkono kwa upande wa mamlaka husika
Daah. yan huy n moj kat ya dj ninae mkubal san kutok moyon mwangu huw ananikosha san akitafsir movies za kikorea
Nilisema kiswahili ni bidha ila watu wengi hawajuwi haswa wa tzn.
Kitu kinacho wafelisha madj wengi ni kutafsiri neno kwa neno mwisho wanaharibu ubora wa move zenyewe
Dj black ni dj mwanafunzi wa Dj mark huyu nishawahi kutazama movie zake za kutisha nyingi sana
@ffstudiosizonicom977
8 күн бұрын
Macky ndiye mwana funzi wake
Hii movie ya kitambo sana nimeisahau jina ety
@visionstudios6804
5 күн бұрын
Nilikua nayo kwenye VHS Alafu jina linenipotea hata mimi
Ni mbuzi muma mbuzi zengine tuuu
Dj black