Toka humu nchini kenya Nairobi,ninapowatizama ninyi ,mwanibariki sana ,na kweli Toka kilindini cha moyo ,uimbaji ,style,ujumbe,mavazi ,facial expressions zote ziko sawa .na neema ya bwana wetu yesu kristo izindi kuwa juu yenu❤
@elizabethlameck48293 жыл бұрын
Amen Amen,, maan BWANA ndiye mwalim maishan mwangu..sollo Dada Rahabu jaman MUNGU akubariki sana wale tunasali Chang'ombe gonga like hapa
@GodfreyYohana-tb8uh
11 ай бұрын
Habar
@suzanmussa55732 жыл бұрын
Jman tunao angalia tens mwaka huu utjua kweny like, wimbo wangu unaonipa aman yamoyo kila nikiusikia jaman
@lordorcas9344Ай бұрын
Alafu mi Na barikiwa na ma n’y I’m o Zeno Changombe Choirs ya Wa takatifu ya Bwana
@AngelousKanjika4 ай бұрын
Ujumbe mzuriii, M'barikiwe sana sana ktk tume wenu.
@annemercy6076 Жыл бұрын
From Kenya I used yo watch this choir more than twice per day nawapenda sana😘😘😘
@geraldlaurent67503 ай бұрын
Mungu upewe sifa zako tu pekeako ❤❤
@josserebornking46498 ай бұрын
Huwa mnanijenga kweli.. Kenya tunawapenda sana mbarikiwe
@lilianjumba32988 ай бұрын
Let God's work continue glory to his Holy name.I have a young choir what governs you ambassadors of God so that we can pull up our socks and be where you are exactly
@user-rp8fr7vl5j11 ай бұрын
🙏nimebarikiwa na wimb huu kwelii MUNGU mwalimu katka maisha yetu mbarikiwe saanaa katka huduma hii ya sifa
@jeffrweza40893 жыл бұрын
Hapa Kenya tunawapenda saana
@mwajumayona760810 ай бұрын
Kwa kweli bwana amekuwa Mwalimu hata kwenye Maisha yangu
@zumasamson66033 жыл бұрын
Hongera sana CVC kwa wimbo huu mzuri leo nimebahatika kuwaona mkicheza huu wimbo mubashara katika ibada ya mavuno pale Azania front. TUMEBARIKIWA
@kingslj4 ай бұрын
Just lovely! Praise God, God bless & thanks
@jerubetjoan204 жыл бұрын
Im blessed through your songs changamwe choir. Wapi likes kutoka wakenya kama unafuatilia changamwe.
@irenemuli8994
2 жыл бұрын
It's AIC(T)Chang'ombe V.Choir Tz
@listoncharles4612 Жыл бұрын
I LOVE THIS SONG I CAN PLAY IT ALL DAY LONG
@maitali44484 ай бұрын
Hawa ndio cvc sio nyimbo mlizoanza kuomba siku hizi mnapoteza radha ver goood
@octaviandaudi47202 жыл бұрын
Hongereni Sana,nakuomba dada rahabu
@danielymanamba87093 жыл бұрын
Cvc Mungu Baba wa mbinguni azidi kuwashushia neema na baraka. Kwa kazi yenu nzuri ya kumtangaza Kristo. Mussa D Manamba wa Aic Chato Muungano.
@jemanokidanga21562 жыл бұрын
Mbarikiwe sana AIC CHANG'OMBE kwa kazi nzr ya uimbaji.
@edwinmasiemo6897 Жыл бұрын
Soloist excellent, hiyo sauti iko Sawa, inafanana na ya huyo mama mwenye ameimba nyimbo zenu nyingi hii choir
@danielmwaibanda64432 жыл бұрын
Sita choka kuwaombea na kuwatamkia mema kwa jinsi mlivyotumika baraka kwa kumwimbia Mungu Wetu
@moronayou5148 Жыл бұрын
Am blessed by this song 🙏🙏mob love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@phclassictz52993 жыл бұрын
Mungu awabarikiiii kwa kazi nzur mnayo ifanya ya kueneza injili kwa njia ya nyimboòoo watumishiiiii
@kristinekateassy71353 жыл бұрын
Hii choir Una waimbaji wazuri aki from Kenya mumekuwa mkinibariki tangu zile Enzi za Gusa Hadi sai.Soloists wapya wako Sawa kabisa .Mungu azidi kuwabariki🙏🙏🙏
@richardrotich31443 жыл бұрын
Napenda sana nyimbo zenu hii ni utukufu wa mungu tu inanatujaza kiroho huku mjini Kenya.
@mosesaisu43803 жыл бұрын
Mungu azidi kuwabariki AICT Chang'ombe. Wimbo nausikiliza kila siku. Be blessed the entire choir.
@LilianMueni-do2xb Жыл бұрын
Amen Amen!!!!May God always lead you in your service,,,,,Gerat team of God🎉🎉🎉🎉🎉
@patrickmuthusi90053 жыл бұрын
What a wonderful song! I do love this choir, dancing style, soloist and more
@jorambranchofmud62994 ай бұрын
Hivi sasa hata siku sijazo huu wimbo unanibariki na kunijenga
@davidkisalimwala94582 жыл бұрын
All time favorite choir , tamu sana , UTUKUFU HATA UTUKUFU TUTAIMBA, MAANA BWANA AMEKUWA MWALIMU beautiful song my friends
@abelstephano16843 жыл бұрын
One of the best gospel song ever in this era💪🙏 God bless you
@eliasmagesa744711 ай бұрын
Nabarikiwa sana
@esthermutua12873 жыл бұрын
Wooh glory to glory a powerfully and a blessed message be blessed changombe ...Much love from kenya
@elizabethlameck4829
3 жыл бұрын
Karibu sana Ubarikiwe pia
@ZAKAENERGIES-kv3cp Жыл бұрын
Bwana n mwalimu wetu ,mchungaji pia mbarikiwe watumishi
@DaudiKifungo
Жыл бұрын
Bbxst
@pauljoseph-pe1yq Жыл бұрын
Kwakwel mpo vzur sana huwa nabarikiwa sana!
@jaksonpedreira3368 Жыл бұрын
God continue to bless my brothers in Christ Jesus in the Holy Peace of the LORD Jesus Christ ❤️🇧🇷🙏
@boazpamba93123 жыл бұрын
Amen MUNGU awenanyi maishan mwen na utukufu wa MUNGU uwazukie kila mahali
@bonfaceotieno786211 ай бұрын
2nd soloist anapoingia na "Ni wewe Bwanaa" nahisi kudondokwa machozi😢😢😢. Natamani ningekuwa mmoja wenu ili niokoke niweze kumsifu Mungu kupitia uimbaji. Barikiweni sana wapendwa
@user-nf4ob7xc1q
2 ай бұрын
Kalibu mungu akupe kibali
@rabynzwala62563 жыл бұрын
Namwona mama with Kama kawaida yake hongereni sana Mungu awainue zaid
@Natalienaimahfridahliz7 ай бұрын
Kweli Bwana amekuwa ndiye mwalimu
@user-rz6ym3bh2k4 ай бұрын
Mungu awabariki sana
@alexintech2543 жыл бұрын
Bwana awazidishie neema na nguvu za kuzidi kumuishia na kumtumkia.
@asiaminja35563 жыл бұрын
One of my best choir...naona waimbishaji wapya safi sana
@dayanalushina49933 жыл бұрын
Nice CVC.. Hongereni kwa utume..! Waimbishaji wapya wenye vipaji vikubwa vya sauti...! Nimeipenda hivyo..!! Sifa na utukufu vyote ni kwa Mungu...!
@calebkoech46823 жыл бұрын
Wow nice song, chang'ombe songs inspires me so much
@generalboy8392 жыл бұрын
Cvc congratulations be'se the song touch our life so god bless all of you
@erickorongai6258 Жыл бұрын
Mungu awabariki kwa kumwimbia yeye amen
@RahabuYusufu-yo7dq9 ай бұрын
Hongeren jmn
@ramsdenjames97822 жыл бұрын
Saf sana kwa kuibua ma solo wadogo so great
@samwelbundala43352 жыл бұрын
Mbarikiwe sana kwa nyimbo zinazofundisha na kutoa ujumbe mzuri.
@denniskim62243 жыл бұрын
i really love this choir.nafarijika sana
@samuellimbu26933 жыл бұрын
glory glory...that is our song
@silanzuki86273 жыл бұрын
Am in love with the bass guitar flow and organ Perfectly done
@alexmaiko9160
3 жыл бұрын
Mamb vp
@gaudensiamathias53153 жыл бұрын
Bwana ndiwe mwalimu maishan mwangu
@dorcussameel93923 жыл бұрын
Mbarikiwe Sanaa pia Hongereni kwa masololist wapyaa
@user-nc5cl1wv4y11 ай бұрын
Wako vizur utukufu Kwa Bwana
@evalinembowe79652 жыл бұрын
Nimempenda dada anayesolo anaimba vzur
@jumangwegwe70772 жыл бұрын
Aiseee! Nawapend wat hawa
@lilianmokua6853 жыл бұрын
Wooooooow i can't get enough of it
@mosesmutie55462 жыл бұрын
Hapooo 🔥🔥🔥🔥song maridati
@winifridajacob91542 жыл бұрын
Munguawape maarifa Ktk uimbaji wenu
@petermutuku42743 жыл бұрын
Thanks for your ministry of music 🎶 it is a blessing to me
@andrewmutai79163 жыл бұрын
Mbarikiwe na nyimbo zenu za kituliza roho...
@shijaanania80633 жыл бұрын
Maana Bwana amekuwa ndiye Mwalimu maishani mwetu.
@denismangu9476
3 жыл бұрын
Ameen
@nyambabazichantal32313 жыл бұрын
Nice song god bless you guys nice work
@sausausamuelmeshack23183 жыл бұрын
God bless you choir, what a song, all glory to the almighty God, special gifts in God's vineyard.
@eliasboniface66133 жыл бұрын
Amena mung awabalik xana
@iyaamoding89452 жыл бұрын
Praise God,,,b blessed
@felistaludela26953 жыл бұрын
Am blessed by this song.
@glorynosse80013 жыл бұрын
Mnaimba vinzur sana barikiwa mungu awatie nguvu
@catholictvmusichymes71742 жыл бұрын
Wow! Wonderful
@jescacharles26073 жыл бұрын
Mungu awabariki kwa kazi nzuri
@archkitenge52234 жыл бұрын
i have been a very keen blessed kenyan from your music..planning to visit before the year ends
@irenemuli8994
2 жыл бұрын
Also wanna visit someday powerful worshippers
@holysamwel99783 жыл бұрын
My husband favourite song ❣❣ ...mbarikiwe sana 🙏
@thadeokakopa46842 жыл бұрын
Thadeo kakopa naipenda cvc
@mosesaisu43803 жыл бұрын
Mbarikiwe CVC AICT. Classic gospel music with God's message
@felistamarco4682 жыл бұрын
Wapii chaz utukufuu hataa utukufu
@yonahmaphie42212 жыл бұрын
Nice song Mungu azidi kuinuliwa
@glorynosse80013 жыл бұрын
Hongeren sana barikiwa mtumishi
@hellenjeremiah6423 Жыл бұрын
Ameni nimebarikiwa sana
@beatricesawe59454 жыл бұрын
Nafarijika sana mbarikiwe sana pia nawapenda❤
@marycosmas4043
4 жыл бұрын
Cvc mnanibariki sana__ jina la Bwana libarikiwe🙏
@teddylameck213 жыл бұрын
Mbarikiwe na bwana nawapenda mnoo
@noelmazengo81043 жыл бұрын
Nabarikiwa sana nanyi kwaya yangu pendwa Niko nanyi tangu gusa hadi sasa
@rupertoako84174 жыл бұрын
Safi sana Mungu awatie nguvu : wimbo nzuri
@anaismakoma2571 Жыл бұрын
J'aime trop von chason
@Siamanda513 жыл бұрын
Changombe sitacha kusema nyinyi ni chombo mliyokubali kutumika kutangaza neno la bwana,Kama Kila mwenye pumzi naipenda Sana pia jiwe na ufalme utatekwa na wenye nguvu
@egbertkalumuna37613 жыл бұрын
Barikiwa saaaaana
@charlesjilala80982 жыл бұрын
utukufu milele
@alphamakole22163 жыл бұрын
AICT mnaweza mungu awabariki sana
@mariamnjile65382 жыл бұрын
nailed san
@zambiachannel12043 жыл бұрын
Praise God! You really know how to praise & worship the Lord.
@cellyblessed3 жыл бұрын
nimewapenda tokea awali
@dr.peterik25864 жыл бұрын
Jeremiah Yusuph Kaka Steve nawaona nawaona Utukufu kwa Mungu wetu Hongereni kwaya yangu pendwa
@LightnessYusuph-xe1zb Жыл бұрын
Amen🙏🏽
@diksonjohn86282 жыл бұрын
Mungu bariki kwaya hii
@tanosaid98193 жыл бұрын
Ogeleni sana mnatufa yatukubuke mguwetu
@rev.leahambwaya51203 жыл бұрын
I just can't stop watching your music, you bless me so much, I love all your music, God will lift you so much for the glory of his name, your soloists are amazing, they sing like angels, yaani am just humbled as I listen to your beautiful voices
@irenemuli8994
2 жыл бұрын
Much much much Love from the 254 😍😍😍Kwanza Mum hapo karibu Saxophone you did the video justice,alafu sasa soloists na cvc choir Kama BGVs motooooo 🔥🔥more Grace Wana CVC
Пікірлер: 177
Toka humu nchini kenya Nairobi,ninapowatizama ninyi ,mwanibariki sana ,na kweli Toka kilindini cha moyo ,uimbaji ,style,ujumbe,mavazi ,facial expressions zote ziko sawa .na neema ya bwana wetu yesu kristo izindi kuwa juu yenu❤
Amen Amen,, maan BWANA ndiye mwalim maishan mwangu..sollo Dada Rahabu jaman MUNGU akubariki sana wale tunasali Chang'ombe gonga like hapa
@GodfreyYohana-tb8uh
11 ай бұрын
Habar
Jman tunao angalia tens mwaka huu utjua kweny like, wimbo wangu unaonipa aman yamoyo kila nikiusikia jaman
Alafu mi Na barikiwa na ma n’y I’m o Zeno Changombe Choirs ya Wa takatifu ya Bwana
Ujumbe mzuriii, M'barikiwe sana sana ktk tume wenu.
From Kenya I used yo watch this choir more than twice per day nawapenda sana😘😘😘
Mungu upewe sifa zako tu pekeako ❤❤
Huwa mnanijenga kweli.. Kenya tunawapenda sana mbarikiwe
Let God's work continue glory to his Holy name.I have a young choir what governs you ambassadors of God so that we can pull up our socks and be where you are exactly
🙏nimebarikiwa na wimb huu kwelii MUNGU mwalimu katka maisha yetu mbarikiwe saanaa katka huduma hii ya sifa
Hapa Kenya tunawapenda saana
Kwa kweli bwana amekuwa Mwalimu hata kwenye Maisha yangu
Hongera sana CVC kwa wimbo huu mzuri leo nimebahatika kuwaona mkicheza huu wimbo mubashara katika ibada ya mavuno pale Azania front. TUMEBARIKIWA
Just lovely! Praise God, God bless & thanks
Im blessed through your songs changamwe choir. Wapi likes kutoka wakenya kama unafuatilia changamwe.
@irenemuli8994
2 жыл бұрын
It's AIC(T)Chang'ombe V.Choir Tz
I LOVE THIS SONG I CAN PLAY IT ALL DAY LONG
Hawa ndio cvc sio nyimbo mlizoanza kuomba siku hizi mnapoteza radha ver goood
Hongereni Sana,nakuomba dada rahabu
Cvc Mungu Baba wa mbinguni azidi kuwashushia neema na baraka. Kwa kazi yenu nzuri ya kumtangaza Kristo. Mussa D Manamba wa Aic Chato Muungano.
Mbarikiwe sana AIC CHANG'OMBE kwa kazi nzr ya uimbaji.
Soloist excellent, hiyo sauti iko Sawa, inafanana na ya huyo mama mwenye ameimba nyimbo zenu nyingi hii choir
Sita choka kuwaombea na kuwatamkia mema kwa jinsi mlivyotumika baraka kwa kumwimbia Mungu Wetu
Am blessed by this song 🙏🙏mob love from🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Mungu awabarikiiii kwa kazi nzur mnayo ifanya ya kueneza injili kwa njia ya nyimboòoo watumishiiiii
Hii choir Una waimbaji wazuri aki from Kenya mumekuwa mkinibariki tangu zile Enzi za Gusa Hadi sai.Soloists wapya wako Sawa kabisa .Mungu azidi kuwabariki🙏🙏🙏
Napenda sana nyimbo zenu hii ni utukufu wa mungu tu inanatujaza kiroho huku mjini Kenya.
Mungu azidi kuwabariki AICT Chang'ombe. Wimbo nausikiliza kila siku. Be blessed the entire choir.
Amen Amen!!!!May God always lead you in your service,,,,,Gerat team of God🎉🎉🎉🎉🎉
What a wonderful song! I do love this choir, dancing style, soloist and more
Hivi sasa hata siku sijazo huu wimbo unanibariki na kunijenga
All time favorite choir , tamu sana , UTUKUFU HATA UTUKUFU TUTAIMBA, MAANA BWANA AMEKUWA MWALIMU beautiful song my friends
One of the best gospel song ever in this era💪🙏 God bless you
Nabarikiwa sana
Wooh glory to glory a powerfully and a blessed message be blessed changombe ...Much love from kenya
@elizabethlameck4829
3 жыл бұрын
Karibu sana Ubarikiwe pia
Bwana n mwalimu wetu ,mchungaji pia mbarikiwe watumishi
@DaudiKifungo
Жыл бұрын
Bbxst
Kwakwel mpo vzur sana huwa nabarikiwa sana!
God continue to bless my brothers in Christ Jesus in the Holy Peace of the LORD Jesus Christ ❤️🇧🇷🙏
Amen MUNGU awenanyi maishan mwen na utukufu wa MUNGU uwazukie kila mahali
2nd soloist anapoingia na "Ni wewe Bwanaa" nahisi kudondokwa machozi😢😢😢. Natamani ningekuwa mmoja wenu ili niokoke niweze kumsifu Mungu kupitia uimbaji. Barikiweni sana wapendwa
@user-nf4ob7xc1q
2 ай бұрын
Kalibu mungu akupe kibali
Namwona mama with Kama kawaida yake hongereni sana Mungu awainue zaid
Kweli Bwana amekuwa ndiye mwalimu
Mungu awabariki sana
Bwana awazidishie neema na nguvu za kuzidi kumuishia na kumtumkia.
One of my best choir...naona waimbishaji wapya safi sana
Nice CVC.. Hongereni kwa utume..! Waimbishaji wapya wenye vipaji vikubwa vya sauti...! Nimeipenda hivyo..!! Sifa na utukufu vyote ni kwa Mungu...!
Wow nice song, chang'ombe songs inspires me so much
Cvc congratulations be'se the song touch our life so god bless all of you
Mungu awabariki kwa kumwimbia yeye amen
Hongeren jmn
Saf sana kwa kuibua ma solo wadogo so great
Mbarikiwe sana kwa nyimbo zinazofundisha na kutoa ujumbe mzuri.
i really love this choir.nafarijika sana
glory glory...that is our song
Am in love with the bass guitar flow and organ Perfectly done
@alexmaiko9160
3 жыл бұрын
Mamb vp
Bwana ndiwe mwalimu maishan mwangu
Mbarikiwe Sanaa pia Hongereni kwa masololist wapyaa
Wako vizur utukufu Kwa Bwana
Nimempenda dada anayesolo anaimba vzur
Aiseee! Nawapend wat hawa
Wooooooow i can't get enough of it
Hapooo 🔥🔥🔥🔥song maridati
Munguawape maarifa Ktk uimbaji wenu
Thanks for your ministry of music 🎶 it is a blessing to me
Mbarikiwe na nyimbo zenu za kituliza roho...
Maana Bwana amekuwa ndiye Mwalimu maishani mwetu.
@denismangu9476
3 жыл бұрын
Ameen
Nice song god bless you guys nice work
God bless you choir, what a song, all glory to the almighty God, special gifts in God's vineyard.
Amena mung awabalik xana
Praise God,,,b blessed
Am blessed by this song.
Mnaimba vinzur sana barikiwa mungu awatie nguvu
Wow! Wonderful
Mungu awabariki kwa kazi nzuri
i have been a very keen blessed kenyan from your music..planning to visit before the year ends
@irenemuli8994
2 жыл бұрын
Also wanna visit someday powerful worshippers
My husband favourite song ❣❣ ...mbarikiwe sana 🙏
Thadeo kakopa naipenda cvc
Mbarikiwe CVC AICT. Classic gospel music with God's message
Wapii chaz utukufuu hataa utukufu
Nice song Mungu azidi kuinuliwa
Hongeren sana barikiwa mtumishi
Ameni nimebarikiwa sana
Nafarijika sana mbarikiwe sana pia nawapenda❤
@marycosmas4043
4 жыл бұрын
Cvc mnanibariki sana__ jina la Bwana libarikiwe🙏
Mbarikiwe na bwana nawapenda mnoo
Nabarikiwa sana nanyi kwaya yangu pendwa Niko nanyi tangu gusa hadi sasa
Safi sana Mungu awatie nguvu : wimbo nzuri
J'aime trop von chason
Changombe sitacha kusema nyinyi ni chombo mliyokubali kutumika kutangaza neno la bwana,Kama Kila mwenye pumzi naipenda Sana pia jiwe na ufalme utatekwa na wenye nguvu
Barikiwa saaaaana
utukufu milele
AICT mnaweza mungu awabariki sana
nailed san
Praise God! You really know how to praise & worship the Lord.
nimewapenda tokea awali
Jeremiah Yusuph Kaka Steve nawaona nawaona Utukufu kwa Mungu wetu Hongereni kwaya yangu pendwa
Amen🙏🏽
Mungu bariki kwaya hii
Ogeleni sana mnatufa yatukubuke mguwetu
I just can't stop watching your music, you bless me so much, I love all your music, God will lift you so much for the glory of his name, your soloists are amazing, they sing like angels, yaani am just humbled as I listen to your beautiful voices
@irenemuli8994
2 жыл бұрын
Much much much Love from the 254 😍😍😍Kwanza Mum hapo karibu Saxophone you did the video justice,alafu sasa soloists na cvc choir Kama BGVs motooooo 🔥🔥more Grace Wana CVC
Nabarikiwa Sana nahuu wimbo nawapenda sana
Glory be to God🙏