Aliyosema Tundu Lissu Bungeni leo
Aliyosema Tundu Lissu Bungeni leo
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#Dar24 #Dar24Media
Aliyosema Tundu Lissu Bungeni leo
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#Dar24 #Dar24Media
Пікірлер: 53
nani anataka mtoto wake aje awe msomi kama mheshimiwa lissu kama ninavotaka mimi?
Hotuba hii inaweza kua chanz Cha bwana lisu kupgwa Risas tundu lisu mungu akulinde
Lisu shikamooo
Huyu ND anatumikia vzr feza za watanzania
Hongera sana raid wetu kwa kazi zako njema
Kuna siku tutajua umuhim wa huyu jamaa siku akiwa hayupo dunian,allah akuweke lissu
asante lissu
Wanao kupinga ni masikini waakili
Ni yeye 2020
Sitochoka kuwa nakusikiliza mh tundu lisu kipenzi cha moyo wangu
Unajua sheria hadi unaikera ccm
pongenzi nyingi sana kamanda kwa kuitumia elimu yako vizuri kwa kutusaidia watanzania ,
@ibrahimmlunza3753
2 жыл бұрын
Tundu Lissu wewe ni hazina ktk taifa letu ndio maana Mungu alikuponya barikiwa Sanaa
Hahaaahaaa lissu ntaendelea kukupenda bure
Wenye uchungu na nchi ni hawa hapa hata wangekuwa mafisadi lkn wangetupeleka tunakotakiwa kuwa coz ukweli ni kwamba tunazo rasilimali za kutosha ila hatuna uongozi bora. Shujaa Lisu utafia haki utakuwa na historia tamu duniani mungu akutangulie.
Lissu for the record utakumbukwa milele bungeni na hata nje ya bunge
iv magu hamuon huyu jamaa kua anafaa kua wazr wa sheria na katba
Lisu nimekuelewa
tundu lisu endeleaa kuonyesha uwezo wako kaka
@johndamian5061
3 жыл бұрын
Kweli huyu ni shujaa
thax almight God for providing special activist people as Tundu lisu.
uko sawa jembe
yaan hich kichwa tukikkosa tz tumekwsha
koffi oromid
bravo
Hapo ndo tofauti yako na wengine ww ni fundi MUNGU AKULINDE MH.LISU
Kweli uyo ndo alkua spika had analusu kuunga hoja
We ni shujaaaa
Duuuuuuuuuuuuuuu
Hii ndio kazi ya watu wenye akili timamu
2:18
Lissu Babaaa
tundu lissu wewe jamaa upo vizuli
hatari sana
ARE YOU SURE
aseee
Utofauti wa MSOMI na msomaji unapokuja kuonekana
hata kama ingekua ya mwaka juzi inatosha Kwa wajinga Wa Leo
@allanraphael3991
7 жыл бұрын
kelvin alex fact
@plachidiusrenatus5834
3 жыл бұрын
kweli kabisa
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌
hapo hakuna kitu uchochezi ndio umejaa hata alimtaka raisi atangaze TANZANIA kuna njaa kama ethiopia
@michaelmethod970
3 жыл бұрын
Una kichwa wewe au boksi la kuifadhia meno
@mohamedhamza8819
2 жыл бұрын
Stven hinjo ninge kupa maneno magum acha nikueshim maana utambui lolote
hii clip ni ya mwaka Jana.
Tundu mpenda haki. Ni sibu kwetu sisi Watanganyika kuwadhulumu waafrika wenzetu kwa visingizio vya kijinga vya kina Lukuvi
HII MBONA YA ZAMANI, MNALETA USANII, KWA NINI USITUWEKEE VITU VIKO UPDATE, HII NI KUCHANGANYA RAIA ILI KUIJENGEA SERIKALI CHUKI NA WANANCHI WAKE, VERY STUPID..
raisi hata angefanya mazuri kiasi gani kamwe asingekubali na angeendelea kuponda MUNGU bariki raisi wetu
AAH WAPI
Hacha ujuaji husio na maana tunaitaji maharifa sio ujanja ujanja
@dullahkalanjedullahkalanje9170
4 жыл бұрын
Lissu elimu imekuinua
@benatuskazoba6614
3 жыл бұрын
Ni wivu wako tu TL anajua saana