Idris sultan ni bonge la host.kama na wewe unamkubali idris sultan tupia like
@yahayyahay6773
4 жыл бұрын
Namkubali wallah
@limonsanga5071
4 жыл бұрын
yupo pouw
@chancesebirema8154
4 жыл бұрын
Limon Sanga ik
@prityhawanurdiny8237
Ай бұрын
Namkubal sana
@edmundsama604 жыл бұрын
duly unazingua salama ni best judge duly unaharibu show punguza kiherehere
@suleimanhaji7410
4 жыл бұрын
edmund sama p0p0
@MM-dj7tn4 жыл бұрын
Finally the episodes are on KZread!
@florachrist96024 жыл бұрын
Nyieee jmn aliyeimba siteketeiiii kaimb vzr😘😘😘😘😙😙😍yaan ana sauti
@catherine93434 жыл бұрын
Idris you so loving 🥰.....who else thinks so?!
@barakakibebeti45284 жыл бұрын
Majaji kazi yenu ni kuwaambia washiriki wapi wanakosea na wapi warekebishe! Sio Yes na No tu! Haitoshi! Maana mshiriki anatakiwa kuondoka akijuwa changamoto zilizomfelisha ni zipi! DULI SYKSI ZINGATIA ETHICS ZA KIJAJI SIO KUONGEAONGEA TU WAPE NAFASI MAJAJI WENGINE! (Uko chini ya kiwango Duli)
@slayingtee60444 жыл бұрын
Finally uploaded I've been waiting for a decade😍😂
@djsililaog18204 жыл бұрын
Idris anatoka uwalaza kichwan ndo mana ananyoa kipala gonga like kama nimesema kwel
@hasnaabduly4945
4 жыл бұрын
Kweli
@husnamohammed8199
4 жыл бұрын
Kwani yupo wp salama
@feiyxsal6424 жыл бұрын
Ukiwa unataka arudi Salama Jabir weka like 👇🏾
@priciouslizzy944
4 жыл бұрын
Feiyxsal salama jaman twamtaka salamaaaaa
@priciouslizzy944
4 жыл бұрын
salama jabiri jaman tunaomba awepo hatuon ladha ya judgment salama awepo
@evalumumba3292
4 жыл бұрын
Hasirudi 😂😂😂😂
@salmaruhumba4017
3 жыл бұрын
Hatari mwaka uuuuu🙄🙄🙄🙄🙄😍😍😍
@bushbabytz4 жыл бұрын
Wanaoamini kuwa Dully nae huimbia puani GONGA LIKE HAPA! pia usisahau kupitia channel hii!
@mvungigaming
4 жыл бұрын
Tayari nisha subscribe fanya na kwngu
@princessfathamy9787
4 жыл бұрын
Napenda sana sauti ya dully
@josephduniamulumba5357
4 жыл бұрын
Dully yuko vizuri. Na kubali kipaji chake
@badmanno.1650
6 ай бұрын
Hao majaji wenywewe wanajua na wanasema kuwa wasanii wengi wakubwa wa bongo flavour kinachowabeba ni confidence and not a talented voice.
@karyori694 жыл бұрын
Dully sykes kwenye Kiswahili hamna neno tangia, ni tangu!
@jayomicious4 жыл бұрын
Following my favourite BSS from 254 mombasa
@NEXTtz4 жыл бұрын
Kama umeona dully hawez kujaj na anazingua gonga like
@evalumumba3292
4 жыл бұрын
Mjinga sana anaweza dully
@zedekiasamara17834 жыл бұрын
Leonard Sunday ni Package ilokamilika, the fact kwamba he can play a piano, guitar na bado akaimba just as well makes him way ahead of the competition
@ronaldmosha43384 жыл бұрын
Uyu alieimba wimbo wa lad jayde siri yangu....anaitwa nan....kaimba vizuriiii sanaaaaa
@abdallahissa41724 жыл бұрын
,,Uzuri wako nahisiwa me vibaya,,,,kam umeickia hio gonga like .
@nyamogafamily42624 жыл бұрын
Salama njooooh🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️Mashabiki twakuita Hadi sauti ya mwisho njoooo salama wangu
haiwezi kabisa imepoa sana huyo #dully mtoweni bhana ahgha...
@Abby-jp6ue4 жыл бұрын
The 3rd guy Kani maliza wallah😂😂😂😂😂 alahandroooo
@muury97234 жыл бұрын
Mbona mnachekacheka hovyo hamuon American got talents ilivyo hawakenuwi hovyo hovyo bhna kua mnaangalia ata zile mnapata experience
@gracejuma388
4 жыл бұрын
Namna wanavyo judge watu mi cjafurahia kwa sababu haimtii moyo MTU kuendelea kushiriki
@pendoniima7840
4 жыл бұрын
yaani ovyoo kabisa wanaua confidence za washikiri wengi hawaasikilizi ni kuwacheka huyu Dully sijui katokea wap hajui jinsi yakujaji kabisa anashobokea madada ovyoo! Naangaliaga sanaa British got talent ,X factor na Agt majaji wanasikiliza washirik wakikosea saa nyingne wanakuwa very emotional nakuwatia moyo..
@iddikogo49874 жыл бұрын
Hawa judges nyoko sana,hawapeani muda kwa msanii kuimba aka feel ameimba,kwa mfano kuna sehemu msanii anapandisha sauti na sehemu ana shukisha sauti ili sound ionekane imetoka perfect so hata MTU ajamaliza ndio anaanza kuimba tayari judge anamkosea,this shows judges hawana experience za kujua muziki.
@Ammoola4 жыл бұрын
The third guy is funny af 😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@jacklinejonas50963 жыл бұрын
Ebenezaaaa.... 😍😍😍...... Leonard... 😘😘😘😘💖
@sweetyjanne2554 жыл бұрын
Dully Anavyowazodoa Wenzie Hawajui Utadhani Yeye Anaimbaga Vyakueleweka Mxiewww
@zainabhakizimana6990
4 жыл бұрын
Shikile na nyamiz😂😂
@blackpanther4825
4 жыл бұрын
Ni matako. Ndo zake. Huku Dar hatumpendi basi tu. Anajifanya mjuaji sana na eti legend. Matako yake
@julietgunga391
4 жыл бұрын
dully unani furahisha nacheka hadi basi juliet am watching from dubai
@marym86594 жыл бұрын
Ebenezer you killing it🔥🔥
@sarrybae7047
4 жыл бұрын
On 🔥
@husnavuhai84
4 жыл бұрын
Mary M dury unaboa kwakweli.
@lau_attitude88104 жыл бұрын
Dully I love you.you are the best
@jacquesprimayele6944 жыл бұрын
Thx
@NonoNono-qp3zu4 жыл бұрын
Mikoa mingine mjipange tena mjipange hivo visu vilivyochukuliwa arusha mhhh sijui kama mtavipindua🤔🤔
@godwinmbekelu69524 жыл бұрын
Dully, baki professional, inakaa bado uko na mchezo sana kwenye kitu serious, in my view..
@veronicanyakire98074 жыл бұрын
Mwambieni Dully apunguze kiherehere maana yeye siyo jaji mkuu na siyo master J. Anaboa sana aiseeeh kujifanya mjuaji kupitilizaaaaaa!!
@tausingomeni25684 жыл бұрын
Huy dully misifa hafai, tunamtak salama jabir, sisi watazamaji😂😂
@zubedazawadi5429
4 жыл бұрын
kabisaa
@jonsonpoolsanga1258
4 жыл бұрын
Tausi Ngomeni san
@gracemushi1283
4 жыл бұрын
Anaongea mnooooo
@tausingomeni2568
4 жыл бұрын
@@gracemushi1283 umeona eeh, kila kitu anajua yy
@lau_attitude8810
4 жыл бұрын
Fully is the best cause he speaks his mind...salama Ana huruma nyingi...as a judge hufai kuleta feelings want w judgement
@lightnessmmanda34764 жыл бұрын
Dully anakera anaboa na kiherehere vyote yeye khaaaa
@romzget18924 жыл бұрын
ey jaman there any 1 else like me hear someone sing August Alsina - Benediction💪💪💪😍✊😜😂💪😍 uyu jmaa nimemkubali zaid ya OG August Alsina - Benediction
@dorisndossi47344 жыл бұрын
Ebeneza I love you budda please reply with love
@eliaspunga19974 жыл бұрын
Daaaaa Ebenezer we mkali naamini we ndo mshindi
@eliaspunga1997
4 жыл бұрын
Tisha sana
@wizonqao49814 жыл бұрын
Aliyeimba msaliti ya bella na aliyeimba remember ya dube nimependa sanaaa walivyoimbaaaaa.
@lucyelia1601
4 жыл бұрын
Tupo pamoja wametisha
@waukweelinikkon65554 жыл бұрын
Dully anaharibu sana Hiyo shoo,Siyo Kwa kiherehere hicho mpk anaboa
@calvinantaely63504 жыл бұрын
Ebenshoo big up brooo
@maryangela1074 жыл бұрын
Madamu Rita umefanana na mama angu nakupenda sanaa siku nikikuona nakukisi kwenye shafu nakuitaa maamaa
duly siyo jaji, anazingua watu wamelala apo analeta masiara, bora salama anasemaga ukweli, unatoa yes sehem ambayo adi wenzio wanaduwaaaa,
@maryseriah1574 жыл бұрын
Bss a town lazima atoke mshind wa kwanza au wa pili hapo tu washanchanganya majaji sio master na riter na dully tu mie mwenyewe jaji for sure Ebenezer na Huyo aliueimba kwa kinanda wakifatana big up hawabani pua wala nini wanajiamini kinoma noma
Пікірлер: 920
Idris sultan ni bonge la host.kama na wewe unamkubali idris sultan tupia like
@yahayyahay6773
4 жыл бұрын
Namkubali wallah
@limonsanga5071
4 жыл бұрын
yupo pouw
@chancesebirema8154
4 жыл бұрын
Limon Sanga ik
@prityhawanurdiny8237
Ай бұрын
Namkubal sana
duly unazingua salama ni best judge duly unaharibu show punguza kiherehere
@suleimanhaji7410
4 жыл бұрын
edmund sama p0p0
Finally the episodes are on KZread!
Nyieee jmn aliyeimba siteketeiiii kaimb vzr😘😘😘😘😙😙😍yaan ana sauti
Idris you so loving 🥰.....who else thinks so?!
Majaji kazi yenu ni kuwaambia washiriki wapi wanakosea na wapi warekebishe! Sio Yes na No tu! Haitoshi! Maana mshiriki anatakiwa kuondoka akijuwa changamoto zilizomfelisha ni zipi! DULI SYKSI ZINGATIA ETHICS ZA KIJAJI SIO KUONGEAONGEA TU WAPE NAFASI MAJAJI WENGINE! (Uko chini ya kiwango Duli)
Finally uploaded I've been waiting for a decade😍😂
Idris anatoka uwalaza kichwan ndo mana ananyoa kipala gonga like kama nimesema kwel
@hasnaabduly4945
4 жыл бұрын
Kweli
@husnamohammed8199
4 жыл бұрын
Kwani yupo wp salama
Ukiwa unataka arudi Salama Jabir weka like 👇🏾
@priciouslizzy944
4 жыл бұрын
Feiyxsal salama jaman twamtaka salamaaaaa
@priciouslizzy944
4 жыл бұрын
salama jabiri jaman tunaomba awepo hatuon ladha ya judgment salama awepo
@evalumumba3292
4 жыл бұрын
Hasirudi 😂😂😂😂
@salmaruhumba4017
3 жыл бұрын
Hatari mwaka uuuuu🙄🙄🙄🙄🙄😍😍😍
Wanaoamini kuwa Dully nae huimbia puani GONGA LIKE HAPA! pia usisahau kupitia channel hii!
@mvungigaming
4 жыл бұрын
Tayari nisha subscribe fanya na kwngu
@princessfathamy9787
4 жыл бұрын
Napenda sana sauti ya dully
@josephduniamulumba5357
4 жыл бұрын
Dully yuko vizuri. Na kubali kipaji chake
@badmanno.1650
6 ай бұрын
Hao majaji wenywewe wanajua na wanasema kuwa wasanii wengi wakubwa wa bongo flavour kinachowabeba ni confidence and not a talented voice.
Dully sykes kwenye Kiswahili hamna neno tangia, ni tangu!
Following my favourite BSS from 254 mombasa
Kama umeona dully hawez kujaj na anazingua gonga like
@evalumumba3292
4 жыл бұрын
Mjinga sana anaweza dully
Leonard Sunday ni Package ilokamilika, the fact kwamba he can play a piano, guitar na bado akaimba just as well makes him way ahead of the competition
Uyu alieimba wimbo wa lad jayde siri yangu....anaitwa nan....kaimba vizuriiii sanaaaaa
,,Uzuri wako nahisiwa me vibaya,,,,kam umeickia hio gonga like .
Salama njooooh🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️🗣️Mashabiki twakuita Hadi sauti ya mwisho njoooo salama wangu
@wardatemba8647
4 жыл бұрын
Aje jaman
@khalidngwembele9075
4 жыл бұрын
Ww had huku
@nyamogafamily4262
4 жыл бұрын
@@khalidngwembele9075 Ndiyo bando linanitembeza
@khalidngwembele9075
4 жыл бұрын
@@nyamogafamily4262 ntakupa taraka dadeq zako khaaaaa😂😂
@nyamogafamily4262
4 жыл бұрын
@@khalidngwembele9075 🤣🤣🤣Bora nipe Niwe huru,maana najibana kweli ,toka Niwe kwenye mabano( ) hata akili haifanyi kazi
Team Ebenezer
Daah uyo dogo anaitwa ebeneza daah anajua saana
Alehandroooooo mko wapi mujeeeee majanaba weweeeeeeeh fans wa majanaba mko wapi hakutaka hata mtu amjudge😎😌😌😌
@suleimanbuchillu9188
4 жыл бұрын
Zulfa Msham nimemkubali sana
@tukusanyarodrick1147
4 жыл бұрын
Hahaa
@drinozzsamson8676
4 жыл бұрын
Zulfa Msham h
Dully unaboa unaongea sanaa unamnyima masterJ nafas yakuongea
We need salama back thats it🖐🏿 wdout salama bss is nat fun at ol
@Thebeast-uk9tv
4 жыл бұрын
Ebenezer bora angekuwepo mikoa yote jamaa ni fungus
@princessemmy2347
4 жыл бұрын
Just right
kama umemuelewa mshiriki namba 107 gonga like
Dully Ana zingua Kama umeona gonga like Hap
Km unawasiwasi n Idrisa sulutn .juu y kukumbatia dada zetu wa arush Gonga like 🙌
@mariammsangi4374
4 жыл бұрын
😃😃😃😃
Dull unaonekana umekera watu wengi sana pitia comment 😀
@yahayyahay6773
4 жыл бұрын
Sana mimi pia kaniuzi
Anaeujua wimbo alioimba mshiriki wa Mwisho Arusha ...... Leonard Sunday.... He is you My love anitajie aloimba Jaman
Dulisex anapenda vimwana mpka anashindwa kutowa no kama tuko p1 gonga like yako hapa
Kama umefurahishwa na Majanaba gonga like hapa
waoooh ebeneza
Ebenezer wa live band u kill it bro. Bss winner 2019 kwangu
@arahmantvonline
4 жыл бұрын
Nakubali 100%
@nuranzubail8134
4 жыл бұрын
Kama vile nakuunga mkono he is best
Dully Una kiherere kibaya saana
@rishardisanga8750
4 жыл бұрын
😹😹😹
@jacklinejonas5096
3 жыл бұрын
😂😂😂😂😁😁😁
jaman tunapenda kuangalia isipokuwa king,amuzi cha azam Chanel zote hazionyeshi chonde ludin ITV ili na ss tuwaone
Huyu Ebenezer lazima awakaushe damu season hii...khaa!!
Waliomic uwepo wa salama jabit gonga like
Finally its out !!!!!!!
I just love idris..sema Dully anaboa
@muhammadmgeituff3618
4 жыл бұрын
Miss Amney anazinguaaaaa Hatari
Dully anakera mnoo kiherehere mnoo hd anaboaa
@lucaskayinza9748
4 жыл бұрын
ANABOA DULLY NAMCHUKIAAAAA
@fatmaathuman6706
4 жыл бұрын
Hta mm nimeliona ilo
@thaaneyamohamed6143
4 жыл бұрын
Aisha Ramadhan kazidii anajikuta nan cjui
@maryhidja3074
4 жыл бұрын
Yaaani anaboa kinoma 😬😬😬
@mwanaidhussen1325
4 жыл бұрын
yn anakera yey mwnyew hajui kuimba
Ebenezeeeeeeer🙌🏾🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Ebenezer Faraja just prepare ur mindset for the prize acceptance speech.. I’m ur biggest fan already 🔥
@wtnyambizi9876
4 жыл бұрын
hiyo nyimbo aliyoimba mwisho inaitwaje ?
@lovenessmahsen3433
4 жыл бұрын
Benediction
@lovenessmahsen3433
4 жыл бұрын
@@wtnyambizi9876 benediction
@wtnyambizi9876
4 жыл бұрын
@@lovenessmahsen3433 hio ya pili alioimba kwenye final
I need Majanaba in my life 😂😂😂😂😂
@aminasubira6591
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@japharyjuma6309
4 жыл бұрын
Hahahah😃😃
@gracetesha6293
4 жыл бұрын
jamila juma 😂😂😂😂😂
@mtaalamwamambo2099
4 жыл бұрын
Mm ninae Nikuletee
@joycebaraka7132
3 жыл бұрын
😂😂😂😂
Mshiriki namba 107 umetisha🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂
@missangel9870
4 жыл бұрын
Lilian Leonard 😂😂😂😂
Tafadhal jaman bongostarsearch ijayo huyo dully asiwepo, hatumtaki... Bora salama wetu
Ila wana wanajua nimekubaliiiiiiiiii kuna wale wameingia wawili wanajua mbayaaa. Aliyowakubali Dully wanajuaaaaa. Rap kali. Safi ninjaaaaaaz. CHUGA guys salute!!!!
madam nakupenda bureeee
dully mwenyew unaimba vby ht sikupendi acha kuonea wanaume
@roi2554
4 жыл бұрын
Kabisaaa 100%
@kigomakid74
4 жыл бұрын
Kwer kbisa
@monicasalo9205
4 жыл бұрын
Salome Bonifasi kwel Lina sauti. Mbaya
@emmanueljohn3546
3 жыл бұрын
Jmniiiiiii minatak kushiriki ya 2020
haiwezi kabisa imepoa sana huyo #dully mtoweni bhana ahgha...
The 3rd guy Kani maliza wallah😂😂😂😂😂 alahandroooo
Mbona mnachekacheka hovyo hamuon American got talents ilivyo hawakenuwi hovyo hovyo bhna kua mnaangalia ata zile mnapata experience
@gracejuma388
4 жыл бұрын
Namna wanavyo judge watu mi cjafurahia kwa sababu haimtii moyo MTU kuendelea kushiriki
@pendoniima7840
4 жыл бұрын
yaani ovyoo kabisa wanaua confidence za washikiri wengi hawaasikilizi ni kuwacheka huyu Dully sijui katokea wap hajui jinsi yakujaji kabisa anashobokea madada ovyoo! Naangaliaga sanaa British got talent ,X factor na Agt majaji wanasikiliza washirik wakikosea saa nyingne wanakuwa very emotional nakuwatia moyo..
Hawa judges nyoko sana,hawapeani muda kwa msanii kuimba aka feel ameimba,kwa mfano kuna sehemu msanii anapandisha sauti na sehemu ana shukisha sauti ili sound ionekane imetoka perfect so hata MTU ajamaliza ndio anaanza kuimba tayari judge anamkosea,this shows judges hawana experience za kujua muziki.
The third guy is funny af 😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ebenezaaaa.... 😍😍😍...... Leonard... 😘😘😘😘💖
Dully Anavyowazodoa Wenzie Hawajui Utadhani Yeye Anaimbaga Vyakueleweka Mxiewww
@zainabhakizimana6990
4 жыл бұрын
Shikile na nyamiz😂😂
@blackpanther4825
4 жыл бұрын
Ni matako. Ndo zake. Huku Dar hatumpendi basi tu. Anajifanya mjuaji sana na eti legend. Matako yake
@julietgunga391
4 жыл бұрын
dully unani furahisha nacheka hadi basi juliet am watching from dubai
Ebenezer you killing it🔥🔥
@sarrybae7047
4 жыл бұрын
On 🔥
@husnavuhai84
4 жыл бұрын
Mary M dury unaboa kwakweli.
Dully I love you.you are the best
Thx
Mikoa mingine mjipange tena mjipange hivo visu vilivyochukuliwa arusha mhhh sijui kama mtavipindua🤔🤔
Dully, baki professional, inakaa bado uko na mchezo sana kwenye kitu serious, in my view..
Mwambieni Dully apunguze kiherehere maana yeye siyo jaji mkuu na siyo master J. Anaboa sana aiseeeh kujifanya mjuaji kupitilizaaaaaa!!
Huy dully misifa hafai, tunamtak salama jabir, sisi watazamaji😂😂
@zubedazawadi5429
4 жыл бұрын
kabisaa
@jonsonpoolsanga1258
4 жыл бұрын
Tausi Ngomeni san
@gracemushi1283
4 жыл бұрын
Anaongea mnooooo
@tausingomeni2568
4 жыл бұрын
@@gracemushi1283 umeona eeh, kila kitu anajua yy
@lau_attitude8810
4 жыл бұрын
Fully is the best cause he speaks his mind...salama Ana huruma nyingi...as a judge hufai kuleta feelings want w judgement
Dully anakera anaboa na kiherehere vyote yeye khaaaa
ey jaman there any 1 else like me hear someone sing August Alsina - Benediction💪💪💪😍✊😜😂💪😍 uyu jmaa nimemkubali zaid ya OG August Alsina - Benediction
Ebeneza I love you budda please reply with love
Daaaaa Ebenezer we mkali naamini we ndo mshindi
@eliaspunga1997
4 жыл бұрын
Tisha sana
Aliyeimba msaliti ya bella na aliyeimba remember ya dube nimependa sanaaa walivyoimbaaaaa.
@lucyelia1601
4 жыл бұрын
Tupo pamoja wametisha
Dully anaharibu sana Hiyo shoo,Siyo Kwa kiherehere hicho mpk anaboa
Ebenshoo big up brooo
Madamu Rita umefanana na mama angu nakupenda sanaa siku nikikuona nakukisi kwenye shafu nakuitaa maamaa
@adventinakelvin4468
4 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Dully umezidiiiiiii umezidiiiiiii umezidiiiiiii umezidiiiiiii umezidiiiiiii umezidiiiiiii umezidiiiiiii umezidiiiiiii umezidiiiiiii umezidiiiiiii umezidiiiiiii umezidiiiiiii umezidiiiiiii umezidiiiiiii umezidiiiiiii acha na,wengine wa jugde!!!
@vj8313
4 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
duly siyo jaji, anazingua watu wamelala apo analeta masiara, bora salama anasemaga ukweli, unatoa yes sehem ambayo adi wenzio wanaduwaaaa,
Bss a town lazima atoke mshind wa kwanza au wa pili hapo tu washanchanganya majaji sio master na riter na dully tu mie mwenyewe jaji for sure Ebenezer na Huyo aliueimba kwa kinanda wakifatana big up hawabani pua wala nini wanajiamini kinoma noma
Ebenezer mshindi wa bongo star search 2019/2020
@user-nf9cc1hi1t
4 жыл бұрын
huyo kijana ni balaa
@rahmarashid8740
4 жыл бұрын
Jamani mleteni Salama,Dully afai ajui, anaboa sana,anajifanya chief judge
@1mecktz420
4 жыл бұрын
Lol! Definitely dogo anajua
@dorisndossi4734
4 жыл бұрын
Sio balaa kidogo
@sophiajackson5001
4 жыл бұрын
sadick rajabu namimi nimeona bro
Mmmh jaman Salama yuko wap huyu dully anaboa tu apa had stak tena kuangalia bongo star search bora majariba tu apa😁😁😁😁
Angel Bernard anateketea huku 😂😂🙌!! Acheni wimbo upumue.
Majanabaaaa🎤🎤🎤🎤🎤🎤 makubaaaaa
wangapi walio sikia dully ajuwi kingereza kama mm gonga like
Huyu jamaa ana character yake ya kipekee, Ni watu flani wanafaa kwenye movie wana scene zao za kibabe zile za ku complete mision
@racheljaphetic9260
4 жыл бұрын
Idris au?
streaming from KE254 show tamu sana
hahahah jman chuga mna nini asee areeef ,hahahaha nme enjoy sana hiiiii bongo star ya chuganian land,gonga like kama wan chuga ni yenteee areeef
MAJANABA NDIO MKALI WAO
@fainnamvungi4364
4 жыл бұрын
kanichekesha hatar
Mshindi w bss 2019 yuko ktk dakik Ya 38 na sekunde Y 11
Namkubali sana Dully
Duly u are too much talking.....chief judge bring back our salama
Tunaomba Songwe pia mfike.
@elizabethbukuru7714
4 жыл бұрын
Salama jaman wapi nimekumiss
Madam ritha is a lady and a half.... i never expected that hug.... ila idris.... hahahahaha
Turudishieni salama wetu bhana me sijampenda kabisa dlly
@epifaniakiria3298
4 жыл бұрын
Anaboa huyu kka anakera jmn
Dully una kiherehere jaman, mtuletee jembe letu salama Uyo mznguaj
@mgobijrmgobi7364
4 жыл бұрын
Kweli chuga wako fresh ongela zao .
Majanaba ni atari Sanaa,.
ebenezer❤❤❤
@muhammadmgeituff3618
4 жыл бұрын
Eckend Mbela anajua kijana.
@marym8659
4 жыл бұрын
🔥🔥
Madamritta mm naomba host awe idrissa kila mwaka wallah naenjoy sana
Cool ninaangalia toka Ufaransa !
Hyu dully mbna kiherehere sanaa.anaongea sanaa hawapi judge wenzake nafasi.leteni salama jabir salama jabir
Nani kasikia Madam Ritha amemwambia Ebeneza yeye ni Nyoko.. chalii anajua
uyo jamaa aliyeimba mwishon kabisa mwa kipindi namtabiria mema. amna kama yeye aise😘😘😘
leo nimekuw wa 2 naomb like
Namna judges wanavyo-judge washiriki inaonyesha ni kwanini hakuna mshindi wa BSS aliyewahi kufanikiwa'.
@NoName-mm6gh
4 жыл бұрын
JR roasted😭😭😭😭
@devothamwani3137
4 жыл бұрын
Umesema ukweli
Dully ana kiherehere nimemmiss salama
@fatmakiraga4016
4 жыл бұрын
Nafi Gasper umeona kama mimi anaongea sana dully hana makini kabisa kwa judge
@vanradja9896
4 жыл бұрын
Nafi Gasper sana
Wengi wanafit kwa recording (recording artists)! Arusha can really sing😊.
The best mlichofanya ni kumleta idris humu ntacheka season nzima😂😂😂😂😂😂😂😂
Dull mpka unaboa una kiherehere htr