BONGO STAR SEARCH SEASON 11 EPISODE 11
Ойын-сауық
Tazama Full Episodes mpya za BSS SEASON 11 kwa wakati kwenye ST Swahili kila Jumapili saa 3 usiku, kupitia dikoda ya Startimes au App ya Startimes ON
:Vionjo vipya (BSS EXTRA) ni kila jumatatu, jumatano na Ijumaa saa 2:30 usiku ndani ya StarTimes Swahili Channel
Bongo Star Search
Follow Our Pages
Facebook: / bongostarsearch
Twitter: / bongostarsearch
Instagram: / bongostarsearch
SnapChat: BongoStarSearch
TikTok: bongostarsearch
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz
Пікірлер: 417
Yuzzo Yuzzo Yuzzo nimekuita Mara nyingi broo wewe ni mkali mnooo hujawahi kukosea wewe ni mshindi kila siku naamini na utakuwa star mkubwa amini nakwambia sitokagwi machozi ovyoovyo umenitoa machozi Mungu akusimamie narudia tena wajipange uko vizuri
Yusuph yusuph yusuph🤩😍😍😍nimekuita mara 3 ,,,we noma
Wa Congo tunapenda Bss... watching from USA 🇺🇸 #randykinamber
Master Jay na mupenda sana sababu ana sema kweli
Nawakubali sana wote walioingia final lakini kati ya Yusuph na Petro mmoja wao akishinda itakuwa sahihi sana kwa sababu hawa watu ni moto sana🎤🎶
Afu majaji wanakuwa na roho ya huruma, spendi.. Kuweni real km master J
@abdulrahimmohamed7066
3 жыл бұрын
We need salama back
Alfred😂😂😂😂💔🖐♥️♥️nmejikuta Nakupenda aseee dah
Hua nampenda sana Alfred
Yuzo boy #yussuph Nizzar ndio winer Wanangu wa rapper mikono juu
@irenemercy8070
3 жыл бұрын
pia mimi YUSUFU ndio mshindi wangu
Chugga stand up...... Alfred go go go
@owensankale4863
3 жыл бұрын
Trimio atamzika
@shemelsyi7419
3 жыл бұрын
Ukabira haumo
@hassanhamudy6639
3 жыл бұрын
@@shemelsyi7419 are you sure na unachosemaaa
@Ikkiyoongi
3 жыл бұрын
Fireeeeeeee big up alfred 🥰🥰🥰🥰😘😘😘
I hope that Alfred gets to come back. He is equally good. Am here for Yusufu
Jamani Mimi Bella angeniimbia tu kwa dakika kumi iyo sauti yake Ni nzur na very unique
Yusuf nizar 💥
Nizal kashamza yale maneno yao cc ni watoto wa mtaan mtoto wa mtaan unawajuwa wew
Elisha when you smile, you look awesome 😘😘👌🏽👌🏽 usiwe unalia bhanaaa
@marthasumaye6017
3 жыл бұрын
Elisha akilia anakuwa Kama fala vile ila ni mzuri Sana kwenye kuimba
@Jackiedaniel75
3 жыл бұрын
Sanaaa
Yusuphu you are number one
Uyu jamaaa nomaaa sanaaa hip hop mwaka huhu ama msimu huhu atikuwa juuu
Elisha Much love u Brother
Da madam litha na team yako mmetisha mungu awazidishie kwa kukuza vipaji vya watu love you so much
Yusuph brilliant boy very good performance..🔥🔥🔥❤️
Big up Alfred chugaaaa hyoooo
Yusuph and Alfred nawapenda mnooo kwakwel yan mnanpa rahaaaa wananikoma status
Mm ni shabiki wa Alfred, jmn chugaaa chugaaa... Ila naamini haikatai baba... Ila pia yusuph ur the best rapper.. Yaaan km Sio yusuph bhc Chuga jmn
Abuubakar upo juu ww ni star.....handsome...una sauti mtaratibu una heshma pia
Alfred anaonekana ni mtu anae muheshim mama for real
katika majaji wote ni master j pekee ndio mkweli ila wengine ni wanafki yaani utaona jaji kuanzia mwanzo wa show hado mwisho yeye anasifia tu yaan hata kutoa makosa hatoi so unashangaa huyu jaji makosa hayaoni kweli au? master j popote ulipo naomba ujijue wewe ni best jaji kuliko wote
Master J is real though sometimes kumuelewa ni ngum but most of the time huwa yuko real
@thepilot2530
3 жыл бұрын
Fr fr fr
Master yuko really Sanaa Na Ana sikio la Mziki big up mkongwe
Yusufu ndomshindi nakukbali sana
Yusuph is da best... Wish nipate iyo freestyle
Neema shida sio wimbo Mimi naona umeimba vizur saaa sana sana sana
I’m gonna cry if Yusuf doesn’t win 😭😭
@irenemercy8070
3 жыл бұрын
me too babe i pray that he wins tommorow
Elisha kweli anajuwa Sana kuliko wote
Mrudisheni Trillion thamani jamani kwa7bu anajua kuimba sana pia ameshaimba aina nyingi za mziki kama singeli, taharabu, bng flv na zingine juu
yusuph ndie mshindi wangu tayari hata asiposhinda atabaki kua mwana hip hop
Alfred juu nipo nyarugusu camp village yaR1 mkoani kigoma kasulu
Yusufu ndo mshindi
Elisha ndo mshind wang
I really love Bella📸
Kila unae muulizia kaanza kuimba muda mrefu sanaa, bongo njaa inatuumbua!
@helenamfimba2049
3 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
Master mgumu kama salama Safi Sana tunataka Waimbaji sii maigizo
Inshallah the best wins...me nawakubali wote,..Alfred pia mkali hopes he comes back...much love from Kenya ❤️❤️
The top 4 is awesome ❤️❤️❤️❤️👌🏽👌🏽👌🏽👌🏽
Yushph we ni jibwa unajua had unaboa see you as a winner
Takusindikiza kwenye siku zako 😂😂😂😂😂😂
Mombasa tujuane tunaofata bss ....imeuwa msimu huuu
@irenemercy8070
3 жыл бұрын
yusufu mshindi wetu
@jedidahadhiambo2432
3 жыл бұрын
Tupo bamburi fisheries presented
From Kenya Yusuph wewe ni Bazuu
Kheri Petro ashinde tuu maana yuzo na elisha ni wimbo mmoja tuu ni sawa na Rosa ree ft Bella...margaritha bado kidogo next year ashirki waliongezwa dah ...sijui mm ila Petro itakua fair for everyone. Alf Alfred dah nguo zinampendeza huyu kaka na anajua kuvaa mweee kuimba pia..Petro anajua kuimba na anafanana na anachoimba
Yusu kama yusu.. say Unoooo
Madam’s comment on Yusuf omg yeass mama , I love that boy so much
Love you Abubakar all the way from Kenya 🇰🇪 🇰🇪🇰🇪
Yusuph he is the best😘😘
Oy yusuph ukoo juu zaid y juu
Alichokwambia master J ndo cha ukwel@Fredy. Be humble
Yusuph nakukubali sana aiseeee uko bombaaaaaaa
ldriss umenichekeshaa aaa eti kandaa 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀Jini 😀😀😀😀😏😏 hongera Sana Elisha unavoko lajisia kali sanaaaaaaaa
Rahaaaa saanaaaa jamani yusufu🔥
Idris nakupenda bure from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Nasubiri yusuph aje awakalishe mafala wote
Namkubali xana master j
Petro kama hutoshinda mimi taumwa kwel 🤲🙏😘
Saf sana Jax ana ukubwa wa ndani kuimili pressure ataweza kupasua misukosuko ya game physically mental na spiritually pia attitude yake yakufokasi inaweza mleta Bob Malery mpya
Yusuph God blessed you...kaza❤❤❤❤
Yusuph ww nimshidi wang
Chugaa ni hatarriiiii
Huyu dogo Yusuf nomaa sana duuu! Kaza mdogo wang staili yako ya hip pop very unique. Wish your winner man 💪🏿🙏🏽 #Basitamedia from Turkey 🇹🇷 pamoja sana
@kelvinkindole7306
2 жыл бұрын
Nataka kuishi turkey
@basitamedia1780
2 жыл бұрын
@@kelvinkindole7306 check embassy ya Uturuki for more details it’s very simple
Yuzo yuzoo umetisha mdogo wangu
Idriss i love Uuu❤️❤️🇧🇮🇧🇮
Safiiii sana vijana
Ata diamond sio muimbaji sema ni mburudishaji
Bring back our Trillion jamaniiii
Apa mmenifurahisha😍😍😘😘😘
Yuzzo man you are a star #wagwan4ever
Yusuffffff Nizaaarrrr🔥
Best luck wenye m aenda finally much love
Master J naoma halembesh ni makavu live,watu wpo kazini🤣🤣😂😂😂
@preciousmohmed7372
3 жыл бұрын
Master j is always rude😏
@kevinydachi2574
3 жыл бұрын
Very. Nc.
@brightonchedego8100
3 жыл бұрын
Ukiona Master J anamkubari mtu tu ujue huyo ndye anayepita maana kura yake ndio inayowatoa na wengne nje ya mashindano,majaji wengine wao kila mshiriki ni kumpitisha tu🤣🤣🤣😂😂😂
@mariyammaria3366
3 жыл бұрын
@@preciousmohmed7372 kama hujamuelewa ndo utamuona rude bt kuna master wakubwa wamepitia kwake
Uyo rapper ni kwere
Uno nyagi ni mwaaa kabisa 😘❣️
Master j is so real men,,,,,
Yusuph gogogogogo
Yusufu mpe ushindi wake
Idris utaniuaa kwa kuchekaa oman parklane muanzilishi niliomfundisha suma Lee
, kura yangu acha nimpe mzee wa jeneza yupo juu
We Alfred acha uswahili wako hiyohiyo audience imekupigia kura mara 2 mbona haukusema kama watu wao wamenichagua.. Asiyekubali kushindwa si mshindani haukuwa na haja ya kuongea vibaya kumbuka majaji wananafasi ya kurudisha mtu 1 umejipunguzia credit kwa utovu wako wa nidhamu 😩
I love and ommy he is so cute and so funny him and Bella
Alfred ni mkali kinyama bhasi
@gladysfocus3232
3 жыл бұрын
Baridi laana
Trillion is gone but ni super star
Alfred u the best 👌
alfed hakupaswa kutoka
Yusuph yuko really 👏👏
Neeemaaaaaaaa 🥰🥰🥰🥰 Macho kodoooooooooooo
Estou assistir apartir de Mozambique e o meu apoio vai para YUZZO Forca yuzzo
Yusuph mbona Kama analudia iz nyimbo, si juz niliisikia hii,Ni ya Jana kweli
@alexinaalexis8807
3 жыл бұрын
Nashuku sio ya jana hii
yusufu ndo mshindi wetu jamani yusufu ndo mshindi
Elias wew unajua sana mziki
I love Margarita's Vibe ❤️❤️❤️😘😘
Ila Yusuf Jamanii🤣🤣
Et uka harminize na ukawa tembo wa mziki
Yusuf na chugaaaaa ni🔥🔥🔥🔥
Nakupenda Master J