IJUE HISTORIA YA SHEIKH KIPOZEO NA KWANINI KAITWA KIPOZEO...?
Utapata kujua maisha yake ya utafutaji elimu pamoja na changamoto alizo pitia pia amemmwgia sifa mufti mkuu wa Tanzania nakutoa nasaha kwa ummah namna gani watu wanaweza watoto bora nakua na malezi bora.
#DhikriOnlineTv #AmahakikaDhikriNiUhai
Пікірлер: 17
Nampenda sana Sheikh kipozeo kwa mafunzo mazuri, mola ampe umri
Allha Amjalia sheikh letu na mwisho wema nasi sote umati muhammad yarabi .
Masha Allah , Commenteter Abulbashar asanti sana
Masha Allah
Maashaallah hongera sana uongozi wa dhikri online tv kwa kukuamin babu adide ongeza juhudi na maarifa soma sana vitabu soma sana utafika mbali
Sheikh BABU ADIDE Allah akusimamie utafika mbali zaid Inshaallah binafsi nimepeta juhudi za na haya mahojiano na sheik Kipozeo
@allyallykhamisi
Жыл бұрын
Jhhhuhhhswaq a little
mashallah
Mtangazaji ukiuuliza, unatakiwa kumuacha mzungumzaji aongee, uache kumuingilia na maneno, maneno!!
Mashallah
@athumanhaji3015
Жыл бұрын
Hongera Shekh kipozeo kwakutujuza history's yako
Wewe mtangazaji una papara sana.Humpi muda unayefanyanaye kipindi ili ajipambanue.Umetukosesha mengi sana kwa kiherehere chako
AuNiwachache
Yaani Sh kipozeo ujanja wote huo kumbe una wake wawili tu. 🤔
@muhamadikulanga3980
Жыл бұрын
😂😂😂😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂
@maulidipazi6770
8 ай бұрын
😂😂