BONGO STAR SEARCH DAILY SHOW ARUSHA MONDAY
Ойын-сауық
Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 12 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Пікірлер: 117
Nimependa mlivoonyesha respect kwa mkongwe mlivyoinuka
Jaman BSS mrudisheni IDRIS SULTAN awe HOST , yule kijana anainoshaga show iwe tamu na yup na creativity za juu Sana
Nilikuwa naomba jamani mfikishe ujumbe kwa majaji washenzi muwaambie Aya maisha tuu wasijione wamefika ,,,,kuwasema watu ,,,,kuwazalau,,,,kuwakalipia watu,,,,,kuwafokea ,,,,sio vizuli wajiitaidi kupunguza ukali wa maneno ,,,mtu kama awez bas mwambie kwa utaratibu kuwa uwez kafanyanye mazoezi au mwambia alichokosea au mwambie mapungufu yake ili afanyie mazoezi ,,,,msingekuwa apo bira awo watu wapumbavu nyie ,,,,,acheni. Zalau izo Kaz za kupita tuu
@enockedward1575
2 жыл бұрын
Kwakweli hadi inakera aisee
@rehemaathuman6669
2 жыл бұрын
@@enockedward1575 watu wanazalauliwa Sana mpka uruma ,,,zote izo ni shida tuu za kutaka kujalibu ,,,,,
@rosephidelis5526
2 жыл бұрын
@@rehemaathuman6669 Umeongea point sana wanajikuta wanakiburi cha uzima wakat haya maisha tu yanakera sana hapo wanalipwa kutokana na hao hao😒
@shijandobehe4953
9 ай бұрын
Ujaji ni kazi pia hata wakikukataa bado hawajavunja ndoto yako
That guy who sung a song by name LUNCH TIME did a great job even though you decided to ignore his voice. That guy was a dope.
@annastaciaafrem3795
2 жыл бұрын
That guy should be given a chance he got energy and vocals hata sijaona hapo Kama yeye,he should be really considered
@wityisaac4973
2 жыл бұрын
Yes the guy did i great job i agreee
@yessekindi4625
2 жыл бұрын
Indeed
Watu wangu wa Chuga nawakubali kinoma! Musikate tamaa. Lakini hao ma judges wengin wanawakatisha tamaa vijana! Huwezi kumwambia mtu kuwa hana sauti ya kuimba na nikijana mdogo tu! Mpe moyo kama anavyowambia mala moja moja Ommy “nenda kafanye mazoezi” Bora umwambie kwamb hajui ataongez bidii akiamini kwamb mwisho wa siku atajua.
@hildakalenga6801
8 ай бұрын
Naomba muwe mnafika na iringa mbona Huwa mnaluka??
ALIE IMBA WIMBO uliomkumbusha master na na madam enzi ajapewa nafasi ya kutathiminiwa anajua
Mnasuport huyo Mzee kalau na hajui kuimba ama ni vile ashajulikana
Amza kalala 💜💜💜🔥
Lita sijui Rita ni kiazi
Best masson nimecheka madamu alivo ishiwa poz
I Love that kaAngel jamani, anakulaga vitu hahahah
Madharau kweli yapo nduniani
@ancelimiangelus2664
2 жыл бұрын
Kwel yapoo ila haoo wasanii vituko sana kzread.info/dash/bejne/fG2ttZZxgNXUlso.html
"OOOOH BEST NASSO...... NAONA UMEUVAAA" AHAHAHAHAHA
Lunch time anajuaaaaaa
MBN wa senorita ameweza jmn majajii
Ivi kwann nmefngua Leo tumefngwa na leo
Jamaa wa Gita Ana juaa
ommy basi tenaa unachekesha sanaaaaa
Ndio nini kumwambia mtu aoge vizuli, ukoroooofi uo madame lita
@ancelimiangelus2664
2 жыл бұрын
Yaan ach tuu kzread.info/dash/bejne/fG2ttZZxgNXUlso.html
yaaani ninyi nivivuruge mnavyo wafanyia washiriki
This guy 0156 ako poa Sana mukitaka mumuskize ako na vocal poa Sana
Me yes
Judges punguzeni makali
Salama. Akikuhoji maswali ujue. Kakupenda
Mkemia mkuu habari yako kaka😂😂
Ukipenda uimbe ata kichaga 😂😂
These judges display the highest order of bias and disgrace .... kindly empower the young legends ... Simple coaching will make best song artist from Africa to the world
KWELI SHIDA YA AJIRA KWA VIJANA WETU NI KUBWA KULIKO INAVYODHAMINIWA....
mwaliii
Mmmmmh hawa majaji hawana lolote ni kukatisha tamaa tu
Unajua hakuna kitu kizuri kama kumtia mtu moyo hata kama sijaweza sio umwambie hajuii Toka ondok. Why usimwambie Kwa utaratibu na ukamwambia wapi kakosea akafanye mazoezi aki sipendezwi ani
Kuna majamaa wattu wamechana watafika mbalii saana
@ancelimiangelus2664
2 жыл бұрын
Kila k2 kupambana kzread.info/dash/bejne/fG2ttZZxgNXUlso.html
Nyie lunch kavimba Nani na inaitwaje nataka nidawnload
Kama English is not your 'fest' language 🤣🤣🤣
Mmmh sasa unaingia harusha Sasa unaingia mara Karibu mwanza Acheni ubabe Arusha
Alieimba sinyorita mbona kaweza
Just the comments for me😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Omy acha kushushua watu eti iyo mdomo umechinja kuku😏😏😏😏😏😏
Jamani omiy
8:40
These Judges hamna kitu wallah smh
Salama mzguaj sana
@ancelimiangelus2664
2 жыл бұрын
Noma snaa kzread.info/dash/bejne/fG2ttZZxgNXUlso.html
@20:19 salama angel unakulaga vitu
ANGLE UNAKULAGA VITU?????? 🤣🤣🤣
25:30 😭🤣😂😅
🤣🤣🤣🤣🤣🤣jamani mbavu zangu mm
Uyoo jamaa kaimba nyimbo yaa kitambo anajua yatawakut y konde nyie
Mwalim jamani
Tanzania mbna tunavunjana sana moyo
Kwani Idris kaenda wapi Jamani????
14:12 hahahahahah
Huyu Rita ana ego fulani hivi. Yaani kama ha-vibe na mtu, anasema hampendi, hata kama yupo vizuri kwenye kuimba au ku-rap.
@ancelimiangelus2664
2 жыл бұрын
Noma sana kzread.info/dash/bejne/fG2ttZZxgNXUlso.html
Ila Ommy 😂😂😂😂 Why mwaka huu hayupo
Madame bwana eti sopika dopika kidogo 😅
Idris yuko wp jmnii
Idrisa sultan yuko wapi
@rosetembe3785
2 жыл бұрын
Hata me simuelewi huyo mina
@rithamsechu7220
2 жыл бұрын
Bora idris
@allanothuman2941
2 жыл бұрын
Yupo kwao...
@lastgospel706
2 жыл бұрын
Hm kitu apw
@mycmeranyswai7957
2 жыл бұрын
Netflix
Majaji Wanadharau Sana🤣🤣🥰
@enockedward1575
2 жыл бұрын
Wanajikuta wanajuaaaaaa
@ancelimiangelus2664
2 жыл бұрын
Duh noma kzread.info/dash/bejne/fG2ttZZxgNXUlso.html
@user-po8hz7xw9j
2 жыл бұрын
@@enockedward1575 hapana wanachoka
Et kutumia maik
😂😂😂😂😂
Fanya kilichokuleta unyanyue 😁😁😁
@ancelimiangelus2664
2 жыл бұрын
Imeisha hiyoooo Fanya yako tembeaa kzread.info/dash/bejne/fG2ttZZxgNXUlso.html
Ila nyie ma judge hamjui sio kwamba mmetimia katika mziki.
@ancelimiangelus2664
2 жыл бұрын
Wanajitahid kuimba kzread.info/dash/bejne/fG2ttZZxgNXUlso.html
😄😄😄
@ancelimiangelus2664
2 жыл бұрын
Kila k2 na wkt wake kzread.info/dash/bejne/fG2ttZZxgNXUlso.html
😂😂😂😂😂ila jmni hpna
@ancelimiangelus2664
2 жыл бұрын
Wanajitahid wanaaa kzread.info/dash/bejne/fG2ttZZxgNXUlso.html
Ommy mpak Ww
Hawa judges needs to learn how to criticize they are so unprofessional
sudi mkari
Majaji wana hasira za mayele
@ancelimiangelus2664
2 жыл бұрын
Nomaaa sanaa kzread.info/dash/bejne/fG2ttZZxgNXUlso.html
Mbona jiji la Tanga hamkuji jamani
@ancelimiangelus2664
2 жыл бұрын
Kuna makelele na rap haoo wngine kelelee kzread.info/dash/bejne/fG2ttZZxgNXUlso.html
Mina Ally is overrated she is not the best. She shouts a lot
Ukijiimbia zako bafuni unajiona unajua kuimbaa nenda ebss sasa ukakutane nacho utakapoambiwa una sautiii mbayaaa🤣🤣🤣
@rashidjoseph2624
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌
😄😄😄😄
@ancelimiangelus2664
2 жыл бұрын
Pinc umefurah snaaa mwenywe kzread.info/dash/bejne/fG2ttZZxgNXUlso.html
@sally-zx1md
2 жыл бұрын
@@ancelimiangelus2664 yeap napenda na mm nina mpango wa kwenda bss
🤣🤣🤣🤣usije kumuimbiya mume wako atakuwa haamkii
@rehemaally9318
2 жыл бұрын
🤣🤣😍😍
@jacquilinenoah949
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
Mxikathe tamjah br mtha thuxua thuuu
😂😂😂
poor judges nkt
Kiukweli naomba mwaka ujao muache dimpoz ananito stress
@ancelimiangelus2664
2 жыл бұрын
Hahahaha aucio kzread.info/dash/bejne/fG2ttZZxgNXUlso.html
Sema salama unavyofanya sio Powah
@westcijosh
2 жыл бұрын
hamna yupo sawa
@rockyvlogs2214
2 жыл бұрын
@@westcijosh yupo sawa asee ,kinachochekesha nikwamba ni mtu anatoka home anajua anajua kuimba ama?
@velokigunga2876
2 жыл бұрын
Dah kwani kafanya nini? Sema anasema ukweli mnataka awadangaye
😂😂😂😂