Atasimama (Akutetee) official live video - Bethlehem Choir
Bwana atasimama akutetee katika kila hali unayoipitia
2 Nyakati 20
Hili ndilo asemalo Bwana kwenu,'Msiogope wala msifadhaike kwa sababu ya jeshi hili kubwa. Kwa maana Vita si vyenu Bali ni vya Mungu.
Credits:
Song writer: Steven Sabugo
Video Director: Amani Sabugo & Daniel Mangare
Audio Capture
& Sound engineer : Noel Mbaruku (B&W Studio)
Audio Production& Mixing: Steve Sabugo ( ASST MUSIC)
Music Director : Calvin Marco (1st PIANIST)
Aux: Amani Sabugo
Drummer: Joshua Mtalemwa
Bass Guitar: David Uromi ( D. Bass)
lead Guitar: Godson
Leaders: Steve Sabugo, Happy Mhae , Ibrahim Stanford
Venue: Kilimanjaro Crane
#worshipmusic
#africanchoir
#tanzaniagospel
Пікірлер: 418
You people mbinguni ni kwenuu banaa🙌🙌🙌🙌 mnagusa na kuponya mioyo ya watu
@bethlehemchoirmajengomoshi8788
10 ай бұрын
Barikiwa Sana . Utukufu kwa MUNGU
@sylviaoum2943
8 ай бұрын
Kabisaaa..wamejua kuniganga moyo na kuniinua🙏🙏🙏🙏
@janethjeremiah2547
8 ай бұрын
Exactly
@daurdwambuto1877
8 ай бұрын
Mungu awabariki waimbaji wote mliohusika kwenye wimbo huu
Mungu aendelee kuwatumia . Barikiwa sana na nyie watu.
Yanayonisumbua shughulika nayo,vita si zangu atapigana,Baba yu mbele yangu🙏🙏❤️
Vita si yangu atapiga bwana yu mbele yangu,be blessed ❤❤
Nimebarikiwa sana na huu wimbo🙌
Bwana awatie nguvu kwa kazi nzuli sana
Mungu wetu.awatunze.
Nabarikiwa Sanaa na wimbo huu MUNGU wa mbinguni aendelee kuwaongoza
MUNGU AWAKUMBUKE WATUMISHI WOTE WATENDA KAZINYA BWANA, AMINA🙏🙏🙏🙏
Mungu azid kuwainua zaid kaz yenu njema
Hakika ni bwana wa vita kwake yeye yote yanawezekana🙏
@bethlehemchoirmajengomoshi8788
Ай бұрын
Amen Amen
War is not mine..God is before us ..sihesahu Yale yaliyoniumiza kale nahesabu wema wa Mungu😢🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Wanangu mubarikiwe mnooooo na Bwana mmeimba vizuri Sana nimebarikiwa Muinuliwe zaidi
Amen amen Mungu azid kuwainua viwango na viwango
Jmn nawapenda sana Happy mdogo wangu Mungu akusaidie uiishi huduma Yako
Asante kwakunihakikishia vita si viangu. Astasimama kunitetea bwana. Amen
@bethlehemchoirmajengomoshi8788
4 ай бұрын
Amen Amen
Best song so mungu atasimama🤚 I'm Pastor Grace-Ditshima from Lubumbashi town, RDcongo contry 🇨🇩🇨🇩🇨🇩 we love Swahili Gospel.
@bethlehemchoirmajengomoshi8788
10 ай бұрын
Amen Amen Pastor
@cims1351
10 ай бұрын
there are more to come keep subscribing us pastor may God bless you amen
Amesimama na ametutetea tiali, amen
Naupenda mno huu wimbo hakika
Kweli ananipigania vita si vyangu
Napataje wimbo huu hatulegei
Mbarikiwe sana Bethlehem choir, hakika Bwana atasimama anitetee.
Marikiweni watumishi wa mungu
Hongera sana
Nawapenda sanaaaaa
Hatulegei Hatulegei aliye anzisha safari yu mbele yangu,kusudi lake ni njema kwangu wow. Thank you Jesus.
Wimbo huu unanibaiki sana
Ninajua Bwana yu upande wangu!! Ooh Bwana yu mbele yangu!! Be blessed watu wa Mungu•
Safi Mungu atasimama nasi thanks
Leo dada kavaaa uhusikaaa big up sanaaa
Mungu awabariki watumishi
Ameeew Bwanaa atasimaaa tenaaa kuniteteaaa😢😢😢😢😢😢😢
Ni fire 🔥🔥🔥
Huu wimbo sijui nimeskiza mara ngapi... I've lost count. Sio tu mziki bali ujumbe na Roho nyuma ya kila neno. Super Producer Steven Sabugo, asante sana kwa kazi hii nzuri ya utunzi, mixdown na master💪💪
@bethlehemchoirmajengomoshi8788
6 ай бұрын
Endelea kubarikiwa ndugu yetu
Kazi nzuri mungu awasimamie
The song is👌👌👌👌
aiseee🔥🔥🔥
Kweli vita sivetu ni ya bwana
kelv Munguaendelee kukupaisha kaka
Ninajua Bwana yu upande wangu🙌🙌🙌 Atasimama anitetee🙏🙏🙏
@chrisbornmate
10 ай бұрын
Amen 🙏🙏🙏🙏
Mungu awabirki Watumishi...kwa wimbo huu, hakika naamini atasimama atutetee
Nabarikiwa sana na wimbo huu🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Kazi nzuri, Mungu azidi kuwabariki
Ubarikwe 🙏🏻🙏🏻
Vita si yetu kweli. Halleluyaaa. Wimbo mzuri sana.
Mungu awatunze
A'm blessed 🙌
Katika vita vyangu Mungu atanipigania mwenyew siwezi kabisa😢😢
Jemedari Mkuu hashindwi
wimbo unagusa sana, mbarikiwe🙏🏾
Utukuzwe Mungu sana, kazi ni njema kwa kweli Bwana asiwapungikie
GOD is saying to you today;"I know that you feel stressed out at times. I don't blame you, life can be hard, life can be challenging, & life can be overwhelm us.However,when you're in a season of trouble, I want you surrendered it all to ME.I will take care of you."
Ninaupenda na unanibariki sana Hongera mtunzi
❤❤❤❤🙏🙏🙏😍🥺🌹🌹💎 Mungu wa mbinguni awabariki na haja zote za miyoyo yenu
Atasimama......Aniteteee.....❤❤❤❤❤
Atasimama bwana Yesu atapigana,atatutea
Hakika hatulegei, atasimama atutetee hyu yesu, nabarikiwa Sana na huduma yenu mungu awapandishe viwango vingne❤️❤️🥰🙏
AMINA
Hakika bwana atasimama anitete
Huu wimbo umenigusa mnooo Mungu awainuee
Utukufu Kwa Mungu
Mubarikiwe
Kusudi lake ni jema kwetu
🎉🎉🎉🎉🎉 Sipigani🏃🏃🙌
Hakika Vita siyo yetu,atasimama atutetee na tunashinda
Mbarikiwe sana kazi yenu sio bure
kazi nzuri sana
❤❤❤❤God Did
Haleloyaaaaa Haleloyaaaaa Utukufu kwa BWANA Yesu
Kali sana hii nimeiyona
Amen 🙏...mbarikiwe sanaa..vita Ni ya BWANA
Nimependa ujumbe mbarikiwe
Finally, mbarikiwe sana nawapenda
🔥🔥🔥🔥
Haleluyaaaaaa🙌🙏
Amen❤
Good job, big up
Mbalikiwe sana watumishi wa Mungu. Katika huduma yenu juweni kwamba Bwana yu mbele yenu
Atasimama anitetee., kwa kuwa vita si zangu ni za kwake..💃💃💃🔥💥💥💥🔥🔥
Nimeupenda ❤❤❤
Amina watumishi wa Mungu, Bwana atende Jambo katika KUISHI kwetu hapa duniani🙏🙏🙏🙏 Mungu AWABARIKI Sana sana
Vita sio yangu ila yako bwana wangu............najua Mungu wangu u mbele yangu na mbele ya rafiki zangu pia. Nakwamini utatupigania. This is a great song. Much blessings to you all.
Mungu awabariki Sana nyimbo imeniponya majeraha naomba ikaguse na wengne❤❤
Hongeren mnooo
Kazi nzuri
Asanteni na Mungu awabariki
Kazi nzuri sana. Hongereni
Great song indeed 👍 👍 😍.More love from Kenya 🇰🇪.
Hakika mungu amenitetea sana bila yeye mm si kitu
@bethlehemchoirmajengomoshi8788
9 ай бұрын
Amen Amen
Hatulegei kamwe...... Barikiweni sana Kwa wimbo huu
Amen mungu awabariki na kuwainua ktk huduma yenu
Mungu awabariki watumishi my Song of testimonial .
Mimi ni zaidi ya mshindi maana vita si vyangu bali ni vya Bwana. Atasimama,atapigana Kwa niaba yangu na ya wote waliitialo Jina Lake. I'm blessed by the song. Much love 💓 from 🇰🇪
Amina munch atasimama Moana eye nite kiongozi wetu
Mungu awalinde viwango kwa viwango
@bethlehemchoirmajengomoshi8788
10 ай бұрын
Utukufu kwa MUNGU
Vita si vyangu ni yake Mungu - wimbo umenigusa sana na kunibariki
Kazi njema sana.! Hongereni Bethlehem Choir.!🔥🔥
@bethlehemchoirmajengomoshi8788
11 ай бұрын
Amen
The best of the song
Ameen,,❤ barikiweni sana,, hakika Kwa mungu hatulegei tutasimama vema nae atatutetea.
Hongereni Sana Watumishi wa Mungu