JE YAFAA MUISLAMU KUOMBEWA KANISANI....?

Sheikh shafii afafanua maswali mengi ya utata ikiwemo maana ya kafiri na kuunasihi umma wa kiislamu kunako kushikamana na viongozi.
#dhikr #DhikriNiUhai #islam #islamdini

Пікірлер: 7

  • @directormuddy8976
    @directormuddy8976 Жыл бұрын

    💥

  • @edwinismail9401
    @edwinismail9401 Жыл бұрын

    hapo mwishoni ni siasa zaidi

  • @rahmamukuria9323
    @rahmamukuria9323 Жыл бұрын

    Asalam alaykum, hapa kwetu tu naumia sana hakuna waisilamu wengi uenda kuombewa na ma pastor kanisani sisi watu wakusilimu tu naumia sana wenye wame Soma dini ndio wanaenda kwa ma pastor na waganga

  • @sharifuabdulqadrikusekwa6207

    @sharifuabdulqadrikusekwa6207

    Жыл бұрын

    Waalaykum Salam hapo ni wapi

  • @josephwilliam5813

    @josephwilliam5813

    Жыл бұрын

    Wao pia wamesoma upande wa pili na wao wanaumia kukuona umetoka Kule ambako wao wanaelekea kwenye neema

  • @tamatama1136
    @tamatama1136 Жыл бұрын

    Umejitahidi kumtetea alhad lakini dkt mwaka kaongea kweli.

  • @twaibumikidadi7377

    @twaibumikidadi7377

    Жыл бұрын

    n kweli Mwaka ameonekana amesema kweli kwa mtazano wa waleeee wasioijua dini yao hususan waislamu Huyu Shafii ameongea kwa vifungu aya n.k ukimsikiliza mwaka ametimia akili zake bila aya sasa uislamu hauendi kwa fikra binafs huenda kwa dalili sheria na maneno ya wanazuoni😊

Келесі