DIAMOND: 'Nimewaona wanaosema Tiffah sio mtoto wangu'
Ойын-сауық
Mwimbaji staa wa Tanzania Diamond Platnumz alikutana na mtangazaji wa AMPLIFAYA & Top 20 za CloudsFM Millard Ayo na kuzungumzia post na comments ambazo amekua akiziona zikisema mtoto sio wake na kwamba akapime DNA.
Пікірлер: 657
GOD BLESS BABY TIFFA AND KEEP HER SAFE. LOVELY GIRL
I'm zari nazbu I do love tangote, zari and the sweety princess diffa let them grow up in mind cauce pple will never shurtup, zari you a really gd I'm mind keep going I follow you
keep it up ma lovely brada keep facing the challenges without any fear....make it rain ameeeeen
thank u millard ayoo much love from dubai
hongera sana diamond kweli zari kamzidi vingi sana wema furaha ya familly ni watoto
nice baba tiffany wacha wazeme mchana usiku lkn watachoka walale watching this frm saudia Arabian tnx Millard ayo like ua channel bro
lyk father lyk dota😘😘 achana nao dai, ni gere tu ilo walonalo wazao wao wapeleke dna wasikuleee za ovyoo... one love from +254
Ha asudiwe yule ambaye hana!!! na haupigwe jiwe mti usiokua na matunda mazuri. Emmanuel BYONA from Bunia DRC
Everybody To Mind His / Her Own Business 👌✌
Kiukweli copyright kabisa tiffah mtoto wa chibu. Wanao sema hivyo labda kiki au biff flani
2020 am here ,Millard Ayo what happened haki mbona msimake peace haya maisha mafupi like serious whatsup Buddy
diamond is sooo hard wrking,God bless u.
ooo pole bro.umenene bro.binadamu ni kengewe.hiyo ndiyo maisha dunia bro.
let them leave you alone with your life....yes Tiffa is an angel...
Mr President Diamond ww ni number one uko mbali sana+254
Masha Allah best icon to be responsible father tiffah she is so blessed to have you in her life the people that speak negative you should mind your life
From mozambique, África is strong go ahead man.
mmmmh kasemwa meeengi katukanwaa saana naona hili limemuuma kaka wawatu...mtoto anauma bhana..pole weeeeee
@daimually4865
4 жыл бұрын
Na mtu asiependa kuongea ongea sk akiongea anasikika mno inasikitisha sana
hongera baba T sijawahi ona ukamuongelea kwenye interviews zako mtu yyt wala kuonyesha majigambo Alhamndulillah kwa hilo. alla akujaalie kila lenye kheri na kuwaumbia wenye husda na ww
yauma sana..kuadika vitu avina manaa kama c wake hayo ni maisha yake
God bless you
I love diamond his daughter and his wife,watu waache mdomo haina maana.
@barakangingo1468
7 жыл бұрын
kweli bwana anae ongea hana mtoto
@nasmaissa7991
5 жыл бұрын
Achana nao wanakuonea wivu Fanya yako usimuangalie mtu
safi sana nasibu ubarikiwe unahekima wengine wangetukana hongera dogo
diamond platnum nakukubali sana tena sana wewe unajuwa kuwajibu platnum nakuuuuuuuliiiiiiiiiiiii
bro keep it up mnafaa kuigwa katika jamii
hpo umenena kaka. nakukubal cna, big up tyo my bro
Waaambie ukwel .....i love you 😍
vidudu watu, wambea na wakome! Diamond keep the fire burning usiwape sikio, wataja choka.
Kweli banna piga kazi wehuu tu hao achana nao uchaguzi ni wako maisha ni yako as long your happy dogo! keep it up.
kweli inauma sana diamond anaongea na uchungu sana thanks millad ayo
ooo pole bro. umenene bro .banadamu ni kigewe.usijili hiyo ndiye maishi dunia.
safi xn mondi uko vzr thamini familia yako jali maisha yako
Social media is the worst thing that ever happened to Tanzania.
Thanks my brother is true
Umeongea "point" sana Diamond.....hongera
29 September 2020. Gonga like
Pole sana mondi mie nakupenda ata waogee watoi niwako hawawezi kua wao jipe moyo
I love you diamond wasio kupenda haitawa coasti
The best African celebrity
Kweli kweli wenye wanasema wajinyonjge love u platnumz
You good
Umeongea kwa uchungu Diamond, na wakuache na Mtoto wako jamani mtoto anauma wakuache tu
@SportsHiiLeo
8 жыл бұрын
+Hamida Rashid subscribe to my channel...i subscribe back XD
@ashagrills1319
8 жыл бұрын
uyo mwema bado anampenda simba si azai wake
@chapochapos1696
7 жыл бұрын
Hamida Rashid Jamanii hivi kweli mtu anaweza kuroga mtu aloose mtoto tumboni??? what i mean does if really work?? BRAIN YANGU HAICOMPREHEND
@waridielgrayson9473
5 жыл бұрын
Milado mm nataka ni meet na Nasbu nisaidie
@asharamadhani4975
5 жыл бұрын
Wakuache yao yanawashinda
Well I do agree: Attacking a child is so cheap. "We" try to influence how people live their lives. Is it not their own business on how n what they decide 2 do w their lives... Living in the limelight mostly comes w consequences. I feel ua situation D.P/Z.H.
Masikini pole mondi achana nao mungu akufanyie wepesi Inshaallah
Unajibu vizuri simba wetu😗😗😗💃💃💃
True dia
safi sana mondi mlipokuwa mnakutana n.a. zari walikuwepo achana nao n.a. kwanza aiwahusu
Pole sana simba. Piga kazi
diamond hiyo unayosema ni kweli kabisa kila mtu anafaa kushughulika na mambo yake mtoto wako bibi wako endelea na maisha yako mungu atakubigania na ukae ukijua anayekuongelea vibaya anakupenda zaidi ila anakuogopa mungu ndio kila jambo
Safi sana
Huyu +zari=best yaani MNA akili kabisaaaa😍😍😍😘😘😘
very nice #Diamond Non of deir biznaa
mm nashangaa watu wanafatilia maisha ya watu kwani hawana kazi ya kufanya?
I love you baba tiffa forever wakukome kwa mdomo
mond don't worry about what they are talking move on & let God answer them
safi bro you sisi tunakutakia mafanikio zaid ila jua wabongo wengi bado uelewa ni mdogo
mond move on with ur work don't worry what they are talking about God will answer them
True love diamond. Kabisa unamupenda zari.DNA yanini? Wàche waseme watach0ka
diamond platinum nakukubali San
Ni kweli, let them mind their own business
Asante Simba👍🏾🌺
mond move on leave aside wakosa kazi God will answer them don't worry.
big up brooh usiskize ya walimwenguu
kiekiekiekie ime Pasha kuwa ukieli diamond uta juuwa aye kama tiffah ni mtoto wa ko zari âme fania maisha mbêle ya ko âme nju wa nduniya mb mbele ya ko mu ki french wa sema ivio parfois la vérité ne pas bonne à un coûte est parfois la vérité blessé diamond ka ma ume sema french utaele wa tienie mi n'a sema kama tiffah sio mtoto ya ko tia kueli mimi n'a tieka sana 😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁😁I love you wema and Idriss
Good one diamond
pole sana broo
nice..tell them diamond
I salute you millard
cku nyingi ulikua unalilia kupata mtt so now mungu amekupatia!muhimu ni kumshukuru mungu na kuwaa cha wanaopiga kelele kiufipi ww noma!
Wangapi tunawatch 2020
nice ,wakuache kabisa,wanakupenda sana baba tiffa,achana nawoo,wivu iyo
sorry for dt,GOD is faitful.
nice....😸
Fantastic
Nice one Baba Tiffa
Very true...point taken...mtuu afate yake
poa Vituko Uswazi, lkn me sielewi vip nimekuwa na channel khaa ntapost nn KZread mie
a wise man speaks at last
Bakwache diamond wa tanzania.wanachuki sana.ule mange kimangi.anapenda umuowe yeye???????
Mondi yo very wise
Safiii baba umewapa leo wamkome mtoto. Wanaumia latifa kawapita mbali sana
nice
Machllh
Big ups mirradiayo
True....
Umeogea na uchugu sana nikweri Simba ira namukubari Millard ayo kwa kuhoji nikiboko
i like him
Waace wa malayika wa mungu munafanana sana
Miriam lisemwalo lipo kaka yetu 👀
how can some one say that the child is ugly. To me all children are angels
pole sana mond!! kwel mtoto ana kosa gani kwan jamani!! au ndo hayo mnayoita mateam nani nani cjui! mtu mwenye akili timamu kichwan katu kamwe hawezi kuandika mtoto wa flani mbaya!! hasa kwa mwanamke aliyebeba Ujauzito then aka experience shida zote za ujauzto for 9month na akaingia Labor akazaa kwa utungu usiopimika na usioelezeka, maana katika bible tumeambiwa wanawake tutazaa kwa utungu not uchungu, jamani ule utungu hakuna mfano wake hapa dunian! ! hata mtu akikupiga bastola bado hayafikii yale maumivu ya utungu wa kuleta kiumbe dunian, then mtu aje aseme mtoto wa flani ni mbaya!! sio vzr na wala haipendez kwani sote tumeumbwa na Mungu mmoja na kwa mfano wake yy!! japo cjui hayo maneno yaliandikwa wapi maana situmii insta wa fb for nw lkn hilo neno limeniuma sana sio siri, pole Mond, tunza dam yako maana binafs naona Tiffa ni pure Dangote!! maneno lazma yawepo siku hizi vitenge navyo vmeanza kutoka na maneno!! duh polen mwaya
Diamond yani unanipendeza sanaaaaa
Oy mze baba mond usimsikilize mbongo sis ndivo 2livo wakaushie 2 kingine upende kujigomba ivo sio pow sw kwmba mm nna hki sio sw hayo nimatokeo katika maisha leo ww kesh mwng sw
Safi
Diamond, They'll always be haters out there ! Let them say end of the day they'll keep quiet.
mambo vipi millard tunamsubiri diamond kwa amu sana ichi norway
Surely Kuna watu wanapenda kufatilia maisha ya wenzao
very true walikosea kabisa
Awo wao msema Habibi Tifa ni wivu na choyo wasenge wakubwa hao MUNGU atamlinda na Shari zao
Dooooh.....man unaongea kama watu sita....unaubusara ndani yako ikiwa mtu atakusikiliza...hongera Nasib.