UNITALENTSHOW|GRAND FINALE|SEASON 04|PART 3
Ойын-сауық
Ni msimu wa Nne wa mashindano haya ya Kuibua Vipaji kwa Wanavyuo wakiwa wanapambana kuondoka na 10M kwa mshindi wa kwanza,mshindi wa pili kusepa na 3M na mshindi wa Tatu kusepa na 1M
Endelea kufatilia Mashindano haya ambayo hukujia Kila Jumapili Clouds TV
INSTAGRAM: UNITALENTSHOW
TIKTOK: UNITALENTSHOW
PRODUCTION: MAROON ENTERTAINMENT COMPANY LIMITED
#kipajichakokiwandachako #unitalentshow #season04
Пікірлер: 28
Hawa majaji wanataka kuharibu mashindano wenyewe,,,badala ya kutangaza mshnd wanaleta habar za 50/50
Uyu mkali
Asee Urasa 😭 kwa nn hamjamtendea haki bhana , amevibisha sana
urasa alistahili kuwa mshindi.
Littleboy ANGEPEWA HELA YKE TU
❤❤❤
Mshindi wangu Sasa namba 1
surely we have talents
Littleboy ndo amefanya final iwe fire
Abdu ndoo mshindi aseee
Kama kawaida abduli
Achia like za finally #tellaaxistz
AbdulRahman namkubali na mashairi yalioenda skulini
Uyu mduduu n jin sio mtu aisee
Famasiala ama nn????
noma sana
U a de wine 4 re
Coz c unajua men
Abdul
Mbona wakwanza ndiye wa pili?
Abdul aisee
Majaji nimewakubali Sanaa hawana maneno ya kejeli kama wale wa BSS
@lastsimbatv1497
Жыл бұрын
Akir huna ww hujui smtmes maneno humjenga mtu
@lastsimbatv1497
Жыл бұрын
Sikiliza vocal za hawa alaf nenda bss ndo utajua mziki n kit kingne kule mtu akifika final anakua tyr ni msaniii aliyeiva
@mohamediddy5615
Жыл бұрын
@@lastsimbatv1497 sawa Asante ndug Haya Kuma la mamaaako Tuone Hilo neno litakujenga akili 😂😂
@merryaugustin8814
Жыл бұрын
@@mohamediddy5615😂😂😂😂😂daaaah ila ww
Urasa alikua na mwamba hii show sichoki kuacha kuangalia mwamba alikua na energy ya kutosha anajua kutumia band na kucheza na audience