BSS 2022 SE13EP06 FULL SHOW

Ойын-сауық

Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 13 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz

Пікірлер: 153

  • @hollytae3060
    @hollytae3060 Жыл бұрын

    Namuombea dua Alisha awa na succes he deserves it the most.

  • @DIANAPHENNY-Kenya
    @DIANAPHENNY-Kenya Жыл бұрын

    Elisha has reminded me of money heist😄😄He is one of the best in BSS but luck was not on his side😥 Elisha jaribu kwingine bro uko na talent na mimi ni number one fun wako😍😍

  • @bensonpeter4692
    @bensonpeter4692 Жыл бұрын

    kila mmoja hapo anaweza sana sana kwa kadri yake..kuna yule anaeweza zaidi ya wengine..Elisha does that! Elisha entertains,.nikiwaangalia kina Ckay, Rema, Joeboy walivo na vipaji vya hali ya juu, sio kwamba wizkid au wengine hawawezi, ni namna Ulimwengu wa entertainment unavyokwenda kwa kasi..kama kina Ckay walivopata support, Elisha akipata Support na akapata Psychological Counseling, nadhani Elisha mpaka sasa tungekua tunazungumzia habari zingine! Inasikitisha kuona platform kubwa kama hii ambayo nia ni kutafuta na kukuza vipaji inachukua maamuzi kama hayo ya kumtoa mshiriki kama Elisha. Nilitegemea wachukue maamuzi ya kumpatia msaada wa Psychological Disciplinary Therapy ikiwa na maana halisi ya Talent Search..badala yake wanamtoa wakiona anawaharibia mashindano.. so ashaming! #Elisha Elisha Elisha 👐🏽

  • @bilha_nyawera

    @bilha_nyawera

    Жыл бұрын

    Nielimishe, Elisha amepotoka kimaadili kivipi haswa?

  • @bensonpeter4692

    @bensonpeter4692

    Жыл бұрын

    kuna namna anawezakua anaelekezwa na Judges muda wa rehearsal..yeye anagoma..lakini pia anakua na maamuzi yake..lakini pia hapendi kushauriwa

  • @bernickngizimana7172
    @bernickngizimana7172 Жыл бұрын

    All the way from +257🇧🇮🇧🇮🇧🇮 sehemu za Burundi kama buja jina lingine Bujumbura,,,, kwa maono yangu sijamuona wakushindanishwa n'a Elishaa Hans, kuanzia vocal, mziki na performance, Ila kidogo kwa attitude,,,

  • @johnco8756
    @johnco8756 Жыл бұрын

    We might have just witness the potential best gospel group the 3 group THE CHOSEN was 🔥 daimmm

  • @wiseboy_znz4719
    @wiseboy_znz4719 Жыл бұрын

    All in all hawakumtendea haki elisha kwakweli coz perfomance yake huwezi fananisha na ya yeyote nivile tu mnamchukia sasa cjui hii ni bongo star star search or ni special selected from judges hamko fair kabisa

  • @nigananurunjema
    @nigananurunjema Жыл бұрын

    The choosen mkitoka BSS hakikisheni mnakuwa pamoja. Neema Ntigonza uliongozwa na Roho Mtakatifu kuwachagua wenzako, hasa nilikuwa nina wasiwasi na Binti Swai lakini kuwa kwenye group anakuwa mzuri. Msiachane make sure you become THE CHOOSEN GROUP GOSPLE SINGER'S

  • @lilliesnganzi89

    @lilliesnganzi89

    Жыл бұрын

    Yap yap

  • @josephmsele973
    @josephmsele973 Жыл бұрын

    Inakuaje fonabo hajatoka mpaka leo asee, the sound is so unique... anakipande cha mkate chake kwenye hili game

  • @luciusmutaiganwa8292
    @luciusmutaiganwa8292 Жыл бұрын

    Kwa kweli elisha sjui kawakosea nini mimi na wenzangu hatujui nyie huko ndo mnaelewa hatuwez pinga ila jamaa anajua sanaaa,jamaa anajua kuimba asee,may be tabia inamponza

  • @pacoleejr7908
    @pacoleejr7908 Жыл бұрын

    Bruce Africa ni hatar sana + Tgun Tozzy 🔥🔥

  • @eastafricabrokerkiller8028
    @eastafricabrokerkiller8028 Жыл бұрын

    Huu Jamaa anaerap kaua sana kwakwel kamix vizur sana na wenzake safi sana aisee

  • @paulinalaizer6743
    @paulinalaizer6743 Жыл бұрын

    Team fonabo ni 🔥🔥

  • @lydiaassey366

    @lydiaassey366

    Жыл бұрын

    Mmmmh

  • @pendocharles1787
    @pendocharles1787 Жыл бұрын

    Namkubali san Elisha alaf ameimba vzr San kumzid hat Majid cjui mnaangalia nn aisee

  • @ericbahati9741
    @ericbahati9741 Жыл бұрын

    Master J very funny guy,men...big up!

  • @lilyngonyani2312
    @lilyngonyani2312 Жыл бұрын

    Neema and your team my sister upo vizur piah gwaa kukaja🙏🙏🙏 kyala akuimilile gwaa kumyitu

  • @husseinmohamed9049
    @husseinmohamed9049 Жыл бұрын

    My brother Elysha uko vizuri pengine hupedwi sababu ya nidhamu zako jaribu kurebisha... bt all in all congrats brother u killed it... ww ni star

  • @msauzbusiness558
    @msauzbusiness558 Жыл бұрын

    Tunaanza kivingine masta unachangamsha Sana hili pindi ukikosa hao walobak m2 hajui lkn wao wanamuonea aibu wanacma anajua

  • @beautyibrahim8428

    @beautyibrahim8428

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @msauzbusiness558

    @msauzbusiness558

    Жыл бұрын

    😀

  • @nancyandrew9273
    @nancyandrew9273 Жыл бұрын

    Elisha plz never go back.u did the best all in all😢

  • @pmpmediatz9752
    @pmpmediatz9752 Жыл бұрын

    Abie Africa mmemuonea jamani Kuna mizigo imebaki hamna kitu kabisa mpaka najiskia kutukana but God's plan never fail Mungu anakusudi nawewe dah ivi kweli hamjaona alichofanya abie jamaniii all in all master J anaakili sana acha tumuachie Mungu afanye kazi yake 🙏🙏🙏🙏

  • @kisadickson3276

    @kisadickson3276

    Жыл бұрын

    Kuna yule magic angetokaga tu jamani

  • @rahmamkwata5068

    @rahmamkwata5068

    Жыл бұрын

    Abie wamemuonea kabisa jamani, I think they have judged others based on past experience just because they know their strength.

  • @kisadickson3276

    @kisadickson3276

    Жыл бұрын

    @@rahmamkwata5068 ndio wanapokosa msimamo..huyo abi yuko poa sana kunawatu humo wanaimba but hawana vipaji

  • @innocentleonard1957
    @innocentleonard1957 Жыл бұрын

    ABIE AFRICA na majid sjui magic, ABIE AFRICA ni hatareee

  • @issackjoseph6436
    @issackjoseph6436 Жыл бұрын

    The chosen

  • @sauka9622
    @sauka9622 Жыл бұрын

    Idumu BSS Tanzania💕🇹🇿👏

  • @janeatieno9423
    @janeatieno9423 Жыл бұрын

    The chosen... What a powerful performance

  • @TonnyCaesar
    @TonnyCaesar Жыл бұрын

    Nyie team fonabo hiyo sifa 🙌🏿

  • @chesterbrand6723
    @chesterbrand6723 Жыл бұрын

    How's says Yes Raster 💯% Alfredy Arusha boy you make my day cry no woman no cry.......

  • @hassansebe1798
    @hassansebe1798 Жыл бұрын

    Mara ya kwanza kumuona Salama akiwa amesukwa Masha Allah she is cute dammm

  • @suledebarber633
    @suledebarber633 Жыл бұрын

    Badala ya Elisha alifaa kwenda majjid maana alikua off tone Elisha alifanya vzr sana

  • @charlesmaestro1092
    @charlesmaestro1092 Жыл бұрын

    Hiki ni kiwanda cha mziki better than our super star singers

  • @esaumakumbo4047
    @esaumakumbo40476 ай бұрын

    Nimewapenda safi kabisa

  • @kingmawese
    @kingmawese Жыл бұрын

    Kwa abby africa mmenidanganya sana

  • @milleycarols
    @milleycarols Жыл бұрын

    Lakinii mnamuonea Elishaa especially Salama kwani Elisha alikukosea jamaniii aaah mnabore nkt😏😏😏😏😏😏

  • @idrissaabubakari859
    @idrissaabubakari859 Жыл бұрын

    Abie ni level nyingine one day mtaniambia🚶

  • @abdallahamad4682
    @abdallahamad4682 Жыл бұрын

    Third group the best ever

  • @bakariomari8758
    @bakariomari8758 Жыл бұрын

    Fonabo ni mkali sana

  • @philiberthmdoma5060
    @philiberthmdoma5060 Жыл бұрын

    Nzur mkoo poaa but mnacheleewa ku uploading new shows

  • @pendocharles1566
    @pendocharles1566 Жыл бұрын

    Kwan mnaangalia vigezo gani jamani mbona Abie ameimba vizuri jamani

  • @bizimanamike2885
    @bizimanamike2885 Жыл бұрын

    Elisha jikaz bro i like you

  • @annaannitaglobal1391
    @annaannitaglobal1391 Жыл бұрын

    The chosen all the way

  • @nelsonhenry9482
    @nelsonhenry9482 Жыл бұрын

    Amen Guys you real touch my Hart

  • @annaannitaglobal1391
    @annaannitaglobal1391 Жыл бұрын

    Team fornabo All the way

  • @brianjulius255
    @brianjulius255 Жыл бұрын

    Apart from everythng, salama mistari kichwani iko poa sana

  • @hopemusic1072
    @hopemusic1072 Жыл бұрын

    😍😍😍😍

  • @monicawanza9911
    @monicawanza9911 Жыл бұрын

    Wakwanza Leo 💃💃💃

  • @viceboy7368

    @viceboy7368

    Жыл бұрын

    Kwaiyo watakaje

  • @wasnahmiraj7478
    @wasnahmiraj7478 Жыл бұрын

    Ukiskia usaliti bana...this was painful Elisha na majid vile walitry kumake io group better...

  • @yessekindi4625
    @yessekindi4625 Жыл бұрын

    Elisha unajua mpaka unakwaza..ebu pambana urekodi tunasubiri ngoma zako khaaa

  • @mcgabby
    @mcgabby Жыл бұрын

    Hivi Julias Macha ndio yule jamaa alishiriki BSS 2020 akiwa boda boda na akauwaga kinoma noma..???

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 Жыл бұрын

    Mpeni ela zake *NASIBU FONABO* jamaa anajua mnooo,,,, Team Leonard mmefanya poa T gun unauwa sana,, ABIE AFRICA UMEONA UWACHAMBE MAJAJI KWA TAARABU NYIE NIMECHEKA SANA Nimekupentaaa Bure 😂😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻

  • @kisadickson3276

    @kisadickson3276

    Жыл бұрын

    Abie anajua ila kaoñwa

  • @gichimujef8806
    @gichimujef8806 Жыл бұрын

    The boys killed it

  • @hollytae3060

    @hollytae3060

    Жыл бұрын

    Omg this!!!! They were the best? These judges hawajui kitu

  • @avituskatunzi1180
    @avituskatunzi1180 Жыл бұрын

    finaly group hamna kitu

  • @nemesdaudi1576
    @nemesdaudi1576 Жыл бұрын

    @BongoStarSearch , Kuhusu Abbie Africa nadhani sio sahihi kutoka kwasasa labda uko mbeleni ila mmetoa mtu mmoja potential sana sana, Sababu za kutoka Elisha zipo dhahiri hana nidhamu ila anajua kinoma huyu jamaa, hakuna zaidi ya Elisha apo ila nimeona ni sahihi tuu atoke coz team work imemshinda. nadhani aingie tuu kwenye soko moja kwa moja aachane na izi Clubs (namfananisha Elisha na Baraka the Prince, nidhamu Zerooo...) . nani alipaswa kutoka jibu ni gumu sana ila naona wazo la groups halikuwa wazo zuri kabisa. PLEASE MADAM WE STILL NEED #ABBIE AFRICA

  • @shaapedtreasure4197

    @shaapedtreasure4197

    Жыл бұрын

    Zaidi ya Elisha Yupo Kama fonabo Ila Elisha katika top5 Yupo wanamuonea tu

  • @naomimavura2239

    @naomimavura2239

    Жыл бұрын

    Sanaa Abbie Africa ameeimba vizuri kuliko hata ..wengine humo

  • @ibrahamkalu9069

    @ibrahamkalu9069

    Жыл бұрын

    Kwahivyo mtu kama hana nidhamu na amefanya vizuri ndio anatolewa?

  • @user-nb6nq9te3d
    @user-nb6nq9te3d5 ай бұрын

  • @asmarajabu5786
    @asmarajabu5786 Жыл бұрын

    👍

  • @paschalpeter4540
    @paschalpeter4540 Жыл бұрын

    Group Buga mmetisha

  • @kevinnamakoya9828
    @kevinnamakoya9828 Жыл бұрын

    Nitasimama na Elisha mpaka mwisho kipaji anacho kinafanya Kila mtu anamuogopa kabisaa bro Elisha so far wewe ndo star wetu hapa kenya

  • @BrownD
    @BrownD Жыл бұрын

    Team fonabo ♈️💣💣

  • @charlesmaestro1092
    @charlesmaestro1092 Жыл бұрын

    Fonabooooo

  • @jimwafula4733
    @jimwafula4733 Жыл бұрын

    this 1st group is LIT 1000%

  • @jimwafula4733
    @jimwafula4733 Жыл бұрын

    Abby Africa that was A class performance

  • @issaathuman798
    @issaathuman798 Жыл бұрын

    Nimependa san mnatenda aki amkosei

  • @jamilahemed5131
    @jamilahemed5131 Жыл бұрын

    Wakanda wameua

  • @bnztechnologies2676
    @bnztechnologies2676 Жыл бұрын

    asiposhinda fonabo ni bruce

  • @wildofworld100
    @wildofworld100 Жыл бұрын

    elisha wanamchukia sana inaonesha mpk anajifeel kuwa hana bahati hata kabla ya kutajwa alijua hawezi kubaki

  • @beautyibrahim8428

    @beautyibrahim8428

    Жыл бұрын

    🤣🤣🤣amezidi naye toka ameanza kung'ang'ana na hyo ebss utafikil aliambiwa mafanikio yake yapo ebss

  • @Othman496

    @Othman496

    Жыл бұрын

    Ana jeur huyo

  • @ashurajengela3926

    @ashurajengela3926

    Жыл бұрын

    anajiona ye na lastborn uyo akwende uko

  • @rehemaothman2475

    @rehemaothman2475

    Жыл бұрын

    @@beautyibrahim8428 Angetulia huenda riziki yake haiko hapa

  • @rehemaothman2475

    @rehemaothman2475

    Жыл бұрын

    @@beautyibrahim8428 Haja kata tamaa Ana imani wakati sahihi ni wakati alio panga mungu

  • @naomimavura2239
    @naomimavura2239 Жыл бұрын

    Madam plzzz Abbie ameimba vizurii anafaa kuendelea

  • @rahmamkwata5068

    @rahmamkwata5068

    Жыл бұрын

    yes jamn naona ameonewa apewe second chance😪

  • @kikumbaalain8619
    @kikumbaalain8619 Жыл бұрын

    Kwa ma judges woote ambao wako apo ni Judge mumoja tu ndo ametumia kazi yake vizuri sana,uyo anaye vaa acne na glasses..big up kwa Judge uyo na ma Judges wengine Ila munavunja moyo sana,just correct someone huku uki mu congrats ,hapana kumuvunja Mtu moyo na kumuahibisha na kumuonyesha what he did ame wrong 100% yote daah.. na Big up kwa ma Groups yote Good performance..ila kila shindano Lazima Liwe na mshindi ..big up kwa Groups zilizo win . from 🇺🇸🇺🇲🇺🇲

  • @reshinebakery2846
    @reshinebakery2846 Жыл бұрын

    Patrick

  • @monicajohn2515
    @monicajohn2515 Жыл бұрын

    Napenda anavyo ongea fonabo

  • @rahmamkwata5068
    @rahmamkwata5068 Жыл бұрын

    Honestly speaking, Abie Africa mmemuonea I swear

  • @Bensonfrank25
    @Bensonfrank25 Жыл бұрын

    ELISHAA ? MNAMTOAA ??

  • @taturajabukhalfani7953
    @taturajabukhalfani7953 Жыл бұрын

    Fonabo mmejitahidi!!

  • @jimwafula4733
    @jimwafula4733 Жыл бұрын

    Elsha ungeimba hata PUSHA ama swahili song, hapo ulitudanganya

  • @lilyngonyani2312
    @lilyngonyani2312 Жыл бұрын

    Nimeangalia first team tyuu bc nikaona nimemaliza kila kitu daaah fonabo umemaliza kila kitu na team yako🙏🏼🙏🏼🙏🏼👌

  • @jimwafula4733
    @jimwafula4733 Жыл бұрын

    3rd group 1500%

  • @rosenorbert5864
    @rosenorbert5864 Жыл бұрын

    Elisha unajua sema punguza sifa😂

  • @ezekielibrahim5545
    @ezekielibrahim5545 Жыл бұрын

    Huyu ELISHA killed aisee

  • @shedyb990
    @shedyb990 Жыл бұрын

    Kwan kipind kile hamonize aliambiwaje,so wakat ukifika umefik tuu,haijalish watu wanasemaje.

  • @kingmawese
    @kingmawese Жыл бұрын

    Mmeniuzi sana

  • @zananahassan960

    @zananahassan960

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂nimejikuta nacheka

  • @pendocharles1787

    @pendocharles1787

    Жыл бұрын

    @@zananahassan960 unechekea nn aisee

  • @jimwafula4733
    @jimwafula4733 Жыл бұрын

    group 2 entertained 1000%

  • @reshinebakery2846
    @reshinebakery2846 Жыл бұрын

    Elisha anaimba bhana

  • @lilyngonyani2312
    @lilyngonyani2312 Жыл бұрын

    Kwa Elisha imeniuma master fanya kitu etyy hakustahili haya Elisha hata yy naon anaumia Sana sometimes salama asipende onyesha makasiriko Hadi mtu anahisi kuwa kun tatizo duuuh!!!!! 😒😒😒

  • @hamisirashidi8705
    @hamisirashidi8705 Жыл бұрын

    Duuh! Kwa kumtoa elisha mmechapia inaonekana mna watu wenu , elisha inabidi uwe kama harmonize keep effort

  • @rachelldanford273
    @rachelldanford273 Жыл бұрын

    Hakuna Kam abie africa

  • @ibrahimwilliam8201
    @ibrahimwilliam8201 Жыл бұрын

    Jaman Abie Afrrica katoka kwa kigezo kipi ni wapi kakosea au wan jaji kwa vigezo gani labda...

  • @reshinebakery2846
    @reshinebakery2846 Жыл бұрын

    Tgun

  • @askofu_muziki5992
    @askofu_muziki5992 Жыл бұрын

    Angetoka magic, happy, na huyo wakanda. Mm naona Elisha discipline iko chini Ila ameuwa leo hangetoka

  • @kevinnamakoya9828

    @kevinnamakoya9828

    Жыл бұрын

    Si dicpline anaonewa hadi amekosa Imani na Hawa judges Kila makosa ni yeye ata ingelikua ni Mimi ningetoka kabla majina hayajatajwa

  • @lagzdaddy7689
    @lagzdaddy7689 Жыл бұрын

    elisha wimbo ulochagua ndo umekuponza,,, sasa unaleta belachao tanzania surely

  • @jimwafula4733
    @jimwafula4733 Жыл бұрын

    4th group, that wasn't good but thanks for the entertaining

  • @ungwamwangaza7297
    @ungwamwangaza7297 Жыл бұрын

    The 3rd group did well ❤️👏👏👏

  • @yessekindi4625
    @yessekindi4625 Жыл бұрын

    Uyo Abby Africa mbaya saaaana hahahaaahhahaha

  • @ibrahimpaul1640
    @ibrahimpaul1640 Жыл бұрын

    Bruce alivyo imba pekeake Kiukweli ameuwaaa 💥🔥🔥🔥❤️

  • @edmundrutahiwa
    @edmundrutahiwa Жыл бұрын

    Kunaa namna kama bds uwaa wanambebaa mtu kunaa jamaa hapo kama chizi hivi kavaa vest nyeusi yaan sijui kafikaa hapo anabebwaaa tuu hmn kitu

  • @ibrahamkalu9069

    @ibrahamkalu9069

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @dottocharles9645
    @dottocharles9645 Жыл бұрын

    Madam pleeeeeasewe need ABBIE 😭😭😭😭😭

  • @sjaykigomatz
    @sjaykigomatz Жыл бұрын

    Mnamuogopa Elisha ndio maana mnamtoa mapema ili kuwalinda hao vibonde wenu wasiojua Bss siku izi hujuma , salama sio poa bana. Elisha kakufanya nini kwani Show ya mwisho Magic kafanya kawaida sana ila madam Rita kamlinda tu. Elisha anajua, kama mnamuelewa Fonabo mnashindwa nini kumuelewa Elisha Mnakata mzuka. Sijapenda wala nini. Mnakelaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.

  • @bilha_nyawera
    @bilha_nyawera Жыл бұрын

    Abby aliamua kuwachamba majudge🤣🤣🤣🤣

  • @jaqlinemanyama1876
    @jaqlinemanyama1876 Жыл бұрын

    Fonabo group mpo poa

  • @sajogamba1316
    @sajogamba1316 Жыл бұрын

    Elisha anajua kinyama bac tu

  • @danielwilfred2609
    @danielwilfred2609 Жыл бұрын

    Fatality: "as a group hamna kitu" 😂

  • @gladysmushy1498
    @gladysmushy1498 Жыл бұрын

    Yani abbie na elisha waneonewa bongostar search mmetukwaza sisi mashabiki

  • @nelsonhenry9482
    @nelsonhenry9482 Жыл бұрын

    Ameamua from the Chosen

  • @gichimujef8806
    @gichimujef8806 Жыл бұрын

    Master is always funny

  • @nono-xrwanda5960
    @nono-xrwanda5960 Жыл бұрын

    Let's be honest sisi rwanda 🇷🇼 tunafuatilia bongo star search kutoka kitambo , ila nataka niweke Hili wazii, Elisha munamnyanganya sana na hatujui aliwafanyia nini , if you keep doing those Kind of staff, this things gonna end very soon , nasema ukweli Elisha mziki wake baadhi yenu unawazidi hadhi kumjaji unawazini. Let me point my finger to Salam , wewe unamchukia elisha hadhi unaonesha mbere ya watu ,(ntacyo uzamutwara kabisa jya ureka amarangamutima) mbona munamchukia sanaa etti amekuja mala nyingu wengine ndo wanakuja mala ya kwanza? Efi Elisha is leaving this competition nothing that we are waiting there .

  • @kisadickson3276

    @kisadickson3276

    Жыл бұрын

    Kuna huyu jamaa yao magic ni zero..anaimba kawaida sana but sijui kwann wanambebelea....

  • @cobrachristian3685

    @cobrachristian3685

    Жыл бұрын

    😂😂😂😂mda mwingine anazingua lakini kuimba anajua

  • @kisadickson3276

    @kisadickson3276

    Жыл бұрын

    Kawaida sana yule hajawai imba akafanya watu washangae unajua kunamtu anaimba harafu mwenyew unasema huyu kweli...elisha anakipaji.mno zaidi huyo kijana wao

Келесі