Jinsi ya Kuzuia Sauti Kukwaruza Kwa Mwimbaji | Chakula Cha Mwimbaji - Dr Nature & Amon Mdonya

Hili ni jibu la swali alilouliza mmojawa wa wasikilizaji wetu. Utanufaika na majibu yake kutoka kwa Amon Mdonya.
(Video) ONA NYAMA INAVYOIFANYA MIFUPA YAKO • ONA NYAMA INAVYOIFANYA...
Channel ya TUCASA NTUC : / @tucasantuc
Channel ya TUCASA KCMC: / @tucasakcmc
Mungu akubariki.
**************
TUWE PAMOJA
KZread: / drnatureclinic
FACEBOOK: / yusufumf
INSTAGRAM: / dr_nature1
TWITTER: / drnature6
WHATSAPP: api.whatsapp.com/send?phone=2...
MUNGU AKUBARIKI

Пікірлер: 58

  • @christinakatutwa1949
    @christinakatutwa19494 жыл бұрын

    Nashukuru Dr. Tatizo langu ni kupata kohozi kooni mara kwa mara hata kama sina mafua wala kikohozi ila najisikia kuyakokota! Nilishapima TB majibu yalikuwa negative msaada tafadhali

  • @ladislausfocus789

    @ladislausfocus789

    3 жыл бұрын

    Dokta tusaidie hapa tafadhali

  • @JIMMYSOUND255
    @JIMMYSOUND2554 жыл бұрын

    Napenda kujifunza uimbaji nianzie wapi ili kuwa na sauti bora na niweze kupanda sauti za juu

  • @JacklineAbel-jx9iv
    @JacklineAbel-jx9iv Жыл бұрын

    Nimeipenda sauti yako nisaidie na mimi natamani niwe muimbaji mzur nisaidie sana kaka angu

  • @salomemahembega9420
    @salomemahembega94203 жыл бұрын

    Waooh, hakika nimebarikiwa Sana hongereni mno Natamani kukutana nanyi nyote kwa ushauri

  • @nurumbogela4128
    @nurumbogela41283 жыл бұрын

    Barikiwa kwa somo zuri ila natamani kujua jinsi ya kuweka au kufanya sauti iwe nzuri baada ya kutumia hvyoooo vyakula

  • @barakawanjara3239
    @barakawanjara32394 жыл бұрын

    Kipindi..kizuri..kimenielimisha kwa kweli.... Kazi nzuri mwl. Amon na Dr. Nature

  • @ladivawasafi922
    @ladivawasafi9223 жыл бұрын

    Jamaa anaimba sana

  • @gracemhando242
    @gracemhando2422 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana mtumishi kwa huduma yako

  • @Carinno2217
    @Carinno22173 жыл бұрын

    Nmefurahiii

  • @rizikitito3024
    @rizikitito30243 жыл бұрын

    Waooh!!hadi raha jmn mwalim yupo vizur sana

  • @queenbhatari5171
    @queenbhatari51713 жыл бұрын

    Wow mbarikiwe sana , nature care

  • @jemagodfrey7617
    @jemagodfrey76173 жыл бұрын

    Nahitajika nile nini kama mwimbaji

  • @janeirungu267
    @janeirungu2674 жыл бұрын

    Wao smart songs

  • @jacklinekimaro302
    @jacklinekimaro302 Жыл бұрын

    Nimeona hekima kubwa MUNGU ameweka ndani yako mwalim Ubarikiwe sana

  • @hamadikamili1054
    @hamadikamili10543 жыл бұрын

    Me naimba lakini nataka sauti yangu iwe nzuri na yenye mvuto

  • @sarahpetro8012
    @sarahpetro80122 жыл бұрын

    ur blessed am speechless

  • @annasafi7606
    @annasafi7606 Жыл бұрын

    Ahsante sana mbarikiwe

  • @kennedymaterni5835
    @kennedymaterni58354 жыл бұрын

    Yupo vizuri nimemwelewa

  • @khadejakhadeja9713
    @khadejakhadeja9713 Жыл бұрын

    Kweli yupo vizurii kwa uwimbaji ho na gera

  • @asheripeter419
    @asheripeter4193 жыл бұрын

    Nimefurahi sana

  • @josephsikalombo7690
    @josephsikalombo76902 жыл бұрын

    Nimekuelewa kaka kwa SoMo lako nalifanyia kazi

  • @adammsema6418
    @adammsema64184 жыл бұрын

    Dk nawashukuru sana tena sana waalimu wangu nimepona.mimi napenda vitu vya sukari sana.ahsanteni sana

  • @DrNatureclinic

    @DrNatureclinic

    4 жыл бұрын

    Ubarikiwe sana Adam

  • @samwelisayi1051
    @samwelisayi10514 жыл бұрын

    Asante Mwalimu

  • @DrNatureclinic

    @DrNatureclinic

    4 жыл бұрын

    ubarikiwe

  • @fahmaali8945
    @fahmaali89453 жыл бұрын

    Mnafanana sana masha Allah

  • @abelloy2134
    @abelloy21343 жыл бұрын

    Nice

  • @verceskaingu1372
    @verceskaingu13722 жыл бұрын

    Bigup

  • @mgesit.monchon1891
    @mgesit.monchon18913 жыл бұрын

    So powerful,, be blessed guys

  • @queenbhatari5171

    @queenbhatari5171

    3 жыл бұрын

    Wow u'r 2020 , b blessed mges

  • @SLJspirittz
    @SLJspirittz4 жыл бұрын

    POWERFULLY THANKS SIR

  • @DrNatureclinic

    @DrNatureclinic

    4 жыл бұрын

    always

  • @mwakisukuli2124
    @mwakisukuli21244 жыл бұрын

    Waoooo nice

  • @jacklinekimaro302
    @jacklinekimaro302 Жыл бұрын

    Ooooh waooooo that voiceeee

  • @GetrudaKanduru-kp4wj
    @GetrudaKanduru-kp4wj9 ай бұрын

    Sauti yangu imebadilika kwa sasa inatokea saiti ya nne na mimi ni mama

  • @mwitamachugu1443
    @mwitamachugu14432 жыл бұрын

    Asante

  • @danielyfwalogospelartist8251
    @danielyfwalogospelartist82513 жыл бұрын

    Naomba namba ya Mr Amoni

  • @DrNatureclinic

    @DrNatureclinic

    3 жыл бұрын

    Tuwasiliane 0767759137

  • @ronsevans2333
    @ronsevans23333 жыл бұрын

    Namba yake tutaipata

  • @user-cs1uh5ik7r
    @user-cs1uh5ik7r3 ай бұрын

    Mimi hapa nitawezaje kuitambuwa sauti yangu

  • @ivannytzboy7577
    @ivannytzboy75773 жыл бұрын

    Nakubali

  • @ivannytzboy7577

    @ivannytzboy7577

    3 жыл бұрын

    Upo pande zip hiz

  • @mwitamachugu1443
    @mwitamachugu14432 жыл бұрын

    Nilikuwa na saut nzur sana lakin baada ya kufanyiwa upasuaji wa nyama za koo saut imehalibika sana imekuwa na makohoz mengi na mikwaruzo mno nifanyeje napenda kuimba sana

  • @dawsonbulaga7129
    @dawsonbulaga71293 жыл бұрын

    Unajua Sana Kaka

  • @dawsonbulaga7129

    @dawsonbulaga7129

    2 жыл бұрын

    🙏🙏 Utukufu kwa MUNGU tu

  • @eliasaston
    @eliasaston4 жыл бұрын

    Yeye hana darasa online tujifunze

  • @DrNatureclinic

    @DrNatureclinic

    Жыл бұрын

    Bado hajaanzisha

  • @tumainmdee7543
    @tumainmdee75432 жыл бұрын

    Je waimba bass kutumia vit vya bard nak n vip

  • @Rangoboytz2023
    @Rangoboytz20235 ай бұрын

    Nyie

  • @wisdomushindi104
    @wisdomushindi104 Жыл бұрын

    Huo wimbo mapigo ya conductor no.

  • @jacklinekimaro302
    @jacklinekimaro302 Жыл бұрын

    Tunaomba namba au tujue mwalim alipo tujifunze kuimba

  • @tumainmdee7543
    @tumainmdee75432 жыл бұрын

    Sasa dr vip kuhus waimb bass

  • @bienfaitbikmoson-fz5en
    @bienfaitbikmoson-fz5enАй бұрын

    Mna fanana

  • @DrNatureclinic

    @DrNatureclinic

    Ай бұрын

    Asante sana

  • @JacklineAbel-jx9iv
    @JacklineAbel-jx9iv Жыл бұрын

    Je?asali inasaidia kutengeneza saut

  • @Jamesbari291
    @Jamesbari291 Жыл бұрын

    Hello

  • @DrNatureclinic

    @DrNatureclinic

    11 ай бұрын

    Helo