CHALAMILA AWATANGAZIA 'VITA' WALIOFUNGA MADUKA KARIAKOO

"Ikitokea mambo hayo yakachukua pengine mwezi mmoja, na mimi nikasema askari wangu wote watalinda eneo hili hakuna mtu tena kufungua duka kwa mwezi mmoja itakuwa sawa sio sawa, nikiamua kutuma vikosi hapa vilinde maduka yote kunamtu atainama kufungua, nikisema nianzishe vita ya masaa mawili hapa kuna mtu atafungua"-Albert Chalamila - Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam.
"Nataka niwathibitishie aliyekubali kufungua afungue, na yule atakayemletea mkwala mtu yeyote aliye kubali kufungua, naapa hapo ndipo nitakapo onyesha shoo nzima, mtu anakubali kufungua wewe unamchimba mkwala, mimi ntakuchimba mkwala na hutaamka tena"-Albert Chalamila - Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam.
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.
#Follow @radioonetanzania

Пікірлер: 23

  • @dulasele-ud8cw
    @dulasele-ud8cw17 күн бұрын

    Mungu akikupa neema unaisau njaa ya juzi ela yangu na ninatishiwa wasikilizeni kwaza

  • @SebastianMgoba
    @SebastianMgoba17 күн бұрын

    Sawa

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi824111 күн бұрын

    kusanyeni kodi hatujakataa lakini wekeni kodi sizizo waumiza watu ili tusikwepe boss wangu mkuu

  • @AleiHadji-js3ed
    @AleiHadji-js3ed17 күн бұрын

    Safi Sana Mkuu wanataka kuiga kenya hao kuku

  • @omanmobile5746
    @omanmobile574617 күн бұрын

    Wewe baba ni mshenzi sana ivi unajua ni changamoto gani wanazipitia maisha magumu kodi iko juu mimi.nawapenda sana.wakenya hawaogopi kitu ila tz waoga wakitishiwa kidogo tu wanatetemeka😏😏😏

  • @AleiHadji-js3ed

    @AleiHadji-js3ed

    17 күн бұрын

    Wewe Nani ?? Ikiwa yeye mshenzi?

  • @omanmobile5746

    @omanmobile5746

    17 күн бұрын

    @@AleiHadji-js3ed wewe fala😏

  • @jedidahbintidaudi8241

    @jedidahbintidaudi8241

    11 күн бұрын

    dah sasa mbona Chalamila tena anatugonga mkwala? ss mbona kufungua duka wakati majibu hayajaja? kweli? jmni Chalamila

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula15 күн бұрын

    Si maduka yao. Na wewenkafunge nyumbani kwako

  • @lajumaofficial521
    @lajumaofficial52117 күн бұрын

    Hiyo diyo njia sahihi ya kusuluhisha mambo mkuu

  • @komuhsengo9796
    @komuhsengo979614 күн бұрын

    Nguvu haihitjiki

  • @dulasele-ud8cw
    @dulasele-ud8cw17 күн бұрын

    Mtoto analia na baba anazidi kumuongezea kipigo

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru914016 күн бұрын

    Kwahiyo unataka kutumia nguvu au utageuzwa mboga Sasa iv

  • @kiatu
    @kiatu17 күн бұрын

    Huyu naye dictator tu. Migomo ipo kikatiba

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti530316 күн бұрын

    Tumieni busara ..!! Masuala ya uchumi hayahitaji povu ni akili tu ..Nyie ndio mnaleta siasa wanasiasa

  • @ponsianomnyaru9140
    @ponsianomnyaru914016 күн бұрын

    Ww Toka apo mjinga ww hujuw kwamba ww unanenepa Kwa Hela zetu acha kututisha ww

  • @StephanoSamwely-vv5dw
    @StephanoSamwely-vv5dw17 күн бұрын

    We endelea kula vya bure, acha kupiga kelele huo ukwepaji wa kodi unajua unafanyika kwasababu gani!!? Kodi zimekua kubwa mavuzi wewe

  • @evelynmwaimu-vd9jo
    @evelynmwaimu-vd9jo15 күн бұрын

    Mnafiki

  • @rahmasalim1989
    @rahmasalim198915 күн бұрын

    Ccm byebye 2025

  • @jedidahbintidaudi8241

    @jedidahbintidaudi8241

    11 күн бұрын

    hii inaitaji nguvu ya ziada kaka yangu mwema...CCM hata wakija wtu 2 tuu kwenye box la kura ataibuka mshindi

  • @morganjamson3876
    @morganjamson387617 күн бұрын

    Kama vitunguu vimeshuka bei ata TRA na Chalamila watashuka tu

Келесі