MSHINDI Wa BSS MESHACK Apiga SHOW Kwa UCHUNGU MBELE ya MADAM RITHA awaomba Watanzania wampokee
Ойын-сауық
#MESHACK
24Hrs UPDATES
.
Official instagram page
@bingoonlinetz
Official number
0674777784
0716671648
#MESHACK
24Hrs UPDATES
.
Official instagram page
@bingoonlinetz
Official number
0674777784
0716671648
Пікірлер: 55
Kijana anakipaji kikubwa, sauti nzuri and a humble looking... Shida ni hizi management.. mtu mlijua anaperfom hamkujiandaa!?, Mara mnaangaika kubadili guitar lake, sijui kumletea kiti ambacho hata hajakitumia...Mara mmbadili mic afu ahangaike mic 🎤 haina sauti... Alafu hayo madude yanayolipuka kuweka waka sijui ya nini... Nyimbo za slow kama hizo zinahitaji utulivu mtu kusikiliza..
Your so talented Meshack! Utafika tu ambapo moyo wako unatamani
Kijana ametisha sana kiukweli ,hongera kaka ....kazi yako nzuri 👊👊👊👍👍👍
Please meshack fanya collabo ma Christian Bella, aslay, Barnaba na alikiba 👌
@fememmethod8209
3 жыл бұрын
Alikiba hawez kutembea na njia za huyo dogo.. hapo Barnaba na Christian Bella ndo wataenda ...yaan itakuw pwaa 😂😂
Dg tatz unalinga fala wew ona saiz mwenzako hamisii hakushinda lakn anajina kukuzidi ata mshindi, maisha ya game hayahitaji kuvimba wew
Bongo maelezo mengi imba sasa utashukuru baadae unatuchosha
Yaani wabongo..yamejazana lakini hata kumtia moyo kijana kwa kumtunza hata kumrushia teni kimya wamechili tu.
Duh!!!Meshack,Ritha lazima akumalizie mzigo wako.
Next success Art with Amazing voice like Marioo 🔥🔥🔥
Bado nakufwata good voice good music iko poa iyo
Meshakh hongera Sana blood
Jamaaa anatisha sana ni anajua balaa
Broo uko vizuri nakukubali mnoo
Nice
Bravo bro big up, welcome in music world
Barikiwa saaana,mm ni shabiki yako saana,,,,,
Mmeona msafi she Jina kwanza kwa mesha alafu mzindue uwo ujinga wenu mzurumu wtt watu
Good luck mesh your talented
Mdamu kuwa na aibu jaman zifikishe pesa za kijana , achoke kuzisibiri zikisafiri
Maik haina saut mbn
We ulipewa mzigo wako au ndio unazinguwa tu
NATAJA WASANII WAKUBWA WAWILI TANZANIA BONGO FLEVOR AMBAO NI DIAMOND & BARNABAS BOY . KIJANA HUYO AMEKUJA MJIPNGE WAZEEEE MTOTO HUYU ANA PAJI BAYA SANA MJIPANGE KWELI MUNGU ANA VIPAJI WENGI GO MAN GO HIGH PEAK. UNAJUA DOGO UNAJUA DOGO DOGO UNAJUA DOGO UNAJUA UNAJUA UNAJUA UNAJUAAAAAAAAAAAA
😘
Sema bongo unafiki mwingi
Kusema NA ukwelii meshack hana kipajii kama hamisiii
@jennifermollel5851
3 жыл бұрын
Hamisi hamna kitu acha mdomo
🙏🙏😘😘😘
Kibaji ni karama iliyopo ndani ya mtu aki
🔥🔥🔥🔥
Courage bro jtm
💣
Vyombo vya hovyo kabisa vimeharibu raha
meshaki umelipwa? tujulishe Basi mashabiki zako maana tulisikitika Ila hujaturudishia mrejesho
@lovenessjohn2360
3 жыл бұрын
😂🤣🤣🤣🤣walinilipa nusu
@yusuphbanda139
3 жыл бұрын
@@lovenessjohn2360 🤣🤣🤣🤣
@sylivestermwasile4203
3 жыл бұрын
Alafu ilitakiwa mesha mwenyewe ndo atupe mlejesho
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ppppp bro utatoboa 2
jamaa anajua
@stellakigomba7648
3 жыл бұрын
Hongera mwanangu 😊
Mesha mbona hatulii jukwaani, mbona kama hajiamini, mbona kama maandalizi vzr...
@mwastynhand6712
3 жыл бұрын
We huon gitaa mbovu
@godlivingmeela5710
3 жыл бұрын
Wee kaka acha wivu bhan yupo God ungekuwa wewe ungeweza
@brunomirambi8792
3 жыл бұрын
MESHACK ANAJUA SAAAAAANA DIAMOND& BARNABAS BOY WANAFAHAMU HILO KUWA DOGO AMEKUJA KUWASHIKA CHEZEA MESHACK MOTO HUO UNAHITAJI KUUTEA MBALI MBALI LA SIVYO UTABABUKA KOPE MOTO KAMA ULE ULE ULIOTAKA KUMCHOMA YEYE MWENYEW MESHACK,SHADRACK NA ABERDINEGO
Comment wap tunaziona
Dogo unajua..ipo siku watakuelewa...wakati wa bwana ndo wakati sahihi
Konk
Mmeona msafi she Jina kwanza kwa mesha alafu mzindue uwo ujinga wenu mzurumu wtt watu
Asee utafika mbali, mshirikishe Mungu
@ismailkhamic9808
3 жыл бұрын
Nakkubali br
@aizacknkota7726
3 жыл бұрын
Nakubari kaka