HIVI UNAJUA KWANINI KANISANI WAKIOMBEWA WANAANGUKA? | JICHO LA UISLAMU - SEHEMU YA 02
Mchungaji aeleza kwanini watu kanisani wakiombewa wanaanguka na pia ametoa sababu zilizompelekea kusilimu na ameomba radhi na kutoa wito kwa watu wote kujifunza na kusoma vitabu vya dini ili kujua ukweli uliopo ndani yake.
#DhikriNiUhai #dhikr #islam #islamdini
Пікірлер: 18
Maashallah tabarakallah Allah kakuleta kwenye dini ya haki Allhamdulillah Ya Allah
asalam alykum www karibu kwenye dini ya haki nakutoka kwenye giza na upagani
M'Mungu akusamehe Kwa yote uliyomtendea.Hakika unaposina vitabu vyote vya dini utauona ukweli wa dini ya Haji.
Babu Adide
MUNGU akusemehe hujui utendalo ,hakika ww Ni kipofu ,pia kumbuka ulikuwa mwinjilist hukuwa mchungaji ,sema kweli ili ukweli ukuweke huru
@ndikumanainnnocent7796
Жыл бұрын
Jealous
Nilitoa changamoto. waislam njoo kanisani muhubiri na kuswali hizo swala zenu zote muiname muinuke kama unaimba shamukwale wiki nzima. Kishs niruhusuni nije msikitinu nihubiri nusu saa na maombi dk 15 tuu tuone Mungu yupo ananguvu. msikitini hawawezi kuanguka kwa kuwa shetani ni ndugu yao. lakini kanisani hawezi kukaa na ndio maana huwaangusha wati kisha kutoka na kukimbia.
@salminmabrouk5433
Жыл бұрын
Sisi Waislam tunamuabudu M.mungu Hatumuabudu sheytwan . sheytwwni tunamlaan kabla ya sala ndio maana hawezi kuingia msikitini ni nyumba ya mungu ni sinabogi la Allah kwa hio hukaa mbali na sheytwwn maana tu sheytwan amelaaniwa na Allah
@salminmabrouk5433
Жыл бұрын
Haiwezekani muislam kwenda kanisani kwa sababu hatuamini mtu tunamuamini .mungu alie hai .ni mmoja hakuzaa wala hakuzaliwa je mahubiri yepi utanipa ili nipandishe shetani nikienda tu kanisani mm kanisani kusali basi mm nitakuwa sio muislam tena kwa sababu tofauti ya muislam na mkristo ni sala kwa hio yako pumba kitu hicho hakiwezekani ni sawa na kwenda kumshirikisha m.mungu yaani kwenda kanisani muislam sawa na kwenda kwa mganga kupiga Ramli na Ramli haramu ni shirki iliokuwa kubwa kwa hio haiwezekani kwenda kumshirikisha Allah
@jolinkimaro9939
Жыл бұрын
@@salminmabrouk5433 ndio mungu wenu nje ya msikiti hawezi kitu ndo mana mmeogopa hiyo changamoto
@tareqhilal6750
Жыл бұрын
Najua unajua wapi ipo haki, usipoteze muda wako
@prochesernest5439
Жыл бұрын
@@salminmabrouk5433 waislamu mnamulaani ndugu yenu jini maana shetwani ni jini Kwa mujibu wa Quruan 18:50 nakuna hadithi zinadai Muhammad kumsilimisha shetani kwaiyo shetani anawacheka waislamu mnavyo danganya kumulaani na majini tuwafukuza sifanye hivyo majini ni waislamu wezenu
Wewe Quruan inamuita mnafiki ulikuwaunajua ulichokuwa unafanya na muongo sana wewe ukristo uhujui hata kidogo hona hapo alihida heti ni ya tatu muongo akumbuki alichosema ndomaana njia ya muongo ni fupi
Nduuu kweli wewe muongo waislamu huyo Jamaa aeleweki heti Quruan ni Moja na waislamu ni wamoja je mabohola ni waislamu mtaawali pamoja?
Wewe simba ulikuwa naroho yaumalaya sana umekaa nawanawake.wengi sana acha wakezawatu ulio tembeya nao.mpaka wakakubomoleya kanisa pale goba MUNGU TANIWI wewe sio chunjaji waache uwongo wewe nimwi injilisti wala uja wahi kuokoka wewe
@hanifatanzania7258
Жыл бұрын
Kwani ww umeokoka na unajua maanayakiokoka. Hatujui isikuume na www njoo kwenye dini ya haki