IJUE HISTORIA YA SHEIKH KIPOZEO NA KWANINI KAITWA KIPOZEO...?

Utapata kujua maisha yake ya utafutaji elimu pamoja na changamoto alizo pitia pia amemmwgia sifa mufti mkuu wa Tanzania nakutoa nasaha kwa ummah namna gani watu wanaweza watoto bora nakua na malezi bora.
#DhikriOnlineTv #AmahakikaDhikriNiUhai

Пікірлер: 17

  • @jumawangai3873
    @jumawangai38734 ай бұрын

    Nampenda sana Sheikh kipozeo kwa mafunzo mazuri, mola ampe umri

  • @user-hh3xh7gj4b
    @user-hh3xh7gj4b4 ай бұрын

    Allha Amjalia sheikh letu na mwisho wema nasi sote umati muhammad yarabi .

  • @user-hh3xh7gj4b
    @user-hh3xh7gj4b4 ай бұрын

    Masha Allah , Commenteter Abulbashar asanti sana

  • @user-hh3xh7gj4b
    @user-hh3xh7gj4b4 ай бұрын

    Masha Allah

  • @hassanwcb8190
    @hassanwcb8190 Жыл бұрын

    Maashaallah hongera sana uongozi wa dhikri online tv kwa kukuamin babu adide ongeza juhudi na maarifa soma sana vitabu soma sana utafika mbali

  • @kassimshabanially655
    @kassimshabanially655 Жыл бұрын

    Sheikh BABU ADIDE Allah akusimamie utafika mbali zaid Inshaallah binafsi nimepeta juhudi za na haya mahojiano na sheik Kipozeo

  • @allyallykhamisi

    @allyallykhamisi

    Жыл бұрын

    Jhhhuhhhswaq a little

  • @Rashidishabani-wf9nm
    @Rashidishabani-wf9nm7 ай бұрын

    mashallah

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Жыл бұрын

    Mtangazaji ukiuuliza, unatakiwa kumuacha mzungumzaji aongee, uache kumuingilia na maneno, maneno!!

  • @mussamtupa
    @mussamtupa Жыл бұрын

    Mashallah

  • @athumanhaji3015

    @athumanhaji3015

    Жыл бұрын

    Hongera Shekh kipozeo kwakutujuza history's yako

  • @antarsangali4456
    @antarsangali44563 ай бұрын

    Wewe mtangazaji una papara sana.Humpi muda unayefanyanaye kipindi ili ajipambanue.Umetukosesha mengi sana kwa kiherehere chako

  • @AminaRashidMohamed-cu8rw
    @AminaRashidMohamed-cu8rw10 ай бұрын

    AuNiwachache

  • @yusufmohamed8874
    @yusufmohamed8874 Жыл бұрын

    Yaani Sh kipozeo ujanja wote huo kumbe una wake wawili tu. 🤔

  • @muhamadikulanga3980

    @muhamadikulanga3980

    Жыл бұрын

    😂😂😂😅😅😅🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂

  • @maulidipazi6770

    @maulidipazi6770

    8 ай бұрын

    😂😂