CHALAMILA AWATANGAZIA 'VITA' WALIOFUNGA MADUKA KARIAKOO
"Ikitokea mambo hayo yakachukua pengine mwezi mmoja, na mimi nikasema askari wangu wote watalinda eneo hili hakuna mtu tena kufungua duka kwa mwezi mmoja itakuwa sawa sio sawa, nikiamua kutuma vikosi hapa vilinde maduka yote kunamtu atainama kufungua, nikisema nianzishe vita ya masaa mawili hapa kuna mtu atafungua"-Albert Chalamila - Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam.
"Nataka niwathibitishie aliyekubali kufungua afungue, na yule atakayemletea mkwala mtu yeyote aliye kubali kufungua, naapa hapo ndipo nitakapo onyesha shoo nzima, mtu anakubali kufungua wewe unamchimba mkwala, mimi ntakuchimba mkwala na hutaamka tena"-Albert Chalamila - Mkuu wa Mkoa Dar es Salaam.
#ITVDigital #ITVUpdates #ITVTanzania.
#Follow @radioonetanzania
Пікірлер: 23
Mungu akikupa neema unaisau njaa ya juzi ela yangu na ninatishiwa wasikilizeni kwaza
Sawa
kusanyeni kodi hatujakataa lakini wekeni kodi sizizo waumiza watu ili tusikwepe boss wangu mkuu
Safi Sana Mkuu wanataka kuiga kenya hao kuku
Wewe baba ni mshenzi sana ivi unajua ni changamoto gani wanazipitia maisha magumu kodi iko juu mimi.nawapenda sana.wakenya hawaogopi kitu ila tz waoga wakitishiwa kidogo tu wanatetemeka😏😏😏
@AleiHadji-js3ed
17 күн бұрын
Wewe Nani ?? Ikiwa yeye mshenzi?
@omanmobile5746
17 күн бұрын
@@AleiHadji-js3ed wewe fala😏
@jedidahbintidaudi8241
11 күн бұрын
dah sasa mbona Chalamila tena anatugonga mkwala? ss mbona kufungua duka wakati majibu hayajaja? kweli? jmni Chalamila
Si maduka yao. Na wewenkafunge nyumbani kwako
Hiyo diyo njia sahihi ya kusuluhisha mambo mkuu
Nguvu haihitjiki
Mtoto analia na baba anazidi kumuongezea kipigo
Kwahiyo unataka kutumia nguvu au utageuzwa mboga Sasa iv
Huyu naye dictator tu. Migomo ipo kikatiba
Tumieni busara ..!! Masuala ya uchumi hayahitaji povu ni akili tu ..Nyie ndio mnaleta siasa wanasiasa
Ww Toka apo mjinga ww hujuw kwamba ww unanenepa Kwa Hela zetu acha kututisha ww
We endelea kula vya bure, acha kupiga kelele huo ukwepaji wa kodi unajua unafanyika kwasababu gani!!? Kodi zimekua kubwa mavuzi wewe
Mnafiki
Ccm byebye 2025
@jedidahbintidaudi8241
11 күн бұрын
hii inaitaji nguvu ya ziada kaka yangu mwema...CCM hata wakija wtu 2 tuu kwenye box la kura ataibuka mshindi
Kama vitunguu vimeshuka bei ata TRA na Chalamila watashuka tu