mwambie huyo mcgwa😂😁😀😂😁😀😂😁😀penda sana mchungaji wangu
@jumagari46956 жыл бұрын
kweli msigwa nimekukubali usikubali kuburuzwa na makada hao was ccm
@BarakaWaya5 жыл бұрын
Msigwa hekima huna, Safi Sana DC ,Huyu Dc anahekima sanaa
@naimajecker28896 жыл бұрын
Msigwa i love uuuuuuu😂😂😂😂😂😂😂
@michaelgershon90776 жыл бұрын
Uongozi unahitaji subira. Dc ni kiongozi. Hajatumia utawala. Nampongeza.
@fungamaliramadhani479
5 жыл бұрын
MICHAEL GERSHON msigwa huyo hapi umuezi mtoto wamjini huyo mguse uone pimbaavu
@stellaernest8735
5 жыл бұрын
we ni fala hujui nn maana ya uwajibikaji Pumbavu
@amanabdallah9745
5 жыл бұрын
Subira ya nini, kwa hao ma DC na ma rc waonezi,kilichobaki ni kukungutana makonde
@elishajuma2615
Жыл бұрын
Wew na wew ndo wale wale
@boyselemani44935 жыл бұрын
Umemtolea uvivu Safi sana kaka nimekubali unafki wamadalaka umempa Kali hao ndio wanafiki Ila kajielewa
@elikanaisrael11386 жыл бұрын
Safi san mchungaji msingwa njoo kabisa nikukabidhi mke wangu
@semanasitv83036 жыл бұрын
wahehe wabishiii😂😂😂
@annetmsafiri67045 жыл бұрын
Kazi kweli kweli mtumishi wa mungu huyoooo mungu tusaidie
@kisangageorgethomasi2830
Жыл бұрын
Kwaio alegee kisa utumishi wa dini muungu anataka upambane ndio akusaidie
@georgesindano74025 жыл бұрын
safi sana mbunge wangu wa iringa town kama ni swala la maafa si mpaka viongozi wate wauthulie maafa (ndio maana kukawekwa ngazi kwa ngazi)
@simbawateranga70205 жыл бұрын
Safi sana msigwa
@majaliwayusuph38016 жыл бұрын
Mh Msigwa hawa RC na DC wana kinga lkn lazima uwaambie wajue hilo. Kuekwa ndani na kufunguliwa. kesi za uchochezi ni kawaida kwa upinzani.
@husseinkulumbiza88945 жыл бұрын
Napataga Tabu sana kuona Viongozi wetu,wanatupiana maneno Makali,Najiuliza sasa kama wao wanagombana sisi wanatuweka Upande Hupi!Tumtangulize Mungu mbele kwa kila Jambo Tutafanikiwa,Naviongozi wetu Mshirikiane na Mpendane,Mungu Atuongoze.
@wakatiwetuleotv42956 жыл бұрын
Yesu aliye mkuu Sana na mfano wakuigwa alikasirika nakupindua meza Za wabadili fedha walipo kiuka taratibu kwa dharau iweje msigwa asikasirike? msigwa Uko Pouwa Sana
@simonnyasebwa9026
6 жыл бұрын
WAKATI WETU LEO TV kweli chadema hamnazo unamfananisha Yesu na msigwa mmetoka wapi ninyi mbona mmeishiwa hivyo kwa akili hizi Tanzania hamtaiongoza MNA vurugu si kawaida mkiguswa tu mnalia oooo mnaoeleka polisi mmekuwa kuwa kama wanawake, poleni sana.
@nathankihiyo9293
5 жыл бұрын
Ujinga mwingine huu!! hivi unajua kwann Yesu alikasilika? na utambue Yesu alivyokasilika hakumdhihaki mtu, hakumkashifu mtu wala kumdharau mtu! Acha kumfananisha Yesu na vitu vya kipumbavu.
@chilombachilo75346 жыл бұрын
msigwa kunywa soda popote nitakuja lipa
@anozacha611
6 жыл бұрын
Chilomba Chilo safi
@rogersiddy Жыл бұрын
Huo ndo uwanaume sasa hakuna kuoneana hapa safi sana
@nathankihiyo92935 жыл бұрын
msigwa amepaniki kinoma 😂😂😂😂. imebaki siku, majira na nyakati na wewe uwepo nje ya fensi. hao hao waliokuchagua ndio watakaokutoa.
@ericlowasa30976 жыл бұрын
Safi sana msigwa hao mbwa hatutaki mazoea nao bata wa ccm ndo dawa yao umenifurahsha sana
@sulleysonmishlaymishlay72336 жыл бұрын
Hiyo safii sana uchungaji siyo ujiga
@samuelpeterkaaya12113 жыл бұрын
Nakupenda Baba Peter
@louisnyoni41396 жыл бұрын
Msigwa ni jembe kazi zake tunaziona, aendelee kuchapa kazi na kuisimamia serikali.
@anozacha611
6 жыл бұрын
Louis Nyon tena sanaaaaaaaaaa
@edsonndogoro3188
5 жыл бұрын
Louis Nyoni kazi gan alizofanya msigwa. Huo ni uchafu tu.
@nathankihiyo9293
5 жыл бұрын
😂😂😂😂Kazi za kuropoka hata mimi naziona
@edsonndogoro3188
5 жыл бұрын
Louis Nyoni ana kazi gan msigwa anazofanya au kulima mahindi ya kumwagilia?
@deoshine7775 жыл бұрын
chezea kitambi hicho bb wanatumwa hao kuvuruga tunaona arumer na ars
@humphreybilly32585 жыл бұрын
mchungaji nakupenda sana unajuaga kutoa makucha.
@user-sw1dv1iq6h11 ай бұрын
Ndo msemaji mkuu wa serikali. Genge la wahuni😊😊
@josephmakau73224 жыл бұрын
Msigwaaaa chumaaa motoooo msigwaaa mashine sanaaa
@braytonymasebene10865 жыл бұрын
Ahahahahahahahahahha msigwa bana mbn umemchelewesha kwan ccm wao wakina naniiii bg up rais msigwa wa ilinga
@abdalomari59125 жыл бұрын
msingwa uyo mkuu ajielewi yeye kaletwa tu ndiyomana ajielewi
@makaleshop60635 жыл бұрын
Hongela mkuu ungemsonkola akome
@shodristvtv61215 жыл бұрын
Wachungaji wasiku zamwisho 😂😂😂
@hassanlikaba98136 жыл бұрын
Subiri akushuhurikie sasa 2020. Utapata tabu sana
@BarakaWaya4 жыл бұрын
Aibu Sana ukiwa nakiongozi mropokaji hivyo kama Msigwa duuuh uongozi nibusara na hekima well done DC
@moureenkirundwa8691
4 жыл бұрын
Unafurahia kuburuzwa e, aliyoyaongea msigwa kikawaida ni true ila ttz approach. Kwa iyo by conclusion Dc kazngua
@ramadhanmahongole96495 жыл бұрын
saf sana msigwa hao ma DC hawajuagi sana nguvu ya ubunge kuwa inatokana na wananchi hivyo mbunge ananguvu kuliko hao
@magelaoscarjr14015 жыл бұрын
dadeekii!!! mgaya shidaa og
@mhandyeyoo65916 жыл бұрын
Mchaapeee huyo pastor 😆😆😆😆😆😆sina mbavuuuuuu penda pastor msomehe 1king 18:
@adamkaita30095 жыл бұрын
he he eeeh msigwa jimbo limekushinda hilo Acha kupanick jimbo linarudi ccm hilo
@bernadinangasi7664
5 жыл бұрын
Kwa ubabe sawa
@mzeeahmadi94005 жыл бұрын
you are dealing with smart people I'm not stupid !
@immamlowe7346 жыл бұрын
Huyu. I mcbungaji kwel au nimchunhaji madili? Mchungaji haiwi hivo.
@amanigochen4841
5 жыл бұрын
Imma Mlowe
@stellaernest8735
5 жыл бұрын
huja maliza hata dalasa la 7 unataka kumuelekeza mchungaji msigwa huo n umama
@msemwawalter837
5 жыл бұрын
Uchungaji vitani???
@martinkarata10976 жыл бұрын
Safi sana tena aache mazoea
@saidikamduma54686 жыл бұрын
mmmmh Tanzania hii inakoelekea Kazi ipo
@danielmpokasye61083 жыл бұрын
Daaaa mama yake msigwa angezaa tena kama huyu saf kbs hamna kuburuzana hap
@habibadhikr94065 жыл бұрын
Hongera rais magufuli yote Hayayalikuwa hayapo utaona mengi Haya ni mambo yawanawake yamehamia kwa wanaume
@amenyekibona87305 жыл бұрын
amakweri umedata Msigwa,,,, Dc pongezi kwako anajichinja mwenyewe
@jumakapilima56743 жыл бұрын
Msigwa mwenyewe hayupo, na kasesera hayupo!
@ishpalemypasco57515 жыл бұрын
eti mchungaji mchungaji gani mpumbavu huyo.chadema mazuzu yote kasoro mzee lowasa ana hekima na busara
@e.j.starelia56724 жыл бұрын
Huyo msigwa si apigwe Kofi aache kuropoka alaaa,,,nyau tu,,,afu anajiita mchungaji,,,,,,et wewe ndiyo mchungaji
@stephenmgema22085 жыл бұрын
Mmh..... Haya bhana
@lucyshine12715 жыл бұрын
Mbunge anajiamini dc hoi hana kitu
@josephnchunga65545 жыл бұрын
hili sasa hivi linakela sana kama halijawahi kuwa lichungaji huenda linavuta bangi linashindwa kumjibu hata kwa hoja mambo ya kijinga limekuwa na presha ya uchaguzi 2020 na 2020 hili hata likipigwa chini kwenye uchagizi siwezi kusikitika linaboa kinoma kwenye haliwajibiki ipasavyo lakini kwenye kutafuta kiki la no 1,
@ramadhanibrahim76195 жыл бұрын
Huyo DC Anakurupuka sn mambo yake kwenye ukweli bora umpe ukweli tu
Eti huyo ni kiongozi wa chama kisha eti ni mchungaji, anabwata kama muuza gongo! Tujifunze nini kwa kiongozi kama huyu?? Tena anamuomba DC amuweke ndani. Hujanishawishi kujiunga na CHADEMA SACCOS
@chelestinomatinya30025 жыл бұрын
ukitaka kuona ubovu Wa mtu utajua tu asa angalia aligombana na yule bado anataka agombane na huyu kijana mzuri mchapa kaz yaan mm ananikera san
@johnmotto63666 жыл бұрын
Msigwa nguvu huna halafu unajionesha .
@abdulkareemally83715 жыл бұрын
Waambie ukweli tuu.. wakikufunga sawa ila wanao ukweli
@Ba638286 жыл бұрын
WEWE MCHUNGAJI HASIRA BILA KIKOMO KWA HIO ULITAKA UMPIGE USINGEZUILIWA NA WAPAMBE WAKO?
@josenjozi5288
4 жыл бұрын
Alipo Atunkolepo Mwakanyika ko
@renatusmgina40036 жыл бұрын
Safi sana wajinga kama hao inatakiwa at a makofi tu wanapenda ujinga kila mda kura za wapiga kura wanaiba bado wanashindwa yakuongea wanakusema MCHUNGAJ vitu vya kijinga wamezoea hao umefanya vizur sana bola kumfece MTU syo kuzunguka MTU mwenyewe bata tu kateuliwa Anataka kushindana nauliye chaguliwa KWA mapenzi ya wananchi waliowachoka mabepari hao wakununua madiwan na wabunge
@allymliloh17606 жыл бұрын
Hivi huyu msigwa alisoma tu Bible knowledge akawa mchungaji au ndo watu kuitana prof Jay
@JeanPierre-sb3ys
6 жыл бұрын
timoun dezòd
@stellaernest8735
5 жыл бұрын
kamuulize baba ako, ndio atakupa jibu manake wakati anasoma bado hujazaliwa
@kaminyogemwachelwa98845 жыл бұрын
Safii,sanaaaa
@farajihokororo18065 жыл бұрын
Huyo sio mchungaji kasesele ungemtia ndani awe na adabu
@mazikufabian22527 жыл бұрын
Mkwawa Piga Hiyo Kitu.
@wigansichilima42055 жыл бұрын
Kwann mnafanyahayooo jamn
@Kifyasi6 жыл бұрын
we msigwa ww achahasila ww nikioo chajamii hasila zann? ukiwa kiongoz lazima utumie wazfa wako fuata sheria
@edsonndogoro31885 жыл бұрын
Msigwa akili huna! Ww ni bwege mkubwa unaonyesha huna uchungaji wowote! Zungumza kihehe basi sasa unazungumza kingereza wazungu wenye lugha wapo wap? Yaan hili jamaa ni tumwa kabisa bado linadhani eti kinge ndy kusoma mweee, popopooo!
@samwellwiza53395 жыл бұрын
Mchungaji msigwa njoo tuhubiri wenye dhambi ili tulete maendeleo ya kiroho kwa watanzania.. Hayo ya kimwili waachie wenye wito na style ya siasa..... Siasa ngumu kwa muhubiri jamaniiii... Maji na mafuta. Stahafu ili kujenga heshima.. Umeshafanya kwa sehemu yako sasa njoo madhabahuni... Please please please baba ... Waachie wakina Mdee.
@manasemwakilasa59314 жыл бұрын
Umepanik mbunge
@raymondmelele19114 жыл бұрын
Daaah msigwa
@robertmartin15895 жыл бұрын
muchungaji gani mshenzi.
@faymzalendo17285 жыл бұрын
Nani alimchagua mvuta bangi huyu,
@exavermolandi11016 жыл бұрын
Msigwa piga choko ilo la ccm
@saidimilanzi64035 жыл бұрын
tatizo ni hawa wateule wa rais yaani asilimia 90%wanakesha kutafuta namna ya kumridhisha mwenzao aliewateua hawajui kabisa wajibu wao,ndio maana sasa wenye busara wanaona haipo tena haja ya kutumia busara ni kuwawakia tu live
Huyu DC haongozani na.askari. hatari atakuja kupigwa
@edsonndogoro31885 жыл бұрын
Eti huyo ndy mchungaji, eti huyo ndy mbunge, aisee huku kwetu tunaita mbunge masusu.
@omarmohd56785 жыл бұрын
Piga kubwa jinga
@ramadhanikakoree37286 жыл бұрын
100%
@jumbemarko43865 жыл бұрын
Mtegue kiuno huyo DC uchwaraa
@emanuelgavile35036 жыл бұрын
Unaleta sifa apa mchungaji gan wew
@emanuelgavile3503
6 жыл бұрын
Marry Paul sifa siunajua anapenda kki en anajiita smart
@florencemgoyo92735 жыл бұрын
sukumaaaa ndaniiiii
@faridafarida66318 жыл бұрын
onyo wazee wazima
@erodycostantin68665 жыл бұрын
kiki zingine za kimavitu ndio munaenda kutunga sheria za kimavitu
@elminakalunga40305 жыл бұрын
Nitafuatilia mpaka nione 'Mlokole huyu uchwara' anavyokwisha.
@sweetbertmlinda96725 жыл бұрын
Mhhhhh, hiv ukiwa chadema lazma uwe kichaa kichaa hiv au!? Msigwa na ww una Kaz 2020 usipojirekebisha
@ramadhanimahongole87643 жыл бұрын
huyo siyo mkuu wa wilaya huyo ni kada wa ccm 🤣🤣🤣😆
@mariamfaki11666 жыл бұрын
Unasema sana
@jamessichimata31005 жыл бұрын
Ongea kiswahili mchungaji
@issajohn56705 жыл бұрын
Mtu mdebwedo utamjua tu. Huwa ashiwi maneno na kujifanya yy mbabe zaid. Na huvyo ndivyo mnazid kupoteza thamani kwa wananchi wenu. Twent twent ikifika razima mbwagwe nyy
@rennysteve32276 жыл бұрын
Eti mchungaji hekima iko wapi?
@consolatamaarufu6762
6 жыл бұрын
Renny Steve ulickia mchungaji ndio aonewe we vepe
@fungamaliramadhani479
5 жыл бұрын
Renny Steve mchungaji wanini muhuni tu huyo hapi pigakazi babu Chadema pigachini huyooo
@davidkawesa3594
5 жыл бұрын
Mungu karuhusu hasila ila usitende dhambi ndio maana unasikia hasila iliwaka kwa Daudi kumuangusha Goliath
@stellaernest8735
5 жыл бұрын
we ni fala hujui nn maana ya uwajibikaji pumbavu
@moureenkirundwa8691
4 жыл бұрын
Uchungaj mana yake co uonewe, na czan km kafanya dhambi hapo, kwa kuw hasira iliwaka ndan yke lkn haikuw na matunda mabaya
@stephanomwakyobe46755 жыл бұрын
wanakela sana mcc
@jordanfromyt28615 жыл бұрын
Duuuh hapa kazi hipo hahaha😂😂😂😆😆😆
@zubelmkemwa9680
5 жыл бұрын
d mungu gan hy anae muabud msingu mbingu gan tunayo enda Kwa sitar hy
@nicholausnchimbi15995 жыл бұрын
Du hii ndio aina ya wabunge na wachungaji au ndio kuchagua mawe
@ayoubmkeya87095 жыл бұрын
shida pale unapo hc wewe ni bora kuliko wengine mfano msigwa kauli zake ni dhahiri kuwa yeye ni miongoni mwa watu wanao jiona ni sahihi kuliko wengine kwa kauli zake kwa mienendo yake na mengine
@peterdaison52205 жыл бұрын
pigen hela tu hakuna lolote wot ni walewale
@sazafsuma75426 жыл бұрын
alaa pumbavu
@abdallahrunwa18865 жыл бұрын
Watanzania sisi watu wajabu sana comet zinazotolewa hapa sijajua chanzo chake nini ni naona kwenye video wanavutana mashati nyinyi mnayepongeza msigwa mmependezwa na nini chanzo cha mheshimiwa msigwa kuvutana mashati na mkuu wa wilaya hakijawekwa wazi hizo comet zenu zimelenga nini...?
@chaxysimon6645 жыл бұрын
nimekumbuka enzi zangu zile za kitambo, mstari unachorwa chini afu mwezio anakuambia vuka kama wewe ni mwanaume haaaahaahaaa
Пікірлер: 228
mweshimiwa msigwa mwambie kuku uyo anajua umeteuliwa
mwambie huyo mcgwa😂😁😀😂😁😀😂😁😀penda sana mchungaji wangu
kweli msigwa nimekukubali usikubali kuburuzwa na makada hao was ccm
Msigwa hekima huna, Safi Sana DC ,Huyu Dc anahekima sanaa
Msigwa i love uuuuuuu😂😂😂😂😂😂😂
Uongozi unahitaji subira. Dc ni kiongozi. Hajatumia utawala. Nampongeza.
@fungamaliramadhani479
5 жыл бұрын
MICHAEL GERSHON msigwa huyo hapi umuezi mtoto wamjini huyo mguse uone pimbaavu
@stellaernest8735
5 жыл бұрын
we ni fala hujui nn maana ya uwajibikaji Pumbavu
@amanabdallah9745
5 жыл бұрын
Subira ya nini, kwa hao ma DC na ma rc waonezi,kilichobaki ni kukungutana makonde
@elishajuma2615
Жыл бұрын
Wew na wew ndo wale wale
Umemtolea uvivu Safi sana kaka nimekubali unafki wamadalaka umempa Kali hao ndio wanafiki Ila kajielewa
Safi san mchungaji msingwa njoo kabisa nikukabidhi mke wangu
wahehe wabishiii😂😂😂
Kazi kweli kweli mtumishi wa mungu huyoooo mungu tusaidie
@kisangageorgethomasi2830
Жыл бұрын
Kwaio alegee kisa utumishi wa dini muungu anataka upambane ndio akusaidie
safi sana mbunge wangu wa iringa town kama ni swala la maafa si mpaka viongozi wate wauthulie maafa (ndio maana kukawekwa ngazi kwa ngazi)
Safi sana msigwa
Mh Msigwa hawa RC na DC wana kinga lkn lazima uwaambie wajue hilo. Kuekwa ndani na kufunguliwa. kesi za uchochezi ni kawaida kwa upinzani.
Napataga Tabu sana kuona Viongozi wetu,wanatupiana maneno Makali,Najiuliza sasa kama wao wanagombana sisi wanatuweka Upande Hupi!Tumtangulize Mungu mbele kwa kila Jambo Tutafanikiwa,Naviongozi wetu Mshirikiane na Mpendane,Mungu Atuongoze.
Yesu aliye mkuu Sana na mfano wakuigwa alikasirika nakupindua meza Za wabadili fedha walipo kiuka taratibu kwa dharau iweje msigwa asikasirike? msigwa Uko Pouwa Sana
@simonnyasebwa9026
6 жыл бұрын
WAKATI WETU LEO TV kweli chadema hamnazo unamfananisha Yesu na msigwa mmetoka wapi ninyi mbona mmeishiwa hivyo kwa akili hizi Tanzania hamtaiongoza MNA vurugu si kawaida mkiguswa tu mnalia oooo mnaoeleka polisi mmekuwa kuwa kama wanawake, poleni sana.
@nathankihiyo9293
5 жыл бұрын
Ujinga mwingine huu!! hivi unajua kwann Yesu alikasilika? na utambue Yesu alivyokasilika hakumdhihaki mtu, hakumkashifu mtu wala kumdharau mtu! Acha kumfananisha Yesu na vitu vya kipumbavu.
msigwa kunywa soda popote nitakuja lipa
@anozacha611
6 жыл бұрын
Chilomba Chilo safi
Huo ndo uwanaume sasa hakuna kuoneana hapa safi sana
msigwa amepaniki kinoma 😂😂😂😂. imebaki siku, majira na nyakati na wewe uwepo nje ya fensi. hao hao waliokuchagua ndio watakaokutoa.
Safi sana msigwa hao mbwa hatutaki mazoea nao bata wa ccm ndo dawa yao umenifurahsha sana
Hiyo safii sana uchungaji siyo ujiga
Nakupenda Baba Peter
Msigwa ni jembe kazi zake tunaziona, aendelee kuchapa kazi na kuisimamia serikali.
@anozacha611
6 жыл бұрын
Louis Nyon tena sanaaaaaaaaaa
@edsonndogoro3188
5 жыл бұрын
Louis Nyoni kazi gan alizofanya msigwa. Huo ni uchafu tu.
@nathankihiyo9293
5 жыл бұрын
😂😂😂😂Kazi za kuropoka hata mimi naziona
@edsonndogoro3188
5 жыл бұрын
Louis Nyoni ana kazi gan msigwa anazofanya au kulima mahindi ya kumwagilia?
chezea kitambi hicho bb wanatumwa hao kuvuruga tunaona arumer na ars
mchungaji nakupenda sana unajuaga kutoa makucha.
Ndo msemaji mkuu wa serikali. Genge la wahuni😊😊
Msigwaaaa chumaaa motoooo msigwaaa mashine sanaaa
Ahahahahahahahahahha msigwa bana mbn umemchelewesha kwan ccm wao wakina naniiii bg up rais msigwa wa ilinga
msingwa uyo mkuu ajielewi yeye kaletwa tu ndiyomana ajielewi
Hongela mkuu ungemsonkola akome
Wachungaji wasiku zamwisho 😂😂😂
Subiri akushuhurikie sasa 2020. Utapata tabu sana
Aibu Sana ukiwa nakiongozi mropokaji hivyo kama Msigwa duuuh uongozi nibusara na hekima well done DC
@moureenkirundwa8691
4 жыл бұрын
Unafurahia kuburuzwa e, aliyoyaongea msigwa kikawaida ni true ila ttz approach. Kwa iyo by conclusion Dc kazngua
saf sana msigwa hao ma DC hawajuagi sana nguvu ya ubunge kuwa inatokana na wananchi hivyo mbunge ananguvu kuliko hao
dadeekii!!! mgaya shidaa og
Mchaapeee huyo pastor 😆😆😆😆😆😆sina mbavuuuuuu penda pastor msomehe 1king 18:
he he eeeh msigwa jimbo limekushinda hilo Acha kupanick jimbo linarudi ccm hilo
@bernadinangasi7664
5 жыл бұрын
Kwa ubabe sawa
you are dealing with smart people I'm not stupid !
Huyu. I mcbungaji kwel au nimchunhaji madili? Mchungaji haiwi hivo.
@amanigochen4841
5 жыл бұрын
Imma Mlowe
@stellaernest8735
5 жыл бұрын
huja maliza hata dalasa la 7 unataka kumuelekeza mchungaji msigwa huo n umama
@msemwawalter837
5 жыл бұрын
Uchungaji vitani???
Safi sana tena aache mazoea
mmmmh Tanzania hii inakoelekea Kazi ipo
Daaaa mama yake msigwa angezaa tena kama huyu saf kbs hamna kuburuzana hap
Hongera rais magufuli yote Hayayalikuwa hayapo utaona mengi Haya ni mambo yawanawake yamehamia kwa wanaume
amakweri umedata Msigwa,,,, Dc pongezi kwako anajichinja mwenyewe
Msigwa mwenyewe hayupo, na kasesera hayupo!
eti mchungaji mchungaji gani mpumbavu huyo.chadema mazuzu yote kasoro mzee lowasa ana hekima na busara
Huyo msigwa si apigwe Kofi aache kuropoka alaaa,,,nyau tu,,,afu anajiita mchungaji,,,,,,et wewe ndiyo mchungaji
Mmh..... Haya bhana
Mbunge anajiamini dc hoi hana kitu
hili sasa hivi linakela sana kama halijawahi kuwa lichungaji huenda linavuta bangi linashindwa kumjibu hata kwa hoja mambo ya kijinga limekuwa na presha ya uchaguzi 2020 na 2020 hili hata likipigwa chini kwenye uchagizi siwezi kusikitika linaboa kinoma kwenye haliwajibiki ipasavyo lakini kwenye kutafuta kiki la no 1,
Huyo DC Anakurupuka sn mambo yake kwenye ukweli bora umpe ukweli tu
Najiskia kuwachana...wachane baba
Mchungaj anasema yamejaa yamemfika apa,,acha amtolee uvivu duhhh,,
Mtihani
DC hongera sana
Eti huyo ni kiongozi wa chama kisha eti ni mchungaji, anabwata kama muuza gongo! Tujifunze nini kwa kiongozi kama huyu?? Tena anamuomba DC amuweke ndani. Hujanishawishi kujiunga na CHADEMA SACCOS
ukitaka kuona ubovu Wa mtu utajua tu asa angalia aligombana na yule bado anataka agombane na huyu kijana mzuri mchapa kaz yaan mm ananikera san
Msigwa nguvu huna halafu unajionesha .
Waambie ukweli tuu.. wakikufunga sawa ila wanao ukweli
WEWE MCHUNGAJI HASIRA BILA KIKOMO KWA HIO ULITAKA UMPIGE USINGEZUILIWA NA WAPAMBE WAKO?
@josenjozi5288
4 жыл бұрын
Alipo Atunkolepo Mwakanyika ko
Safi sana wajinga kama hao inatakiwa at a makofi tu wanapenda ujinga kila mda kura za wapiga kura wanaiba bado wanashindwa yakuongea wanakusema MCHUNGAJ vitu vya kijinga wamezoea hao umefanya vizur sana bola kumfece MTU syo kuzunguka MTU mwenyewe bata tu kateuliwa Anataka kushindana nauliye chaguliwa KWA mapenzi ya wananchi waliowachoka mabepari hao wakununua madiwan na wabunge
Hivi huyu msigwa alisoma tu Bible knowledge akawa mchungaji au ndo watu kuitana prof Jay
@JeanPierre-sb3ys
6 жыл бұрын
timoun dezòd
@stellaernest8735
5 жыл бұрын
kamuulize baba ako, ndio atakupa jibu manake wakati anasoma bado hujazaliwa
Safii,sanaaaa
Huyo sio mchungaji kasesele ungemtia ndani awe na adabu
Mkwawa Piga Hiyo Kitu.
Kwann mnafanyahayooo jamn
we msigwa ww achahasila ww nikioo chajamii hasila zann? ukiwa kiongoz lazima utumie wazfa wako fuata sheria
Msigwa akili huna! Ww ni bwege mkubwa unaonyesha huna uchungaji wowote! Zungumza kihehe basi sasa unazungumza kingereza wazungu wenye lugha wapo wap? Yaan hili jamaa ni tumwa kabisa bado linadhani eti kinge ndy kusoma mweee, popopooo!
Mchungaji msigwa njoo tuhubiri wenye dhambi ili tulete maendeleo ya kiroho kwa watanzania.. Hayo ya kimwili waachie wenye wito na style ya siasa..... Siasa ngumu kwa muhubiri jamaniiii... Maji na mafuta. Stahafu ili kujenga heshima.. Umeshafanya kwa sehemu yako sasa njoo madhabahuni... Please please please baba ... Waachie wakina Mdee.
Umepanik mbunge
Daaah msigwa
muchungaji gani mshenzi.
Nani alimchagua mvuta bangi huyu,
Msigwa piga choko ilo la ccm
tatizo ni hawa wateule wa rais yaani asilimia 90%wanakesha kutafuta namna ya kumridhisha mwenzao aliewateua hawajui kabisa wajibu wao,ndio maana sasa wenye busara wanaona haipo tena haja ya kutumia busara ni kuwawakia tu live
upole ukuzidi utatiwadole yanipale kamanimm shamchapa.teke LA.korodani
@saleheinnocent7636
6 жыл бұрын
RAMADHANI KALUMBETE hahahaaaaa sasa sasa
Kwann mnafanyann mambo haya
Huyu DC haongozani na.askari. hatari atakuja kupigwa
Eti huyo ndy mchungaji, eti huyo ndy mbunge, aisee huku kwetu tunaita mbunge masusu.
Piga kubwa jinga
100%
Mtegue kiuno huyo DC uchwaraa
Unaleta sifa apa mchungaji gan wew
@emanuelgavile3503
6 жыл бұрын
Marry Paul sifa siunajua anapenda kki en anajiita smart
sukumaaaa ndaniiiii
onyo wazee wazima
kiki zingine za kimavitu ndio munaenda kutunga sheria za kimavitu
Nitafuatilia mpaka nione 'Mlokole huyu uchwara' anavyokwisha.
Mhhhhh, hiv ukiwa chadema lazma uwe kichaa kichaa hiv au!? Msigwa na ww una Kaz 2020 usipojirekebisha
huyo siyo mkuu wa wilaya huyo ni kada wa ccm 🤣🤣🤣😆
Unasema sana
Ongea kiswahili mchungaji
Mtu mdebwedo utamjua tu. Huwa ashiwi maneno na kujifanya yy mbabe zaid. Na huvyo ndivyo mnazid kupoteza thamani kwa wananchi wenu. Twent twent ikifika razima mbwagwe nyy
Eti mchungaji hekima iko wapi?
@consolatamaarufu6762
6 жыл бұрын
Renny Steve ulickia mchungaji ndio aonewe we vepe
@fungamaliramadhani479
5 жыл бұрын
Renny Steve mchungaji wanini muhuni tu huyo hapi pigakazi babu Chadema pigachini huyooo
@davidkawesa3594
5 жыл бұрын
Mungu karuhusu hasila ila usitende dhambi ndio maana unasikia hasila iliwaka kwa Daudi kumuangusha Goliath
@stellaernest8735
5 жыл бұрын
we ni fala hujui nn maana ya uwajibikaji pumbavu
@moureenkirundwa8691
4 жыл бұрын
Uchungaj mana yake co uonewe, na czan km kafanya dhambi hapo, kwa kuw hasira iliwaka ndan yke lkn haikuw na matunda mabaya
wanakela sana mcc
Duuuh hapa kazi hipo hahaha😂😂😂😆😆😆
@zubelmkemwa9680
5 жыл бұрын
d mungu gan hy anae muabud msingu mbingu gan tunayo enda Kwa sitar hy
Du hii ndio aina ya wabunge na wachungaji au ndio kuchagua mawe
shida pale unapo hc wewe ni bora kuliko wengine mfano msigwa kauli zake ni dhahiri kuwa yeye ni miongoni mwa watu wanao jiona ni sahihi kuliko wengine kwa kauli zake kwa mienendo yake na mengine
pigen hela tu hakuna lolote wot ni walewale
alaa pumbavu
Watanzania sisi watu wajabu sana comet zinazotolewa hapa sijajua chanzo chake nini ni naona kwenye video wanavutana mashati nyinyi mnayepongeza msigwa mmependezwa na nini chanzo cha mheshimiwa msigwa kuvutana mashati na mkuu wa wilaya hakijawekwa wazi hizo comet zenu zimelenga nini...?
nimekumbuka enzi zangu zile za kitambo, mstari unachorwa chini afu mwezio anakuambia vuka kama wewe ni mwanaume haaaahaahaaa