BSS 2022 SE13EP06 FULL SHOW
Ойын-сауық
Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 13 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Пікірлер: 153
Namuombea dua Alisha awa na succes he deserves it the most.
Elisha has reminded me of money heist😄😄He is one of the best in BSS but luck was not on his side😥 Elisha jaribu kwingine bro uko na talent na mimi ni number one fun wako😍😍
kila mmoja hapo anaweza sana sana kwa kadri yake..kuna yule anaeweza zaidi ya wengine..Elisha does that! Elisha entertains,.nikiwaangalia kina Ckay, Rema, Joeboy walivo na vipaji vya hali ya juu, sio kwamba wizkid au wengine hawawezi, ni namna Ulimwengu wa entertainment unavyokwenda kwa kasi..kama kina Ckay walivopata support, Elisha akipata Support na akapata Psychological Counseling, nadhani Elisha mpaka sasa tungekua tunazungumzia habari zingine! Inasikitisha kuona platform kubwa kama hii ambayo nia ni kutafuta na kukuza vipaji inachukua maamuzi kama hayo ya kumtoa mshiriki kama Elisha. Nilitegemea wachukue maamuzi ya kumpatia msaada wa Psychological Disciplinary Therapy ikiwa na maana halisi ya Talent Search..badala yake wanamtoa wakiona anawaharibia mashindano.. so ashaming! #Elisha Elisha Elisha 👐🏽
@bilha_nyawera
Жыл бұрын
Nielimishe, Elisha amepotoka kimaadili kivipi haswa?
@bensonpeter4692
Жыл бұрын
kuna namna anawezakua anaelekezwa na Judges muda wa rehearsal..yeye anagoma..lakini pia anakua na maamuzi yake..lakini pia hapendi kushauriwa
All the way from +257🇧🇮🇧🇮🇧🇮 sehemu za Burundi kama buja jina lingine Bujumbura,,,, kwa maono yangu sijamuona wakushindanishwa n'a Elishaa Hans, kuanzia vocal, mziki na performance, Ila kidogo kwa attitude,,,
We might have just witness the potential best gospel group the 3 group THE CHOSEN was 🔥 daimmm
All in all hawakumtendea haki elisha kwakweli coz perfomance yake huwezi fananisha na ya yeyote nivile tu mnamchukia sasa cjui hii ni bongo star star search or ni special selected from judges hamko fair kabisa
The choosen mkitoka BSS hakikisheni mnakuwa pamoja. Neema Ntigonza uliongozwa na Roho Mtakatifu kuwachagua wenzako, hasa nilikuwa nina wasiwasi na Binti Swai lakini kuwa kwenye group anakuwa mzuri. Msiachane make sure you become THE CHOOSEN GROUP GOSPLE SINGER'S
@lilliesnganzi89
Жыл бұрын
Yap yap
Inakuaje fonabo hajatoka mpaka leo asee, the sound is so unique... anakipande cha mkate chake kwenye hili game
Kwa kweli elisha sjui kawakosea nini mimi na wenzangu hatujui nyie huko ndo mnaelewa hatuwez pinga ila jamaa anajua sanaaa,jamaa anajua kuimba asee,may be tabia inamponza
Bruce Africa ni hatar sana + Tgun Tozzy 🔥🔥
Huu Jamaa anaerap kaua sana kwakwel kamix vizur sana na wenzake safi sana aisee
Team fonabo ni 🔥🔥
@lydiaassey366
Жыл бұрын
Mmmmh
Namkubali san Elisha alaf ameimba vzr San kumzid hat Majid cjui mnaangalia nn aisee
Master J very funny guy,men...big up!
Neema and your team my sister upo vizur piah gwaa kukaja🙏🙏🙏 kyala akuimilile gwaa kumyitu
My brother Elysha uko vizuri pengine hupedwi sababu ya nidhamu zako jaribu kurebisha... bt all in all congrats brother u killed it... ww ni star
Tunaanza kivingine masta unachangamsha Sana hili pindi ukikosa hao walobak m2 hajui lkn wao wanamuonea aibu wanacma anajua
@beautyibrahim8428
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@msauzbusiness558
Жыл бұрын
😀
Elisha plz never go back.u did the best all in all😢
Abie Africa mmemuonea jamani Kuna mizigo imebaki hamna kitu kabisa mpaka najiskia kutukana but God's plan never fail Mungu anakusudi nawewe dah ivi kweli hamjaona alichofanya abie jamaniii all in all master J anaakili sana acha tumuachie Mungu afanye kazi yake 🙏🙏🙏🙏
@kisadickson3276
Жыл бұрын
Kuna yule magic angetokaga tu jamani
@rahmamkwata5068
Жыл бұрын
Abie wamemuonea kabisa jamani, I think they have judged others based on past experience just because they know their strength.
@kisadickson3276
Жыл бұрын
@@rahmamkwata5068 ndio wanapokosa msimamo..huyo abi yuko poa sana kunawatu humo wanaimba but hawana vipaji
ABIE AFRICA na majid sjui magic, ABIE AFRICA ni hatareee
The chosen
Idumu BSS Tanzania💕🇹🇿👏
The chosen... What a powerful performance
Nyie team fonabo hiyo sifa 🙌🏿
How's says Yes Raster 💯% Alfredy Arusha boy you make my day cry no woman no cry.......
Mara ya kwanza kumuona Salama akiwa amesukwa Masha Allah she is cute dammm
Badala ya Elisha alifaa kwenda majjid maana alikua off tone Elisha alifanya vzr sana
Hiki ni kiwanda cha mziki better than our super star singers
Nimewapenda safi kabisa
Kwa abby africa mmenidanganya sana
Lakinii mnamuonea Elishaa especially Salama kwani Elisha alikukosea jamaniii aaah mnabore nkt😏😏😏😏😏😏
Abie ni level nyingine one day mtaniambia🚶
Third group the best ever
Fonabo ni mkali sana
Nzur mkoo poaa but mnacheleewa ku uploading new shows
Kwan mnaangalia vigezo gani jamani mbona Abie ameimba vizuri jamani
Elisha jikaz bro i like you
The chosen all the way
Amen Guys you real touch my Hart
Team fornabo All the way
Apart from everythng, salama mistari kichwani iko poa sana
😍😍😍😍
Wakwanza Leo 💃💃💃
@viceboy7368
Жыл бұрын
Kwaiyo watakaje
Ukiskia usaliti bana...this was painful Elisha na majid vile walitry kumake io group better...
Elisha unajua mpaka unakwaza..ebu pambana urekodi tunasubiri ngoma zako khaaa
Hivi Julias Macha ndio yule jamaa alishiriki BSS 2020 akiwa boda boda na akauwaga kinoma noma..???
Mpeni ela zake *NASIBU FONABO* jamaa anajua mnooo,,,, Team Leonard mmefanya poa T gun unauwa sana,, ABIE AFRICA UMEONA UWACHAMBE MAJAJI KWA TAARABU NYIE NIMECHEKA SANA Nimekupentaaa Bure 😂😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻
@kisadickson3276
Жыл бұрын
Abie anajua ila kaoñwa
The boys killed it
@hollytae3060
Жыл бұрын
Omg this!!!! They were the best? These judges hawajui kitu
finaly group hamna kitu
@BongoStarSearch , Kuhusu Abbie Africa nadhani sio sahihi kutoka kwasasa labda uko mbeleni ila mmetoa mtu mmoja potential sana sana, Sababu za kutoka Elisha zipo dhahiri hana nidhamu ila anajua kinoma huyu jamaa, hakuna zaidi ya Elisha apo ila nimeona ni sahihi tuu atoke coz team work imemshinda. nadhani aingie tuu kwenye soko moja kwa moja aachane na izi Clubs (namfananisha Elisha na Baraka the Prince, nidhamu Zerooo...) . nani alipaswa kutoka jibu ni gumu sana ila naona wazo la groups halikuwa wazo zuri kabisa. PLEASE MADAM WE STILL NEED #ABBIE AFRICA
@shaapedtreasure4197
Жыл бұрын
Zaidi ya Elisha Yupo Kama fonabo Ila Elisha katika top5 Yupo wanamuonea tu
@naomimavura2239
Жыл бұрын
Sanaa Abbie Africa ameeimba vizuri kuliko hata ..wengine humo
@ibrahamkalu9069
Жыл бұрын
Kwahivyo mtu kama hana nidhamu na amefanya vizuri ndio anatolewa?
❤
👍
Group Buga mmetisha
Nitasimama na Elisha mpaka mwisho kipaji anacho kinafanya Kila mtu anamuogopa kabisaa bro Elisha so far wewe ndo star wetu hapa kenya
Team fonabo ♈️💣💣
Fonabooooo
this 1st group is LIT 1000%
Abby Africa that was A class performance
Nimependa san mnatenda aki amkosei
Wakanda wameua
asiposhinda fonabo ni bruce
elisha wanamchukia sana inaonesha mpk anajifeel kuwa hana bahati hata kabla ya kutajwa alijua hawezi kubaki
@beautyibrahim8428
Жыл бұрын
🤣🤣🤣amezidi naye toka ameanza kung'ang'ana na hyo ebss utafikil aliambiwa mafanikio yake yapo ebss
@Othman496
Жыл бұрын
Ana jeur huyo
@ashurajengela3926
Жыл бұрын
anajiona ye na lastborn uyo akwende uko
@rehemaothman2475
Жыл бұрын
@@beautyibrahim8428 Angetulia huenda riziki yake haiko hapa
@rehemaothman2475
Жыл бұрын
@@beautyibrahim8428 Haja kata tamaa Ana imani wakati sahihi ni wakati alio panga mungu
Madam plzzz Abbie ameimba vizurii anafaa kuendelea
@rahmamkwata5068
Жыл бұрын
yes jamn naona ameonewa apewe second chance😪
Kwa ma judges woote ambao wako apo ni Judge mumoja tu ndo ametumia kazi yake vizuri sana,uyo anaye vaa acne na glasses..big up kwa Judge uyo na ma Judges wengine Ila munavunja moyo sana,just correct someone huku uki mu congrats ,hapana kumuvunja Mtu moyo na kumuahibisha na kumuonyesha what he did ame wrong 100% yote daah.. na Big up kwa ma Groups yote Good performance..ila kila shindano Lazima Liwe na mshindi ..big up kwa Groups zilizo win . from 🇺🇸🇺🇲🇺🇲
Patrick
Napenda anavyo ongea fonabo
Honestly speaking, Abie Africa mmemuonea I swear
ELISHAA ? MNAMTOAA ??
Fonabo mmejitahidi!!
Elsha ungeimba hata PUSHA ama swahili song, hapo ulitudanganya
Nimeangalia first team tyuu bc nikaona nimemaliza kila kitu daaah fonabo umemaliza kila kitu na team yako🙏🏼🙏🏼🙏🏼👌
3rd group 1500%
Elisha unajua sema punguza sifa😂
Huyu ELISHA killed aisee
Kwan kipind kile hamonize aliambiwaje,so wakat ukifika umefik tuu,haijalish watu wanasemaje.
Mmeniuzi sana
@zananahassan960
Жыл бұрын
😂😂😂😂nimejikuta nacheka
@pendocharles1787
Жыл бұрын
@@zananahassan960 unechekea nn aisee
group 2 entertained 1000%
Elisha anaimba bhana
Kwa Elisha imeniuma master fanya kitu etyy hakustahili haya Elisha hata yy naon anaumia Sana sometimes salama asipende onyesha makasiriko Hadi mtu anahisi kuwa kun tatizo duuuh!!!!! 😒😒😒
Duuh! Kwa kumtoa elisha mmechapia inaonekana mna watu wenu , elisha inabidi uwe kama harmonize keep effort
Hakuna Kam abie africa
Jaman Abie Afrrica katoka kwa kigezo kipi ni wapi kakosea au wan jaji kwa vigezo gani labda...
Tgun
Angetoka magic, happy, na huyo wakanda. Mm naona Elisha discipline iko chini Ila ameuwa leo hangetoka
@kevinnamakoya9828
Жыл бұрын
Si dicpline anaonewa hadi amekosa Imani na Hawa judges Kila makosa ni yeye ata ingelikua ni Mimi ningetoka kabla majina hayajatajwa
elisha wimbo ulochagua ndo umekuponza,,, sasa unaleta belachao tanzania surely
4th group, that wasn't good but thanks for the entertaining
The 3rd group did well ❤️👏👏👏
Uyo Abby Africa mbaya saaaana hahahaaahhahaha
Bruce alivyo imba pekeake Kiukweli ameuwaaa 💥🔥🔥🔥❤️
Kunaa namna kama bds uwaa wanambebaa mtu kunaa jamaa hapo kama chizi hivi kavaa vest nyeusi yaan sijui kafikaa hapo anabebwaaa tuu hmn kitu
@ibrahamkalu9069
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Madam pleeeeeasewe need ABBIE 😭😭😭😭😭
Mnamuogopa Elisha ndio maana mnamtoa mapema ili kuwalinda hao vibonde wenu wasiojua Bss siku izi hujuma , salama sio poa bana. Elisha kakufanya nini kwani Show ya mwisho Magic kafanya kawaida sana ila madam Rita kamlinda tu. Elisha anajua, kama mnamuelewa Fonabo mnashindwa nini kumuelewa Elisha Mnakata mzuka. Sijapenda wala nini. Mnakelaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.
Abby aliamua kuwachamba majudge🤣🤣🤣🤣
Fonabo group mpo poa
Elisha anajua kinyama bac tu
Fatality: "as a group hamna kitu" 😂
Yani abbie na elisha waneonewa bongostar search mmetukwaza sisi mashabiki
Ameamua from the Chosen
Master is always funny
Let's be honest sisi rwanda 🇷🇼 tunafuatilia bongo star search kutoka kitambo , ila nataka niweke Hili wazii, Elisha munamnyanganya sana na hatujui aliwafanyia nini , if you keep doing those Kind of staff, this things gonna end very soon , nasema ukweli Elisha mziki wake baadhi yenu unawazidi hadhi kumjaji unawazini. Let me point my finger to Salam , wewe unamchukia elisha hadhi unaonesha mbere ya watu ,(ntacyo uzamutwara kabisa jya ureka amarangamutima) mbona munamchukia sanaa etti amekuja mala nyingu wengine ndo wanakuja mala ya kwanza? Efi Elisha is leaving this competition nothing that we are waiting there .
@kisadickson3276
Жыл бұрын
Kuna huyu jamaa yao magic ni zero..anaimba kawaida sana but sijui kwann wanambebelea....
@cobrachristian3685
Жыл бұрын
😂😂😂😂mda mwingine anazingua lakini kuimba anajua
@kisadickson3276
Жыл бұрын
Kawaida sana yule hajawai imba akafanya watu washangae unajua kunamtu anaimba harafu mwenyew unasema huyu kweli...elisha anakipaji.mno zaidi huyo kijana wao