Sheikh shafii afafanua maswali mengi ya utata ikiwemo maana ya kafiri na kuunasihi umma wa kiislamu kunako kushikamana na viongozi. #dhikr #DhikriNiUhai #islam #islamdini
Жүктеу.....
Пікірлер: 7
@directormuddy8976 Жыл бұрын
💥
@edwinismail9401 Жыл бұрын
hapo mwishoni ni siasa zaidi
@rahmamukuria9323 Жыл бұрын
Asalam alaykum, hapa kwetu tu naumia sana hakuna waisilamu wengi uenda kuombewa na ma pastor kanisani sisi watu wakusilimu tu naumia sana wenye wame Soma dini ndio wanaenda kwa ma pastor na waganga
@sharifuabdulqadrikusekwa6207
Жыл бұрын
Waalaykum Salam hapo ni wapi
@josephwilliam5813
Жыл бұрын
Wao pia wamesoma upande wa pili na wao wanaumia kukuona umetoka Kule ambako wao wanaelekea kwenye neema
@tamatama1136 Жыл бұрын
Umejitahidi kumtetea alhad lakini dkt mwaka kaongea kweli.
@twaibumikidadi7377
Жыл бұрын
n kweli Mwaka ameonekana amesema kweli kwa mtazano wa waleeee wasioijua dini yao hususan waislamu Huyu Shafii ameongea kwa vifungu aya n.k ukimsikiliza mwaka ametimia akili zake bila aya sasa uislamu hauendi kwa fikra binafs huenda kwa dalili sheria na maneno ya wanazuoni😊
Пікірлер: 7
💥
hapo mwishoni ni siasa zaidi
Asalam alaykum, hapa kwetu tu naumia sana hakuna waisilamu wengi uenda kuombewa na ma pastor kanisani sisi watu wakusilimu tu naumia sana wenye wame Soma dini ndio wanaenda kwa ma pastor na waganga
@sharifuabdulqadrikusekwa6207
Жыл бұрын
Waalaykum Salam hapo ni wapi
@josephwilliam5813
Жыл бұрын
Wao pia wamesoma upande wa pili na wao wanaumia kukuona umetoka Kule ambako wao wanaelekea kwenye neema
Umejitahidi kumtetea alhad lakini dkt mwaka kaongea kweli.
@twaibumikidadi7377
Жыл бұрын
n kweli Mwaka ameonekana amesema kweli kwa mtazano wa waleeee wasioijua dini yao hususan waislamu Huyu Shafii ameongea kwa vifungu aya n.k ukimsikiliza mwaka ametimia akili zake bila aya sasa uislamu hauendi kwa fikra binafs huenda kwa dalili sheria na maneno ya wanazuoni😊