EXCLUSIVE: SIKU TALE ALIPOJUA DIAMOND NA ZUCHU NI WAPENZI "NILIUMIA SIKUTAKA ZUCHU APANDE STAGE"
#DiamondPlatnumz #Zuchu #Babutale #Interview
Жүктеу.....
Пікірлер: 347
@TheSalma1999 Жыл бұрын
Babu tale unaakili nyingi sana na una ongea kwa busara tuwaombee Mungu akupe mke mwema na wewe kaka yetu
@jumayussuf7746
Жыл бұрын
Sn love
@jumayussuf7746
Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
@daudimazengo7772 Жыл бұрын
I salute Babu Tale. Hakika hata mie naombea hii couple idumu. Hi Diamond, this time take action to this cute and humble girl Zuchu.
@daudichengula1413 Жыл бұрын
Millad ayo ni mtu pekee dunia hii ambaye unaniispire Sanaa.. Ishi sanaaa brooo
@erastomwakalukwa3946
10 ай бұрын
😂😂😂alimfanyia interview mpaka MUNGU wa usukumani aka bi zuu,Zumaridi ,harafu hacheki😂😂😂
@alymaryam2331 Жыл бұрын
Mungu akujaalie mwisho mwema tale na akutilie wepesi kwa kila ulifanyalo🙏🙏🙏🥰
@user-kh3hr8si2j11 ай бұрын
MashaAllah he is so kandy i really like him my Allah protect u ❤i wish i can have hubby like him ❤❤
@khadijahali6856Ай бұрын
Babu Tale ni mtaratibu kweli Ma shaa Allah.........
@jamilaathumani5481 Жыл бұрын
Nimependa Sana Babu tale ulivyofunguka kuhusu mahusiano ya zuchu na diamond,,,nawatakia Kila la heri,,waoane inshallah,,
@saumusalimuhassan2499
Жыл бұрын
Ameen Yarabb 🙏
@amanimapenzi571
Жыл бұрын
Amen
@annickkipisa6761
Жыл бұрын
Ni mependa
@jacklyneotieno1564
Жыл бұрын
Maybe kwa ndoto
@yusternyirenda7231
Жыл бұрын
@@jacklyneotieno1564 Mmm! acha uchawi
@sureiamboo9 ай бұрын
I love Tale now ❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@jamilaathumani5481 Жыл бұрын
Nimependa Sana Babu tale umekuwa muwazi na umefunguka hongera Kwa Hilo,,
@mashramadhani1989 Жыл бұрын
Diamond na Zuchu ni couple nzr sana KULIKO hao wazungu weusi
@channyanjen9047 Жыл бұрын
Nasikiya raha Sana kwakweli, Allah aweke wepesi 🙏
@peninashungu6633 Жыл бұрын
Kweli kabisaa Mungu awabariki tunawapenda aa Sana Hao wawili zechu na daimond
@mapendosafi3429 Жыл бұрын
BABU tale nakupenda sana baba unaja helkima sana Tena sana
@saumusalimuhassan2499 Жыл бұрын
Ila Leo ndio nimeamini, nacheka peke yangu, nilikuwa siamini wambea, ila nimeipenda hii interview, part2 please, Millard Ayo.
@neemamayco1051
Жыл бұрын
Hata mm jaman nlikua siamin kbs leo ndio nimeamini mm pia
@shafiiwajad457 Жыл бұрын
Iv mnajua hii ndo mara ya ya kwanza uhusiano wa Zuchu na Diamond kuwa Confirmed kwenye media na source ambayo tunaiamimi na inatoka ndani kabisa😂😂😂😂 Millard 👍👍👍
@lifeofyuri4020
Жыл бұрын
I was looking for this comment una akili nyingi sana 😂
@esthermutabuzi4582
Жыл бұрын
Na sasa tunasubiri Diamond mwenyewe atuambie...let him confirm by his own mouth! The last time he opened his mouth, he said he didn't have a girlfriend🙈🤣
@auntiemylee3157
Жыл бұрын
Confirmed
@shafiiwajad457
Жыл бұрын
@@lifeofyuri4020 pamoja na wewe mama Sema tuna akili nyingi ❤️
@blessmimi
Жыл бұрын
@@esthermutabuzi4582 Diamond was Jux listening party and told whole crowd Zuchu is his wife ..I bet you forgot about that ? . What about the 10 slides bday post on his instagram on her birthday for the world to see all the videos of them kissing intimately?
@DavidMbwilo-qk1bz Жыл бұрын
Babu tale you're the best broo
@RabiaWahadh Жыл бұрын
Mashaallah Zuch Mungu Akufanyie Wepes Kweny Maisha Yako
@marycelestin6586
Жыл бұрын
Ameen
@faudhiasalum7279 Жыл бұрын
Zuhura & Nasib👰🤵Aya.. Hongera sana
@jamilajamila4572 Жыл бұрын
Babu tale unamtetea hapo mondy hawezi muoa zuchu zuchu anapotezewa muda tu
@dijerbhai8388 Жыл бұрын
Aaah huyu mzee nampenda jmn khaaaa❤😢
@vumbakingvumbaking9571 Жыл бұрын
Dua mwenyezi mungu akuongoze boss talle update mke mwema amini Simba nae mungu akuongoze umuoe zuhura Amin 🤲
@kissamwamunyange1018 Жыл бұрын
MashaAllah babu Tale
@safiyanirram-pf3sv Жыл бұрын
Mashallha nimefurahi sana allha awazidishie lnshallha nimefurahi
@chttostrugglinglady Жыл бұрын
Mwenyezi Mungu awajalie wafunge ndoa salama🙏
@peninashungu6633 Жыл бұрын
Tale uwa nampenda sana uwa aongei Sana
@Mimy_keys Жыл бұрын
Napenda Babu Tale Anavyo Ongeaga na Busara Sana 😊 MashaaAllah Tunawaombea Kheir InshaAllah 🤗👌
@FatumaDogo
Жыл бұрын
😂
@wisperfect5320
Жыл бұрын
Vipi ukiwa mke wake😂
@jamilaathumani5481 Жыл бұрын
Nimeipenda Sana interview hii,,naomba pati 2
@Nimah_qubo Жыл бұрын
MashaAllah Tale anaongea na sauti ya unyenyekevu sana 😊
@user-wz5dz7io8x Жыл бұрын
Mungu hawabariki wawe pamoja milele amen
@hawababy120 Жыл бұрын
Asante babu tale kutujua zaidi.❤
@marthamushi9390 Жыл бұрын
Mungu awajaalie na awafanyie wepesi waje wafunge ndoa🙏 Pia huyu babu tale ni anaonekana mpole jamanii anaongea kiustaraabu hadi raha🥰
@mariammsumi7783
Жыл бұрын
Babu tale👍
@barakadaprince3742 Жыл бұрын
Millard mtu makini sana🙌🏿🙌🏿🔥🔥
@mwanatz5980 Жыл бұрын
Wakati wanafuraha basi jambo jema ❤❤❤ tunawaombea kwenye hii dunia ya leo kupata furaha sio jambo rahisi maana wengine watajia pesa tu
@salamanauthar5261 Жыл бұрын
Subhanallah!!!' mpole ana dini'!! innalillaih Wainnaillaih rajiuun
@saadabakar7750
Жыл бұрын
Salama nikuulize hivi wewe ni mkamilifu,unajua kesho yako. Hapa kakusudia ana hofu ya M.mungu,ndio tunavyotakiwa binadaam haijalishi uko na Imani gani ya dini,Acha kuhukumu muomble dua hofu yake izidi kwa M.mungu.
@hawasaid7151
Жыл бұрын
@@saadabakar7750 yan hata sielewi kimemshangaza nn hapo.
@salamanauthar5261
Жыл бұрын
@@saadabakar7750 sijamaanisha Mimi ni mkamilifu' huyo babu tale bora asingesema ana hofu ya MUNGU' Mwenye hofu ya MUNGU' hawezi kukaa Uchi hadharani Kama tunavyo muona
@salamanauthar5261
Жыл бұрын
@@hawasaid7151 na uelewe ili iweje???
@catherinekiwipa9271
Жыл бұрын
@@salamanauthar5261 🤣🤣🤣🤣🤣🤣unafikir Mungu awez kuwauwa wote wanaokaa uchi ili abaki na wema wanaovaa stara hofu ya Mungu ni mavazi bas enderea kujifunika
@mohammadoman8963 Жыл бұрын
Allah awajalie wafunge ndoa watatufurahisha sana maana tunawapenda
@productivityprogressprince5156 Жыл бұрын
Mi mwenzenu nampenda saaana babutale😊😊😊
@user-xf3wm6vx9m2 ай бұрын
Mungu akulindie Watoto wako😢
@mashiassenga8849 Жыл бұрын
Ayo umetisha sana bro 😅😅😅
@lulumalima173910 ай бұрын
Mr. Tale you are a sensible man busara. Tunaomba Susi ndoa iwe watakuwa power couple. Diamond hajalitambuwa it's sad. Zuu $ Do, yeeeeeeeh
@breezybabilon5797 Жыл бұрын
Millard Ayo respect sana
@naillanalphanairakoze3880 Жыл бұрын
Leo sasa ndo kuamini kama niwapendanao.Juu @MillardAyo kasema😂.I really love this guy. Hujawapi kuni disappointed kwa maswali yako kwenye interview ❤
@rajwaseif7735 Жыл бұрын
Hata Millard is wise The way anauliza maswali. Namkubali ni professional.
@user-lo1ub5sv1t Жыл бұрын
Safi sana Babu tale uko na uwazi
@rachelnyale2984 Жыл бұрын
WOW good news ❤❤
@mbaraksaary5750 Жыл бұрын
Diamond kumbe anaswalia kiwango cha pesa inamaana anamuekea mungu vigezo babu usitupake mafuta bana amna kitu
@maryamjey6340
Жыл бұрын
😂 astafirullah
@salumunsabimana6502 Жыл бұрын
Babu tale na kuombeya duwa upate mke mwema mshee kuleya wa toto inshaalaah.
@kimah98559 ай бұрын
I pray them to marry🙌🙌🙌🙌🙌
@subirajohn728 Жыл бұрын
Mond&Zuchu❤️❤️❤️
@godsdaughter2820 Жыл бұрын
Yani nimefurahiii I wish waowane kweli😮😢🙌🙌🙌
@josephmolle Жыл бұрын
❤
@lucymtuka3199 Жыл бұрын
Zuchu na Diamond nawapenda sana owaneni jamani
@pengefeza2563
Жыл бұрын
Mi nawaombeaga neema ya Mungu kila siku.
@SalmaSalma-wz1xv Жыл бұрын
Kweli unaweza kutembea hata nawanawake kumi lkn bado ukakosa furaha ni jambo la kheri sana wamalize tofauti zao
@jumayussuf7746 Жыл бұрын
Babu tale nikikuon nakumbukag mbali sn nakuoneag hurum sn mpak sasa hv hujaoa dah ulikuwa unampend sn mke wako hv nasisi waume zetu tutangulie km leo watakaaa mda mrefu hivi🚶♀️🚶♀️🚶♀️
@judithsijaona9875
Жыл бұрын
Juma afu unamume😢
@dorinekwizera1483 Жыл бұрын
Mbarikiwe sana
@godsdaughter2820 Жыл бұрын
Alafu zari anajidai eti Diamond loves her🥱🥱😩😆😆😆🏃🏃🏃
@julianajoseph783 Жыл бұрын
Kwa upole huu wa Babutale ananimalizanga tuu
@IsaacJames-sv3zk Жыл бұрын
💯💯💯
@sylviembirize Жыл бұрын
Good Nice babu tard
@gracewairimu800 Жыл бұрын
Yani nnavo mpenda babu tale mtu muwazi sana na Ana maneno ya busara sana mungu am bariki na Mke mzuri apate furaha na amani moyoni
@omanmct135 Жыл бұрын
Kweli kabisa babutale❤❤❤
@lindambilinyi6253 Жыл бұрын
Leo ndo naamin kumbe kwel hawa wapenz😳😳😳😳yaan me nilikuwa nadhan km porojo za mitandaoni tu
@kekiplus1andonly Жыл бұрын
Mheshimiwa mjengoni🎉 Kaongea,diamond kafika...ndo furaha yake.
@catherinejullu6615 Жыл бұрын
Kaka yangu unaakili sana ❤❤
@NextoHunter-rm3cs Жыл бұрын
Ayo TV 📺ni 🔥 🔥 🔥
@thelight-ur3oi Жыл бұрын
Lakn tale hatukuekewi 🎉
@Tabiatz8 ай бұрын
Nice
@vickykapama8386 Жыл бұрын
Wahanga walisema MTAKA CHA UVUNGUNI SHARTI AINAME!! Lzm Zuhura ajishushe na amti Chibu na vurugu zk na FANTANA😅😅😅😂😂
@shishgal2274 Жыл бұрын
❤❤❤
@RaheliBeda-ho2ii Жыл бұрын
Allah akujaalie kila lililo jema
@shammaabeod4050 Жыл бұрын
🔥🔥🔥❤️❤️❤️
@sakinaamani1486 Жыл бұрын
Mmmmm ssa hayaaa
@hadijandenga6222 Жыл бұрын
Nawaombea sanaaaa
@rich.kizza10 Жыл бұрын
Millard why huweki music background?
@amanimapenzi571 Жыл бұрын
Babu Tale Asante sana kwa kufunguka ndio watu wanao mdhihaki watu hawajaoea upendo wa kweli! Zuchu is being submissive kwa diamond but watu wanamchukulia anampenda diamond kushinda diamond anavyo mpenda...... Let me tell you my people, diamond loves zuchu more than anything in this world! From Sandra to Zuchu!!!!!? Na ukumbuke Mondi katoboa mwenyewe!!!!!
@jacklyneotieno1564
Жыл бұрын
😂😂😂ati more than anything????wacha kudanganya mwenzako.....anakanwa kipetero ki yesu then unasema anapendwa..... wanawake wengine wanapigwa busu tena live inasambazwa kwenye media halafu unasema anapendwa weee.... thubutu....dai yupo single
@khadijahali4837 Жыл бұрын
😮😮
@dianabanga2625 Жыл бұрын
👏🏿👏🏿👏🏿♥️
@ezronhussen5401 Жыл бұрын
Likes zenu jaman
@noswingofficial96243 ай бұрын
This men is loyal
@afyamkononi4778 Жыл бұрын
*KWANINI USALITIWE NA MWENZA WAKO KISA HUMRIDHISHI*, 🥊 Unawahi kufika kileleni kabla yake, 🥊 Unashindwa kuendelea awamu ya pili, 🥊 Dhakari yako inasimama legelege, 🥊Kukosa hamu ya tendo, 🥊Kutosimamisha dhakari. *NI LAZIMA ATAKUSALITI TU*. Kuishi ni "KUCHAGUA" na uchaguzi hufanywa na maamuzi. Chagua kuwa IMARA ili uishi kama mtawala. Tumia X POWER MAN , RUDISHA HESHIMA YA NDOA UNAAMBIWA HII NI ZAID YA VUMBI LA MCONGO🔥🔥🔥 Waliokwisha kuitumia wanajua nini namaanisha Ukiitumia hii always wewe utabaki kuwa shujaa💪💪 X POWER MAN COFFEE KIBOKO YA KIBAMIA NA NGUVU ZA KIUME💪 Ni dawa yenye nguvu sana ambayo inamchanganyiko wa dawa4 ambazo matumizi yake unaitumia kwa wakati mmoja tu ➡️Ni dawa yenye kutibu tatizo kabisa na kuisha sio kupata nafuu💪 1⃣Inaimarisha mishipa ya askari aliye legea kutokana na kujichua kwa mda mrefu.. 2⃣Inazalisha homoni na mbegu kwa wingi ambayo itakufanya uwe unapata hamu ya kuwa unarudia tendo hata mara4 zaidi. 3⃣Pia inakufanya uwe unachelewa kufika kilelen kwa dk25 au zaidi. 5⃣Kwa waliojichua maumbile madogo au waliozaliwa na maumbile madogo inakuza kuanzia inch6. hiyo ndio X POWER MAN COFFEE💪 inayotumiwa na watu wengi wanapona. Inapatikana Arusha,Moshi na Manyara kwa mikoa ya kaskazini Inapatikana pia na Dar es salam na inaweza kukufikia popote ulipo dar es salam ,Mwanza, Zanzibar ,moro,mbeya ,na mikoa yote Tanzania kwa bus ama boat NB; dawa hizi ni za asili (mitishamba) hazina madhara wala kemikali ya aina yoyote Kama unahitaji piga au niachie ujumbe andika ,#Nahitaji_dawa .taja eneo ulilopo nitakujibu haraka ✍🏿Tupigie sasa upate suluhisho la tatzo lako, Call/What's U 0658283250 X POWER MAN, ni dawa mujarab kwa ajili ya kumaliza matatizo hayo
@yusternyirenda7231 Жыл бұрын
Inshallah ikawe heri kwao, nawapenda mno zuchu na diamond mpaka naumwa pia huwa nawaombea usiku na mchana wawe mke na mume kiukweli kabisa hii ni kutoka ndani ya moyo wangu.
Пікірлер: 347
Babu tale unaakili nyingi sana na una ongea kwa busara tuwaombee Mungu akupe mke mwema na wewe kaka yetu
@jumayussuf7746
Жыл бұрын
Sn love
@jumayussuf7746
Жыл бұрын
🙏🙏🙏🙏
I salute Babu Tale. Hakika hata mie naombea hii couple idumu. Hi Diamond, this time take action to this cute and humble girl Zuchu.
Millad ayo ni mtu pekee dunia hii ambaye unaniispire Sanaa.. Ishi sanaaa brooo
@erastomwakalukwa3946
10 ай бұрын
😂😂😂alimfanyia interview mpaka MUNGU wa usukumani aka bi zuu,Zumaridi ,harafu hacheki😂😂😂
Mungu akujaalie mwisho mwema tale na akutilie wepesi kwa kila ulifanyalo🙏🙏🙏🥰
MashaAllah he is so kandy i really like him my Allah protect u ❤i wish i can have hubby like him ❤❤
Babu Tale ni mtaratibu kweli Ma shaa Allah.........
Nimependa Sana Babu tale ulivyofunguka kuhusu mahusiano ya zuchu na diamond,,,nawatakia Kila la heri,,waoane inshallah,,
@saumusalimuhassan2499
Жыл бұрын
Ameen Yarabb 🙏
@amanimapenzi571
Жыл бұрын
Amen
@annickkipisa6761
Жыл бұрын
Ni mependa
@jacklyneotieno1564
Жыл бұрын
Maybe kwa ndoto
@yusternyirenda7231
Жыл бұрын
@@jacklyneotieno1564 Mmm! acha uchawi
I love Tale now ❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nimependa Sana Babu tale umekuwa muwazi na umefunguka hongera Kwa Hilo,,
Diamond na Zuchu ni couple nzr sana KULIKO hao wazungu weusi
Nasikiya raha Sana kwakweli, Allah aweke wepesi 🙏
Kweli kabisaa Mungu awabariki tunawapenda aa Sana Hao wawili zechu na daimond
BABU tale nakupenda sana baba unaja helkima sana Tena sana
Ila Leo ndio nimeamini, nacheka peke yangu, nilikuwa siamini wambea, ila nimeipenda hii interview, part2 please, Millard Ayo.
@neemamayco1051
Жыл бұрын
Hata mm jaman nlikua siamin kbs leo ndio nimeamini mm pia
Iv mnajua hii ndo mara ya ya kwanza uhusiano wa Zuchu na Diamond kuwa Confirmed kwenye media na source ambayo tunaiamimi na inatoka ndani kabisa😂😂😂😂 Millard 👍👍👍
@lifeofyuri4020
Жыл бұрын
I was looking for this comment una akili nyingi sana 😂
@esthermutabuzi4582
Жыл бұрын
Na sasa tunasubiri Diamond mwenyewe atuambie...let him confirm by his own mouth! The last time he opened his mouth, he said he didn't have a girlfriend🙈🤣
@auntiemylee3157
Жыл бұрын
Confirmed
@shafiiwajad457
Жыл бұрын
@@lifeofyuri4020 pamoja na wewe mama Sema tuna akili nyingi ❤️
@blessmimi
Жыл бұрын
@@esthermutabuzi4582 Diamond was Jux listening party and told whole crowd Zuchu is his wife ..I bet you forgot about that ? . What about the 10 slides bday post on his instagram on her birthday for the world to see all the videos of them kissing intimately?
Babu tale you're the best broo
Mashaallah Zuch Mungu Akufanyie Wepes Kweny Maisha Yako
@marycelestin6586
Жыл бұрын
Ameen
Zuhura & Nasib👰🤵Aya.. Hongera sana
Babu tale unamtetea hapo mondy hawezi muoa zuchu zuchu anapotezewa muda tu
Aaah huyu mzee nampenda jmn khaaaa❤😢
Dua mwenyezi mungu akuongoze boss talle update mke mwema amini Simba nae mungu akuongoze umuoe zuhura Amin 🤲
MashaAllah babu Tale
Mashallha nimefurahi sana allha awazidishie lnshallha nimefurahi
Mwenyezi Mungu awajalie wafunge ndoa salama🙏
Tale uwa nampenda sana uwa aongei Sana
Napenda Babu Tale Anavyo Ongeaga na Busara Sana 😊 MashaaAllah Tunawaombea Kheir InshaAllah 🤗👌
@FatumaDogo
Жыл бұрын
😂
@wisperfect5320
Жыл бұрын
Vipi ukiwa mke wake😂
Nimeipenda Sana interview hii,,naomba pati 2
MashaAllah Tale anaongea na sauti ya unyenyekevu sana 😊
Mungu hawabariki wawe pamoja milele amen
Asante babu tale kutujua zaidi.❤
Mungu awajaalie na awafanyie wepesi waje wafunge ndoa🙏 Pia huyu babu tale ni anaonekana mpole jamanii anaongea kiustaraabu hadi raha🥰
@mariammsumi7783
Жыл бұрын
Babu tale👍
Millard mtu makini sana🙌🏿🙌🏿🔥🔥
Wakati wanafuraha basi jambo jema ❤❤❤ tunawaombea kwenye hii dunia ya leo kupata furaha sio jambo rahisi maana wengine watajia pesa tu
Subhanallah!!!' mpole ana dini'!! innalillaih Wainnaillaih rajiuun
@saadabakar7750
Жыл бұрын
Salama nikuulize hivi wewe ni mkamilifu,unajua kesho yako. Hapa kakusudia ana hofu ya M.mungu,ndio tunavyotakiwa binadaam haijalishi uko na Imani gani ya dini,Acha kuhukumu muomble dua hofu yake izidi kwa M.mungu.
@hawasaid7151
Жыл бұрын
@@saadabakar7750 yan hata sielewi kimemshangaza nn hapo.
@salamanauthar5261
Жыл бұрын
@@saadabakar7750 sijamaanisha Mimi ni mkamilifu' huyo babu tale bora asingesema ana hofu ya MUNGU' Mwenye hofu ya MUNGU' hawezi kukaa Uchi hadharani Kama tunavyo muona
@salamanauthar5261
Жыл бұрын
@@hawasaid7151 na uelewe ili iweje???
@catherinekiwipa9271
Жыл бұрын
@@salamanauthar5261 🤣🤣🤣🤣🤣🤣unafikir Mungu awez kuwauwa wote wanaokaa uchi ili abaki na wema wanaovaa stara hofu ya Mungu ni mavazi bas enderea kujifunika
Allah awajalie wafunge ndoa watatufurahisha sana maana tunawapenda
Mi mwenzenu nampenda saaana babutale😊😊😊
Mungu akulindie Watoto wako😢
Ayo umetisha sana bro 😅😅😅
Mr. Tale you are a sensible man busara. Tunaomba Susi ndoa iwe watakuwa power couple. Diamond hajalitambuwa it's sad. Zuu $ Do, yeeeeeeeh
Millard Ayo respect sana
Leo sasa ndo kuamini kama niwapendanao.Juu @MillardAyo kasema😂.I really love this guy. Hujawapi kuni disappointed kwa maswali yako kwenye interview ❤
Hata Millard is wise The way anauliza maswali. Namkubali ni professional.
Safi sana Babu tale uko na uwazi
WOW good news ❤❤
Diamond kumbe anaswalia kiwango cha pesa inamaana anamuekea mungu vigezo babu usitupake mafuta bana amna kitu
@maryamjey6340
Жыл бұрын
😂 astafirullah
Babu tale na kuombeya duwa upate mke mwema mshee kuleya wa toto inshaalaah.
I pray them to marry🙌🙌🙌🙌🙌
Mond&Zuchu❤️❤️❤️
Yani nimefurahiii I wish waowane kweli😮😢🙌🙌🙌
❤
Zuchu na Diamond nawapenda sana owaneni jamani
@pengefeza2563
Жыл бұрын
Mi nawaombeaga neema ya Mungu kila siku.
Kweli unaweza kutembea hata nawanawake kumi lkn bado ukakosa furaha ni jambo la kheri sana wamalize tofauti zao
Babu tale nikikuon nakumbukag mbali sn nakuoneag hurum sn mpak sasa hv hujaoa dah ulikuwa unampend sn mke wako hv nasisi waume zetu tutangulie km leo watakaaa mda mrefu hivi🚶♀️🚶♀️🚶♀️
@judithsijaona9875
Жыл бұрын
Juma afu unamume😢
Mbarikiwe sana
Alafu zari anajidai eti Diamond loves her🥱🥱😩😆😆😆🏃🏃🏃
Kwa upole huu wa Babutale ananimalizanga tuu
💯💯💯
Good Nice babu tard
Yani nnavo mpenda babu tale mtu muwazi sana na Ana maneno ya busara sana mungu am bariki na Mke mzuri apate furaha na amani moyoni
Kweli kabisa babutale❤❤❤
Leo ndo naamin kumbe kwel hawa wapenz😳😳😳😳yaan me nilikuwa nadhan km porojo za mitandaoni tu
Mheshimiwa mjengoni🎉 Kaongea,diamond kafika...ndo furaha yake.
Kaka yangu unaakili sana ❤❤
Ayo TV 📺ni 🔥 🔥 🔥
Lakn tale hatukuekewi 🎉
Nice
Wahanga walisema MTAKA CHA UVUNGUNI SHARTI AINAME!! Lzm Zuhura ajishushe na amti Chibu na vurugu zk na FANTANA😅😅😅😂😂
❤❤❤
Allah akujaalie kila lililo jema
🔥🔥🔥❤️❤️❤️
Mmmmm ssa hayaaa
Nawaombea sanaaaa
Millard why huweki music background?
Babu Tale Asante sana kwa kufunguka ndio watu wanao mdhihaki watu hawajaoea upendo wa kweli! Zuchu is being submissive kwa diamond but watu wanamchukulia anampenda diamond kushinda diamond anavyo mpenda...... Let me tell you my people, diamond loves zuchu more than anything in this world! From Sandra to Zuchu!!!!!? Na ukumbuke Mondi katoboa mwenyewe!!!!!
@jacklyneotieno1564
Жыл бұрын
😂😂😂ati more than anything????wacha kudanganya mwenzako.....anakanwa kipetero ki yesu then unasema anapendwa..... wanawake wengine wanapigwa busu tena live inasambazwa kwenye media halafu unasema anapendwa weee.... thubutu....dai yupo single
😮😮
👏🏿👏🏿👏🏿♥️
Likes zenu jaman
This men is loyal
*KWANINI USALITIWE NA MWENZA WAKO KISA HUMRIDHISHI*, 🥊 Unawahi kufika kileleni kabla yake, 🥊 Unashindwa kuendelea awamu ya pili, 🥊 Dhakari yako inasimama legelege, 🥊Kukosa hamu ya tendo, 🥊Kutosimamisha dhakari. *NI LAZIMA ATAKUSALITI TU*. Kuishi ni "KUCHAGUA" na uchaguzi hufanywa na maamuzi. Chagua kuwa IMARA ili uishi kama mtawala. Tumia X POWER MAN , RUDISHA HESHIMA YA NDOA UNAAMBIWA HII NI ZAID YA VUMBI LA MCONGO🔥🔥🔥 Waliokwisha kuitumia wanajua nini namaanisha Ukiitumia hii always wewe utabaki kuwa shujaa💪💪 X POWER MAN COFFEE KIBOKO YA KIBAMIA NA NGUVU ZA KIUME💪 Ni dawa yenye nguvu sana ambayo inamchanganyiko wa dawa4 ambazo matumizi yake unaitumia kwa wakati mmoja tu ➡️Ni dawa yenye kutibu tatizo kabisa na kuisha sio kupata nafuu💪 1⃣Inaimarisha mishipa ya askari aliye legea kutokana na kujichua kwa mda mrefu.. 2⃣Inazalisha homoni na mbegu kwa wingi ambayo itakufanya uwe unapata hamu ya kuwa unarudia tendo hata mara4 zaidi. 3⃣Pia inakufanya uwe unachelewa kufika kilelen kwa dk25 au zaidi. 5⃣Kwa waliojichua maumbile madogo au waliozaliwa na maumbile madogo inakuza kuanzia inch6. hiyo ndio X POWER MAN COFFEE💪 inayotumiwa na watu wengi wanapona. Inapatikana Arusha,Moshi na Manyara kwa mikoa ya kaskazini Inapatikana pia na Dar es salam na inaweza kukufikia popote ulipo dar es salam ,Mwanza, Zanzibar ,moro,mbeya ,na mikoa yote Tanzania kwa bus ama boat NB; dawa hizi ni za asili (mitishamba) hazina madhara wala kemikali ya aina yoyote Kama unahitaji piga au niachie ujumbe andika ,#Nahitaji_dawa .taja eneo ulilopo nitakujibu haraka ✍🏿Tupigie sasa upate suluhisho la tatzo lako, Call/What's U 0658283250 X POWER MAN, ni dawa mujarab kwa ajili ya kumaliza matatizo hayo
Inshallah ikawe heri kwao, nawapenda mno zuchu na diamond mpaka naumwa pia huwa nawaombea usiku na mchana wawe mke na mume kiukweli kabisa hii ni kutoka ndani ya moyo wangu.
👍🏽👍🏽👍🏽
Haya 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂fantana
Kumbe nikweli niwapenzi 😂😂😂😂 eti kufunga ndoa haaaa acheni kiki hamna ndoa wala Nini
@masimangolouis4730
Жыл бұрын
Tena wana mda sana
@jacklyneotieno1564
Жыл бұрын
@@masimangolouis4730 wapi??dai aowi leo wala kesho
@abdillahomar4541
Жыл бұрын
Kumbe unajua leo
@ismailykazumal
Жыл бұрын
Mmeshaambiwa ndoa ni riziki lakini bado tu mnabisha Mungu ndo anapanga ndoa jamaniii
@ismailykazumal
Жыл бұрын
@@jacklyneotieno1564 Sawa Mungu tumekusikia wala hatukupingi, Kwasababu wewe ndo Mungu 🤔
Kweli
Ayo bomba
Wemukubwabro Millard
Dada zuu hata ukiolewa kwa Ukoo ule na bwana ni samaki hapishi chambo uandae moyo mwengine wa spare😂 mara hii umetaka kuchoma nyumba kisa fantana
@lindambilinyi6253
Жыл бұрын
Ile familia co😅😅😅😅😅😅
😅😅😅Nicheke kidogo
Kwaiyo amekion kiac cha pesa ss eeenh😂😂😂Diamond kichwa kibov
Swala 5 mzeee
Wa Kwanza hapa gonga like gys
Bila shaka zuchu kampa kwa mpalange simba😅😅😅😅😅😅yule kwa jins tunavyomjua😅😅😅😅
Kwenye ndowa tuache bwana 😂😂
Holla
ALLAH akujaalie mke mwema babu tale yan hauchoshi kusikilizwa unaongea kwa busara sana
Hofu ya Zuchu kutoka WCB ni kubwa. WCB itakufa. Lazima Tale amsifie Zuchu ili Asitoke WCB
@safariadrien5348
Жыл бұрын
Mulisema ivyo tena mmakonde alipoondoka. Hakuna player mkubwa kuzidi team no matter how big you are
@mohammadoman8963
Жыл бұрын
Hayo maoni yako tu
@ikouwasi7644
Жыл бұрын
pole sana
@rajumrecords711
Жыл бұрын
@@safariadrien5348 so wewe Kwa unavyoona WCB bado iko na nguvu? Kwa Msanii yupi?
@giztony2009
10 ай бұрын
Kuna watu wanafikilia kupitia miguu yani wcb ianguke kupitia zuchu wakati imekuwepo( wcb) kabla ya zuchu
Yes, the Lion got full or it's just me. I won't mind if It's just me
Mzee hajaoa kumb😂😂
Babu tale umeongea point
Babutela nilikuomba unioe nikulelea watoto.