JINSI YA KUIMBA SAUTI ZA CHINI SANA

Fanya mazoezi haya upate uwezo wa kuimba funguo za chini sana kuliko kawaida.

Пікірлер: 32

  • @JohniMsuha
    @JohniMsuha5 ай бұрын

    Naita johni ALBETI MSUHA

  • @RumarineWhistonly-qf8ub
    @RumarineWhistonly-qf8ub11 ай бұрын

    Thanks

  • @FloraNdabali
    @FloraNdabali3 ай бұрын

    Hello .asante mwal.naomba mawasiliano

  • @beatriceelison5047
    @beatriceelison5047Ай бұрын

    Teacher nashkuru Sana naomba kujua unapatikana wapi nijifunze kinanda

  • @JohniMsuha
    @JohniMsuha5 ай бұрын

    Naomba nijifuzesauti kuimba

  • @moviestrailer3760
    @moviestrailer37602 жыл бұрын

    Nahitaji kujua uandishi wa wimbo

  • @patrick_donge

    @patrick_donge

    2 жыл бұрын

    Sawa. Nitakuandalia Kipindi chake. asante sana

  • @ozumackathanas7747
    @ozumackathanas77472 жыл бұрын

    Mwalimu Mimi nisaidie jinsi ya kufungua nyimbo

  • @patrick_donge

    @patrick_donge

    2 жыл бұрын

    Kufungua Nyimbo?Au kutunga nyimbo?

  • @macgenius4254
    @macgenius4254 Жыл бұрын

    Kwa muimbaji kutumia maji yanaridi ninzuri

  • @patrick_donge

    @patrick_donge

    Жыл бұрын

    Hapana si vizuri

  • @faresitz
    @faresitz10 ай бұрын

    Naomba namba yako kaka

  • @furahamwendesha1222
    @furahamwendesha122211 ай бұрын

    Naomba mazoezi ya kuimba bass sauti ya nne

  • @JonasKaingo
    @JonasKaingo3 ай бұрын

    Mwl natamani utufundishe Namna ya kumentain key ya juu bila kuonyesha dalili za kuchoka au kupoteza uwezo.

  • @patrick_donge

    @patrick_donge

    3 ай бұрын

    Asante.nitawaandalia

  • @macgenius4254
    @macgenius4254 Жыл бұрын

    Nitumie namba yako yasimu kaka ineed more training from you Nina competition

  • @patrick_donge

    @patrick_donge

    Жыл бұрын

    0759447595

  • @patrick_donge

    @patrick_donge

    8 ай бұрын

    0759447595

  • @ReekJay
    @ReekJay2 жыл бұрын

    Mungu ata kubariki ticha. Ila nina tatzo la kuimba kooni, how to sing from diagphram??

  • @patrick_donge

    @patrick_donge

    2 жыл бұрын

    Nashukuru kwa comment yako.

  • @patrick_donge

    @patrick_donge

    2 жыл бұрын

    kwani unaimba style gani?

  • @ReekJay

    @ReekJay

    2 жыл бұрын

    Naimba bongo fleva

  • @daddymwambe_official6985
    @daddymwambe_official69852 жыл бұрын

    Unapatikan wap

  • @patrick_donge

    @patrick_donge

    2 жыл бұрын

    arusha

  • @RichardMshana-su9hs
    @RichardMshana-su9hs8 ай бұрын

    Mwalimu Mimi nahitaji kujua kuimba sauti ya bass ..unanisaidiaje hapo ?

  • @patrick_donge

    @patrick_donge

    8 ай бұрын

    Unahitaji mazoezi

  • @patrick_donge

    @patrick_donge

    8 ай бұрын

    0759447595

  • @RichardMshana-su9hs

    @RichardMshana-su9hs

    8 ай бұрын

    @@patrick_donge nashukuru kak

  • @daddymwambe_official6985
    @daddymwambe_official69852 жыл бұрын

    Mm nafany muzik naitaj nieleweshwe nikiwa kalibu apo ulipo

  • @patrick_donge

    @patrick_donge

    2 жыл бұрын

    naishi arusha wewe upo wapi

  • @bracketshow2772
    @bracketshow27722 жыл бұрын

    Jitaidi kutumia mwanga na sauti in mvumo hii kuboresha Mimi muigizaji na sauti ni muhimu kwangu

  • @patrick_donge

    @patrick_donge

    2 жыл бұрын

    Asante sana kwa Mawazo mazuri. Nitalifanyia kazi