UNAJUA KWANINI VIJANA WENGI HAWAENDI KWENYE NYUMBA ZA IBADA? HAYA HAPA MAJIBU MCH HANANJA
Marriage Real Life Talk
"Nafasi na Thamani ya Mwanaume katika Jamii na Familia."
Program hii hufanyika kila Jumanne saa 1:00 Jioni
Mahali: Ukumbi wa Mbezi Park, Tank Bovu
Пікірлер: 18
Amina MTUMISHI baba mchungaji hananja.. uko sahihi kabisa
Aisee.. Huyu mzee kanifungua mahali... Noted✍️✍️✍️✍️
upo sahihi
Paster. Unaongea real sana mm nimlutheri piwa ninamiezi6 cjaenda kanisani hiyo kuenenda kwaamanj ya bwana ndio inanifanyaga nachoka kabisa natoka kanisani nimegonjeka
Mungu azidi kutusimamia
Kweli kabisa mchungaji
Hizo ni sababu chache tu, zipo nyingi zaidi kama hizi 1.Vijana kupenda starehe kuliko kwenda kwenye Ibada, utakuta kumbi za starehe, sehemu za kutazama mipira, vijiweni, saluni na kwenye movie vijanana wamejaa lakini kwenye Ibada hawaendi. 2. Kuwepo kwa utitiri wa makanisa hasa haya ya mitume na manabii munawafanya vijana waone imani kama mchezo usio na maana.
Huyo Mchungaji ni funny hasa
Unasema ukweli
Ur so really ddy
Mch ni huyo!
kanisani kumegeuka Jim!!;
Mmmm
Sina shaka na maneno yako mchungaji
😂😂😂😂 askofu katisha, Sasa hayo majibu tuko wahenge tushafanya utafiti na majibu yapo sema ni kipengele vijana wanaotaka majibu waambie waende kulitazama jua uso kwa uso waache kula nyama zote wanaweza kula dagaa wa mwanza au kigoma(au samaki wa ziwani)ila wawe makini na jua wasije kupofuka tukalaumiana, waangalie lila la asubuhi na jioni wakiwa pekupeku tena sehemu yenye hewa huku wakinywa maji ya moto, nawaache kusikiliza miziki yenye mambo ya kichovu chovu kama ngono na pumba pumba za dunia, wasikilize mantra kwa wingi 432hz hasa hasa
Mchungaji unanifuraisha Mafundisho yako nayaelewa.
Lakini kwa Karne hii mambo ya Imani hayawasaidii vijana kupata maarifa ya kisayansi ya kuwa na ujuzi wa kutengeneza bidhaa ili wauze waboreshe Maisha Yao