EXCLUSIVE: SIKU TALE ALIPOJUA DIAMOND NA ZUCHU NI WAPENZI "NILIUMIA SIKUTAKA ZUCHU APANDE STAGE"

#DiamondPlatnumz #Zuchu #Babutale #Interview

Пікірлер: 347

  • @TheSalma1999
    @TheSalma1999 Жыл бұрын

    Babu tale unaakili nyingi sana na una ongea kwa busara tuwaombee Mungu akupe mke mwema na wewe kaka yetu

  • @jumayussuf7746

    @jumayussuf7746

    Жыл бұрын

    Sn love

  • @jumayussuf7746

    @jumayussuf7746

    Жыл бұрын

    🙏🙏🙏🙏

  • @daudimazengo7772
    @daudimazengo7772 Жыл бұрын

    I salute Babu Tale. Hakika hata mie naombea hii couple idumu. Hi Diamond, this time take action to this cute and humble girl Zuchu.

  • @daudichengula1413
    @daudichengula1413 Жыл бұрын

    Millad ayo ni mtu pekee dunia hii ambaye unaniispire Sanaa.. Ishi sanaaa brooo

  • @erastomwakalukwa3946

    @erastomwakalukwa3946

    10 ай бұрын

    😂😂😂alimfanyia interview mpaka MUNGU wa usukumani aka bi zuu,Zumaridi ,harafu hacheki😂😂😂

  • @alymaryam2331
    @alymaryam2331 Жыл бұрын

    Mungu akujaalie mwisho mwema tale na akutilie wepesi kwa kila ulifanyalo🙏🙏🙏🥰

  • @user-kh3hr8si2j
    @user-kh3hr8si2j11 ай бұрын

    MashaAllah he is so kandy i really like him my Allah protect u ❤i wish i can have hubby like him ❤❤

  • @khadijahali6856
    @khadijahali6856Ай бұрын

    Babu Tale ni mtaratibu kweli Ma shaa Allah.........

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Жыл бұрын

    Nimependa Sana Babu tale ulivyofunguka kuhusu mahusiano ya zuchu na diamond,,,nawatakia Kila la heri,,waoane inshallah,,

  • @saumusalimuhassan2499

    @saumusalimuhassan2499

    Жыл бұрын

    Ameen Yarabb 🙏

  • @amanimapenzi571

    @amanimapenzi571

    Жыл бұрын

    Amen

  • @annickkipisa6761

    @annickkipisa6761

    Жыл бұрын

    Ni mependa

  • @jacklyneotieno1564

    @jacklyneotieno1564

    Жыл бұрын

    Maybe kwa ndoto

  • @yusternyirenda7231

    @yusternyirenda7231

    Жыл бұрын

    @@jacklyneotieno1564 Mmm! acha uchawi

  • @sureiamboo
    @sureiamboo9 ай бұрын

    I love Tale now ❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Жыл бұрын

    Nimependa Sana Babu tale umekuwa muwazi na umefunguka hongera Kwa Hilo,,

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Жыл бұрын

    Diamond na Zuchu ni couple nzr sana KULIKO hao wazungu weusi

  • @channyanjen9047
    @channyanjen9047 Жыл бұрын

    Nasikiya raha Sana kwakweli, Allah aweke wepesi 🙏

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Жыл бұрын

    Kweli kabisaa Mungu awabariki tunawapenda aa Sana Hao wawili zechu na daimond

  • @mapendosafi3429
    @mapendosafi3429 Жыл бұрын

    BABU tale nakupenda sana baba unaja helkima sana Tena sana

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын

    Ila Leo ndio nimeamini, nacheka peke yangu, nilikuwa siamini wambea, ila nimeipenda hii interview, part2 please, Millard Ayo.

  • @neemamayco1051

    @neemamayco1051

    Жыл бұрын

    Hata mm jaman nlikua siamin kbs leo ndio nimeamini mm pia

  • @shafiiwajad457
    @shafiiwajad457 Жыл бұрын

    Iv mnajua hii ndo mara ya ya kwanza uhusiano wa Zuchu na Diamond kuwa Confirmed kwenye media na source ambayo tunaiamimi na inatoka ndani kabisa😂😂😂😂 Millard 👍👍👍

  • @lifeofyuri4020

    @lifeofyuri4020

    Жыл бұрын

    I was looking for this comment una akili nyingi sana 😂

  • @esthermutabuzi4582

    @esthermutabuzi4582

    Жыл бұрын

    Na sasa tunasubiri Diamond mwenyewe atuambie...let him confirm by his own mouth! The last time he opened his mouth, he said he didn't have a girlfriend🙈🤣

  • @auntiemylee3157

    @auntiemylee3157

    Жыл бұрын

    Confirmed

  • @shafiiwajad457

    @shafiiwajad457

    Жыл бұрын

    @@lifeofyuri4020 pamoja na wewe mama Sema tuna akili nyingi ❤️

  • @blessmimi

    @blessmimi

    Жыл бұрын

    @@esthermutabuzi4582 Diamond was Jux listening party and told whole crowd Zuchu is his wife ..I bet you forgot about that ? . What about the 10 slides bday post on his instagram on her birthday for the world to see all the videos of them kissing intimately?

  • @DavidMbwilo-qk1bz
    @DavidMbwilo-qk1bz Жыл бұрын

    Babu tale you're the best broo

  • @RabiaWahadh
    @RabiaWahadh Жыл бұрын

    Mashaallah Zuch Mungu Akufanyie Wepes Kweny Maisha Yako

  • @marycelestin6586

    @marycelestin6586

    Жыл бұрын

    Ameen

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Жыл бұрын

    Zuhura & Nasib👰🤵Aya.. Hongera sana

  • @jamilajamila4572
    @jamilajamila4572 Жыл бұрын

    Babu tale unamtetea hapo mondy hawezi muoa zuchu zuchu anapotezewa muda tu

  • @dijerbhai8388
    @dijerbhai8388 Жыл бұрын

    Aaah huyu mzee nampenda jmn khaaaa❤😢

  • @vumbakingvumbaking9571
    @vumbakingvumbaking9571 Жыл бұрын

    Dua mwenyezi mungu akuongoze boss talle update mke mwema amini Simba nae mungu akuongoze umuoe zuhura Amin 🤲

  • @kissamwamunyange1018
    @kissamwamunyange1018 Жыл бұрын

    MashaAllah babu Tale

  • @safiyanirram-pf3sv
    @safiyanirram-pf3sv Жыл бұрын

    Mashallha nimefurahi sana allha awazidishie lnshallha nimefurahi

  • @chttostrugglinglady
    @chttostrugglinglady Жыл бұрын

    Mwenyezi Mungu awajalie wafunge ndoa salama🙏

  • @peninashungu6633
    @peninashungu6633 Жыл бұрын

    Tale uwa nampenda sana uwa aongei Sana

  • @Mimy_keys
    @Mimy_keys Жыл бұрын

    Napenda Babu Tale Anavyo Ongeaga na Busara Sana 😊 MashaaAllah Tunawaombea Kheir InshaAllah 🤗👌

  • @FatumaDogo

    @FatumaDogo

    Жыл бұрын

    😂

  • @wisperfect5320

    @wisperfect5320

    Жыл бұрын

    Vipi ukiwa mke wake😂

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Жыл бұрын

    Nimeipenda Sana interview hii,,naomba pati 2

  • @Nimah_qubo
    @Nimah_qubo Жыл бұрын

    MashaAllah Tale anaongea na sauti ya unyenyekevu sana 😊

  • @user-wz5dz7io8x
    @user-wz5dz7io8x Жыл бұрын

    Mungu hawabariki wawe pamoja milele amen

  • @hawababy120
    @hawababy120 Жыл бұрын

    Asante babu tale kutujua zaidi.❤

  • @marthamushi9390
    @marthamushi9390 Жыл бұрын

    Mungu awajaalie na awafanyie wepesi waje wafunge ndoa🙏 Pia huyu babu tale ni anaonekana mpole jamanii anaongea kiustaraabu hadi raha🥰

  • @mariammsumi7783

    @mariammsumi7783

    Жыл бұрын

    Babu tale👍

  • @barakadaprince3742
    @barakadaprince3742 Жыл бұрын

    Millard mtu makini sana🙌🏿🙌🏿🔥🔥

  • @mwanatz5980
    @mwanatz5980 Жыл бұрын

    Wakati wanafuraha basi jambo jema ❤❤❤ tunawaombea kwenye hii dunia ya leo kupata furaha sio jambo rahisi maana wengine watajia pesa tu

  • @salamanauthar5261
    @salamanauthar5261 Жыл бұрын

    Subhanallah!!!' mpole ana dini'!! innalillaih Wainnaillaih rajiuun

  • @saadabakar7750

    @saadabakar7750

    Жыл бұрын

    Salama nikuulize hivi wewe ni mkamilifu,unajua kesho yako. Hapa kakusudia ana hofu ya M.mungu,ndio tunavyotakiwa binadaam haijalishi uko na Imani gani ya dini,Acha kuhukumu muomble dua hofu yake izidi kwa M.mungu.

  • @hawasaid7151

    @hawasaid7151

    Жыл бұрын

    ​@@saadabakar7750 yan hata sielewi kimemshangaza nn hapo.

  • @salamanauthar5261

    @salamanauthar5261

    Жыл бұрын

    @@saadabakar7750 sijamaanisha Mimi ni mkamilifu' huyo babu tale bora asingesema ana hofu ya MUNGU' Mwenye hofu ya MUNGU' hawezi kukaa Uchi hadharani Kama tunavyo muona

  • @salamanauthar5261

    @salamanauthar5261

    Жыл бұрын

    @@hawasaid7151 na uelewe ili iweje???

  • @catherinekiwipa9271

    @catherinekiwipa9271

    Жыл бұрын

    @@salamanauthar5261 🤣🤣🤣🤣🤣🤣unafikir Mungu awez kuwauwa wote wanaokaa uchi ili abaki na wema wanaovaa stara hofu ya Mungu ni mavazi bas enderea kujifunika

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 Жыл бұрын

    Allah awajalie wafunge ndoa watatufurahisha sana maana tunawapenda

  • @productivityprogressprince5156
    @productivityprogressprince5156 Жыл бұрын

    Mi mwenzenu nampenda saaana babutale😊😊😊

  • @user-xf3wm6vx9m
    @user-xf3wm6vx9m2 ай бұрын

    Mungu akulindie Watoto wako😢

  • @mashiassenga8849
    @mashiassenga8849 Жыл бұрын

    Ayo umetisha sana bro 😅😅😅

  • @lulumalima1739
    @lulumalima173910 ай бұрын

    Mr. Tale you are a sensible man busara. Tunaomba Susi ndoa iwe watakuwa power couple. Diamond hajalitambuwa it's sad. Zuu $ Do, yeeeeeeeh

  • @breezybabilon5797
    @breezybabilon5797 Жыл бұрын

    Millard Ayo respect sana

  • @naillanalphanairakoze3880
    @naillanalphanairakoze3880 Жыл бұрын

    Leo sasa ndo kuamini kama niwapendanao.Juu @MillardAyo kasema😂.I really love this guy. Hujawapi kuni disappointed kwa maswali yako kwenye interview ❤

  • @rajwaseif7735
    @rajwaseif7735 Жыл бұрын

    Hata Millard is wise The way anauliza maswali. Namkubali ni professional.

  • @user-lo1ub5sv1t
    @user-lo1ub5sv1t Жыл бұрын

    Safi sana Babu tale uko na uwazi

  • @rachelnyale2984
    @rachelnyale2984 Жыл бұрын

    WOW good news ❤❤

  • @mbaraksaary5750
    @mbaraksaary5750 Жыл бұрын

    Diamond kumbe anaswalia kiwango cha pesa inamaana anamuekea mungu vigezo babu usitupake mafuta bana amna kitu

  • @maryamjey6340

    @maryamjey6340

    Жыл бұрын

    😂 astafirullah

  • @salumunsabimana6502
    @salumunsabimana6502 Жыл бұрын

    Babu tale na kuombeya duwa upate mke mwema mshee kuleya wa toto inshaalaah.

  • @kimah9855
    @kimah98559 ай бұрын

    I pray them to marry🙌🙌🙌🙌🙌

  • @subirajohn728
    @subirajohn728 Жыл бұрын

    Mond&Zuchu❤️❤️❤️

  • @godsdaughter2820
    @godsdaughter2820 Жыл бұрын

    Yani nimefurahiii I wish waowane kweli😮😢🙌🙌🙌

  • @josephmolle
    @josephmolle Жыл бұрын

  • @lucymtuka3199
    @lucymtuka3199 Жыл бұрын

    Zuchu na Diamond nawapenda sana owaneni jamani

  • @pengefeza2563

    @pengefeza2563

    Жыл бұрын

    Mi nawaombeaga neema ya Mungu kila siku.

  • @SalmaSalma-wz1xv
    @SalmaSalma-wz1xv Жыл бұрын

    Kweli unaweza kutembea hata nawanawake kumi lkn bado ukakosa furaha ni jambo la kheri sana wamalize tofauti zao

  • @jumayussuf7746
    @jumayussuf7746 Жыл бұрын

    Babu tale nikikuon nakumbukag mbali sn nakuoneag hurum sn mpak sasa hv hujaoa dah ulikuwa unampend sn mke wako hv nasisi waume zetu tutangulie km leo watakaaa mda mrefu hivi🚶‍♀️🚶‍♀️🚶‍♀️

  • @judithsijaona9875

    @judithsijaona9875

    Жыл бұрын

    Juma afu unamume😢

  • @dorinekwizera1483
    @dorinekwizera1483 Жыл бұрын

    Mbarikiwe sana

  • @godsdaughter2820
    @godsdaughter2820 Жыл бұрын

    Alafu zari anajidai eti Diamond loves her🥱🥱😩😆😆😆🏃🏃🏃

  • @julianajoseph783
    @julianajoseph783 Жыл бұрын

    Kwa upole huu wa Babutale ananimalizanga tuu

  • @IsaacJames-sv3zk
    @IsaacJames-sv3zk Жыл бұрын

    💯💯💯

  • @sylviembirize
    @sylviembirize Жыл бұрын

    Good Nice babu tard

  • @gracewairimu800
    @gracewairimu800 Жыл бұрын

    Yani nnavo mpenda babu tale mtu muwazi sana na Ana maneno ya busara sana mungu am bariki na Mke mzuri apate furaha na amani moyoni

  • @omanmct135
    @omanmct135 Жыл бұрын

    Kweli kabisa babutale❤❤❤

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Жыл бұрын

    Leo ndo naamin kumbe kwel hawa wapenz😳😳😳😳yaan me nilikuwa nadhan km porojo za mitandaoni tu

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Жыл бұрын

    Mheshimiwa mjengoni🎉 Kaongea,diamond kafika...ndo furaha yake.

  • @catherinejullu6615
    @catherinejullu6615 Жыл бұрын

    Kaka yangu unaakili sana ❤❤

  • @NextoHunter-rm3cs
    @NextoHunter-rm3cs Жыл бұрын

    Ayo TV 📺ni 🔥 🔥 🔥

  • @thelight-ur3oi
    @thelight-ur3oi Жыл бұрын

    Lakn tale hatukuekewi 🎉

  • @Tabiatz
    @Tabiatz8 ай бұрын

    Nice

  • @vickykapama8386
    @vickykapama8386 Жыл бұрын

    Wahanga walisema MTAKA CHA UVUNGUNI SHARTI AINAME!! Lzm Zuhura ajishushe na amti Chibu na vurugu zk na FANTANA😅😅😅😂😂

  • @shishgal2274
    @shishgal2274 Жыл бұрын

    ❤❤❤

  • @RaheliBeda-ho2ii
    @RaheliBeda-ho2ii Жыл бұрын

    Allah akujaalie kila lililo jema

  • @shammaabeod4050
    @shammaabeod4050 Жыл бұрын

    🔥🔥🔥❤️❤️❤️

  • @sakinaamani1486
    @sakinaamani1486 Жыл бұрын

    Mmmmm ssa hayaaa

  • @hadijandenga6222
    @hadijandenga6222 Жыл бұрын

    Nawaombea sanaaaa

  • @rich.kizza10
    @rich.kizza10 Жыл бұрын

    Millard why huweki music background?

  • @amanimapenzi571
    @amanimapenzi571 Жыл бұрын

    Babu Tale Asante sana kwa kufunguka ndio watu wanao mdhihaki watu hawajaoea upendo wa kweli! Zuchu is being submissive kwa diamond but watu wanamchukulia anampenda diamond kushinda diamond anavyo mpenda...... Let me tell you my people, diamond loves zuchu more than anything in this world! From Sandra to Zuchu!!!!!? Na ukumbuke Mondi katoboa mwenyewe!!!!!

  • @jacklyneotieno1564

    @jacklyneotieno1564

    Жыл бұрын

    😂😂😂ati more than anything????wacha kudanganya mwenzako.....anakanwa kipetero ki yesu then unasema anapendwa..... wanawake wengine wanapigwa busu tena live inasambazwa kwenye media halafu unasema anapendwa weee.... thubutu....dai yupo single

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Жыл бұрын

    😮😮

  • @dianabanga2625
    @dianabanga2625 Жыл бұрын

    👏🏿👏🏿👏🏿♥️

  • @ezronhussen5401
    @ezronhussen5401 Жыл бұрын

    Likes zenu jaman

  • @noswingofficial9624
    @noswingofficial96243 ай бұрын

    This men is loyal

  • @afyamkononi4778
    @afyamkononi4778 Жыл бұрын

    *KWANINI USALITIWE NA MWENZA WAKO KISA HUMRIDHISHI*, 🥊 Unawahi kufika kileleni kabla yake, 🥊 Unashindwa kuendelea awamu ya pili, 🥊 Dhakari yako inasimama legelege, 🥊Kukosa hamu ya tendo, 🥊Kutosimamisha dhakari. *NI LAZIMA ATAKUSALITI TU*. Kuishi ni "KUCHAGUA" na uchaguzi hufanywa na maamuzi. Chagua kuwa IMARA ili uishi kama mtawala. Tumia X POWER MAN , RUDISHA HESHIMA YA NDOA UNAAMBIWA HII NI ZAID YA VUMBI LA MCONGO🔥🔥🔥 Waliokwisha kuitumia wanajua nini namaanisha Ukiitumia hii always wewe utabaki kuwa shujaa💪💪 X POWER MAN COFFEE KIBOKO YA KIBAMIA NA NGUVU ZA KIUME💪 Ni dawa yenye nguvu sana ambayo inamchanganyiko wa dawa4 ambazo matumizi yake unaitumia kwa wakati mmoja tu ➡️Ni dawa yenye kutibu tatizo kabisa na kuisha sio kupata nafuu💪 1⃣Inaimarisha mishipa ya askari aliye legea kutokana na kujichua kwa mda mrefu.. 2⃣Inazalisha homoni na mbegu kwa wingi ambayo itakufanya uwe unapata hamu ya kuwa unarudia tendo hata mara4 zaidi. 3⃣Pia inakufanya uwe unachelewa kufika kilelen kwa dk25 au zaidi. 5⃣Kwa waliojichua maumbile madogo au waliozaliwa na maumbile madogo inakuza kuanzia inch6. hiyo ndio X POWER MAN COFFEE💪 inayotumiwa na watu wengi wanapona. Inapatikana Arusha,Moshi na Manyara kwa mikoa ya kaskazini Inapatikana pia na Dar es salam na inaweza kukufikia popote ulipo dar es salam ,Mwanza, Zanzibar ,moro,mbeya ,na mikoa yote Tanzania kwa bus ama boat NB; dawa hizi ni za asili (mitishamba) hazina madhara wala kemikali ya aina yoyote Kama unahitaji piga au niachie ujumbe andika ,#Nahitaji_dawa .taja eneo ulilopo nitakujibu haraka ✍🏿Tupigie sasa upate suluhisho la tatzo lako, Call/What's U 0658283250 X POWER MAN, ni dawa mujarab kwa ajili ya kumaliza matatizo hayo

  • @yusternyirenda7231
    @yusternyirenda7231 Жыл бұрын

    Inshallah ikawe heri kwao, nawapenda mno zuchu na diamond mpaka naumwa pia huwa nawaombea usiku na mchana wawe mke na mume kiukweli kabisa hii ni kutoka ndani ya moyo wangu.

  • @chany9950
    @chany9950 Жыл бұрын

    👍🏽👍🏽👍🏽

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi1784 Жыл бұрын

    Haya 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂fantana

  • @aishabrondi236
    @aishabrondi236 Жыл бұрын

    Kumbe nikweli niwapenzi 😂😂😂😂 eti kufunga ndoa haaaa acheni kiki hamna ndoa wala Nini

  • @masimangolouis4730

    @masimangolouis4730

    Жыл бұрын

    Tena wana mda sana

  • @jacklyneotieno1564

    @jacklyneotieno1564

    Жыл бұрын

    ​@@masimangolouis4730 wapi??dai aowi leo wala kesho

  • @abdillahomar4541

    @abdillahomar4541

    Жыл бұрын

    Kumbe unajua leo

  • @ismailykazumal

    @ismailykazumal

    Жыл бұрын

    Mmeshaambiwa ndoa ni riziki lakini bado tu mnabisha Mungu ndo anapanga ndoa jamaniii

  • @ismailykazumal

    @ismailykazumal

    Жыл бұрын

    @@jacklyneotieno1564 Sawa Mungu tumekusikia wala hatukupingi, Kwasababu wewe ndo Mungu 🤔

  • @user-yl4sr8gw7f
    @user-yl4sr8gw7f10 ай бұрын

    Kweli

  • @mujibushamba4383
    @mujibushamba4383 Жыл бұрын

    Ayo bomba

  • @abdoulkarim7123
    @abdoulkarim7123 Жыл бұрын

    Wemukubwabro Millard

  • @khalsasalim7930
    @khalsasalim7930 Жыл бұрын

    Dada zuu hata ukiolewa kwa Ukoo ule na bwana ni samaki hapishi chambo uandae moyo mwengine wa spare😂 mara hii umetaka kuchoma nyumba kisa fantana

  • @lindambilinyi6253

    @lindambilinyi6253

    Жыл бұрын

    Ile familia co😅😅😅😅😅😅

  • @OmanOman-dn6dj
    @OmanOman-dn6dj Жыл бұрын

    😅😅😅Nicheke kidogo

  • @bwanabrainex433
    @bwanabrainex433 Жыл бұрын

    Kwaiyo amekion kiac cha pesa ss eeenh😂😂😂Diamond kichwa kibov

  • @saidsalum9587
    @saidsalum9587 Жыл бұрын

    Swala 5 mzeee

  • @chuseboy
    @chuseboy Жыл бұрын

    Wa Kwanza hapa gonga like gys

  • @lindambilinyi6253
    @lindambilinyi6253 Жыл бұрын

    Bila shaka zuchu kampa kwa mpalange simba😅😅😅😅😅😅yule kwa jins tunavyomjua😅😅😅😅

  • @ghadaalzuhari2739
    @ghadaalzuhari2739 Жыл бұрын

    Kwenye ndowa tuache bwana 😂😂

  • @STAVOO_WEEZZY
    @STAVOO_WEEZZY Жыл бұрын

    Holla

  • @issasaad3403
    @issasaad3403 Жыл бұрын

    ALLAH akujaalie mke mwema babu tale yan hauchoshi kusikilizwa unaongea kwa busara sana

  • @rajumrecords711
    @rajumrecords711 Жыл бұрын

    Hofu ya Zuchu kutoka WCB ni kubwa. WCB itakufa. Lazima Tale amsifie Zuchu ili Asitoke WCB

  • @safariadrien5348

    @safariadrien5348

    Жыл бұрын

    Mulisema ivyo tena mmakonde alipoondoka. Hakuna player mkubwa kuzidi team no matter how big you are

  • @mohammadoman8963

    @mohammadoman8963

    Жыл бұрын

    Hayo maoni yako tu

  • @ikouwasi7644

    @ikouwasi7644

    Жыл бұрын

    pole sana

  • @rajumrecords711

    @rajumrecords711

    Жыл бұрын

    @@safariadrien5348 so wewe Kwa unavyoona WCB bado iko na nguvu? Kwa Msanii yupi?

  • @giztony2009

    @giztony2009

    10 ай бұрын

    Kuna watu wanafikilia kupitia miguu yani wcb ianguke kupitia zuchu wakati imekuwepo( wcb) kabla ya zuchu

  • @modernbeauty5309
    @modernbeauty5309 Жыл бұрын

    Yes, the Lion got full or it's just me. I won't mind if It's just me

  • @erasmusmlay3284
    @erasmusmlay3284 Жыл бұрын

    Mzee hajaoa kumb😂😂

  • @aminakawawa5800
    @aminakawawa5800 Жыл бұрын

    Babu tale umeongea point

  • @catherinebarasa4467
    @catherinebarasa4467 Жыл бұрын

    Babutela nilikuomba unioe nikulelea watoto.

Келесі