Huu wimbo uko na nguvu za kipekee, umenipa nguvu Sana . Watu walisema mengi wakati nilinyanganywa pikipiki ya kanisa yaani nikapitia Mambo magumu mpaka kanisa wenyewe wakakosa kuamini ya kwamba nimeibiwa pikipiki.lakini mungu akaonekana mtu wa nne kwangu baada ya maombi ikapatikana imewekwa Kwa miwa. Kutoka kisii hadi migori
@gitiganiibrahimdanhi76923 жыл бұрын
Wimbo Mzuri,Sauti Zao ni nzuri,Ubunifu wa Hali ya juu Sana huu. Mwenyezi Mungu awabariki sana kwenye hii kazi AICT Chang'ombe Choir. Stay blessed always 🙏🙏🙏
@linetobilo17464 жыл бұрын
Naupenda sana hii choir!nyimbo zenu zinanibariki ajabu....Mimi naitika
@elimwemazacharia7144 жыл бұрын
Kwaya nayoipenda sana, namshukuru Mungu kwa ajili yenu. Naomba nami nimtolee Mungu sadaka kwa kufanya ukalimani wa lugha ya alama (Sign Language Interpretation) hata wimbo mmoja naamini Mungu atanibariki zaidi.
@jerrymadaha9895
3 жыл бұрын
Tunashukuru sana kwa moyo wa kujitoa tutakapo andaa album nyingine utahusika
@gloryatv17793 жыл бұрын
WOW...huyu dada anaitwa nani...aisee abarikiwe sana anaimbwa vizuri sana
@petrochambu9233
3 жыл бұрын
Rahabu kajole,
@sabunifeleshi7563
3 жыл бұрын
Haa, Mungu wa mbinguni anamtumia sana
@semunassari6637
2 жыл бұрын
Mm nampenda bure anaimba sana Mungu amzidishie
@josephkafumu69214 жыл бұрын
Nitawapenda mpaka kufa naona yusufu ndani ya suti Safi saaaaanaaa
@aaliyahpaul34739 ай бұрын
Nawapenda sana cvc mungu awatumie ipendavyo😅
@geofreynassary85854 жыл бұрын
Nawakubali hadi naumwaaaa.... Mwaaaaaaa
@IssacWambua7 ай бұрын
AIC Changombe vijana choir you are my favourite since 2007 enzi zile za Guza song you never disappoint.
@muyisengeonaan79211 ай бұрын
Wonderful song !! Good voices !! Mungu awabarikiwe !!
@vedmandudwa76584 жыл бұрын
Aise hongeren sana kwa vidio ya huu wimbo,nakumbuka mliupiga sku ya uznduz wa kanisa la nyihogo pale kahama,,, Mbarikiwe saana....Wapendwa
@nabosedward4836
3 жыл бұрын
Nambie veda mayunga apa from kahama
@geraldlaurent74654 жыл бұрын
Siku zote Mungu atusaidie tuushinde Ulimwengu huu mbingu nikuzurii Sana
@pelesilazaro43123 жыл бұрын
Aiseeee mpo visuri Sanam balikiwe saaaaaana nami natamani kuwa kama nyie daaaah
@dayanalushina49933 жыл бұрын
Nice CVC.. Hongereni kwa utume..! Waimbishaji wapya wenye vipaji vikubwa vya sauti ...!. Nimeipenda hivyo..!! Sifa na utukufu vyote ni kwa Mungu...!
@floranyefwe34644 жыл бұрын
Nawapendaaaa snaaaa jaman . God bless you abundantly AICT
@evalinembowe79652 жыл бұрын
Naomba kumfahamu mwalimu wa kwaya yenu jmn ...waimbaji mpo vzuri sn jmn
@PASCHALNKWABI-jv8ok Жыл бұрын
Pongezi kwenu watumishi bwana awe nanyi
@sausausamuelmeshack23183 жыл бұрын
God bless you so much, you are a vessel of honor in God's kingdom. By serving Him you are best utilizing the special gift He deposited in you therefore He's raising you from glory to glory. In your next album production inform me, good to support God's work. God bless you
@gideonkipchumba9035
2 жыл бұрын
Mungu awabariki sana
@shadii6603 жыл бұрын
Thank God for this Choir. Music that is very nourishing spirits. AICT my favourite any time am in Dar-el-salaam and always here in Kenya always blessed. Hongera kwa nyote kwa kazi nzuri ya Msalaba.
@clementasumayimorotabani85483 жыл бұрын
Nifuraha Kweli kuabudu Mungu pamoja na wandugu Wa kanisa hui. Mungu awabariki
@gracebuhatwa63594 ай бұрын
Kwaya yangu naipenda
@emmiysteven35354 жыл бұрын
My favourte choir mbarikiwe sana Mungu azidi kuwainua viwango vingine vikubwa zaidi .Nawapenda
@shalomkashimbakashimba4915
2 жыл бұрын
Ameeeeeee barikiwa xan
@fransiscodaud72434 жыл бұрын
Hongera sana Dada yangu rahabu kipaji kimekuwa tutakumisi sana A.C.T mganza
@alicejulius9655
4 жыл бұрын
Amen dada huyu wawapi
@joidingoliama932110 ай бұрын
Hongereni mbarikiwe, mmeimba vizuri sana
@mroruraare4 жыл бұрын
Huyo mrembo mwenye anaimba ako na talanta,nimependa huu wimbo.Mungu na abariki hii kwaya
@suzanaclud4405
3 жыл бұрын
Mtoto wa geita Chato huyo uko vizuri mumy
@raphaelmutunga9993 жыл бұрын
I can't have enough of this song, so touching to the point of tears. For sure ours is a gracious God, willing to forgive us. Hongera wana AICT CVC kwa kazi nzuri, Mungu na awajalie mema yake. Yet another great new soloist there. Listening all the way from Nairobi, Kenya.
@dorcasmoseti59483 жыл бұрын
Dhambi ilianza mtini ikamalizikia mtini Mungu atusaidie.Barikiweni sana kwa nyimbo nzuri
@ziribarmurumwa4 жыл бұрын
Mungu azidi kuwabariki kwa huduma yenu, Ningependa kuwajua masoloist Wako vizuri sana.
@jerrymadaha9895
3 жыл бұрын
Karibu sana kanisani kwetu
@nzalimutua59133 жыл бұрын
Indeed God's love is strange..... He still loves us despite our shortcomings. Will strive to follow him. Great song 🎤
@sam_wa_nduthi2544 жыл бұрын
This is always the choir of my choice. Changombe nawapenda sana
@user-ec7ci5yx1l Жыл бұрын
Napenda sana nyimbo zenu zin ni bariki sana
@Architectzbn4 жыл бұрын
Sound quality💥,music quality💥,ujumbe💥,,,,💥💥💥bless
@AzardMkuu-wf1ms Жыл бұрын
Nyimb munaweza
@damsonmsalangi3900 Жыл бұрын
A fantastic sollolist ❤ 😍
@faithmusyoki59984 жыл бұрын
Wow...!! Ma favourite..watching frm Kenya..b blessed i say...🙏🙏🙏
@upendogospelmedia72862 жыл бұрын
Mungu aendelee kuwatumia vyema, nimebarikiwa na wimbo Sana Sana.... Mungu atawalipa msipozimia mioyo
@_Dr.Nyamohanga_Nega_PhD3 жыл бұрын
I like your songs since time memorial they are refreshing and soul touching 🇰🇪
@barakaemmanuely83214 жыл бұрын
Ujumbe mzur sana Mungu awabariki 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤
@stephenmalasy35874 жыл бұрын
Nawaelewa Sana tunawasikiliza tupo na juma julius kutoka igunga ziba
@jefredyfrednandy58803 жыл бұрын
Safii sana rahabu umejuaa kunifurahishaaa CVC juuu
@rabiamenshoo19884 жыл бұрын
Aimeeeeeeen,wimbo mzuri sana huu,nazidi kubarikiwa
@neemaaisea6973 Жыл бұрын
Mbarikiwe sana
@timonjenga1552 Жыл бұрын
This is CVC i know. Brilliant work. The rhythim, the sound tells. This is your logo keep it up. Listening to this song I can feel the God's hollyness.
@jameskamoliurukundotanzani61534 жыл бұрын
Binti kajore hongera
@gabrielisack77862 жыл бұрын
Mungu nisaidie nisije nikajificha ninapokutenda dhambi.
@stephenrimberia58253 жыл бұрын
A nice song, from Kenya I am blessed by that choir
@danielwanchage87344 жыл бұрын
This young lady she sings well and perfect!! She deserves to be in Kenya indeed
@ngwalabenedictor4678
3 жыл бұрын
Kenya has not reached the level of having girls like this. Invest much, may be after 10 years you may
@dostovan5142
3 жыл бұрын
I think u have yo own young ladies
@tomkyalo1107
Жыл бұрын
@@ngwalabenedictor4678 surely bona waonea wakenya?
@samlush61274 жыл бұрын
Aict hatari sisi
@luvigageorge51502 жыл бұрын
Mzidi kubarikiwa ktk utunzi wenu
@daudkatungwa68674 жыл бұрын
Naitwa Godfrey Baruth from kitunda tabora, nawapenda sana katika huduma yenu ya uimbaji mungu awabariki sana.
@damsonmsalangi3900
Жыл бұрын
Sikonge ❤
@user-np9qi8zh9l10 ай бұрын
Amen 🙏🙏 Golry to Golry
@danielphilipo69424 жыл бұрын
Nimebarikiwa sauti nzuri sana
@moronayou5148 Жыл бұрын
My favorite choir❤️❤️❤️🙏
@maitali44483 ай бұрын
Hhhiii nfio cbc sio uimbsje wenu wa siku hizi mlioanza kuimba
@samwelmagonya61843 жыл бұрын
Mungu awabariki sana kwakazi zenu mnazotuletea
@geraldlaurent74654 жыл бұрын
Mungu Mzuriii Sana 🙏🙏🙏🙏🙏 Asante kwa huduma ya yenu damu Ya. Yesu iwafunike milele
@asiaminja35563 жыл бұрын
Damu mpya na anaimbisha vzr sana. ...hongereni sana
@moshanaaman55883 жыл бұрын
HUUWBO UMENIGUZA JAMANI JAMANI.
@annapendokusekwa36163 жыл бұрын
Mungu awabariki sana tene aongeze masolo wa kutosha
@winniemasaku14364 жыл бұрын
Nzuri kama kawaida 254 watching
@julietmoonka71554 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana. Mbarikiwe.
@kalamuyangu14 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana na wenye upako 🙏🏻
@davdlugito67873 жыл бұрын
Asanteni,,,Sana daaaaaa♥️♥️♥️♥️♥️♥️💯
@syombuasammysammysyombua43724 жыл бұрын
This is my ever listening choir.. God bless you in abundance 🙏🙏
@emmanuelaluta8863
4 жыл бұрын
Safi sana
@aaliyahpaul3473
9 ай бұрын
Safi sana mko vizuri cvc
@aaliyahpaul3473
9 ай бұрын
Penda saa
@nancykiminza30344 жыл бұрын
Wow🎺🎻🥁🎙️🔉💕
@user-xm1yi4ve6q9 ай бұрын
Amen nice song
@simonmisese88933 жыл бұрын
Napenda sana kazi zenu wapendwa mungu zaidi kuwabariki sana
@greenernyingi8870
3 жыл бұрын
Mzuri sana kazi ya Mungu isonge mbele
@annastaziadaniel65384 жыл бұрын
Wimbo muzuri san,,, ❤❤❤
@evansmogaka2893 жыл бұрын
U've been a blessing to me en my entire family love u Aic chang'ombe.
@danieliabely12292 жыл бұрын
Mungu awabaliki mnanibalikisaana
@esthermutua12873 жыл бұрын
Search a powerful and awasome songs ...Be blessed changombe ...Much.love from.kenya
@grolysimon4241
3 жыл бұрын
Amen mbarikiwe sana kwa huduma nzuri
@Eliuskip3 жыл бұрын
Very beautiful song! Bring your Albums to Nairobi.
@barakakavageme43383 жыл бұрын
Mungu azidi kuwatumia katika kazi yake, Mabariwe kwa kazi nzuri
@elibarikikateman58464 жыл бұрын
oooooh!!! HALELUJAH!!!!
@beatricemwakalukwa31513 жыл бұрын
You are the best sana tu, since.. Ushauri tu badilisheni ladha ya nyimbo maana zinafanana sana hata kama hujauliza unajua tu ni ninyi.. Mtunzi wa nyimbo kama ni mmoja ni kawaida kutunga nyimbo zenye test moja hata mziki pia huko hivyo... I love u
@jerrymadaha9895
3 жыл бұрын
Amina tutalifanyia kazi ndugu
@gibsonntamamilo490
3 жыл бұрын
Mimi naomba mbaki kwenye Key yenu. Huo ndio utambulisho wenu unaowatofautisha na kwaya nyingine. - From Kigoma TZ.
@shadrackmpama2947
3 жыл бұрын
@@gibsonntamamilo490 safi wabaki hivi hivi Mana wakipiga sebene watapotea
@inteafrica6640
3 жыл бұрын
Ni kweli wachanganye key ladha itakua tamu zaid
@dorianclarain102
8 ай бұрын
Msi mfurahishe mwanadamu maana nikiumbe kisicho rithika. Kila mtu Ninae share nae nyimbo zanu ana penda sana naku wa ombea baraka. Msi jichanganye msije mka kuwa kama wale wengine. Mungu awa bariki zaidi 🙏🙏
@shijaenock14083 жыл бұрын
Wimbo mzr sana, mbarikiwe xana xana
@kimombokikoti3464 жыл бұрын
Amina mungu azidi kuwainua
@Walter-rt9ri4 жыл бұрын
My favorite choir.❤️❤️❤️
@jetrudalucas16232 жыл бұрын
Bwana yu pamoja nas
@cleopatrabindangmanana576 Жыл бұрын
Soy Ecuator Guineano me encanta este grupo de alabanza,y me encantaría conocer de dónde es este grupo,y en ke país se. Encuentra? Y kiero el nombre completo de esta chica ke canta,esta canción de Adamu,porfa y ke tengáis un feliz Domingo
@eunicembula90902 жыл бұрын
Perfect 👍 kabixa ♥️💯
@patriciachebon52273 жыл бұрын
My all time favourite choir . God bless you much
@mbalamwezikulobamalemo1141 Жыл бұрын
Mungu azidi kuwatumia
@LagatMichael3 жыл бұрын
All the way from kenya.Nimekuwa nanyi tangu VUNJA.Chang'ome by now should be shooting the best quality video in East Africa.Improve on the quality otherwise setup yote iko sawa sana.God bless you
@mimwaninelitha66664 жыл бұрын
Hakika nawapenda MUNGU amewapaka mafuta matakatifu
@edwinwafulasirengo96223 жыл бұрын
Amen. Powerful and touching song. I can't finish listening to it.
@maryshirima8128
3 жыл бұрын
Asante kwa huduma ya uimbaji mliyonayo nyimbo zenu zinatubariki sana
@jeremiaobed26933 жыл бұрын
Barikiwa sana
@hilgathjoshua88044 жыл бұрын
Nice song's👏👏👏
@elizajohn8728
3 жыл бұрын
Mko vzr Sana ,mpe hi steve.pia Lidia mbona kimya.nna wapenda sana
@justalubadanja43934 жыл бұрын
Nawapenda sana watumishi wa Mungu
@rebecadaniel35813 жыл бұрын
Bwanaawabariki watumishi waMungu
@evambwani60324 жыл бұрын
Nyimbo zuri mubarikiwe
@elizabethkashilimu80304 жыл бұрын
Nimependa
@phiniasshadrackl96014 жыл бұрын
Huu wimbo ni mzuri sana, Mbarikiwe sana CVC .
@obeidmpombwe9951
4 жыл бұрын
Hongereni Sanaa mmeibuwa vipaji vyema
@athanasjuma14594 жыл бұрын
Amazing Sana,, my favourite choir forever
@hellenmaiyo25163 жыл бұрын
A i c Changombe is a well organised team,may God bless you and uplift you.
@stephensandiko60492 жыл бұрын
Wimbo mzuri sana
@haroldemmanuel62594 жыл бұрын
Wimbo mzuri.
@wycliffewekesa56304 жыл бұрын
It's really amazing choir
@papanoellar63293 жыл бұрын
Nyimbo nzuri sana lakini picha ya nyoka inakosea wimbo wenu
@godrivamarko94893 жыл бұрын
Love you chang'ombe choir My Almighty God bless you more
Пікірлер: 174
Huu wimbo uko na nguvu za kipekee, umenipa nguvu Sana . Watu walisema mengi wakati nilinyanganywa pikipiki ya kanisa yaani nikapitia Mambo magumu mpaka kanisa wenyewe wakakosa kuamini ya kwamba nimeibiwa pikipiki.lakini mungu akaonekana mtu wa nne kwangu baada ya maombi ikapatikana imewekwa Kwa miwa. Kutoka kisii hadi migori
Wimbo Mzuri,Sauti Zao ni nzuri,Ubunifu wa Hali ya juu Sana huu. Mwenyezi Mungu awabariki sana kwenye hii kazi AICT Chang'ombe Choir. Stay blessed always 🙏🙏🙏
Naupenda sana hii choir!nyimbo zenu zinanibariki ajabu....Mimi naitika
Kwaya nayoipenda sana, namshukuru Mungu kwa ajili yenu. Naomba nami nimtolee Mungu sadaka kwa kufanya ukalimani wa lugha ya alama (Sign Language Interpretation) hata wimbo mmoja naamini Mungu atanibariki zaidi.
@jerrymadaha9895
3 жыл бұрын
Tunashukuru sana kwa moyo wa kujitoa tutakapo andaa album nyingine utahusika
WOW...huyu dada anaitwa nani...aisee abarikiwe sana anaimbwa vizuri sana
@petrochambu9233
3 жыл бұрын
Rahabu kajole,
@sabunifeleshi7563
3 жыл бұрын
Haa, Mungu wa mbinguni anamtumia sana
@semunassari6637
2 жыл бұрын
Mm nampenda bure anaimba sana Mungu amzidishie
Nitawapenda mpaka kufa naona yusufu ndani ya suti Safi saaaaanaaa
Nawapenda sana cvc mungu awatumie ipendavyo😅
Nawakubali hadi naumwaaaa.... Mwaaaaaaa
AIC Changombe vijana choir you are my favourite since 2007 enzi zile za Guza song you never disappoint.
Wonderful song !! Good voices !! Mungu awabarikiwe !!
Aise hongeren sana kwa vidio ya huu wimbo,nakumbuka mliupiga sku ya uznduz wa kanisa la nyihogo pale kahama,,, Mbarikiwe saana....Wapendwa
@nabosedward4836
3 жыл бұрын
Nambie veda mayunga apa from kahama
Siku zote Mungu atusaidie tuushinde Ulimwengu huu mbingu nikuzurii Sana
Aiseeee mpo visuri Sanam balikiwe saaaaaana nami natamani kuwa kama nyie daaaah
Nice CVC.. Hongereni kwa utume..! Waimbishaji wapya wenye vipaji vikubwa vya sauti ...!. Nimeipenda hivyo..!! Sifa na utukufu vyote ni kwa Mungu...!
Nawapendaaaa snaaaa jaman . God bless you abundantly AICT
Naomba kumfahamu mwalimu wa kwaya yenu jmn ...waimbaji mpo vzuri sn jmn
Pongezi kwenu watumishi bwana awe nanyi
God bless you so much, you are a vessel of honor in God's kingdom. By serving Him you are best utilizing the special gift He deposited in you therefore He's raising you from glory to glory. In your next album production inform me, good to support God's work. God bless you
@gideonkipchumba9035
2 жыл бұрын
Mungu awabariki sana
Thank God for this Choir. Music that is very nourishing spirits. AICT my favourite any time am in Dar-el-salaam and always here in Kenya always blessed. Hongera kwa nyote kwa kazi nzuri ya Msalaba.
Nifuraha Kweli kuabudu Mungu pamoja na wandugu Wa kanisa hui. Mungu awabariki
Kwaya yangu naipenda
My favourte choir mbarikiwe sana Mungu azidi kuwainua viwango vingine vikubwa zaidi .Nawapenda
@shalomkashimbakashimba4915
2 жыл бұрын
Ameeeeeee barikiwa xan
Hongera sana Dada yangu rahabu kipaji kimekuwa tutakumisi sana A.C.T mganza
@alicejulius9655
4 жыл бұрын
Amen dada huyu wawapi
Hongereni mbarikiwe, mmeimba vizuri sana
Huyo mrembo mwenye anaimba ako na talanta,nimependa huu wimbo.Mungu na abariki hii kwaya
@suzanaclud4405
3 жыл бұрын
Mtoto wa geita Chato huyo uko vizuri mumy
I can't have enough of this song, so touching to the point of tears. For sure ours is a gracious God, willing to forgive us. Hongera wana AICT CVC kwa kazi nzuri, Mungu na awajalie mema yake. Yet another great new soloist there. Listening all the way from Nairobi, Kenya.
Dhambi ilianza mtini ikamalizikia mtini Mungu atusaidie.Barikiweni sana kwa nyimbo nzuri
Mungu azidi kuwabariki kwa huduma yenu, Ningependa kuwajua masoloist Wako vizuri sana.
@jerrymadaha9895
3 жыл бұрын
Karibu sana kanisani kwetu
Indeed God's love is strange..... He still loves us despite our shortcomings. Will strive to follow him. Great song 🎤
This is always the choir of my choice. Changombe nawapenda sana
Napenda sana nyimbo zenu zin ni bariki sana
Sound quality💥,music quality💥,ujumbe💥,,,,💥💥💥bless
Nyimb munaweza
A fantastic sollolist ❤ 😍
Wow...!! Ma favourite..watching frm Kenya..b blessed i say...🙏🙏🙏
Mungu aendelee kuwatumia vyema, nimebarikiwa na wimbo Sana Sana.... Mungu atawalipa msipozimia mioyo
I like your songs since time memorial they are refreshing and soul touching 🇰🇪
Ujumbe mzur sana Mungu awabariki 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏❤
Nawaelewa Sana tunawasikiliza tupo na juma julius kutoka igunga ziba
Safii sana rahabu umejuaa kunifurahishaaa CVC juuu
Aimeeeeeeen,wimbo mzuri sana huu,nazidi kubarikiwa
Mbarikiwe sana
This is CVC i know. Brilliant work. The rhythim, the sound tells. This is your logo keep it up. Listening to this song I can feel the God's hollyness.
Binti kajore hongera
Mungu nisaidie nisije nikajificha ninapokutenda dhambi.
A nice song, from Kenya I am blessed by that choir
This young lady she sings well and perfect!! She deserves to be in Kenya indeed
@ngwalabenedictor4678
3 жыл бұрын
Kenya has not reached the level of having girls like this. Invest much, may be after 10 years you may
@dostovan5142
3 жыл бұрын
I think u have yo own young ladies
@tomkyalo1107
Жыл бұрын
@@ngwalabenedictor4678 surely bona waonea wakenya?
Aict hatari sisi
Mzidi kubarikiwa ktk utunzi wenu
Naitwa Godfrey Baruth from kitunda tabora, nawapenda sana katika huduma yenu ya uimbaji mungu awabariki sana.
@damsonmsalangi3900
Жыл бұрын
Sikonge ❤
Amen 🙏🙏 Golry to Golry
Nimebarikiwa sauti nzuri sana
My favorite choir❤️❤️❤️🙏
Hhhiii nfio cbc sio uimbsje wenu wa siku hizi mlioanza kuimba
Mungu awabariki sana kwakazi zenu mnazotuletea
Mungu Mzuriii Sana 🙏🙏🙏🙏🙏 Asante kwa huduma ya yenu damu Ya. Yesu iwafunike milele
Damu mpya na anaimbisha vzr sana. ...hongereni sana
HUUWBO UMENIGUZA JAMANI JAMANI.
Mungu awabariki sana tene aongeze masolo wa kutosha
Nzuri kama kawaida 254 watching
Wimbo mzuri sana. Mbarikiwe.
Wimbo mzuri sana na wenye upako 🙏🏻
Asanteni,,,Sana daaaaaa♥️♥️♥️♥️♥️♥️💯
This is my ever listening choir.. God bless you in abundance 🙏🙏
@emmanuelaluta8863
4 жыл бұрын
Safi sana
@aaliyahpaul3473
9 ай бұрын
Safi sana mko vizuri cvc
@aaliyahpaul3473
9 ай бұрын
Penda saa
Wow🎺🎻🥁🎙️🔉💕
Amen nice song
Napenda sana kazi zenu wapendwa mungu zaidi kuwabariki sana
@greenernyingi8870
3 жыл бұрын
Mzuri sana kazi ya Mungu isonge mbele
Wimbo muzuri san,,, ❤❤❤
U've been a blessing to me en my entire family love u Aic chang'ombe.
Mungu awabaliki mnanibalikisaana
Search a powerful and awasome songs ...Be blessed changombe ...Much.love from.kenya
@grolysimon4241
3 жыл бұрын
Amen mbarikiwe sana kwa huduma nzuri
Very beautiful song! Bring your Albums to Nairobi.
Mungu azidi kuwatumia katika kazi yake, Mabariwe kwa kazi nzuri
oooooh!!! HALELUJAH!!!!
You are the best sana tu, since.. Ushauri tu badilisheni ladha ya nyimbo maana zinafanana sana hata kama hujauliza unajua tu ni ninyi.. Mtunzi wa nyimbo kama ni mmoja ni kawaida kutunga nyimbo zenye test moja hata mziki pia huko hivyo... I love u
@jerrymadaha9895
3 жыл бұрын
Amina tutalifanyia kazi ndugu
@gibsonntamamilo490
3 жыл бұрын
Mimi naomba mbaki kwenye Key yenu. Huo ndio utambulisho wenu unaowatofautisha na kwaya nyingine. - From Kigoma TZ.
@shadrackmpama2947
3 жыл бұрын
@@gibsonntamamilo490 safi wabaki hivi hivi Mana wakipiga sebene watapotea
@inteafrica6640
3 жыл бұрын
Ni kweli wachanganye key ladha itakua tamu zaid
@dorianclarain102
8 ай бұрын
Msi mfurahishe mwanadamu maana nikiumbe kisicho rithika. Kila mtu Ninae share nae nyimbo zanu ana penda sana naku wa ombea baraka. Msi jichanganye msije mka kuwa kama wale wengine. Mungu awa bariki zaidi 🙏🙏
Wimbo mzr sana, mbarikiwe xana xana
Amina mungu azidi kuwainua
My favorite choir.❤️❤️❤️
Bwana yu pamoja nas
Soy Ecuator Guineano me encanta este grupo de alabanza,y me encantaría conocer de dónde es este grupo,y en ke país se. Encuentra? Y kiero el nombre completo de esta chica ke canta,esta canción de Adamu,porfa y ke tengáis un feliz Domingo
Perfect 👍 kabixa ♥️💯
My all time favourite choir . God bless you much
Mungu azidi kuwatumia
All the way from kenya.Nimekuwa nanyi tangu VUNJA.Chang'ome by now should be shooting the best quality video in East Africa.Improve on the quality otherwise setup yote iko sawa sana.God bless you
Hakika nawapenda MUNGU amewapaka mafuta matakatifu
Amen. Powerful and touching song. I can't finish listening to it.
@maryshirima8128
3 жыл бұрын
Asante kwa huduma ya uimbaji mliyonayo nyimbo zenu zinatubariki sana
Barikiwa sana
Nice song's👏👏👏
@elizajohn8728
3 жыл бұрын
Mko vzr Sana ,mpe hi steve.pia Lidia mbona kimya.nna wapenda sana
Nawapenda sana watumishi wa Mungu
Bwanaawabariki watumishi waMungu
Nyimbo zuri mubarikiwe
Nimependa
Huu wimbo ni mzuri sana, Mbarikiwe sana CVC .
@obeidmpombwe9951
4 жыл бұрын
Hongereni Sanaa mmeibuwa vipaji vyema
Amazing Sana,, my favourite choir forever
A i c Changombe is a well organised team,may God bless you and uplift you.
Wimbo mzuri sana
Wimbo mzuri.
It's really amazing choir
Nyimbo nzuri sana lakini picha ya nyoka inakosea wimbo wenu
Love you chang'ombe choir My Almighty God bless you more