MashaAllah dube yuko n furaha wallah❤me nilikua nikithamn dube acheze yanga Alhmdhulillah ndoto yangu imekamilika Allah atujalie maisha marefu n baraka tuzidi kuona mafanikio ya team yetu pendwa
@dallovision6 күн бұрын
Hongera sana kazi kubwa inafanyika mnastahili kuwa ktk club kubwa
@selemanmcharazo6 күн бұрын
🎉🎉🎉🎉🎉 hivi hivi Ili Azam wasituchukulie poa kurubuni wachezaji wetu,aah hii nimeipenda fantastic kubwa kuliko.
@Evance-op4jw6 күн бұрын
hapa nimeami tunaenda kwenye mafanikio zaidi hongera uongoz Asante Mungu kwa unayo tujalia asante rais wetu injinia erres said asant wadhamini wetu asante wanachama wote nz wafadhili na bodi yoote ya Yanga
@ahmedalsaadi71086 күн бұрын
Uhakika wa kumfunga kolo tushapata bado ligi ianze tu😅😅
@zuhuranasoro8923
5 күн бұрын
Na huyu jamaa sasa alivo na hasira nao😅
@salmaamani7021
2 күн бұрын
😂😂😂
@Izzoh20216 күн бұрын
Hii wale waandishi wa mchongo wameshindwa kuinasa hohohoho na hii ndio maana halisi ya team kubwa kula mswaki ikibidi hohoho
@AmanaAmos-hv3yz6 күн бұрын
Nishafurai sasa nipo bze nashangaa ayo matoy mezani,,.. welcome team ya wananchi
@moiseszacariasmoisesmoises6 күн бұрын
jamani mashabiki wenzangu wa yanga,ayupo mtu yeyote yule ambae anaweza kunishawishi kuepukana na timu hii❤ mimi ni laiya wa 🇲🇿 cabo delgado.
@SalumKinyogori6 күн бұрын
Kalibu sana mtoto wa mfalme katika Tim ya kifalme
@SaraJinalangu
5 күн бұрын
😅😅😅😅Sio kalibu Kalibu - karibu Rrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr😢😢😢kiswahili ni lugha yetu mama
@malietamalieta96586 күн бұрын
Aziz ki fridge ake bovu msirudie kumwambia kitu na huyu mwamba ni hatari Sema Azam sijui wanachezaga mpira Kwa lengo Gani msimlete baleke tafadhali 🙌🙌💚💛
@daudimolleltutafungatu5486
6 күн бұрын
Da kweli ase baleke hatumtaki huyo ila ongereni sana chama langu la yanga Kwa kumnasa mwamba huyo
@user-zo8ws7dy7g
6 күн бұрын
Boss- unamjua Baleke? Ni poacher yule jamaa. Akiwa na Dube basi mabao yatakuwa mengi
@malietamalieta9658
6 күн бұрын
@@user-zo8ws7dy7g namjua ila venye ashawai pita Kwa makolo Bora tu wamuache abaki msonda dube na clement ama wamlete ata sowah
@giddychanga
5 күн бұрын
Baleke na Dube ni watu wawil tofauti na hatar sana Mmoja mikimbio yake ni ndani ya box na mwingine hatar sana akitokea pemben
@SuhuurFarxaan
5 күн бұрын
Kweli Ata mm simtaki
@BiasharaZetuPoint6 күн бұрын
Nyie Dube anafuraha😍😍💚💛💚💛
@PatrickKimaro-do3lj6 күн бұрын
ila mnajua kucheza na akili zetu hizo ndo gari anakabidhiwa dube
@User255tv6 күн бұрын
Kwa miaka 4 mfululizo kijana hakuwa na furaha huko Azam. Hatimaye katimiza ndoto yake ya kuichezea timu anayoipenda. Karibu sana Jangwani PMD.
@mhinajerome59646 күн бұрын
Hapo next level big up kazi inapigwa kiweredi sana
@Manywele.Maluja6 күн бұрын
Mungu akukinge na majeraha mwambaaaa
@catherineamiri98546 күн бұрын
Wananchi hamlali jmn si saa nane hii😂😂😂
@augustinomkongwa54446 күн бұрын
Hii idara ya habari imepikwa ikapikika na imeiva mnatisha advert zenu siyo za nchi hii 👏👏👏!!!!
@user-zo8ws7dy7g6 күн бұрын
Aisee- kumbe kuna mambo mengi yanafanyika kabla ya kupostiwa. Hongereni
@ip_header6 күн бұрын
Hongera sana vijana mnaweka content za kisasa. Keep it up 🎉🎉🎉
@Le_petery6 күн бұрын
You guys are working too hard out there. Shout out 💚💛 keep going..
@titomtokoma8036 күн бұрын
Kweli nimeamini timu kubwa hufanya mamno makubwa kiweledi zaidi nimeanza kuona dalili ya TREBLE msimu huu 💚💛💚💛💚💛
@mussaissa6796
5 күн бұрын
YAANI KAMA NAKUAMINIA VILE
@athumanishabani11436 күн бұрын
Level za juu sana hiz !!!
@ayeshakhan16366 күн бұрын
My team on fire
@user-wp5kv9sf5o6 күн бұрын
Irayanga itaja niuwamm imefanya hadi nimehana namkewangu irove yonga
@GraceMbulu-rp8ko6 күн бұрын
Muuaji anae tabasam karibu ❤❤❤
@Baba-JJ6 күн бұрын
Kwaheri EPL maana sijui kama msimu ujao tutaangalia EPL badala ya YANGA. 😂😂
@michaeljpm5597
6 күн бұрын
Mm nilisha achaga kitambo
@erickkantona4791
5 күн бұрын
@@michaeljpm5597yaan ww ndo mm kabisa na vile man utd inazngua nfo cion radha kabisa na epl😅
@user-ox3ij7ki3t6 күн бұрын
Mmh huyu mwamba aliwaweza azam pale walipo halika tim zinazo mtaka zipeleke ofa mezani makolo wakapeleka na wale wasudani yanga tukakaa kimya ka vle hatujasikia alf mwamba akagomea ofa zao akasema hizo hela yuko tayar kulipa lakini awe huru daah prince alikuwa anaipenda sana yanga mwamba kabsa saiv wacheza wazur wanataman kichezea yanga wala hatutumii nguvu kubwa kuwashawishi
@SalumKinyogori6 күн бұрын
Kalibu sana yanga dubeeeeee 🎉
@user-qt7yd2ws9u6 күн бұрын
Murch love yanga Africa 💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛
@PanchoValentino-wh7wt5 күн бұрын
Mmetisha saaaana aiseee💛💚⭐⚽💯🦵
@trice_yanga5 күн бұрын
dube ana furaha sana😂😂
@Sumaiyafisoo6 күн бұрын
Kila la kheri dube😂😂😂😂
@monicalucas37385 күн бұрын
Karibu mwana wa mfalme ktk club ya wafalme🥂👏👏
@Jeyb07.6 күн бұрын
Dube anafurahi sana kutia saini yanga hivyo vitu hajawahi kufanya
@hildaelkana71326 күн бұрын
Tmu inapenda sifa hii😅
@DanielShedrack-e5v5 күн бұрын
Kila la heri Dube. Nakuombea usipatwe na majeraha ya hovyooo Ili tufanikiwe kufika final ya champion 🏆 league.. pamoja na www 🏆🏆💛💛💚💚
@fatmaally72526 күн бұрын
Aseeee yanga bwana tamu 😂😂😂😂😂😂😂😂
@MSHAURIALLY5 күн бұрын
Raha ya yanga ni kuwa mtu anaweza akaja kama mchezaj ila akaondoka na kipaji Cha uigizaji 😂😂 💚💛
@puridangote2701
5 күн бұрын
Hii imekaa poa sana em kunywa soda bili nalipia mm😂😂😂😂
@Cuteeeee4775 күн бұрын
Afu kazuri dube kapole 💚💚💛🔰
@yasrikomba78746 күн бұрын
Kalibu yimu ya makombe dube ❤
@user-mp6zd2ui7r6 күн бұрын
Dubereeeeee
@arafatymakamenyange26656 күн бұрын
dube yanga alikuwa anaitaka kama ushafatilia clip zake tofauti tofauti akihojiwa
@amaniomar1755
6 күн бұрын
Yanga wanasign wachezaji wanayoitaka ndio maana hawasumbuki kupata sign zao
@musamakuhana22006 күн бұрын
Daima mbele 💛💛💛💛💚💚💚💚
@chemstry4096 күн бұрын
Tumuombe Mungu atupe uzima maana yajayo yanafurahisha....😂😂😂😂😂
@rogersiddy
6 күн бұрын
Haswaaaaa Kuna mtu atakula Kono la nyani japo limesajili timu nzima😂😂😂😂😂😂🙌
@amaniomar1755
6 күн бұрын
Hapa ni Mungu tuuh 🎉🎉🎉
@fatmaally7252
6 күн бұрын
Amiiin inshallah
@MaishaMedstz6 күн бұрын
Wananchiiiiiiii
@JOHNAroyce6 күн бұрын
wataama makolo sijui? 😅😅😅😅😅😅
@bensonchota34616 күн бұрын
Hivyo vitoycar kwenye picha zinaonekana magari makubwa kwelikweli😂😂😂 mambo ya technology hayo👏👏👏
@kanchitarshi5 күн бұрын
👏👏 Wow am so happy to see you dube👏👏
@kolosii43515 күн бұрын
Dube HB sana. Halafu kanenepa ghafla. Ila nimefurahii mwenzenu.🎉🎉😂😂😂
@FirdausyAbubakary-bl2wo5 күн бұрын
Handsome boy in the house❤❤❤❤ Welcome young Boy to the Home of Champions🧡💛🧡💛🧡🧡💛💛💫💫💫💫💫
@frankndaturu59105 күн бұрын
Aseee karibu brother hii ni timu ya wananchi 💚💛💚💛
@user-zf1kh1ct5i6 күн бұрын
Priva abiud shayo,,, anasema timu ya azam wanaiwaza azam tv na ukiwa azam haitw champions league maneno ya abdulaziz
@ahmedalsaadi71086 күн бұрын
Oyooo
@HamicKauno2556 күн бұрын
Hivi ligi inaanza lini mbona NAOGOPA maafa yanayoenda kutokea msimu ujao wakina Deborah lazima wafarakane Uwanjan 💚💛💚💛💪
@fatmaally7252
6 күн бұрын
Kwani kwa jirani kuna Debo uko baaaah
@shaibusaady24206 күн бұрын
Allaah Akbar
@user-fc7zp2nd4m6 күн бұрын
💚💛💚💛💚💛💚 yanga mitano tena
@kabujeasukile54625 күн бұрын
Vijana kweli Munapiga sana kazi nimependa ubunifu wenu💛💚💛💚💛💚
@aishabakari80406 күн бұрын
Nampendaga huyu kaka jamani 🥺💚
@ErickBrichard
6 күн бұрын
Aisha ulale na wewe
@barikilangoy4737
6 күн бұрын
Amekusikia
@nicholousmtemi3902
6 күн бұрын
@@barikilangoy4737 hahahaha
@FrankMahuna-xb7lt
6 күн бұрын
Tafta no yake
@salmamlokela1987
6 күн бұрын
Mmmmh ushaaanza na wewe
@ThomasWebiro-rs5yr6 күн бұрын
Nlisema sikusema endelea
@Mr.kigoma5 күн бұрын
Lakn kwa zaidi ya 99.5 naamin aziz hatakuwepo nae msimu ujao kwan naamin hakuna team kwa hapa tz ambayo inaweza kuwa na mcheza wa aina ya k aziz, chama, pacome hiyo ni ngumu ngoja tuone😂😂😂😂😂💚💛
@MoBecca-l2g6 күн бұрын
Dubeeeeee
@jumakhatib8922 күн бұрын
ALHAMDULILLAH ALHAMDULILLAH ALLAH KARIM tumepata striker yanga
@Shadia5445 күн бұрын
Kwa hiyo makolo wakiteseka jeee😂😂😂😂😂
@amaniomar17556 күн бұрын
Mwamba kwelikweli 🎉🎉🎉 #mwnawamfalme katua rasmi
@errydeo88655 күн бұрын
Ukisikia BEHIND SCENES,ndo hizi! Yaani mchezaji environment tu! Morali tayari! Raha ni pale kwamba hivi vitu vinafanyika JANGWANI!!!! NA YANGA INA PROFFESIONALS IN ALL AREAS!..Love FROM Cambridge UK
DUBE KARIBU SANA,KWA WANANCHI WENZIO,TUMEKUELEWA UNAMEPENZI MAKUBWA KABISA NA CLUB YAKO YA YANGA AFRICAN'S,TIMU AMBAYO INAWAKILISHA VIJANA WOTE WA KIAFRIKA,BILA KUJALI MIPAKA YETU,AFRIKA NI MOJA.KARIBU UIPAMBANIE CLUB YAKO PENDWA,HAPA NCHINI,AFRIKA NA NJE YA AFRIKA!!! WELCOME HOME YOUNG AFRICAN,PRINCE DUBE,NGYABONGA KAKULU MFUETU!!! YANGA IMARA!! DAIMA MBELE!! NYUMA MWIKO.MAPAMBANO YANAENDELEA.VITA MBELE!!!
@Sumaiyafisoo6 күн бұрын
Yangaa 🎉🎉🎉
@meddymachozy18156 күн бұрын
Welcome dube
@zakiakondo28495 күн бұрын
Prince anaona raha anaenjoy kafurahi kabisa 💚💚💚💛💛💛
@rukiakyaka18275 күн бұрын
Alhamndulilah namshukuru M/Mungu
@saliieking72795 күн бұрын
Siamini macho yangu tumemsajili dube YANGA TAIFA KUBWA
@Jumachilowe6 күн бұрын
hii taasis iko pw xn dah yng raha
@user-ql6hg7fy9p5 күн бұрын
Usajili bora kwa wakati sahihi, ikawe heri kwake, Mungu amweke mbali na majeraha ili aweze toa kila bora zaidi, kwa kila hatua Mungu awe pamoja naye.
@IbrahimMussa-c3t5 күн бұрын
Karibu mwana wa king 💛💚🔥🔥
@DjFae.b2555 күн бұрын
Kunawatu awata ludisha team kipindi Cha pili uwanjani minipo kalibu San yangasc 💚💛 dube 🔥🔥
@SixmundPonera-ft8ts5 күн бұрын
Dube ni kama anajilaumu kuchelewa kujiunga na club hii kubwa kabisa young African
@HappyKitindi5 күн бұрын
Mungu yuko kwny akili yangu muda wote, niliwahi kutamani feisal kuchezea yanga akiwa jku ikatokea kweli, nilitaman azizi k akiwa asec akiwanyoosha makolo aje yanga ikawa kweli, pakome japo sikutaraji kama tungempata kwasababu uwezo wake uko juu sana, nilitaman sana chama imekuwa japo amechelewa, huyu dube ndo usiseme yaani nina furaha sana ushukuriwe Mungu, sasa namtamani sana Fuentes beki ya kati ya azam pamoja na kinzumbi tp mazembe pamoja na kipre juniour japo ni ngumu kuwapata
@marymoshi5725 күн бұрын
Dube yupo excited sana na feel kabisa yani anavyo ipenda yanga🎉
@Carolina-sm5zt6 күн бұрын
Karibu Jangwani Safi sana Cha la wenyewe 🎉🎉🎉
@JuliusTemu5 күн бұрын
Kama una stress Angalia match za yanga
@SadKazimbaya5 күн бұрын
Yani kweli mnajitia ujinga sana hivi mnaangaika kwenda kukodi vitu ili tu DUBE afike sehemu nzuri mnaacha kutengeneza kwenu kuwe pqnzuri nyinyi bqdo mnaangaika na kukodi sehemu.
@monicalucas37385 күн бұрын
MUNGU tunaomba umlimde Dube na husband za watu kipaji Chale kidumu na atufanyie maajabu ya ufungaji ktk timu yetu pendwa Yanga 🙏🙏🙏
Пікірлер: 297
Kwa usajili huu Matola na Mgunda msikae mbali soon mtaitwa mmalizie ligi😂😂😂kama unaamini weka like yako apa
@ngoyaboy1590
6 күн бұрын
Hahaha wasjee wakasafiri wakaenda mkoan
@Stevmwamba2090
6 күн бұрын
Acha kuongea ukwel
@AllyJofrey-mg6ri
6 күн бұрын
Afu wana anza GSM amewekeza timu nyingi
@mariamjuma1670
6 күн бұрын
😂😂😂😂mbavu zng awachelewi kufukuza kocha wakila 10 safi
@ndahanisimon6817
6 күн бұрын
😂😂😂😂
Karibu sana tem ya wananchii Prince dubeeeee
MashaAllah dube yuko n furaha wallah❤me nilikua nikithamn dube acheze yanga Alhmdhulillah ndoto yangu imekamilika Allah atujalie maisha marefu n baraka tuzidi kuona mafanikio ya team yetu pendwa
Hongera sana kazi kubwa inafanyika mnastahili kuwa ktk club kubwa
🎉🎉🎉🎉🎉 hivi hivi Ili Azam wasituchukulie poa kurubuni wachezaji wetu,aah hii nimeipenda fantastic kubwa kuliko.
hapa nimeami tunaenda kwenye mafanikio zaidi hongera uongoz Asante Mungu kwa unayo tujalia asante rais wetu injinia erres said asant wadhamini wetu asante wanachama wote nz wafadhili na bodi yoote ya Yanga
Uhakika wa kumfunga kolo tushapata bado ligi ianze tu😅😅
@zuhuranasoro8923
5 күн бұрын
Na huyu jamaa sasa alivo na hasira nao😅
@salmaamani7021
2 күн бұрын
😂😂😂
Hii wale waandishi wa mchongo wameshindwa kuinasa hohohoho na hii ndio maana halisi ya team kubwa kula mswaki ikibidi hohoho
Nishafurai sasa nipo bze nashangaa ayo matoy mezani,,.. welcome team ya wananchi
jamani mashabiki wenzangu wa yanga,ayupo mtu yeyote yule ambae anaweza kunishawishi kuepukana na timu hii❤ mimi ni laiya wa 🇲🇿 cabo delgado.
Kalibu sana mtoto wa mfalme katika Tim ya kifalme
@SaraJinalangu
5 күн бұрын
😅😅😅😅Sio kalibu Kalibu - karibu Rrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr😢😢😢kiswahili ni lugha yetu mama
Aziz ki fridge ake bovu msirudie kumwambia kitu na huyu mwamba ni hatari Sema Azam sijui wanachezaga mpira Kwa lengo Gani msimlete baleke tafadhali 🙌🙌💚💛
@daudimolleltutafungatu5486
6 күн бұрын
Da kweli ase baleke hatumtaki huyo ila ongereni sana chama langu la yanga Kwa kumnasa mwamba huyo
@user-zo8ws7dy7g
6 күн бұрын
Boss- unamjua Baleke? Ni poacher yule jamaa. Akiwa na Dube basi mabao yatakuwa mengi
@malietamalieta9658
6 күн бұрын
@@user-zo8ws7dy7g namjua ila venye ashawai pita Kwa makolo Bora tu wamuache abaki msonda dube na clement ama wamlete ata sowah
@giddychanga
5 күн бұрын
Baleke na Dube ni watu wawil tofauti na hatar sana Mmoja mikimbio yake ni ndani ya box na mwingine hatar sana akitokea pemben
@SuhuurFarxaan
5 күн бұрын
Kweli Ata mm simtaki
Nyie Dube anafuraha😍😍💚💛💚💛
ila mnajua kucheza na akili zetu hizo ndo gari anakabidhiwa dube
Kwa miaka 4 mfululizo kijana hakuwa na furaha huko Azam. Hatimaye katimiza ndoto yake ya kuichezea timu anayoipenda. Karibu sana Jangwani PMD.
Hapo next level big up kazi inapigwa kiweredi sana
Mungu akukinge na majeraha mwambaaaa
Wananchi hamlali jmn si saa nane hii😂😂😂
Hii idara ya habari imepikwa ikapikika na imeiva mnatisha advert zenu siyo za nchi hii 👏👏👏!!!!
Aisee- kumbe kuna mambo mengi yanafanyika kabla ya kupostiwa. Hongereni
Hongera sana vijana mnaweka content za kisasa. Keep it up 🎉🎉🎉
You guys are working too hard out there. Shout out 💚💛 keep going..
Kweli nimeamini timu kubwa hufanya mamno makubwa kiweledi zaidi nimeanza kuona dalili ya TREBLE msimu huu 💚💛💚💛💚💛
@mussaissa6796
5 күн бұрын
YAANI KAMA NAKUAMINIA VILE
Level za juu sana hiz !!!
My team on fire
Irayanga itaja niuwamm imefanya hadi nimehana namkewangu irove yonga
Muuaji anae tabasam karibu ❤❤❤
Kwaheri EPL maana sijui kama msimu ujao tutaangalia EPL badala ya YANGA. 😂😂
@michaeljpm5597
6 күн бұрын
Mm nilisha achaga kitambo
@erickkantona4791
5 күн бұрын
@@michaeljpm5597yaan ww ndo mm kabisa na vile man utd inazngua nfo cion radha kabisa na epl😅
Mmh huyu mwamba aliwaweza azam pale walipo halika tim zinazo mtaka zipeleke ofa mezani makolo wakapeleka na wale wasudani yanga tukakaa kimya ka vle hatujasikia alf mwamba akagomea ofa zao akasema hizo hela yuko tayar kulipa lakini awe huru daah prince alikuwa anaipenda sana yanga mwamba kabsa saiv wacheza wazur wanataman kichezea yanga wala hatutumii nguvu kubwa kuwashawishi
Kalibu sana yanga dubeeeeee 🎉
Murch love yanga Africa 💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛💛
Mmetisha saaaana aiseee💛💚⭐⚽💯🦵
dube ana furaha sana😂😂
Kila la kheri dube😂😂😂😂
Karibu mwana wa mfalme ktk club ya wafalme🥂👏👏
Dube anafurahi sana kutia saini yanga hivyo vitu hajawahi kufanya
Tmu inapenda sifa hii😅
Kila la heri Dube. Nakuombea usipatwe na majeraha ya hovyooo Ili tufanikiwe kufika final ya champion 🏆 league.. pamoja na www 🏆🏆💛💛💚💚
Aseeee yanga bwana tamu 😂😂😂😂😂😂😂😂
Raha ya yanga ni kuwa mtu anaweza akaja kama mchezaj ila akaondoka na kipaji Cha uigizaji 😂😂 💚💛
@puridangote2701
5 күн бұрын
Hii imekaa poa sana em kunywa soda bili nalipia mm😂😂😂😂
Afu kazuri dube kapole 💚💚💛🔰
Kalibu yimu ya makombe dube ❤
Dubereeeeee
dube yanga alikuwa anaitaka kama ushafatilia clip zake tofauti tofauti akihojiwa
@amaniomar1755
6 күн бұрын
Yanga wanasign wachezaji wanayoitaka ndio maana hawasumbuki kupata sign zao
Daima mbele 💛💛💛💛💚💚💚💚
Tumuombe Mungu atupe uzima maana yajayo yanafurahisha....😂😂😂😂😂
@rogersiddy
6 күн бұрын
Haswaaaaa Kuna mtu atakula Kono la nyani japo limesajili timu nzima😂😂😂😂😂😂🙌
@amaniomar1755
6 күн бұрын
Hapa ni Mungu tuuh 🎉🎉🎉
@fatmaally7252
6 күн бұрын
Amiiin inshallah
Wananchiiiiiiii
wataama makolo sijui? 😅😅😅😅😅😅
Hivyo vitoycar kwenye picha zinaonekana magari makubwa kwelikweli😂😂😂 mambo ya technology hayo👏👏👏
👏👏 Wow am so happy to see you dube👏👏
Dube HB sana. Halafu kanenepa ghafla. Ila nimefurahii mwenzenu.🎉🎉😂😂😂
Handsome boy in the house❤❤❤❤ Welcome young Boy to the Home of Champions🧡💛🧡💛🧡🧡💛💛💫💫💫💫💫
Aseee karibu brother hii ni timu ya wananchi 💚💛💚💛
Priva abiud shayo,,, anasema timu ya azam wanaiwaza azam tv na ukiwa azam haitw champions league maneno ya abdulaziz
Oyooo
Hivi ligi inaanza lini mbona NAOGOPA maafa yanayoenda kutokea msimu ujao wakina Deborah lazima wafarakane Uwanjan 💚💛💚💛💪
@fatmaally7252
6 күн бұрын
Kwani kwa jirani kuna Debo uko baaaah
Allaah Akbar
💚💛💚💛💚💛💚 yanga mitano tena
Vijana kweli Munapiga sana kazi nimependa ubunifu wenu💛💚💛💚💛💚
Nampendaga huyu kaka jamani 🥺💚
@ErickBrichard
6 күн бұрын
Aisha ulale na wewe
@barikilangoy4737
6 күн бұрын
Amekusikia
@nicholousmtemi3902
6 күн бұрын
@@barikilangoy4737 hahahaha
@FrankMahuna-xb7lt
6 күн бұрын
Tafta no yake
@salmamlokela1987
6 күн бұрын
Mmmmh ushaaanza na wewe
Nlisema sikusema endelea
Lakn kwa zaidi ya 99.5 naamin aziz hatakuwepo nae msimu ujao kwan naamin hakuna team kwa hapa tz ambayo inaweza kuwa na mcheza wa aina ya k aziz, chama, pacome hiyo ni ngumu ngoja tuone😂😂😂😂😂💚💛
Dubeeeeee
ALHAMDULILLAH ALHAMDULILLAH ALLAH KARIM tumepata striker yanga
Kwa hiyo makolo wakiteseka jeee😂😂😂😂😂
Mwamba kwelikweli 🎉🎉🎉 #mwnawamfalme katua rasmi
Ukisikia BEHIND SCENES,ndo hizi! Yaani mchezaji environment tu! Morali tayari! Raha ni pale kwamba hivi vitu vinafanyika JANGWANI!!!! NA YANGA INA PROFFESIONALS IN ALL AREAS!..Love FROM Cambridge UK
Kumbe Dube anajua kuongea Kiswahili vizuri kabisaa wow
DUBE KARIBU SANA,KWA WANANCHI WENZIO,TUMEKUELEWA UNAMEPENZI MAKUBWA KABISA NA CLUB YAKO YA YANGA AFRICAN'S,TIMU AMBAYO INAWAKILISHA VIJANA WOTE WA KIAFRIKA,BILA KUJALI MIPAKA YETU,AFRIKA NI MOJA.KARIBU UIPAMBANIE CLUB YAKO PENDWA,HAPA NCHINI,AFRIKA NA NJE YA AFRIKA!!! WELCOME HOME YOUNG AFRICAN,PRINCE DUBE,NGYABONGA KAKULU MFUETU!!! YANGA IMARA!! DAIMA MBELE!! NYUMA MWIKO.MAPAMBANO YANAENDELEA.VITA MBELE!!!
Yangaa 🎉🎉🎉
Welcome dube
Prince anaona raha anaenjoy kafurahi kabisa 💚💚💚💛💛💛
Alhamndulilah namshukuru M/Mungu
Siamini macho yangu tumemsajili dube YANGA TAIFA KUBWA
hii taasis iko pw xn dah yng raha
Usajili bora kwa wakati sahihi, ikawe heri kwake, Mungu amweke mbali na majeraha ili aweze toa kila bora zaidi, kwa kila hatua Mungu awe pamoja naye.
Karibu mwana wa king 💛💚🔥🔥
Kunawatu awata ludisha team kipindi Cha pili uwanjani minipo kalibu San yangasc 💚💛 dube 🔥🔥
Dube ni kama anajilaumu kuchelewa kujiunga na club hii kubwa kabisa young African
Mungu yuko kwny akili yangu muda wote, niliwahi kutamani feisal kuchezea yanga akiwa jku ikatokea kweli, nilitaman azizi k akiwa asec akiwanyoosha makolo aje yanga ikawa kweli, pakome japo sikutaraji kama tungempata kwasababu uwezo wake uko juu sana, nilitaman sana chama imekuwa japo amechelewa, huyu dube ndo usiseme yaani nina furaha sana ushukuriwe Mungu, sasa namtamani sana Fuentes beki ya kati ya azam pamoja na kinzumbi tp mazembe pamoja na kipre juniour japo ni ngumu kuwapata
Dube yupo excited sana na feel kabisa yani anavyo ipenda yanga🎉
Karibu Jangwani Safi sana Cha la wenyewe 🎉🎉🎉
Kama una stress Angalia match za yanga
Yani kweli mnajitia ujinga sana hivi mnaangaika kwenda kukodi vitu ili tu DUBE afike sehemu nzuri mnaacha kutengeneza kwenu kuwe pqnzuri nyinyi bqdo mnaangaika na kukodi sehemu.
MUNGU tunaomba umlimde Dube na husband za watu kipaji Chale kidumu na atufanyie maajabu ya ufungaji ktk timu yetu pendwa Yanga 🙏🙏🙏
Mbona wananchi mnaangaika makelele tu..kweli nyie vyura bado saana....mmezoea kuiga.sasa mmeandaa vizuri utambulisho mmesahau utaratibu. Hamna jipya...
@trice_yanga
5 күн бұрын
asante Kwa kutufatilia mpaka huku KZread 😂😂
Masha Allah
Hapa bila shaka jemedar karidhika kwa utambulisho huu 😂😂😂
🔥🔥🔥
Katibu kiboko ya kolo
Nilikua sijuagi kwanini dube alikua anapenda kuifunga yanga kumbe alikua anaipenda alitaka asajiliwe kwenye raha
Dube yuko na smile sio poa😂😂😂
Dube na Kiswahili 🙌🙌👏👏👏👏🔥🔥
Mwana wa mfalme mpemelele dube karibu timu ya wananchi karibu saana mwamba utupe raha wananchi ukisikia dubeeeeee tayari nyavu
Kalibu dube lyondio yanga utambulishauo siokule kw.kolo
Unyam
Mmenikatisha usingz sielew kama leo nitalala aisee nahis wanga wanakuja kuroga wanamaindi kunikuta nipo macho
@hidayahassan8014
6 күн бұрын
😂😂😂
@marthastephen6600
6 күн бұрын
😂😂😂😂nyiiiee tutafte hela
Nyiee adi dube anafrhia kabisa kwani kuna shidoo 😅 watapata tabuu
@maxwellmarko7007
5 күн бұрын
Kazi kwake mpenja 😊
Hiv vigali ndo vinatusumbuwa
Ki ukweli huuu mvulana kajawa na furaha kutoka moyoni 😅😅😅Yanga raha