BSS 2022 S13EP02 FULL SHOW

Ойын-сауық

Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 13 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search All Star
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz

Пікірлер: 192

  • @alimajaliwa6049
    @alimajaliwa6049 Жыл бұрын

    Master show ni kubwa sio ya Tanzania tu..Acha kuangalia watu wenye wako kwa show tu.sisi tunafatilia kwa mbali..from 🇰🇪

  • @benjaminmaryson5580
    @benjaminmaryson5580 Жыл бұрын

    I think these guys are confined into their own. Kenyans love love good music regardless of the language. We are diverse and yes, it's a win.

  • @cynthiaomondi6125
    @cynthiaomondi6125 Жыл бұрын

    Asangwile sang so well, I am Kenyan and I enjoyed his performance, the essence of one being a star is to be diverse and captivate all corners. I do not buy Master J's notion of the participants singing only in Tanzanian dialect that is so limiting. Many participants have sung so well, remember this is not just a Tanzanian show, so the judges really need to get out of that cacoon and allow participants explore. Music is music, let us be diverse and embrace all genres!

  • @andrewwandera186
    @andrewwandera186 Жыл бұрын

    Nairobi gossip club ndio imenileta hapa!!🤨🤨🤨

  • @kenty101
    @kenty101 Жыл бұрын

    Yeah.. What she said is true.. You guys should judge her voice that's what these competition are for.. Language has nothing to do with it.. Au basi andikeni mkija mje kuimba kiswahili master J saying kwamba kama kuimba kiswahili in Russia.. It is out of point.. Music is one language that everyone understands... We all sing bloody despacito.. Do we even knw what the freakin he'll that is. But the molody the voices mahn.. So y'all judges com on u can do better.. If u wanna crush something because you simply hater or dislike her.. Be bold to say it.. Don't call these people to come sing and disrespect their opinion or choice of songs. .. Shilole.. What vocal range does she have.. Come on.. She is amazing business wise but music wise and I say this respectively.. Shut the hell up.. Still love u but no.. That was rude

  • @sizzlermacheda8255

    @sizzlermacheda8255

    Жыл бұрын

    And that's on PERIOD

  • @elvislangat6464
    @elvislangat6464 Жыл бұрын

    SEMA waTZ mpo vizuri sana napenda kila mtu hapa kwenye bss,afanye vizuri ama vibaya me nkpnda❤️❤️❤️coz I know pia mastar wakubwa pia walianzia chini....hakuna mtu aliamka 2 Leo akasema nataka kuwa star mkubwa no lazima upitie mahali wengine walipitia,uki_fail Leo kesho ni siku never give up in this life polepole ndio mwendo hurry hurry as no blessings lv u TZ🥰🥰🔥🔥

  • @DIANAPHENNY-Kenya
    @DIANAPHENNY-Kenya Жыл бұрын

    Theo is a star. Ata iyo band yake ya yamoto ni moto kabisa. He is a good perfomer, and his voice is unique

  • @beatricewanja6967
    @beatricewanja6967 Жыл бұрын

    It's so sad to see how we Kenya's support this Tz artists yet they can't return the support back

  • @rabekamwanja1747
    @rabekamwanja1747 Жыл бұрын

    Naipenda bss♥️♥️♥️

  • @mumyhendry2919
    @mumyhendry2919 Жыл бұрын

    Yaan ukitaka kujua km kitu ni kizur soma comment kwanza you'll not lose your MB

  • @hansmosses9422
    @hansmosses9422 Жыл бұрын

    Dada alieimba helo 😅😅 kaona awachane tu... kwamba Bss wako local

  • @robsondalink6206

    @robsondalink6206

    Жыл бұрын

    Aimba english na shilole ata hajui huon kam ni mateso kwa judge shilole😂😂😂

  • @lucialeonard2675

    @lucialeonard2675

    Жыл бұрын

    Alichosema kinamaana kwel na nimempenda

  • @housnayousif780

    @housnayousif780

    Жыл бұрын

    @@robsondalink6206 🤣🤣🤣🤣🤣🤣kuna kaukwel ndan yake

  • @nzeyimanaabdallah131

    @nzeyimanaabdallah131

    Жыл бұрын

    Uvumilivu ulimshinda 😅

  • @ngwacahnyagwaswa9979
    @ngwacahnyagwaswa9979 Жыл бұрын

    Jaman Bruce black beauty na Dimpoz zake so cute am your Fan umeimba vzr

  • @SADEE._

    @SADEE._

    Жыл бұрын

    Hivi beautiful hutumikaga hata kwa wanaume me sijui 😂

  • @asmahassan5661

    @asmahassan5661

    Жыл бұрын

    @@SADEE._ ndio my

  • @MoyiSanJose-eg1nr
    @MoyiSanJose-eg1nr3 ай бұрын

    "Lakini nawahakikishieni mnaenda kutoka na mawimbo yenyu mabovu.''😂😂😂Master unamaliza sana, we mkali kweli.

  • @mrishomkolela4633
    @mrishomkolela4633 Жыл бұрын

    Sioni kama shilole anafaa KUWA jaji Hana hekima, maarifa, na kutoa maamuz yatayomtia moyo mtu, bt Barnaba big up

  • @chakuboyofficial9720

    @chakuboyofficial9720

    Жыл бұрын

    Naku Bali shilole ajuwi ku jaji kabisa 💯💯

  • @SpizesMuzik

    @SpizesMuzik

    Жыл бұрын

    Ukweli

  • @ngwacahnyagwaswa9979

    @ngwacahnyagwaswa9979

    Жыл бұрын

    Yaan hajapewa chance ya kuongea yeye anakurupuka

  • @SADEE._

    @SADEE._

    Жыл бұрын

    Ye mwenyewe kuimba hajui ndo atajua kujaji ao anao wajaji wanaimba kuliko hata yeye

  • @beautyibrahim8428

    @beautyibrahim8428

    Жыл бұрын

    Sijui ata waliangalia vigezo gan wakamuweka shishi

  • @mbelecibarbia7271
    @mbelecibarbia7271 Жыл бұрын

    Habari yenu mimi ninawafatilia sana kwa nini munakataza wasanii kuimba kingereza na kipindi ninyi munaongea kengreza?

  • @abujhene254
    @abujhene254 Жыл бұрын

    This master J WILL FOREVER BE LOCAL

  • @amandasamba1287
    @amandasamba1287 Жыл бұрын

    Ingependeza sana kama wanapo jitambulisha waseme social media names zao na watangaze nyimbo ambazo wameimba so far .

  • @kitunganolwebo7570
    @kitunganolwebo7570 Жыл бұрын

    Tatizo mnakawiya sana ku UpLoad maana kipindi hichi kina siku nyingi

  • @Momo_96

    @Momo_96

    Жыл бұрын

    Waambie Waige Hata BGT Na AGT Wanavyo Upload On Time Wanabore😏😏

  • @kitunganolwebo7570

    @kitunganolwebo7570

    Жыл бұрын

    Habari imewafikiya 👍

  • @moviekaa
    @moviekaa Жыл бұрын

    Dah kweli kila mtu na shughuli yake!! mtu anaimba vizuri majaji wanamkataa!!.....

  • @Raphael99
    @Raphael99 Жыл бұрын

    Shishi food buree😆😆😆😆😆😆

  • @andersonnyonyi3859
    @andersonnyonyi3859 Жыл бұрын

    Majaji wafungue BSS wasiangalie uimbaji unaojikita Tanzania tu, let it be a great forum for talents at global level, mtoe mtu Kwa vigezo vya kipaji

  • @KeiboChampion
    @KeiboChampion Жыл бұрын

    Master J hata Kenya wana hit song don't disregard persons just because they sing Kenyan songs or international we are competing the world ....

  • @brymoh0422
    @brymoh0422 Жыл бұрын

    Iko sawa

  • @johnco8756
    @johnco8756 Жыл бұрын

    Judging according to language is unfair as long as they want all of africa to watch this

  • @Assah_732
    @Assah_732 Жыл бұрын

    It's high time we need music professional to judge people not just watu maarufu. Sielewi kabisa vitu anavyoongea Shilole.

  • @janeatieno9423
    @janeatieno9423 Жыл бұрын

    Asangwile sang so well... Aliimba nyimbo nzuri sana la Kikenya

  • @elliyawilliam2521
    @elliyawilliam2521 Жыл бұрын

    Bruce elias jitaid uwe una chagua nyimbo nzuri hiyo ulio imba ume zingua kweli mbona una jua afu una chagua nyimbo mbovu badilika kulingana na nyakati

  • @justinekahindo2083
    @justinekahindo2083 Жыл бұрын

    Brus nakupendaka sana

  • @SADEE._
    @SADEE._ Жыл бұрын

    Yan shishi hata akiwa seriously bado utasema anafanya utani

  • @catherinemasiga6666
    @catherinemasiga6666 Жыл бұрын

    Kweli kaimba vibaya

  • @latipharamadhani7576
    @latipharamadhani7576 Жыл бұрын

    Sababu ya kumchukua shilole kuwepo hapo kujaji vipaji sion Kama anajua kuusu maswala ya muziki sijapenda kozi sioni talent ya music kwa shilole pia ajui kuimba Wala ajui mwimbaji mzuri yukoje ninacho hona yeye anasikiliza midundo nansio uimbaj

  • @aishakimaro9758
    @aishakimaro9758 Жыл бұрын

    Shishi wew mwenyewe hujui kuimba

  • @sarahgaula2220

    @sarahgaula2220

    Жыл бұрын

    Hata sijui wamemletea nini ?

  • @janeatieno9423
    @janeatieno9423 Жыл бұрын

    Waaimbaji wa master leo wameimba vibaya sana

  • @restitutatarimo4943
    @restitutatarimo4943 Жыл бұрын

    Shishi yeye mwenyewe kuimba hajui sasa sijui kawaje jaji sijapenda anavyojaji watu hata kama mtu hana voko mpe moyo tu basi

  • @rehemaothman2475

    @rehemaothman2475

    Жыл бұрын

    😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @catherinemasiga6666
    @catherinemasiga6666 Жыл бұрын

    Ashura bado jamani

  • @jimmymeshack8725
    @jimmymeshack8725 Жыл бұрын

    Huyu mama ntilie kafwata nini hapo 😅

  • @rehemaothman2475

    @rehemaothman2475

    Жыл бұрын

    😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣Huja wahi kumuelewa au

  • @mamafaty6190
    @mamafaty6190 Жыл бұрын

    Muwe mnaweka full kama iv na sio vipande vipande

  • @Nezia_Simulizi
    @Nezia_Simulizi Жыл бұрын

    Shishi anazingua sana😆😆😆

  • @catherinemasiga6666
    @catherinemasiga6666 Жыл бұрын

    Yamoto umetisha safiii

  • @emmanuelmlyuka5321
    @emmanuelmlyuka5321 Жыл бұрын

    Hivi mwaka hii amma bss

  • @ibrahimamani3352
    @ibrahimamani3352 Жыл бұрын

    Shilole miyeyushooooo

  • @msauzbusiness558
    @msauzbusiness558 Жыл бұрын

    Mko vizur xn 💪

  • @ezirabatu2734
    @ezirabatu2734 Жыл бұрын

    Niliwamic sanaaa

  • @sarahmavura2617
    @sarahmavura2617 Жыл бұрын

    Yani ana comment shilole mm napata aibu mimi

  • @westcijosh
    @westcijosh Жыл бұрын

    Bongo star search ya saiv imefanyika kimya kimya sana au imeisha m ndio sjui?

  • @robertadrian2559
    @robertadrian2559 Жыл бұрын

    Ila we master jay na wewe msenge msenge sana sana lugha wanyokoooo

  • @ufundi_tz
    @ufundi_tz Жыл бұрын

    BARNABA the Best Judge big Up...!!!

  • @jumakalinga4422
    @jumakalinga4422 Жыл бұрын

    Brus anaweza ira nyimbo anazo chagua zinamuangusha

  • @wyckiewicked219
    @wyckiewicked219 Жыл бұрын

    Master Jay ni judge namtambua sana. Lakini kusema nyimbo za Kenya hazifai Bongo star search ni makosa. ni yetu sote haswa sisi tunaojua kiswahili

  • @stephenndilla1162
    @stephenndilla116211 ай бұрын

    💖💖😗

  • @ioanalexandrucuza3748
    @ioanalexandrucuza3748 Жыл бұрын

    🤗🤗🤗✌️🍀✌️🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @afyandogo
    @afyandogo Жыл бұрын

    Bruce Elias 🙌🏾

  • @victorjoseph3898
    @victorjoseph3898 Жыл бұрын

    Wanajudge kuhusu uwezo wa kuimba au aina ya nyimbo za kuimba inaonesha wako kwa ajili ya kupromote local songs na sio kuimprove uwezo wao wa kuimba

  • @eliasbihemo2425
    @eliasbihemo2425 Жыл бұрын

    Hamjui nyie majudge kujudge,, ebu token hapa asangwile kaimba vzr

  • @rehemaothman2475

    @rehemaothman2475

    Жыл бұрын

    😅🤣🤣🤣🤣🤣

  • @christinembeye5489
    @christinembeye5489 Жыл бұрын

    Theophile to the TOP💯✔

  • @sarahgaula2220
    @sarahgaula2220 Жыл бұрын

    Huyu shilole wangemtoa kuwa judge

  • @jacquesmulalirya1704
    @jacquesmulalirya1704 Жыл бұрын

    Guitar iko sawa bro kuja 🇨🇩 uneza pata nafasi

  • @paschalcleophace5677
    @paschalcleophace5677 Жыл бұрын

    Ivi ni simu yangu au nn make kuna vipande sauti inakata

  • @josephlwagi9370
    @josephlwagi9370 Жыл бұрын

    Cku nyengine msimuweke shishi hafai

  • @therealcedo193
    @therealcedo193 Жыл бұрын

    Funny how Tanzania are jealous of us 🇰🇪😂

  • @inearclassictz1233
    @inearclassictz1233 Жыл бұрын

    Zanael true vocalist

  • @naamanbenzema9227
    @naamanbenzema9227 Жыл бұрын

    Minaali cjui km ndo unvoitwa ila nmeeleweka nakupenda sana.

  • @lonada830

    @lonada830

    8 ай бұрын

    Anaitwa MEENA ALLY NAMPENDA SANA

  • @elizabethmwikali7341
    @elizabethmwikali7341 Жыл бұрын

    Iyo nyimbo ya nani

  • @momylaviel
    @momylaviel Жыл бұрын

    Aseeeee bunzari ni kibokoo

  • @bayyomartin7
    @bayyomartin7 Жыл бұрын

    Wakwanzaaa

  • @ilungasalle
    @ilungasalle Жыл бұрын

    Hivi ninyi waandaaji mnatsfuta pesa tu au mko serious na swala la vipaji. Kama mko makini mnaletaje mamburura kama majaji, M J hajui mziki kabisaa shilole ndiyo usiseme. Acheni ufala mnaua vipaji mbwa ninyi

  • @robertadrian2559

    @robertadrian2559

    Жыл бұрын

    Sikia hili senge eti MJ hajui mziki

  • @kasiisomi1821
    @kasiisomi1821 Жыл бұрын

    right elbow ya koti la masterJ sijaelewa au ndioo style @5:32

  • @bakaritsuma2190
    @bakaritsuma2190 Жыл бұрын

    Master j umbwaaa tu sasa yeye kama jugde hio ni ki2 anaweza ongelea on camera really?? Thats how chuki inaenea kwa wasanii umbwa master j

  • @veronicah1357
    @veronicah1357 Жыл бұрын

    Shilole bwanaa😂😂😂

  • @nusrajacob356
    @nusrajacob356 Жыл бұрын

    Nice but majudge wanabid wawe flexible na sio static

  • @hansmosses9422
    @hansmosses9422 Жыл бұрын

    Hii tabia ya shishi kukatiz mtu hajamalix kuimba sio nzur..

  • @lyndahashley9114
    @lyndahashley9114 Жыл бұрын

    Sangwilo sang very well,what's the issue with these judges.

  • @elifurahayona1452
    @elifurahayona1452 Жыл бұрын

    Eti shilole nae jaj EB achen utan

  • @bertrandhorimbereofficiel1815
    @bertrandhorimbereofficiel1815 Жыл бұрын

    I think someone who knows sings we hear them in their voice but you watch them in their performances I don't know what you are watching judging them

  • @kendrickabel7901
    @kendrickabel7901 Жыл бұрын

    Kitu emmy amezungumza ni ukweli bado tuko nyuma sana and we still need judges proffesional mtu kua kwenye game for long haimfanyi awe judge mzuri...i hate the fact mtu anakosolewa ety kisa kaimba kiingereza ni upuuzi tu bss now is booooring😏😏😏

  • @witnesstarimo4399
    @witnesstarimo4399 Жыл бұрын

    Naombeni sauti zetu viewers zisikike please... Shilole tatizo alafu swala la lugha... Sijaona kama Kuna tatizo mtu akiimba kingerezaa ila Cha msingi judges waangalie kipaji Cha mtu ila shilole hapanaa

  • @gospelafricatv
    @gospelafricatv Жыл бұрын

    Jamani Shilole mziki kaujulia wapi kuweni sirius jamani

  • @mziziwabahariahmad980
    @mziziwabahariahmad980 Жыл бұрын

    Acha niseme ukweli kuimba luggage ya kizungu haimanishi kua yuko juu hii ni mashindano na mashindano haiangalii yaimba luggage gani mtazami nikuangalia kua yuko off keys ama sauti zake pengine hajui kuzirekebisha

  • @domykimata5768
    @domykimata5768 Жыл бұрын

    Bora wangempa ata lady jaydee kuwa judge shirole

  • @elliyawilliam2521
    @elliyawilliam2521 Жыл бұрын

    Pia master j kiukweli huyo Bruce elias niwaz una mchukia toka season iliyopita acha chuki binafsi

  • @fedrickshiuga6180

    @fedrickshiuga6180

    Жыл бұрын

    Bruce me mwenyewe naona anapendwa tu ila kuimba hamna kitu

  • @robertadrian2559

    @robertadrian2559

    Жыл бұрын

    @@fedrickshiuga6180 WE SI FALA NDO MAANA

  • @saidmabanga388
    @saidmabanga388 Жыл бұрын

    Theofilee wa motooo

  • @wizzykada9850

    @wizzykada9850

    Жыл бұрын

    Iyo nyimbo Katimba inaitwaje

  • @eliasbihemo2425
    @eliasbihemo2425 Жыл бұрын

    Msipangie mtu lugha ya kuimba, nyie mjudge uimbaji tu

  • @nishaabdula5015
    @nishaabdula5015 Жыл бұрын

    Shishi usije Tena hp ujui ujaji ww pumbavu

  • @robsondalink6206
    @robsondalink6206 Жыл бұрын

    Apo kwa shilole bora ata mngempa mwanangu sasa GiGy Money😂😂😂

  • @rehemaothman2475

    @rehemaothman2475

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @alinejeremaih1146
    @alinejeremaih1146 Жыл бұрын

    Shilole hafai kua jaji

  • @sarahgaula2220

    @sarahgaula2220

    Жыл бұрын

    Kabisa

  • @user-gv5ne8ps5x
    @user-gv5ne8ps5x7 ай бұрын

    Hawa wakenya kwa kulalamika dah😂😂. Mnapenda nyimbo za kibongo, tuambie ni muimbaji gani wa bongo maarufu anaimbaga kiingereza. Hawa majaji wako sahihi, lazima uangalie audience wanaokusikiliza na uimbe wanachokielewa. Na mziki wa bongo unapendwa kwa sababu tunaimba kiswahili. Hatusemi mtu asiimbe kiingereza, ila angalia audience.

  • @aishaaisha5466
    @aishaaisha5466 Жыл бұрын

    Analinga Sana uyu dada hata msim wa

  • @BrightonLucky8
    @BrightonLucky8 Жыл бұрын

    Da shishi wewe nakukubali kama mjasili sana na mwanamke wa nguvu.but kwa apa mimi sioni kua unafaa kukaa apo.sorry

  • @jumakalinga4422
    @jumakalinga4422 Жыл бұрын

    Huyo teophili ninoma sana

  • @alphahappy3501
    @alphahappy3501 Жыл бұрын

    Yani 😂Master J na Salama ndo wanafanya naipenda BSS mpk leo..BSS imeanza kuchangamka sasaa

  • @latipharamadhani7576
    @latipharamadhani7576 Жыл бұрын

    Pia kwani tunacho taka kuona kwa mtu nikipajo au tunataka tuone choic of song l don't like for master j Kama mtu anakipaji anakipajia acha aimbe kwa namna anavyo weza

  • @godefreyamos3408
    @godefreyamos3408 Жыл бұрын

    Master j ni mnafiki kwani bss inafuatiliwa na wa Tanzania pekee?

  • @alicebanele1196
    @alicebanele1196 Жыл бұрын

    Shishi hamna kitu kabisaa hajui lolote kaniboa mnooo

  • @yvonnealusa5300
    @yvonnealusa5300 Жыл бұрын

    Master j stop confusing people wimbo n wimbo ww judge kaa umeshindwa toka apo c n wimbo ama alitowa shairi wimbo zenyu zinge hit bila mchango y kenyan song dont be sily u are a dad and icone wacha wimbo zenyu zinge hit ivyo bila mchango y wakenya kwenda uko

  • @mariebakari6692
    @mariebakari6692 Жыл бұрын

    Hivi shilole mwimbaji wakiwa judge au mfanyabiashara?

  • @catherinemasiga6666
    @catherinemasiga6666 Жыл бұрын

    Wimbo uliochagua umepooza hauchangamshi jitahidi uimbe nyimbo za kuchangamsha

  • @penuelyolotu7113
    @penuelyolotu7113 Жыл бұрын

    🤸🤸🤸🤸

  • @attiyakhalfan8027
    @attiyakhalfan8027 Жыл бұрын

    Mpaka mnanichosha kwenye 'ra' mnaweka 'la', na bado hamjirekebishi

  • @GloryKimambo-hf2nv
    @GloryKimambo-hf2nv8 ай бұрын

    Shilole anabwekaga 2 ajui kuimba

  • @haidarufarhan7822
    @haidarufarhan7822 Жыл бұрын

    Mm kiukweli s shabiki wa mziki ila kitendo Cha Mr jay kuka na shilole eti wakijaji n kumdhalilisha kabisa Maana Hawa n levo tofauti

Келесі