Jinsi ya Kuzuia Sauti Kukwaruza Kwa Mwimbaji | Chakula Cha Mwimbaji - Dr Nature & Amon Mdonya
Hili ni jibu la swali alilouliza mmojawa wa wasikilizaji wetu. Utanufaika na majibu yake kutoka kwa Amon Mdonya.
(Video) ONA NYAMA INAVYOIFANYA MIFUPA YAKO • ONA NYAMA INAVYOIFANYA...
Channel ya TUCASA NTUC : / @tucasantuc
Channel ya TUCASA KCMC: / @tucasakcmc
Mungu akubariki.
**************
TUWE PAMOJA
KZread: / drnatureclinic
FACEBOOK: / yusufumf
INSTAGRAM: / dr_nature1
TWITTER: / drnature6
WHATSAPP: api.whatsapp.com/send?phone=2...
MUNGU AKUBARIKI
Пікірлер: 58
Nashukuru Dr. Tatizo langu ni kupata kohozi kooni mara kwa mara hata kama sina mafua wala kikohozi ila najisikia kuyakokota! Nilishapima TB majibu yalikuwa negative msaada tafadhali
@ladislausfocus789
3 жыл бұрын
Dokta tusaidie hapa tafadhali
Napenda kujifunza uimbaji nianzie wapi ili kuwa na sauti bora na niweze kupanda sauti za juu
Nimeipenda sauti yako nisaidie na mimi natamani niwe muimbaji mzur nisaidie sana kaka angu
Waooh, hakika nimebarikiwa Sana hongereni mno Natamani kukutana nanyi nyote kwa ushauri
Barikiwa kwa somo zuri ila natamani kujua jinsi ya kuweka au kufanya sauti iwe nzuri baada ya kutumia hvyoooo vyakula
Kipindi..kizuri..kimenielimisha kwa kweli.... Kazi nzuri mwl. Amon na Dr. Nature
Jamaa anaimba sana
Ubarikiwe sana mtumishi kwa huduma yako
Nmefurahiii
Waooh!!hadi raha jmn mwalim yupo vizur sana
Wow mbarikiwe sana , nature care
Nahitajika nile nini kama mwimbaji
Wao smart songs
Nimeona hekima kubwa MUNGU ameweka ndani yako mwalim Ubarikiwe sana
Me naimba lakini nataka sauti yangu iwe nzuri na yenye mvuto
ur blessed am speechless
Ahsante sana mbarikiwe
Yupo vizuri nimemwelewa
Kweli yupo vizurii kwa uwimbaji ho na gera
Nimefurahi sana
Nimekuelewa kaka kwa SoMo lako nalifanyia kazi
Dk nawashukuru sana tena sana waalimu wangu nimepona.mimi napenda vitu vya sukari sana.ahsanteni sana
@DrNatureclinic
4 жыл бұрын
Ubarikiwe sana Adam
Asante Mwalimu
@DrNatureclinic
4 жыл бұрын
ubarikiwe
Mnafanana sana masha Allah
Nice
Bigup
So powerful,, be blessed guys
@queenbhatari5171
3 жыл бұрын
Wow u'r 2020 , b blessed mges
POWERFULLY THANKS SIR
@DrNatureclinic
4 жыл бұрын
always
Waoooo nice
Ooooh waooooo that voiceeee
Sauti yangu imebadilika kwa sasa inatokea saiti ya nne na mimi ni mama
Asante
Naomba namba ya Mr Amoni
@DrNatureclinic
3 жыл бұрын
Tuwasiliane 0767759137
Namba yake tutaipata
Mimi hapa nitawezaje kuitambuwa sauti yangu
Nakubali
@ivannytzboy7577
3 жыл бұрын
Upo pande zip hiz
Nilikuwa na saut nzur sana lakin baada ya kufanyiwa upasuaji wa nyama za koo saut imehalibika sana imekuwa na makohoz mengi na mikwaruzo mno nifanyeje napenda kuimba sana
Unajua Sana Kaka
@dawsonbulaga7129
2 жыл бұрын
🙏🙏 Utukufu kwa MUNGU tu
Yeye hana darasa online tujifunze
@DrNatureclinic
Жыл бұрын
Bado hajaanzisha
Je waimba bass kutumia vit vya bard nak n vip
Nyie
Huo wimbo mapigo ya conductor no.
Tunaomba namba au tujue mwalim alipo tujifunze kuimba
Sasa dr vip kuhus waimb bass
Mna fanana
@DrNatureclinic
Ай бұрын
Asante sana
Je?asali inasaidia kutengeneza saut
Hello
@DrNatureclinic
11 ай бұрын
Helo