NAMCHUKUA KAJALA & HAMISA | NAMUACHA ZARI | TANASHA HAJUI KUIMBA - RAYVANNY
Ойын-сауық
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Пікірлер: 185
Tanasha 4rever 🇰🇪🇶🇦 we love u mama Nj💞💞
@verahmunala4019
2 жыл бұрын
Yaaaaaas
@user-uv9sy8xc4h
2 жыл бұрын
Yeah
@rachelphilbert7394
2 жыл бұрын
Off course Yes
@osebegrace5002
2 жыл бұрын
Yeeeeeees
@rehemahayongo4159
2 жыл бұрын
Tanasha ako majuu with natural voice
The problem about them is that they don't understand Tanasha's songs, that is why they said she doesn't know how to sing. Those who know music knows she is a great singer with a unique voice and lyrics blending.
@Excuvation04
2 жыл бұрын
Imagine Ray didn't say tanasha doesn't know to sing,they just chose to clout chase via the title,so shameful
@TheNaturalThingsss
2 жыл бұрын
That's true
@BIIh-cp8pv
2 жыл бұрын
Very true
@mercylineandayi8357
2 жыл бұрын
Exactly
@odhiambo2419
2 жыл бұрын
Ray said tanasha sings better the title is misleading
Upendo huo shikamoooo‼️😍😍😍😍
Nyie Mumekuwa Wambea Sana Mpaka Mwaziraa Haswa. Mlicho Andika Sio yalio Zungumzwa Jana. Nimeangalia Mwanzo Mwisho. Wacheni Kuaribia Sifa Wasafi. Jingazzzz.
kichwa cha habari kibaya sana mnazingua
@CertifiedStoic
2 жыл бұрын
Yaani wamepotosha kabisa 😂
It was so hard to choose, but he still didn't it super 🥰😅😅🤣🤣
Kwanini mnakuwa wachafu badala ya wasafi Kichwa cha habari kichafu mmeandika uongo sicho alichokisema kuhusu T
Mbona sasa mlichoandika kwenye Title ni tofaut, Tanasha hajui Kuimba!!
@marthangowi9812
Жыл бұрын
Hawampendi
Wabaya sio wasafi Kichwa cha habari mmeandikaje kuhusu Tanasha. Tunaomba mufungiwe Kwa kutupotesha mitandaoni
@gracefavour_officialchanne7875
2 жыл бұрын
Headline na maneno hazipelekani.
@rachelphilbert7394
2 жыл бұрын
Kwakwel nikama kumchafua Tanasha so jambo jema hata mie sijaelewa
Eti Tanasha Ajui kuimba wewe Kaka Acha Roho mbaya Tanasha Anajua kushinda wewe Au lile bango la UK Tanasha kupostiwa limekuuma Msenge wew
Wasafi Media mnafeli wapi Amesema Tanasha anajua kuimba mnaandika eti hajui kuimba
@demycratia2567
2 жыл бұрын
Si ndio na Mimi nimerudi kuangalia kichwa cha habari wasafii Wana matatizo Kwa kweli kubalini yaishe
@margaret5629
2 жыл бұрын
@@demycratia2567 wacha tungojee konde TV labda wako na serious wandishi wa habari
@lilian2430
2 жыл бұрын
@@margaret5629 ukwel hawa wako na unafiki
Hapo hangaikeni lakin ukweli unajulikana zari ndio kiboko ya wote, sema hao wengine kawachagua coz mama mkwe na huyo mwingine no rafiki wa fahma
@mudickweyu9703
2 жыл бұрын
Kweli
Na hamisa pia Mzuri Ote wako powa Tanasha
Hakuna wa2waongo kama wasanii kam unakubali gonga like
sasa munamuweka zari NA kajala munategemea atamchagua nani 🤔🤔 NA wakat kajala ndiyo mama wa utamu wake
Kichwa cha habari haziendani na majibu,nilisikiza Ravvanny alisema Tanasha Donna anajua kuimba
Very good rayvan unaelewa muziki ni nini👏👏👏
Zari ❤️❤️♥️
Hashuo jingii hovyooo janaume zima
Tanasha kiboko yao
@aminaally5895
2 жыл бұрын
Kwel
😃😃😃😃😃 mzaaa chema jaman
Kweli tanasha anamzidi Mobeto ktk kuimba
napenda ngoma ya rayvanny here in kenya mostly when it has zero volume
@Bernicehair254
2 жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@mercynjambi6903
2 жыл бұрын
🤣🤣🤣wooi
@cybersecurityanditexperts_
2 жыл бұрын
haha
@jayloojayloo6699
2 жыл бұрын
🤭😂😂😂🤭
@tonygideonshow.
2 жыл бұрын
@@Bernicehair254 kzread.info/dash/bejne/doGHpqOcadq3fJc.html
Amesema tamasha anaimba vizuri sio hajui kuimba....
Big Sunday ya vann yaboesha sna
Naomba like ndugu za Rayvan
Tanasha hajui..kuimba..hamisa pia hajui kuimba
Upendo uoo hikamooo
Si anamnanihii mwanaeer
LISTEN TO THE WORDS OF A MAD MAN ILLUMINATE/@
Mimi bado nakumbuka what Dr Mutua ordered from Tz then akaletewa Rayvumbi😂
@bellvinceodhiambo39
2 жыл бұрын
Pwaha
@zeitunalinooralinoor439
2 жыл бұрын
😂😂😂😂
@chefabby3800
2 жыл бұрын
😂😂😂😂🤣
Tatzo bongo hatuna Yes or No , tuna maelezo mengi sana
@stuartkudeba
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/eK5sx7acqJO9qto.html
Hawezi kumchagua zali akacha mkwewake kajala 😂😂
@johasaeed391
2 жыл бұрын
huwo ni ujinga
@hopeeve3558
2 жыл бұрын
@@johasaeed391 akie 😂😂😂😂
Zari is family
Tiger one
🔥🔥🔥🔥
Amesema tanasha anajua kuimba kuliko hamisa..listen well
@stuartkudeba
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/eK5sx7acqJO9qto.html
Ila hajielewi kabisaaaa
🔥🔥
tanasha na nibonge mwanamke
Ravany lazima apendele kwao
So mumeeka caption mbaya ndio tu watch anyway Kenya twamkubali tanasha donna
Kichwa cha habari tafadhali
@fkahimbaza74
2 жыл бұрын
Kwa kwel
Nomasana
Mmekosea kasema tanasha anakuja kuliko hamissa
Mwandishi chanjo ya Corona ahijamuhacha salam
Munamupa kazi ngumu Ray
wanafiki sana hawa viblog uchwala kazi kuchonganisha watu tu na elimu yao ndogo
Kwani hamjui headline??
Amy gal jaribu kuvaa vizuri
Mmmmmmmmmh
Maswali zenyu ni funny sana sana
Mshamba sana huyu hajui mambo
😂😂😂Mama mkwe huyo lazima achaguliwe
Et miwani😀😀😀😀😀
Nonsense
Chui 🎉🎉
Namkubal sana chuwi
Haha...mwamtesa vanny
Kenya woman
😂😂hapo kwa nane nane wote pamenikaushaa
Angalia interview mpk mwisho kabla huja comment ❤️
Caption mbaya hapo
Poa sana uko aje
Tanasha na Zari lol😜
Tatizo ray hajasoma kabisa ndio maana Hana uwez wa kufikilia na kujib anachoulizwa
@popozpopoz456
2 жыл бұрын
Wewe umesoma wapi
@Excuvation04
2 жыл бұрын
Kusoma haki a kitu kinasaidia hapa, it's for his respect
Hamisa fundi
Kwakuvaa Bro???? Wacha ninyamaze
Ila mnyakyusa ana dharau huyu unamwitaje mama mkwe mawani😂😂
Reyvanni amesema tanasha anajua kuimba lakini nyinyi mwadika eti die ajui kuimbua kiswahili dio mwaogea nyinyi lakini kuelewa tatizo
Kajala
We dada kikaauchi ndio fashion
😂😂😂Miwaniiiii
Hahahaha 🤣🤣🤣🤣
@stuartkudeba
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/eK5sx7acqJO9qto.html
Amemchagua kajala sababu anamla mwanae
Bure kabisa rayvanny
Ray kasema tanasha but kichwa cha habari matata bure kabisa
Paula na kajala Nan mkali
Amygal kwani anajikuta nn huyo mxiiiu.
Hamisa anaimba nini????????
2
Haaaaaa! au kwavile kajala n mmkweeee! Zari n mrembo nyie
Headline yenu?
I was watching ur tv show bt since this title frankly its not good it will make ur chanel to be seeen as scam bcz whats written is not actually same as the scene
Hamisa Anajuwa kuimba nn ss una jipya
Rayvuvu
Nonesense
Huu ndio mlima loleza na maajabu yake (Mbeya)👇 kzread.info/dash/bejne/Z2VlmMiIndmvYJM.html
Baba umewekewa mkwe😂😂
Tanasha anamaliza zia diamond wote ila nyota hakana 😆😆😆mwenzangu na mie bahati nyingiii kazura chakitoto ila nyota mmmm hatunaga
sasa mbona yey kamchagua tanasha kua ndo anaimba vizur alaf nyie kichwa cha habar mmeandika kasema tanasha hajui kuimba 🙄
Mamamkwe😅😅😅
@stuartkudeba
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/eK5sx7acqJO9qto.html
Ray muongo
Anajishauwa tu analolote😏😏😏
Hamisa is bad news
@stuartkudeba
2 жыл бұрын
kzread.info/dash/bejne/eK5sx7acqJO9qto.html
Shida ni Rayvanny haelewi kizungu hata kidogo. U can't compare Tanasha with so called Kajala.tanasha is a super hero. Woman of dignity. Tanisha can only compete with artists who knows Fluenty English. Sasa wewe Ray si ulikuja Kenya juzi kizungu ikakushinda Alaaa
@upendochriss8234
2 жыл бұрын
Kwa kingereza kip anachokiimba Cha kushtua😂😂😂😂😂
Janjarooo😄😄😄 uliskia hii 👇 kzread.info/dash/bejne/iK6OqLWsZNTXmZc.html
Haha
😂😂😂diamond platnumz ka cheka sana sana baada yaku ona hii vidéo ebu jionee nawe ucheke 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇 kzread.info/dash/bejne/oK58tdace5fNZ8o.html
Alafu mmeandkia tanasha ajui nyie