BSS 2022 S13EP02 FULL SHOW
Ойын-сауық
Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 13 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search All Star
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Пікірлер: 192
Master show ni kubwa sio ya Tanzania tu..Acha kuangalia watu wenye wako kwa show tu.sisi tunafatilia kwa mbali..from 🇰🇪
I think these guys are confined into their own. Kenyans love love good music regardless of the language. We are diverse and yes, it's a win.
Asangwile sang so well, I am Kenyan and I enjoyed his performance, the essence of one being a star is to be diverse and captivate all corners. I do not buy Master J's notion of the participants singing only in Tanzanian dialect that is so limiting. Many participants have sung so well, remember this is not just a Tanzanian show, so the judges really need to get out of that cacoon and allow participants explore. Music is music, let us be diverse and embrace all genres!
Nairobi gossip club ndio imenileta hapa!!🤨🤨🤨
Yeah.. What she said is true.. You guys should judge her voice that's what these competition are for.. Language has nothing to do with it.. Au basi andikeni mkija mje kuimba kiswahili master J saying kwamba kama kuimba kiswahili in Russia.. It is out of point.. Music is one language that everyone understands... We all sing bloody despacito.. Do we even knw what the freakin he'll that is. But the molody the voices mahn.. So y'all judges com on u can do better.. If u wanna crush something because you simply hater or dislike her.. Be bold to say it.. Don't call these people to come sing and disrespect their opinion or choice of songs. .. Shilole.. What vocal range does she have.. Come on.. She is amazing business wise but music wise and I say this respectively.. Shut the hell up.. Still love u but no.. That was rude
@sizzlermacheda8255
Жыл бұрын
And that's on PERIOD
SEMA waTZ mpo vizuri sana napenda kila mtu hapa kwenye bss,afanye vizuri ama vibaya me nkpnda❤️❤️❤️coz I know pia mastar wakubwa pia walianzia chini....hakuna mtu aliamka 2 Leo akasema nataka kuwa star mkubwa no lazima upitie mahali wengine walipitia,uki_fail Leo kesho ni siku never give up in this life polepole ndio mwendo hurry hurry as no blessings lv u TZ🥰🥰🔥🔥
Theo is a star. Ata iyo band yake ya yamoto ni moto kabisa. He is a good perfomer, and his voice is unique
It's so sad to see how we Kenya's support this Tz artists yet they can't return the support back
Naipenda bss♥️♥️♥️
Yaan ukitaka kujua km kitu ni kizur soma comment kwanza you'll not lose your MB
Dada alieimba helo 😅😅 kaona awachane tu... kwamba Bss wako local
@robsondalink6206
Жыл бұрын
Aimba english na shilole ata hajui huon kam ni mateso kwa judge shilole😂😂😂
@lucialeonard2675
Жыл бұрын
Alichosema kinamaana kwel na nimempenda
@housnayousif780
Жыл бұрын
@@robsondalink6206 🤣🤣🤣🤣🤣🤣kuna kaukwel ndan yake
@nzeyimanaabdallah131
Жыл бұрын
Uvumilivu ulimshinda 😅
Jaman Bruce black beauty na Dimpoz zake so cute am your Fan umeimba vzr
@SADEE._
Жыл бұрын
Hivi beautiful hutumikaga hata kwa wanaume me sijui 😂
@asmahassan5661
Жыл бұрын
@@SADEE._ ndio my
"Lakini nawahakikishieni mnaenda kutoka na mawimbo yenyu mabovu.''😂😂😂Master unamaliza sana, we mkali kweli.
Sioni kama shilole anafaa KUWA jaji Hana hekima, maarifa, na kutoa maamuz yatayomtia moyo mtu, bt Barnaba big up
@chakuboyofficial9720
Жыл бұрын
Naku Bali shilole ajuwi ku jaji kabisa 💯💯
@SpizesMuzik
Жыл бұрын
Ukweli
@ngwacahnyagwaswa9979
Жыл бұрын
Yaan hajapewa chance ya kuongea yeye anakurupuka
@SADEE._
Жыл бұрын
Ye mwenyewe kuimba hajui ndo atajua kujaji ao anao wajaji wanaimba kuliko hata yeye
@beautyibrahim8428
Жыл бұрын
Sijui ata waliangalia vigezo gan wakamuweka shishi
Habari yenu mimi ninawafatilia sana kwa nini munakataza wasanii kuimba kingereza na kipindi ninyi munaongea kengreza?
This master J WILL FOREVER BE LOCAL
Ingependeza sana kama wanapo jitambulisha waseme social media names zao na watangaze nyimbo ambazo wameimba so far .
Tatizo mnakawiya sana ku UpLoad maana kipindi hichi kina siku nyingi
@Momo_96
Жыл бұрын
Waambie Waige Hata BGT Na AGT Wanavyo Upload On Time Wanabore😏😏
@kitunganolwebo7570
Жыл бұрын
Habari imewafikiya 👍
Dah kweli kila mtu na shughuli yake!! mtu anaimba vizuri majaji wanamkataa!!.....
Shishi food buree😆😆😆😆😆😆
Majaji wafungue BSS wasiangalie uimbaji unaojikita Tanzania tu, let it be a great forum for talents at global level, mtoe mtu Kwa vigezo vya kipaji
Master J hata Kenya wana hit song don't disregard persons just because they sing Kenyan songs or international we are competing the world ....
Iko sawa
Judging according to language is unfair as long as they want all of africa to watch this
It's high time we need music professional to judge people not just watu maarufu. Sielewi kabisa vitu anavyoongea Shilole.
Asangwile sang so well... Aliimba nyimbo nzuri sana la Kikenya
Bruce elias jitaid uwe una chagua nyimbo nzuri hiyo ulio imba ume zingua kweli mbona una jua afu una chagua nyimbo mbovu badilika kulingana na nyakati
Brus nakupendaka sana
Yan shishi hata akiwa seriously bado utasema anafanya utani
Kweli kaimba vibaya
Sababu ya kumchukua shilole kuwepo hapo kujaji vipaji sion Kama anajua kuusu maswala ya muziki sijapenda kozi sioni talent ya music kwa shilole pia ajui kuimba Wala ajui mwimbaji mzuri yukoje ninacho hona yeye anasikiliza midundo nansio uimbaj
Shishi wew mwenyewe hujui kuimba
@sarahgaula2220
Жыл бұрын
Hata sijui wamemletea nini ?
Waaimbaji wa master leo wameimba vibaya sana
Shishi yeye mwenyewe kuimba hajui sasa sijui kawaje jaji sijapenda anavyojaji watu hata kama mtu hana voko mpe moyo tu basi
@rehemaothman2475
Жыл бұрын
😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ashura bado jamani
Huyu mama ntilie kafwata nini hapo 😅
@rehemaothman2475
Жыл бұрын
😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huja wahi kumuelewa au
Muwe mnaweka full kama iv na sio vipande vipande
Shishi anazingua sana😆😆😆
Yamoto umetisha safiii
Hivi mwaka hii amma bss
Shilole miyeyushooooo
Mko vizur xn 💪
Niliwamic sanaaa
Yani ana comment shilole mm napata aibu mimi
Bongo star search ya saiv imefanyika kimya kimya sana au imeisha m ndio sjui?
Ila we master jay na wewe msenge msenge sana sana lugha wanyokoooo
BARNABA the Best Judge big Up...!!!
Brus anaweza ira nyimbo anazo chagua zinamuangusha
Master Jay ni judge namtambua sana. Lakini kusema nyimbo za Kenya hazifai Bongo star search ni makosa. ni yetu sote haswa sisi tunaojua kiswahili
💖💖😗
🤗🤗🤗✌️🍀✌️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Bruce Elias 🙌🏾
Wanajudge kuhusu uwezo wa kuimba au aina ya nyimbo za kuimba inaonesha wako kwa ajili ya kupromote local songs na sio kuimprove uwezo wao wa kuimba
Hamjui nyie majudge kujudge,, ebu token hapa asangwile kaimba vzr
@rehemaothman2475
Жыл бұрын
😅🤣🤣🤣🤣🤣
Theophile to the TOP💯✔
Huyu shilole wangemtoa kuwa judge
Guitar iko sawa bro kuja 🇨🇩 uneza pata nafasi
Ivi ni simu yangu au nn make kuna vipande sauti inakata
Cku nyengine msimuweke shishi hafai
Funny how Tanzania are jealous of us 🇰🇪😂
Zanael true vocalist
Minaali cjui km ndo unvoitwa ila nmeeleweka nakupenda sana.
@lonada830
8 ай бұрын
Anaitwa MEENA ALLY NAMPENDA SANA
Iyo nyimbo ya nani
Aseeeee bunzari ni kibokoo
Wakwanzaaa
Hivi ninyi waandaaji mnatsfuta pesa tu au mko serious na swala la vipaji. Kama mko makini mnaletaje mamburura kama majaji, M J hajui mziki kabisaa shilole ndiyo usiseme. Acheni ufala mnaua vipaji mbwa ninyi
@robertadrian2559
Жыл бұрын
Sikia hili senge eti MJ hajui mziki
right elbow ya koti la masterJ sijaelewa au ndioo style @5:32
Master j umbwaaa tu sasa yeye kama jugde hio ni ki2 anaweza ongelea on camera really?? Thats how chuki inaenea kwa wasanii umbwa master j
Shilole bwanaa😂😂😂
Nice but majudge wanabid wawe flexible na sio static
Hii tabia ya shishi kukatiz mtu hajamalix kuimba sio nzur..
Sangwilo sang very well,what's the issue with these judges.
Eti shilole nae jaj EB achen utan
I think someone who knows sings we hear them in their voice but you watch them in their performances I don't know what you are watching judging them
Kitu emmy amezungumza ni ukweli bado tuko nyuma sana and we still need judges proffesional mtu kua kwenye game for long haimfanyi awe judge mzuri...i hate the fact mtu anakosolewa ety kisa kaimba kiingereza ni upuuzi tu bss now is booooring😏😏😏
Naombeni sauti zetu viewers zisikike please... Shilole tatizo alafu swala la lugha... Sijaona kama Kuna tatizo mtu akiimba kingerezaa ila Cha msingi judges waangalie kipaji Cha mtu ila shilole hapanaa
Jamani Shilole mziki kaujulia wapi kuweni sirius jamani
Acha niseme ukweli kuimba luggage ya kizungu haimanishi kua yuko juu hii ni mashindano na mashindano haiangalii yaimba luggage gani mtazami nikuangalia kua yuko off keys ama sauti zake pengine hajui kuzirekebisha
Bora wangempa ata lady jaydee kuwa judge shirole
Pia master j kiukweli huyo Bruce elias niwaz una mchukia toka season iliyopita acha chuki binafsi
@fedrickshiuga6180
Жыл бұрын
Bruce me mwenyewe naona anapendwa tu ila kuimba hamna kitu
@robertadrian2559
Жыл бұрын
@@fedrickshiuga6180 WE SI FALA NDO MAANA
Theofilee wa motooo
@wizzykada9850
Жыл бұрын
Iyo nyimbo Katimba inaitwaje
Msipangie mtu lugha ya kuimba, nyie mjudge uimbaji tu
Shishi usije Tena hp ujui ujaji ww pumbavu
Apo kwa shilole bora ata mngempa mwanangu sasa GiGy Money😂😂😂
@rehemaothman2475
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Shilole hafai kua jaji
@sarahgaula2220
Жыл бұрын
Kabisa
Hawa wakenya kwa kulalamika dah😂😂. Mnapenda nyimbo za kibongo, tuambie ni muimbaji gani wa bongo maarufu anaimbaga kiingereza. Hawa majaji wako sahihi, lazima uangalie audience wanaokusikiliza na uimbe wanachokielewa. Na mziki wa bongo unapendwa kwa sababu tunaimba kiswahili. Hatusemi mtu asiimbe kiingereza, ila angalia audience.
Analinga Sana uyu dada hata msim wa
Da shishi wewe nakukubali kama mjasili sana na mwanamke wa nguvu.but kwa apa mimi sioni kua unafaa kukaa apo.sorry
Huyo teophili ninoma sana
Yani 😂Master J na Salama ndo wanafanya naipenda BSS mpk leo..BSS imeanza kuchangamka sasaa
Pia kwani tunacho taka kuona kwa mtu nikipajo au tunataka tuone choic of song l don't like for master j Kama mtu anakipaji anakipajia acha aimbe kwa namna anavyo weza
Master j ni mnafiki kwani bss inafuatiliwa na wa Tanzania pekee?
Shishi hamna kitu kabisaa hajui lolote kaniboa mnooo
Master j stop confusing people wimbo n wimbo ww judge kaa umeshindwa toka apo c n wimbo ama alitowa shairi wimbo zenyu zinge hit bila mchango y kenyan song dont be sily u are a dad and icone wacha wimbo zenyu zinge hit ivyo bila mchango y wakenya kwenda uko
Hivi shilole mwimbaji wakiwa judge au mfanyabiashara?
Wimbo uliochagua umepooza hauchangamshi jitahidi uimbe nyimbo za kuchangamsha
🤸🤸🤸🤸
Mpaka mnanichosha kwenye 'ra' mnaweka 'la', na bado hamjirekebishi
Shilole anabwekaga 2 ajui kuimba
Mm kiukweli s shabiki wa mziki ila kitendo Cha Mr jay kuka na shilole eti wakijaji n kumdhalilisha kabisa Maana Hawa n levo tofauti