TANZANITE: Nilimkosea DIAMOND, nilidanganya MBAGALA amenikopi, alinitukana sana, naamini AMENISAMEHE
Bonyeza link hii kuitazama video ya wimbo wa Tanzanite - Konda
• Tanzanite - Konda (OFF...
Bonyeza link hii kumfollow Tanzanite Instagram
/ tanza_nite
Пікірлер: 189
Diamond Alianza kupigwa Vita Kitamboooo Sanaaa, ila Sisi Mashabiki ndio Tumemfanya Diamond Awe Hapa Alipo....Diamond Amekwepa Mishale Mingiiiiii Sanaaaa....Mpaka Leo Bado Mishale ya moto Inaelekea kwa diamond kisa MAFANIKIO YAKE TU, NOTHING ELSE
@michaelnyakunga4740
3 жыл бұрын
True say, Brother..! 💪🏾🙌🏿
@tariqdasulley
3 жыл бұрын
True
@kimsmcharo7540
3 жыл бұрын
Kweli aisee jamaa amepambana sana daah
@hellyally4395
3 жыл бұрын
dats true broo
Diamond alianza kupigwa vitaa enzii hizoooo sema mungu akipanga ufanikiwe basii utafanikiwaaa
@alickodaniel4611
3 жыл бұрын
Kabisa
@rayfaakim1920
3 жыл бұрын
@Change Mindset ndio ivyo ukwer wa mambo utajulikana siku yoyote tu japo utachelewa but diamond Anavumilia mengi sio kwamba haumii Ila ananyamaza tu wenyewe watafunguka kama hivyoo
@hr7tv731
3 жыл бұрын
Mmmhh!??? mungu na mziki siamin labda shetani
Nyie watu mnaependa kumuangusha mwenzenu kwenye kazi zake mkija kwenye wandishi wabari mnajiweka kuwaficha watu majina zao. Inabidi muanze kuwanika wazi tunajue Maana mda huu sasa utakuta wanasema diamond anajiona sana😩 kumbe awajui wameanza kumpiga vita toka mda mrefu. MOND Mungu bado atazidi kukupambania tu mda wowote, endele Kupiga kazi sisi tuko nawewe daima.🙏🙏.
@captainamin6669
3 жыл бұрын
Yaahhh yabidi majina yatajwe mbna ikifika kwa mondi atajwa jina lake
Diamond number one for the all time and favorite
That’s why Diamond he’s going far and far away,,with alot of successful,,,juu alipigwa vita hata kabla kua A really Diamond,,God blessed Him 🙏🏻,, GOOD JOB SNS and MUCH ❤️❤️❤️❤️👏🏻
Dah! Pole sana Diamond kweli figisu ulizofanyiwa zimekukomaza na leo unazidi kushine, Mungu akubariki sana 👊👊👊
ALLAH AZIDI KUMSIMAMIA NASSIBU ABDULLY
Kiukwel baada ya wasafimedia hii ndo Chanel yangu ya pili pendwa 💥💥
MONDII hawez anguka leo wala kesho japo yupo kwenye vita nzito yeye ni mti wenye matunda lazma apigwe mawe watu hawamchukii diamond ila wanachukia kuona mafanikio yake acha azd kuwakeraaaa litawachoma maana hawatusumbuiiii✌️
Allah atazid kumpa mafanikio diamond platnumz juu dah jama wanampiga vita sana wallah lakin Allah yupo nae na sisi mashabik tutazid kumpenda mpaka mwish
@raudhamahmoud9538
3 жыл бұрын
Amin
@hr7tv731
3 жыл бұрын
Ndugu yangu mungu kwenye kazi za shetan wap na wap
Mmeanza kutubu wenyewe bado wengine watakuja hapa au sehem nyingne kusema ukweli nani aliwatuma kumchafuaa hit maker and mfalme wa bongo flavour #Diamond platinum.......! Ila we tumekusamehe japo mmeanza kupambana kumshusha #diamond hapo zamani za kale .........!!
@PidfourYoungTz
3 жыл бұрын
Hahaha😂😂😂haha fire🔥simba baba lao wengi watatubu tu💪
@aminaramdan3283
3 жыл бұрын
😁😁😁😁😁Yani Watajitokea wengi tuu... Ukikaa kwa Nia Safi na wenzio. Basi Ipo Siku Wabaya wako Watajitokeza Tuu
Ndio maana 🦁 anazidi kufanikiwa. Washamzulia mingi tuu
Mutaokoka mmoja mmoja kieehh
Jamaa ameamua ku-restore moyo wake, anatoa vtu vikubwa af amerelax, Huyu apate management tu aisee, discipline is everything
Emotional intelligence makes a man great!! This guy has no much formal education but he is emotionally intelligent!!
Diamond atabak kua juu amepiga hatua sio kidogo Naona wengi wataumia sana jamaa anaendelea kutafuta hela kwa bidii..Baba lao
Huyo jamaa alibadilishwa mpaka jina ili amshushe mondi lakini Mungu ni mwema alimuezesha
Mungu akusamee kwakumkosea simba....south Africa
Uyo Diamondplatnumz kaanza kupigwa vita na watu siku nyingi
Hii ndio maana yasimulizi nasauti🔥🔥🔥🇧🇮
leo ndo nmejua sasa kumbe ndo wanaambiwag nenda kaseme k2
Dai msamehe uyo kijana amejieleza vizuri
Nimejifunza kitu kwe hii story maisha ni safari ndefu sana na kuna watu wana uwezo wa kutengeneza uadui bila wewe kujua
Wakat wa Mungu unaweza ukafanya k2 kdg 2 na ikawa
Sasa hivi naenda kusikiliza ngoma ya tanzanite Na nitasubscribe for sure! Very nice interview, namsikia for d first time. V. Nice personality too. Nitamfatilia from Oman
SnS kazi nzuri sana ya utulivu. Tanzanite yuko humble and very transparent.
@SimuliziNaSauti
3 жыл бұрын
Asante sana ,🙏
@allenshoo2346
3 жыл бұрын
dada hatupiki leo?
@meedaafarai9677
3 жыл бұрын
Nice ✌
@aromaofzanzibar
3 жыл бұрын
@@allenshoo2346 leo likizo 😂😂
@allenshoo2346
3 жыл бұрын
@@aromaofzanzibar Hahah..ayaaa
Mond nimtu wakipekeee Sana a naimani sana sidhani kama ataendelea kukuchukia anapenda mtu afanikiwe ila usimuekee dharau
Ndoo maana mungu anazidi kumbaliki diamond wano mpiga vita niwengi toka kitamba ila bola umetoa cha moyoni
@raudhamahmoud9538
3 жыл бұрын
Kweli vita amepigwa na anaendelea kupigwa
@mwaminramadhan4959
3 жыл бұрын
Duuuh mi mwenyewe nimegundua kunamengine wana mpaka kama mafuta
@alickodaniel4611
3 жыл бұрын
Kweli kabisa
Wachawi wa Diamond ni wengi!! Hbaba akiwa mmoja wapo!! Na ndo maana Diamond anazidi kupanda na kuwazidi wengine Mungu anambariki wanavyozidi kumchukia!!
@pachamondyismailthabit5175
3 жыл бұрын
😂😂hbaba😂umeniacha Hoi Yule ni njaa
@asmetkevtz
3 жыл бұрын
R Mags bado h baba kutubu
@user-cl9xz5tv3t
3 жыл бұрын
Ahaa uyo h mama kweli
Mondi atakusame hanaga kinyongo uwenda ata akupushi kama venye anamsogeza uchebe
Tutawafahamu mmoja mmoja.
Kitambo Sana Tanzanite dah!!
Dogo ana uwezo mzuri sana wa kujieleza. Kiukweli shamsahau, asante SnS
Nimesikiliza ila kama ulimkosea daimondi inatakiwa uende uonane naye na uombe msamaha sio uombe kwenye kamera umekosea sana
💪👍🔥💯 Bila SnS singejuwa Kama TANZANITE amerudi kimziki. So Thumbs up. TANZANITE mpole, mkweli, mnyenyeku. I say You're Real bro . Mungu akuzidishie kwa harakati zako... Direct kwa KZread channel yako ✅👍subscrb👐 share... 🔥🔥🔥💯💪🇰🇪🇰🇪🇰Tuko Pamoja🇪
Kumbe #Diamond alianza kupigwa Vita zamani looh
Diamond kaaza kupigwa vita sikunyingi ila Mungu anambaliki kila siku Kumbe alitumwa aseme Kama diamond alimuibia nyimbo yake
@carpediem8259
3 жыл бұрын
Hongera sana kijana uko safi sana wewe ni mkweli unastahili pongezi
Wa kwanza Leo jamani like bas msiwe wachoyo haziuzwi like
@ndegejr4218
3 жыл бұрын
Likes zinakusaidia Nini?
@mwaminramadhan4959
3 жыл бұрын
Ngoja nikupe ukalieugali
@shaluissa3184
3 жыл бұрын
@@mwaminramadhan4959 Asante nimeumiss huo ugali unaoniambia
Mond kumbe vita yako siyo mdogo,Mungu tu ana kutetea
Jamani Kumbe Diamond kaanza kupigwa vita kitambo
jamaa anajua kujibu maswali na anaonesha utashi na kujitambua
UONGO HAUNA MAISHA
Nataman sana pia hii platform inawahoji watu mbali mbali pia wakiwemo wajasiriamal i wish to be in this kwenye platform ili tuje kuwainspare vijana wengine mjue kuna madin zaid uku nyuma ya wasaniiii
@BigZhumbe
3 жыл бұрын
Mbona wanaletaga wajasiriamali pia
@othumanlorenzo260
3 жыл бұрын
Ilibiwe maarufu ni wasanii na celebrity hakuna namna
But ulmchafua sana SIMBA wetu!😬 Mxiuuuuw😏
@vumbakingvumbaking9571
3 жыл бұрын
Tu msamehe bure kakiri
Dahhh!! Mungu akujalie ktk kazi zako zote #Tanzanite kwani umeongea yaliyo moyoni na interview imeenda vzr sana Nakubali sana interview zenu 🙏
12:3 Diamond
@saedissah2197
3 жыл бұрын
Umetixha bro
@danmutoka1193
3 жыл бұрын
Santii
@sephaniaayubu1877
3 жыл бұрын
Sanaaa
@salumsaid4739
3 жыл бұрын
Nakubl
@hamiduissa8089
3 жыл бұрын
Umetisha
😀😀😀😀okay wana SNS,,let’s go,,I will be the one to show love ❤️ to him kwa niaba ya SNS 😍😍😍😍
Kutoka moyoni mimi jamaa nimemuhelewa sana .alifanya ivyo ili kupata mkate wake wa kila siku
Watakuja wengi kuusema ukweli
Na nyie mlete Diamond.sio kila siku mnamuongelea Diamond
@godfreyonyango2782
3 жыл бұрын
Awawez maana ile ulinz ako nao watajaa kwa studio
@suleimanmrisho2964
3 жыл бұрын
Hata wao wanapenda kuita hapa ila ratiba ndio shida
Sns nikituo cha habar kikubwasana aixee yani mtafika mbali sana
Huyu Tanzanite anajua kujielezea sana. Interview nzuri sana
Duh! Mond ana kinyongo na roho yake sio yaki binadamu alishindwa kumsamehe nwenzie mpaka kuamua kumrogaaa jamaan haya maishaa tuuu
Duuhh jama mpaka alipofikia kapigwa vita sana
Kufika 2025 watatajana wooteeee mtaikumbukaa this coment
12:00 hapo ndo story ya mondi baba lao inaanzia.
@danmutoka1193
3 жыл бұрын
Santii
@yunyun799
3 жыл бұрын
Xhukran xanaaa😊
@SadickMdetele
3 жыл бұрын
Umetisha
Husijali bro nime isha kusameya aya ni maisha tu fanya basi ku subscribe ili tutowe song na wewe
@bintykigan6236
3 жыл бұрын
Hahaaaa 🤣🤣🤣🤣kazi kweli kweli
@dula7991
3 жыл бұрын
Wenini
@fasanitztiri5371
3 жыл бұрын
Dua
Mung atakujalia bro utafka sehem unayoitegemea na naiman mondy amekuswamehe t
Nakukubali tanzanite
Keel nmekuerewa kk
Mko safi sana tena sana Allah awazidishie Ameen
Great interview... Dude is Humble Iwill be Able to Chip in to his Video Ya’ hit me up, 🇺🇸
meneja wa kwanza wa tanzanite ndo mimi g name ze boss
Dah..... We still have time... Lets fight for real
Sns -I appriciate 🙏🙏🙏🙏🙏🙋
Jamaa yuko humble, yaani licho kifanya kwa Diamond nikuimba cover imemcost sana. Kma this time ingekua normal.
TANZANITE, KARANTINE SONG NI NOMA, SALUTE
Nakubali
Mshkaji poa sana..smart
Ukweli unaishi uongo unakufa
Umetowa ya moyoni
Diamond Platnumz 20:21
Watu wengi wanamuona kama huyu kijana ni mkosefu ila amejieleza vzur Sana na anaonekana hakuwa na roho mbaya
SnS mnafanya kazi kubwa saana hongereni Huyo msani nilikuwa simufahamu ila nimeangalia nyimbo zake kadhaa kiukweli anastahili kufika mbele zaidi
Tanzanite bonge la interview
Nakukibubali sana hiki pind mpo vzur sana
Mond mshika bendela ya taifa ni mtu muhim sana kwenye taifa wengi wanatamani wawe kama yeye ila ni ngumu kuwa kama yeye basi ndo anapigwa vita Kila Kona ya afrika. Ila ss mashabiki kindakindaki hatuchoki kumuombea kw mungu wala hatuchoki kumsapoti.
@allamtv3382
3 жыл бұрын
Ukweli ni huo...
Big Up Sanaaa
Hii chanel mpo vzr Sana 😌
Wasanii wengi hutumika kuchafua wasanii wengine kwa masilahi ya watu wachache
@asmetkevtz
3 жыл бұрын
DIVINO konk master alishasema
Next time tuletee Jose mtambo,d knob,wagosi wakaya,cannibal
Ukwel utaishi milele moja kwa moja... 🙏
Waooooooh I like an av admit hamlaum mtu jmn
Mungu anawapenda wakweli
Mm
Mwana tunamsapot na mungu atamsaidia
Huyu jamaa yupo vzr san
Kama umesikia SIKUFANYA NAO CHOCHOTE ZAIDI YA KULA UBWABWA WAO. gonga like
Ikifika Mahal kaongelea mond wekeni time sina muda wakuangalia interview yote plz ?
@BigZhumbe
3 жыл бұрын
Starting from dakika @20.00
@aminaharun1103
3 жыл бұрын
@@BigZhumbe shukran dia
@williamkigonela5467
3 жыл бұрын
😂
@freelancer6368
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@danmutoka1193
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
KU FOLLOW HUYU BWEGE NI SAWA NA KUCHANGIA MWIZI
Nyimbo kali sana nimeiyangaliya na kuisikiliza pamoja sana
Rel life
Kumbe hata marehemu alihusika kumdidimiza Simba dah !! ila mungu amemjalia simba
RESPECT SAAANA BRO SKY 🚩🚩
Presenter hawa wako na utulivu sana
Where is link bro ?
Hii tabia ya wasanii kuvaa shades kwa interviews itaisha lini???mukuwe mnakuja na sura zenu sio shades
@roselineawinja6604
3 жыл бұрын
@@nahyialetomia9284 👊
Sawa mdogo mdogo pamoja sns lazima tukaicheki
Mwenye nacho anacho atakama umjaribu kumnyang'anya umbaki nacho tuu daimond atabaki kuwa juhu zahidi
Interview za Sns hua nzuri
@SimuliziNaSauti
3 жыл бұрын
Asante sana 🙏