UNITALENTSHOW|MAIN SHOW|SEASON 04|NUSU FAINALI |EPISODE 3
Ойын-сауық
Ni msimu wa Nne wa mashindano haya ya Kuibua Vipaji kwa Wanavyuo wakiwa wanapambana kuondoka na 10M kwa mshindi wa kwanza,mshindi wa pili kusepa na 3M na mshindi wa Tatu kusepa na 1M
Endelea kufatilia Mashindano haya ambayo hukujia Kila Jumapili Clouds TV
INSTAGRAM: UNITALENTSHOW
TIKTOK: UNITALENTSHOW
PRODUCTION: MAROON ENTERTAINMENT COMPANY LIMITED
#kipajichakokiwandachako #unitalentshow #season04
Пікірлер: 163
Tuliorudia kucheki 2024 Tujuane Untouchable🔥🔥🔥🔥
Kiukweli show zote za untouchable ni heat song kwenye rap sasa cjui atakosaje 10 million
Kabla hii show haijapostiwa naamini mwanangu UNTOUCHABLE HAWEZI NIANGUSHA KAMWE👊🏼👊🏼👊🏼👊🏼🙌🔥
@dancerboy2686
Жыл бұрын
✊
@bestialjaraf9735
Жыл бұрын
He's always my G yy ndio hinifanya nigingue unitalent
@angelazizi4831
Жыл бұрын
Woooooo ulisema na imekuw
Huyu untouchable ana kitu atafika mbali👏👏👏
Unitarent show mwaka huu kuna vipaji sio pw ngoja tuone itakuaje 🤳🎧🎧🎤🎤🎹🎹
Untouchable noma sana🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Untouchables anabalaaaa aisee
Untouchable Anastahili kushinda
Qatar workers tulike hapa tunaofatilia unitalent
Untouchable ni 🔥 🔥 🔥 🔥
Untouchable ni khaligraph wa bongo
fan of willium Bundara 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
for real kuna wengi wanataka kushinda mpka hapo walipofika ni washindi but baada ya kuangalia hii episode...try kuona ukweli untouchable is the best ....congrat bro
@alexkemero5275
Жыл бұрын
Wanalusha chanel gani kwani
Wiliam anajua bro utatoboa piga kazi ❤❤
Surely Ibrahim Ura's sound jmnjmn guys i sing but huyu kaka anasauti😋😋😋
untouchable he is not to be touched always he provide hit Songs 🔥
oya aiseee Ibrahim ana saut ya kipekeee weka like kam unamkubali
@preciousprecious7040
Жыл бұрын
Ni hatarii
@robertchachamuhere3505
Жыл бұрын
@@preciousprecious7040 ndio mzee
Untouchableee
Untouchable 🔥🔥🔥🔥 ni nomaaaaaah
Daah ila @untouchable broo me nakupa bars buku kaka 💥💥💥
Untouchable is invisible..u can't touch someone you don't see
Woiii untouchable ee bhn mekubali ur untouchable🫡❤️
Huyu Mathias mbn ni Joh makini kabisa🔥🔥🔥🔥
Untouchable asipokuwa mshindi cjui mtatuambia nn
untouchable ni mnymaa ila gaboo mnyama zaidi.....he has a unique rapping style
Untachable
untouchable real talent 🎉
SKS BEIBE UNTOUCHABLE
Kipaji hakijifichi lazima kujua nani bora zaidi👍💪
Untouchable 🔥🔥
Untouchable ni noma sana🦁🦁🦁🦁
Untouchable🔥🔥🔥
@anelisgidion8212
Жыл бұрын
Untouchable
Jmn Unitalentiiiii......Ibrahim urasa fo mi🤗🥰🙌
Kipaji mtaji kila mtu ajue sahihi kufanya Kwan kila ndoto asubuhi wewe utakuwa ww congratulate
Ibra anajuwa aixee nice song
Wahoooo🎉🎉🎉🎉 bonge la hip hap hiyo ni kweli manabii wamekuwa wengi 🎉🎉🎉
the untachable ndo kafanya nimeijua unitalent.....the man gat talent.......
Untouchable nakuaminiaaaaa
UNTOUCHABLE💥💥🙌
Kura yang kw untouchable na ibra urasa❤🎉🎉
Sks🦁
Untouchable never touched 🥰🔥🔥
Untouchable 🙌
Untouchable ana kitu atafika mbali sanaaa
Untouchable 🔥🔥🔥
The best untouchable your killing me also ibra Urasa uwiiii I admire you
Ain't seeing anyone touching #untouchable💥💥🔥
uyu msenge ibra ni nyokooooooooooooooo🥰🥰
Jamani nimerudia kumuangalia untouchable You kill it
Ibrahim 😘
Untouchable is on fire but all in all this season on behalf of my village ma ancestors I say wote wapo dope San #kaka mpishii officer #sharku #mr Ricky Ricky Mr watu waenjoy alfu waenjoy tena
That boy #untouchable is the champion
🔥🔥drop the shiiiiiit
untouchable is something else he never disappoints🔥🔥🙌
Untoucheble Kal Sanaa hiyo
Jamaa wakwanza bhna didiididij 💥😂😂😂😂
Buntala William na untachable ni wakali nawakuli mm
SKS baby untouchable.
Mwamba anajua ❤❤❤
sks Baby
William🔥🔥🔥❤
Untouchable
Uyo chriss brown wa tandale anaitishia usalama wa music wa bongo nomaa 😂😂
Untouchable is the best
That boy #ibrahim Musa.. is on 🔥
the real_untouchable! 📍❤
Mathias Gabo on 🔥🔥🔥
Untouchableee 01
Untouchable is real untouchable
Huyu gabo pigo zake Kama za G.Nako mwenyew kwanza had anafurah
Untachable so amazing
Untpuchable 🔥
Aliye imba wake me up mh 🔥🔥🔥🔥ana kipaji sana jmn ...🙌🏾
Sjui unaelewa maana ya goosebumps "ooouuwww " in leah's voice
Bundala umeweza sanaaaa
Clouds tv mida gani toweni maelezo vzr
Shida wanapendelea ila ukweli jamaa untonchable
Untouchableeeeeeeeeeeeeeeeee
UNTOUCHABLE NI MOTOO
Kaka untouchable no 🔥🔥🔥
mwana kaingia na wimbo wa ROMA mbele ya WAKAZI, waliosoma CUBA watakua wananielewa! 😁
❤𝐥𝐨𝐯𝐞 𝐭𝐡𝐞 𝐬𝐡𝐨𝐰 🇧🇮🇨🇩
Untouchable 🔥🔥📌📌📌 Lakin mjaribu kuweka utofauti Kati ya hio hop na RnB
Gody big up bro mungu yupo utafik MBL❤❤❤❤❤❤
Mathias Gabo Ameua sana🔥🔥🔥
Huyo Ibrahim anabana sauti mpaka inakosa hata mvuto , anatafuna maneno
Oya wamepita wengi lkn uyo untouchable 😂🙌🙌🙌😎
Anajua
Huyu untouchable anakitu sana Muangalien kwa jicho la Kipekee atafika mbali.
Untouchable mnyama huyu jama watu wanimanye❤
I am hip hop fan lakini huyu sijui Urasa like my kenyans friends wangesema hii imeendaa😀
Mathias Gabo ...uko fire sana kijana
Unshikikable 😂🙌
@_urbanmonk09
Жыл бұрын
😹😹 mamaeee
Tuekeeni huo ujumbe wakazi anasema ... Ambao kasema gabo
Untouchable is doing dope shit
William bundara anafaaa
Untouchable ndo umefany nijue hay mashindan 😂😂😂 god bles yo
Moto wa mkoloni hauzimwi na upepo wa msim mmoja
Untouchable u the best bro 🔥🚒🔥
Akuna wakumpinga dogo