Asante sana. Nini tiba ikiwa tayari sauti yangu imesha haribika?
@ezekiakiyeyeu98407 ай бұрын
❤❤❤❤
@danielangel672 Жыл бұрын
🙌
@berthabethod9598 Жыл бұрын
Vipi kuhusu tangawizi, Ina msaada kwa sauti ama inaharibu sauti??
@suzanajilala2871
Жыл бұрын
Tangawizi, asali na maji hivi vina msaada kwenye sauti mkubwa sana Kwa kutengeneza sauti yako .... Tumia mchanganyiko huu .... Hivyo haina madhara yeyote Tangawizi isipokuwa inasaidia kufungua sauti hata kama sauti ilikua imegoma inarudisha Tangawizi fresh (chai ya Tangawizi yenye asali) inarudisha sauti Kwa haraka....
@naamanswila2770 Жыл бұрын
naomba whatsap namba yako nahitaji kuwasiliana na wewe zaidi
Пікірлер: 43
Ahsante sana mwalim
Asante sana dada barikiwa sana kwa Somo hili ubarikiwe na Mungu
Nimepnda
Keep it up,,,, nmepata ki2
❤ safi mwalim ila umchapia shukuru ukaimba shukulu,
Mungu akubariki mwalim
Napenda unifundishe kuimb vizr
Umetisha mwalimu wetu
Suzana upo vizuri dada angu
Mbona wahindi wanakula xn pilipili na wana vocal kali sn?
Uko pw nielekeze vizur
Uko vizuri mam
asante kwa mashauri .
Maneno yatamkwe vizuri siyo kushulu Ni KUSHUKURU
Mamiii safiii doctor ...upo sawa ila kwa dar najua hili mhhh maji moto kama Chai huku
Noted
Asante barikiwaa
Una voice
Be blessed
Dogo uko vzur sana
Sasa hiyo fresh Juice utakunywa ya moto?? Halaf vp kuhusu sigara na bange inaharib saut??😮
waoooo
Asante Sana dada
Voice
Nitumie nini kwasauti inayo kwamakwama naomba nisaidiee
Sawa nkoyi ilumbu lyane
Ni sababu gani muimbaji anaimba na sauti inatoka kama ya Chula hivi
Umesema vyakula vyenye mafuta, vipi mboga zenye mafuta tusilea au wali.
Asnti kwa kutfnz
Thanks
Wewe umevitoa wp ivo🤪
Amen
Asante sana. Nini tiba ikiwa tayari sauti yangu imesha haribika?
❤❤❤❤
🙌
Vipi kuhusu tangawizi, Ina msaada kwa sauti ama inaharibu sauti??
@suzanajilala2871
Жыл бұрын
Tangawizi, asali na maji hivi vina msaada kwenye sauti mkubwa sana Kwa kutengeneza sauti yako .... Tumia mchanganyiko huu .... Hivyo haina madhara yeyote Tangawizi isipokuwa inasaidia kufungua sauti hata kama sauti ilikua imegoma inarudisha Tangawizi fresh (chai ya Tangawizi yenye asali) inarudisha sauti Kwa haraka....
naomba whatsap namba yako nahitaji kuwasiliana na wewe zaidi
@ezekielmosses-ne6ft
Жыл бұрын
Nimependa mafundisho yako
Jamani kitimoto tena jmn tusule
@suzanajilala2871
Жыл бұрын
😄😄
@mediatricen4705
Жыл бұрын
@@suzanajilala2871 naweza kukupata je tuongee