Diamond unatufanya tujivunie mziki wetu wa Bongo, Keep up the Big Work kaka ❤
@shwaibukhatibu2838
9 ай бұрын
Anakufanya wewe mi toka zamani najivunia bongoflava
@stanleynombwe4865
9 ай бұрын
@@shwaibukhatibu2838😂😂😂😂😂😂😂et ana mfanya👏👏👏👏
@swalehesaad1143
9 ай бұрын
@@shwaibukhatibu2838😂😂😂chuki
@AmiBoy-vs2td
9 ай бұрын
Kweli kbsa hta zamani tulikuwa tunajivunia bongo flava lkn ilikuwa huwez kwenda nchi za nje ukatamba na bongo fleva so big up kwa Diamond platnumz
@laizerjones5385
9 ай бұрын
Kuna mapopo kazi yao kuponda tu
@agneswilson9089 ай бұрын
We are proud of your good work Hongera Sana Diamond
@isaachakim319 ай бұрын
Look a big artist in east africa❤
@catprettyworld9 ай бұрын
Naipenda Pepsi sababu ya diamond pia kachangia nzid kuipenda❤
@AshaShaffih-ou8wq
9 ай бұрын
Heeee bas haya😅
@paizinhosaide-cv9pm9 ай бұрын
nakupenda diamond adi raha❤❤❤
@hassankhamis73809 ай бұрын
Yani bro ww nimpambanaji mtu yeyote aki kuchek hawez kata tamaa ww ni mwamba bro mimi mwenyewe pepsi ndio biya yangu ❤❤❤❤❤❤
@CHALTV9 ай бұрын
He seem too tired, Man is working hard.
@messiahfeatures3994
9 ай бұрын
True!
@johnyagat9739 ай бұрын
Tunajivunia wewe tukiacha tu mziki umesaidia ata vijaa kuijiamn kupitia mafanikio yako kwamba inawezekana nao kusubutu kwenye nyanja ya ujasiliali ❤ kwaiyo naomba uendelee hivyo hivyo muster speech nakuitaka ivyo akuna anaekufikia kwa kujielezea mbele ya kadamnasi yan sijui nisemaje aisee nakupa Dada angu🎉
@HamzaShocki
9 ай бұрын
Kuma wewe
@praygodmaketa699
9 ай бұрын
Umejielezaaaaaa
@ngasikajoel95769 ай бұрын
Bravo big Boy
@SwaleheKarim-mt5zn9 ай бұрын
Aisee kwel ... Mond kaifanya tunaipenda zaidi
@user-qu9jn6td9m9 ай бұрын
Hiyo kweli 🦁🦁
@aishafrancis77149 ай бұрын
Nakukubali cn jembe👏👏
@ramayonline22819 ай бұрын
Misimamo ndio msingi wa kazi keep moving 🦁 yoooooh✊✊✊
@elizabethchabluma-zw5qz9 ай бұрын
Mashaallah Simba Allah akulinde
@sashawambura9 ай бұрын
Nakunywa Pepsi kwa kua Diamond anakunywa Pepsi..Period
@swalehesaad11439 ай бұрын
Huyu jamaa amenihamisha kutoka cocakola mpaka kupenda pepsi na mirinda nyeusi😂😂😂
@JanuaryYolamu
9 ай бұрын
Kumbe upokama mimi ani ndugu
@swalehesaad1143
9 ай бұрын
@@JanuaryYolamu weee na wewe ni mdau mwenzangu mie niliiacha coca pale tu waliposhindwana na jamaa kwenye mkataba akasepa Mondi nipo nae pia Airtel japo wanazingua mtandao wao upo chini
@mdoutz7452
9 ай бұрын
Tupo wengi mzee
@seckyobadiah2564
9 ай бұрын
😂😂😂😂
@abdalahsambala6667
9 ай бұрын
Acha kufananisha coca na vitu vya kipumbavu
@moseschristopher22179 ай бұрын
Bravo big boy🇰🇪🇹🇿👋👋👋👋
@user-tk3wl7xf4n9 ай бұрын
Mchongo n kazi kazi ukileta utimu,mazarau kujiona star una katwa keep moving bro
@shwaibukhatibu2838
9 ай бұрын
We nijua lazma ucomment coz wewe NI miongoni mwa mashoga WA WCB mnaofirwa na diamond
@Saidkhel
9 ай бұрын
@@shwaibukhatibu2838 we anakufira nani maana wasenge mnajuana kwaiyo weye anakufira nani
@eysherqdout8361
9 ай бұрын
@@shwaibukhatibu2838 ukimalza kulia kunywa Maj moyo upoe 😎
@isaackambofi1241
9 ай бұрын
Matusi yann
@swalehesaad1143
9 ай бұрын
@@shwaibukhatibu2838mbona povu😂😂😂😂
@yaredtibihika9 ай бұрын
Simba Simba Kama Simba baba tiffa tajr chibud chibud msanii namba 1 East Afrika na namba 3 Afrika wew kwel Ni shida na miaka hii watakoma
@josephvenus32599 ай бұрын
Dangote huna Baya 🔥🔥🔥 Hii imeenda 🌎🌍🌏
@mustaphathabiti63929 ай бұрын
Kiukweli SBC wamenufaika sana Kwa huo mkataba maana baada ya kusaini na diamond watu walikunywa sna Pepsi 7bu ya Diamond
@chiefndatu18959 ай бұрын
Upo sahihi chibu 🎉🎉
@rava_ctheone9 ай бұрын
Ok brother
@user-gw5lb9ju5m9 ай бұрын
Simbaaaaaa❤❤❤
@aishafrancis77149 ай бұрын
Mie mwenyewe umenishawishi kuipenda peps !
@majutoeliasi
9 ай бұрын
Sema unavutia hisia
@lailalaila82069 ай бұрын
Hongera my bro
@emmanuelymacha26539 ай бұрын
He had convinced me to have a jump ship to pepsi🎉
@vitrahbongz94209 ай бұрын
Simba 🦁
@Amourharoub-rf1tc9 ай бұрын
Simba 🔥❤
@AngelclementGodwin-di4ij9 ай бұрын
Diamond nampenda kwa sababu lugha yake anaitumia sana kuongea lakin yule kilandage utahis kazaliwa uraya duuu ushamba ni mzigo
@majutoeliasi
9 ай бұрын
Kwanini hamuhendi bira harmo anaguvu sana
@mariamlucas3441
9 ай бұрын
No mara waa
@rajabukipara3008
9 ай бұрын
Mmakonde kawakaba Sana Dah!😂
@malianonicass7029
9 ай бұрын
@@majutoeliasimbona unaesema ana nguvu mbona haiendi hadi Simba... muone
@HalimaJuma-de5gc
9 ай бұрын
Hamchoki na kiswahili bola yeye anaongeza luga nyingine
@highcancara19939 ай бұрын
Ila coca-cola ni tamu nyime... Nipeni like zangu
@ramadhanihoti23769 ай бұрын
Daimondi platinum ❤❤❤❤❤❤❤
@PrinceWalterM9 ай бұрын
Namna hii ukiwa Ambassador lazma mazungumzo yako yaizunguke brand unayoiwakilisha na amefanya hili vyema
@officialfishatz52629 ай бұрын
❤❤
@ibrahimfarha38539 ай бұрын
Unajituma baba ongera kwa Sandra kuzaaa jembee kama hiliii........wengiii wanapata rizk kupitiya bidiiii zakooo
@wilonderby9 ай бұрын
Simba La Masimba Dangote 🦁👑
@aziziabeid60529 ай бұрын
Kiukweli kabla ya diamond hajawa balozi wa Pepsi ilikuwa nadra mm kununua aina hii ya soda, ila siku hizi aaah ndo soda yangu pendwa
@joycekaguo8476
9 ай бұрын
Ata mm 😁
@paulntalima6998
9 ай бұрын
Ata mm
@thomasjohn2554
9 ай бұрын
Mim pia yaaan nisipokunywa kwa siku sina raha
@gibsonjosephat6352
9 ай бұрын
Na mimi huku nimenyoosha kidole
@michaellagwen8198
9 ай бұрын
Watu wanafiki Sana 😂😂😂
@anglenestory20409 ай бұрын
❤❤❤❤
@ellieellie14699 ай бұрын
🔥🔥🔥
@user-dt9ct2yc5w9 ай бұрын
😊
@bagenihuduma15699 ай бұрын
Deal done
@davidoscooper2379 ай бұрын
Simbaaaaa
@user-cj1ft4mw2l9 ай бұрын
WHEN YOU TALKING ABOUT AFRO BEATS , THEN YOU ARE TALKING THESE THREE COUNTRIES NIGERIA 🇳🇬 TANZANIA 🇹🇿 SOUTH AFRICA 🇿🇦 DIAMOND NDIO AMETUWEKA KWENYE ROMANI ZAIDI KUSHINDA MWANAMUZIC YOYOTE TANZANIA
@isamgodwin9 ай бұрын
Baba we piga kazi we ndie T O. TANZANIA ONE achan nao Hao ngedere. Yale ni maneno ya wakosaji
@doreenminja19699 ай бұрын
Simbaaa♥️♥️♥️
@user-zb2mj5nd5g9 ай бұрын
Naipenda peps kwampunga kuku mpunga nyama hiyo kinywajhi ninoma
@sewandomkuchu92679 ай бұрын
I will be drinking Pepsi..from now on
@abdoulayesow88269 ай бұрын
Platnumz the best
@peterkisomezi71019 ай бұрын
Diamond platnumz beby
@kurumwagodfrey70529 ай бұрын
Pepsi wajanja Sana baada ya kuumpa diamond tangazo kimekua kinywaji pendwa zaidi zaidi
@dubuafrican9 ай бұрын
🎉
@antonymsalilwa71809 ай бұрын
Hey 2090 it’s simba speaking 😅
@mwanaramadhani8257
9 ай бұрын
dunia haifiki ukoo😅
@Swahili149 ай бұрын
SIMBA la masimba Dangote 😂🔥👑
@user-ij8lm7lk1q9 ай бұрын
🦁
@muniraahmed6249 ай бұрын
Nomaaa Sanaa jamaa💪
@DimityMugravech
9 ай бұрын
Oooh sister kitambo sjaona ukikoment
@muniraahmed624
9 ай бұрын
@@DimityMugravech Nipogo jamanii kwemaaa???
@DimityMugravech
9 ай бұрын
Kwemaa sjui wew ukopoa
@tabithadaniel73649 ай бұрын
Ila mond anajua kuongea
@hassanbakari45259 ай бұрын
KWANZA ALIMKATAA RUGE,AKAWACHUKUA NA WALE MAMENEJA WANOKO,,AKAUCHUKUA NA MUZIKI WENYEWE AKAUWEKA MFUKONI,,,YANI HAKUNA MBWA......
@dereckdavid96099 ай бұрын
Kwevoo🔥🔥
@sweetdeosdedith62629 ай бұрын
Kiukweli mm Pepsi imenishinda, Coca-Cola no 1 🎉
@user-cj8rd9iu5i9 ай бұрын
Nashow zinajaa kweli kweli yan
@musakogan9 ай бұрын
SIMBA kweli SIMBA❤❤❤
@Kwaycomedtz9 ай бұрын
Simbaa
@En_Diel9 ай бұрын
7:30 anzia kuangalia hapa, utanishukuru baadae
@SAM_1639 ай бұрын
PEPSI DARE FOR MORE ❤❤❤❤❤
@user-lf5vw4qm2v9 ай бұрын
Unajipya choko wew
@RosemaryMaruba9 ай бұрын
Hahahahaaaa sijui
@user-zh6md7jp5w9 ай бұрын
Mbona ujama kuzungumza nikama mzee abduli au macho yangu
@MohamediAziziChinguile9 ай бұрын
Ulipo Simba nipoooo kwanzia Leo mm na Pepsi. Pepsi na mimi
@fatmafatu1128
9 ай бұрын
Napia akienda motoni ingia nae
@eveliynejoseph79449 ай бұрын
Mond akili kubwa 💪💪💪
@user-ov3ll9ns5s9 ай бұрын
Simbaaaaaaa
@user-cj8rd9iu5i9 ай бұрын
Daimond bila wew 2singekua hapa 2lipo kimziki so mwamba una ujua mziki
@Sister.8199 ай бұрын
Jesus
@user-vu7mx9th3o9 ай бұрын
badala ukanunue matunda utengeneze Juice unywe ety pepsi kisa diamond anakunywa duuu ukitumia pepsi kusafisha sink inang'aaa vip huo utumbo
@fredricksabick-hi1fl9 ай бұрын
Nani nae anaona mic ya clouds tv😂
@user-qt7zs4cp6p9 ай бұрын
Sikupingi miaka buku
@dakxirdakxir58979 ай бұрын
Baba levo chawa mkuu
@EugenAssenga8 ай бұрын
Anajua kutumia lugha kulingana na muktadha
@angebizokunda34479 ай бұрын
Pepsi inapendwa sana Norway pia
@mbunah2559 ай бұрын
Nimecheka ety mishuzi wanatetemeka 😅
@tabithadaniel73649 ай бұрын
Ila nyie pepsi ya baridi iheshimiwe
@roudhamahmoud7639 ай бұрын
Hata mimi natumiya Pepsi nipo saudiya Riyadh nakunywa Pepsi
@kennethbenjamin2759 ай бұрын
Sijanywa soda yoyote inafika miaka 14 sasa
@tanygary
9 ай бұрын
Safi sanaa
@hashimsalehe7087
9 ай бұрын
kisukari ndo kinakusumbua
@kennethbenjamin275
9 ай бұрын
@@hashimsalehe7087 we endelea kutumia wanaojielewa watakuwa wamenielewa
@yaredtibihika9 ай бұрын
Anakuja mjinga Kama machinga anapambana na SIM CARD ba
@user-wb5qv4ym7r9 ай бұрын
You fought and you have gained so show them now ma men yr a really lion not like...,,,,,!!!!??
@saadatiyahyashabani-yg2xy9 ай бұрын
Eh😂 mbn kama Quavo
@4herson2559 ай бұрын
Kwevo pacha
@MosesMuharhi-gz4zc9 ай бұрын
Simba
@olaripsabaya-kr1tu9 ай бұрын
Like kama zoteeeeeee
@suleimannationy-ln1wu9 ай бұрын
Ume rauka 5-30 ata Swalah uku shughulika nayo n mmbo y dunia
@kurumwagodfrey70529 ай бұрын
Chibuuuuuu
@mathiasshayo63489 ай бұрын
Hiyo mic ya clouds mondi akiiona sijui kichwani huwa anasema nini😅😅😅
@user-wm6xk1xf1d8 ай бұрын
Kwann diamond yupo tofaut nawasanii wengine hapa bongo?
@deosixmusic62409 ай бұрын
tujifunze kutoka kwa simbaaaaa kiswahili chetu..
@user-jh1hd3gh9m9 ай бұрын
Air Tanzania no one like diamond pokea maua yako
@user-fz1kh9in2c9 ай бұрын
Wewe vidox mnafki sana
@walio_na_tusio9 ай бұрын
Simba kanywa pepsi lakin macho njwii
@emmilyhope8607
9 ай бұрын
😂
@emmilyhope8607
9 ай бұрын
Labda peps Mwamba wao ndo inavyofanya😂😂
@gracekaboigora1899 ай бұрын
Au unataka uwa,,,,, kama zuchu
@johnsonchonja40329 ай бұрын
Huyo jamaa anamshika kichwani mond anafaa kuwa chawa wake kabisaaa maana baba levo kazi imeanza kumshinda🤣🤣
@milalaemmanuel4459 ай бұрын
ZUCHU anawivu Sana NDOMANA WASANI wakike hawaitwi😢😢
@elizabethchabluma-zw5qz
9 ай бұрын
Acha uongo ww
@milalaemmanuel445
9 ай бұрын
@@elizabethchabluma-zw5qz Amin nakwambia kwahy unataka kunambia WASANI Wote wakike wanaringa ama HAWANA nyimbo nzur za kuingia wasafi sio kwel
Пікірлер: 220
Diamond unatufanya tujivunie mziki wetu wa Bongo, Keep up the Big Work kaka ❤
@shwaibukhatibu2838
9 ай бұрын
Anakufanya wewe mi toka zamani najivunia bongoflava
@stanleynombwe4865
9 ай бұрын
@@shwaibukhatibu2838😂😂😂😂😂😂😂et ana mfanya👏👏👏👏
@swalehesaad1143
9 ай бұрын
@@shwaibukhatibu2838😂😂😂chuki
@AmiBoy-vs2td
9 ай бұрын
Kweli kbsa hta zamani tulikuwa tunajivunia bongo flava lkn ilikuwa huwez kwenda nchi za nje ukatamba na bongo fleva so big up kwa Diamond platnumz
@laizerjones5385
9 ай бұрын
Kuna mapopo kazi yao kuponda tu
We are proud of your good work Hongera Sana Diamond
Look a big artist in east africa❤
Naipenda Pepsi sababu ya diamond pia kachangia nzid kuipenda❤
@AshaShaffih-ou8wq
9 ай бұрын
Heeee bas haya😅
nakupenda diamond adi raha❤❤❤
Yani bro ww nimpambanaji mtu yeyote aki kuchek hawez kata tamaa ww ni mwamba bro mimi mwenyewe pepsi ndio biya yangu ❤❤❤❤❤❤
He seem too tired, Man is working hard.
@messiahfeatures3994
9 ай бұрын
True!
Tunajivunia wewe tukiacha tu mziki umesaidia ata vijaa kuijiamn kupitia mafanikio yako kwamba inawezekana nao kusubutu kwenye nyanja ya ujasiliali ❤ kwaiyo naomba uendelee hivyo hivyo muster speech nakuitaka ivyo akuna anaekufikia kwa kujielezea mbele ya kadamnasi yan sijui nisemaje aisee nakupa Dada angu🎉
@HamzaShocki
9 ай бұрын
Kuma wewe
@praygodmaketa699
9 ай бұрын
Umejielezaaaaaa
Bravo big Boy
Aisee kwel ... Mond kaifanya tunaipenda zaidi
Hiyo kweli 🦁🦁
Nakukubali cn jembe👏👏
Misimamo ndio msingi wa kazi keep moving 🦁 yoooooh✊✊✊
Mashaallah Simba Allah akulinde
Nakunywa Pepsi kwa kua Diamond anakunywa Pepsi..Period
Huyu jamaa amenihamisha kutoka cocakola mpaka kupenda pepsi na mirinda nyeusi😂😂😂
@JanuaryYolamu
9 ай бұрын
Kumbe upokama mimi ani ndugu
@swalehesaad1143
9 ай бұрын
@@JanuaryYolamu weee na wewe ni mdau mwenzangu mie niliiacha coca pale tu waliposhindwana na jamaa kwenye mkataba akasepa Mondi nipo nae pia Airtel japo wanazingua mtandao wao upo chini
@mdoutz7452
9 ай бұрын
Tupo wengi mzee
@seckyobadiah2564
9 ай бұрын
😂😂😂😂
@abdalahsambala6667
9 ай бұрын
Acha kufananisha coca na vitu vya kipumbavu
Bravo big boy🇰🇪🇹🇿👋👋👋👋
Mchongo n kazi kazi ukileta utimu,mazarau kujiona star una katwa keep moving bro
@shwaibukhatibu2838
9 ай бұрын
We nijua lazma ucomment coz wewe NI miongoni mwa mashoga WA WCB mnaofirwa na diamond
@Saidkhel
9 ай бұрын
@@shwaibukhatibu2838 we anakufira nani maana wasenge mnajuana kwaiyo weye anakufira nani
@eysherqdout8361
9 ай бұрын
@@shwaibukhatibu2838 ukimalza kulia kunywa Maj moyo upoe 😎
@isaackambofi1241
9 ай бұрын
Matusi yann
@swalehesaad1143
9 ай бұрын
@@shwaibukhatibu2838mbona povu😂😂😂😂
Simba Simba Kama Simba baba tiffa tajr chibud chibud msanii namba 1 East Afrika na namba 3 Afrika wew kwel Ni shida na miaka hii watakoma
Dangote huna Baya 🔥🔥🔥 Hii imeenda 🌎🌍🌏
Kiukweli SBC wamenufaika sana Kwa huo mkataba maana baada ya kusaini na diamond watu walikunywa sna Pepsi 7bu ya Diamond
Upo sahihi chibu 🎉🎉
Ok brother
Simbaaaaaa❤❤❤
Mie mwenyewe umenishawishi kuipenda peps !
@majutoeliasi
9 ай бұрын
Sema unavutia hisia
Hongera my bro
He had convinced me to have a jump ship to pepsi🎉
Simba 🦁
Simba 🔥❤
Diamond nampenda kwa sababu lugha yake anaitumia sana kuongea lakin yule kilandage utahis kazaliwa uraya duuu ushamba ni mzigo
@majutoeliasi
9 ай бұрын
Kwanini hamuhendi bira harmo anaguvu sana
@mariamlucas3441
9 ай бұрын
No mara waa
@rajabukipara3008
9 ай бұрын
Mmakonde kawakaba Sana Dah!😂
@malianonicass7029
9 ай бұрын
@@majutoeliasimbona unaesema ana nguvu mbona haiendi hadi Simba... muone
@HalimaJuma-de5gc
9 ай бұрын
Hamchoki na kiswahili bola yeye anaongeza luga nyingine
Ila coca-cola ni tamu nyime... Nipeni like zangu
Daimondi platinum ❤❤❤❤❤❤❤
Namna hii ukiwa Ambassador lazma mazungumzo yako yaizunguke brand unayoiwakilisha na amefanya hili vyema
❤❤
Unajituma baba ongera kwa Sandra kuzaaa jembee kama hiliii........wengiii wanapata rizk kupitiya bidiiii zakooo
Simba La Masimba Dangote 🦁👑
Kiukweli kabla ya diamond hajawa balozi wa Pepsi ilikuwa nadra mm kununua aina hii ya soda, ila siku hizi aaah ndo soda yangu pendwa
@joycekaguo8476
9 ай бұрын
Ata mm 😁
@paulntalima6998
9 ай бұрын
Ata mm
@thomasjohn2554
9 ай бұрын
Mim pia yaaan nisipokunywa kwa siku sina raha
@gibsonjosephat6352
9 ай бұрын
Na mimi huku nimenyoosha kidole
@michaellagwen8198
9 ай бұрын
Watu wanafiki Sana 😂😂😂
❤❤❤❤
🔥🔥🔥
😊
Deal done
Simbaaaaa
WHEN YOU TALKING ABOUT AFRO BEATS , THEN YOU ARE TALKING THESE THREE COUNTRIES NIGERIA 🇳🇬 TANZANIA 🇹🇿 SOUTH AFRICA 🇿🇦 DIAMOND NDIO AMETUWEKA KWENYE ROMANI ZAIDI KUSHINDA MWANAMUZIC YOYOTE TANZANIA
Baba we piga kazi we ndie T O. TANZANIA ONE achan nao Hao ngedere. Yale ni maneno ya wakosaji
Simbaaa♥️♥️♥️
Naipenda peps kwampunga kuku mpunga nyama hiyo kinywajhi ninoma
I will be drinking Pepsi..from now on
Platnumz the best
Diamond platnumz beby
Pepsi wajanja Sana baada ya kuumpa diamond tangazo kimekua kinywaji pendwa zaidi zaidi
🎉
Hey 2090 it’s simba speaking 😅
@mwanaramadhani8257
9 ай бұрын
dunia haifiki ukoo😅
SIMBA la masimba Dangote 😂🔥👑
🦁
Nomaaa Sanaa jamaa💪
@DimityMugravech
9 ай бұрын
Oooh sister kitambo sjaona ukikoment
@muniraahmed624
9 ай бұрын
@@DimityMugravech Nipogo jamanii kwemaaa???
@DimityMugravech
9 ай бұрын
Kwemaa sjui wew ukopoa
Ila mond anajua kuongea
KWANZA ALIMKATAA RUGE,AKAWACHUKUA NA WALE MAMENEJA WANOKO,,AKAUCHUKUA NA MUZIKI WENYEWE AKAUWEKA MFUKONI,,,YANI HAKUNA MBWA......
Kwevoo🔥🔥
Kiukweli mm Pepsi imenishinda, Coca-Cola no 1 🎉
Nashow zinajaa kweli kweli yan
SIMBA kweli SIMBA❤❤❤
Simbaa
7:30 anzia kuangalia hapa, utanishukuru baadae
PEPSI DARE FOR MORE ❤❤❤❤❤
Unajipya choko wew
Hahahahaaaa sijui
Mbona ujama kuzungumza nikama mzee abduli au macho yangu
Ulipo Simba nipoooo kwanzia Leo mm na Pepsi. Pepsi na mimi
@fatmafatu1128
9 ай бұрын
Napia akienda motoni ingia nae
Mond akili kubwa 💪💪💪
Simbaaaaaaa
Daimond bila wew 2singekua hapa 2lipo kimziki so mwamba una ujua mziki
Jesus
badala ukanunue matunda utengeneze Juice unywe ety pepsi kisa diamond anakunywa duuu ukitumia pepsi kusafisha sink inang'aaa vip huo utumbo
Nani nae anaona mic ya clouds tv😂
Sikupingi miaka buku
Baba levo chawa mkuu
Anajua kutumia lugha kulingana na muktadha
Pepsi inapendwa sana Norway pia
Nimecheka ety mishuzi wanatetemeka 😅
Ila nyie pepsi ya baridi iheshimiwe
Hata mimi natumiya Pepsi nipo saudiya Riyadh nakunywa Pepsi
Sijanywa soda yoyote inafika miaka 14 sasa
@tanygary
9 ай бұрын
Safi sanaa
@hashimsalehe7087
9 ай бұрын
kisukari ndo kinakusumbua
@kennethbenjamin275
9 ай бұрын
@@hashimsalehe7087 we endelea kutumia wanaojielewa watakuwa wamenielewa
Anakuja mjinga Kama machinga anapambana na SIM CARD ba
You fought and you have gained so show them now ma men yr a really lion not like...,,,,,!!!!??
Eh😂 mbn kama Quavo
Kwevo pacha
Simba
Like kama zoteeeeeee
Ume rauka 5-30 ata Swalah uku shughulika nayo n mmbo y dunia
Chibuuuuuu
Hiyo mic ya clouds mondi akiiona sijui kichwani huwa anasema nini😅😅😅
Kwann diamond yupo tofaut nawasanii wengine hapa bongo?
tujifunze kutoka kwa simbaaaaa kiswahili chetu..
Air Tanzania no one like diamond pokea maua yako
Wewe vidox mnafki sana
Simba kanywa pepsi lakin macho njwii
@emmilyhope8607
9 ай бұрын
😂
@emmilyhope8607
9 ай бұрын
Labda peps Mwamba wao ndo inavyofanya😂😂
Au unataka uwa,,,,, kama zuchu
Huyo jamaa anamshika kichwani mond anafaa kuwa chawa wake kabisaaa maana baba levo kazi imeanza kumshinda🤣🤣
ZUCHU anawivu Sana NDOMANA WASANI wakike hawaitwi😢😢
@elizabethchabluma-zw5qz
9 ай бұрын
Acha uongo ww
@milalaemmanuel445
9 ай бұрын
@@elizabethchabluma-zw5qz Amin nakwambia kwahy unataka kunambia WASANI Wote wakike wanaringa ama HAWANA nyimbo nzur za kuingia wasafi sio kwel
@majutoeliasi
9 ай бұрын
Kweri kabisa
@zaynabmwanjovu1002
9 ай бұрын
Sio wivu anawahofia
@milalaemmanuel445
9 ай бұрын
@@zaynabmwanjovu1002 yawezakuwa pia 7babu
Dume zima kazi kujiramba madomo2
@HamzaShocki
9 ай бұрын
Na wewe siujilambe 2zi yako kwani tatizo nini