DJ anayetafsiri filamu za Kigeni kwa Kiswahili apagawisha wazungu, wampeleka Ujerumani, ukumbi wajaa

Автокөліктер мен көлік құралдары

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Пікірлер: 39

  • @snkhannassoro2404
    @snkhannassoro24048 күн бұрын

    SNS, fanyen kuwafanyia interview, madj wa movies pia, tuwajue na zaidi ya walivyo, kama Dj Murphy wa full respect FAMILY, ommy dj, babu dj, na wengi wengi wengi

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu21169 күн бұрын

    Alivyosema km alivyoshauriwa ni kweli, kwamba usitafisiri neno kwa neno, ni km anavyofanya dj afro a.k.a kimodaa, yeye hatafisiri neno kwa neno lkn anaelezea content kwa kila scene na anainogesha kwa kuongeza comedy

  • @amosmakabara3024
    @amosmakabara30248 күн бұрын

    Huyu ndo dj wangu bora wa miaka yote Tanzania ukiachana na kimoda huko Kenya

  • @abdallahhamisi45
    @abdallahhamisi458 күн бұрын

    Jamaa ana point nzuri sana Azingatiwe hasa hapo alipo wasema wakorea. Tatizo ni mifumo 🔥🔥🔥🔥

  • @Mbaley
    @Mbaley8 күн бұрын

    Dj djuma khan ni very talented

  • @omarymambo8761
    @omarymambo87618 күн бұрын

    Amazing, hii ni kubwa sana. Keep going to improve na kua na strategies nzuri zaidi Lakini pia ni muhimu kuona namna ya kuweza kuilinda hii sanaa kwakua wenzetu wanaweza kupita nayo na ikawa faida kubwa. Hongera DJBLACK

  • @nichoojr.6747
    @nichoojr.67472 күн бұрын

    Babu DJ NI Hatari Sanaaaa

  • @luccabosslugendo9722
    @luccabosslugendo97223 күн бұрын

    Black umepambana kitambo Sana hongera kufika hapo

  • @chimnyengeUpdate
    @chimnyengeUpdate3 күн бұрын

    Dj black huyo anajua sana

  • @DM_15
    @DM_159 күн бұрын

    Mwambie apush hatahio ya tid tuu TID naye atoboe

  • @Valencechachalyrics
    @Valencechachalyrics5 күн бұрын

    DJ Black, my favorite DJ

  • @user-ix1zs6gm1b
    @user-ix1zs6gm1b8 күн бұрын

    DJ ni kama mimi nikiamka lazima nichungulie kwa SNS kuna nn kipya

  • @shilaboyboy95
    @shilaboyboy958 күн бұрын

    Big up 👍✅ tuna ku support 👍

  • @princessplatnum4416
    @princessplatnum44168 күн бұрын

    Dj black wamotooooooo namkubaliaaaaa kinyamaaaaaaaa

  • @TeeTee-tu8cg
    @TeeTee-tu8cg3 күн бұрын

    Omy dj sio poa

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson96638 күн бұрын

    Ma DJ tulionao uku mtaani niwaongo sana bola ata uyo anaeleweka

  • @mtutulaclassic6207

    @mtutulaclassic6207

    5 күн бұрын

    Asa dj Black anatofauti gani na hao wengine au hujawahi kumsikia?

  • @bizzoforreal8502
    @bizzoforreal85023 күн бұрын

    Na ndo mana sahiv kimya Sana

  • @YustorMichaeli
    @YustorMichaeli8 күн бұрын

    Dj black

  • @shijandobehe4953
    @shijandobehe49538 күн бұрын

    Umeongea point sana kaka mkuu

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu21169 күн бұрын

    Dj black a..k.a manizoo,moja ya ma-dj wakali kabisaa ninaowakubali kwenye kufasiri movies za kikorea, na huwa haongei uongo kwenye utafisiri, siyo km wengine kiingereza hawakielewi, anaongea hivi, yeye anatafasiri tofauti

  • @johnmwandu2116
    @johnmwandu21169 күн бұрын

    SASA WASANII WA BONGO MOVIES WA SASA MUAMIN KWWMBA ,NINYI HAKUNA MNACHOKIFANYA KWA SASA, MNAANGALIANA TU NI NANI MWENYE MAKALIO MAZURI NDIO ANAIGIZA HATA KM STORY NI MBOVU, ZAMANI NDIO WALIFANYA KEA KUANGALIA KIPAJI, SASA JIULIZE MTU ANAIPENDA MOVIE YA MIAKA 20 ILIYOPITA, NA HADI NSYUKA, MJITAFAKARI

  • @salumshakespeare
    @salumshakespeare8 күн бұрын

    ma nizzle 4 shizzle

  • @rosemahenge9071
    @rosemahenge90718 күн бұрын

    Jamaa kanyoosha sana 🎉🎉🎉

  • @dahero160
    @dahero1609 күн бұрын

    Nzuri sanaa

  • @ABUU961
    @ABUU9618 күн бұрын

    Dj wangu black huyo

  • @stevenlugojeremia2323
    @stevenlugojeremia23238 күн бұрын

    Mwambie aitafute Movie ya Single father baba Olivia ya gabo zigamba hii film ina Uhalisia mkubwa Sana na inasisimuwa

  • @HASHIMMAKUNGUHAMDANI
    @HASHIMMAKUNGUHAMDANI8 күн бұрын

    Hiii kubwa sana

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi22329 күн бұрын

    Safi

  • @sam.360pro
    @sam.360pro5 күн бұрын

    Kuna watu wanawachukulia poa hawa madj na kudhani kuwa hawajasoma wanaongea tu kufurahisha watu kitu ambacho sio watu waliishatoka huko madj wengi wako vizuri hawadanganyi wanapotafsiri movie ni wakati wa kuwaunga mkono kwa upande wa mamlaka husika

  • @user-sg4xn4hz5d
    @user-sg4xn4hz5d8 күн бұрын

    Daah. yan huy n moj kat ya dj ninae mkubal san kutok moyon mwangu huw ananikosha san akitafsir movies za kikorea

  • @sonnyr1899
    @sonnyr18998 күн бұрын

    Nilisema kiswahili ni bidha ila watu wengi hawajuwi haswa wa tzn.

  • @amosmakabara3024
    @amosmakabara30248 күн бұрын

    Kitu kinacho wafelisha madj wengi ni kutafsiri neno kwa neno mwisho wanaharibu ubora wa move zenyewe

  • @pesaspy_tv
    @pesaspy_tv8 күн бұрын

    Dj black ni dj mwanafunzi wa Dj mark huyu nishawahi kutazama movie zake za kutisha nyingi sana

  • @ffstudiosizonicom977

    @ffstudiosizonicom977

    8 күн бұрын

    Macky ndiye mwana funzi wake

  • @MeshackMwanyula
    @MeshackMwanyula8 күн бұрын

    Hii movie ya kitambo sana nimeisahau jina ety

  • @visionstudios6804

    @visionstudios6804

    5 күн бұрын

    Nilikua nayo kwenye VHS Alafu jina linenipotea hata mimi

  • @OlivierCelestin-eb7om
    @OlivierCelestin-eb7om8 күн бұрын

    Ni mbuzi muma mbuzi zengine tuuu

  • @djjumakhanchikongwe90
    @djjumakhanchikongwe908 күн бұрын

    Dj black

Келесі