FANYA MAZOEZI YA KUIMBA KWA KUPANDA NA SHUKA NO.1
Karibu ujifunze katika darasa la mziki utafanikiwa kwani hakuna jambo gumu duuniani yote yanawezekana tena itafika mbali kwa kufuatilia mtiririko wa masomo yangu, ahsante,
***Mungu akubariki***
Karibu ujifunze katika darasa la mziki utafanikiwa kwani hakuna jambo gumu duuniani yote yanawezekana tena itafika mbali kwa kufuatilia mtiririko wa masomo yangu, ahsante,
***Mungu akubariki***
Пікірлер: 85
Upo vizuri mtafute Masta kiki mubadilishane ujuzi
Vizuri
Waoooh 🎶🎸 NC . Upo vyema
👍👍👍madame iko vzr 🙌🙌pamoja mwl wetyu
@suzanajilala2871
3 жыл бұрын
Asanteee
Mungu akubariki sana dada endelea kutupa vitu vingine tena ili tuendelee kujifunza
Nimekubali uko vizuriii dada
jamani dada naomba unifundishe kuimba vzur Mungu atakubariki me nipo Mbande magengeni❤❤❤
Asante san❤❤
Hongera Mwalimu ila zoezi la pili sijalielewa
So good am learning from you thanks
Uko vizur teacher
Jamani me Niko Dodoma nataka kujifuza kuimba jaman
Nimependa vipind vyako ila nimechelewa kukufahamu
Nice lessons,,,though apo kwa kuimba kutoka doh ' ti ,lah soh fah, mh, ray, doh. From soh to fah is a tone umeipiga semitone.very keen but the lessons are nice
Barikiwa sann😊
Nabalikiwa mno na weyeeeh Bibiyeeeh
Thank you my teacher
Kweli nilaisi sana na ubalikiwe
Suzy mdogo wangu hongera Sana mama ,kazi yako njema 🙌🏽🙌🏽
@elizabethmasalu1178
3 жыл бұрын
Ila mdg wangu jaman una kasaut Alf me dada akoo sinaaa
@suzanajilala2871
3 жыл бұрын
usijali .. unawezaaaa dada angu uko vizuri piaaaa
Dada Suzi nataman nijue kuimba kama wew
Nice lesson 😘
Hongera
Msukumu wangu
Safi uko vzuli
Napenda sana
Karebo
@KarebDamson
6 ай бұрын
Kwema Napenda
Suzy naomba namba nahitaj kujifunza zaid
Simsim official💥💥
😢😢😢ongera Dada anguh
Please madame naomba kujuah saut ya pili coz napata shida sana
Habari ili kutengeneza koo ni lazima upige kelele kwnguv...???
Hili darasa lipo wapi tuje jamani tunataka kujifunza toeni direction
Mama unajua nmekubal
Suzana your namba jaman
Unasauti tamu😄
Naomba unisaidie No zko za tsupp niendelee kujifunza
Waooooooooow
Kaz nzul
jamani natamani niwemwimbaji Kama wewe lakini nashindwa nifanyeje
ahsant dada
Nambaa ako ya whasapuu
Hizo nota mbona ni za mchongo mh...😮
Mana natamani kuelewa uimbaji
Apo nimekuelewa mrembo
Nice
Hey nataka unifunze sauti inyoloke plz ata kama ni live nitashukuru
Naomaba jamani kujifunza kuimba
Wahoooo
Mambo vp
Waao
We ukila k2 kwangu.
@noadiehabukuri8439
2 жыл бұрын
Vizuli sana
@BrigitteBahombwa
Жыл бұрын
Ubarikiwe Sana mwalimu wetu Yani Mimi napenda Sana nijuwe
@BrigitteBahombwa
Жыл бұрын
Naomba unisahidiye namba yako ili tuwe nawasiliana,usikilivu mwema
Asnte
unaimba visuri
Mim niko mafia natak kujifunza kuimba
Hello my sister
Mimi ni mwanafanzi wako nimejifunza Muzik kupitia wewe
Nahitaji kujua uimbaji dada jilala
Natamani unifundishe na mie sijuw ntakupataje.
Dada naomba namba yako nikuchek sap plz
Mwalimu hongera kwa kazi nzuri ya kuelekeza sauti,wewe ni binti wa mchungaji Jilala wa Kahama?
@suzanajilala2871
3 жыл бұрын
Ndiooo
@mbokakassim220
3 жыл бұрын
Mh! kaz nzul kwa mwendo huu na me nitajua kuimba
dada wewe umerekod wimbo wowote?
Mbona unaaga chap kanamba vipi
Dada mm napenda kuimba ila sijui nifanyaje ili nijue
Vp nahitaji kujifunza nakupataje nipo dodoma
Nice kabisa
Msaada email yako kwa mafunzo zaid
@suzanajilala2871
2 жыл бұрын
suzanacute@gmail.com
Nawezaje Kukufikia kwa kunifundisha Live ili Ujue Madhaifu yangu ni Yapi hapo na Gharama zake
@suzanajilala2871
Жыл бұрын
Oooh karibu tuma ujumbe wako kwa Email address: suzanacute8@gmail.com
@suzanajilala2871
Жыл бұрын
Tumia Email: suzanacute8@gmail.com
@damalismagawa2997
Жыл бұрын
@@suzanajilala2871 Mommy naomb namb yako
@suzanajilala2871
Жыл бұрын
@@damalismagawa2997 naomba namba yako nikutafute
@angelakway683
9 ай бұрын
@@suzanajilala2871 naomba no zako pliz nami nko kahama nataman tuonane ana kwa ana plz
Naomba contact zako nahtaji ushauri
@suzanajilala2871
2 жыл бұрын
suzanacute@gmail.com
@suzanlivin3147
Жыл бұрын
suzan nimependa nataman kujua