Magoli yote 12 ya Prince Dube kwenye NBC Premier League 2022/23
PRINCE DUBE: Amemaliza msimu wa #NBCPremierLeague 2022/23 akiwa nafasi ya tatu kwenye orodha ya vinara wa mabao
Na haya ndiyo magoli yake yote 12 ambapo manne kati ya hayo ameifunga Polisi Tanzania kwenye mchezo wa mwisho.
NB; Kuna golikipa mmoja hapa ameteseka kwenye mechi mbili tofauti…. Je, ushamjua?
#PrinceDube #DubeGoals #MagoliYaDube
#NBCPremierLeague #LigiKuuYaNBC #NBCPLUpdates #NBCPL
Пікірлер: 62
Kama umekuja hapa baada ya Dube kutambulishwa Yanga gonga like
baada ya kutambulisha yanga ndo nikaja huku
@SalvatoryMbigili-m2f
21 күн бұрын
Kumbe tupo wengi😂😂😂😂
@bahatinassorali5222
20 күн бұрын
Na mie pia😂
@gabrielmoses6860
20 күн бұрын
Na Mimi baana
@CharlesJoseph-et1ol
20 күн бұрын
😂😂😂😂😂
@user-eh5il7pw2f
20 күн бұрын
Hata mimi😊😅😅😅😅
Welcome Jangwani my favorite player Dube
Welcome young African 🟢🟡🤫dube🤫
Baada ya kusajiliwa ndio nimetia timu hapa
Dube n Moto usiozimwa kwa mitambo ya zimamoto ya tanzania😂😂😂
Mwana wa mfalme😎🌟
Mtoto analijua goli huyu HAya ile mipass ya chama na pacome itakuwaje?
DUBE PRINCE 🙌
Mali ya wananchi 🤣🤣🟢🟡🟢
Dube akicheza roho yangu inaridhika
Mm nilikuwa nampenda ila alikuwa sehemu nipo neutral ..azam wanatengeneza maaduwi wenyewe kusema ni Simba division..ila wangekuja kama GEN Z ingekuwa timu yetu wakati Simba au Yanga mmoja anapoteza ..tungesema bora Azam na Simba bora Azam sasa wao wamekuja vibaya..ila naipenda azam ni free team sema wanatengeneza maadui yanga..timu ya ukombozi
Kolozidad hawataki hata kumuona huyu mwamba
@ramadhanrobin-st6hh
Ай бұрын
😂😂😂 mbaya zaidi anakuja yanga mbn watakomaa
Huyu jamaa ni kigugumizi sipati picha anapo cheza na mafundi nini kitatokea
green and yellow
Pale Azam kuna Kipre, Akamiko, Paschal Gaudence na Dube n watu wa maana
Huyu jamaa atatusaidia sana... Khaaa.. Ni bonge la namba tisa... Usije kushangaa anaziba pengo la mtupiwa majoni
Mbn akiwafunga makolo anafrai xana😂😂😂
@hk_ballers
19 күн бұрын
Makolo hawapendi 😂😂
Huyu lazima awafunge tena simba😅
nimekuja kuona tu alivyo katili
Tupen bas ya haroun niyonzima udambwiudabwi wK
Mmmh!! Hii Mali kbsa
Ila huyu mtoto wa mfalume ataua watu
Huyu mwamba anajua
Yanga fungueni pochi mchukue kifaa hiki
@raheemsangaya
23 күн бұрын
Tumchukue mara ngapi?
@fahadrashid9754
23 күн бұрын
Walikusikia mkuu
@lewismpangala927
21 күн бұрын
Maombi yako yamejibiwa
Huyu Dube Ata Huyo Aziz k aende Tuuu
M binafs nakujaga ku chek goli ra makolo😂😂😂
@scorasticaclement6308
19 күн бұрын
Hahahaha 🤣🤣
Ila huyu akamiko ni bonge la mchezaji!.
Ameishia alipopiga hatrick ya goli nne, sasa ataanzia hapo hapo
Mwana mfalme PD
is green And Yellow
Kuna timu zitalia jamani
Kumbe atatufaa sisi Yanga sc,, Welcome to Young Africans @mgadafiprince
Yanga metatarsal mambo wa magol
Aisee kwa mtu huyu tutaua makolo
Atue yanga chapchap tummalize wakwetu 😅
Tumekuja kujifurahisha cc kama yanga
Ujakoseha
Tumchukue na uyo tepsi
Huyu mchezaji mbona mda wowte anachechemea mguu
@adolfmathew9698
24 күн бұрын
Ndio yukogo hivyo ni kama kaifanya iwe style yake ya uchezaji. Mtazamo wangu
🟡🟢⚫🙏💪
Mwamba huyu anatisha
Usiende yanga mwanangu😂😅
@abdullahpongwa1537
18 күн бұрын
Kaenda etii😂😂