Dizasta Vina - Hatia III
Музыка
HATIA III audio - mdundo.com/song/1207718
Category - Music
Song - Hatia III
Artist - Dizasta Vina
Other Musical contents
Audiomack - audiomack.com/dizastavina
KZread - / dizastavina
Deezer - www.deezer.com/artist/67967532
Apple music - artists.apple.com/a/profile
Mdundo - mdundo.com/a/2263
Genius - genius.com/DizastaVina
Boom play - www.boomplay.com/artists/3288... - artists.spotify.com/c/artist/...
Connect with Dizasta Vina on social medias
Instagram - / dizastavina
Twitter - / dizastavina
Facebook - / dizastavina07
sw.wikipedia.org/wiki/Dizasta...
Business: Pan.authentik@yahoo.com
Website - bio.link/dizastavina
Music video by Dizasta Vina performing Hatia III. (C) 2018
PanoramaAuthentik
EMAIL vicentedger@gmail.com
more from Dizasta Vina
audiomack.com/artist/dizasta-...
Пікірлер: 293
HATIA III audio Www.mdundo.com/song/1207718 Www.audiomack.com/song/dizasta-vina/hatia-iii Share and subscribe to my channel and on my social medias. FACEBOOK - facebook.com/theblackmaradona TWITTER - twitter.com/dizastavina?s=09 INSTAGRAM - @DIZASTAVINA
@leerico78
5 жыл бұрын
dizasta vina tayari mzee....tunazidi kuelimika
@musictv8244
5 жыл бұрын
that is the meaning of real hip hop
@binhabbib2831
5 жыл бұрын
dizasta vina
@zittotv9972
5 жыл бұрын
Dizasta Vina duuuuh
@Francomwasyola
4 жыл бұрын
Bro unajua sana naona njia za Hopsin kila napokusikiliza
Huyu jamaa me namsikiliza sana Namkubali dizasta twende na likes apa mazee #hatia III
Ndugu zangu waTz, naomba mtupe dizasta tuko tayari kuwapa Khaligraph na Octopizo
dizasta mziki wako unapaswa kusikilizwa sana
Da! Wenzako wanaigiza ili waishi we unaigiza maisha 👏 Like twende sawa
Hajawahi niangusha huyu jamaa...kama unamuelewa Disasta Vina gonga like hapa na yeye aone tunavyomkubali
Unamjengea jirani kwako unachimba unabaki chini, Ahahaha hapo ngojea #dizasta.
Underground, Ukimsikiliza Dizasta Hautoki.
Sjawah jutia ku subscribe kila kitu🔥🔥🔥#dizasta we mkali kuliko ukali wenyewe
Daaaah we jamaa ni zaidi ya darasa aisee,Kila nikiskiza ngoma zako najua kuna shule lazima niipate we ni noma noma si kitoto#ProfesaTungo
moto zaidi ya jua
"Umeuza mifugo, unafuga kucha na ndevu"- This guy is not from this galaxy. Yaani mtu ambaye ana mistari kama hii ya fasihi ni Hasheem Dogo aliyeimba wimbo wa TUNASONGA. Hongera sana Dizasta Vina.
tukisema hip-hop hii ndo yenyewe best rapper in tz
Ukashusha mashujaa wako ukamwinua yesu wa kizungu... Africa
Umeuza mifugo yote umebaki kufuga kucha🙌🙌🙌
😯😯😯😯Aseeeeh dah MWANA APOLO DIZASTA ASEEEH mzuk💥💥💥🔥 unapand mbak natak kutukan k....... Make wew siyo Mc wakawaida DIZASTA WW nI JINI mwanaaaah
Mwenetu upo kwenye top 5 yang Tanzania hip hop artist be strong ila Mada zako Tata
ndiomana ukajiita profesa tungo hujakosea broo #dizasta
Uandishi uliotukuka! Habari zifike mpaka uajemi.
Daaaaaaah inauma sanaaaa kaka ngoma hiiii nimuhim kuliko zote TANZANIA
best Emcee in Tz currently....keep it up professor tungo👏👏
unamshusha shujaa wako unamuinua yesu wa kizungu !!!! sensitive live bro bigup
Fire disaster fire hii ni zaidi ya wimbo
Vya bure gharama Wenzio wanaigiza ili waishi we unaishi kwa kuigiza Dizasta vina we na disaster
Sijui niseme Big Up ila mimi ni MuAfrika ngoja niseme hongera kaka..#VinaDizasta
Real sensitive content
nimemaliza mining engineer at UDOM najihis napata ufahamu mpya kupitia mtu huyu,,mungu akuongezee maono mapya zaidi
@dizastavina
5 жыл бұрын
Zacharia Sirigwi Amina
@zachariasirigwi1913
5 жыл бұрын
Kiza bakangisha
We ni mnywanywa kwenye hii kitu hip hop.. Umeuza mifugo.. Unafuga kucha na ndevu yaani punch after punch
Unakumbuka kila k2 unashau asili
Darasa huru Kama ningekuwa basata hii mistari ningeshauri ipelekwe shule kuokoa kizazi hii elimu kubwa Sana usibadili kazi hizi utapoteza mashabiki
@johnny.j.nyondo
2 жыл бұрын
Alafu wako busy na manyimbo ya zuchu
mmmh,,,,, we jmaaa uko tight sana blood...... disasta vina vinene......
This is a fire truck,unadanganywa rangi yako sio nzuri ili utafute pesa ukawaungishe vipuri,ume-switch toka mama afrika mpaka drama queen,unanunua tv uone africa ikizama chini. Damn man intellegent level bro,mashairi level za PHD man
@dizastavina
3 жыл бұрын
Thank you, please share
duuuh we jamaaaa mbona balaaaa sanaa ... kaaah
naibatiza nickname #africa. umechagua urembo umetupa werevu,,, one alisema we jamaa unaandika mimi nasema unalaana ya uandishi
hatari hatia
Huyu dizasta ni disaster kweli, yaan huyu jamaa uandishi wake ni wa kipekee ulimwenguni kote, eti vichwa panzi wanasema huchan ila unaongeaongea tu, haahaaahaaaa nliwacheka sana! Ucjal bro tupo wateule wachache tunaoelewa unachokifanya so, fanya kushusha nyingne na ikiwezekana tuletee hatia- iv kama ipo! Asante sana!!!!!! Mungu akupe maisha marefu, amen!
Nakuona mbal mzee
Daaaaah,,,,sijaamini maskio yangu...kwa kiwango hiki why bado upo hivi na walopokaji wanajipa vyeo.. dizasta nakubali sanaa ngoma kali...onyo kali wasoona dalili haiwezi kuwakaa kiakili...ngoma kaliii respect bab
nakubali mwanangu dizasta naxubili dizasta 4
For REAL you are a DISASTER bro! Eti, " unafunga ubongo, unafungua mikono ili wakupe msaada", this is beyond normal thinking bro. U r a genius
Sina mashaka na unadishi wako na mapngilio wa mada hata theluthi. Wengi watadhani ipo tofauti na mtiririko wa HATIA moja na mbili lakini hapa sasa tunawarudisha darasani kutafakari MAUDHUI ua HATIA ni nini?? Na maana halisi ya HATIA keep it up bob.
Lyrically na content wise,ma emcee wanaoweza kufanya kama Dizasta hawazidi watatu Bongo,big up mzee,keep the culture up
huyu ni mjenzi wa Taifa sema tu watu walio wengi ni wavivu bkusikiliza mziki unazungumzia uhalisia wa maisha yao
Mesubiri hii ngoma ka niko kwa foleni ya mshahara ngoma kali... Mafunzo mengi sana hizi ngoma mtaan hazipo naudayz #kanisa
Daaah Hiki kichwa daah
uwa nakuelewa sana kaka mkubwa
Dizasta vina 👑 hip-hop
dizasta vina we ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
hatari,unajua kuchonga ngenga badala ya vinyago 😂😂😂
Bro unatisha sana 🤝 salut Toka Europe 🙏we Ni kichwa Brother 👑
Watu Kama sisi tunamkubali huyu jamaa
Unauza mifugo unafuga kucha na ndevu.... Katka kupta pta nmekutana nalo leo...jmaa anajua... Nazani kma nmemuelewa bg up Dizasta.... Uchok kucklza kma ngoma imenogle kma mm tia like apo
@aradanistarbadmooo2440
5 жыл бұрын
👊
daaaaaah kuma make huyu jamaa ni nyoko
Kuma makeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee💥💥💥💥
Nimerudi tena kuisikiliza hii ngoma.. bro we ni mc mkali unaandika sana! Hizo lines za mwisho zinagusa 100% kilichotokea South Africa. 😥😥🙌
Dizasta vina....... Basi ndugu yangu wamekupata hao ma real nigga🙋🙋🙋🙋🙋
ngoma kali sanaaaaaa
Mkali mwenye vina vyake....dizasta hii umeua hatar kaka.
sawaaaa nzuliiii kakaaa tunaa ombaaaa videooo yakeee sio lirycs
Sinaga tatzo na wewe tangu nikufahamu bro. Asante
Hatia 3 ngoma kali
Long live Genius
Daaaaaah Jamaa Unafikiria sanaaa.#Dizasta Vina
da mwana unaweza sana watu kama sisi hii ndo mziki wa kusikiliza
🤔🤔🤔🤔🤔Broo aina hii mziki ni maarifa makubwa sana
SO SENSITIVE mzey baba yan Since naipakua no🖐✋🖐☝️ PAUSE mbak kichw ki 💥🔥💥💥🔥
Kali sana, I mean hiii Ni nomareeeeeeeee
Dizastaaaaaaaaaa we ni kichwaaaaaa
Kwanini usijikubali, Dizasta kwanini watu wanakuelewa ivi, kwanini mapenzi yanazidi kushuka juu yako, kuifanya jamii yakiafrika ii elewe asili yao_Remmy Ongala anakwambia waafrica wema umetuponza, umetufikisha hapa!
noma sana mzee baba
hakuna ubishi mazee kweli dizasta we ni proffesa wa tungo...big ub brooo am in love with hip hop
WE JAMAA NI HATARIII SANA
This is Deep bro 🔥🔥🔥
dazasta vina unaweza sana sana kijana👏👏
unaandika sanaa bro 🔥🔥🔥🔥
The wait is over..... Na balaa ndo hili....Dah sina cha kusema....Nimekubali
Au uombe msaada wakati unakufa na fashion mwilini, daaah!! Yaan bila kukata tamaa Kak hela yako ipo, ipo siku utapata unachostahili kwa mziki wako unaoufanya. Big up sana kaka.
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
bratha naomba usije acha huu mziki 2po wa2 tunao elewa huu mziki
hatia 3. vina
nakubali sana dizasta
We jamaa ni extra
Ujawahi kuniangusha dizastavina
Much respect hii n zaidi ya nyimbo ya taifa
Tunaorudiarudia tukiwa na bundle tujuane hapa 😀😀✊🏿
@dizastavina
3 жыл бұрын
Mnaorudia mbarikiwe
U deserve my subscription.....tisha sana bro!! Usiache kutuandikia, kama sio sisi basi vizazi vijavyo vitajifunza fasihi yako!!
@dizastavina
3 жыл бұрын
Thanks, please share
Di zasta mtu mbayaaaaaaa...a.k.a the beat killer.
one of the underrated rapper in TZ Hon Dizasta vina ,mob love from county 003 +254
safii sanaa
This is legendery . Ichinikitabu alafu .umeongeya mambo yenye octopizzo anagusianga ya dini . Bro you are legend wewe ni legend .
umeuza mifugo, unafuga kucha na ndevuu aiseeeee!!!
fire🚨🔥🔥🔥
Hatari sana
hatar sana🔥🔥🔥🔥🔥
Blessings blessings blessings 🙌🙌✊✊
Umeblich nywele mdomo mwekundu umebusu baruti... DIZASTA VINA a.k.a black maradona. Nakuelewa sana niga nina ngoma zako zote..
@luganonsubisi3418
Жыл бұрын
Black maradona
✊ Hip Hop 4life Sana Rasta
Wa Kwanzaa kuicoment siasaa za tv na simuu like twendee sawaa
bro your baddest sijawah kukuskia leo nimeskia real hip hope
@dizastavina
3 жыл бұрын
Appreciate the love, please share
Imeanza kufuata Amri za tv na simu .... imeuaa broo