#DaimaMbeleNyumaMwiko #WikiYaMwananchi
Nipen hizo like zangu nimekuwa wakwanz kweny comments😂
Like ni za madem bhana🙄
@@emmanuelthomas1078 😂😂pov au we ni kibaraka wa kanjibai🙄
Ila viongoz wetu tunaitaji jezi zitoke mapema kabisa tushaini mapema na kuipa saport team yetu kwenye mapato ya jezi ❤yang africans .
Unataka jezi mpya, umeishalipia Kadi yako ada? Kipaumbele ni ada kwanza!
Tulifurahi kumuona denis nkane, Farid na sure boy tuna like hapa💚💚💚💚💚💚
Mungu awape NGUVU wachezaji wetu wapya na wa zamanı awaepushe na shari zatu wabaya🙏🙏🙏🙏
Style aliyo tumia pacome kuingia niwazi kabisa wapinzani watashenyetwa magoli ya kutosha😃💚💚
😂😂😂😂😂😂watachenyetwa
Km umemuona nkane naomba like
@@zeddymourice4249 tutawapiga mpk wajikolee
😂😂😂
😂😂😂🖐️🖐️🖐️🖐️
Pacome zouzoua. Safi sana naona unafuraha sana ndani ya wananchi
Pacome, pacome, pacome nimekuita mara tatu daima mbele 🙏🙏
Inatakiwa wachezaji wapya wote wakaribishwe mazoezini kwa ile style yetu ya kucheza mziki mazoezini. Huwa inaleta umoja sana ile.
Ile anaiweza moloko tu
Moloko hayupo ndo sekta yake😂😂😂
Ile style ya kucheza jesus moloko ndo alikua anahamasisha vzuriii aisee😂
Kabisaa but moloko hayupoooo
Skudu pia hayupo
Mungu awatangulie naawalinde
Mzizeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Iyo style ya Nkane aloonyesha kama katoa Code kwamba Beleke yupo Area 😂😂😂 tulosoma Quba weka like ata 2
Ila nkane fiamo mdogo wangu, ulipokuwa unahusishwa kwenda mashujaa nawachambuzi wa mchongo nilikuwa kama sielewi hivi
Dube wangu nikikuona roho yangu kwantu I LOVE you 😘
Heeee 😅😅 mbn mapema sana
Abutwalib🎉🎉🎉🎉🎉🎉
John umesema kweli kabisa wanatakiwa wakalibishwe kwa stair yetu
Daima mbele, nyuma mwiko.. 💚💚
KILA LA KHERI KWENU NYOTE KAZI NJEMA BARIKIWA SANA
Ila Pakome atali
Na Mimi nimecheka sema yupo charming sana adi raha😂😂
Mwambie Dube asiogope camera huu kwetu kawaida mda wote😂
Yanga bingwa
wa kwanza leo😂
JESHI la wanainchi 💚💚💚💚
Kibwana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kwa kila hatua Mungu awe pamoja na timu yetu.
Majeshiiiii yetuuuu🙏🙏
Ah kwanzia hapo Kati Kati ma middle watauana kwenye kugombania namba daah ! Daima mbele nyuma mwiko ! Kila lakher timu yetu
Daima Mbele Nyuma Mwiko💚💚🇹🇿
Clatous chota chama and his fellow
Pacome 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Pacome anamizuka😊😅😅😅😅
😂😂😂😂😂 Simba inabidi wazoee Chama bdo walimuhitaji
All the best❤
Amazing
yanga mnajua sana kuwabrand wachezaji wanaishi kistar sana
Endeleeni kupambana wanajeshi wetu tuko nanyi kwa maombi
Waaaoh pacome na bacca
Hamna mtu atakaye tuzuiya wananchi😂😂
Wa nane leo😂
Amazingly soundtrack
Kwl shosho mana kuna wa2 wamehenda kupiga picha mapyramid
Kila hatua dua💚💛💛
Maandalizi mema Timu yangu ya Yanga tuchukue makombe yote tutakayo shiliki Biidhinila by J.Naldo apa kutoka Bagamoyo wananita CR7❤
Apo chama ana mwambia kibwana usisubutu kwenda simba utalishwa maji na shga
Iyi timu kama ulayaaa vile
Congratulations my president
DAH SISI HAOOO❤❤
Bacca bacca kipenzi chetu tunakukubali mkuu ishi na hiyo namba 4
Pre season njema wanajeshi wetu
Chama🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri sana 💛💛💚💚
Hapo ndg zangu ni mauaji matupu
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏
Yanga Africans
Mungu awalinde
Wakwanza
hguhd hhuyu-p
Mungu ibarki Simba 💪🏻💪🏻💪🏻❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kwanza Chama mwenyewe ni chiba uoni anavyotembea mguu mmoja mfupi 😂😂😂😂
Chama la wana hlo daaaaaaaaa
Huu utakua mwaka wenye mafanikio zaid kwa team yetu pamoja na mashabik kwa ujumla dunian kote
Noma sana
We always Green and Yellow 💛 💚
Good morning Yanga❤
Tuaonjeshwa vinono vilivyoandaliwa na Engineer President Hersi msimu huu. Ukiona vyaelea vimeundwa, lipia kadi yako ada tuyafikie malengo.
Inabidi nianZe kulipa
@@herrysonk.edward609 utakuwa umepiga hatua!
Waooo baka nimekuna nimerhi bado mkude sasa😂😂
🖤💛💚
Yanga Bingwa ✅
Ila Yao yao hizo rangi za viatu kwa kweli hata sizipendi kabisaaaa😅😅😂😂😂
mzize hana furaha kbx kila akiwaona dube na baleke
Kwani baleke tyr
Mzize mtu mwingine wew, hata aje nani mzize yupo, yuko faster, anakaba, anaassist anafunga, unasemaj, wote watacheza inategemea mechi
Huyu mzize na Baba Angu Kama wamepishana sana Basi baba kamzidi miaka miwili tu😂
Wananchiiiiiii habar zenu
Nkane 🎉🎉🎉🎉🎉
Dua tu kila hatua
Hamna mtu ambaye atatuzuiya wananchi
Ila avic kuzuri maashaallah
Oyaa Wana dhimba Azizi ki kagoma ku sign si mnaona mazoezn haend amesusa 😅😅😂😂😂😂😂
Sisi hao
Faridi tunaomba amuachie chama no 17 plz
Kibabage🎉🎉🎉🎉🎉
Pacome hiyo style😂😂😂
Bacca na pacome masela sana😂😂😂💚💚💚💚
Farid 🎉🎉🎉🎉
HII yanqa RAHA sanaaa😊😊😊
Good all the best my team 🔰🔰💪
Yan uyu chama sasa mumemfanya kama mungu
Kama ulaya tu nipeni mauwa yangu basi
Sheikh n🎉🎉🎉🎉
Daima mbele nyuma mwiko
Chama anaanza kunenepa mda sio mrefu😂😂😂
🔥🔥🔥🔥🔥
Sure boy🎉🎉🎉🎉
Avic kama ulaya tu
Duh timu ya kimasikini
Oyaa na TV yetu ikiwa tayari itakuwa poa sana
Yanga mmezoea kupigana vita vikubwa sasa mnaongeza silaha za nyukilia sasa itakuwaje
Avic ni fulu kila kitu
Waleteeeee
Show kaliii
Ma best player azizi 🗝️ yupo wapi
💚💛💛💚🔥🔥🔥🔥🔥
Hiyo ndio yang africans
Пікірлер: 258
Nipen hizo like zangu nimekuwa wakwanz kweny comments😂
@emmanuelthomas1078
26 күн бұрын
Like ni za madem bhana🙄
@OmarySalimu-rj2yr
26 күн бұрын
@@emmanuelthomas1078 😂😂pov au we ni kibaraka wa kanjibai🙄
Ila viongoz wetu tunaitaji jezi zitoke mapema kabisa tushaini mapema na kuipa saport team yetu kwenye mapato ya jezi ❤yang africans .
@sylvestercameo6263
26 күн бұрын
Unataka jezi mpya, umeishalipia Kadi yako ada? Kipaumbele ni ada kwanza!
Tulifurahi kumuona denis nkane, Farid na sure boy tuna like hapa💚💚💚💚💚💚
Mungu awape NGUVU wachezaji wetu wapya na wa zamanı awaepushe na shari zatu wabaya🙏🙏🙏🙏
Style aliyo tumia pacome kuingia niwazi kabisa wapinzani watashenyetwa magoli ya kutosha😃💚💚
@zeddymourice4249
26 күн бұрын
😂😂😂😂😂😂watachenyetwa
@user-px7jf7xs6k
26 күн бұрын
Km umemuona nkane naomba like
@rowlandjoseph3557
26 күн бұрын
@@zeddymourice4249 tutawapiga mpk wajikolee
@francepaul7711
26 күн бұрын
😂😂😂
@flavianajohn5250
25 күн бұрын
😂😂😂🖐️🖐️🖐️🖐️
Pacome zouzoua. Safi sana naona unafuraha sana ndani ya wananchi
Pacome, pacome, pacome nimekuita mara tatu daima mbele 🙏🙏
Inatakiwa wachezaji wapya wote wakaribishwe mazoezini kwa ile style yetu ya kucheza mziki mazoezini. Huwa inaleta umoja sana ile.
@B.M-ix4rz
26 күн бұрын
Ile anaiweza moloko tu
@fettiemaganza1484
26 күн бұрын
Moloko hayupo ndo sekta yake😂😂😂
@deogratiuspaul3663
26 күн бұрын
Ile style ya kucheza jesus moloko ndo alikua anahamasisha vzuriii aisee😂
@jivankulikwa24
26 күн бұрын
Kabisaa but moloko hayupoooo
@salmamlokela1987
26 күн бұрын
Skudu pia hayupo
Mungu awatangulie naawalinde
Mzizeeee🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Iyo style ya Nkane aloonyesha kama katoa Code kwamba Beleke yupo Area 😂😂😂 tulosoma Quba weka like ata 2
Ila nkane fiamo mdogo wangu, ulipokuwa unahusishwa kwenda mashujaa nawachambuzi wa mchongo nilikuwa kama sielewi hivi
Dube wangu nikikuona roho yangu kwantu I LOVE you 😘
@michaelrambo6207
26 күн бұрын
Heeee 😅😅 mbn mapema sana
Abutwalib🎉🎉🎉🎉🎉🎉
John umesema kweli kabisa wanatakiwa wakalibishwe kwa stair yetu
Daima mbele, nyuma mwiko.. 💚💚
KILA LA KHERI KWENU NYOTE KAZI NJEMA BARIKIWA SANA
Ila Pakome atali
@GeradinaJohn-xh8pw
26 күн бұрын
Na Mimi nimecheka sema yupo charming sana adi raha😂😂
Mwambie Dube asiogope camera huu kwetu kawaida mda wote😂
Yanga bingwa
wa kwanza leo😂
JESHI la wanainchi 💚💚💚💚
Kibwana 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kwa kila hatua Mungu awe pamoja na timu yetu.
Majeshiiiii yetuuuu🙏🙏
Ah kwanzia hapo Kati Kati ma middle watauana kwenye kugombania namba daah ! Daima mbele nyuma mwiko ! Kila lakher timu yetu
Daima Mbele Nyuma Mwiko💚💚🇹🇿
Clatous chota chama and his fellow
Pacome 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Pacome anamizuka😊😅😅😅😅
😂😂😂😂😂 Simba inabidi wazoee Chama bdo walimuhitaji
All the best❤
Amazing
yanga mnajua sana kuwabrand wachezaji wanaishi kistar sana
Endeleeni kupambana wanajeshi wetu tuko nanyi kwa maombi
Waaaoh pacome na bacca
Hamna mtu atakaye tuzuiya wananchi😂😂
Wa nane leo😂
Amazingly soundtrack
Kwl shosho mana kuna wa2 wamehenda kupiga picha mapyramid
Kila hatua dua💚💛💛
Maandalizi mema Timu yangu ya Yanga tuchukue makombe yote tutakayo shiliki Biidhinila by J.Naldo apa kutoka Bagamoyo wananita CR7❤
Apo chama ana mwambia kibwana usisubutu kwenda simba utalishwa maji na shga
Iyi timu kama ulayaaa vile
Congratulations my president
DAH SISI HAOOO❤❤
Bacca bacca kipenzi chetu tunakukubali mkuu ishi na hiyo namba 4
Pre season njema wanajeshi wetu
Chama🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Kazi nzuri sana 💛💛💚💚
Hapo ndg zangu ni mauaji matupu
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏
Yanga Africans
Mungu awalinde
Wakwanza
@hamadmbarouk8902
26 күн бұрын
hguhd hhuyu-p
Mungu ibarki Simba 💪🏻💪🏻💪🏻❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Kwanza Chama mwenyewe ni chiba uoni anavyotembea mguu mmoja mfupi 😂😂😂😂
Chama la wana hlo daaaaaaaaa
Huu utakua mwaka wenye mafanikio zaid kwa team yetu pamoja na mashabik kwa ujumla dunian kote
Noma sana
We always Green and Yellow 💛 💚
Good morning Yanga❤
Tuaonjeshwa vinono vilivyoandaliwa na Engineer President Hersi msimu huu. Ukiona vyaelea vimeundwa, lipia kadi yako ada tuyafikie malengo.
@herrysonk.edward609
21 күн бұрын
Inabidi nianZe kulipa
@sylvestercameo6263
20 күн бұрын
@@herrysonk.edward609 utakuwa umepiga hatua!
Waooo baka nimekuna nimerhi bado mkude sasa😂😂
🖤💛💚
Yanga Bingwa ✅
Ila Yao yao hizo rangi za viatu kwa kweli hata sizipendi kabisaaaa😅😅😂😂😂
mzize hana furaha kbx kila akiwaona dube na baleke
@petronchalangi1033
26 күн бұрын
Kwani baleke tyr
@goldmansun5859
26 күн бұрын
Mzize mtu mwingine wew, hata aje nani mzize yupo, yuko faster, anakaba, anaassist anafunga, unasemaj, wote watacheza inategemea mechi
Huyu mzize na Baba Angu Kama wamepishana sana Basi baba kamzidi miaka miwili tu😂
Wananchiiiiiii habar zenu
Nkane 🎉🎉🎉🎉🎉
Dua tu kila hatua
Hamna mtu ambaye atatuzuiya wananchi
Ila avic kuzuri maashaallah
Oyaa Wana dhimba Azizi ki kagoma ku sign si mnaona mazoezn haend amesusa 😅😅😂😂😂😂😂
Sisi hao
Faridi tunaomba amuachie chama no 17 plz
Kibabage🎉🎉🎉🎉🎉
Pacome hiyo style😂😂😂
Bacca na pacome masela sana😂😂😂💚💚💚💚
Farid 🎉🎉🎉🎉
HII yanqa RAHA sanaaa😊😊😊
Good all the best my team 🔰🔰💪
Yan uyu chama sasa mumemfanya kama mungu
Kama ulaya tu nipeni mauwa yangu basi
Sheikh n🎉🎉🎉🎉
Daima mbele nyuma mwiko
Chama anaanza kunenepa mda sio mrefu😂😂😂
🔥🔥🔥🔥🔥
Sure boy🎉🎉🎉🎉
Avic kama ulaya tu
Duh timu ya kimasikini
Oyaa na TV yetu ikiwa tayari itakuwa poa sana
Yanga mmezoea kupigana vita vikubwa sasa mnaongeza silaha za nyukilia sasa itakuwaje
Avic ni fulu kila kitu
Waleteeeee
Show kaliii
Ma best player azizi 🗝️ yupo wapi
💚💛💛💚🔥🔥🔥🔥🔥
Hiyo ndio yang africans