BEHIND THE SCENE: ONA DUBE ALIVYOREKODIWA NA VIJANA WA YANGA KWENYE UTAMBULISHO WAKE.

Спорт

#timuyawananchi #daimambelenyumamwiko

Пікірлер: 297

  • @michaelchiza6795
    @michaelchiza67956 күн бұрын

    Kwa usajili huu Matola na Mgunda msikae mbali soon mtaitwa mmalizie ligi😂😂😂kama unaamini weka like yako apa

  • @ngoyaboy1590

    @ngoyaboy1590

    6 күн бұрын

    Hahaha wasjee wakasafiri wakaenda mkoan

  • @Stevmwamba2090

    @Stevmwamba2090

    6 күн бұрын

    Acha kuongea ukwel

  • @AllyJofrey-mg6ri

    @AllyJofrey-mg6ri

    6 күн бұрын

    Afu wana anza GSM amewekeza timu nyingi

  • @mariamjuma1670

    @mariamjuma1670

    6 күн бұрын

    😂😂😂😂mbavu zng awachelewi kufukuza kocha wakila 10 safi

  • @ndahanisimon6817

    @ndahanisimon6817

    6 күн бұрын

    😂😂😂😂

  • @user-jx4hu7bd2c
    @user-jx4hu7bd2c6 күн бұрын

    Karibu sana tem ya wananchii Prince dubeeeee

  • @halimasawa611
    @halimasawa6115 күн бұрын

    MashaAllah dube yuko n furaha wallah❤me nilikua nikithamn dube acheze yanga Alhmdhulillah ndoto yangu imekamilika Allah atujalie maisha marefu n baraka tuzidi kuona mafanikio ya team yetu pendwa

  • @dallovision
    @dallovision6 күн бұрын

    Hongera sana kazi kubwa inafanyika mnastahili kuwa ktk club kubwa

  • @selemanmcharazo
    @selemanmcharazo6 күн бұрын

    🎉🎉🎉🎉🎉 hivi hivi Ili Azam wasituchukulie poa kurubuni wachezaji wetu,aah hii nimeipenda fantastic kubwa kuliko.

  • @Evance-op4jw
    @Evance-op4jw6 күн бұрын

    hapa nimeami tunaenda kwenye mafanikio zaidi hongera uongoz Asante Mungu kwa unayo tujalia asante rais wetu injinia erres said asant wadhamini wetu asante wanachama wote nz wafadhili na bodi yoote ya Yanga

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi71086 күн бұрын

    Uhakika wa kumfunga kolo tushapata bado ligi ianze tu😅😅

  • @zuhuranasoro8923

    @zuhuranasoro8923

    5 күн бұрын

    Na huyu jamaa sasa alivo na hasira nao😅

  • @salmaamani7021

    @salmaamani7021

    2 күн бұрын

    😂😂😂

  • @Izzoh2021
    @Izzoh20216 күн бұрын

    Hii wale waandishi wa mchongo wameshindwa kuinasa hohohoho na hii ndio maana halisi ya team kubwa kula mswaki ikibidi hohoho

  • @AmanaAmos-hv3yz
    @AmanaAmos-hv3yz6 күн бұрын

    Nishafurai sasa nipo bze nashangaa ayo matoy mezani,,.. welcome team ya wananchi

  • @moiseszacariasmoisesmoises
    @moiseszacariasmoisesmoises6 күн бұрын

    jamani mashabiki wenzangu wa yanga,ayupo mtu yeyote yule ambae anaweza kunishawishi kuepukana na timu hii❤ mimi ni laiya wa 🇲🇿 cabo delgado.

  • @SalumKinyogori
    @SalumKinyogori6 күн бұрын

    Kalibu sana mtoto wa mfalme katika Tim ya kifalme

  • @SaraJinalangu

    @SaraJinalangu

    5 күн бұрын

    😅😅😅😅Sio kalibu Kalibu - karibu Rrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr😢😢😢kiswahili ni lugha yetu mama

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta96586 күн бұрын

    Aziz ki fridge ake bovu msirudie kumwambia kitu na huyu mwamba ni hatari Sema Azam sijui wanachezaga mpira Kwa lengo Gani msimlete baleke tafadhali 🙌🙌💚💛

  • @daudimolleltutafungatu5486

    @daudimolleltutafungatu5486

    6 күн бұрын

    Da kweli ase baleke hatumtaki huyo ila ongereni sana chama langu la yanga Kwa kumnasa mwamba huyo

  • @user-zo8ws7dy7g

    @user-zo8ws7dy7g

    6 күн бұрын

    Boss- unamjua Baleke? Ni poacher yule jamaa. Akiwa na Dube basi mabao yatakuwa mengi

  • @malietamalieta9658

    @malietamalieta9658

    6 күн бұрын

    @@user-zo8ws7dy7g namjua ila venye ashawai pita Kwa makolo Bora tu wamuache abaki msonda dube na clement ama wamlete ata sowah

  • @giddychanga

    @giddychanga

    5 күн бұрын

    Baleke na Dube ni watu wawil tofauti na hatar sana Mmoja mikimbio yake ni ndani ya box na mwingine hatar sana akitokea pemben

  • @SuhuurFarxaan

    @SuhuurFarxaan

    5 күн бұрын

    Kweli Ata mm simtaki

  • @BiasharaZetuPoint
    @BiasharaZetuPoint6 күн бұрын

    Nyie Dube anafuraha😍😍💚💛💚💛

  • @PatrickKimaro-do3lj
    @PatrickKimaro-do3lj6 күн бұрын

    ila mnajua kucheza na akili zetu hizo ndo gari anakabidhiwa dube

  • @User255tv
    @User255tv6 күн бұрын

    Kwa miaka 4 mfululizo kijana hakuwa na furaha huko Azam. Hatimaye katimiza ndoto yake ya kuichezea timu anayoipenda. Karibu sana Jangwani PMD.

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome59646 күн бұрын

    Hapo next level big up kazi inapigwa kiweredi sana

  • @Manywele.Maluja
    @Manywele.Maluja6 күн бұрын

    Mungu akukinge na majeraha mwambaaaa

  • @catherineamiri9854
    @catherineamiri98546 күн бұрын

    Wananchi hamlali jmn si saa nane hii😂😂😂

  • @augustinomkongwa5444
    @augustinomkongwa54446 күн бұрын

    Hii idara ya habari imepikwa ikapikika na imeiva mnatisha advert zenu siyo za nchi hii 👏👏👏!!!!

  • @user-zo8ws7dy7g
    @user-zo8ws7dy7g6 күн бұрын

    Aisee- kumbe kuna mambo mengi yanafanyika kabla ya kupostiwa. Hongereni

  • @ip_header
    @ip_header6 күн бұрын

    Hongera sana vijana mnaweka content za kisasa. Keep it up 🎉🎉🎉

  • @Le_petery
    @Le_petery6 күн бұрын

    You guys are working too hard out there. Shout out 💚💛 keep going..

  • @titomtokoma803
    @titomtokoma8036 күн бұрын

    Kweli nimeamini timu kubwa hufanya mamno makubwa kiweledi zaidi nimeanza kuona dalili ya TREBLE msimu huu 💚💛💚💛💚💛

  • @mussaissa6796

    @mussaissa6796

    5 күн бұрын

    YAANI KAMA NAKUAMINIA VILE

  • @athumanishabani1143
    @athumanishabani11436 күн бұрын

    Level za juu sana hiz !!!

  • @ayeshakhan1636
    @ayeshakhan16366 күн бұрын

    My team on fire

  • @user-wp5kv9sf5o
    @user-wp5kv9sf5o6 күн бұрын

    Irayanga itaja niuwamm imefanya hadi nimehana namkewangu irove yonga

  • @GraceMbulu-rp8ko
    @GraceMbulu-rp8ko6 күн бұрын

    Muuaji anae tabasam karibu ❤❤❤

  • @Baba-JJ
    @Baba-JJ6 күн бұрын

    Kwaheri EPL maana sijui kama msimu ujao tutaangalia EPL badala ya YANGA. 😂😂

  • @michaeljpm5597

    @michaeljpm5597

    6 күн бұрын

    Mm nilisha achaga kitambo

  • @erickkantona4791

    @erickkantona4791

    5 күн бұрын

    @@michaeljpm5597yaan ww ndo mm kabisa na vile man utd inazngua nfo cion radha kabisa na epl😅

  • @user-ox3ij7ki3t
    @user-ox3ij7ki3t6 күн бұрын

    Mmh huyu mwamba aliwaweza azam pale walipo halika tim zinazo mtaka zipeleke ofa mezani makolo wakapeleka na wale wasudani yanga tukakaa kimya ka vle hatujasikia alf mwamba akagomea ofa zao akasema hizo hela yuko tayar kulipa lakini awe huru daah prince alikuwa anaipenda sana yanga mwamba kabsa saiv wacheza wazur wanataman kichezea yanga wala hatutumii nguvu kubwa kuwashawishi

  • @SalumKinyogori
    @SalumKinyogori6 күн бұрын

    Kalibu sana yanga dubeeeeee 🎉

  • @user-qt7yd2ws9u
    @user-qt7yd2ws9u6 күн бұрын

    Murch love yanga Africa 💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt5 күн бұрын

    Mmetisha saaaana aiseee💛💚⭐⚽💯🦵

  • @trice_yanga
    @trice_yanga5 күн бұрын

    dube ana furaha sana😂😂

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo6 күн бұрын

    Kila la kheri dube😂😂😂😂

  • @monicalucas3738
    @monicalucas37385 күн бұрын

    Karibu mwana wa mfalme ktk club ya wafalme🥂👏👏

  • @Jeyb07.
    @Jeyb07.6 күн бұрын

    Dube anafurahi sana kutia saini yanga hivyo vitu hajawahi kufanya

  • @hildaelkana7132
    @hildaelkana71326 күн бұрын

    Tmu inapenda sifa hii😅

  • @DanielShedrack-e5v
    @DanielShedrack-e5v5 күн бұрын

    Kila la heri Dube. Nakuombea usipatwe na majeraha ya hovyooo Ili tufanikiwe kufika final ya champion 🏆 league.. pamoja na www 🏆🏆💛💛💚💚

  • @fatmaally7252
    @fatmaally72526 күн бұрын

    Aseeee yanga bwana tamu 😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @MSHAURIALLY
    @MSHAURIALLY5 күн бұрын

    Raha ya yanga ni kuwa mtu anaweza akaja kama mchezaj ila akaondoka na kipaji Cha uigizaji 😂😂 💚💛

  • @puridangote2701

    @puridangote2701

    5 күн бұрын

    Hii imekaa poa sana em kunywa soda bili nalipia mm😂😂😂😂

  • @Cuteeeee477
    @Cuteeeee4775 күн бұрын

    Afu kazuri dube kapole 💚💚💛🔰

  • @yasrikomba7874
    @yasrikomba78746 күн бұрын

    Kalibu yimu ya makombe dube ❤

  • @user-mp6zd2ui7r
    @user-mp6zd2ui7r6 күн бұрын

    Dubereeeeee

  • @arafatymakamenyange2665
    @arafatymakamenyange26656 күн бұрын

    dube yanga alikuwa anaitaka kama ushafatilia clip zake tofauti tofauti akihojiwa

  • @amaniomar1755

    @amaniomar1755

    6 күн бұрын

    Yanga wanasign wachezaji wanayoitaka ndio maana hawasumbuki kupata sign zao

  • @musamakuhana2200
    @musamakuhana22006 күн бұрын

    Daima mbele 💛💛💛💛💚💚💚💚

  • @chemstry409
    @chemstry4096 күн бұрын

    Tumuombe Mungu atupe uzima maana yajayo yanafurahisha....😂😂😂😂😂

  • @rogersiddy

    @rogersiddy

    6 күн бұрын

    Haswaaaaa Kuna mtu atakula Kono la nyani japo limesajili timu nzima😂😂😂😂😂😂🙌

  • @amaniomar1755

    @amaniomar1755

    6 күн бұрын

    Hapa ni Mungu tuuh 🎉🎉🎉

  • @fatmaally7252

    @fatmaally7252

    6 күн бұрын

    Amiiin inshallah

  • @MaishaMedstz
    @MaishaMedstz6 күн бұрын

    Wananchiiiiiiii

  • @JOHNAroyce
    @JOHNAroyce6 күн бұрын

    wataama makolo sijui? 😅😅😅😅😅😅

  • @bensonchota3461
    @bensonchota34616 күн бұрын

    Hivyo vitoycar kwenye picha zinaonekana magari makubwa kwelikweli😂😂😂 mambo ya technology hayo👏👏👏

  • @kanchitarshi
    @kanchitarshi5 күн бұрын

    👏👏 Wow am so happy to see you dube👏👏

  • @kolosii4351
    @kolosii43515 күн бұрын

    Dube HB sana. Halafu kanenepa ghafla. Ila nimefurahii mwenzenu.🎉🎉😂😂😂

  • @FirdausyAbubakary-bl2wo
    @FirdausyAbubakary-bl2wo5 күн бұрын

    Handsome boy in the house❤❤❤❤ Welcome young Boy to the Home of Champions🧡💛🧡💛🧡🧡💛💛💫💫💫💫💫

  • @frankndaturu5910
    @frankndaturu59105 күн бұрын

    Aseee karibu brother hii ni timu ya wananchi 💚💛💚💛

  • @user-zf1kh1ct5i
    @user-zf1kh1ct5i6 күн бұрын

    Priva abiud shayo,,, anasema timu ya azam wanaiwaza azam tv na ukiwa azam haitw champions league maneno ya abdulaziz

  • @ahmedalsaadi7108
    @ahmedalsaadi71086 күн бұрын

    Oyooo

  • @HamicKauno255
    @HamicKauno2556 күн бұрын

    Hivi ligi inaanza lini mbona NAOGOPA maafa yanayoenda kutokea msimu ujao wakina Deborah lazima wafarakane Uwanjan 💚💛💚💛💪

  • @fatmaally7252

    @fatmaally7252

    6 күн бұрын

    Kwani kwa jirani kuna Debo uko baaaah

  • @shaibusaady2420
    @shaibusaady24206 күн бұрын

    Allaah Akbar

  • @user-fc7zp2nd4m
    @user-fc7zp2nd4m6 күн бұрын

    💚💛💚💛💚💛💚 yanga mitano tena

  • @kabujeasukile5462
    @kabujeasukile54625 күн бұрын

    Vijana kweli Munapiga sana kazi nimependa ubunifu wenu💛💚💛💚💛💚

  • @aishabakari8040
    @aishabakari80406 күн бұрын

    Nampendaga huyu kaka jamani 🥺💚

  • @ErickBrichard

    @ErickBrichard

    6 күн бұрын

    Aisha ulale na wewe

  • @barikilangoy4737

    @barikilangoy4737

    6 күн бұрын

    Amekusikia

  • @nicholousmtemi3902

    @nicholousmtemi3902

    6 күн бұрын

    @@barikilangoy4737 hahahaha

  • @FrankMahuna-xb7lt

    @FrankMahuna-xb7lt

    6 күн бұрын

    Tafta no yake

  • @salmamlokela1987

    @salmamlokela1987

    6 күн бұрын

    Mmmmh ushaaanza na wewe

  • @ThomasWebiro-rs5yr
    @ThomasWebiro-rs5yr6 күн бұрын

    Nlisema sikusema endelea

  • @Mr.kigoma
    @Mr.kigoma5 күн бұрын

    Lakn kwa zaidi ya 99.5 naamin aziz hatakuwepo nae msimu ujao kwan naamin hakuna team kwa hapa tz ambayo inaweza kuwa na mcheza wa aina ya k aziz, chama, pacome hiyo ni ngumu ngoja tuone😂😂😂😂😂💚💛

  • @MoBecca-l2g
    @MoBecca-l2g6 күн бұрын

    Dubeeeeee

  • @jumakhatib892
    @jumakhatib8922 күн бұрын

    ALHAMDULILLAH ALHAMDULILLAH ALLAH KARIM tumepata striker yanga

  • @Shadia544
    @Shadia5445 күн бұрын

    Kwa hiyo makolo wakiteseka jeee😂😂😂😂😂

  • @amaniomar1755
    @amaniomar17556 күн бұрын

    Mwamba kwelikweli 🎉🎉🎉 #mwnawamfalme katua rasmi

  • @errydeo8865
    @errydeo88655 күн бұрын

    Ukisikia BEHIND SCENES,ndo hizi! Yaani mchezaji environment tu! Morali tayari! Raha ni pale kwamba hivi vitu vinafanyika JANGWANI!!!! NA YANGA INA PROFFESIONALS IN ALL AREAS!..Love FROM Cambridge UK

  • @ceciliaathanas751
    @ceciliaathanas7515 күн бұрын

    Kumbe Dube anajua kuongea Kiswahili vizuri kabisaa wow

  • @hamisishabani4072
    @hamisishabani40725 күн бұрын

    DUBE KARIBU SANA,KWA WANANCHI WENZIO,TUMEKUELEWA UNAMEPENZI MAKUBWA KABISA NA CLUB YAKO YA YANGA AFRICAN'S,TIMU AMBAYO INAWAKILISHA VIJANA WOTE WA KIAFRIKA,BILA KUJALI MIPAKA YETU,AFRIKA NI MOJA.KARIBU UIPAMBANIE CLUB YAKO PENDWA,HAPA NCHINI,AFRIKA NA NJE YA AFRIKA!!! WELCOME HOME YOUNG AFRICAN,PRINCE DUBE,NGYABONGA KAKULU MFUETU!!! YANGA IMARA!! DAIMA MBELE!! NYUMA MWIKO.MAPAMBANO YANAENDELEA.VITA MBELE!!!

  • @Sumaiyafisoo
    @Sumaiyafisoo6 күн бұрын

    Yangaa 🎉🎉🎉

  • @meddymachozy1815
    @meddymachozy18156 күн бұрын

    Welcome dube

  • @zakiakondo2849
    @zakiakondo28495 күн бұрын

    Prince anaona raha anaenjoy kafurahi kabisa 💚💚💚💛💛💛

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka18275 күн бұрын

    Alhamndulilah namshukuru M/Mungu

  • @saliieking7279
    @saliieking72795 күн бұрын

    Siamini macho yangu tumemsajili dube YANGA TAIFA KUBWA

  • @Jumachilowe
    @Jumachilowe6 күн бұрын

    hii taasis iko pw xn dah yng raha

  • @user-ql6hg7fy9p
    @user-ql6hg7fy9p5 күн бұрын

    Usajili bora kwa wakati sahihi, ikawe heri kwake, Mungu amweke mbali na majeraha ili aweze toa kila bora zaidi, kwa kila hatua Mungu awe pamoja naye.

  • @IbrahimMussa-c3t
    @IbrahimMussa-c3t5 күн бұрын

    Karibu mwana wa king 💛💚🔥🔥

  • @DjFae.b255
    @DjFae.b2555 күн бұрын

    Kunawatu awata ludisha team kipindi Cha pili uwanjani minipo kalibu San yangasc 💚💛 dube 🔥🔥

  • @SixmundPonera-ft8ts
    @SixmundPonera-ft8ts5 күн бұрын

    Dube ni kama anajilaumu kuchelewa kujiunga na club hii kubwa kabisa young African

  • @HappyKitindi
    @HappyKitindi5 күн бұрын

    Mungu yuko kwny akili yangu muda wote, niliwahi kutamani feisal kuchezea yanga akiwa jku ikatokea kweli, nilitaman azizi k akiwa asec akiwanyoosha makolo aje yanga ikawa kweli, pakome japo sikutaraji kama tungempata kwasababu uwezo wake uko juu sana, nilitaman sana chama imekuwa japo amechelewa, huyu dube ndo usiseme yaani nina furaha sana ushukuriwe Mungu, sasa namtamani sana Fuentes beki ya kati ya azam pamoja na kinzumbi tp mazembe pamoja na kipre juniour japo ni ngumu kuwapata

  • @marymoshi572
    @marymoshi5725 күн бұрын

    Dube yupo excited sana na feel kabisa yani anavyo ipenda yanga🎉

  • @Carolina-sm5zt
    @Carolina-sm5zt6 күн бұрын

    Karibu Jangwani Safi sana Cha la wenyewe 🎉🎉🎉

  • @JuliusTemu
    @JuliusTemu5 күн бұрын

    Kama una stress Angalia match za yanga

  • @SadKazimbaya
    @SadKazimbaya5 күн бұрын

    Yani kweli mnajitia ujinga sana hivi mnaangaika kwenda kukodi vitu ili tu DUBE afike sehemu nzuri mnaacha kutengeneza kwenu kuwe pqnzuri nyinyi bqdo mnaangaika na kukodi sehemu.

  • @monicalucas3738
    @monicalucas37385 күн бұрын

    MUNGU tunaomba umlimde Dube na husband za watu kipaji Chale kidumu na atufanyie maajabu ya ufungaji ktk timu yetu pendwa Yanga 🙏🙏🙏

  • @HalidiKilale-i8i
    @HalidiKilale-i8i6 күн бұрын

    Mbona wananchi mnaangaika makelele tu..kweli nyie vyura bado saana....mmezoea kuiga.sasa mmeandaa vizuri utambulisho mmesahau utaratibu. Hamna jipya...

  • @trice_yanga

    @trice_yanga

    5 күн бұрын

    asante Kwa kutufatilia mpaka huku KZread 😂😂

  • @user-hk4hk4gd5x
    @user-hk4hk4gd5x5 күн бұрын

    Masha Allah

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr45145 күн бұрын

    Hapa bila shaka jemedar karidhika kwa utambulisho huu 😂😂😂

  • @barakahmichaels1631
    @barakahmichaels16316 күн бұрын

    🔥🔥🔥

  • @francofisinge137
    @francofisinge1376 күн бұрын

    Katibu kiboko ya kolo

  • @AdamSteven-z6n
    @AdamSteven-z6n6 күн бұрын

    Nilikua sijuagi kwanini dube alikua anapenda kuifunga yanga kumbe alikua anaipenda alitaka asajiliwe kwenye raha

  • @sonicaghendewa9886
    @sonicaghendewa98865 күн бұрын

    Dube yuko na smile sio poa😂😂😂

  • @sulleymanjimmy2214
    @sulleymanjimmy22145 күн бұрын

    Dube na Kiswahili 🙌🙌👏👏👏👏🔥🔥

  • @EliaMkumbo-wn7bm
    @EliaMkumbo-wn7bm5 күн бұрын

    Mwana wa mfalme mpemelele dube karibu timu ya wananchi karibu saana mwamba utupe raha wananchi ukisikia dubeeeeee tayari nyavu

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib6 күн бұрын

    Kalibu dube lyondio yanga utambulishauo siokule kw.kolo

  • @thejelycho5087
    @thejelycho50876 күн бұрын

    Unyam

  • @IdrisaAbdallah-pf4mw
    @IdrisaAbdallah-pf4mw6 күн бұрын

    Mmenikatisha usingz sielew kama leo nitalala aisee nahis wanga wanakuja kuroga wanamaindi kunikuta nipo macho

  • @hidayahassan8014

    @hidayahassan8014

    6 күн бұрын

    😂😂😂

  • @marthastephen6600

    @marthastephen6600

    6 күн бұрын

    😂😂😂😂nyiiiee tutafte hela

  • @maxwellmarko7007
    @maxwellmarko70075 күн бұрын

    Nyiee adi dube anafrhia kabisa kwani kuna shidoo 😅 watapata tabuu

  • @maxwellmarko7007

    @maxwellmarko7007

    5 күн бұрын

    Kazi kwake mpenja 😊

  • @CharlesNdaki-mb5kt
    @CharlesNdaki-mb5kt6 күн бұрын

    Hiv vigali ndo vinatusumbuwa

  • @SaraJinalangu
    @SaraJinalangu5 күн бұрын

    Ki ukweli huuu mvulana kajawa na furaha kutoka moyoni 😅😅😅Yanga raha

Келесі