DHIKRI ONLINE TV Ni channel inayotoa mafundisho ya dini ya Kiislamu kupitia darsa mbalimbali yakiwemo mawahidha na update za kila siku kuhusu jamii. #DhikriNiUhai
Mazinge allah akupe maisha marefu yenye kheri njema
@KhalimaSaid-hx4tcАй бұрын
Sounds good ❤
@favoritebrayoАй бұрын
akili yako kumbe ndogo na unajiitanga profesar
@user-xr8dq3sp9eАй бұрын
Mmmm yaani yiyiwakirst kazi kutukana tu didiyenu div inav wafudish yaani akili zenu zinamafuta ya gulue tu diomana mmatukana
@user-sm9qi6pk6kАй бұрын
Inshalha shekh Mazinge
@jumaruhinda99872 ай бұрын
Wengine. tujjaribu kuskiliza vizuri kiswahili jamani ili tuelewe kinacho zungumzwa
@guyogalora-gl2lu2 ай бұрын
mashaallah..barak Allahu feek sheikh masinge
@kassimjuma61512 ай бұрын
Sheikh Mazinge fanya utaratibu mufanye debate na Mwamposa pamoja Jedeva anae jita nabii mkuu
@JosetadeuChikota-kd7ms2 ай бұрын
Dr, Sule na Ndacha, wanatoa elimu, ila wewe mazinge ni mzigo tu.
@JosetadeuChikota-kd7ms2 ай бұрын
Wewe mazinge tangaza dini yako, sema maneno kwa dini yako, 😊
@Clamvevo-dx3fkАй бұрын
Unaumia nini sasa
@chikuiddy9946Ай бұрын
Limekugusa
@JosetadeuChikota-kd7ms2 ай бұрын
Wewe mazinge tangaza dini yako, sema maneno kwa dini yako,
@AnchaAlide2 ай бұрын
Mungu akupe uzima mazinge
@saiddgsmg2 ай бұрын
bonge la swali tarehe 25 mungu yesu kazaliwa je.tarehe 24 watu walikuwepo je hao watu waliumbwa na nani?!😅😅😅😅😅😅
@clecam12 ай бұрын
Nipo buzy nawafuatilia Arab ex- muslims wana madini balaa! Mazinge na waganga wenzie tutakurudia baadae.
@user-ys2gn1nd4q2 ай бұрын
kwanza ww umalizi mistar yabiblia waishia katkat falaww ndacha kakushind utaongea nn
@user-ys2gn1nd4q2 ай бұрын
kwend yesu ndonabb wamwisho alisema yeye ndio alfa naomega nawtatokea manabii wauongo wevp
@shabanimtulya47182 ай бұрын
Kasome vizur. Yusu anawaambia Wana wa Israel. Tuambie wewe baada ya yesu nabii gani alikuja kwa Wana wa Israel.
@FrankAloyce-ic6rq2 ай бұрын
Hamna kitu ww ndacha kakugaalagaza
@user-ip4me1zl5k2 ай бұрын
Ndacha ni muongo afu ss hazungumzi kitu kipo anapamba pamba na kuufny uongo kua ukwel kwa masiray ya wat furni na shida yenu msahzaliwa ivo na mtaki kusoma mnasbri msomewe
@marobaraka2 ай бұрын
kzread.infobS-yqqTG6Zw?si=b9qVCTM0FR-FPnE_
@marobaraka2 ай бұрын
kzread.info1O27jg5qDog?si=h4pXbjtWdKbDoTWU
@marobaraka2 ай бұрын
Kunakauli tata katika Quran. Sikuwaumba wanadamu na majini. Hakuna Mungu ila Allah.
@jabirkasunzu68412 ай бұрын
Sio tata, uliza ufahamishwe, upewe elimu, ujinga ukutoke. Hiyo kauli inasisitiza tuu, Wanadamu na majini wote ni viumbe wa Mungu, tunatakiwa tumuabudu mwenyezimungu. Hata wanyama ni viumbe wa Mungu ila Mungu hakuwapa akili na utashi ndio maana Mungu hajawataja. Pia, Mungu ana majina mengi 99 likiwemo la Allah, na ndilo tukufu zaidi. Kwahiyo, ukijibunia Mungu au Miungu wako mingi wako ambao si mwenye jina la Allah, utapotea. Kwa mfano sisi wote ni binadamu lakini wewe una jina lako la Baraka. Wajuu wabaya sana watakuambia huwezi kuelewa bila ya roho makatifu ili uendelee kutoa sadaka, waendeshe maisha yao...sisi wachini ndio tuambiane ukweli, tushitukue ndugu yangu.
@marobaraka2 ай бұрын
@@jabirkasunzu6841 sikuwaumba wanadamu na majini wapate kuniabudu. Sikuwaumba lakn ni kwel mungu wa Quran sio muumbaji. Lakini pia shahada inaanza kwa kusema hakuna Mungu. Hahahahahaha
@fatimajumaa28672 ай бұрын
@@marobaraka Hakuna Mungu isipo kuwa Allah kwa sababu miungu ni mingi Ndio mana akasema hakuna Yani hao miungu mingine ni ya uongo umeelewa
@fatimajumaa28672 ай бұрын
sikuwaumba binaadam na majini ila kuniabudu hivi hujaelewa nini hapo lengo la kuumba watu na majini ni kumuabudu MUNGU sijui umeelewa
@marobaraka2 ай бұрын
@@fatimajumaa2867 sikuwaumba wanadamu imekaaje
@marobaraka2 ай бұрын
Mungu wa waislam anajua utapata kibano kutoka kwa Mungu wa kweli wa Biblia. Ndio anasema sikuwaumba wanadamu. 😂😂😂
@fatimajumaa28672 ай бұрын
sikuwaumba ila kuniabudu mbona unaishia nusu si umalizie kijana na miungu yenu mitatu aloiteua mfalme costantino biblia kaamua yeye iweje nasio Mungu kaweka upagani kibao ndani ya biblia nandio mana wachungaji hawakiogopi wala kukiheshim kitabu hicho mana wanaujua ukweli ni kitabu kina mambo mengi ya upagani
@marobaraka2 ай бұрын
@@fatimajumaa2867 wewe hahahha hyo ni biblia? Ushawahi kuisoma??
@marobaraka2 ай бұрын
@@fatimajumaa2867 unahadithiwa aujawah kusoma na unakipondea kinoma hahahah Soma kwanza ndio useme utakavyo
@GilbertNhigula3 ай бұрын
Sheikh Mazinge , Swali je Waislam Mnaamini ya Kuwa Yesu Alipaa kwenda mbinguni , ? je kuruani inasemaje Kuusu Kifo cha Mtume Issa bin marium je Ameongelewa kifo chake ? na Baada ya Kufufuka je Ameongelewa kupaa kwake kwenda mbinguni ? Harafu Naomba kujua kwenye Biblia Sijaona Andiko Linalo Zungumzia Mhola wetu Mtume mohamad ? Lakini kwenye kuruani Mtume Musa yumo Yohana yumo na Manabii wengine ! Harafu maomba kujua Kitabu cha Biblia na Kuruani ni kipi kilicho tangulia inayo ,?. Naomba majibu nielewe ,.
@Laizer33 ай бұрын
Sisi wakristo watu tunakwenda kanisani kwaajili ya kuringisha nguo na kama muumini hana nguo hataenda kanisani maana ataonekana wa ajabu lakini waislamu kanzu tu inatosha
Mimi ni mkristo lakini ninachokipenda kwa waislamu ni nidhamu kwenye dini,sisi wakristo wanawake wanavaa uchi kanisani , kuna makanisa ya mashoga ,mnatetea israeli akati wanauwa watu
@Makevo082 ай бұрын
Wewe sio mkristo.....mahogany wengi wako miji ya pwani na wakzi wao ni wengi waislamu so....fatilia vzr vita hivyo vya israel...jiulizee kwanini saudi arabia ni mwarabu lakn sasa anassuport Israel....soma fatilia kbla ujaasi Mungu wet Yesu kristo.
@yusufuheri65242 ай бұрын
@@Makevo08We jidanganye utafikiri kwa mungu ni picnic
@mapromovichege69972 ай бұрын
Musigombane hao mayahudi huyo yesu wenu wanasema ni mtoto wa zinna kwanza pili ni marufuku izrael kumtaja yessu
@heriabudu32072 ай бұрын
Wacha kumpoteza Kwa kusingizia Islam@@Makevo08
@barakamwita32633 ай бұрын
1-Yesu kua Mungu utaiona kwenye Yohana 1:1-14” Hapo mwanzo, kabla ya kuwapo kitu kingine cho chote, aliku wapo Neno. Huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye alikuwa Mungu’’ nae neno/Yesu “14 Neno akawa mwanadamu akaishi kati yetu akiwa amejaa utu kufu na kweli. Tuliona utukufu wake, utukufu wa Mwana pekee wa Baba” 2-Yesu kusema au Kumuomba Mungu wakati yeye ni Mungu, baada ya Yesu/Neno kufanyika mwili ni kwasababu akawa na sehemu ya Mwili na Mungu kwahyo kwenye hali ya mwili lazima awe na Mungu Jeremia 32:27 “27 Tazama, mimi ni Bwana, Mungu wa wote wenye mwili; je! Kuna neno gumu lo lote nisiloliweza?. 3:Na bibilia inaeleza Mungu ni mmoja katika nafsi tatu na hii inaweza uona kwenye matayo 28:19” Kwa hiyo nendeni mkawafanye watu wa mataifa yote kuwa wanafunzi wangu: mkiwabatiza kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Kama Mungu angekua nafsi moja asinge usishwa na mwana wala roho mtakatifu ,ambayo kwenu ingekua shiriki ila Yeau na roho mtakatifu wote ni Mungu. Addition Note:Yesu kua Mungu Soma Waruma 9:5 Yohana 20:28 , timotheo 3:19,Ufunuo 1:17-22 Yesu kua mwanzo na mwisho ambayo ni sifa za Mungu
@fatimajumaa28672 ай бұрын
kwahiyo izo anazo soma hapo katoa wapi Kwanini kitabu kimoja kinapingana nichamungu icho au watu walijiabndikia watakavyo
@user-rc7oi2hp8l3 ай бұрын
Alhamdulillah
@isaaabdala70163 ай бұрын
Nyinyi ndio kuni za.moto wa jahanam wakristo polenisana
@user-ht2dl4ft6n3 ай бұрын
Kwanza Sisi atumujuwi mtume wenu kwasababu ajatabiriwa na yesu n'a ajatajwa atakwenye bibilia mahali popote ajatajwa njo mana Sisi atumuamini na dini yenye alileta atuwezi tukaiyamini ju kwanza ata kwenye qu'aran Mungu wenu ajamutaja kama amemutuma Mungu ajasema
@chullymastertv57782 ай бұрын
Umeisoma kweli Qur'ani ndug yang soma kwanza alafu ndio utoe comment
@user-tm7qy2fl1t2 ай бұрын
bibilia yenyewe haijui ataweza kujua kur-an
@user-tm7qy2fl1t2 ай бұрын
Soma bibilia yohana 16 mtari 7 halafu kasome. Na KUR-AN sura ya 61 suratu swaffi aya 6
@chikuiddy9946Ай бұрын
Biblia yenyew husomi mpaka ukahubiriwe kanisani
@user-ht2dl4ft6n3 ай бұрын
Haaaaaa Yani mashwali yenu mepesi sana sana Nikama kusukuma mlevi, Sasa yesu kuitwa ilo jina kwanza ujuwe jina ya Mungu nisifa ya Mungu wetu sisi Mungu wetu anajina anaitwa Johova tena anaitwa yahawe Sasa mazinge Niku ulize wapi kwenye yesu Ali itwa yohova AO yahawe akuna ila kuitwa Mungu ilo nisifa ya Mungu wetu mwenye anaitwa Johova, yesu katika mathayo ameitwa Mungu na uyo MTU akumukataza Sasa mze Kwanini yesu anaitwa ilo jina kwanza wakati unaposoma Katika mathayo 3:15 kuendeleya inasema nawakati yesu alibadizwa mbingu zikafunguka natazama ikatokeya sauti ya Mungu baba inasema uyu nimwanangu mupendwa wangu ninaye pendezwa naye musikilizeni yeye nakisema kama yesu alituma kwa waisraeli ilo siyo kweli yesu alituma kwaulimwengu nzima kwani wewe auko kwenye ulimwengu huu nani mambo yakuongeya nimengi sana ila ayo nimadogo tu
@antarsangali44563 ай бұрын
Wewe mtangazaji una papara sana.Humpi muda unayefanyanaye kipindi ili ajipambanue.Umetukosesha mengi sana kwa kiherehere chako
@EgideNkeshimana-xl2of3 ай бұрын
🙏🙏🙏
@joycerichard92743 ай бұрын
Mbona kipindi Cha magufuli hupayukipayuki
@nestarnestar45203 ай бұрын
We mazinge hunaga akili, koroani yako 3:55 MUNGU anaesma atamuua YESU KRISTO na atamfufua lkn ww unapinga, amakweli ugari huu ni mtamu sana komaa lizee la ovyo
@jumawangai38734 ай бұрын
Nampenda sana Sheikh kipozeo kwa mafunzo mazuri, mola ampe umri
@leosleosjr53694 ай бұрын
Mtu mwenye dua zako
@leosleosjr53694 ай бұрын
Mashallah
@leosleosjr53694 ай бұрын
Mashallah
@leosleosjr53694 ай бұрын
Mashallah
@leosleosjr53694 ай бұрын
Mashallah
@mussaabdallah79614 ай бұрын
Kazi ya mungu
@mussaabdallah79614 ай бұрын
Mashallah sheikh moka maduwa
@mariamhija21774 ай бұрын
Baba wa maduwa jamanii namba yako please
@mariamhija21774 ай бұрын
Vizur sana dhikri ihendeleeee
@mariamhija21774 ай бұрын
Jamanii mashallah bola mambo ya dhikri ya endelee
@mariamhija21774 ай бұрын
Mashallah Kaka
@daudkihava85284 ай бұрын
Allah kareem
@alajamy16004 ай бұрын
Twaba 'an.
@MarkaziIBNSiriinOnlineTV4 ай бұрын
Shukran SHEKH, Allah Atufanyie wepes Tuwese Kuifikia Mwez Wa Ramadhan
@user-hh3xh7gj4b4 ай бұрын
Masha Allah , Commenteter Abulbashar asanti sana
@user-hh3xh7gj4b4 ай бұрын
Allha Amjalia sheikh letu na mwisho wema nasi sote umati muhammad yarabi .
Пікірлер
Mazinge allah akupe maisha marefu yenye kheri njema
Sounds good ❤
akili yako kumbe ndogo na unajiitanga profesar
Mmmm yaani yiyiwakirst kazi kutukana tu didiyenu div inav wafudish yaani akili zenu zinamafuta ya gulue tu diomana mmatukana
Inshalha shekh Mazinge
Wengine. tujjaribu kuskiliza vizuri kiswahili jamani ili tuelewe kinacho zungumzwa
mashaallah..barak Allahu feek sheikh masinge
Sheikh Mazinge fanya utaratibu mufanye debate na Mwamposa pamoja Jedeva anae jita nabii mkuu
Dr, Sule na Ndacha, wanatoa elimu, ila wewe mazinge ni mzigo tu.
Wewe mazinge tangaza dini yako, sema maneno kwa dini yako, 😊
Unaumia nini sasa
Limekugusa
Wewe mazinge tangaza dini yako, sema maneno kwa dini yako,
Mungu akupe uzima mazinge
bonge la swali tarehe 25 mungu yesu kazaliwa je.tarehe 24 watu walikuwepo je hao watu waliumbwa na nani?!😅😅😅😅😅😅
Nipo buzy nawafuatilia Arab ex- muslims wana madini balaa! Mazinge na waganga wenzie tutakurudia baadae.
kwanza ww umalizi mistar yabiblia waishia katkat falaww ndacha kakushind utaongea nn
kwend yesu ndonabb wamwisho alisema yeye ndio alfa naomega nawtatokea manabii wauongo wevp
Kasome vizur. Yusu anawaambia Wana wa Israel. Tuambie wewe baada ya yesu nabii gani alikuja kwa Wana wa Israel.
Hamna kitu ww ndacha kakugaalagaza
Ndacha ni muongo afu ss hazungumzi kitu kipo anapamba pamba na kuufny uongo kua ukwel kwa masiray ya wat furni na shida yenu msahzaliwa ivo na mtaki kusoma mnasbri msomewe
kzread.infobS-yqqTG6Zw?si=b9qVCTM0FR-FPnE_
kzread.info1O27jg5qDog?si=h4pXbjtWdKbDoTWU
Kunakauli tata katika Quran. Sikuwaumba wanadamu na majini. Hakuna Mungu ila Allah.
Sio tata, uliza ufahamishwe, upewe elimu, ujinga ukutoke. Hiyo kauli inasisitiza tuu, Wanadamu na majini wote ni viumbe wa Mungu, tunatakiwa tumuabudu mwenyezimungu. Hata wanyama ni viumbe wa Mungu ila Mungu hakuwapa akili na utashi ndio maana Mungu hajawataja. Pia, Mungu ana majina mengi 99 likiwemo la Allah, na ndilo tukufu zaidi. Kwahiyo, ukijibunia Mungu au Miungu wako mingi wako ambao si mwenye jina la Allah, utapotea. Kwa mfano sisi wote ni binadamu lakini wewe una jina lako la Baraka. Wajuu wabaya sana watakuambia huwezi kuelewa bila ya roho makatifu ili uendelee kutoa sadaka, waendeshe maisha yao...sisi wachini ndio tuambiane ukweli, tushitukue ndugu yangu.
@@jabirkasunzu6841 sikuwaumba wanadamu na majini wapate kuniabudu. Sikuwaumba lakn ni kwel mungu wa Quran sio muumbaji. Lakini pia shahada inaanza kwa kusema hakuna Mungu. Hahahahahaha
@@marobaraka Hakuna Mungu isipo kuwa Allah kwa sababu miungu ni mingi Ndio mana akasema hakuna Yani hao miungu mingine ni ya uongo umeelewa
sikuwaumba binaadam na majini ila kuniabudu hivi hujaelewa nini hapo lengo la kuumba watu na majini ni kumuabudu MUNGU sijui umeelewa
@@fatimajumaa2867 sikuwaumba wanadamu imekaaje
Mungu wa waislam anajua utapata kibano kutoka kwa Mungu wa kweli wa Biblia. Ndio anasema sikuwaumba wanadamu. 😂😂😂
sikuwaumba ila kuniabudu mbona unaishia nusu si umalizie kijana na miungu yenu mitatu aloiteua mfalme costantino biblia kaamua yeye iweje nasio Mungu kaweka upagani kibao ndani ya biblia nandio mana wachungaji hawakiogopi wala kukiheshim kitabu hicho mana wanaujua ukweli ni kitabu kina mambo mengi ya upagani
@@fatimajumaa2867 wewe hahahha hyo ni biblia? Ushawahi kuisoma??
@@fatimajumaa2867 unahadithiwa aujawah kusoma na unakipondea kinoma hahahah Soma kwanza ndio useme utakavyo
Sheikh Mazinge , Swali je Waislam Mnaamini ya Kuwa Yesu Alipaa kwenda mbinguni , ? je kuruani inasemaje Kuusu Kifo cha Mtume Issa bin marium je Ameongelewa kifo chake ? na Baada ya Kufufuka je Ameongelewa kupaa kwake kwenda mbinguni ? Harafu Naomba kujua kwenye Biblia Sijaona Andiko Linalo Zungumzia Mhola wetu Mtume mohamad ? Lakini kwenye kuruani Mtume Musa yumo Yohana yumo na Manabii wengine ! Harafu maomba kujua Kitabu cha Biblia na Kuruani ni kipi kilicho tangulia inayo ,?. Naomba majibu nielewe ,.
Sisi wakristo watu tunakwenda kanisani kwaajili ya kuringisha nguo na kama muumini hana nguo hataenda kanisani maana ataonekana wa ajabu lakini waislamu kanzu tu inatosha
labda niwewe namamaako ndomwaend ringisha nguo wevp
Mamaako ndo anarngisha hadi bikini church
Mimi ni mkristo lakini ninachokipenda kwa waislamu ni nidhamu kwenye dini,sisi wakristo wanawake wanavaa uchi kanisani , kuna makanisa ya mashoga ,mnatetea israeli akati wanauwa watu
Wewe sio mkristo.....mahogany wengi wako miji ya pwani na wakzi wao ni wengi waislamu so....fatilia vzr vita hivyo vya israel...jiulizee kwanini saudi arabia ni mwarabu lakn sasa anassuport Israel....soma fatilia kbla ujaasi Mungu wet Yesu kristo.
@@Makevo08We jidanganye utafikiri kwa mungu ni picnic
Musigombane hao mayahudi huyo yesu wenu wanasema ni mtoto wa zinna kwanza pili ni marufuku izrael kumtaja yessu
Wacha kumpoteza Kwa kusingizia Islam@@Makevo08
1-Yesu kua Mungu utaiona kwenye Yohana 1:1-14” Hapo mwanzo, kabla ya kuwapo kitu kingine cho chote, aliku wapo Neno. Huyo Neno alikuwa pamoja na Mungu, naye alikuwa Mungu’’ nae neno/Yesu “14 Neno akawa mwanadamu akaishi kati yetu akiwa amejaa utu kufu na kweli. Tuliona utukufu wake, utukufu wa Mwana pekee wa Baba” 2-Yesu kusema au Kumuomba Mungu wakati yeye ni Mungu, baada ya Yesu/Neno kufanyika mwili ni kwasababu akawa na sehemu ya Mwili na Mungu kwahyo kwenye hali ya mwili lazima awe na Mungu Jeremia 32:27 “27 Tazama, mimi ni Bwana, Mungu wa wote wenye mwili; je! Kuna neno gumu lo lote nisiloliweza?. 3:Na bibilia inaeleza Mungu ni mmoja katika nafsi tatu na hii inaweza uona kwenye matayo 28:19” Kwa hiyo nendeni mkawafanye watu wa mataifa yote kuwa wanafunzi wangu: mkiwabatiza kwa jina la Baba na la Mwana na la Roho Mtakatifu. Kama Mungu angekua nafsi moja asinge usishwa na mwana wala roho mtakatifu ,ambayo kwenu ingekua shiriki ila Yeau na roho mtakatifu wote ni Mungu. Addition Note:Yesu kua Mungu Soma Waruma 9:5 Yohana 20:28 , timotheo 3:19,Ufunuo 1:17-22 Yesu kua mwanzo na mwisho ambayo ni sifa za Mungu
kwahiyo izo anazo soma hapo katoa wapi Kwanini kitabu kimoja kinapingana nichamungu icho au watu walijiabndikia watakavyo
Alhamdulillah
Nyinyi ndio kuni za.moto wa jahanam wakristo polenisana
Kwanza Sisi atumujuwi mtume wenu kwasababu ajatabiriwa na yesu n'a ajatajwa atakwenye bibilia mahali popote ajatajwa njo mana Sisi atumuamini na dini yenye alileta atuwezi tukaiyamini ju kwanza ata kwenye qu'aran Mungu wenu ajamutaja kama amemutuma Mungu ajasema
Umeisoma kweli Qur'ani ndug yang soma kwanza alafu ndio utoe comment
bibilia yenyewe haijui ataweza kujua kur-an
Soma bibilia yohana 16 mtari 7 halafu kasome. Na KUR-AN sura ya 61 suratu swaffi aya 6
Biblia yenyew husomi mpaka ukahubiriwe kanisani
Haaaaaa Yani mashwali yenu mepesi sana sana Nikama kusukuma mlevi, Sasa yesu kuitwa ilo jina kwanza ujuwe jina ya Mungu nisifa ya Mungu wetu sisi Mungu wetu anajina anaitwa Johova tena anaitwa yahawe Sasa mazinge Niku ulize wapi kwenye yesu Ali itwa yohova AO yahawe akuna ila kuitwa Mungu ilo nisifa ya Mungu wetu mwenye anaitwa Johova, yesu katika mathayo ameitwa Mungu na uyo MTU akumukataza Sasa mze Kwanini yesu anaitwa ilo jina kwanza wakati unaposoma Katika mathayo 3:15 kuendeleya inasema nawakati yesu alibadizwa mbingu zikafunguka natazama ikatokeya sauti ya Mungu baba inasema uyu nimwanangu mupendwa wangu ninaye pendezwa naye musikilizeni yeye nakisema kama yesu alituma kwa waisraeli ilo siyo kweli yesu alituma kwaulimwengu nzima kwani wewe auko kwenye ulimwengu huu nani mambo yakuongeya nimengi sana ila ayo nimadogo tu
Wewe mtangazaji una papara sana.Humpi muda unayefanyanaye kipindi ili ajipambanue.Umetukosesha mengi sana kwa kiherehere chako
🙏🙏🙏
Mbona kipindi Cha magufuli hupayukipayuki
We mazinge hunaga akili, koroani yako 3:55 MUNGU anaesma atamuua YESU KRISTO na atamfufua lkn ww unapinga, amakweli ugari huu ni mtamu sana komaa lizee la ovyo
Nampenda sana Sheikh kipozeo kwa mafunzo mazuri, mola ampe umri
Mtu mwenye dua zako
Mashallah
Mashallah
Mashallah
Mashallah
Kazi ya mungu
Mashallah sheikh moka maduwa
Baba wa maduwa jamanii namba yako please
Vizur sana dhikri ihendeleeee
Jamanii mashallah bola mambo ya dhikri ya endelee
Mashallah Kaka
Allah kareem
Twaba 'an.
Shukran SHEKH, Allah Atufanyie wepes Tuwese Kuifikia Mwez Wa Ramadhan
Masha Allah , Commenteter Abulbashar asanti sana
Allha Amjalia sheikh letu na mwisho wema nasi sote umati muhammad yarabi .