TANZANITE: Nilimkosea DIAMOND, nilidanganya MBAGALA amenikopi, alinitukana sana, naamini AMENISAMEHE

Bonyeza link hii kuitazama video ya wimbo wa Tanzanite - Konda
• Tanzanite - Konda (OFF...
Bonyeza link hii kumfollow Tanzanite Instagram
/ tanza_nite

Пікірлер: 189

  • @donomar6876
    @donomar68763 жыл бұрын

    Diamond Alianza kupigwa Vita Kitamboooo Sanaaa, ila Sisi Mashabiki ndio Tumemfanya Diamond Awe Hapa Alipo....Diamond Amekwepa Mishale Mingiiiiii Sanaaaa....Mpaka Leo Bado Mishale ya moto Inaelekea kwa diamond kisa MAFANIKIO YAKE TU, NOTHING ELSE

  • @michaelnyakunga4740

    @michaelnyakunga4740

    3 жыл бұрын

    True say, Brother..! 💪🏾🙌🏿

  • @tariqdasulley

    @tariqdasulley

    3 жыл бұрын

    True

  • @kimsmcharo7540

    @kimsmcharo7540

    3 жыл бұрын

    Kweli aisee jamaa amepambana sana daah

  • @hellyally4395

    @hellyally4395

    3 жыл бұрын

    dats true broo

  • @rayfaakim1920
    @rayfaakim19203 жыл бұрын

    Diamond alianza kupigwa vitaa enzii hizoooo sema mungu akipanga ufanikiwe basii utafanikiwaaa

  • @alickodaniel4611

    @alickodaniel4611

    3 жыл бұрын

    Kabisa

  • @rayfaakim1920

    @rayfaakim1920

    3 жыл бұрын

    @Change Mindset ndio ivyo ukwer wa mambo utajulikana siku yoyote tu japo utachelewa but diamond Anavumilia mengi sio kwamba haumii Ila ananyamaza tu wenyewe watafunguka kama hivyoo

  • @hr7tv731

    @hr7tv731

    3 жыл бұрын

    Mmmhh!??? mungu na mziki siamin labda shetani

  • @mukaplatnumz2313
    @mukaplatnumz23133 жыл бұрын

    Nyie watu mnaependa kumuangusha mwenzenu kwenye kazi zake mkija kwenye wandishi wabari mnajiweka kuwaficha watu majina zao. Inabidi muanze kuwanika wazi tunajue Maana mda huu sasa utakuta wanasema diamond anajiona sana😩 kumbe awajui wameanza kumpiga vita toka mda mrefu. MOND Mungu bado atazidi kukupambania tu mda wowote, endele Kupiga kazi sisi tuko nawewe daima.🙏🙏.

  • @captainamin6669

    @captainamin6669

    3 жыл бұрын

    Yaahhh yabidi majina yatajwe mbna ikifika kwa mondi atajwa jina lake

  • @stevemirambo05
    @stevemirambo053 жыл бұрын

    Diamond number one for the all time and favorite

  • @messaabbas8346
    @messaabbas83463 жыл бұрын

    That’s why Diamond he’s going far and far away,,with alot of successful,,,juu alipigwa vita hata kabla kua A really Diamond,,God blessed Him 🙏🏻,, GOOD JOB SNS and MUCH ❤️❤️❤️❤️👏🏻

  • @chiefkaitaba.m.9466
    @chiefkaitaba.m.94663 жыл бұрын

    Dah! Pole sana Diamond kweli figisu ulizofanyiwa zimekukomaza na leo unazidi kushine, Mungu akubariki sana 👊👊👊

  • @najmagudeh203
    @najmagudeh2033 жыл бұрын

    ALLAH AZIDI KUMSIMAMIA NASSIBU ABDULLY

  • @official_marley09
    @official_marley093 жыл бұрын

    Kiukwel baada ya wasafimedia hii ndo Chanel yangu ya pili pendwa 💥💥

  • @ecamshorts471
    @ecamshorts4713 жыл бұрын

    MONDII hawez anguka leo wala kesho japo yupo kwenye vita nzito yeye ni mti wenye matunda lazma apigwe mawe watu hawamchukii diamond ila wanachukia kuona mafanikio yake acha azd kuwakeraaaa litawachoma maana hawatusumbuiiii✌️

  • @kaburaakbar4838
    @kaburaakbar48383 жыл бұрын

    Allah atazid kumpa mafanikio diamond platnumz juu dah jama wanampiga vita sana wallah lakin Allah yupo nae na sisi mashabik tutazid kumpenda mpaka mwish

  • @raudhamahmoud9538

    @raudhamahmoud9538

    3 жыл бұрын

    Amin

  • @hr7tv731

    @hr7tv731

    3 жыл бұрын

    Ndugu yangu mungu kwenye kazi za shetan wap na wap

  • @fikirijames5765
    @fikirijames57653 жыл бұрын

    Mmeanza kutubu wenyewe bado wengine watakuja hapa au sehem nyingne kusema ukweli nani aliwatuma kumchafuaa hit maker and mfalme wa bongo flavour #Diamond platinum.......! Ila we tumekusamehe japo mmeanza kupambana kumshusha #diamond hapo zamani za kale .........!!

  • @PidfourYoungTz

    @PidfourYoungTz

    3 жыл бұрын

    Hahaha😂😂😂haha fire🔥simba baba lao wengi watatubu tu💪

  • @aminaramdan3283

    @aminaramdan3283

    3 жыл бұрын

    😁😁😁😁😁Yani Watajitokea wengi tuu... Ukikaa kwa Nia Safi na wenzio. Basi Ipo Siku Wabaya wako Watajitokeza Tuu

  • @emmi4319
    @emmi43193 жыл бұрын

    Ndio maana 🦁 anazidi kufanikiwa. Washamzulia mingi tuu

  • @safariadrien5348
    @safariadrien53483 жыл бұрын

    Mutaokoka mmoja mmoja kieehh

  • @benjaminmike9778
    @benjaminmike97783 жыл бұрын

    Jamaa ameamua ku-restore moyo wake, anatoa vtu vikubwa af amerelax, Huyu apate management tu aisee, discipline is everything

  • @salvareveli2091
    @salvareveli20913 жыл бұрын

    Emotional intelligence makes a man great!! This guy has no much formal education but he is emotionally intelligent!!

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b3 жыл бұрын

    Diamond atabak kua juu amepiga hatua sio kidogo Naona wengi wataumia sana jamaa anaendelea kutafuta hela kwa bidii..Baba lao

  • @captainamin6669
    @captainamin66693 жыл бұрын

    Huyo jamaa alibadilishwa mpaka jina ili amshushe mondi lakini Mungu ni mwema alimuezesha

  • @richardkaluta7189
    @richardkaluta71893 жыл бұрын

    Mungu akusamee kwakumkosea simba....south Africa

  • @reubendick4033
    @reubendick40333 жыл бұрын

    Uyo Diamondplatnumz kaanza kupigwa vita na watu siku nyingi

  • @bajosdamour2347
    @bajosdamour23473 жыл бұрын

    Hii ndio maana yasimulizi nasauti🔥🔥🔥🇧🇮

  • @chibudangote2116
    @chibudangote21163 жыл бұрын

    leo ndo nmejua sasa kumbe ndo wanaambiwag nenda kaseme k2

  • @raudhamahmoud9538
    @raudhamahmoud95383 жыл бұрын

    Dai msamehe uyo kijana amejieleza vizuri

  • @rahemaally274
    @rahemaally2743 жыл бұрын

    Nimejifunza kitu kwe hii story maisha ni safari ndefu sana na kuna watu wana uwezo wa kutengeneza uadui bila wewe kujua

  • @yussuphkazumar6229
    @yussuphkazumar62293 жыл бұрын

    Wakat wa Mungu unaweza ukafanya k2 kdg 2 na ikawa

  • @sistersade9039
    @sistersade90393 жыл бұрын

    Sasa hivi naenda kusikiliza ngoma ya tanzanite Na nitasubscribe for sure! Very nice interview, namsikia for d first time. V. Nice personality too. Nitamfatilia from Oman

  • @aromaofzanzibar
    @aromaofzanzibar3 жыл бұрын

    SnS kazi nzuri sana ya utulivu. Tanzanite yuko humble and very transparent.

  • @SimuliziNaSauti

    @SimuliziNaSauti

    3 жыл бұрын

    Asante sana ,🙏

  • @allenshoo2346

    @allenshoo2346

    3 жыл бұрын

    dada hatupiki leo?

  • @meedaafarai9677

    @meedaafarai9677

    3 жыл бұрын

    Nice ✌

  • @aromaofzanzibar

    @aromaofzanzibar

    3 жыл бұрын

    @@allenshoo2346 leo likizo 😂😂

  • @allenshoo2346

    @allenshoo2346

    3 жыл бұрын

    @@aromaofzanzibar Hahah..ayaaa

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan97733 жыл бұрын

    Mond nimtu wakipekeee Sana a naimani sana sidhani kama ataendelea kukuchukia anapenda mtu afanikiwe ila usimuekee dharau

  • @sudymalema2313
    @sudymalema23133 жыл бұрын

    Ndoo maana mungu anazidi kumbaliki diamond wano mpiga vita niwengi toka kitamba ila bola umetoa cha moyoni

  • @raudhamahmoud9538

    @raudhamahmoud9538

    3 жыл бұрын

    Kweli vita amepigwa na anaendelea kupigwa

  • @mwaminramadhan4959

    @mwaminramadhan4959

    3 жыл бұрын

    Duuuh mi mwenyewe nimegundua kunamengine wana mpaka kama mafuta

  • @alickodaniel4611

    @alickodaniel4611

    3 жыл бұрын

    Kweli kabisa

  • @rmags8654
    @rmags86543 жыл бұрын

    Wachawi wa Diamond ni wengi!! Hbaba akiwa mmoja wapo!! Na ndo maana Diamond anazidi kupanda na kuwazidi wengine Mungu anambariki wanavyozidi kumchukia!!

  • @pachamondyismailthabit5175

    @pachamondyismailthabit5175

    3 жыл бұрын

    😂😂hbaba😂umeniacha Hoi Yule ni njaa

  • @asmetkevtz

    @asmetkevtz

    3 жыл бұрын

    R Mags bado h baba kutubu

  • @user-cl9xz5tv3t

    @user-cl9xz5tv3t

    3 жыл бұрын

    Ahaa uyo h mama kweli

  • @Agnes-qq4np
    @Agnes-qq4np3 жыл бұрын

    Mondi atakusame hanaga kinyongo uwenda ata akupushi kama venye anamsogeza uchebe

  • @subirachuttar8098
    @subirachuttar80983 жыл бұрын

    Tutawafahamu mmoja mmoja.

  • @heriholder2937
    @heriholder29373 жыл бұрын

    Kitambo Sana Tanzanite dah!!

  • @aloycemwambwiga2318
    @aloycemwambwiga23183 жыл бұрын

    Dogo ana uwezo mzuri sana wa kujieleza. Kiukweli shamsahau, asante SnS

  • @stanslauselias9002
    @stanslauselias90023 жыл бұрын

    Nimesikiliza ila kama ulimkosea daimondi inatakiwa uende uonane naye na uombe msamaha sio uombe kwenye kamera umekosea sana

  • @dadychaps7527
    @dadychaps75273 жыл бұрын

    💪👍🔥💯 Bila SnS singejuwa Kama TANZANITE amerudi kimziki. So Thumbs up. TANZANITE mpole, mkweli, mnyenyeku. I say You're Real bro . Mungu akuzidishie kwa harakati zako... Direct kwa KZread channel yako ✅👍subscrb👐 share... 🔥🔥🔥💯💪🇰🇪🇰🇪🇰Tuko Pamoja🇪

  • @alickodaniel4611
    @alickodaniel46113 жыл бұрын

    Kumbe #Diamond alianza kupigwa Vita zamani looh

  • @ashanalinga8719
    @ashanalinga87193 жыл бұрын

    Diamond kaaza kupigwa vita sikunyingi ila Mungu anambaliki kila siku Kumbe alitumwa aseme Kama diamond alimuibia nyimbo yake

  • @carpediem8259

    @carpediem8259

    3 жыл бұрын

    Hongera sana kijana uko safi sana wewe ni mkweli unastahili pongezi

  • @shaluissa3184
    @shaluissa31843 жыл бұрын

    Wa kwanza Leo jamani like bas msiwe wachoyo haziuzwi like

  • @ndegejr4218

    @ndegejr4218

    3 жыл бұрын

    Likes zinakusaidia Nini?

  • @mwaminramadhan4959

    @mwaminramadhan4959

    3 жыл бұрын

    Ngoja nikupe ukalieugali

  • @shaluissa3184

    @shaluissa3184

    3 жыл бұрын

    @@mwaminramadhan4959 Asante nimeumiss huo ugali unaoniambia

  • @florencekabado8931
    @florencekabado89313 жыл бұрын

    Mond kumbe vita yako siyo mdogo,Mungu tu ana kutetea

  • @winniefrida5092
    @winniefrida50923 жыл бұрын

    Jamani Kumbe Diamond kaanza kupigwa vita kitambo

  • @godfreymarco3012
    @godfreymarco30123 жыл бұрын

    jamaa anajua kujibu maswali na anaonesha utashi na kujitambua

  • @fatmamkapila2402
    @fatmamkapila24023 жыл бұрын

    UONGO HAUNA MAISHA

  • @makamepandu8764
    @makamepandu87643 жыл бұрын

    Nataman sana pia hii platform inawahoji watu mbali mbali pia wakiwemo wajasiriamal i wish to be in this kwenye platform ili tuje kuwainspare vijana wengine mjue kuna madin zaid uku nyuma ya wasaniiii

  • @BigZhumbe

    @BigZhumbe

    3 жыл бұрын

    Mbona wanaletaga wajasiriamali pia

  • @othumanlorenzo260

    @othumanlorenzo260

    3 жыл бұрын

    Ilibiwe maarufu ni wasanii na celebrity hakuna namna

  • @musicapprentice6682
    @musicapprentice66823 жыл бұрын

    But ulmchafua sana SIMBA wetu!😬 Mxiuuuuw😏

  • @vumbakingvumbaking9571

    @vumbakingvumbaking9571

    3 жыл бұрын

    Tu msamehe bure kakiri

  • @dastanfuraha214
    @dastanfuraha2143 жыл бұрын

    Dahhh!! Mungu akujalie ktk kazi zako zote #Tanzanite kwani umeongea yaliyo moyoni na interview imeenda vzr sana Nakubali sana interview zenu 🙏

  • @kassimrajabu7805
    @kassimrajabu78053 жыл бұрын

    12:3 Diamond

  • @saedissah2197

    @saedissah2197

    3 жыл бұрын

    Umetixha bro

  • @danmutoka1193

    @danmutoka1193

    3 жыл бұрын

    Santii

  • @sephaniaayubu1877

    @sephaniaayubu1877

    3 жыл бұрын

    Sanaaa

  • @salumsaid4739

    @salumsaid4739

    3 жыл бұрын

    Nakubl

  • @hamiduissa8089

    @hamiduissa8089

    3 жыл бұрын

    Umetisha

  • @messaabbas8346
    @messaabbas83463 жыл бұрын

    😀😀😀😀okay wana SNS,,let’s go,,I will be the one to show love ❤️ to him kwa niaba ya SNS 😍😍😍😍

  • @mehreenabbas8438
    @mehreenabbas84383 жыл бұрын

    Kutoka moyoni mimi jamaa nimemuhelewa sana .alifanya ivyo ili kupata mkate wake wa kila siku

  • @BigZhumbe
    @BigZhumbe3 жыл бұрын

    Watakuja wengi kuusema ukweli

  • @jelsonmauki112
    @jelsonmauki1123 жыл бұрын

    Na nyie mlete Diamond.sio kila siku mnamuongelea Diamond

  • @godfreyonyango2782

    @godfreyonyango2782

    3 жыл бұрын

    Awawez maana ile ulinz ako nao watajaa kwa studio

  • @suleimanmrisho2964

    @suleimanmrisho2964

    3 жыл бұрын

    Hata wao wanapenda kuita hapa ila ratiba ndio shida

  • @7mpya799
    @7mpya7993 жыл бұрын

    Sns nikituo cha habar kikubwasana aixee yani mtafika mbali sana

  • @honestyerasto
    @honestyerasto3 жыл бұрын

    Huyu Tanzanite anajua kujielezea sana. Interview nzuri sana

  • @amosymwema4844
    @amosymwema48443 жыл бұрын

    Duh! Mond ana kinyongo na roho yake sio yaki binadamu alishindwa kumsamehe nwenzie mpaka kuamua kumrogaaa jamaan haya maishaa tuuu

  • @safariadrien5348
    @safariadrien53483 жыл бұрын

    Duuhh jama mpaka alipofikia kapigwa vita sana

  • @sephaniaayubu1877
    @sephaniaayubu18773 жыл бұрын

    Kufika 2025 watatajana wooteeee mtaikumbukaa this coment

  • @marctzmatty5547
    @marctzmatty55473 жыл бұрын

    12:00 hapo ndo story ya mondi baba lao inaanzia.

  • @danmutoka1193

    @danmutoka1193

    3 жыл бұрын

    Santii

  • @yunyun799

    @yunyun799

    3 жыл бұрын

    Xhukran xanaaa😊

  • @SadickMdetele

    @SadickMdetele

    3 жыл бұрын

    Umetisha

  • @Wixiboy224
    @Wixiboy2243 жыл бұрын

    Husijali bro nime isha kusameya aya ni maisha tu fanya basi ku subscribe ili tutowe song na wewe

  • @bintykigan6236

    @bintykigan6236

    3 жыл бұрын

    Hahaaaa 🤣🤣🤣🤣kazi kweli kweli

  • @dula7991

    @dula7991

    3 жыл бұрын

    Wenini

  • @fasanitztiri5371

    @fasanitztiri5371

    3 жыл бұрын

    Dua

  • @fabbykhan255
    @fabbykhan2553 жыл бұрын

    Mung atakujalia bro utafka sehem unayoitegemea na naiman mondy amekuswamehe t

  • @airashpopa2960
    @airashpopa29603 жыл бұрын

    Nakukubali tanzanite

  • @evodiusantony2115
    @evodiusantony21153 жыл бұрын

    Keel nmekuerewa kk

  • @nasserhinai3019
    @nasserhinai30193 жыл бұрын

    Mko safi sana tena sana Allah awazidishie Ameen

  • @shabanmpambe3857
    @shabanmpambe38573 жыл бұрын

    Great interview... Dude is Humble Iwill be Able to Chip in to his Video Ya’ hit me up, 🇺🇸

  • @mariamjanabi6267
    @mariamjanabi62673 жыл бұрын

    meneja wa kwanza wa tanzanite ndo mimi g name ze boss

  • @musajack7276
    @musajack72763 жыл бұрын

    Dah..... We still have time... Lets fight for real

  • @sleyshabani3644
    @sleyshabani36443 жыл бұрын

    Sns -I appriciate 🙏🙏🙏🙏🙏🙋

  • @saidalsalmi9313
    @saidalsalmi93133 жыл бұрын

    Jamaa yuko humble, yaani licho kifanya kwa Diamond nikuimba cover imemcost sana. Kma this time ingekua normal.

  • @edwardalex483
    @edwardalex4833 жыл бұрын

    TANZANITE, KARANTINE SONG NI NOMA, SALUTE

  • @mzenjikichaa8695
    @mzenjikichaa86953 жыл бұрын

    Nakubali

  • @aminmohammed4249
    @aminmohammed42493 жыл бұрын

    Mshkaji poa sana..smart

  • @kennywizy1009
    @kennywizy10093 жыл бұрын

    Ukweli unaishi uongo unakufa

  • @mawazomwamba7503
    @mawazomwamba75033 жыл бұрын

    Umetowa ya moyoni

  • @chombelva
    @chombelva3 жыл бұрын

    Diamond Platnumz 20:21

  • @humairamajengo6616
    @humairamajengo66163 жыл бұрын

    Watu wengi wanamuona kama huyu kijana ni mkosefu ila amejieleza vzur Sana na anaonekana hakuwa na roho mbaya

  • @lydiaakimana7988
    @lydiaakimana79883 жыл бұрын

    SnS mnafanya kazi kubwa saana hongereni Huyo msani nilikuwa simufahamu ila nimeangalia nyimbo zake kadhaa kiukweli anastahili kufika mbele zaidi

  • @gonggongo2140
    @gonggongo21403 жыл бұрын

    Tanzanite bonge la interview

  • @ochufighter933
    @ochufighter9333 жыл бұрын

    Nakukibubali sana hiki pind mpo vzur sana

  • @allamtv3382
    @allamtv33823 жыл бұрын

    Mond mshika bendela ya taifa ni mtu muhim sana kwenye taifa wengi wanatamani wawe kama yeye ila ni ngumu kuwa kama yeye basi ndo anapigwa vita Kila Kona ya afrika. Ila ss mashabiki kindakindaki hatuchoki kumuombea kw mungu wala hatuchoki kumsapoti.

  • @allamtv3382

    @allamtv3382

    3 жыл бұрын

    Ukweli ni huo...

  • @djmtengwatz1099
    @djmtengwatz10993 жыл бұрын

    Big Up Sanaaa

  • @denicegabriel6616
    @denicegabriel66163 жыл бұрын

    Hii chanel mpo vzr Sana 😌

  • @divino5089
    @divino50893 жыл бұрын

    Wasanii wengi hutumika kuchafua wasanii wengine kwa masilahi ya watu wachache

  • @asmetkevtz

    @asmetkevtz

    3 жыл бұрын

    DIVINO konk master alishasema

  • @abubakaribyabato4384
    @abubakaribyabato43843 жыл бұрын

    Next time tuletee Jose mtambo,d knob,wagosi wakaya,cannibal

  • @haroubshaban6070
    @haroubshaban60703 жыл бұрын

    Ukwel utaishi milele moja kwa moja... 🙏

  • @devothakiwola6461
    @devothakiwola64613 жыл бұрын

    Waooooooh I like an av admit hamlaum mtu jmn

  • @salvareveli2091
    @salvareveli20913 жыл бұрын

    Mungu anawapenda wakweli

  • @saidsinani8765
    @saidsinani87653 жыл бұрын

    Mm

  • @7mpya799
    @7mpya7993 жыл бұрын

    Mwana tunamsapot na mungu atamsaidia

  • @tarickadam1615
    @tarickadam16153 жыл бұрын

    Huyu jamaa yupo vzr san

  • @loner_wolf
    @loner_wolf3 жыл бұрын

    Kama umesikia SIKUFANYA NAO CHOCHOTE ZAIDI YA KULA UBWABWA WAO. gonga like

  • @aminaharun1103
    @aminaharun11033 жыл бұрын

    Ikifika Mahal kaongelea mond wekeni time sina muda wakuangalia interview yote plz ?

  • @BigZhumbe

    @BigZhumbe

    3 жыл бұрын

    Starting from dakika @20.00

  • @aminaharun1103

    @aminaharun1103

    3 жыл бұрын

    @@BigZhumbe shukran dia

  • @williamkigonela5467

    @williamkigonela5467

    3 жыл бұрын

    😂

  • @freelancer6368

    @freelancer6368

    3 жыл бұрын

    😂😂😂😂😂

  • @danmutoka1193

    @danmutoka1193

    3 жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @gabrielomondi4630
    @gabrielomondi46303 жыл бұрын

    KU FOLLOW HUYU BWEGE NI SAWA NA KUCHANGIA MWIZI

  • @kikukukijoka1452
    @kikukukijoka14523 жыл бұрын

    Nyimbo kali sana nimeiyangaliya na kuisikiliza pamoja sana

  • @josephkimweli2212
    @josephkimweli22123 жыл бұрын

    Rel life

  • @husseinyusuph5458
    @husseinyusuph54583 жыл бұрын

    Kumbe hata marehemu alihusika kumdidimiza Simba dah !! ila mungu amemjalia simba

  • @yna2499
    @yna24993 жыл бұрын

    RESPECT SAAANA BRO SKY 🚩🚩

  • @othumanlorenzo260
    @othumanlorenzo2603 жыл бұрын

    Presenter hawa wako na utulivu sana

  • @rahjah5882
    @rahjah58823 жыл бұрын

    Where is link bro ?

  • @roselineawinja6604
    @roselineawinja66043 жыл бұрын

    Hii tabia ya wasanii kuvaa shades kwa interviews itaisha lini???mukuwe mnakuja na sura zenu sio shades

  • @roselineawinja6604

    @roselineawinja6604

    3 жыл бұрын

    @@nahyialetomia9284 👊

  • @hadijagere
    @hadijagere3 жыл бұрын

    Sawa mdogo mdogo pamoja sns lazima tukaicheki

  • @mtetezimbeki7539
    @mtetezimbeki75393 жыл бұрын

    Mwenye nacho anacho atakama umjaribu kumnyang'anya umbaki nacho tuu daimond atabaki kuwa juhu zahidi

  • @Kal-Mary
    @Kal-Mary3 жыл бұрын

    Interview za Sns hua nzuri

  • @SimuliziNaSauti

    @SimuliziNaSauti

    3 жыл бұрын

    Asante sana 🙏

Келесі