#zandaaani

Ойын-сауық

𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Пікірлер: 118

  • @bemmicrocredit5554
    @bemmicrocredit5554Ай бұрын

    Yes hiyo ilikuwa mechi ya yanga na Dodoma Jiji ndio maana diara hakucheza kabisa

  • @AllyPaliwe
    @AllyPaliweАй бұрын

    Diara ndo star watimu!! Aziz alitaka kuwapanda watu kichwan

  • @allahisone6386

    @allahisone6386

    Ай бұрын

    Eeweeeeeh_🤔

  • @liberatusjackson5045

    @liberatusjackson5045

    Ай бұрын

    Yaniii bado hamjasema😂😂😂😂😂

  • @jeremiahmsemwa8323
    @jeremiahmsemwa8323Ай бұрын

    kipa ndo star...😂😂😂 na ni kweli kabisa

  • @JudithNiyogushima
    @JudithNiyogushimaАй бұрын

    Alitaka kumpima hakili Rais wetu kama nani

  • @kijakazinyalinga7003
    @kijakazinyalinga7003Ай бұрын

    😊nasimba wange kua ivyo inge kuapoa

  • @user-kr2zi7du7y
    @user-kr2zi7du7yАй бұрын

    Yanga tuko na misimamo yetu safi sana kiongoz

  • @SalimAbdallah-mi1wc

    @SalimAbdallah-mi1wc

    Ай бұрын

    Analeta kiburi wakati uwongoz ndo umefanya Kawa mfungaji bora😂😂

  • @mrnovic_8370
    @mrnovic_8370Ай бұрын

    Za ndaniiiiiiiiii kabisa😂😂

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475Ай бұрын

    😂😂😂 Huy Momo khaa.

  • @chng1990
    @chng1990Ай бұрын

    Yanga wachezaji wanakaa kambini wanasafiri na viongozi kila mahali hyo upande wa pili

  • @wolfugangtesha5724

    @wolfugangtesha5724

    Ай бұрын

    Upi huo😅

  • @barakapaul6685

    @barakapaul6685

    Ай бұрын

    Upi huo utopolo wewe

  • @videozaaj1069
    @videozaaj1069Ай бұрын

    Hao ndo yanga hawanaga kulamba mtu mikundu yaani kama hutaki nenda mamae,sem simba kuna mafala wengi wanaogopa wachezaji

  • @hassanabdala7383
    @hassanabdala7383Ай бұрын

    Momo unajikoshaa Aziz contract yake inaishaa hyoo maneno yakutafuta Kick

  • @RAZAKIMMALINDA
    @RAZAKIMMALINDAАй бұрын

    Master ki uyu 😅😅😅

  • @theodorahcharles4183
    @theodorahcharles4183Ай бұрын

    Nan huyo jamn

  • @ArafatMabruk
    @ArafatMabrukАй бұрын

    Arafat uyo

  • @reinfridlipili5666
    @reinfridlipili5666Ай бұрын

    YANGA hawana tabia ya kuvumilia upuuzi hata uwe star kiasi gani! Hayo yapo Simba sana.

  • @barakapaul6685

    @barakapaul6685

    Ай бұрын

    Ndio sababu Kuna mastar nyie mlipata wapi 🌟😂 utopolo family 🐸

  • @zuhurajabiri3900

    @zuhurajabiri3900

    Ай бұрын

    Mbona mkude aliwasumbua Mkafyata midomo

  • @farajasospeter9668
    @farajasospeter966821 күн бұрын

    Jamaa liongo sana hili mdamwingne

  • @malietamalieta9658
    @malietamalieta9658Ай бұрын

    Mech zidi ya ihefu nusu final na dodoma jiji aziz ki rais alimwambia amuulize sure boy amuulize kuhus rais wetu na diarra ndo alikasirika akasema kam aziz ki anafanya hivo na mm sitaki

  • @TheGreatAmbrose
    @TheGreatAmbroseАй бұрын

    Aziz Ki huyo, na hiyo ndio raha ya ubora ya uongozi tulionao Yanga.

  • @monelayongola419

    @monelayongola419

    Ай бұрын

    Na anaondoka

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053Ай бұрын

    Aziz K hafanyi hivyo. Ni Chama aliambiwa na Mo

  • @felixluguga645

    @felixluguga645

    Ай бұрын

    Aziz Ki alifanya majuzi na ndio Diara akataka kurudi dar kabla ya mechi

  • @bone102

    @bone102

    Ай бұрын

    Sasa Chama ameng'aa msimu huu na Chama ndo kapost thank you kwenye page yake Simba golikipa gani staa Kiongozi gan wa Simba katoka nchi yenye mitutu Mzee mbona Code nyepesi hyo Kiongozi wa Mitutu ni hersi katoka Somalia kuna vita na Goli kipa staa ni Diara na anayezingua ni Aziz ki na ndie aliyepost thank you kwenye page yake Code nyepesi sana hyo mzee

  • @elishakayagwa9371
    @elishakayagwa9371Ай бұрын

    Yeye akitaka aende tu, tutasajili wengine

  • @Jimmsuva-be5dc
    @Jimmsuva-be5dcАй бұрын

    Haiwezi kua yanga coz mechi za mwisho aziz alikua anatafuta magoli pia yanga wanatembea always na viongozi

  • @TheGreatAmbrose

    @TheGreatAmbrose

    Ай бұрын

    Unamjua mchezaji aliyetoa thank you mara kibao au unajiongelea tu?

  • @bone102

    @bone102

    Ай бұрын

    ​@@TheGreatAmbrosehawafuatilii tatizo Wakat aziz ki ndio aliyepost video ya magoli yake na kuandika thank you kibao

  • @user-iz3hs8jl5p
    @user-iz3hs8jl5pАй бұрын

    chama

  • @songombingo108
    @songombingo108Ай бұрын

    Chama bhana. Kajifanya ndo Okwi wa Madunduka.

  • @kinyanyaonline3658

    @kinyanyaonline3658

    Ай бұрын

    We baupo kabisa ni AZZK mechi mbili ya ihefu na dodoma .diara ndio star

  • @bone102

    @bone102

    Ай бұрын

    Sasa kwan Chama msimu huu kang'aa na Kiongozi gani wa Simba katokea nchi yenye mitutu na tuambie wapi chama kapost akaandika thank you ila utopolo yaani Code nyepesi hii umeishindwa kuelewa 😂😂

  • @saidothman4527
    @saidothman452714 күн бұрын

    Uongeani tuu unajua huu ni umbea.

  • @andrewzimba692
    @andrewzimba69229 күн бұрын

    Mzungu wa simba goal keeper

  • @OmariNgurangwa
    @OmariNgurangwaАй бұрын

    Uwongo uwooooo

  • @JumaNdihagule
    @JumaNdihaguleАй бұрын

    Huyo chama

  • @ISSASHABANI-sw7lx
    @ISSASHABANI-sw7lxАй бұрын

    Na hapo Yanga ndipo inapo kuwa juu

  • @Thomas-lm1dq
    @Thomas-lm1dqАй бұрын

    Huyo Aziz Ki, kiungo aliye takes aulizwe alikozaliwa boss hapo code imekataa kufungulia. Star wa timu ni Djigui Diara.

  • @idrisaabdallahmadenge3155

    @idrisaabdallahmadenge3155

    Ай бұрын

    Kiungo mkude

  • @Thomas-lm1dq

    @Thomas-lm1dq

    Ай бұрын

    @@idrisaabdallahmadenge3155na huyo kiongozi nani?

  • @selemanmaganga-le4zg

    @selemanmaganga-le4zg

    Ай бұрын

    Sureboy katokea mtaa mmoja na raisi wa yanga

  • @saidothman4527
    @saidothman452714 күн бұрын

    Yaaani momo ni mbeyaaa

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2hАй бұрын

    Arafat mchezaji? Mechi na dodoma aziz kama hakuonekana uwanja wa ndege Dodoma vile?.

  • @abdalahfundi7936
    @abdalahfundi7936Ай бұрын

    Ayoub lakred😅

  • @jifunze0042
    @jifunze0042Ай бұрын

    ni azizi ki obviously,na kweli star wa team yetu ni diarra

  • @ahmedplan.b9229
    @ahmedplan.b9229Ай бұрын

    😅

  • @ayoub1906
    @ayoub1906Ай бұрын

    Ila harmoniz

  • @othmanbudi
    @othmanbudiАй бұрын

    Ndo wachezaji wa kiafrika

  • @DavidFindah
    @DavidFindahАй бұрын

    Uongooo huo Aziz alikua kwenye mbio za kuwania kia2 hawezi kuleta utovu wa nidhamu

  • @user-vx6tz9ft1c
    @user-vx6tz9ft1cАй бұрын

    Hahaha eti tabul azza key

  • @sebastiansalamba313
    @sebastiansalamba313Ай бұрын

    Waongo Hawa wanachonganisha yanga na wachezaji waongo wakubwa yanga ni ileile

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641Ай бұрын

    Sasa🐸🐸🐸 watakasirika😂😂😂

  • @zuhuranasoro8923
    @zuhuranasoro8923Ай бұрын

    Mbona code imekataa kufunguka kwangu? Kulia Kuna Chama kushoto kuna azizi..lkn mzee wa thank you nyingi ni azizi. Na kama ni azizi mbona basi hua namuonaga kila safarini?

  • @omarymtotela3751

    @omarymtotela3751

    Ай бұрын

    Mechi ya arusha alichelewa na dodoma pia

  • @user-cc8le8bx5s
    @user-cc8le8bx5s29 күн бұрын

    Wenimwongo

  • @ChalesDikwe
    @ChalesDikweАй бұрын

    Yan we kuma tu

  • @thetrends472
    @thetrends472Ай бұрын

    Waliorudia zaidi ya mara moja likes hapa

  • @Deadskytz

    @Deadskytz

    Ай бұрын

    Like huwa za nini ?

  • @ameirfaki9277
    @ameirfaki9277Ай бұрын

    Sante momo.......hahahahha

  • @user-vw3cm9hs2v
    @user-vw3cm9hs2v22 күн бұрын

    Momo huw naangalia hii nabak kucheka tu aisee

  • @AyubuMsindo
    @AyubuMsindoАй бұрын

    Mbnawatuwanalijuwa hlo

  • @user-bg6fe7ku1l
    @user-bg6fe7ku1lАй бұрын

    Acha test za uongo

  • @user-hb8vi9fx6g
    @user-hb8vi9fx6gАй бұрын

    SI MSHABIKI WA MPIRA ILA HII STORY IMENIFANYA NISIKILIZE TABUL'IZZAKI 😂😂😂

  • @user-lx9wp7cu9m
    @user-lx9wp7cu9mАй бұрын

    Wahambie

  • @thobiasshigela9046
    @thobiasshigela9046Ай бұрын

    Muarabu wa simba na chama

  • @mrnovic_8370
    @mrnovic_8370Ай бұрын

    😂

  • @Jimmsuva-be5dc
    @Jimmsuva-be5dcАй бұрын

    Nani huyo

  • @nicholousmtemi3902

    @nicholousmtemi3902

    Ай бұрын

    Aziz k

  • @rafikiyako6697
    @rafikiyako6697Ай бұрын

    Sasa raisi wa Yanga si anasafiri na timu karibia kila mechi

  • @chuchumeta8374
    @chuchumeta8374Ай бұрын

    Uongo timu yote ilikuwa nyuma Aziz ki kumsapoti afunge

  • @SADIKIMAPESA-yn7mo
    @SADIKIMAPESA-yn7moАй бұрын

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @IsmailMadrelya
    @IsmailMadrelyaАй бұрын

    Kwakweli hii Code imenishinda nimerudia zaid ya mara tatu lkn Code ni pasua kichwa ,,,Thank u nyingi nia Azizi Key 🔑,,Kudive ni Diara kiungo anaetoka sehemu moja na boss sijui nan sasa ,,boss katoka kwenye mitutu mara Tandale hili Tikitik lazima lioze haliliki haswaa,,

  • @sofiamsuya2254

    @sofiamsuya2254

    Ай бұрын

    Azizi ki Diara Boss ni CEO from congo Kiungo ni max zengel

  • @IsmailMadrelya

    @IsmailMadrelya

    Ай бұрын

    @@sofiamsuya2254 Duuuh Hatar sana 😢

  • @nizoplatinumztz8025

    @nizoplatinumztz8025

    Ай бұрын

    Aziz ki Boss ni Rais ( asiri ya msomari) Star ni Diara Kiungo ni Sure boy

  • @BasuleBasule
    @BasuleBasuleАй бұрын

    Game Na Dodoma

  • @stn4873
    @stn4873Ай бұрын

    KI AZIIIIIZZZZZ

  • @smartworldtz
    @smartworldtzАй бұрын

    Wakwanza hapa nipeni subscribe zangu jamani😅

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l29 күн бұрын

    UTOPOLO NDIYO WAKATI WENU

  • @zuhuraomary2782
    @zuhuraomary2782Ай бұрын

    Mwache aende

  • @ABDALLAHMWATANDA
    @ABDALLAHMWATANDA26 күн бұрын

    YANGA WANA VITU VYA AJABU ..ILA MAFANIKIO YANAZIBA MAUTUMBO YAO........

  • @andrewzimba692
    @andrewzimba69229 күн бұрын

    Inonga

  • @user-so8dh5mp8p
    @user-so8dh5mp8pАй бұрын

    Azizi

  • @aisha.abdallah.3979

    @aisha.abdallah.3979

    Ай бұрын

    Mh uongo bhana.

  • @user-qo6qv6mc5p
    @user-qo6qv6mc5pАй бұрын

    Xavi mtupu

  • @SalmaChamy-tg4bo
    @SalmaChamy-tg4boАй бұрын

    Wameshaanza tena udaku

  • @pendothomas7885
    @pendothomas7885Ай бұрын

    Uongo huo

  • @kudramzee5769
    @kudramzee5769Ай бұрын

    Slow gun daima mbele nyuma mwiko

  • @kunpeter4071

    @kunpeter4071

    Ай бұрын

    Ni slogan mkuu, slow gun n "bunduki ya polepole" tafsir yake🙏

  • @makame186
    @makame186Ай бұрын

    Uyo ni mwamba wa Lusaka

  • @ngido255
    @ngido255Ай бұрын

    Wananchi hawabembelezi mtu labda huko mpate mpate

  • @davidjohn540
    @davidjohn540Ай бұрын

    ACHENI KUJAZA WATU UONGO, NI KWAMBA HAKUNA HELA YA KIMLIPA KI, HIVYO VINGINE NI VISINGIZIO VIMETENGENEZWA, KWAMBA AZIZ KI ASAFIRI PEKE YAKE RAIS ASIJUE WAKATI MAZOEZINI YUPO KWENYE MECHI ZOTE TUPO

  • @husseinwabibi8639
    @husseinwabibi8639Ай бұрын

    Eti tabul isack😂

  • @bemmicrocredit5554
    @bemmicrocredit5554Ай бұрын

    Yes hiyo ilikuwa mechi ya yanga na Dodoma Jiji ndio maana diara hakucheza kabisa

  • @nicholousmtemi3902

    @nicholousmtemi3902

    Ай бұрын

    Unakichwa kigumu huyo n azizi na kiongozi alimwambia stars n kipa yani diarra

  • @Kabeya410

    @Kabeya410

    Ай бұрын

    Ki aziz na Diara ndo staa na yule kiongozi asili yaje ni kule kwenye mitutu Somalia code kafungua kabisa na kuhusu huyo staa kainesha kama diving kipa. Mna vichwa vigumu

  • @mathewdickson8891

    @mathewdickson8891

    Ай бұрын

    ​@nicholousmtemi3902 we nd kichwa hovyo kabisa 😂

  • @nicholousmtemi3902

    @nicholousmtemi3902

    Ай бұрын

    @@Kabeya410 nashangaa watu wagumu hawaelewi

  • @bemmicrocredit5554

    @bemmicrocredit5554

    Ай бұрын

    @@nicholousmtemi3902 sasa wewe ambacho hujaelewa nn comment yangu ni kuwa hiyo issue ilitokea wakati wa maandalizi ya mechi na dodoma Jiji ndio maana hiyo game diara hakucheza kabisa na huo mgogoro unahusu diara na azizi kwahy elewa kwanza ndio ujibu comment ya mtu

  • @IgnasJohn-sv4vn
    @IgnasJohn-sv4vnАй бұрын

    Mm simpendi huyu yupokama demu kakaa kiumbea mbea kama wadada wanaokaaga mlangoni wakati wewe unapita Na pisi kali.

  • @saidinyakayemba490

    @saidinyakayemba490

    27 күн бұрын

    Hiyo ni style ya kufikisha wala si mbea

  • @Cassm898
    @Cassm898Ай бұрын

    😂

  • @ArafatMabruk
    @ArafatMabrukАй бұрын

    Arafat uyo

  • @mamajumamukure5471

    @mamajumamukure5471

    Ай бұрын

    Arafat kafanyaje sasa😊

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    Ай бұрын

    Sa Arafat mchezaji wewe ??

  • @bemmicrocredit5554
    @bemmicrocredit5554Ай бұрын

    Yes hiyo ilikuwa mechi ya yanga na Dodoma Jiji ndio maana diara hakucheza kabisa

  • @jifunze0042

    @jifunze0042

    Ай бұрын

    hapana hapo anaongelewa azizi ndio alileta dharau na ndio anaeandika thank you nyingi mtandaoni

  • @mwanangusana

    @mwanangusana

    Ай бұрын

    Hakuna code uyo anatunga tu

  • @bemmicrocredit5554

    @bemmicrocredit5554

    Ай бұрын

    @@jifunze0042 ni azizi ndio lakin huo mgogoro unahusu diara na azizi na ilikuwa kwenye maandalizi ya mechi ya yanga na Dodoma Jiji

  • @jifunze0042

    @jifunze0042

    Ай бұрын

    @@bemmicrocredit5554 naomba unifungulie zaidi nielewe,ilikuaje kwani kaka?

  • @user-qw9jc2cz9o
    @user-qw9jc2cz9oАй бұрын

    Atena Bhna.Na za ndaaaaaaniiiiii lkn hasemi nani anataka muhangaike Ninyi kumjua ndo za ndaniiiiiii

Келесі