Aliyosema Tundu Lissu Bungeni leo

Aliyosema Tundu Lissu Bungeni leo
--
Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
#Dar24 #Dar24Media

Пікірлер: 53

  • @thobiasimgaya4519
    @thobiasimgaya45197 жыл бұрын

    nani anataka mtoto wake aje awe msomi kama mheshimiwa lissu kama ninavotaka mimi?

  • @DottoMussa-fx8pn
    @DottoMussa-fx8pn10 ай бұрын

    Hotuba hii inaweza kua chanz Cha bwana lisu kupgwa Risas tundu lisu mungu akulinde

  • @DottoMussa-fx8pn
    @DottoMussa-fx8pn10 ай бұрын

    Lisu shikamooo

  • @DottoMussa-fx8pn
    @DottoMussa-fx8pn Жыл бұрын

    Huyu ND anatumikia vzr feza za watanzania

  • @happyemmanuel2560
    @happyemmanuel25605 жыл бұрын

    Hongera sana raid wetu kwa kazi zako njema

  • @NassorTwahiru-kf8fo
    @NassorTwahiru-kf8fo Жыл бұрын

    Kuna siku tutajua umuhim wa huyu jamaa siku akiwa hayupo dunian,allah akuweke lissu

  • @musasahani6277
    @musasahani62777 жыл бұрын

    asante lissu

  • @machinjashabani5661
    @machinjashabani56617 жыл бұрын

    Wanao kupinga ni masikini waakili

  • @conasmalale1073
    @conasmalale10733 жыл бұрын

    Ni yeye 2020

  • @michaeljoseph9903
    @michaeljoseph99033 жыл бұрын

    Sitochoka kuwa nakusikiliza mh tundu lisu kipenzi cha moyo wangu

  • @dionisgabriel7864
    @dionisgabriel7864 Жыл бұрын

    Unajua sheria hadi unaikera ccm

  • @juliethbujiku8409
    @juliethbujiku84097 жыл бұрын

    pongenzi nyingi sana kamanda kwa kuitumia elimu yako vizuri kwa kutusaidia watanzania ,

  • @ibrahimmlunza3753

    @ibrahimmlunza3753

    2 жыл бұрын

    Tundu Lissu wewe ni hazina ktk taifa letu ndio maana Mungu alikuponya barikiwa Sanaa

  • @faustinebahenobi2072
    @faustinebahenobi20723 жыл бұрын

    Hahaaahaaa lissu ntaendelea kukupenda bure

  • @emanuelmichael9199
    @emanuelmichael91997 жыл бұрын

    Wenye uchungu na nchi ni hawa hapa hata wangekuwa mafisadi lkn wangetupeleka tunakotakiwa kuwa coz ukweli ni kwamba tunazo rasilimali za kutosha ila hatuna uongozi bora. Shujaa Lisu utafia haki utakuwa na historia tamu duniani mungu akutangulie.

  • @nasibumatutera786
    @nasibumatutera7862 жыл бұрын

    Lissu for the record utakumbukwa milele bungeni na hata nje ya bunge

  • @kudraharuna9410
    @kudraharuna94106 жыл бұрын

    iv magu hamuon huyu jamaa kua anafaa kua wazr wa sheria na katba

  • @michaelkunambi4531
    @michaelkunambi45317 жыл бұрын

    Lisu nimekuelewa

  • @saimonijoseph2254
    @saimonijoseph22547 жыл бұрын

    tundu lisu endeleaa kuonyesha uwezo wako kaka

  • @johndamian5061

    @johndamian5061

    3 жыл бұрын

    Kweli huyu ni shujaa

  • @kudramkoma5443
    @kudramkoma54437 жыл бұрын

    thax almight God for providing special activist people as Tundu lisu.

  • @ibrahimshaban478
    @ibrahimshaban4787 жыл бұрын

    uko sawa jembe

  • @kudraharuna9410
    @kudraharuna94106 жыл бұрын

    yaan hich kichwa tukikkosa tz tumekwsha

  • @mrishomdogwa6165
    @mrishomdogwa61657 жыл бұрын

    koffi oromid

  • @mayalaelias6210
    @mayalaelias62107 жыл бұрын

    bravo

  • @delebm543
    @delebm5437 жыл бұрын

    Hapo ndo tofauti yako na wengine ww ni fundi MUNGU AKULINDE MH.LISU

  • @BIGCHENDREADLOCKS
    @BIGCHENDREADLOCKS21 күн бұрын

    Kweli uyo ndo alkua spika had analusu kuunga hoja

  • @hassanmashambo1327
    @hassanmashambo13274 жыл бұрын

    We ni shujaaaa

  • @nasirmmaka7188
    @nasirmmaka71887 жыл бұрын

    Duuuuuuuuuuuuuuu

  • @saidmbawala9172
    @saidmbawala91725 жыл бұрын

    Hii ndio kazi ya watu wenye akili timamu

  • @TaikoShalai
    @TaikoShalai4 ай бұрын

    2:18

  • @mfalmekaitaba2425
    @mfalmekaitaba2425 Жыл бұрын

    Lissu Babaaa

  • @aroonmuchunguzi3442
    @aroonmuchunguzi34425 жыл бұрын

    tundu lissu wewe jamaa upo vizuli

  • @swaburyrwamlaza1479
    @swaburyrwamlaza14797 жыл бұрын

    hatari sana

  • @giftjosephat293
    @giftjosephat2936 жыл бұрын

    ARE YOU SURE

  • @mwambaotv1186
    @mwambaotv11867 жыл бұрын

    aseee

  • @selemanlukinga2974
    @selemanlukinga29743 жыл бұрын

    Utofauti wa MSOMI na msomaji unapokuja kuonekana

  • @kelvinalex5644
    @kelvinalex56447 жыл бұрын

    hata kama ingekua ya mwaka juzi inatosha Kwa wajinga Wa Leo

  • @allanraphael3991

    @allanraphael3991

    7 жыл бұрын

    kelvin alex fact

  • @plachidiusrenatus5834

    @plachidiusrenatus5834

    3 жыл бұрын

    kweli kabisa

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything3 жыл бұрын

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌

  • @stevenhinjo841
    @stevenhinjo8417 жыл бұрын

    hapo hakuna kitu uchochezi ndio umejaa hata alimtaka raisi atangaze TANZANIA kuna njaa kama ethiopia

  • @michaelmethod970

    @michaelmethod970

    3 жыл бұрын

    Una kichwa wewe au boksi la kuifadhia meno

  • @mohamedhamza8819

    @mohamedhamza8819

    2 жыл бұрын

    Stven hinjo ninge kupa maneno magum acha nikueshim maana utambui lolote

  • @margweemanuel5587
    @margweemanuel55877 жыл бұрын

    hii clip ni ya mwaka Jana.

  • @muhdsseif5785
    @muhdsseif57853 жыл бұрын

    Tundu mpenda haki. Ni sibu kwetu sisi Watanganyika kuwadhulumu waafrika wenzetu kwa visingizio vya kijinga vya kina Lukuvi

  • @mutakabaka5481
    @mutakabaka54817 жыл бұрын

    HII MBONA YA ZAMANI, MNALETA USANII, KWA NINI USITUWEKEE VITU VIKO UPDATE, HII NI KUCHANGANYA RAIA ILI KUIJENGEA SERIKALI CHUKI NA WANANCHI WAKE, VERY STUPID..

  • @stevenhinjo841
    @stevenhinjo8417 жыл бұрын

    raisi hata angefanya mazuri kiasi gani kamwe asingekubali na angeendelea kuponda MUNGU bariki raisi wetu

  • @bugdadiajm8270
    @bugdadiajm82707 жыл бұрын

    AAH WAPI

  • @dominicphinias5040
    @dominicphinias50407 жыл бұрын

    Hacha ujuaji husio na maana tunaitaji maharifa sio ujanja ujanja

  • @dullahkalanjedullahkalanje9170

    @dullahkalanjedullahkalanje9170

    4 жыл бұрын

    Lissu elimu imekuinua

  • @benatuskazoba6614

    @benatuskazoba6614

    3 жыл бұрын

    Ni wivu wako tu TL anajua saana