🎉❤🎉❤
Naomba namba zko kuna vitu nataka unifundisha
Vizuri
Nimependa vipind vyako ila nimechelewa kukufahamu
Your good
❤❤❤
Asante san❤❤
Ni sababu gani muimbaji anaimba na sauti inatoka kama ya Chula hivi
Upo vizuri mtafute Masta kiki mubadilishane ujuzi
dada wewe umerekod wimbo wowote?
Ahsante sana mwalim
Ungekuwa Romani ungekuwa noma sanaaaa
jamani natamani niwemwimbaji Kama wewe lakini nashindwa nifanyeje
Naitaji unifunze gitaa sister🙏
Dada Suzi nataman nijue kuimba kama wew
Mbona wahindi wanakula xn pilipili na wana vocal kali sn?
Nimepnda
Alooo
Hakika sauti mungu akiniangushia barabara nzima natembea nikiimba❤❤❤❤😂
Naombaa nambaa yako tushare dada yanguu
Nambaa ako ya whasapuu
Naomba namba yako
Suzy naomba namba nahitaj kujifunza zaid
Mi sauti yangu mbaya nifanyeje?
Uko pw nielekeze vizur
Habari ili kutengeneza koo ni lazima upige kelele kwnguv...???
Honge mpendwa nainji na ufundishaji wako je nitakupataje nami napenda kujifunza
Nice kabisa
Sasa hiyo fresh Juice utakunywa ya moto?? Halaf vp kuhusu sigara na bange inaharib saut??😮
Hizo nota mbona ni za mchongo mh...😮
😢😢😢ongera Dada anguh
Please madame naomba kujuah saut ya pili coz napata shida sana
Una voice
❤ safi mwalim ila umchapia shukuru ukaimba shukulu,
Umesema vyakula vyenye mafuta, vipi mboga zenye mafuta tusilea au wali.
Karebo
Kwema Napenda
Mimi siwezi kuimba
Amen
Mama unajua nmekubal
Maneno yatamkwe vizuri siyo kushulu Ni KUSHUKURU
❤❤❤❤
Hili darasa lipo wapi tuje jamani tunataka kujifunza toeni direction
Naomaba jamani kujifunza kuimba
jamani dada naomba unifundishe kuimba vzur Mungu atakubariki me nipo Mbande magengeni❤❤❤
Mim niko mafia natak kujifunza kuimba
Sawa nkoyi ilumbu lyane
Noted
Пікірлер
🎉❤🎉❤
Naomba namba zko kuna vitu nataka unifundisha
Vizuri
Nimependa vipind vyako ila nimechelewa kukufahamu
Your good
❤❤❤
Asante san❤❤
Ni sababu gani muimbaji anaimba na sauti inatoka kama ya Chula hivi
Upo vizuri mtafute Masta kiki mubadilishane ujuzi
dada wewe umerekod wimbo wowote?
Ahsante sana mwalim
Ungekuwa Romani ungekuwa noma sanaaaa
jamani natamani niwemwimbaji Kama wewe lakini nashindwa nifanyeje
Naitaji unifunze gitaa sister🙏
Dada Suzi nataman nijue kuimba kama wew
Mbona wahindi wanakula xn pilipili na wana vocal kali sn?
Nimepnda
Alooo
Hakika sauti mungu akiniangushia barabara nzima natembea nikiimba❤❤❤❤😂
Naombaa nambaa yako tushare dada yanguu
Nambaa ako ya whasapuu
Naomba namba yako
Suzy naomba namba nahitaj kujifunza zaid
Mi sauti yangu mbaya nifanyeje?
Uko pw nielekeze vizur
Habari ili kutengeneza koo ni lazima upige kelele kwnguv...???
Honge mpendwa nainji na ufundishaji wako je nitakupataje nami napenda kujifunza
Nice kabisa
Sasa hiyo fresh Juice utakunywa ya moto?? Halaf vp kuhusu sigara na bange inaharib saut??😮
Hizo nota mbona ni za mchongo mh...😮
😢😢😢ongera Dada anguh
Please madame naomba kujuah saut ya pili coz napata shida sana
Una voice
❤ safi mwalim ila umchapia shukuru ukaimba shukulu,
Umesema vyakula vyenye mafuta, vipi mboga zenye mafuta tusilea au wali.
Karebo
Kwema Napenda
Mimi siwezi kuimba
Amen
Mama unajua nmekubal
Maneno yatamkwe vizuri siyo kushulu Ni KUSHUKURU
❤❤❤❤
Hili darasa lipo wapi tuje jamani tunataka kujifunza toeni direction
Naomaba jamani kujifunza kuimba
jamani dada naomba unifundishe kuimba vzur Mungu atakubariki me nipo Mbande magengeni❤❤❤
Mim niko mafia natak kujifunza kuimba
Sawa nkoyi ilumbu lyane
Noted