Alichokikuta Rais Magufuli baada ya kufanya ziara ya kushitukiza bandari DSM leo
March 23, 2017 Rais John Pombe Mgufuli alifanya ziara ya kushtukiza katika bandari ya Dar es Salaam kwa lengo la kufuatilia utekelezaji wa maelekezo aliyoyatoa kwa nyakati tofauti juu ya kudhibiti udanganyifu wa mizigo inayoingia na kutoka nchini kupitia bandari hiyo ikiwemo usafirishaji wa mchanga wa madini kwenda nje ya nchi.
Katika ziara hiyo Mhe. Rais Magufuli ameshuhudia makontena 20 ya mchanga wenye madini kutoka kwenye migodi iliyopo kanda ya ziwa ambayo yamezuiliwa kusafirishwa nje ya nchi tangu alipotoa agizo la kupiga marufuku usafirishaji wa mchanga nje ya nchi tarehe 02 Machi, 2017.
Пікірлер: 190
Tutakukumbuka Baba Leo nmekuja kukuangalia tena😥😥nlikuwa napenda utendaji kazi wako jaman😥😥Mungu akupokee kwake
@emmanuelmkama3000
3 жыл бұрын
We acha tu, huyu Mama atawaweza hawa mafisadi kweli?
TUTAICHIMBA TUTAKAPOKUWA NA AKILI GOOOOOOOOD NYERERE FOOTSTEP. I LOVE THIS MAN TO BE HONEST. HE IS SERIOUS, THE MAN OF HIS WORDS. EXCELLENT
Hongera sana milard ayo kwa Kazi zako za ukweli na uwakika unatoaga taarifa ya kweli wewe ndio unaefaa kuwa mwandish wa habari
Namkubali sana huyu raisi ata anapo tumbua mtu najua lazima kutakuwa na siri nyuma ya pazia, naamini ata maamuzi ya kumtengua Nape, yupo sahihi Kuna maisha baada ya Nape, haturudi nyuma sisi NI kUCHAPA KAZI TU.
Mheshimiwa Rais asante sana kwa kweli kwa kazi nzuri sana sana sana. Nchi lazima iende mbele kwa kazi na bidii lakini pia kwa njia ya halali. wizi kamwe hautatufikisha popote, bali utatuongezea matatizo tu. Asante sana.
Allah akupe Imani.rais Kama huyu apewe uraisi mpaka aondoke dunia
Masikini baba etu 😭😭😭 dah mungu akurehem
iv ndio vitu vya msing .....sio flash za clouds...watu wanajidai wanasafirisha mchanga ....kumbe ni midhahabu inasafirishwa.....Nimesema chapa kaaaazi...i love my president JPM.
@tanzaniakwanza9564
7 жыл бұрын
Pamoja sana Alisha Hap ni kuchapa kazi Tu.
@AliM-di8dz
6 жыл бұрын
Piga kazi tunakutegemea wewe ni jembe la tz.love sana jp
Hongera sana rais wetu kwa kazi nzuri unayofanya sisi kama wazalendo hatuna budi kukuombea kwa Mungu ili awataharakishe adui zako na wa Watanzania ! Mungu akubariki kuliko kawaida na aibariki na Tanzania !
Milard Ayo, you are the best.
Safu sana kazi ziendelee
Hakika ndiyo maana Mh. Rais anaomba watanzania tumuombee, bila maombi ya kweli hatutakuwa na msaada kwa Mh. Rais
may GOD bless you and live long the king
piga kazi baba mungu akulinde akupe maisha marefu
Tutachimba sisi wenyewe tutakapo kua na akili aseeeeeh kweli rais wetu mpendwa ni mwelewa
asante my president piga kazi Baba tupo nyuma yako
Waooo... Nice Movie
kazi kazi...kampeni 2020
Mungu akubariki raisi wetu endelea kudhibiti Wa halifu wote,
ukiangalia haya maisha imekuwa kiki tu ,unaambiwa mtu wako uliyemchagua anakasoro unamwacha unamtumbua anayesimamia haki
magu hapo umenikosha ila kwa nape fikiria basi mara mbili mbili
@hassanovajunior6972
7 жыл бұрын
SOFY OMARY hahahah magu anaweza
Wanang'ata visigino, presidaaaaa wewe wagonge vichwa afu watakuelewa, mie binafsi nakuelewa sana president
@hassanovajunior6972
7 жыл бұрын
Robert William kabisaaa ani
Tuna kukumnuka mzee😭😭 r.i.p🙏🙏
Hapa kazi tu...
saafiii mzeee maguuu
Ee h mungu jaman turete rais kama uyu tena
tutaona mengi miaka hii
mtu wangu wa nguvu #MillardAyo asante sana
@wilsonmasero5976
7 жыл бұрын
Hassanova junior bashite ananjaa hayo yote hatuoni faida take
Wtz tutalia mpaka bc ila hakuta patikana kama huyu labda kasimu majaliwa
safi
safi magu
Uyu jamahaa ni sio sana ana taka kutufanya sis niwa toto wadogo
nakupenda bure babaangu magufuri.
@happykakingo1375
7 жыл бұрын
Ally Abeid mmmmh wewe
Tunakuelewa sana RAISI wetu na tunatii uyasemayo.
he jamani gari zangu sijui nitazipataje
Dawa ya waficha mizigo ni kupunguza kodi na kuziba mianya ya mapunguzo za kodi. Na kila ofisa TPA awe na accountability kuliko hivi sasa mpaka Rais anakagua Mizigo.
Nick kimambo wewe ni msenge kweliiiiiii fala mkubwa wewee achana na rais wetu shoga mkubwa wew
Possession is nine tenths of the law
Nakukumbuka sana Magu 😢
xio mbaya one of challenge
saaaaafiiiiiii na yataifishe hayo mandinga mkuu wa kaya watafaham tu we c waspotspot bhn.
Aaaah hujanshawish mzee
tutamuelewa tu raisi wetu achaamalize ungwe yake aje mwingine utasiki kipindi cha magufuli ujinga huu usingekuwepo
@erickhaule8680
7 жыл бұрын
yaan sisi watz tunajijua wenyewe
@williammkalagale6048
7 жыл бұрын
nakupenda. Rais. Wangu. sanaaaaaa
@billtheadviser894
7 жыл бұрын
amen
@lwasamabalelukiza2037
5 жыл бұрын
Dennis Kiango ..
@joh_001
2 жыл бұрын
Yameisha timia kama ulivotabiri mkuu
Rest in peace mr president
watanzani tungekuwa na maamuzi ya pamoja tungempa magufuli mihula mitatu hii nchi ingekuwa nusu ulaya
zote sanaa #magumashi
Duuuuuu Maigizo haya sijui yataisha lini.
Na madawa ndivyo yanavyo safirishwa kwenye hayo magari hatari sana
A very good actor smh
maguful apo bigup, japo kwa nape umemuonea,umeamua umfuge jambaz makonda,,na umeamua kumtumbua wazir alyekua anatimiza wajibu wake, that's not fair
hapa kaz 2
hatutaki pirika za kuzungu kushka na kuacha tunataka faida kwa unayoyafanya biashara bla faida ndo nn!
Mr msifa kweni weye magu uko kweli mbona swala la bashite umefanya kama ulioni kisha watu wa innocent ndo unajifanya kuwa shukuliya hatua
Hamna lolote hii nnchi, hii nchi kila siku maigizo, kila siku jipya huwez jua n filamu y kutengenezwa au n vepe, kila kikitokea hiki kinafunikwa n hiki , mie magu ckuelw wala nn , utawala wako n maigizo tu hmna lolote.
hapa kaz tu
katika mwaka niliopatikana ni huu nianzie wapi magari yangu yakifahari
good job mr.president
Piga kazi baba Magufuli, Achana na kelele za hawa wanafiki wanaoamini wao ni malaika. Kamwe usiwaangalie hao maana tuliokuchagua tunakukubali baba
hakuna kulala wanyooshe baba
pinga kazi rais wetu tuko pamoja na wewe
Mkuu hata ukamate meli zimejaa almasi baadhi yetu tuliokupigia kura na kukupigia debe hatutakaa tukuelewe
Nani kama wewe tuta kupata wapi tena😭😭
siasa imetuathiri kupitlza vjna tupige kaz
iko siku wataelewa tu unachokifanya
WAPONGEZE LAKINI UWACHUNGUZE PIA WAKIJUA UNAWAAMINI WANAFANYA MADUDU.
,sameer unafaidika nini na huo ujanja wa kuingiza magari?
Huyu ndiye Rais tuliyekuwa tunamtaka wenye chuki wajinyonge ,tulichezewa vya kutosha-Mungu akubariki baba.
@tanzaniakwanza9564
7 жыл бұрын
kweli Miracle pamoja sana
@hassanovajunior6972
7 жыл бұрын
Miracle Logistics haswaaaa
@ajtra3073
7 жыл бұрын
jamani watanzania nendeni shule mukapate elimu kidogo ...yaani munaambiwa fungua macho tazama hile nyie wajibu nooo atutaki...its a game u foolish wake up...Magufuli game ..ni movie kategeneza kama mkewe bashitee alivyotengeneza hili amfunge Gwajima mdomo...hivi yiyi amujui ni movie nyingi uwa zatengenezwaaa na shoga 👉huyu...Tanzania nchi huru jina bado tutabakia maslevu..hansa kwa uongozi wa shoga huyu..ukisema ukweli basi walala kituo cha polis na wafukuzwa kazi ..
@ajtra3073
7 жыл бұрын
nendeni mukamuunge mkono Nape na Mange kimambi wanayetetea Haki yetu na kutufungua Macho wengi na sio kumpa huyu shoga nafasi ya kiki aliyeitengeneza mwenyewe...Kaeni mukijua Magufuli ni mtetea Haki kwa Bashite tu na sio kwako wewe mwananchi, mtanzania. amukeni watanzania Wake up hivi amujiulinzi kwanini kakaaa kimia kwa matukio yotee yanayozuma sasa Tanzania? yeye kama baba kwanini asiingilie kazi na kukanya watoto wake na kumkalipia yule aliye kosea? sasa jibu unalo wewe mwenyewe? wake up watanzania au munataka mpaka siku hili atakapo kuja kwako na kumvua nguo mama na baba yako mbele yako ndio utaamini kuwa Magu ni rais kichaaa anayependelea mtu mmoja tu au kabila lake tuu..?? Bashitee akikushuti au kukubaka au kuuza madawa ya kuleviya azalani au kuja kwa duka yako na kubeba mali yako haaaa akuna neno kwani ni mke wa Magu au tuseme ni wa kabila moja ..hila wewe ukisema ukweli kuhusu jambo duuuh watakuuwa na familia yako yote tena kwa kukuzalilisha sasa wewe unaejiita Mtanzania naomba nijibu hapa Haki yako itasikilizwa na nani? au Haki yako ipo wapii? kweli wasumbutu kumpigia makofi na vigeregere kwa mtu asiye kupenda kila kukicha anatengeneza movie hili umsikilize yeye tu na kumsifia yeye na sio kukusikiliza wewe mlipa mshaara wake.. Watanzania itambueni haki yenu na acheni ujinga..kushikana kwa pamaja ni nguvu kutengana ni uzaifu. mimi ni mtanzania na sipendi kuonewa hila sina nguvu zaidi bila yako wewe..
@ajtra3073
7 жыл бұрын
nendeni mukamuunge mkono Nape na Mange kimambi wanayetetea Haki yetu na kutufungua Macho wengi na sio kumpa huyu shoga nafasi ya kiki aliyeitengeneza mwenyewe...Kaeni mukijua Magufuli ni mtetea Haki kwa Bashite tu na sio kwako wewe mwananchi, mtanzania. amukeni watanzania Wake up hivi amujiulinzi kwanini kakaaa kimia kwa matukio yotee yanayozuma sasa Tanzania? yeye kama baba kwanini asiingilie kazi na kukanya watoto wake na kumkalipia yule aliye kosea? sasa jibu unalo wewe mwenyewe? wake up watanzania au munataka mpaka siku hili atakapo kuja kwako na kumvua nguo mama na baba yako mbele yako ndio utaamini kuwa Magu ni rais kichaaa anayependelea mtu mmoja tu au kabila lake tuu..?? Bashitee akikushuti au kukubaka au kuuza madawa ya kuleviya azalani au kuja kwa duka yako na kubeba mali yako haaaa akuna neno kwani ni mke wa Magu au tuseme ni wa kabila moja ..hila wewe ukisema ukweli kuhusu jambo duuuh watakuuwa na familia yako yote tena kwa kukuzalilisha sasa wewe unaejiita Mtanzania naomba nijibu hapa Haki yako itasikilizwa na nani? au Haki yako ipo wapii? kweli wasumbutu kumpigia makofi na vigeregere kwa mtu asiye kupenda kila kukicha anatengeneza movie hili umsikilize yeye tu na kumsifia yeye na sio kukusikiliza wewe mlipa mshaara wake.. Watanzania itambueni haki yenu na acheni ujinga..kushikana kwa pamaja ni nguvu kutengana ni uzaifu. mimi ni mtanzania na sipendi kuonewa hila sina nguvu zaidi bila yako wewe.
nabado
Sowez amini uongo wa thahili huo amekwepa masawali kuhusu nape akaona aigize kihivi lakin niuongo tu movie hiyo imeandaliwa na yeye mwenyewe
@shadhirinavaranga7009
7 жыл бұрын
Obedi Swebe fala tu msenge wew
Jembe.
kazkaz
Punguzeni kodi ili watu wasikwepe kulipa kodi. Ukinunua gari huko nje ni bei poa sana, ila ukija hapa TRA utadhani wanauza wao magari. Hii nchi inatoza kodi kubwa mnoo. Punguzeni kodi ili watu wajivunie kulipa kodi.
@trishahsongs6995
7 жыл бұрын
Jicho Mtego kweli kabisa punguzeni kodi
@onesmomrisho5456
7 жыл бұрын
ole wao viongozi wanaomuhusisha Mungu kwenye mambo ambayo Mungu hajawaambia ole wao nasema..Hasira ya BWANA ni kali nayo inawaka moto naye atalipiza kisasi juu ya adui zake..Viongozi na wananchi woote wanaochezea akili na aman za watanzania ole wao..KIKOMBE CHA HASIRA YA BWANA KINAELEKEA KUJAA, NAYE ATAACHILIA VITASA VYA UCHUNGU JUU VIONGOZI NA WANANCHI WAVURUGA AMANI..KWA JINA LA YESU
@jichomtego3435
7 жыл бұрын
Ameen. Nimeyaheshimu maneno yako Onesmo Mrisho.
kwa hapo magufuli amenifanya nimpende sana zuia baba tutakapo kuwa na akili tuta chimba sisi
Jembe
asante Anko Magu pia milard ayo Mungu akubariki sana wewe ni mwanahabari unaejielewa sana no umbea umbea hapa kazi tu#
@tanzaniakwanza9564
7 жыл бұрын
pamoja sana haturudi nyuma, ni kuchapakazi Tu hakuna huzuni kwani tumefiwa!!!!!?
@dadycarenjr5732
7 жыл бұрын
Sonjohn W. Joram hapa kazi no udaku udaku
@rayyanmissanga239
7 жыл бұрын
Sonjohn W. Joram kipofu anaongoza njia
@rayyanmissanga239
7 жыл бұрын
Njarita Leonard jipu lingne ni ww
@jichomtego3435
7 жыл бұрын
Wewe sio mtanzania . Una sura mbaya sana. Watanzania hatupo hivyo
Hahahaha tukapokuwa tunakili asante baba
hapa kazi tu kudadk
MZEE ULIKUA TOCHI YA TAIFA NA DUNIA! R I P DADY NOBODY TO BE COMPARED WITH YOU!!@....why should black heros die so soon????!!!!....
Hii nchi ni zaidi ya MUijuavyo.. #BashishiBby
@abuhemed7131
7 жыл бұрын
Bull shit!
Daah ndo ivo tena 😢😢😢
@emmanuelmkama3000
3 жыл бұрын
Daaah bwana weeeee ndo nazidi kuumia yani, Mama ana shughuli pevu
Yan mijitu inadanganywa nayo inakubal huwo ni mchezo tyu anacheza na akili za watanzania hv ww kwaakili yako mtumba ndo unavyo hifadhiwa hvyo kma kwel watuoneshe bill of lading tuamin na kwann awamchukulii hatua hyo mwenye mzigo hayo ni mapichapicha ya kujisafisha tyu kwa hya matukio mawil aliyo yafanya kashaona wananchi hawana imaninae ndo anajisafisha hvyo
@shadhirinavaranga7009
7 жыл бұрын
Ibrahim Ally mama uko ndo anadanganywa
safiiiiiiiiiiiiii mkuu was nchi tumbua wajinga wajinga hao walizoeaaaaaaaaa
magu acha magumashi
Magu baba Kamata woote .
msitufanye sisi watoto tunaelewa vyote
@shadhirinavaranga7009
7 жыл бұрын
Onesmo Mrisho unaelewa nn mwehu wew
@onesmomrisho5456
7 жыл бұрын
Shadhiri Navaranga huwa sibishani na vibuyu sema ukichoka utatulia utapewa na hela na magufuli
@onesmomrisho5456
7 жыл бұрын
Shadhiri Navaranga wasiojua kutumia katiba ndo wehu..endelea ongeaaaaaaaAaa bando likiisha nunua jingine endelea
hatuna imani na uncle maana tumeona mtu ambae kajaribu kusimamia ukweli nahaki ya vyombo vya habari na uvunjifu wataratibu za habari katumbuliwa umeficha uovu mkuu wa b
@shadhirinavaranga7009
7 жыл бұрын
Abeid Mayanga hama nchi choko wew
@abeidmayanga809
7 жыл бұрын
+Shadhiri Navaranga km mamako
@shadhirinavaranga7009
7 жыл бұрын
Abeid Mayanga kama mama yako na baba yko
lol lies u tell magufuli how did u know about hilo contena? movie hiyo we are not stupid.. please can u state the name of these owners? hupotezei issue ya unyanyasaji na false use of power n what u did to Mh Nape bloody fool..unamshikia Nape gun wewe magufi n bashite.. what kind of dictator r u?
kiki
@shadhirinavaranga7009
7 жыл бұрын
Dj_guy Lucas kamwambie mama yko kwenu hko boya wew
Pumbazo hilo ...Acting ...
mim nakuelewa sana Rais wangu mim sitaki kua mnafik kama wale eti anekua madalakan mbaya muda wake ukiisha ndo anaonekana mzuli piga kazi tunyoo shee nchi wata elewa tu maguuuu
@petermaiga3319
7 жыл бұрын
nakuombea Rais wangu tuko pamoja tusonge mbele, mwisho wao umefika
hata wakikuachia nchi peke yako tumbua tu maana ukipata MTU wakukusaidia kutumbua wanampiga vita alaf badae wanasema utumbuajia majipu so wa raising peke take hatuwaelewi tuko pamoja naww kwenye utumbuaji majip
hatudanganyiiiiiiiki
@shadhirinavaranga7009
7 жыл бұрын
John Amani
@shadhirinavaranga7009
7 жыл бұрын
john aman acha ufala wew mwache magu apge kazi
@saintwiz
7 жыл бұрын
we nae boksi kabsaaa
anajiosha tu hana lolote ,, haibu imemtawala
@shadhirinavaranga7009
7 жыл бұрын
kondele tv wew n msengeeeeeeee
@chibutvonline8710
7 жыл бұрын
Shadhiri Navaranga ujitambui kijana,,iyo michezo ya kisiasa ivi tangia ameingia madaraki amewafanyia nini wananchi ,,cha kumsifia ,,kazi yake ni kuiyangalia dar tu
hizo ni kiki tu ili tusahau alichomfanyia Nape Leo, mwenye akili hawezi kushangilia kwa ilo embu muangalie hizo nguo za mitumba zilivyofungashwa ndio mtajua ilo picha waliliandaa ili kuwahadaa wananchi wasiojielewa.
@ibrahimkhamis1862
7 жыл бұрын
Nicky Kimambo
Propaganda
@shadhirinavaranga7009
7 жыл бұрын
Ibrahim Mkoko mama yko ndio ana propaganda msenge mkubwa wew
@ibrahimmkoko5850
7 жыл бұрын
Duuuuh yaani maisha ndio magumu kiasi hicho mpaka wanawake mnaamua kujiuza kilazima kwenye mitandao, hahahaha Wanawake nyie hata muwezeshwe vipi kazi bure tu. Sasa kama wewe hapo kuandika matusi kwenye comment yangu ndio umeona ujanja mwenyewe wakati sehemu ya ku-comment ipo na ulikuwa una uhuru wa kuandika chochote lakini ukaona bura uje kwangu ukijua labda na mimi ni chizi kama wewe ntakujibu matusi au sio?? Next time uwe unaangalia na mtu mwenyewe sio kila mtu tu anaweza kukuingilia kinyume na maumbile, Wengine sio mambo yetu hayo hahahahahaha SHADHIRI NAVARANGA bila ya shaka utakuwa umenielewa Mtanzania mwenzako.....
mchono huu angalia instagram kwa kamanda mange kimambi
@hassanovajunior6972
7 жыл бұрын
Joseph Kaboyoka mange ni kahaba tu pimbi wew
looks like it's staged
@kennethmichael5758
7 жыл бұрын
very much
@martinwangwe8966
7 жыл бұрын
I dnt think you know Magufuli, he was like this since he was a minister so just go over his clips on youtube when he was a minister and you will understand.
After kumuachisha kazi nape ame plan kuwafunga macho wananchi kwa kujipeleka Bandarini....Mzee uraisi sio kichwa ngumu na kukurupuka ,, Is being Wise 4 watever ur doing ...so badilika utawala wako ni shida tupuuuu
@hassanovajunior6972
7 жыл бұрын
Sulaim Sameer wew unalaana sio bure
@sulaimsameer2668
7 жыл бұрын
Hassanova junior @Laana ww ndo unayo
@shadhirinavaranga7009
7 жыл бұрын
Sulaim Sameer we n msenge
@sulaimsameer2668
7 жыл бұрын
Shadhiri Navaranga @ Tukana tu ndugu yangu mungu anakuona
@ibrahimmkoko5850
7 жыл бұрын
Shadhiri Navaranga youtube sio sehemu sahihi ya kutangazia biashara yako ya ushoga. Nenda Instagram ndio kuna mashoga wenzako kule pia utapata wanaume wanaopenda kuwaingilia wanaume wenzao, Hapa unajipotezea muda tu aise hakuna hata mmoja anaependa hiyo michezo
Huna jipya
@andrewnyambega5590
7 жыл бұрын
nyie si mmezoea kushabikia upuuzi vya msingi mnaponda
@dadycarenjr5732
7 жыл бұрын
Simon Fundi tupe wewe jipya basi lione kwanza hovyooo tu
@jasminesamir8504
7 жыл бұрын
Mimi ananiboa tu
@briggsanji9176
7 жыл бұрын
Andrew they bora uwaambie na wewe
@tanzaniakwanza9564
7 жыл бұрын
ww una jipya gani kwa umbea wa mtandaoni!!? Anko Magu ataeleweka tu.
piga kazi baba mungu akulinde akupe maisha marefu