nafsi yangu imechoka sana na maisha yangu yamekosa mwelekeo, sitajizuia na kuugua kwangu mimi, nitanena kwa uchungu, kwa roho yangu nitamwambia MUNGU wangu... usinihukumie makosa yangu, Nioneshe sababu ya kukosana nawe..... WIMBO HUU KWANGU NI IBAADA.... MUNGU wa mbinguni aendeleee kuwatumia kuihubiri injili yake kwa watu wote AMINA...
@thaimouraaloyce9515
Жыл бұрын
AMINA mtumishi na mteule wa MUNGU
@chibudeh543
Жыл бұрын
@@thaimouraaloyce9515
@margarethmwampondele7858
Жыл бұрын
Hakika!
@nkwayakilumi7733
Жыл бұрын
Kabisa, Mungu awatunze
@aronmanguzu5748
Жыл бұрын
@@chibudeh543 u
@benngideon93173 жыл бұрын
Kama hapa duniania ndio hvii Je huko kwa mbinguni patakuaje sipati picha siku hiyo.... Mungu awabariki Roho Mtakatifu akazidi kuwa ndani yenu awalinde.
@mariummwaipe16503 жыл бұрын
Wakenya Lets show Love to these Blessed brothers and sisters. Nikisikiya Nyinyi zenu huwa najihisi nimesonga Karina na Mungu. May God bless you. Nawapenda Sana all the way from Mombasa Kenya.
@rhodapyuza7465
3 жыл бұрын
Mungu azidi kuwainua
@julianankulila1277
2 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@christopherdavid3101
2 жыл бұрын
Amen
@christiankaguo9146
2 жыл бұрын
Mnaimba vizuri mnavutia sana
@paulinemakumu4099
2 жыл бұрын
@@rhodapyuza7465 a as
@danierjohn13753 жыл бұрын
Dada uliyeanzshaa kuimbishaa nakupendaa bureee😘😘
@davisntuba4742
3 жыл бұрын
Hunizidi mimi natamani siku moja nikasali pale kanisani kwao
@justineelirehemaayo8255
3 жыл бұрын
Daaaah kweli mungu amewatumia vzr hasa Hawa wanaombia daaaah mungu awainue zaidi jamani
@messiasulleydidy25853 жыл бұрын
Hawa masololists nashimdwa kuwasemea,, zaid nasema mungu aendeleee kuwabariki sana na sana tens,,
@marymyonga3808
3 жыл бұрын
Nawatamani Sana Hawa masoro na me Ni solorist lkn kila nikiwaona Hawa najiona siwezi kabisa
@eunicehakamba7446
3 жыл бұрын
May God bless you all
@ConfusedDarts-yv4pr5 ай бұрын
Mko sawa! Ila muwe macho Adui hana mchezo! Mkishangaa shangaa .................!!!
@gisege_black3 жыл бұрын
Kutoka Kenya. Alivyoifanya mbingu Mungu, Akatutwika vipawa tuvitumie kwa Majira yaliyomo. Nimebarikiwa na nyimbo zenu, Soloists. Ooooh, What a gem 💎 you are. Kutoka, Yatendeeni, Ufalme, Mungu kwetu sisi, Wastahili, Nyenyekeeni, Kila mwenye Pumzi, Haudaiwi hata Usikate tawi..... . Sasa huu wa Nafsi yangu na Wasamehe kweli mwatesa ajabu. Mmelea vipawa na CVC iendelee. Mwalimu Styles,barikiwa. Mcheza keyboard, ooooh Baraka.
@belindaaloyce6844
7 ай бұрын
Diana na mpenda
@bombagakibona90373 жыл бұрын
Huu wimbo unanikumbusha kunyenyekea na kutubu mana maisha yetu yamechorwa kiganjani pake na ni neno toka kwake linaweza jenga au kuua......mungu ni mwema
@ZoelleChelangat2 ай бұрын
Mbarikiwe sana nyimbo zeu zinanibariki sana
@aminamsalege7923 жыл бұрын
Naupenda sana huu wimbo,, Dada Diana Mungu akupe maisha marefu. 😍mbarikiwe wote
@raphaelntambi64043 жыл бұрын
Dada aliyeanza nafsi yanguhuwa naguswa na kubarikiwa Sana na huduma yako Mungu aendelee kukutumia
@shibonemathias1153
3 жыл бұрын
E
@dorahmsungu2351
3 жыл бұрын
Mbarikiwa sana
@user-kq5yf2sx8p3 ай бұрын
Nabarikiwa sana. Na huu wimbo
@rebecasanya89103 жыл бұрын
hii kwaya inamfanya mtu atamani kuimba kwaya kwakweli mbarikiwe sana jamani🙏🙏🙏🙏
@user-jl1ct8be4o29 күн бұрын
Kwakwli huu wimbo ukiusikiliza unaujumbe sana ibarikiwe hii kwaya pamoja na mtunzi
@normankiprono95382 жыл бұрын
Watching you from Kenya 🇰🇪, my family and I have been really blessed by CVC songs since the one titled "Gusa" may God use you as the instrumentals in preaching His word. God bless you CVC. We Love you. 🙏
@evelynmalims3 жыл бұрын
Nimeupenda huu wimbo umekuwa faraja kwangu, natamani niimbe kama wewe soro wa kwanza Mungu aendelee kukutunza na kukutumia
@user-he5nd4hm7l8 ай бұрын
Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu ,msaada utakaoonekana wakati wa mateso .Glory be to God
@danielkiporlochongo77912 жыл бұрын
The song leader is young all times since I knew her at my 7 years old,Grace is always at your life,I love your ministration.
@thaimouraaloyce9515
Жыл бұрын
Mubarikiwe xana kwa uinjilishaji wa neno la MUNGU,,nyimbo zetu Zina nibariki Xana xana ,,Mungu avitunze vipaji vyenu muendelee kumtukuza MUNGU,,,,
@jackobnzalia6973 жыл бұрын
Cvc nawapenda sana huu wimbo umegusa mioyo za watu na kubarikiwa amen mungu awe nanyi siku zote nafsi yangu ....huchoki kusikiliza
@neemaezekiel48563 жыл бұрын
Jamani sijui niseme nini juu yenu!! Zaidi ya kusema mbarikiwe zaidi na zaidi hakika nyimbo zinakuweka katika utukufu wa Mungu kabisa kabisa.
@brebasheki9088 Жыл бұрын
Hii kwaya nimeijua juzi 2020, lakini ule wimbo wa gusa niliujua muda murefu nikiwa kijijini Katavi. Jamani tunatoka mbali. Kula hakuna radio kabisa.
@samuelokoyaro18888 ай бұрын
Mtunzi wa huu wimbo...nakuombea baraka tele jumla na waimbaji wote wa AIC Changombe,,,,,,Bibilia nayo mmeisoma
@isaiahkandie4968
8 ай бұрын
God bless you cha'ngombe choir for serving God and mankind, it always quite edifying the souls of the listeners.
Florence ombwara Amen Amen nice song glory to God be blessed all singer's for give me God
@joycebii52253 жыл бұрын
My favourite song. Your songs are unique and amazing. Be blessed AIC Chang'ombe.sichoki kuweka nyimbo zenu kila siku. Joyce from Kenya
@franksamike1743 жыл бұрын
Mungu wetu mwenye nguvu awabariki sana katika huduma hii ya uimbaji kwani watu wenye kweli rohoni wanafarijika na wengine wengi wanaokolewa kwa huduma hii.
@charlesbuka97743 жыл бұрын
Jamani jamani dada huyu ananifanya nijihisi Niko mbinguni! Ubarikiwe sana dada nakupenda mnooooo!!!!!!!
@ayubukibona997
2 жыл бұрын
Jaman huyu dada kweli anaupako wa kipekee barikiwa sana cvc Mungu amewainua tunawapenda tunamuona Mungu kwenu
@jacksonfulano60153 жыл бұрын
NAWAPENDAAAAAAAAA SANAAAAA AICT CVC NABARIKIWA NA UIMBAJI WENU ,NILISUBILI KWA HAMU ALBAM YENU ,MUNGU AWABARIKI HAKIKA AMINAAA
@MmMm-tt1wi4 ай бұрын
Mungu isamehe nafisi yangu 😢😢😢😢
@erickbravo89032 жыл бұрын
Huu wimboo ni Historia tosha ya huyo kijana kwenye huo wimbo ni mkoja wa classmate wangu and now nj mchungaji am so happy
@masenyengefuraha90953 жыл бұрын
Hakika mungu ameweka kitu kwa watumish hawa muendelee kuitenda kaz ya bwana wenu john furaha kotoka kilimahewa ushirombo geita
@Siamanda513 жыл бұрын
Mungu aibariki kwaya hii nyinyi ni chombo mliyotumwa na mkakubali kutumika kutangaza injili ya yesu
@prettywizard53742 жыл бұрын
What a blessing to the world from this Annoited choir!! For sure,,,,Siku za mwanadamu sio nyingi,,,, mbarikiwe Sana Wana Chang'ombe mnapoiendeleza huduma hii Kwa njia ya uimbaji!!!
@benardbagwasiofficial54093 жыл бұрын
Nyimbo tamu mavazi nadhifu yaani bwana anapendezwa nanyi,mbarikiwe sana.
@eliasadrian50263 жыл бұрын
Amen sitachoka kutenda mema ee Mungu anitetee barikiweni wapendwa kwetu ni Mbinguni tulazen mwendo
@faithmusyoki59983 жыл бұрын
Tamu sana.....Diz time round mko chonjo.....kuna taji baada ya kazi..Glory b to God...sauti nazo?You r really blessed...
@princedejezeluuchannel57893 жыл бұрын
Tunawapenda sana aict chang'ombe choir mnaimba vizuri sana mungu awabariki sana sisi pia tuko kijijini tunapenda sana kumwimbia mungu lakin tumepungukiwa vifaa vya music sana sana kinanda tunaomba mchango wenu wa hali na mali kias chochote mtakacho tuwezesha tutashukuru sana tunaomba mtusaidie tunataman sana kumwimbia Mungu amen mbarikiwe sana
@marymyonga38083 жыл бұрын
Wimbo nauangalia Kila Mara hapo mwanzo vyombo vimetulia mziki umetulia Sana Mungu. Awabariki
@judithpendo41213 жыл бұрын
Jamani barikiweni kwa uimbaji wenu mzuri tena mko smart mtu hachoki kusiliza ujumbe wenu
@oliviaa11063 жыл бұрын
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu nyimbo nzuri sana zinabariki
@elijahmwongela71683 жыл бұрын
My favourite soloist; I could listen to her sing the whole day and not get tired. God bless you mama!
@rizikilukumay6807
2 жыл бұрын
Mungu awabarki
@queencestomonja5284
2 жыл бұрын
Nampenda sana❤
@carolynendunge5815
Жыл бұрын
@@rizikilukumay6807 qm
@abelpaul52353 жыл бұрын
Ole ole wake yule ashindanae na Mungu alie juu mwenye kuponya.
@abelpaul52353 жыл бұрын
Huu ndyo wimbo wangu ninao uangalia kila cku. Mungu awabariki sana.
@zakiakaoneka3989
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@irenejustinian2212
3 жыл бұрын
Nice nimependa sn kwa ujumbe mungu awabariki
@davidkisalimwala94583 жыл бұрын
all the songs i have watched from the new ALBUM JIWE zote ni nyimbo nzuri sana zimenibariki mno, HONGERA CVC kwa kazi safi sana ya kumtukuza Mungu. Kenya Tunapenda kazi yenu
@favouropande1065
3 жыл бұрын
Pamoja sana. My fellow Kenyan. In my heart...I have a dream to invite them to Kenya for a concert. May God help me.
@davidkisalimwala9458
3 жыл бұрын
@@favouropande1065 they were suppose to have a meeting in nakuru Last April but COVID 19 , its possible with good planning
@shilikale3 жыл бұрын
Cvc mbarikiwe sana na hii song tangu nilipoisikia mpaka leo naibariki sana
@jefredyfrednandy58803 жыл бұрын
Yaaaaan sister Diana uishiiii miaaka bukuuu
@pendokaviha92753 жыл бұрын
From Kenya, aki mnanibariki Sanaa this is my favorite choir ever, my God bless you so much
@joynerbarasa5916
3 жыл бұрын
From Kenya always ....i love this choir.
@tommuthiani5042
3 жыл бұрын
Good work mm napedezwa na uimbaji wenu kwanza ile vol ya nenda na uzima wako inanibamba sana mungu azidi kuwabariki
@georgearewa23773 жыл бұрын
hawa ni kipenzi changu. napenda sana nyimbo za vikundi. mungu awabariki
@sundaysamson31593 жыл бұрын
Huyu Mama (Diana) .... Amekua Baraka Kwangu Mungu amuinue katika viwango vya juu kabisa....
@davisntuba4742
3 жыл бұрын
Mama Diana ni huyu mweusi au maana mie nampenda sana uimbaji wake
@sheddy2417
3 жыл бұрын
Ndiye huyo ss...mama asiye na makuu.Mungu kambariki kweli na sauti
@ashukuriwembasha6629
Жыл бұрын
Mungu awabaroki sana .Mr.A mbasha.toka Moshi Kilimanjaro
@samwelchotta12453 жыл бұрын
Huu wimbo naupenda Sana siku haiish Bila kuusikiliza, nabarikiwa Sana na kufarijika kupitia wimbo huu,, unamaa kubwa Sana huu wimbo maishani mwangu.. ayubu10:1- mungu awabariki Sana cvc na awainue viwango vya juu kimataifa.
@jalianekemia9458
3 жыл бұрын
Ll
@Jorge_safaris2 жыл бұрын
Just what i needed... my mom just sent me a link to this song, I've been feeling low lately... thank you for the message.... My heavenly father continue reaching out to bless you people.
@normankiprono9538
2 жыл бұрын
Amen 🙏
@nehemiahelisha69473 жыл бұрын
Yaani CVC ni Shida watu wa Mungu Mbarikiwe Sana nyote Nawapenda Sana wimbo mzuri Sana katika maisha yetu ya kiroho
@sonjoprimaryschool81863 жыл бұрын
Mama yangu umri wako unakwenda sana lakini, sauti yako inayomtukuza Mungu ni kama ndo kwanza inaanza. Ubarikiwe sana
@agnesgervas8070
3 жыл бұрын
Kwa mungu hakuna umri ote watoto ty
@sonjoprimaryschool8186
3 жыл бұрын
@@agnesgervas8070 Nabarikiwa nawe sana kwa uimbaji wako mama yangu
@agnesgervas8070
3 жыл бұрын
@@sonjoprimaryschool8186 Amina mungu azdi kukupa moyo wakusliza ili ubarikiw zaid
@sonjoprimaryschool8186
3 жыл бұрын
@@agnesgervas8070 Amina mama.. Performance ya wimbo JINSI ZILIVYO super sana kwangu
@agnesgervas8070
3 жыл бұрын
@@sonjoprimaryschool8186 amina God bless you
@georgejosephmiringay23253 жыл бұрын
Wimbo Mzuri sana Solo sauti yako ni Tamu sana
@beckiechepsiror80283 жыл бұрын
From Kenya 🇰🇪, you are a blessing. The vocals, dressing code, hair and everything is just dope👌👌👌👌👌👌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😍😍😍
@alicemumo7974
3 жыл бұрын
I love their songs sana, natamani kwenda TZ
@gloriousn6425
3 жыл бұрын
Alice Mumo toroka uje jirani 😊🙏🏾🇹🇿
@rizikilukumay6807
2 жыл бұрын
Blessing voice soloist mama love
@sososool9177
2 жыл бұрын
Mungu akubariki dada diana kila ninapo skiliza hu wimbo nahs uwepo wa Mungu kabla sjasali uck lazma niskilize kwanzo
@evelenev28773 жыл бұрын
Watch from Saudi Arabia like this song💋💋💋💋🙏🙏🙏🙏🙏
@paulsamsonkishindo10303 жыл бұрын
Hakika wimbo una mafundisho makubwa. Hongerani sana.
@gracelyimojoseph72363 жыл бұрын
jaman uyu solist wa kwanza aimba vizuri jaman kila wimbo mam mungu akubarik san mungu atakutetea kwel
@elizabetjmillel33513 жыл бұрын
Huyu mama sololist huwa anajua sana Mungu akuinue zaid kwenye uimbaji be blessed
@happinesfesto9171
3 жыл бұрын
Hakika huwa nabarikiwa sana jamani na hii kwaya barikiwa sn
@messiasulleydidy25853 жыл бұрын
hamjawahi kuniangusha hata kidg,,, being blessed,,
@shedrackmumo17392 жыл бұрын
Kuna jambo la kipekee nimekuja kuelewa,Mama Diana anaposolo wimbo uwa na mnato sana tena uwepo mwingi wa Mungu. Itoshe kusema ni mwombaji japo simjui ki roho lkn ninahisi n Mwana Mama mwenye unyenyekevu mno na msikivu...Mungu azidi kumpa miaka mingi azidi kutumika hekalauni mwake. 🙏🙏
@adiminpeter51423 жыл бұрын
Nabarikiwa sana na wimbo huu, tunamuomba Mwenyezi Mungu aendelee kuwatumia kiwango hadi kiwango
@kristinekateassy71353 жыл бұрын
I just love the soloists of Chang'ombe choir you have awesome voices huwa mnanibariki way since the Gusa in the 2000s
@munuoisaack4183 жыл бұрын
Jamani huyu mwimbaji anaitwa nani huwa naukubali sana uwezo wake na kujiamini na anavyofikisha ujumbe
@dangatihi54293 жыл бұрын
Haki napendezwa na sauti zenu wapendwa. Huwa mnanifanya nitamani kuwa mmoja wenu twendelee kumtukuza bwana.
@moshanaaman55883 жыл бұрын
HUUWIMBO UMENIUZA SANA.
@vedamusa8033 Жыл бұрын
Hakika huu Wimbo ni wimbo bora kwa kipindi hiki cha miaka miwili,kuna sk nilikuwa na wakati mgumu nikauweka nikaweka ear phones masikioni mpaka unaisha aiseee sikuamini nilikuwa huru
@boazkitela69603 жыл бұрын
Be blessed mmekuwa wasomi wa bibilia that's why mnaimba vizuri,pongezi
@carolmutai72483 жыл бұрын
Kikundi hiki cha waimbaji wanibariki sana. Nyimbo zao huwa zinatoka kwenye maandiko matakatifu katika Biblia. Mwenyezi Mungu awabariki sana. Endeleeni kuhubiri injili kupitia nyimbo zenu za kuinua mioyo ya watu dunia kote. Nampenda sana huyu soloist....
@mukokokambale74202 жыл бұрын
Niwa shukuru wenzangu wana muziki wote wa kwaya kuu hii kwa utaratibu na ufundi mukubwa mulivyo utunga kwa wimbo huu na nyimbo zingine nime wasikiliza na ku wafurahia. Mimi pia ni mwana muziki kutoka mashariki drc butembo
@zipporahmaingi10093 жыл бұрын
Yaaani ninaendelea kuhudumiwa na huu wimbo Mimi niliyevunjika Sana roho yangu. Watoto wangu waliponitharau na kunisimanga dhiki imenijaa na huzuni nyingi ...Lakini nitakuwa sawa . Usiniwache nipotee Bwana..Mungu niondolee hii mapito na unifute machozi....
@mussaphilemon86123 жыл бұрын
Be blessed CVC Nafsi yangu imechoka sana na maisha yangu yamekosa Mwelekeo Usinihukumie makosa yangu ee Mungu, nionyeshe sababu ya kukosana nawe ili nitubu............ Nipokee Bwana Mungu usiniache nipoteeeee Bwana, Nitetee Bwana Mungu usiniache niangamie mimi.......HALELUYAAAAAAAAAAAAAAAAA
@charlestoro8579
2 жыл бұрын
This choir is blessed. I love this song so much, I worked somewhere & my boss could tell me to keep playing this song & she could sing along with them
@warrenhenrick55653 жыл бұрын
Hongereni kwa kudumu hata Leo hii bado tunawasikia mkitubariki ni neema ya Mungu
@jacobandrew49893 жыл бұрын
When hear about cvc changomber choir I feel blessed everyday🙏🏽✨
@phiniasshadrackl96013 жыл бұрын
Daaaah safi sana.
@daisyenock76703 жыл бұрын
Hakika kila wakati nawiwa kuusikiliza tuu huu wimba unanibariki sana,hongereni wote.
@vieratuiya3 жыл бұрын
What a blessing,, every time I listen to changombe I feel am in another world..may God give you more strength to be a blessing to us
@agnesgervas80703 жыл бұрын
Mm huw mnanikoshatu na nyimbo zenu nzur zinaujumbe mzur sana mungu awabariki nyote
@lilianrichard95723 ай бұрын
Wahoo nimefurahii sana kumuona rafk yangu naomi from Tpsc singida
@elishangomele99373 жыл бұрын
AIC chang'ombe ni Moto wa kuotea Mbali mungu azidi kuwainua zaidi na zaid
@neemamanjale8331
3 жыл бұрын
Mungu awatie nguvu huu wimbo hunifariji sana
@martharmichael7221Ай бұрын
Mungu nisamehe kwa nafisi yangu❤
@rosemarykisuke72232 жыл бұрын
Nawapenda mno sichoki kuwasikiliza!, Mungu awakumbuke katika ufalme wake!.
@elyciajohn90193 жыл бұрын
Mpom vizuri sana mbarikiwe na uimbaji,tangu enzi hizo za Gusa,usiku wa manane na zingine zote sasa mmenipa Jiwe kuu la Pembeni ,tunawapenda sana
@kilonzimulandi23383 жыл бұрын
Ni moja kati ya kanda zenu nzuri sana. mungu awabariki sana wanachoir wenzangu
@humphreymidambo38273 жыл бұрын
Kipawa kwenye Hilo kanisa.msifuni MUNGU sana.ni njia ya kusema asante
@bushabubushamingadonatien66733 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana ,mungu amibariki....un cantique merveilleux, puisse Dieu vous bênir !!!
@ayoubhezron47703 жыл бұрын
Kazi yenu ni njema Mungu azidi kuwatia nguvu.
@j.smediaproduction3 жыл бұрын
Hakika walio ndani ya Mungu yeye uwapea kung'aa kwa kweli, vocals, soloists, uniformity, kila kitu ni asilimia mia juu ya mia. Mungu awatumie zaidi kufikisha ujumbe duniani kote.
@jefredyfrednandy58803 жыл бұрын
Yaaaaaaaaaaan sina neno
@josephmwakabelele23922 жыл бұрын
Mungu awabariki sana. Azidi kumimina mafuta yake juu yenu.
@mgangapaul30702 жыл бұрын
Mungu aendelee kuwatumia ili wazidi kulitangaza jina lake. Mbalikiwe sana kwa kukonga nyoyo za watakatifu wa Mungu.
@peternoga2 жыл бұрын
best song of the year 2022 may GOD bless you sister Diana and all choir members🙏🙏🙏🙏🙏
Пікірлер: 462
nafsi yangu imechoka sana na maisha yangu yamekosa mwelekeo, sitajizuia na kuugua kwangu mimi, nitanena kwa uchungu, kwa roho yangu nitamwambia MUNGU wangu... usinihukumie makosa yangu, Nioneshe sababu ya kukosana nawe..... WIMBO HUU KWANGU NI IBAADA.... MUNGU wa mbinguni aendeleee kuwatumia kuihubiri injili yake kwa watu wote AMINA...
@thaimouraaloyce9515
Жыл бұрын
AMINA mtumishi na mteule wa MUNGU
@chibudeh543
Жыл бұрын
@@thaimouraaloyce9515
@margarethmwampondele7858
Жыл бұрын
Hakika!
@nkwayakilumi7733
Жыл бұрын
Kabisa, Mungu awatunze
@aronmanguzu5748
Жыл бұрын
@@chibudeh543 u
Kama hapa duniania ndio hvii Je huko kwa mbinguni patakuaje sipati picha siku hiyo.... Mungu awabariki Roho Mtakatifu akazidi kuwa ndani yenu awalinde.
Wakenya Lets show Love to these Blessed brothers and sisters. Nikisikiya Nyinyi zenu huwa najihisi nimesonga Karina na Mungu. May God bless you. Nawapenda Sana all the way from Mombasa Kenya.
@rhodapyuza7465
3 жыл бұрын
Mungu azidi kuwainua
@julianankulila1277
2 жыл бұрын
🙏🙏🙏
@christopherdavid3101
2 жыл бұрын
Amen
@christiankaguo9146
2 жыл бұрын
Mnaimba vizuri mnavutia sana
@paulinemakumu4099
2 жыл бұрын
@@rhodapyuza7465 a as
Dada uliyeanzshaa kuimbishaa nakupendaa bureee😘😘
@davisntuba4742
3 жыл бұрын
Hunizidi mimi natamani siku moja nikasali pale kanisani kwao
@justineelirehemaayo8255
3 жыл бұрын
Daaaah kweli mungu amewatumia vzr hasa Hawa wanaombia daaaah mungu awainue zaidi jamani
Hawa masololists nashimdwa kuwasemea,, zaid nasema mungu aendeleee kuwabariki sana na sana tens,,
@marymyonga3808
3 жыл бұрын
Nawatamani Sana Hawa masoro na me Ni solorist lkn kila nikiwaona Hawa najiona siwezi kabisa
@eunicehakamba7446
3 жыл бұрын
May God bless you all
Mko sawa! Ila muwe macho Adui hana mchezo! Mkishangaa shangaa .................!!!
Kutoka Kenya. Alivyoifanya mbingu Mungu, Akatutwika vipawa tuvitumie kwa Majira yaliyomo. Nimebarikiwa na nyimbo zenu, Soloists. Ooooh, What a gem 💎 you are. Kutoka, Yatendeeni, Ufalme, Mungu kwetu sisi, Wastahili, Nyenyekeeni, Kila mwenye Pumzi, Haudaiwi hata Usikate tawi..... . Sasa huu wa Nafsi yangu na Wasamehe kweli mwatesa ajabu. Mmelea vipawa na CVC iendelee. Mwalimu Styles,barikiwa. Mcheza keyboard, ooooh Baraka.
@belindaaloyce6844
7 ай бұрын
Diana na mpenda
Huu wimbo unanikumbusha kunyenyekea na kutubu mana maisha yetu yamechorwa kiganjani pake na ni neno toka kwake linaweza jenga au kuua......mungu ni mwema
Mbarikiwe sana nyimbo zeu zinanibariki sana
Naupenda sana huu wimbo,, Dada Diana Mungu akupe maisha marefu. 😍mbarikiwe wote
Dada aliyeanza nafsi yanguhuwa naguswa na kubarikiwa Sana na huduma yako Mungu aendelee kukutumia
@shibonemathias1153
3 жыл бұрын
E
@dorahmsungu2351
3 жыл бұрын
Mbarikiwa sana
Nabarikiwa sana. Na huu wimbo
hii kwaya inamfanya mtu atamani kuimba kwaya kwakweli mbarikiwe sana jamani🙏🙏🙏🙏
Kwakwli huu wimbo ukiusikiliza unaujumbe sana ibarikiwe hii kwaya pamoja na mtunzi
Watching you from Kenya 🇰🇪, my family and I have been really blessed by CVC songs since the one titled "Gusa" may God use you as the instrumentals in preaching His word. God bless you CVC. We Love you. 🙏
Nimeupenda huu wimbo umekuwa faraja kwangu, natamani niimbe kama wewe soro wa kwanza Mungu aendelee kukutunza na kukutumia
Mungu kwetu sisi ni kimbilio na nguvu ,msaada utakaoonekana wakati wa mateso .Glory be to God
The song leader is young all times since I knew her at my 7 years old,Grace is always at your life,I love your ministration.
@thaimouraaloyce9515
Жыл бұрын
Mubarikiwe xana kwa uinjilishaji wa neno la MUNGU,,nyimbo zetu Zina nibariki Xana xana ,,Mungu avitunze vipaji vyenu muendelee kumtukuza MUNGU,,,,
Cvc nawapenda sana huu wimbo umegusa mioyo za watu na kubarikiwa amen mungu awe nanyi siku zote nafsi yangu ....huchoki kusikiliza
Jamani sijui niseme nini juu yenu!! Zaidi ya kusema mbarikiwe zaidi na zaidi hakika nyimbo zinakuweka katika utukufu wa Mungu kabisa kabisa.
Hii kwaya nimeijua juzi 2020, lakini ule wimbo wa gusa niliujua muda murefu nikiwa kijijini Katavi. Jamani tunatoka mbali. Kula hakuna radio kabisa.
Mtunzi wa huu wimbo...nakuombea baraka tele jumla na waimbaji wote wa AIC Changombe,,,,,,Bibilia nayo mmeisoma
@isaiahkandie4968
8 ай бұрын
God bless you cha'ngombe choir for serving God and mankind, it always quite edifying the souls of the listeners.
Nawapenda Sana nahudumahii yauwimbaji.kwakweli napowasikiliza pindi mkitowasautizenu kumtukuzamungu huwanatamani kuwakiumbe kipya
Florence ombwara Amen Amen nice song glory to God be blessed all singer's for give me God
My favourite song. Your songs are unique and amazing. Be blessed AIC Chang'ombe.sichoki kuweka nyimbo zenu kila siku. Joyce from Kenya
Mungu wetu mwenye nguvu awabariki sana katika huduma hii ya uimbaji kwani watu wenye kweli rohoni wanafarijika na wengine wengi wanaokolewa kwa huduma hii.
Jamani jamani dada huyu ananifanya nijihisi Niko mbinguni! Ubarikiwe sana dada nakupenda mnooooo!!!!!!!
@ayubukibona997
2 жыл бұрын
Jaman huyu dada kweli anaupako wa kipekee barikiwa sana cvc Mungu amewainua tunawapenda tunamuona Mungu kwenu
NAWAPENDAAAAAAAAA SANAAAAA AICT CVC NABARIKIWA NA UIMBAJI WENU ,NILISUBILI KWA HAMU ALBAM YENU ,MUNGU AWABARIKI HAKIKA AMINAAA
Mungu isamehe nafisi yangu 😢😢😢😢
Huu wimboo ni Historia tosha ya huyo kijana kwenye huo wimbo ni mkoja wa classmate wangu and now nj mchungaji am so happy
Hakika mungu ameweka kitu kwa watumish hawa muendelee kuitenda kaz ya bwana wenu john furaha kotoka kilimahewa ushirombo geita
Mungu aibariki kwaya hii nyinyi ni chombo mliyotumwa na mkakubali kutumika kutangaza injili ya yesu
What a blessing to the world from this Annoited choir!! For sure,,,,Siku za mwanadamu sio nyingi,,,, mbarikiwe Sana Wana Chang'ombe mnapoiendeleza huduma hii Kwa njia ya uimbaji!!!
Nyimbo tamu mavazi nadhifu yaani bwana anapendezwa nanyi,mbarikiwe sana.
Amen sitachoka kutenda mema ee Mungu anitetee barikiweni wapendwa kwetu ni Mbinguni tulazen mwendo
Tamu sana.....Diz time round mko chonjo.....kuna taji baada ya kazi..Glory b to God...sauti nazo?You r really blessed...
Tunawapenda sana aict chang'ombe choir mnaimba vizuri sana mungu awabariki sana sisi pia tuko kijijini tunapenda sana kumwimbia mungu lakin tumepungukiwa vifaa vya music sana sana kinanda tunaomba mchango wenu wa hali na mali kias chochote mtakacho tuwezesha tutashukuru sana tunaomba mtusaidie tunataman sana kumwimbia Mungu amen mbarikiwe sana
Wimbo nauangalia Kila Mara hapo mwanzo vyombo vimetulia mziki umetulia Sana Mungu. Awabariki
Jamani barikiweni kwa uimbaji wenu mzuri tena mko smart mtu hachoki kusiliza ujumbe wenu
Mbarikiwe sana watumishi wa Mungu nyimbo nzuri sana zinabariki
My favourite soloist; I could listen to her sing the whole day and not get tired. God bless you mama!
@rizikilukumay6807
2 жыл бұрын
Mungu awabarki
@queencestomonja5284
2 жыл бұрын
Nampenda sana❤
@carolynendunge5815
Жыл бұрын
@@rizikilukumay6807 qm
Ole ole wake yule ashindanae na Mungu alie juu mwenye kuponya.
Huu ndyo wimbo wangu ninao uangalia kila cku. Mungu awabariki sana.
@zakiakaoneka3989
3 жыл бұрын
Ubarikiwe sana
@irenejustinian2212
3 жыл бұрын
Nice nimependa sn kwa ujumbe mungu awabariki
all the songs i have watched from the new ALBUM JIWE zote ni nyimbo nzuri sana zimenibariki mno, HONGERA CVC kwa kazi safi sana ya kumtukuza Mungu. Kenya Tunapenda kazi yenu
@favouropande1065
3 жыл бұрын
Pamoja sana. My fellow Kenyan. In my heart...I have a dream to invite them to Kenya for a concert. May God help me.
@davidkisalimwala9458
3 жыл бұрын
@@favouropande1065 they were suppose to have a meeting in nakuru Last April but COVID 19 , its possible with good planning
Cvc mbarikiwe sana na hii song tangu nilipoisikia mpaka leo naibariki sana
Yaaaaan sister Diana uishiiii miaaka bukuuu
From Kenya, aki mnanibariki Sanaa this is my favorite choir ever, my God bless you so much
@joynerbarasa5916
3 жыл бұрын
From Kenya always ....i love this choir.
@tommuthiani5042
3 жыл бұрын
Good work mm napedezwa na uimbaji wenu kwanza ile vol ya nenda na uzima wako inanibamba sana mungu azidi kuwabariki
hawa ni kipenzi changu. napenda sana nyimbo za vikundi. mungu awabariki
Huyu Mama (Diana) .... Amekua Baraka Kwangu Mungu amuinue katika viwango vya juu kabisa....
@davisntuba4742
3 жыл бұрын
Mama Diana ni huyu mweusi au maana mie nampenda sana uimbaji wake
@sheddy2417
3 жыл бұрын
Ndiye huyo ss...mama asiye na makuu.Mungu kambariki kweli na sauti
@ashukuriwembasha6629
Жыл бұрын
Mungu awabaroki sana .Mr.A mbasha.toka Moshi Kilimanjaro
Huu wimbo naupenda Sana siku haiish Bila kuusikiliza, nabarikiwa Sana na kufarijika kupitia wimbo huu,, unamaa kubwa Sana huu wimbo maishani mwangu.. ayubu10:1- mungu awabariki Sana cvc na awainue viwango vya juu kimataifa.
@jalianekemia9458
3 жыл бұрын
Ll
Just what i needed... my mom just sent me a link to this song, I've been feeling low lately... thank you for the message.... My heavenly father continue reaching out to bless you people.
@normankiprono9538
2 жыл бұрын
Amen 🙏
Yaani CVC ni Shida watu wa Mungu Mbarikiwe Sana nyote Nawapenda Sana wimbo mzuri Sana katika maisha yetu ya kiroho
Mama yangu umri wako unakwenda sana lakini, sauti yako inayomtukuza Mungu ni kama ndo kwanza inaanza. Ubarikiwe sana
@agnesgervas8070
3 жыл бұрын
Kwa mungu hakuna umri ote watoto ty
@sonjoprimaryschool8186
3 жыл бұрын
@@agnesgervas8070 Nabarikiwa nawe sana kwa uimbaji wako mama yangu
@agnesgervas8070
3 жыл бұрын
@@sonjoprimaryschool8186 Amina mungu azdi kukupa moyo wakusliza ili ubarikiw zaid
@sonjoprimaryschool8186
3 жыл бұрын
@@agnesgervas8070 Amina mama.. Performance ya wimbo JINSI ZILIVYO super sana kwangu
@agnesgervas8070
3 жыл бұрын
@@sonjoprimaryschool8186 amina God bless you
Wimbo Mzuri sana Solo sauti yako ni Tamu sana
From Kenya 🇰🇪, you are a blessing. The vocals, dressing code, hair and everything is just dope👌👌👌👌👌👌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😍😍😍
@alicemumo7974
3 жыл бұрын
I love their songs sana, natamani kwenda TZ
@gloriousn6425
3 жыл бұрын
Alice Mumo toroka uje jirani 😊🙏🏾🇹🇿
@rizikilukumay6807
2 жыл бұрын
Blessing voice soloist mama love
@sososool9177
2 жыл бұрын
Mungu akubariki dada diana kila ninapo skiliza hu wimbo nahs uwepo wa Mungu kabla sjasali uck lazma niskilize kwanzo
Watch from Saudi Arabia like this song💋💋💋💋🙏🙏🙏🙏🙏
Hakika wimbo una mafundisho makubwa. Hongerani sana.
jaman uyu solist wa kwanza aimba vizuri jaman kila wimbo mam mungu akubarik san mungu atakutetea kwel
Huyu mama sololist huwa anajua sana Mungu akuinue zaid kwenye uimbaji be blessed
@happinesfesto9171
3 жыл бұрын
Hakika huwa nabarikiwa sana jamani na hii kwaya barikiwa sn
hamjawahi kuniangusha hata kidg,,, being blessed,,
Kuna jambo la kipekee nimekuja kuelewa,Mama Diana anaposolo wimbo uwa na mnato sana tena uwepo mwingi wa Mungu. Itoshe kusema ni mwombaji japo simjui ki roho lkn ninahisi n Mwana Mama mwenye unyenyekevu mno na msikivu...Mungu azidi kumpa miaka mingi azidi kutumika hekalauni mwake. 🙏🙏
Nabarikiwa sana na wimbo huu, tunamuomba Mwenyezi Mungu aendelee kuwatumia kiwango hadi kiwango
I just love the soloists of Chang'ombe choir you have awesome voices huwa mnanibariki way since the Gusa in the 2000s
Jamani huyu mwimbaji anaitwa nani huwa naukubali sana uwezo wake na kujiamini na anavyofikisha ujumbe
Haki napendezwa na sauti zenu wapendwa. Huwa mnanifanya nitamani kuwa mmoja wenu twendelee kumtukuza bwana.
HUUWIMBO UMENIUZA SANA.
Hakika huu Wimbo ni wimbo bora kwa kipindi hiki cha miaka miwili,kuna sk nilikuwa na wakati mgumu nikauweka nikaweka ear phones masikioni mpaka unaisha aiseee sikuamini nilikuwa huru
Be blessed mmekuwa wasomi wa bibilia that's why mnaimba vizuri,pongezi
Kikundi hiki cha waimbaji wanibariki sana. Nyimbo zao huwa zinatoka kwenye maandiko matakatifu katika Biblia. Mwenyezi Mungu awabariki sana. Endeleeni kuhubiri injili kupitia nyimbo zenu za kuinua mioyo ya watu dunia kote. Nampenda sana huyu soloist....
Niwa shukuru wenzangu wana muziki wote wa kwaya kuu hii kwa utaratibu na ufundi mukubwa mulivyo utunga kwa wimbo huu na nyimbo zingine nime wasikiliza na ku wafurahia. Mimi pia ni mwana muziki kutoka mashariki drc butembo
Yaaani ninaendelea kuhudumiwa na huu wimbo Mimi niliyevunjika Sana roho yangu. Watoto wangu waliponitharau na kunisimanga dhiki imenijaa na huzuni nyingi ...Lakini nitakuwa sawa . Usiniwache nipotee Bwana..Mungu niondolee hii mapito na unifute machozi....
Be blessed CVC Nafsi yangu imechoka sana na maisha yangu yamekosa Mwelekeo Usinihukumie makosa yangu ee Mungu, nionyeshe sababu ya kukosana nawe ili nitubu............ Nipokee Bwana Mungu usiniache nipoteeeee Bwana, Nitetee Bwana Mungu usiniache niangamie mimi.......HALELUYAAAAAAAAAAAAAAAAA
@charlestoro8579
2 жыл бұрын
This choir is blessed. I love this song so much, I worked somewhere & my boss could tell me to keep playing this song & she could sing along with them
Hongereni kwa kudumu hata Leo hii bado tunawasikia mkitubariki ni neema ya Mungu
When hear about cvc changomber choir I feel blessed everyday🙏🏽✨
Daaaah safi sana.
Hakika kila wakati nawiwa kuusikiliza tuu huu wimba unanibariki sana,hongereni wote.
What a blessing,, every time I listen to changombe I feel am in another world..may God give you more strength to be a blessing to us
Mm huw mnanikoshatu na nyimbo zenu nzur zinaujumbe mzur sana mungu awabariki nyote
Wahoo nimefurahii sana kumuona rafk yangu naomi from Tpsc singida
AIC chang'ombe ni Moto wa kuotea Mbali mungu azidi kuwainua zaidi na zaid
@neemamanjale8331
3 жыл бұрын
Mungu awatie nguvu huu wimbo hunifariji sana
Mungu nisamehe kwa nafisi yangu❤
Nawapenda mno sichoki kuwasikiliza!, Mungu awakumbuke katika ufalme wake!.
Mpom vizuri sana mbarikiwe na uimbaji,tangu enzi hizo za Gusa,usiku wa manane na zingine zote sasa mmenipa Jiwe kuu la Pembeni ,tunawapenda sana
Ni moja kati ya kanda zenu nzuri sana. mungu awabariki sana wanachoir wenzangu
Kipawa kwenye Hilo kanisa.msifuni MUNGU sana.ni njia ya kusema asante
Nyimbo nzuri sana ,mungu amibariki....un cantique merveilleux, puisse Dieu vous bênir !!!
Kazi yenu ni njema Mungu azidi kuwatia nguvu.
Hakika walio ndani ya Mungu yeye uwapea kung'aa kwa kweli, vocals, soloists, uniformity, kila kitu ni asilimia mia juu ya mia. Mungu awatumie zaidi kufikisha ujumbe duniani kote.
Yaaaaaaaaaaan sina neno
Mungu awabariki sana. Azidi kumimina mafuta yake juu yenu.
Mungu aendelee kuwatumia ili wazidi kulitangaza jina lake. Mbalikiwe sana kwa kukonga nyoyo za watakatifu wa Mungu.
best song of the year 2022 may GOD bless you sister Diana and all choir members🙏🙏🙏🙏🙏
@shedrackmumo1739
2 жыл бұрын
Kabisa....wimbo wenyewe umebeba ujumbe mzito mno...🙏🙏🙏💪💪
@peternoga
2 жыл бұрын
@@shedrackmumo1739 really nimeamini vipaji vipo kwetu ila matumizi ya vipaji hvo ndo tatizo
Blessed voices mungu pekee hawainue kiwango mwingine.
Ee Mungu saidia ponya kuugua kwangu Mimi
Mungu awabariki sana kwa wimbo mzuri wenye ujumbe mzito
My favorite choir.Mungu azidi kuwabariki
Nisalimieni sana aliyetunga huu wimbo.
@suzanfelix8065
2 жыл бұрын
😲😂😂😂
Jamani nyimbo hii inanigusa sana mie..... only GOD knows what message in this song touching my soul
@gracegrace1648
3 жыл бұрын
Ppppppppp
Nyimbo zote nzuri MUNGU azidi kuwatumia kwa viwango vya juu sana sana
Hakika nyie Ni mfano wa kuigwa, Nawapenda sana, Mbarikiwe sn na Mungu azidi kuwatetea kwa kazi nzuri