IBRAHIM URASSA - AMAPIANO
Ойын-сауық
Ni msimu wa Nne wa mashindano haya ya Kuibua Vipaji kwa Wanavyuo wakiwa wanapambana kuondoka na 10M kwa mshindi wa kwanza,mshindi wa pili kusepa na 3M na mshindi wa Tatu kusepa na 1M
Endelea kufatilia Mashindano haya ambayo hukujia Kila Jumapili Clouds TV
INSTAGRAM: UNITALENTSHOW
TIKTOK: UNITALENTSHOW
PRODUCTION: MAROON ENTERTAINMENT COMPANY LIMITED
#kipajichakokiwandachako #unitalentshow #season04
Пікірлер: 40
Natamani kusia Ngoma yako ata moja
Uku n Bora kuliko bss
Woyo woyo 🎉❤
Hahahahaha majaji kazi mlikuwa nayo
Waoh 🌺
Mchagga akiona hela mbele ni shiiida big up
Yan wewe Kaka ulipaswa uwe no 1 Ila fitna tu Sasa ucjal toa nyimbo yako 1 tu watanzania wote tutakusupport
Big up brother....hongera sana kwa KAZI nzuri na kuonyesha kipaji....big up sana kwa familia YAKO ya Wana miburani sec...daima wako pamoja nawe ..I feel proud of you....big up
Unitlent is unfair the way haukukuwa wa kwanza.u deserve the 1rst place
Bro unakipaji sana. Utafika mbali. Watanzania wanahitaji Performance, Vibe, Entertainment, and Vocal unayo. Nakukaribisha kujifunza vingi Heavenly Vocal and Music School.
All of her performances were on top...
Wow! Amazing talent❤🎉🎉
Og unajuaaaaaaa
Oaaaa utaua familia so poa bro
Urasa ni fundi
Huyu jamaa alishika namba ngap jaman mbn hatar
Hao wapiga vyombo n dunia nyingne 😂😂😂😂khaaaaa
@tabyabelemwenebenga2311
8 ай бұрын
Umeona na ww kumbe.
Atareeeeeeee huyu mwambaaaaaaaa
🔥🔥🔥iki kisanga kingine👐👐
🔥🔥
Nice
Byser 😂🫡
Keep it up bro
Love
Nomasana
🔥🔥🔥
Mshindi wang
🔥🔥🔥🔥
Jamani angekosa ushindi uyu kaka ningesema uchawi upo
🎉🎉🎉🎉
Kazi kazi
Yani ww ndo ulistahili kushinda
Anakaa.costa kimpango
Charii chuga unajua jox umekaza kinoma man si chuga tuna kupa ligwala
Mlifanya tofauti hapa huyu ndo mshindi 2nayemjua sie
@mwljohnray1725
Жыл бұрын
Alikosa Akapewa Mdada, huyu ni wa pili
Me sioni talent. He could be a good MC and he can pull a crowd and has vibes. Lakini talent nop
@musicschool_tz7014
Жыл бұрын
Hujajua maana ya neno talent... MC pia ni talent.
@luperbukuku2659
8 ай бұрын
Na wewe yako😂